Mzee uko sawa unawapunguzia familia mzigo, Cha maana zaidi ni wokovu Yesu ndie njia kweli na uzima, Pia umsii sana Mungu safari yako yamwisho isiwe ya taabu, Ajali ya ndege, meli, miili ukosekana, kama huna mausiano mazuri na mtoaroho iyo yote nikazi bure.
Hiyo kwako na hayo maneno kwake ni dalili ya uoga kama unaogopa kufa huna haja ya kusali Kwa kuwa tunasali ili mwisho mwema utukute popote pale Sasa mbona yeye yupo sahihi au nyie Ndiyo hamumuelewi?😊
Yupo vizuri sana yaani na hatuwezi kumuelewa kwa kuwa wengi tumeweka kifo kama ni kitu cha bahati mbaya siyo kitu cha lazima kutokea huyu anajua maana ya maisha na mwisho wa maisha!kiuhalisia historia iandike kwa mkono wako waachie watakaobaki siyo wao wadanganye historia yako ya maisha na mwisho wako
Hongera baba duniani kuna sherehe 3 .kuzaliwa kuoa nakufariki sherehe ya mwisho ndoyakufa unaweza usifanyiwe vizuri kwasababu unakuwa huelewi chochote .maua yako mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
KUMBUKA kutubu NI HAPA DUNIANI baada yakifo HUKUMU Ile sala ya mweke pema peponi haitakusaidia siku hiyo utatamani kumpga huyo anayedanganya watu Kwa kumwambia MUNGU akuweke pema peponi hutaweza! Mpe BWANA YESU KRISTO maisha yako sasa
Uyu jamaa alikuwa noma Sanaa Kwa majambaz Arusha maana Arusha kaacha jina lake maana alifanya had kina malebo walikimbilia Kenya ... alikuwa afanyi utan na jambaz
Binafsi ninakosa cha kusema ,ila nahisi atakuja kufia mahala ambapo hata mwili wake hautaonekana,mfano atafia kwenye ndge ama meli, au hata kuungua moto na Wala majivu wasiyaone ,kifo hakija wahi kuwa na formula kuwa labda atafariki akiwa na mwili wa kuzikwa nao kama huo alio nao! Naongana na wale walio shauri akawekeze Kwa watu wenye uhitaji huko ndo kusogeza Mahusiano na Mungu,lakini pia upande wa pili tunamshukuru anajitahidi kupunguza gharama baada ya kufariki kutoka Kwa ndgu na marafiki
Ongeza ibada, toa zaka na sadaka;kiufupi uwe karibu zaidi muumba wako. Maandalizi yako ni mbwembwe za dunia,zaidi sana fanya toba, saidia yatima,wagonjwa na maskini wengine kwenye jamii.
Nadhani mpka amefikia kujiandalia hayo maandalizi ni wazi ameshayajua hayo yote na kuyafanya na anaendelea kuyafanya ndo mana hana tamaa na maisha ya duniani hadi hapo Nadhani umeshaelewa😂😂
Saba SITA ,Mr Kimaro nimefurahi kukuonya kwenye shot vidio hii,nakufahamu na nimtu unakibali Sana kwa watu pia kutokana na historia yako Arusha ya kuchapa kazi vizuri na kujitoa kwa dhati nk,ushauri wangu kwako ,Okoka ndugu yangu kwani bila wokovu wa YESU KRISTO ni kazi Bure na kuishi hakutakua na faida binafsi endapo hutaingia ufalme wa Mungu ,elewa kua Dini sio njia ya uzima Wala njia ya Mbinguni bali YESU ndio njia ya kweli na uzima wa Milele,,lazima kutubu juu ya wewe binafsi na mambo ulioyafanya kwa amri au kwa kubidi yote hayo yana hukumumu mbele za MUNGU pasipo kujalisha sababu ,soma Yohana 3:16 na Yohana 1 12-13, wagalatia 5 16-21
@@user-ub3xh7ug6c😂😂😂af ni mambo ya ajabu sana anamwitaje mwenzie kafir ujue neno hili ni gum hata kutamka anausafi gan ana hakika gan kama yeye atafika mbinguni😮😮
uku ni kumkufulu mungu kakupa uhai uishi wew unaisogeza Hali ya umauti kando yako , unajuaje labda utatwaliwa bila jeneza ,, ila asilimia kubwa ya awa watu Huwa wanakuwa ni watu wa secret societies or occultic groups members
Huyu mzee ameshagundua kitu katika familia yake ndio mana ameona mbali sana kuandaaa safari yake mapemaaaa sanaaaaa asizikwe kishidaaaa shidaaaaaaa nimependa sana ni vyema mtu kujiandaa mapema sanaa nikutokuwa na uwezo tu😢😢😢😢
Jamani sabasita mwamini BwanaYesuKristo awe BWANA na MWOKOZI WA maisha yako ndugu yangu hili li mwili la nyama halitaenda Mbinguni wala Jehanum litairudia ardhi maana NI la udongo lkn Yuko ndani sabasita ambaye ndiye ataenda Mbinguni au Jehanum! Hayo unayoyafanya yatakutupa Kuzimu kwenye Moto MAFUNZA yenye meno UTAJILAUMU MILELE
Nakumbuka ujinga wa watu wapumbavu walioandaa siraha nyingi sana za kupambana na binadamu kumbe Mungu alitaka wasiishi hata mwaka. Watu uwa wanaangaika kuwaza kufa badala uo muda wangeutumia kueneza injili. Izo eka hazina maana yeyote ile kwani kuna watu ungewasaidia kuwapeleka kusoma thiology. Kwa kweli sisi ngozi nyeusi tunashida sana kufikiria. Watu uwa tunaandaa mioyo na mahusiano na Mungu kwa ghalama kubwa na si vinginevyo. Mkristo hana njia yake ya mafundisho bali tunajifunza kutoka kwa Yesu. Ivi yesu alivyokuwa na thamani angeandaa jeneza la namna gani kwa vito vya thamani. Tunashida sana sisi wanadamu Mungu Tusaidie ktk jina la Yesu.
Kajiandalia mii sioni shida maana ata waislamu wanruhusiwa kununua sanda ww sema ss hatuna garama sanda elfu 20 unasafirishwa inshaallah Allah amuongoze na imani yake
Jambo moja huyu mzee hajui. Kwamba kifo ni siri ya mungu. Hatujui kwamba wengine ufa maji na mahiti zao upotea? Wengine uungua moto, wegine upotea tu bila kuwaona, wengine wanaliwa na wanyama. Mahiti hazipatikani.
Angeweka hadi hammer na viti na chakula kila kitu ikuwe tayari mambo zingine nikama movie sasa atawekwa kwa stima hiyo kaburi yake mwili yake inakauchwo
Sasa niulize hivi ukifa mungu anaenda kuangalia jeneza na kabur😂😂😂tengeza amali uchukue kw bwana mungu wako sio jeneza na kabiri hivyo vinaenda kuliwa mchwa utabaki na amali yako😢😢😢😢😢
Mm unanifahamu NI mama commissioner Kigondo marehemu tumekuwa nawe ukiwa kijana shupavu na ndiko lilikotokea Hilo jina sabasita,,, Hebu Acha huo upuuzi uza Mali zako ukawape maskini Kisha mfuate BwanaYesuKristo Akupatie Uzima wa Milele
Hiii ni kwamba inaonyesha ameishi vibaya na watu anaogopa hawatamzika vizuri. Mi nashauri atoe na pesa za kuwalisha waombolezaji na wazikaji wajue kabisa mapena 😂😂😂
Jenaza si kitu unawafurahisha watu je moyo wako uko wapi Mungu adhiakiwi na uo ni uaribifu wa fetha eri ungetoa sadaka kwa yatima na ombaomba kuliko kujitolea sadaka mwenyewe na angari unavyo
HUYO MZEE HANA SHIDA,YUKO SAHIHI 200%, NYIE MSIOMUELEWA NDO MNA CHANGAMOTO MKASONGE UGALI 🙏
👏👏👏🙌
Ni Sawa na vizuri kuishi had kupata nafasi ya kujifanyia maandalizi
😊😊bl
Hata ulipambe vipi kaburi au jeneza mungu haangalii hivyo ila amali yk njema ndo itakua msaada mbele ya mungu
Safiii sanaaa
Sadaqta 💯
Kweli kabisa
kwani amekuambia kuwa akipamba ndo ataingia mbinguni yawezekan akaingia wewe ukabaki
We mwnyw usikute huna amali😂
Kazi nzuri anafanya mtengenezaji Genesa hiyo ni bei nafuu kwa Wananchi hongera Mzee wetu Mungu akubariki akulinde pamoja na Afya njema asante
Afya njema ya nn ? Unaponunuwa gari unahitaji kuilijaribu afe kwanza tuone
Mzee uko sawa unawapunguzia familia mzigo,
Cha maana zaidi ni wokovu Yesu ndie njia kweli na uzima,
Pia umsii sana Mungu safari yako yamwisho isiwe ya taabu,
Ajali ya ndege, meli, miili ukosekana, kama huna mausiano mazuri na mtoaroho iyo yote nikazi bure.
mandalizi mema mzee kaka mungu akusaidie usiliwe na mamba uje uingie kwenye nyumba yako nzuri ✌🤣
Hiyo Kali sasa wanaopata mauti ktk anga na kuwa majivu,au ktk maji cjui wataandaa wapi.
Huyo mzee ameamua kujiandalia nyumba bora ya maisha yake,
Pia ameamua kupunguza shida wakati wa maandalizi ya mazishi yake!..
Mungu ampe mwisho mwema
Aminaaaa
Mnhhhhh! Mzee amekata tamaa ya kuishi atashangaa ataishi muda mrefu Hadi Hilo jeneza liharibike lenyewe
Huna haja ya kuogopa kifo bali huwe tayari na ujiandae ukijia mda wowote unaaondoka...safi sana mzee sabasita
Ubarikiwe sana
Hata mim sioni ubaya mana kila nafs itaonja umauti kwaio ni Bora mtu ajiandalie
Shid dini zetu zimetutia hofu
Ndio kufa kupo sasa kwanini tuogope cha msingi nikujiandaa tu
Sahihi kabisaaaa mkuu
Mungu akupe umri mrefu usife mapema ufikie uzee wenye mateso na dhiki na shida upate uchungu na ujutie pesa ulizo zitumia vibaya.. (amin🤲)
Amina kbx
Hiyo kwako na hayo maneno kwake ni dalili ya uoga kama unaogopa kufa huna haja ya kusali Kwa kuwa tunasali ili mwisho mwema utukute popote pale Sasa mbona yeye yupo sahihi au nyie Ndiyo hamumuelewi?😊
Yupo vizuri sana yaani na hatuwezi kumuelewa kwa kuwa wengi tumeweka kifo kama ni kitu cha bahati mbaya siyo kitu cha lazima kutokea huyu anajua maana ya maisha na mwisho wa maisha!kiuhalisia historia iandike kwa mkono wako waachie watakaobaki siyo wao wadanganye historia yako ya maisha na mwisho wako
Waoo WangaTv CZcams channel will be life interview Atwoli cotu president of Kenya
Kifo ni Baraka kama umeishi maisha yako vizuri 100% na kwa kumpendeza mungu
MIAKA 70 ikiongezeka hapo ni neema tu ya mwenyezi Mungu
Wote tutakufa mzee umefanya vyema 👏
Hongera baba duniani kuna sherehe 3 .kuzaliwa kuoa nakufariki sherehe ya mwisho ndoyakufa unaweza usifanyiwe vizuri kwasababu unakuwa huelewi chochote .maua yako mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
SIO SHERE SIKU KUUBWA TATU
KUMBUKA kutubu NI HAPA DUNIANI baada yakifo HUKUMU Ile sala ya mweke pema peponi haitakusaidia siku hiyo utatamani kumpga huyo anayedanganya watu Kwa kumwambia MUNGU akuweke pema peponi hutaweza! Mpe BWANA YESU KRISTO maisha yako sasa
Hajakosea kabisa baba yatu Yuko sahihi mungu ampe umuri mrefu amina
Yuko sawa ndg wanawaza Mchele na matent na viti maana kila kitu kipo tayari
Safi Sana nimeipenda iyo waoga wapite kule
Mnao sapoti niwareware makafiri watupu je yesu ariwekwa kwenye jeneza au haya mambo mumeyato wapi au kuiga washamba nyie
Sasa Akifa Mwili usionekane itakueje maana kuliwa na Mnyama ipo kupotea tu ipo ila siyo mbaya hakuna ajuae Mwisho wake Hongera Mzee Kazi Nzuri ❤❤
Watazika mgomba 😂😂😂
Hongera saan kwa utayariii huuu...
Mungu ajalie mwisho mwema hongera kwa sherehe yako ya mwisho huu ni ushindi wa utayari.
Mwenye hekima hawez yafanya hayo..
Uyu jamaa alikuwa noma Sanaa Kwa majambaz Arusha maana Arusha kaacha jina lake maana alifanya had kina malebo walikimbilia Kenya ... alikuwa afanyi utan na jambaz
Nipe hongera sana marehemu mtarajiwa kwa kulibeba jeneza lake mwenyewe kabla ajafa
😄😄😄😄
Ata ww ni marehemu mtarajiwa tu
Yaaani ni bonge la. Bahati
Akifa baada ya miaka 20 Hilo jeneza s linakuwa outdated , kunakuwa na design zingine nzuri Zaid
Kikubwa maiti inakaa tu
Duuuuuuuuu sawa mzeee
Binafsi ninakosa cha kusema ,ila nahisi atakuja kufia mahala ambapo hata mwili wake hautaonekana,mfano atafia kwenye ndge ama meli, au hata kuungua moto na Wala majivu wasiyaone ,kifo hakija wahi kuwa na formula kuwa labda atafariki akiwa na mwili wa kuzikwa nao kama huo alio nao! Naongana na wale walio shauri akawekeze Kwa watu wenye uhitaji huko ndo kusogeza Mahusiano na Mungu,lakini pia upande wa pili tunamshukuru anajitahidi kupunguza gharama baada ya kufariki kutoka Kwa ndgu na marafiki
Thanks for the like I have got
Mzee yupo tayari. Amewapunguzia kazi watoto wake. Sio shida. Nafikiri ndio tunakoenda siku za mbele.
Hongera babu
Sema mzee nimekuelewa umetafuta pesa jiandalie ukiwa hai unataka uzikwaje
Ongeza ibada, toa zaka na sadaka;kiufupi uwe karibu zaidi muumba wako. Maandalizi yako ni mbwembwe za dunia,zaidi sana fanya toba, saidia yatima,wagonjwa na maskini wengine kwenye jamii.
Sahihi kbsa
Utajuaje kama hatimizi uyasemayo?
Nadhani mpka amefikia kujiandalia hayo maandalizi ni wazi ameshayajua hayo yote na kuyafanya na anaendelea kuyafanya ndo mana hana tamaa na maisha ya duniani hadi hapo Nadhani umeshaelewa😂😂
Mukumbuke kuwa Anayofanya si ktk mafundisho
@@anwaryabdallah7782 kaburi huitwa nyumban ya milele kama unaouwezo wa kujenga ruksa kama huna uwezo nyamaza ujengewe
Mzee amepunguza ghalama kwenye msiba kabuli na jeneza akumbuke pia kujenga makanisa hata mawili huko vijijini Mungu atambaliki sana
Kila heri mzee wetu
Mmh ujasiri huo me sina tuombe mwisho mwema to kwa Allah 🙏
Mungu alivyo wa ajabu huyu mzee anaweza kusihi mpaka hilo jeneza atagawa.
😂😂
😂😂😂😂😂 hata kama mama yake mzazi yupo basi mama mzazi ndo ataondo nalo
😂😂😂😂
Halisakha... Daa
mzee 👍
Safi sana. Hakuna mwanafamilia mwingine ambaye naye anaitaji makazi mazuri msaidiane? Maana hiyo gharama !
yupo sahihi 100%
Hongera sana
Asisahau na manemane ila Kwa ushauri mzuri asumbukie Roho yake maana kaburi haliendi na Wala jeneza haliendi. Mtafute Yesu !
kwani kasema hana Yesu
Kweli ww jasiri
Bora ugeuze chumba Cha ibada,mafungo na maombezi tu
Saba SITA ,Mr Kimaro nimefurahi kukuonya kwenye shot vidio hii,nakufahamu na nimtu unakibali Sana kwa watu pia kutokana na historia yako Arusha ya kuchapa kazi vizuri na kujitoa kwa dhati nk,ushauri wangu kwako ,Okoka ndugu yangu kwani bila wokovu wa YESU KRISTO ni kazi Bure na kuishi hakutakua na faida binafsi endapo hutaingia ufalme wa Mungu ,elewa kua Dini sio njia ya uzima Wala njia ya Mbinguni bali YESU ndio njia ya kweli na uzima wa Milele,,lazima kutubu juu ya wewe binafsi na mambo ulioyafanya kwa amri au kwa kubidi yote hayo yana hukumumu mbele za MUNGU pasipo kujalisha sababu ,soma Yohana 3:16 na Yohana 1 12-13, wagalatia 5 16-21
Sawa na mim niko bize apa kuchagua 😂😂😂
Hii kitu aijakaa sawa mzee mwombe mungu yeye ndie ajuae saa nawakati
Hiyo akiba yaani hapo hata akiomba bipi lazima afe tu maana ni ahadi
Ni kweli anaweza andaa lakn akafikia kwenye kifo hata maiti isipatikane labda kwenye maji
Watu kama hawa hawafagi mapema kwa sababu wamesha jiandaa vizuri kimani ukiwa mtu wa imani sana kuogopa kifo sio rahisi
Ukafiri nimzigo sana mwenyezi mungu ametukataza mambo haya
Yap.. mbn waislam.. wanalusiw kununua sand akaifaiz... Shid mnazikurupukia amzijui.. dini.. someni mandiko na myaelew kiundan na mumche mung roh na kweer
@@user-ub3xh7ug6c😂😂😂af ni mambo ya ajabu sana anamwitaje mwenzie kafir ujue neno hili ni gum hata kutamka anausafi gan ana hakika gan kama yeye atafika mbinguni😮😮
Shida iko wapi au unawashwa,kapakatwe na babaako huko.
Amekataza wapi iv kabili la yesu lilikuwepo au waliandaa baada ya kufa ko msikalili bhana acha afanye kimfaacho
@@vincentcharles4385 kama mnamfata yesu kweri yeye arifanya hayo mkundu wa mama ako unafirwa na baba ako nasikia baba ako arifirwa utotoni fara we
uku ni kumkufulu mungu kakupa uhai uishi wew unaisogeza Hali ya umauti kando yako , unajuaje labda utatwaliwa bila jeneza ,, ila asilimia kubwa ya awa watu Huwa wanakuwa ni watu wa secret societies or occultic groups members
Acha uoga ndugu, utakufa tu
Jamani huyu baba ni jasiri mno
Umeshajua utakufa kifo cha Aina gani😊
Yuko sahihi maana hata sisi Muslims tunatakiwa ndani tusikose sanda
Bora unaeelewa kuna vichaa humu ndani hawaelewi Hilo
Superintendent Police 🔥🔥🔥
Huyu mzee ameshagundua kitu katika familia yake ndio mana ameona mbali sana kuandaaa safari yake mapemaaaa sanaaaaa asizikwe kishidaaaa shidaaaaaaa nimependa sana ni vyema mtu kujiandaa mapema sanaa nikutokuwa na uwezo tu😢😢😢😢
AMPE YESU MAISHA KABISA,YOHANA 3:26-17.
Ameshampa Ndiyo maana anauhitaji mwisho wenye maandalizi
@@mitaocamilliusthegreatest9068 Amen.
We Mzee umechanganyikiwa Nini,mtoto mrembo Kama tunda anichongee jeneza ,hawezi hata kidogo hichi kitabaki kuwa chumba tu
Ningefurahi kama ningeona mandalizi ya chakula pia pamoja na watao mzika
Cna Cha kusema..
Baba tunda anajua hakuna haja ya kusumbua wanaobaki anajiandaa maana kifo ni sehemu ya mwanadamu.
MBONA HUJASEMA SUTI YA MILIONI NGAPI SAA YA MILIONI NGAPI VIATU VYA MILIONI NGAPI TUJE TUKUVUWE 😂😂😂😂
M.MUNGU hatanguliwi . Unaeza ufie kwenye ajali ya ndege isibaki hata kucha.
Jamani sabasita mwamini BwanaYesuKristo awe BWANA na MWOKOZI WA maisha yako ndugu yangu hili li mwili la nyama halitaenda Mbinguni wala Jehanum litairudia ardhi maana NI la udongo lkn Yuko ndani sabasita ambaye ndiye ataenda Mbinguni au Jehanum! Hayo unayoyafanya yatakutupa Kuzimu kwenye Moto MAFUNZA yenye meno UTAJILAUMU MILELE
hongera sana baba kifo ni njia ya yeyote mungu akupe mwisho mwema
Nakumbuka ujinga wa watu wapumbavu walioandaa siraha nyingi sana za kupambana na binadamu kumbe Mungu alitaka wasiishi hata mwaka.
Watu uwa wanaangaika kuwaza kufa badala uo muda wangeutumia kueneza injili.
Izo eka hazina maana yeyote ile kwani kuna watu ungewasaidia kuwapeleka kusoma thiology.
Kwa kweli sisi ngozi nyeusi tunashida sana kufikiria.
Watu uwa tunaandaa mioyo na mahusiano na Mungu kwa ghalama kubwa na si vinginevyo.
Mkristo hana njia yake ya mafundisho bali tunajifunza kutoka kwa Yesu.
Ivi yesu alivyokuwa na thamani angeandaa jeneza la namna gani kwa vito vya thamani.
Tunashida sana sisi wanadamu Mungu Tusaidie ktk jina la Yesu.
Kajiandalia mii sioni shida maana ata waislamu wanruhusiwa kununua sanda ww sema ss hatuna garama sanda elfu 20 unasafirishwa inshaallah Allah amuongoze na imani yake
Wewe ndio unashinda kwasbbu hujui ulisemalo, maneno yako hayana maana wala point yyte uliozungumza
Nakung mkon ajui akisemacho kakalilishwa cy mmoj huy@@IdarousPossy
Wewe ni mshamba kifo kipo tu hakikwepeki na hii ndo sherehe ya mwisho ya mwanadamu kwahiyo sio mbaya mtu kijiandalia mazingira apendayo
Anaangalia siku yake y mwisho jeneza linavyoingia akitoka hospital
Maandalizi ya kifo chema ni kuishi maisha Matakatifu tuu, na si vinginevyo.
Omba Mungu mzee Kimaro (sabasita) je ukipotelea baharini itakuwaje hilo kaburi na sanduku?
Yuko sahihi, Yesu aliwekwa kwenye kaburi la yusuph. Ambalo halikuwa limeandaliwa kwa Yesu
Jambo moja huyu mzee hajui. Kwamba kifo ni siri ya mungu. Hatujui kwamba wengine ufa maji na mahiti zao upotea? Wengine uungua moto, wegine upotea tu bila kuwaona, wengine wanaliwa na wanyama. Mahiti hazipatikani.
Kwahiyo kaburi na jeneza tayari,kilichobaki🙌🏻🙌🏻🙌🏻
😂😂 anamsubir mzee baba..tumuombee tu mwisho mwema asiliwe na wanyama na asifie baharini maiti ikakosa kuonekana
Kufa
Israel mtoa roho tu amalize kazi yake 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Safii mwamba
Daah nakubal
Namfahamu vizuri maana aliniwinda sana
Yuko vizuri na haf leo wala kesho ukute anajiadaa ma kiroho pia kwan mi mwenyewe nataman nijue wap nitazikwa maana kufa kupo hata tukiogopa ..
😮
Hapna aise mm siwezi japo kifo sio chakuogopa
Mmh hii ndio Dunia mie hata nisipo xikwa nifresh tu roho yangu ndio inahitaji maandalixi sio jeneza wala kaburi .
Angeweka hadi hammer na viti na chakula kila kitu ikuwe tayari mambo zingine nikama movie sasa atawekwa kwa stima hiyo kaburi yake mwili yake inakauchwo
Hata mungu asema ujiandae na umauti ukiwa umeandaa jeneza pia sanda na kaburi kama unauwezo mungu akupe imani hiyo
kujianda na mauti siyo ivi 😂 ,maanake ni kujitakasa, kutubu na kuwa tayari mda wote ishi kila kana kwamba ni siku yako ya mwisho chini ya jua
@@adriandanford208mbona waislamu huwa wanajiandalia sanda kabla hajafa? Kuna tofauti gani na Hilo jeneza?
Hata mbao ispoharika Kwani ND naww hutooza we mzee wa ovyo kweli
Hataki kuliwa na panya wa makabulini😂😂
Likikutana na mchwaa utajua ujuii
Kasi nsuri ila mm nigeshauri hizo milioni kumi na tatu, agepauwa hyo nyumba yake na bati LA maana ( mzaus)
Ulaya ni jambo la kawaida tunashangaa Sisi waafrica .
.ulaya yapo makaburi mengi wameshajitengenezea
Dunia ina mambo...hadi yesu aludi mengi yatatokea zaidi ya hili
Kuandaa makazi nijambo jema kawsababu mungu alisema Kila kilicho hai kitaonja maut kahiyo kifo hakikeepeki mda wwte saa yoyote
Sema tunda ndio maana anadrama😂😂
Hakuna kibaya hapo coz itamfanya afanye mambo yampendezayo mungu akijua mda nasaa atakufa.
Sasa niulize hivi ukifa mungu anaenda kuangalia jeneza na kabur😂😂😂tengeza amali uchukue kw bwana mungu wako sio jeneza na kabiri hivyo vinaenda kuliwa mchwa utabaki na amali yako😢😢😢😢😢
Mm unanifahamu NI mama commissioner Kigondo marehemu tumekuwa nawe ukiwa kijana shupavu na ndiko lilikotokea Hilo jina sabasita,,, Hebu Acha huo upuuzi uza Mali zako ukawape maskini Kisha mfuate BwanaYesuKristo Akupatie Uzima wa Milele
Kunawatu wanalala jaa badala kubiga tafu mnategeneza makaburi milioni12
😮😮😮 sikatai njia hiyakila mtu.ila huyu.mmmmh
Hiii ni kwamba inaonyesha ameishi vibaya na watu anaogopa hawatamzika vizuri. Mi nashauri atoe na pesa za kuwalisha waombolezaji na wazikaji wajue kabisa mapena 😂😂😂
huyu atakuja kufa kifo kibaya sana unamtania mungu
Yuko sahihi njia pekee ya kuludi tuliko toka ni kifo pekee
Mzee wee ni mpumbavu sana, ivi unajua utaish mpaka ln
Hajui ataishi mpaka lini ndio maana ameandaa mapema
Huyo alikuwa mafia na mkuu wa majambazi ,kaua watu wafanyabiashara wengi na kunyang'anya Mali za aliodhulum uhai wao
Wallah 😂 akili zingine sijui mnazitoa wapi duuh
Hasa Mungu alivyokua hajaribuwi unajenga jeneza na kaburi mwisho wa siku unakufa BAHARINI UNALIWA NA SAMAKI 😂😂😂
Huyo mzee mpumbavu hizo ml10 angeenda kuzitoa kwa watoto yatima ingekuaje kuma kwer
Amejiandalia maisha yake ya milele ambao wote tutakwenda uko
Huyu ni muoga wa kifo😅😅
Huyu kamanda noma. Kaisafisha. Moro kipindi chake
Jenaza si kitu unawafurahisha watu je moyo wako uko wapi Mungu adhiakiwi na uo ni uaribifu wa fetha eri ungetoa sadaka kwa yatima na ombaomba kuliko kujitolea sadaka mwenyewe na angari unavyo