Video není dostupné.
Omlouváme se.
MULOKOZI: SIJAAJIRI NDUGU KABISA,WASOMI WALISHINDWA, NIKIFIKA 50 NASTAAFU,MSG ZA MAPENZI SIJIBU
Komentáře • 655
Další v pořadí
Automatické přehrávání
BILIONEA MULOKOZI AKUBALI KUSIMULIA KILICHOMTAJIRISHA "NILIANZA NA MTAJI WA MILIONI 20" - EPISODE 3Millard Ayo
zhlédnutí 331K
Kutoka UMASKINI wa kutupwa hadi kumiliki KAMPUNI kubwa ya FURNITURE, UPVC Windows, hii itakushangazaSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 85K
MILLARD AYO AFIKA KWENYE JUMBA LA BILIONEA MULOKOZI "SIO YA NDOTO ZANGU, ANAKUJA KUKAA MFANYAKAZI"Millard Ayo
zhlédnutí 471K
Wait for the BOWLING BALL! 👀Josh Horton
zhlédnutí 48M
World’s Largest Jello PoolMark Rober
zhlédnutí 111M
Inside Out 2: Test IQ Joy, Envy, Anger, Anxiety in One Line #shorts #animationAnythingAlexia
zhlédnutí 25M
EXCLUSIVE NA KISHIMBA:SIRI YA UTAJIRI WANGU/ WATOTO WAFUNDISHWE KUTAFUTA HELA/SIJAWARITHISHA WANANGUDar24 Media
zhlédnutí 107K
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIOWasafi Media
zhlédnutí 208K
Utacheka story za LEONARDO, alivyoanzisha msemo wa D mbili, kupata F hesabu, kufanya Hip Hop shuleniSimulizi Na Sauti
zhlédnutí 29K
MKASA WA KUSIKITISA DEREVA BODA ALIVYOMROGA MKEWE BAADA YA KUMSOMESHA NA PENZI KUFA ALIPOPATA KAZI.HABARI JAMII DIGITAL
zhlédnutí 43K
Salama Na Masoud KipanyaYahStoneTown
zhlédnutí 17K
EXCLUSIVE: BILIONEA WA MPUNGA, MKULIMA ALIEITWA NA BILL GATE, GARI ZA KIFAHARI, JUMBA KIWANDAMillard Ayo
zhlédnutí 374K
#PART 1: MCHUNGAJI HANANJA - ''KUZAA SIO KIGEZO CHA NDOA, NILIOA NIKIWA NA MIAKA 40'' | HARD TALKGlobal TV Online
zhlédnutí 109K
A little girl was shy at her first ballet lesson #shortsFabiosa Animated
zhlédnutí 17M
Amazing weight loss transformation !! 😱😱Tibo InShape
zhlédnutí 67M
Attack a Terezka jdou na rande… KINOAttackShorts
zhlédnutí 340K
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤Chapitosiki
zhlédnutí 20M
Megaluxus PŘÍRODNÍ ŘÍZEK 🍺 #ostravskygastrošef #heřmangazdaOstravsky Gastrošef (Heřman Gazda)
zhlédnutí 71K
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
zhlédnutí 30M
NIKDY JSEM - NEJZVRHLEJŠÍ PŘIZNÁNÍ 🥶⛔ @Lisak37 & JENYSVladaVideos
zhlédnutí 117K
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
zhlédnutí 48M
Uyu jamaa hata ukimpora mali zote abaki hana kitu atatajirika tena. Smart, wise, hardworking & God fearing 🙌🏼
Kweli huyu jamaa labda umpe uchiz ila ukimpora kila kitu baada ya mwaka jamaa anakupita tena kwa mawe 😂😂😂😂
God fearing ana piga pombe ?
@isaaclameck Kaa apo apo ukidhani wanaokunywa pombe wote hawana hofu ya mungu, nyinyi ndo wale waumini wanakufa njaa kwa kuona biashara flani flani ni za kidunia. Kaa apo apo na ufala wako
God protect u dear
Kwamba abaki na Ufala wake😂😂😂😂@@peterlujuo1640
Nimekupata na nimekuulewa Baba Mimi kipindi nimemaliza Chuo Mwaka Jana Nilipofata Kazi Hotel Watu Au Wanafunzi wenzangu Walinicheka But Sasa Hv Wananambia Niwaunganishe Asante Mungu Kwaajili Ya Kila Mtu anaweza kutuelimisha🙏
My son will be a next billionaire. Hongera sana kijana, the sky in not a limit.
Mulokozi Mungu akubariki sana
Wasomi wengi Tanzania tunachelewesha mendeleo ya nchi
Protocol nyingi kichwani lakini action mbov
This guy is so intelligent and real with life! Never seen such a perfect house in East Africa🧢 Big Up sir!
Ukiachana na mulokozi, milard ayo nae ni mtu mwenye akili sana. Mtakuja kunielewa baadae📌
Dah Mulokozi huyu mtu siyo wa kawaida fikra zake zinaenda mbali jinsi anavyoishi na watu wa Manyara ni elimu tosha kwa jamii haamini katika ushirikina kabisa mwenyezi mungu aendelee kukubariki pia hongera za dhati kwa Ayo Tv na Millard Ayo kwa kutuletea interview bora kuwahi kufanyika Tanzania tunasubiri Episode ya 5
Asee Milard Ayo wewe pia uko talented sana,huyo mwamba nimesikiliza mawazo yake sana,amejua kutenganisha elimu yake na maisha halisi,natamani nifike babati nimuone fanya mpango wa appointment mkuu
Leo nacoment kwa mara ya kwanza huyu jamaa n mtu na nusu. Hongera mulokoziiii
Lakini pia millard nakushukuru kwa hili. Unajua kututafutia watu wa kutufundisha bwana sasa apa isingekuwa hii kazi yako wewe huyu jamaa si rahisi kumfikia na kupata madini kama haya. Hongera sana kwa kazi yako nzuri
Mungu awafanikishe katika hilo la sim , mtaipatia nchi yetu Tanzania heshima na nitanunua sim yako Mulokozi nasubiri
Nimependa sana jamaa anajielewa. Maisha yake ni ushuhuda👌.
God is everything
Millard thanks bro 🙏 hizi ndo interviews za kufunza hustlers in streets, MADINi ni mengi sanaa this is all we need to hear and not motivation speakers wa manyoya hadi kuku miaaa😂💥🔥much respect to u all, Millard & Mulokoz👊🫂next episode please 😅😂
Aise huyu kaka nimempenda tena namuombea kabisa kwa Mungu alimlinde na kumuongezea hizo baraka,binafsi nimefurahi sana kuona tajiri msomi maana watu washakariri matajiri hawana elimu 😒 this is such a powerful success story aise thank you millard
Usomi wake ametumia asilimja chache sana katika kutengeneza utajiri wake...uzoefu wa kazi ndio msingi wake
Kweli kabisa
Safi sana huyu mtu mi nlikua simjui kumbe tz wapo watu wenye hela zao na wametulia tu,hongera sana bro
Na huyo ni muhaya, lkn Hana sifa kama ambavyo inachukuliwa😂😅 kwenye jamii
Siku zoteee wat wenye hela hawanaga makelele daima ipo hivo
@fotunatusimsongole7341 mwijakua ni chizi
@@michaelmulokozi1512watu wana mawe kimya kimya wametulia tu...... hawa wajinga wajinga wa town ndo wanatuletea tabu km akina makonda.
Sasa makonda anahusikaje hapo tatzo unaroho ya wivu mno
Libarikiwe tumbo la mama alie kuzaaa..wanawake msitoe mimba jaman yawezekana wanatolewa watoto kama hawa
Hata kama binadam.hatuwez kufanana kuna ataeza jambaz kahaba mweny kama huyo bas ili maisha yaende lazima tutofautiane
Ha ha ha 😂
Mungu amtunze sana huyu tajiri, huyu ni asset katika nchi yetu.
This Episode 4 kuna madini hatari. Picha linaendelea...
Dak 13 Mr Mulokozi anakuambia ana nguruwe 1'000+, farasi 20+, ngamia na nyati maji😮 doooh kama vile nauona utajiri wa king Solomon.
Dak 23 Swali unategemea kustaafu ukiwa na umri gani,,, kama umesikia vizuri farasi kaguna kagoma jamaa asistaafu mapema😂
Dak 31 Nimejifunza kuficha mafanikio ni kuwa na nidhamu ya woga... Kama kweli mafanikio ya halali basi taja ili iwe funzo kwa wengine
Dak 43 Tajiri ana hadi PA duuh
Na bado hajafikia ndoto zake...
INTERVIEW BOMBA SANA. Naisubiri Episode 5 🎉🎉🎉
😂😂👊👊
✊✊
@@millardayoTZAhuyu jamaa nampataje
@@millardayoTZABro nn maana ya PA nisaidie
Sana kaka
Basi @millardayo katika interview zako zote hii ni the best interview kwangu narudia rudia yaani!!
Ndg Mulokozi hongera kwa kazi nzuri...ni jambo jema saana ila sasa
Wahaya mrudi muwekeze Kagera imesahaulika.. umetoa ajira babati bukoba jeeeee???
Niaje Deborah
Aisee mm nimvivu ku comment lakini kwa huyu jamaa nimeshindwa kunyamaza mungu akutunze broo
Haya yametimia sana masikioni mwetu,kumbe utajiri wa haki na unaodumu uko mikononi mwa mungu ..ni wazi unastahili pongezi sana brother Mlokozi
Watanzania tumshukuru Huyu baba kufunguka watu wa level hii huwa Hawafunguki
Matajiri wengi wabinafsi.
Huyu broo sio mchoyo wa maarifa ndio maana Mungu kambariki na anazidi kubarikiwa
Kweli kabisa
Big up brother wafanyabiashara wengi hukwepa Kodi wewe umekuwa mfano 🎉
Bravo Mulokozi. Uko 100percent correct. Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nae Zanzibar. Alikuwa boss wa UNDP alihitaji kuajiri wafanyakazi,nikamuomba aniajiri Mimi akakataa na kunoomba tuendelee kunywa soda zetu. Nikashangaa. Nikamuuliza anahitaji watu wenye sifa ipi? Akanijibu anataka wale waliopata Division 4 na zero. Kwa sababu hao ana uhakika atakuwa nao muda mrefu na hawatamsumbua. Wale wa Division 1,2 na 3 hawataki kabisa maana Bado wanahamu ya kutafuta mafanikio mbele. GOD BLESS YOU.
M nilichojifunza ni mungu ndo Kila kitu katika maisha ukifanya kazi kwa bidiii na ukimtegemea mungu lazima ufanikiwe ila kuwa tajili ni kipawa ambacho si wote wanakuwa nacho
Hii interview ina nondo kuliko kukaa darasani na kusoma biashara kwa miaka mitatu. Asante sana Millard.
Mimi nimepata degree tayari.
Sure then the guy is so generous
Huyu Mulokozi yuko vizuri na kwa kweli elimu yake imeweza kumsaidia katika kutafuta fursa na pia amekuwa muwazi hii saaafi Saaanaaa!!
Huyu mwamba namemwelewa. no fake yani, ametiririka kila kitu. Barikiwa sana. Yani hadi nimepata pa kuanzia
He is so real
He is amazing, he is a gem for our nation, an example to young people
Dakika ya 34:17 asee bonge 1 la point. Ushirikina ni mojawapo ya factor muhimu mno inayoturudisha nyuma sana sisi waafrika not only kwenye ishu ya maendeleo but also kwenye hali za maisha yetu wenyewe kwa wenyewe. Salute broh kwa kulitambua hilo.
Hii interview imenitengeneza sana.. hongera sana Brother kwa hatua uliyofikia, pia nikupongeze kwa kushare mapambano yako... imenifanya niweze kufikiri zaidi.
Nashukuru sana tajiri wangu mungu akupe maisha marefu.
Tunahitaji wasomi wanyenyekevu wasio na majigambo kama Mulokozi, hukukata tamaa ulipoona partinerships zinafaili,kuna la kujifunza hapa.Pia hukuona majivuno ya kusoma nje ya nchi,umerudi na kuamua kuajiri watanzania wenzako,Mungu azidi kukuinua umepewa kipawa cha kuona mbali sana sana.Hongera mno kaka yangu ❤
Da safi sana.....HILI NENO MILAD KALIONGEA MARA ELF 6
😂Hatar
Huyu jamaa ni genius aisee
Good one Millard, hii session nimeikubali sana unlike the other one. Umejua kumkamua madini kwa ajili yetu vijana... kudos!👊🏿
Bro respect you pia Mungu amwongezee marifa zaid katika kazi zake 🙏🙏
Tumtangulize Mungu mbele, Safi Sana Braza kwa kuyatambulisha mafanikio yako katika Msingi wa Imani kwa Mungu. Pongezi pia kwa kutoa nafasi ya matoleo kwa jamii na hasa wahitaji.
Huyu jamaa ana madini - mpaka unatamani millard atengeneze episode 10. We still need to hear from this man. More episodes please Millard
Aloo am speechless, what a brilliant guy. Yes nyumba sio ya kifahari kama alivyosema but the things inside it it's dope. Imagine we look alike in business idea woow am into minerals liquor industry idea in my head, real estate and lastly pharmacistical as well . I am encouraged
Brother ni kitabu cha kujikwamua kimaisha na Ayo unajua kuhoji maswari ya kujenga bravo
Hongera sana shemeji Mungu akupe maisha marefu siku moja na wish kuwa kama wewe nimejifunza Changamoto zisinikatishe tamaa nimeanguka kipato kabisa Mungu nipe maarifa mapyaa
Nimempenda saaaana huyu Don
Simlizi zake zimenijenga sana.
Sasa Naona siwezi tena kuwa hivi Nilivyo,maana ni viiiingi nimejifunza, I have big future..
Thanks Tajiri.
Nimekuelewa kaka Mulokozi na nimepata elimu kubwa
Mulokozi hapo nmekuelewa sana yaan kwamba ukiwa unafanya kazi Kuna time unatakiwa ujipongeze ni nzuri hyo nmeipenda sana❤
Mimi nimekuelewa tofauti kidogo, haukutaka kutumia watu maarufu kutangaza biashara yako ila umeamua kutengeneza nyumba ambayo imetumika kutangaza biashara yako na umefaulu, hongera sana broo hii ndio maana ya elimu.
Uko vizuri sana unahela jalafu huna dharau watu wajifuze sana
The best Interview ever! Hongera sana brother Mulokozi na ahsante sana brother Millard!
Hongera sana Bro binafsi nimejifunza mengi nami nina ndoto za kuja kumiliki kampuni yangu , Mungu akufanikishe zaidi na moyo wa uzalendo kwenye nchi yetu, big up.
Kumiliki kampuni raisi shida kusimama kiuchumi
Asante sana kaka kwa kufunguka. Haojaongea uongo kama King msukuma. Maana watu wa biashara tunakuelewa.sana
Kikubwa hapo imani ya dini yake...sadaka anazozitoa kwa jamii pamoja na kujituma ndio kilichomfikisha hapo ...tuna la kujifunza....hongera kwake
Asante nimejifunza kitu hapa
This is a power talk na kwa watakao fatilia aliosema hapa for sure watapiga hatua ....thank you for sharing ...umezungumza njia nyingi sana za mafanikio
Uyu billionaire yupo safi saaana ni smart saaana kichwani yaaan actually ana vitu vingi saaana me nimempa maua yake nice ❤
Kwa mambo ya ukabila hapo kiukweli my hands 🙌 down and I’m proud of you, wewe ni mtanzania mzalendo na hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 tunayoitaka, Grand rising ✊🏾💯
Dahh millard huyu jamaa n genius aiseh.
Kuna mtu alikua atuuwe kabisa haki yamungu , ila hapana mungu anamipango . Hongera kaka tunajifunza mengi yani duu umetupa mwanga wa fulsa na namna hukutaka kampuni ife ukihofia kuuwa ndoto za wengi duuh. Fikiria namna matajir wengi waliishiwa na watu wakakosa ajira jaman familia zikaumia nyingi .
This interview is so waoh, the man is so wisely. Nimsjifubza mnoo. Hongera sana Mr Mlokozi. Maono na Kampuni yako vizidi kutunzwa
Hongera mwanangu, Mungu Azidi kukutangulia kwenye maono yako. Akupe Afya,Uzima,Amani na Furaha. Ayo nashukuru kwa kurusha hii habari ya kijana anaye pambana. Mbarikiwe Wote🙏🙏
KIUKWELI HUYU JAMAA NI SUPER GIFTED GENIUS
Hongera sana kwa kweli nimependezwa sana na interview Yako . Nimejifunza kitu sana kupitia wewe nafikiria fursa nyingi sana . Ni mitaji TU tunakosa lakini kumbe hata kidogo unaweza kuanza kitu na ukafika mbali
A very bright, hard working & focused young man! Mungu akuzidishie!
A sentence with a lot of adjectives! Thanks 🎉
Kaka shikamoo naomba sana sana nisaidie mtaji kaka nipo dar Sina kazi nilikua naendesha kirikuu nimenyanganywa nisaidie mkuu nipate kirikuu mkuu mungu akupe nguvu.
Muombe Mungu kwanza aliye mmiliki ww na yeye utapata tu
Kwer
Hongera sana broo
HONGERAA SAAANA KAKA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA NA KUKUWEKA. BIG UP MILARD BILA WW TUSINGEMJUA BWANA MULOKOZI. PIA NAMUOMBA KAMA ANA HOSP KWAAJILI YA STAFU NAOMBA KAZI HAPO MM NI MUUGUZI MSTAFU WA MWAKA JANA NAOMBA KAZI HAPO
Hongera sana umetuheshimisha Babati. Nimejifunza jambo kubwa sana. Mungu aendelee kukuinua na usiache kumuamini na kumtegemea Jirani
Fundisho nzuri sana Mulokozi, kitu nimependa jamaa cyo mtu wa kujiinua yaani yuko kama mtu wa kawaida, huyu mtu ataenda mbali sana, Mungu akulinde akutunze somo nzuri sana, Manyara tuna mtu.
Mimi kuanzia Leo Mr. Mulokozi ni role model wangu, nawish kumsikiliza Kila wakati, Asante sana Millard kwa kutuletea mtu muhimu na muwazi kama huyu ambaye amefanikiwa kwa njia ya kawaida sana ambavyo hata sisi wengine tukiamua tunaweza, kwa mfano nafkiria ameanza kiwanda nikiwa hapa ninapofanya kazi Hadi sasa, umaskini unaendelea kushamiri lakini yeye ameshafika mbali sana kimaendeleo. Ukifkiria hicho kiasi alichoanza nacho kiwanda sio kikubwa sana, so anani inspire sana kuanza Cha kwangu mwenyewe haijalishi ni kwa Hali ya chini kiasi gani, japo sijui pa Kuanzia, Mungu anisaidie! Hongera sana Kaka, Mtanzania mwenzetu🎉🎉🎉
KICHWA ! Ahsante sana / yaaani MADINI TUPU
Anajieleza vizuri sana, na anajibu maswali kwa ufasaha, maelezo yamenyooka, mifano hai na mengineyo. Mahojiano hayachoshi kabisa. Na kujifunza mtu unajifunza. Hongera millard hongera na kwa mulokozi piaa.
Exactly. Huyu anavyojieleza, unajua kabisa utajiri mbali ya mali, ni akili yake.
Chenye anasema jamaa ni pure true.. Alhamdulillah mm sima elimu ya veterinary lkn kuna veterinary doctor kwa kampuni yetu na inabidi mm nimpe elimu kulingana na experience Niko nayo cha ajabu anatumia elimu hio hio anakuja ku impliment kwangu ni kana kwamba yy ndo alkua anajua na hajui chochote na ametokq shule😂😂.. experience is more better than izo documents
Ndiyo faida ya elimu hiyo...!!!
Asanteh sana yapo mengi nimejifunza (God bless you)
Daa hongera sana Kaka millard naomba niombee kazi ndugu nipo mbeya aniajiri ktk kiwanda Cha iwambi _ mbeya.
Haya madini ni aghalabu kuyapata duniani,,,,Big up Mulokozi
I have listened to the whole interview... It's superb
Mmh uyu jamaa hakwenda japan na uingereza kuzurura tu ni mtu aliyeenda kutafuta maarifa kwa ajili ya taifa letu. Na ni mtu wa kujali . Ubarikiwe sana Boss
Noma Sanaaa,Kali sanaaa 🔥🔥🔥🔥🔥 Nazipenda sana hizi Interview za namna hii...
Hapo kwenye nguruwe kasema kweli aisee Kama MTU unamtaji na hujui chakufanya plz anza na nguruwe utakuja nishukuru nakama huna utalamu wowte juu ya huo mradi tafadhali ntakusaidieni kuwaelekez hata japo kidogo 👍
Toa namba zako
Laoiyadi tunaomba maelekezo
@@estherlufingo7299 tuma no yako nikucheki
Upo vizuri. Hasa kumtegemea Mungu D Mulokozi
Thanks mulokozi we hv learnt alot , im watching from New zealand
Salute! Salute! Salute! Am just speechless
Yaani kaka uko vizuri, umeongea madini tupu barikiwa sana kaka.. barikiwa Milard
Kuna kitu nimejifunza kwako bwana mulokoz, shukrani mirad
Itoshe kusema....every successfull point is measured by point of creation and point of implimenting....bilionea mulokozi nakubali umeweza kutujenga vijana juu ya kupambania ndoto zetu na kuamini mipango binafsi iliyobebwa na tafsiri kuu ya kuamini unachokipambania....kongole millard Ayo for the best interview ever here is 2024 ❤❤❤❤❤🎉
Yup perfect sana ni muwez
Hii nzuri Sana. Mfano ujeruman huwa wanachukua watu ambao hawajaenda chip kisha wanawafundisha hicho pia kinasaidia hata kuwa na wafanyakazi wa kudumu muda mrefu hata biashara inaenda na kukua kwa muda mrefu kuliko wasomi
....hongera sn kaka mulokozi,kwa yote uyafanyayo,karibu sn mbeya au Green City kama ulivyosema,cku c nyng! Bnafsi nakusubiria haasa kwny project yako,utakayoianza.b blecd.
Hongera sana kaka.pombe unazotengeneza ni tofauti na zile vijana wanazotumia zikawamaliza afya .yaani hawawezi kufanya kazi yoyote wamekuwa kama.mazombi.ni.moja.ya hizo au hizo zinazalishwa wapi.
You are very inspiring. Sio wanaoinspire watu hawana hata kibanda cha kuuza nyanya. Asante sana.
MashaAllah 🙏🙏hongera sana boss.
Mwenyezi Mungu endelea kutuinua na sisi🙏🙏
Jameni asante sana kwa haya kwa pamoja na shukuru sana kwa mwandishi wa habari pamoja na mhojiwa
Mwenyezi Mungu azidi kukutunza kwa sababu huna ubinafsi unafikiria sana nchi yako. Ni wachache sana wenye Moyo huo. Mungu akubariki sana.
Daah huyu baba ana akili kutoka Kwa mungu Yuko smati kichwani Tanzania tungepeta watu smart kama huyu kaka Kila mkoa nchi ingekuwa mbali sana mungu akulinde hongera sana mungu Aendelee kukueshimisha
Saaaf saaana kaka ,nimepata mambo meng saana kwako
Uko vizuri sana maelezo yako ni ya baraka sana mulokozi
Aisee nmejifunza vingi kupitia huyu jamaa, asante Millard kwa interview nzuri
Hongera kwa kazi nzuri kuhusu usingizi Sali sana wenzio wanaamua kukutesa usilale na huo si mpango wa Mungu
Upo vizuri bro tumejijenhea kuwa ukisoma basi wewe umeshinda hapo ndipo tulipokwama
Hapo kwenye watu wanaovuna Tz halafu wanaendeleza sehemu nyingine hiyo tunatakiwa tuifikirie zaidi. Tunununue vitu kwa watu wanaowekeza zaidi Tz sio kwa wanaovuna
Kodi zaidi ya b1 kwa mwezi..! Aisee c mchezo brother ana ukwasi big up aisee 👏 👏 👏
Hongera saana brother. Pia umekuwa mfano wa kuigwa kwakweli
Saaaafiiiii......Kaka.Mungu akubariki.🙏🙏🙏🙏
Asante sana kwa kutupa madini haya