Video není dostupné.
Omlouváme se.

MULOKOZI: SIJAAJIRI NDUGU KABISA,WASOMI WALISHINDWA, NIKIFIKA 50 NASTAAFU,MSG ZA MAPENZI SIJIBU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2024

Komentáře • 655

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 Před 5 měsíci +86

    Uyu jamaa hata ukimpora mali zote abaki hana kitu atatajirika tena. Smart, wise, hardworking & God fearing 🙌🏼

    • @samnkoba1856
      @samnkoba1856 Před 5 měsíci +3

      Kweli huyu jamaa labda umpe uchiz ila ukimpora kila kitu baada ya mwaka jamaa anakupita tena kwa mawe 😂😂😂😂

    • @IsaacLameck-nz8yr
      @IsaacLameck-nz8yr Před 5 měsíci +2

      God fearing ana piga pombe ?

    • @peterlujuo1640
      @peterlujuo1640 Před 5 měsíci +11

      @isaaclameck Kaa apo apo ukidhani wanaokunywa pombe wote hawana hofu ya mungu, nyinyi ndo wale waumini wanakufa njaa kwa kuona biashara flani flani ni za kidunia. Kaa apo apo na ufala wako

    • @Norahtemu-hj7zw
      @Norahtemu-hj7zw Před 3 měsíci

      God protect u dear

    • @MkumboJaphet-yx3jp
      @MkumboJaphet-yx3jp Před 2 měsíci

      Kwamba abaki na Ufala wake😂😂😂😂​@@peterlujuo1640

  • @ericahajuna1555
    @ericahajuna1555 Před 2 měsíci +5

    Nimekupata na nimekuulewa Baba Mimi kipindi nimemaliza Chuo Mwaka Jana Nilipofata Kazi Hotel Watu Au Wanafunzi wenzangu Walinicheka But Sasa Hv Wananambia Niwaunganishe Asante Mungu Kwaajili Ya Kila Mtu anaweza kutuelimisha🙏

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 5 měsíci +18

    My son will be a next billionaire. Hongera sana kijana, the sky in not a limit.

  • @EmmaKija
    @EmmaKija Před 5 měsíci +42

    Mulokozi Mungu akubariki sana
    Wasomi wengi Tanzania tunachelewesha mendeleo ya nchi
    Protocol nyingi kichwani lakini action mbov

  • @Official_Evara
    @Official_Evara Před 5 měsíci +31

    This guy is so intelligent and real with life! Never seen such a perfect house in East Africa🧢 Big Up sir!

  • @user-cd8rc5jp2i
    @user-cd8rc5jp2i Před 5 měsíci +10

    Ukiachana na mulokozi, milard ayo nae ni mtu mwenye akili sana. Mtakuja kunielewa baadae📌

  • @emanuelherman7029
    @emanuelherman7029 Před 5 měsíci +11

    Dah Mulokozi huyu mtu siyo wa kawaida fikra zake zinaenda mbali jinsi anavyoishi na watu wa Manyara ni elimu tosha kwa jamii haamini katika ushirikina kabisa mwenyezi mungu aendelee kukubariki pia hongera za dhati kwa Ayo Tv na Millard Ayo kwa kutuletea interview bora kuwahi kufanyika Tanzania tunasubiri Episode ya 5

  • @albertlyimo2812
    @albertlyimo2812 Před 5 měsíci +16

    Asee Milard Ayo wewe pia uko talented sana,huyo mwamba nimesikiliza mawazo yake sana,amejua kutenganisha elimu yake na maisha halisi,natamani nifike babati nimuone fanya mpango wa appointment mkuu

  • @andrewmziray2233
    @andrewmziray2233 Před 5 měsíci +18

    Leo nacoment kwa mara ya kwanza huyu jamaa n mtu na nusu. Hongera mulokoziiii

  • @felikisimon
    @felikisimon Před 5 měsíci +9

    Lakini pia millard nakushukuru kwa hili. Unajua kututafutia watu wa kutufundisha bwana sasa apa isingekuwa hii kazi yako wewe huyu jamaa si rahisi kumfikia na kupata madini kama haya. Hongera sana kwa kazi yako nzuri

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 5 měsíci +13

    Mungu awafanikishe katika hilo la sim , mtaipatia nchi yetu Tanzania heshima na nitanunua sim yako Mulokozi nasubiri

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 Před 5 měsíci +19

    Nimependa sana jamaa anajielewa. Maisha yake ni ushuhuda👌.
    God is everything

  • @Ilu_tinker
    @Ilu_tinker Před 5 měsíci +9

    Millard thanks bro 🙏 hizi ndo interviews za kufunza hustlers in streets, MADINi ni mengi sanaa this is all we need to hear and not motivation speakers wa manyoya hadi kuku miaaa😂💥🔥much respect to u all, Millard & Mulokoz👊🫂next episode please 😅😂

  • @sarahmero4561
    @sarahmero4561 Před 5 měsíci +24

    Aise huyu kaka nimempenda tena namuombea kabisa kwa Mungu alimlinde na kumuongezea hizo baraka,binafsi nimefurahi sana kuona tajiri msomi maana watu washakariri matajiri hawana elimu 😒 this is such a powerful success story aise thank you millard

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 5 měsíci

      Usomi wake ametumia asilimja chache sana katika kutengeneza utajiri wake...uzoefu wa kazi ndio msingi wake

    • @hemedmtunguja9788
      @hemedmtunguja9788 Před 5 měsíci

      Kweli kabisa

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 Před 5 měsíci +129

    Safi sana huyu mtu mi nlikua simjui kumbe tz wapo watu wenye hela zao na wametulia tu,hongera sana bro

    • @michaelmulokozi1512
      @michaelmulokozi1512 Před 5 měsíci +12

      Na huyo ni muhaya, lkn Hana sifa kama ambavyo inachukuliwa😂😅 kwenye jamii

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 5 měsíci +13

      Siku zoteee wat wenye hela hawanaga makelele daima ipo hivo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 5 měsíci

      ​@fotunatusimsongole7341 mwijakua ni chizi

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 5 měsíci +3

      ​@@michaelmulokozi1512watu wana mawe kimya kimya wametulia tu...... hawa wajinga wajinga wa town ndo wanatuletea tabu km akina makonda.

    • @chrisskucha6108
      @chrisskucha6108 Před 5 měsíci +8

      Sasa makonda anahusikaje hapo tatzo unaroho ya wivu mno

  • @MillenMlay
    @MillenMlay Před 5 měsíci +47

    Libarikiwe tumbo la mama alie kuzaaa..wanawake msitoe mimba jaman yawezekana wanatolewa watoto kama hawa

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 5 měsíci +2

      Hata kama binadam.hatuwez kufanana kuna ataeza jambaz kahaba mweny kama huyo bas ili maisha yaende lazima tutofautiane

    • @KulwaKisansa
      @KulwaKisansa Před 5 měsíci +1

      Ha ha ha 😂

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 Před 4 měsíci +5

    Mungu amtunze sana huyu tajiri, huyu ni asset katika nchi yetu.

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz Před 5 měsíci +34

    This Episode 4 kuna madini hatari. Picha linaendelea...
    Dak 13 Mr Mulokozi anakuambia ana nguruwe 1'000+, farasi 20+, ngamia na nyati maji😮 doooh kama vile nauona utajiri wa king Solomon.
    Dak 23 Swali unategemea kustaafu ukiwa na umri gani,,, kama umesikia vizuri farasi kaguna kagoma jamaa asistaafu mapema😂
    Dak 31 Nimejifunza kuficha mafanikio ni kuwa na nidhamu ya woga... Kama kweli mafanikio ya halali basi taja ili iwe funzo kwa wengine
    Dak 43 Tajiri ana hadi PA duuh
    Na bado hajafikia ndoto zake...
    INTERVIEW BOMBA SANA. Naisubiri Episode 5 🎉🎉🎉

  • @deborakemmy6253
    @deborakemmy6253 Před 5 měsíci +39

    Basi @millardayo katika interview zako zote hii ni the best interview kwangu narudia rudia yaani!!

    • @dianajoseph8951
      @dianajoseph8951 Před 5 měsíci

      Ndg Mulokozi hongera kwa kazi nzuri...ni jambo jema saana ila sasa
      Wahaya mrudi muwekeze Kagera imesahaulika.. umetoa ajira babati bukoba jeeeee???

    • @idrissaissa5607
      @idrissaissa5607 Před měsícem

      Niaje Deborah

  • @mariam205
    @mariam205 Před 5 měsíci +15

    Aisee mm nimvivu ku comment lakini kwa huyu jamaa nimeshindwa kunyamaza mungu akutunze broo

  • @user-vj1oz3gf2i
    @user-vj1oz3gf2i Před 4 měsíci +1

    Haya yametimia sana masikioni mwetu,kumbe utajiri wa haki na unaodumu uko mikononi mwa mungu ..ni wazi unastahili pongezi sana brother Mlokozi

  • @zawadibernard8232
    @zawadibernard8232 Před 5 měsíci +82

    Watanzania tumshukuru Huyu baba kufunguka watu wa level hii huwa Hawafunguki

  • @kilungukitamu5577
    @kilungukitamu5577 Před 5 měsíci +26

    Big up brother wafanyabiashara wengi hukwepa Kodi wewe umekuwa mfano 🎉

  • @bezarelchilewa4062
    @bezarelchilewa4062 Před 2 měsíci +1

    Bravo Mulokozi. Uko 100percent correct. Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nae Zanzibar. Alikuwa boss wa UNDP alihitaji kuajiri wafanyakazi,nikamuomba aniajiri Mimi akakataa na kunoomba tuendelee kunywa soda zetu. Nikashangaa. Nikamuuliza anahitaji watu wenye sifa ipi? Akanijibu anataka wale waliopata Division 4 na zero. Kwa sababu hao ana uhakika atakuwa nao muda mrefu na hawatamsumbua. Wale wa Division 1,2 na 3 hawataki kabisa maana Bado wanahamu ya kutafuta mafanikio mbele. GOD BLESS YOU.

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před 5 měsíci +11

    M nilichojifunza ni mungu ndo Kila kitu katika maisha ukifanya kazi kwa bidiii na ukimtegemea mungu lazima ufanikiwe ila kuwa tajili ni kipawa ambacho si wote wanakuwa nacho

  • @friedahjohn
    @friedahjohn Před 5 měsíci +7

    Hii interview ina nondo kuliko kukaa darasani na kusoma biashara kwa miaka mitatu. Asante sana Millard.

  • @hamisikisinzah8113
    @hamisikisinzah8113 Před 5 měsíci +10

    Huyu Mulokozi yuko vizuri na kwa kweli elimu yake imeweza kumsaidia katika kutafuta fursa na pia amekuwa muwazi hii saaafi Saaanaaa!!

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 Před 5 měsíci +8

    Huyu mwamba namemwelewa. no fake yani, ametiririka kila kitu. Barikiwa sana. Yani hadi nimepata pa kuanzia

  • @deborahkihaka6975
    @deborahkihaka6975 Před 5 měsíci +7

    He is amazing, he is a gem for our nation, an example to young people

  • @innocentadolf7284
    @innocentadolf7284 Před 4 měsíci +1

    Dakika ya 34:17 asee bonge 1 la point. Ushirikina ni mojawapo ya factor muhimu mno inayoturudisha nyuma sana sisi waafrika not only kwenye ishu ya maendeleo but also kwenye hali za maisha yetu wenyewe kwa wenyewe. Salute broh kwa kulitambua hilo.

  • @petermangowi
    @petermangowi Před 5 měsíci +14

    Hii interview imenitengeneza sana.. hongera sana Brother kwa hatua uliyofikia, pia nikupongeze kwa kushare mapambano yako... imenifanya niweze kufikiri zaidi.

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 Před 5 měsíci +1

    Tunahitaji wasomi wanyenyekevu wasio na majigambo kama Mulokozi, hukukata tamaa ulipoona partinerships zinafaili,kuna la kujifunza hapa.Pia hukuona majivuno ya kusoma nje ya nchi,umerudi na kuamua kuajiri watanzania wenzako,Mungu azidi kukuinua umepewa kipawa cha kuona mbali sana sana.Hongera mno kaka yangu ❤

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 Před 5 měsíci +11

    Da safi sana.....HILI NENO MILAD KALIONGEA MARA ELF 6

  • @elicknyega7317
    @elicknyega7317 Před 5 měsíci +29

    Huyu jamaa ni genius aisee

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci +26

    Good one Millard, hii session nimeikubali sana unlike the other one. Umejua kumkamua madini kwa ajili yetu vijana... kudos!👊🏿

  • @stewardlugan576
    @stewardlugan576 Před 5 měsíci +5

    Bro respect you pia Mungu amwongezee marifa zaid katika kazi zake 🙏🙏

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 5 měsíci +5

    Tumtangulize Mungu mbele, Safi Sana Braza kwa kuyatambulisha mafanikio yako katika Msingi wa Imani kwa Mungu. Pongezi pia kwa kutoa nafasi ya matoleo kwa jamii na hasa wahitaji.

  • @user-bg8en4qc3d
    @user-bg8en4qc3d Před 5 měsíci +15

    Huyu jamaa ana madini - mpaka unatamani millard atengeneze episode 10. We still need to hear from this man. More episodes please Millard

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan Před 5 měsíci +1

    Aloo am speechless, what a brilliant guy. Yes nyumba sio ya kifahari kama alivyosema but the things inside it it's dope. Imagine we look alike in business idea woow am into minerals liquor industry idea in my head, real estate and lastly pharmacistical as well . I am encouraged

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 Před 5 měsíci +6

    Brother ni kitabu cha kujikwamua kimaisha na Ayo unajua kuhoji maswari ya kujenga bravo

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před 5 měsíci +4

    Hongera sana shemeji Mungu akupe maisha marefu siku moja na wish kuwa kama wewe nimejifunza Changamoto zisinikatishe tamaa nimeanguka kipato kabisa Mungu nipe maarifa mapyaa

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před 3 měsíci +1

    Nimempenda saaaana huyu Don
    Simlizi zake zimenijenga sana.
    Sasa Naona siwezi tena kuwa hivi Nilivyo,maana ni viiiingi nimejifunza, I have big future..
    Thanks Tajiri.

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 Před 5 měsíci +15

    Nimekuelewa kaka Mulokozi na nimepata elimu kubwa

  • @faidhacute
    @faidhacute Před 5 měsíci +4

    Mulokozi hapo nmekuelewa sana yaan kwamba ukiwa unafanya kazi Kuna time unatakiwa ujipongeze ni nzuri hyo nmeipenda sana❤

  • @jumaissa542
    @jumaissa542 Před 4 měsíci +5

    Mimi nimekuelewa tofauti kidogo, haukutaka kutumia watu maarufu kutangaza biashara yako ila umeamua kutengeneza nyumba ambayo imetumika kutangaza biashara yako na umefaulu, hongera sana broo hii ndio maana ya elimu.

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t Před 5 měsíci +30

    Uko vizuri sana unahela jalafu huna dharau watu wajifuze sana

  • @mesietwilliam972
    @mesietwilliam972 Před 5 měsíci +3

    The best Interview ever! Hongera sana brother Mulokozi na ahsante sana brother Millard!

  • @hammerymachogu3885
    @hammerymachogu3885 Před 3 měsíci +2

    Hongera sana Bro binafsi nimejifunza mengi nami nina ndoto za kuja kumiliki kampuni yangu , Mungu akufanikishe zaidi na moyo wa uzalendo kwenye nchi yetu, big up.

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ Před 3 měsíci

      Kumiliki kampuni raisi shida kusimama kiuchumi

  • @user-mv5et9nq9s
    @user-mv5et9nq9s Před 5 měsíci +3

    Asante sana kaka kwa kufunguka. Haojaongea uongo kama King msukuma. Maana watu wa biashara tunakuelewa.sana

  • @Royalcakespoint
    @Royalcakespoint Před 5 měsíci +3

    Kikubwa hapo imani ya dini yake...sadaka anazozitoa kwa jamii pamoja na kujituma ndio kilichomfikisha hapo ...tuna la kujifunza....hongera kwake

  • @user-wu3ld2ti1k
    @user-wu3ld2ti1k Před 5 měsíci +18

    Asante nimejifunza kitu hapa

  • @gladnessmtei8706
    @gladnessmtei8706 Před 5 měsíci +2

    This is a power talk na kwa watakao fatilia aliosema hapa for sure watapiga hatua ....thank you for sharing ...umezungumza njia nyingi sana za mafanikio

  • @edwardminango8682
    @edwardminango8682 Před 3 měsíci +2

    Uyu billionaire yupo safi saaana ni smart saaana kichwani yaaan actually ana vitu vingi saaana me nimempa maua yake nice ❤

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 Před 5 měsíci +1

    Kwa mambo ya ukabila hapo kiukweli my hands 🙌 down and I’m proud of you, wewe ni mtanzania mzalendo na hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 tunayoitaka, Grand rising ✊🏾💯

  • @user-eg1pk1sw4j
    @user-eg1pk1sw4j Před 5 měsíci +26

    Dahh millard huyu jamaa n genius aiseh.

  • @sayunikihunrwa4949
    @sayunikihunrwa4949 Před 5 měsíci +2

    Kuna mtu alikua atuuwe kabisa haki yamungu , ila hapana mungu anamipango . Hongera kaka tunajifunza mengi yani duu umetupa mwanga wa fulsa na namna hukutaka kampuni ife ukihofia kuuwa ndoto za wengi duuh. Fikiria namna matajir wengi waliishiwa na watu wakakosa ajira jaman familia zikaumia nyingi .

  • @fenrickmsigwa7437
    @fenrickmsigwa7437 Před 4 měsíci

    This interview is so waoh, the man is so wisely. Nimsjifubza mnoo. Hongera sana Mr Mlokozi. Maono na Kampuni yako vizidi kutunzwa

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Před 5 měsíci +2

    Hongera mwanangu, Mungu Azidi kukutangulia kwenye maono yako. Akupe Afya,Uzima,Amani na Furaha. Ayo nashukuru kwa kurusha hii habari ya kijana anaye pambana. Mbarikiwe Wote🙏🙏

  • @ts9dna862
    @ts9dna862 Před 5 měsíci +24

    KIUKWELI HUYU JAMAA NI SUPER GIFTED GENIUS

  • @neemangunda2694
    @neemangunda2694 Před 5 měsíci +2

    Hongera sana kwa kweli nimependezwa sana na interview Yako . Nimejifunza kitu sana kupitia wewe nafikiria fursa nyingi sana . Ni mitaji TU tunakosa lakini kumbe hata kidogo unaweza kuanza kitu na ukafika mbali

  • @quilijohn8634
    @quilijohn8634 Před 5 měsíci +5

    A very bright, hard working & focused young man! Mungu akuzidishie!

    • @noorbazaar9063
      @noorbazaar9063 Před 5 měsíci

      A sentence with a lot of adjectives! Thanks 🎉

  • @ContentBurrito-jj9yi
    @ContentBurrito-jj9yi Před 5 měsíci +10

    Kaka shikamoo naomba sana sana nisaidie mtaji kaka nipo dar Sina kazi nilikua naendesha kirikuu nimenyanganywa nisaidie mkuu nipate kirikuu mkuu mungu akupe nguvu.

  • @NancyMlemba
    @NancyMlemba Před 4 měsíci

    HONGERAA SAAANA KAKA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA NA KUKUWEKA. BIG UP MILARD BILA WW TUSINGEMJUA BWANA MULOKOZI. PIA NAMUOMBA KAMA ANA HOSP KWAAJILI YA STAFU NAOMBA KAZI HAPO MM NI MUUGUZI MSTAFU WA MWAKA JANA NAOMBA KAZI HAPO

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 Před 5 měsíci +1

    Hongera sana umetuheshimisha Babati. Nimejifunza jambo kubwa sana. Mungu aendelee kukuinua na usiache kumuamini na kumtegemea Jirani

  • @josephinebuxay3392
    @josephinebuxay3392 Před 3 měsíci

    Fundisho nzuri sana Mulokozi, kitu nimependa jamaa cyo mtu wa kujiinua yaani yuko kama mtu wa kawaida, huyu mtu ataenda mbali sana, Mungu akulinde akutunze somo nzuri sana, Manyara tuna mtu.

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 Před 5 měsíci

    Mimi kuanzia Leo Mr. Mulokozi ni role model wangu, nawish kumsikiliza Kila wakati, Asante sana Millard kwa kutuletea mtu muhimu na muwazi kama huyu ambaye amefanikiwa kwa njia ya kawaida sana ambavyo hata sisi wengine tukiamua tunaweza, kwa mfano nafkiria ameanza kiwanda nikiwa hapa ninapofanya kazi Hadi sasa, umaskini unaendelea kushamiri lakini yeye ameshafika mbali sana kimaendeleo. Ukifkiria hicho kiasi alichoanza nacho kiwanda sio kikubwa sana, so anani inspire sana kuanza Cha kwangu mwenyewe haijalishi ni kwa Hali ya chini kiasi gani, japo sijui pa Kuanzia, Mungu anisaidie! Hongera sana Kaka, Mtanzania mwenzetu🎉🎉🎉

  • @rhodajackson2213
    @rhodajackson2213 Před 5 měsíci +6

    KICHWA ! Ahsante sana / yaaani MADINI TUPU

  • @user-og9kq4ef3s
    @user-og9kq4ef3s Před 5 měsíci +14

    Anajieleza vizuri sana, na anajibu maswali kwa ufasaha, maelezo yamenyooka, mifano hai na mengineyo. Mahojiano hayachoshi kabisa. Na kujifunza mtu unajifunza. Hongera millard hongera na kwa mulokozi piaa.

    • @musakalangahe6876
      @musakalangahe6876 Před 5 měsíci +1

      Exactly. Huyu anavyojieleza, unajua kabisa utajiri mbali ya mali, ni akili yake.

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 Před 5 měsíci

      Chenye anasema jamaa ni pure true.. Alhamdulillah mm sima elimu ya veterinary lkn kuna veterinary doctor kwa kampuni yetu na inabidi mm nimpe elimu kulingana na experience Niko nayo cha ajabu anatumia elimu hio hio anakuja ku impliment kwangu ni kana kwamba yy ndo alkua anajua na hajui chochote na ametokq shule😂😂.. experience is more better than izo documents

    • @beatricerweyemamu5540
      @beatricerweyemamu5540 Před 5 měsíci

      Ndiyo faida ya elimu hiyo...!!!

  • @EmanuelHizza-rk5pi
    @EmanuelHizza-rk5pi Před 2 měsíci

    Asanteh sana yapo mengi nimejifunza (God bless you)

  • @user-ko8on1ue5y
    @user-ko8on1ue5y Před 5 měsíci +1

    Daa hongera sana Kaka millard naomba niombee kazi ndugu nipo mbeya aniajiri ktk kiwanda Cha iwambi _ mbeya.

  • @joycemaimu7265
    @joycemaimu7265 Před 4 měsíci +1

    Haya madini ni aghalabu kuyapata duniani,,,,Big up Mulokozi

  • @mkambora
    @mkambora Před 5 měsíci +3

    I have listened to the whole interview... It's superb

  • @felikisimon
    @felikisimon Před 5 měsíci +2

    Mmh uyu jamaa hakwenda japan na uingereza kuzurura tu ni mtu aliyeenda kutafuta maarifa kwa ajili ya taifa letu. Na ni mtu wa kujali . Ubarikiwe sana Boss

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před 5 měsíci +2

    Noma Sanaaa,Kali sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 Nazipenda sana hizi Interview za namna hii...

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Před 5 měsíci +6

    Hapo kwenye nguruwe kasema kweli aisee Kama MTU unamtaji na hujui chakufanya plz anza na nguruwe utakuja nishukuru nakama huna utalamu wowte juu ya huo mradi tafadhali ntakusaidieni kuwaelekez hata japo kidogo 👍

  • @user-oz6zp8fr1c
    @user-oz6zp8fr1c Před 5 měsíci

    Upo vizuri. Hasa kumtegemea Mungu D Mulokozi

  • @MulumbaJane
    @MulumbaJane Před měsícem

    Thanks mulokozi we hv learnt alot , im watching from New zealand

  • @ngusubilambope3964
    @ngusubilambope3964 Před 5 měsíci +2

    Salute! Salute! Salute! Am just speechless

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 Před 5 měsíci +2

    Yaani kaka uko vizuri, umeongea madini tupu barikiwa sana kaka.. barikiwa Milard

  • @muhidiniabass4385
    @muhidiniabass4385 Před 5 měsíci +2

    Kuna kitu nimejifunza kwako bwana mulokoz, shukrani mirad

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 5 měsíci

    Itoshe kusema....every successfull point is measured by point of creation and point of implimenting....bilionea mulokozi nakubali umeweza kutujenga vijana juu ya kupambania ndoto zetu na kuamini mipango binafsi iliyobebwa na tafsiri kuu ya kuamini unachokipambania....kongole millard Ayo for the best interview ever here is 2024 ❤❤❤❤❤🎉

  • @KennethKonga-gb9hm
    @KennethKonga-gb9hm Před 5 měsíci +3

    Yup perfect sana ni muwez

  • @Juke995
    @Juke995 Před 5 měsíci +2

    Hii nzuri Sana. Mfano ujeruman huwa wanachukua watu ambao hawajaenda chip kisha wanawafundisha hicho pia kinasaidia hata kuwa na wafanyakazi wa kudumu muda mrefu hata biashara inaenda na kukua kwa muda mrefu kuliko wasomi

  • @user-wg8yw3dl4j
    @user-wg8yw3dl4j Před 5 měsíci +1

    ....hongera sn kaka mulokozi,kwa yote uyafanyayo,karibu sn mbeya au Green City kama ulivyosema,cku c nyng! Bnafsi nakusubiria haasa kwny project yako,utakayoianza.b blecd.

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 Před 5 měsíci +1

    Hongera sana kaka.pombe unazotengeneza ni tofauti na zile vijana wanazotumia zikawamaliza afya .yaani hawawezi kufanya kazi yoyote wamekuwa kama.mazombi.ni.moja.ya hizo au hizo zinazalishwa wapi.

  • @mbokhamumwaliswaha8138
    @mbokhamumwaliswaha8138 Před 5 měsíci

    You are very inspiring. Sio wanaoinspire watu hawana hata kibanda cha kuuza nyanya. Asante sana.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 5 měsíci

    MashaAllah 🙏🙏hongera sana boss.
    Mwenyezi Mungu endelea kutuinua na sisi🙏🙏

  • @ZuwenaSinde-hj9qg
    @ZuwenaSinde-hj9qg Před 5 měsíci +2

    Jameni asante sana kwa haya kwa pamoja na shukuru sana kwa mwandishi wa habari pamoja na mhojiwa

  • @marypwanye8943
    @marypwanye8943 Před 4 měsíci

    Mwenyezi Mungu azidi kukutunza kwa sababu huna ubinafsi unafikiria sana nchi yako. Ni wachache sana wenye Moyo huo. Mungu akubariki sana.

  • @teddymosha1376
    @teddymosha1376 Před 5 měsíci +2

    Daah huyu baba ana akili kutoka Kwa mungu Yuko smati kichwani Tanzania tungepeta watu smart kama huyu kaka Kila mkoa nchi ingekuwa mbali sana mungu akulinde hongera sana mungu Aendelee kukueshimisha

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 Před 5 měsíci +4

    Saaaf saaana kaka ,nimepata mambo meng saana kwako

  • @user-qb5gg2iy7o
    @user-qb5gg2iy7o Před 5 měsíci

    Uko vizuri sana maelezo yako ni ya baraka sana mulokozi

  • @user-gp8rj4gz4n
    @user-gp8rj4gz4n Před 5 měsíci +1

    Aisee nmejifunza vingi kupitia huyu jamaa, asante Millard kwa interview nzuri

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Před 4 měsíci

    Hongera kwa kazi nzuri kuhusu usingizi Sali sana wenzio wanaamua kukutesa usilale na huo si mpango wa Mungu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před 5 měsíci +1

    Upo vizuri bro tumejijenhea kuwa ukisoma basi wewe umeshinda hapo ndipo tulipokwama

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před 5 měsíci +5

    Hapo kwenye watu wanaovuna Tz halafu wanaendeleza sehemu nyingine hiyo tunatakiwa tuifikirie zaidi. Tunununue vitu kwa watu wanaowekeza zaidi Tz sio kwa wanaovuna

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 5 měsíci +1

    Kodi zaidi ya b1 kwa mwezi..! Aisee c mchezo brother ana ukwasi big up aisee 👏 👏 👏

  • @cillyajoachimchuwa7432
    @cillyajoachimchuwa7432 Před 5 měsíci +4

    Hongera saana brother. Pia umekuwa mfano wa kuigwa kwakweli

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Před 5 měsíci

    Saaaafiiiii......Kaka.Mungu akubariki.🙏🙏🙏🙏

  • @hamismhoja4526
    @hamismhoja4526 Před 5 měsíci +1

    Asante sana kwa kutupa madini haya