EXCLUSIVE ASKARI SABASITA ANUNUA JENEZA LA MIL 3 KABURI LA MIL 10 "SIOGOPI KUFA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 03. 2024

Komentáře • 368

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 5 měsíci +24

    HUYO MZEE HANA SHIDA,YUKO SAHIHI 200%, NYIE MSIOMUELEWA NDO MNA CHANGAMOTO MKASONGE UGALI 🙏

  • @aminakatibaomar131
    @aminakatibaomar131 Před 5 měsíci +22

    Hata ulipambe vipi kaburi au jeneza mungu haangalii hivyo ila amali yk njema ndo itakua msaada mbele ya mungu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 5 měsíci +1

    Kazi nzuri anafanya mtengenezaji Genesa hiyo ni bei nafuu kwa Wananchi hongera Mzee wetu Mungu akubariki akulinde pamoja na Afya njema asante

    • @ahmadamohamed1907
      @ahmadamohamed1907 Před 5 měsíci +1

      Afya njema ya nn ? Unaponunuwa gari unahitaji kuilijaribu afe kwanza tuone

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před 5 měsíci +7

    Mzee uko sawa unawapunguzia familia mzigo,
    Cha maana zaidi ni wokovu Yesu ndie njia kweli na uzima,
    Pia umsii sana Mungu safari yako yamwisho isiwe ya taabu,
    Ajali ya ndege, meli, miili ukosekana, kama huna mausiano mazuri na mtoaroho iyo yote nikazi bure.

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc Před 5 měsíci +6

    mandalizi mema mzee kaka mungu akusaidie usiliwe na mamba uje uingie kwenye nyumba yako nzuri ✌🤣

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před 5 měsíci

      Hiyo Kali sasa wanaopata mauti ktk anga na kuwa majivu,au ktk maji cjui wataandaa wapi.

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Před 5 měsíci +10

    Huyo mzee ameamua kujiandalia nyumba bora ya maisha yake,
    Pia ameamua kupunguza shida wakati wa maandalizi ya mazishi yake!..
    Mungu ampe mwisho mwema

  • @Judith892
    @Judith892 Před 5 měsíci +3

    Mnhhhhh! Mzee amekata tamaa ya kuishi atashangaa ataishi muda mrefu Hadi Hilo jeneza liharibike lenyewe

  • @-magicstory
    @-magicstory Před 5 měsíci +14

    Huna haja ya kuogopa kifo bali huwe tayari na ujiandae ukijia mda wowote unaaondoka...safi sana mzee sabasita

  • @MyName-wd8cp
    @MyName-wd8cp Před 5 měsíci +5

    Mungu akupe umri mrefu usife mapema ufikie uzee wenye mateso na dhiki na shida upate uchungu na ujutie pesa ulizo zitumia vibaya.. (amin🤲)

    • @ClementinaHabineza
      @ClementinaHabineza Před 5 měsíci

      Amina kbx

    • @mitaocamilliusthegreatest9068
      @mitaocamilliusthegreatest9068 Před 5 měsíci

      Hiyo kwako na hayo maneno kwake ni dalili ya uoga kama unaogopa kufa huna haja ya kusali Kwa kuwa tunasali ili mwisho mwema utukute popote pale Sasa mbona yeye yupo sahihi au nyie Ndiyo hamumuelewi?😊

  • @mitaocamilliusthegreatest9068

    Yupo vizuri sana yaani na hatuwezi kumuelewa kwa kuwa wengi tumeweka kifo kama ni kitu cha bahati mbaya siyo kitu cha lazima kutokea huyu anajua maana ya maisha na mwisho wa maisha!kiuhalisia historia iandike kwa mkono wako waachie watakaobaki siyo wao wadanganye historia yako ya maisha na mwisho wako

  • @Fredrickwesonga-ym4rs
    @Fredrickwesonga-ym4rs Před 5 měsíci

    Waoo WangaTv CZcams channel will be life interview Atwoli cotu president of Kenya

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Před 5 měsíci +6

    Kifo ni Baraka kama umeishi maisha yako vizuri 100% na kwa kumpendeza mungu

    • @teddymwageni1763
      @teddymwageni1763 Před 5 měsíci +1

      MIAKA 70 ikiongezeka hapo ni neema tu ya mwenyezi Mungu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 5 měsíci +2

    Wote tutakufa mzee umefanya vyema 👏

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před 5 měsíci

    Hongera baba duniani kuna sherehe 3 .kuzaliwa kuoa nakufariki sherehe ya mwisho ndoyakufa unaweza usifanyiwe vizuri kwasababu unakuwa huelewi chochote .maua yako mzee🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @Bmsecret
      @Bmsecret Před 5 měsíci +1

      SIO SHERE SIKU KUUBWA TATU

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Před 5 měsíci +1

    KUMBUKA kutubu NI HAPA DUNIANI baada yakifo HUKUMU Ile sala ya mweke pema peponi haitakusaidia siku hiyo utatamani kumpga huyo anayedanganya watu Kwa kumwambia MUNGU akuweke pema peponi hutaweza! Mpe BWANA YESU KRISTO maisha yako sasa

  • @asiashaban8283
    @asiashaban8283 Před 4 měsíci

    Hajakosea kabisa baba yatu Yuko sahihi mungu ampe umuri mrefu amina

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob9897 Před 5 měsíci +3

    Yuko sawa ndg wanawaza Mchele na matent na viti maana kila kitu kipo tayari

  • @PacJunior-hd8ig
    @PacJunior-hd8ig Před 5 měsíci +4

    Safi Sana nimeipenda iyo waoga wapite kule

    • @user-mk5gq8ih5p
      @user-mk5gq8ih5p Před 4 měsíci

      Mnao sapoti niwareware makafiri watupu je yesu ariwekwa kwenye jeneza au haya mambo mumeyato wapi au kuiga washamba nyie

  • @ashuramhandoashuramhando6798

    Sasa Akifa Mwili usionekane itakueje maana kuliwa na Mnyama ipo kupotea tu ipo ila siyo mbaya hakuna ajuae Mwisho wake Hongera Mzee Kazi Nzuri ❤❤

  • @davidlyimo8079
    @davidlyimo8079 Před 5 měsíci

    Hongera saan kwa utayariii huuu...

  • @abedamohamed2766
    @abedamohamed2766 Před 5 měsíci +7

    Mungu ajalie mwisho mwema hongera kwa sherehe yako ya mwisho huu ni ushindi wa utayari.

  • @michaelthadey414
    @michaelthadey414 Před 5 měsíci +2

    Uyu jamaa alikuwa noma Sanaa Kwa majambaz Arusha maana Arusha kaacha jina lake maana alifanya had kina malebo walikimbilia Kenya ... alikuwa afanyi utan na jambaz

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před 5 měsíci +2

    Nipe hongera sana marehemu mtarajiwa kwa kulibeba jeneza lake mwenyewe kabla ajafa

  • @sagengejackson3623
    @sagengejackson3623 Před 5 měsíci +2

    Akifa baada ya miaka 20 Hilo jeneza s linakuwa outdated , kunakuwa na design zingine nzuri Zaid

  • @CandyVois
    @CandyVois Před 5 měsíci

    Duuuuuuuuu sawa mzeee

  • @mhangwacastory8765
    @mhangwacastory8765 Před 5 měsíci +2

    Binafsi ninakosa cha kusema ,ila nahisi atakuja kufia mahala ambapo hata mwili wake hautaonekana,mfano atafia kwenye ndge ama meli, au hata kuungua moto na Wala majivu wasiyaone ,kifo hakija wahi kuwa na formula kuwa labda atafariki akiwa na mwili wa kuzikwa nao kama huo alio nao! Naongana na wale walio shauri akawekeze Kwa watu wenye uhitaji huko ndo kusogeza Mahusiano na Mungu,lakini pia upande wa pili tunamshukuru anajitahidi kupunguza gharama baada ya kufariki kutoka Kwa ndgu na marafiki

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 5 měsíci

    Mzee yupo tayari. Amewapunguzia kazi watoto wake. Sio shida. Nafikiri ndio tunakoenda siku za mbele.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 5 měsíci

    Hongera babu

  • @mikalwila9342
    @mikalwila9342 Před 5 měsíci +1

    Sema mzee nimekuelewa umetafuta pesa jiandalie ukiwa hai unataka uzikwaje

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 5 měsíci +3

    Ongeza ibada, toa zaka na sadaka;kiufupi uwe karibu zaidi muumba wako. Maandalizi yako ni mbwembwe za dunia,zaidi sana fanya toba, saidia yatima,wagonjwa na maskini wengine kwenye jamii.

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 Před 5 měsíci

      Sahihi kbsa

    • @RwegoshoraPatt-os2ik
      @RwegoshoraPatt-os2ik Před 5 měsíci +1

      Utajuaje kama hatimizi uyasemayo?

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh Před 5 měsíci +1

      Nadhani mpka amefikia kujiandalia hayo maandalizi ni wazi ameshayajua hayo yote na kuyafanya na anaendelea kuyafanya ndo mana hana tamaa na maisha ya duniani hadi hapo Nadhani umeshaelewa😂😂

    • @anwaryabdallah7782
      @anwaryabdallah7782 Před 5 měsíci

      Mukumbuke kuwa Anayofanya si ktk mafundisho

    • @RwegoshoraPatt-os2ik
      @RwegoshoraPatt-os2ik Před 5 měsíci

      @@anwaryabdallah7782 kaburi huitwa nyumban ya milele kama unaouwezo wa kujenga ruksa kama huna uwezo nyamaza ujengewe

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Před 4 měsíci

    Mzee amepunguza ghalama kwenye msiba kabuli na jeneza akumbuke pia kujenga makanisa hata mawili huko vijijini Mungu atambaliki sana

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Před 5 měsíci +2

    Kila heri mzee wetu

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu Před 4 měsíci

    Mmh ujasiri huo me sina tuombe mwisho mwema to kwa Allah 🙏

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga9465 Před 5 měsíci +3

    Mungu alivyo wa ajabu huyu mzee anaweza kusihi mpaka hilo jeneza atagawa.

  • @moviccreativestudio
    @moviccreativestudio Před 5 měsíci

    Halisakha... Daa

  • @johnshirima6804
    @johnshirima6804 Před 5 měsíci

    mzee 👍

  • @user-ol2rz8jq7u
    @user-ol2rz8jq7u Před 5 měsíci

    Safi sana. Hakuna mwanafamilia mwingine ambaye naye anaitaji makazi mazuri msaidiane? Maana hiyo gharama !

  • @Abdul-rn5zj
    @Abdul-rn5zj Před 5 měsíci

    yupo sahihi 100%

  • @exsonmwakalobo8865
    @exsonmwakalobo8865 Před 5 měsíci

    Hongera sana

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 5 měsíci +1

    Asisahau na manemane ila Kwa ushauri mzuri asumbukie Roho yake maana kaburi haliendi na Wala jeneza haliendi. Mtafute Yesu !

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d Před 5 měsíci +1

    Kweli ww jasiri

  • @teddymwageni1763
    @teddymwageni1763 Před 5 měsíci +2

    Bora ugeuze chumba Cha ibada,mafungo na maombezi tu

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 Před 5 měsíci

    Saba SITA ,Mr Kimaro nimefurahi kukuonya kwenye shot vidio hii,nakufahamu na nimtu unakibali Sana kwa watu pia kutokana na historia yako Arusha ya kuchapa kazi vizuri na kujitoa kwa dhati nk,ushauri wangu kwako ,Okoka ndugu yangu kwani bila wokovu wa YESU KRISTO ni kazi Bure na kuishi hakutakua na faida binafsi endapo hutaingia ufalme wa Mungu ,elewa kua Dini sio njia ya uzima Wala njia ya Mbinguni bali YESU ndio njia ya kweli na uzima wa Milele,,lazima kutubu juu ya wewe binafsi na mambo ulioyafanya kwa amri au kwa kubidi yote hayo yana hukumumu mbele za MUNGU pasipo kujalisha sababu ,soma Yohana 3:16 na Yohana 1 12-13, wagalatia 5 16-21

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 Před 5 měsíci +2

    Sawa na mim niko bize apa kuchagua 😂😂😂

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Před 5 měsíci

    Hii kitu aijakaa sawa mzee mwombe mungu yeye ndie ajuae saa nawakati

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i Před 5 měsíci

      Hiyo akiba yaani hapo hata akiomba bipi lazima afe tu maana ni ahadi

    • @tumpaleakim825
      @tumpaleakim825 Před 5 měsíci

      Ni kweli anaweza andaa lakn akafikia kwenye kifo hata maiti isipatikane labda kwenye maji

  • @user-eo1iq2su5g
    @user-eo1iq2su5g Před 5 měsíci

    Watu kama hawa hawafagi mapema kwa sababu wamesha jiandaa vizuri kimani ukiwa mtu wa imani sana kuogopa kifo sio rahisi

  • @user-mk5gq8ih5p
    @user-mk5gq8ih5p Před 5 měsíci +4

    Ukafiri nimzigo sana mwenyezi mungu ametukataza mambo haya

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c Před 5 měsíci +2

      Yap.. mbn waislam.. wanalusiw kununua sand akaifaiz... Shid mnazikurupukia amzijui.. dini.. someni mandiko na myaelew kiundan na mumche mung roh na kweer

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před 5 měsíci

      ​@@user-ub3xh7ug6c😂😂😂af ni mambo ya ajabu sana anamwitaje mwenzie kafir ujue neno hili ni gum hata kutamka anausafi gan ana hakika gan kama yeye atafika mbinguni😮😮

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Před 5 měsíci

      Shida iko wapi au unawashwa,kapakatwe na babaako huko.

    • @meshack3266
      @meshack3266 Před 5 měsíci

      Amekataza wapi iv kabili la yesu lilikuwepo au waliandaa baada ya kufa ko msikalili bhana acha afanye kimfaacho

    • @user-mk5gq8ih5p
      @user-mk5gq8ih5p Před 5 měsíci

      @@vincentcharles4385 kama mnamfata yesu kweri yeye arifanya hayo mkundu wa mama ako unafirwa na baba ako nasikia baba ako arifirwa utotoni fara we

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 Před 5 měsíci +1

    uku ni kumkufulu mungu kakupa uhai uishi wew unaisogeza Hali ya umauti kando yako , unajuaje labda utatwaliwa bila jeneza ,, ila asilimia kubwa ya awa watu Huwa wanakuwa ni watu wa secret societies or occultic groups members

  • @jonathansolomon456
    @jonathansolomon456 Před 5 měsíci +3

    Jamani huyu baba ni jasiri mno

  • @user-jy4sc8gv8o
    @user-jy4sc8gv8o Před 5 měsíci +1

    Umeshajua utakufa kifo cha Aina gani😊

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před 5 měsíci +3

    Yuko sahihi maana hata sisi Muslims tunatakiwa ndani tusikose sanda

  • @eliudshangali
    @eliudshangali Před 5 měsíci

    Superintendent Police 🔥🔥🔥

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Před 5 měsíci

    Huyu mzee ameshagundua kitu katika familia yake ndio mana ameona mbali sana kuandaaa safari yake mapemaaaa sanaaaaa asizikwe kishidaaaa shidaaaaaaa nimependa sana ni vyema mtu kujiandaa mapema sanaa nikutokuwa na uwezo tu😢😢😢😢

  • @EsitaDavid2-wp1uf
    @EsitaDavid2-wp1uf Před 5 měsíci +1

    AMPE YESU MAISHA KABISA,YOHANA 3:26-17.

  • @bahatadof5543
    @bahatadof5543 Před 5 měsíci

    We Mzee umechanganyikiwa Nini,mtoto mrembo Kama tunda anichongee jeneza ,hawezi hata kidogo hichi kitabaki kuwa chumba tu

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 5 měsíci +1

    Ningefurahi kama ningeona mandalizi ya chakula pia pamoja na watao mzika

  • @OmaryLupange-yd3cw
    @OmaryLupange-yd3cw Před 5 měsíci +1

    Cna Cha kusema..

  • @vagashappnecy4850
    @vagashappnecy4850 Před 4 měsíci

    Baba tunda anajua hakuna haja ya kusumbua wanaobaki anajiandaa maana kifo ni sehemu ya mwanadamu.

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před 5 měsíci +1

    MBONA HUJASEMA SUTI YA MILIONI NGAPI SAA YA MILIONI NGAPI VIATU VYA MILIONI NGAPI TUJE TUKUVUWE 😂😂😂😂

  • @jumamganga6236
    @jumamganga6236 Před 5 měsíci

    M.MUNGU hatanguliwi . Unaeza ufie kwenye ajali ya ndege isibaki hata kucha.

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Před 5 měsíci

    Jamani sabasita mwamini BwanaYesuKristo awe BWANA na MWOKOZI WA maisha yako ndugu yangu hili li mwili la nyama halitaenda Mbinguni wala Jehanum litairudia ardhi maana NI la udongo lkn Yuko ndani sabasita ambaye ndiye ataenda Mbinguni au Jehanum! Hayo unayoyafanya yatakutupa Kuzimu kwenye Moto MAFUNZA yenye meno UTAJILAUMU MILELE

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 Před 5 měsíci

    hongera sana baba kifo ni njia ya yeyote mungu akupe mwisho mwema

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 Před 5 měsíci +7

    Nakumbuka ujinga wa watu wapumbavu walioandaa siraha nyingi sana za kupambana na binadamu kumbe Mungu alitaka wasiishi hata mwaka.
    Watu uwa wanaangaika kuwaza kufa badala uo muda wangeutumia kueneza injili.
    Izo eka hazina maana yeyote ile kwani kuna watu ungewasaidia kuwapeleka kusoma thiology.
    Kwa kweli sisi ngozi nyeusi tunashida sana kufikiria.
    Watu uwa tunaandaa mioyo na mahusiano na Mungu kwa ghalama kubwa na si vinginevyo.
    Mkristo hana njia yake ya mafundisho bali tunajifunza kutoka kwa Yesu.
    Ivi yesu alivyokuwa na thamani angeandaa jeneza la namna gani kwa vito vya thamani.
    Tunashida sana sisi wanadamu Mungu Tusaidie ktk jina la Yesu.

    • @ZainabuOmary-nt7xf
      @ZainabuOmary-nt7xf Před 5 měsíci +4

      Kajiandalia mii sioni shida maana ata waislamu wanruhusiwa kununua sanda ww sema ss hatuna garama sanda elfu 20 unasafirishwa inshaallah Allah amuongoze na imani yake

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy Před 5 měsíci

      Wewe ndio unashinda kwasbbu hujui ulisemalo, maneno yako hayana maana wala point yyte uliozungumza

    • @user-ub3xh7ug6c
      @user-ub3xh7ug6c Před 5 měsíci

      Nakung mkon ajui akisemacho kakalilishwa cy mmoj huy​@@IdarousPossy

    • @RabiaIddi-ci2uz
      @RabiaIddi-ci2uz Před 5 měsíci +1

      Wewe ni mshamba kifo kipo tu hakikwepeki na hii ndo sherehe ya mwisho ya mwanadamu kwahiyo sio mbaya mtu kijiandalia mazingira apendayo

    • @PaulinaSemindu-ob3de
      @PaulinaSemindu-ob3de Před 5 měsíci

      Anaangalia siku yake y mwisho jeneza linavyoingia akitoka hospital

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před 5 měsíci

    Maandalizi ya kifo chema ni kuishi maisha Matakatifu tuu, na si vinginevyo.

  • @user-ov3bt3pf1b
    @user-ov3bt3pf1b Před 5 měsíci

    Omba Mungu mzee Kimaro (sabasita) je ukipotelea baharini itakuwaje hilo kaburi na sanduku?

  • @ezekielshija9251
    @ezekielshija9251 Před 5 měsíci

    Yuko sahihi, Yesu aliwekwa kwenye kaburi la yusuph. Ambalo halikuwa limeandaliwa kwa Yesu

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Před 5 měsíci

    Jambo moja huyu mzee hajui. Kwamba kifo ni siri ya mungu. Hatujui kwamba wengine ufa maji na mahiti zao upotea? Wengine uungua moto, wegine upotea tu bila kuwaona, wengine wanaliwa na wanyama. Mahiti hazipatikani.

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 Před 5 měsíci

    Kwahiyo kaburi na jeneza tayari,kilichobaki🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @rashidijuma8734
    @rashidijuma8734 Před 5 měsíci

    Safii mwamba

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h Před 5 měsíci

    Daah nakubal

  • @edwintesha
    @edwintesha Před 5 měsíci

    Namfahamu vizuri maana aliniwinda sana

  • @angeldarlingtz2938
    @angeldarlingtz2938 Před 5 měsíci

    Yuko vizuri na haf leo wala kesho ukute anajiadaa ma kiroho pia kwan mi mwenyewe nataman nijue wap nitazikwa maana kufa kupo hata tukiogopa ..

  • @maleobustz2614
    @maleobustz2614 Před 5 měsíci

    😮

  • @user-jo9gp5tb9w
    @user-jo9gp5tb9w Před 5 měsíci +1

    Hapna aise mm siwezi japo kifo sio chakuogopa

  • @avelinafurahaoisso5491
    @avelinafurahaoisso5491 Před 5 měsíci

    Mmh hii ndio Dunia mie hata nisipo xikwa nifresh tu roho yangu ndio inahitaji maandalixi sio jeneza wala kaburi .

  • @cutebrown4017
    @cutebrown4017 Před 4 měsíci

    Angeweka hadi hammer na viti na chakula kila kitu ikuwe tayari mambo zingine nikama movie sasa atawekwa kwa stima hiyo kaburi yake mwili yake inakauchwo

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman Před 5 měsíci

    Hata mungu asema ujiandae na umauti ukiwa umeandaa jeneza pia sanda na kaburi kama unauwezo mungu akupe imani hiyo

    • @adriandanford208
      @adriandanford208 Před 5 měsíci

      kujianda na mauti siyo ivi 😂 ,maanake ni kujitakasa, kutubu na kuwa tayari mda wote ishi kila kana kwamba ni siku yako ya mwisho chini ya jua

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Před 5 měsíci +1

      ​@@adriandanford208mbona waislamu huwa wanajiandalia sanda kabla hajafa? Kuna tofauti gani na Hilo jeneza?

  • @user-ft9xf3fe5v
    @user-ft9xf3fe5v Před 5 měsíci +1

    Hata mbao ispoharika Kwani ND naww hutooza we mzee wa ovyo kweli

  • @user-xf4qs5ti5m
    @user-xf4qs5ti5m Před 5 měsíci +2

    Likikutana na mchwaa utajua ujuii

  • @user-os5yq3pg2e
    @user-os5yq3pg2e Před 5 měsíci

    Kasi nsuri ila mm nigeshauri hizo milioni kumi na tatu, agepauwa hyo nyumba yake na bati LA maana ( mzaus)

  • @edithrwechungura2768
    @edithrwechungura2768 Před 5 měsíci

    Ulaya ni jambo la kawaida tunashangaa Sisi waafrica .
    .ulaya yapo makaburi mengi wameshajitengenezea

  • @eliusobadia8683
    @eliusobadia8683 Před 5 měsíci

    Dunia ina mambo...hadi yesu aludi mengi yatatokea zaidi ya hili

  • @user-jn6oo3ww5i
    @user-jn6oo3ww5i Před 5 měsíci

    Kuandaa makazi nijambo jema kawsababu mungu alisema Kila kilicho hai kitaonja maut kahiyo kifo hakikeepeki mda wwte saa yoyote

  • @joejackson9282
    @joejackson9282 Před 5 měsíci +2

    Sema tunda ndio maana anadrama😂😂

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948 Před 5 měsíci

    Hakuna kibaya hapo coz itamfanya afanye mambo yampendezayo mungu akijua mda nasaa atakufa.

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Před 5 měsíci

    Sasa niulize hivi ukifa mungu anaenda kuangalia jeneza na kabur😂😂😂tengeza amali uchukue kw bwana mungu wako sio jeneza na kabiri hivyo vinaenda kuliwa mchwa utabaki na amali yako😢😢😢😢😢

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Před 5 měsíci

    Mm unanifahamu NI mama commissioner Kigondo marehemu tumekuwa nawe ukiwa kijana shupavu na ndiko lilikotokea Hilo jina sabasita,,, Hebu Acha huo upuuzi uza Mali zako ukawape maskini Kisha mfuate BwanaYesuKristo Akupatie Uzima wa Milele

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 4 měsíci

    Kunawatu wanalala jaa badala kubiga tafu mnategeneza makaburi milioni12

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 Před 3 měsíci

    😮😮😮 sikatai njia hiyakila mtu.ila huyu.mmmmh

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před 4 měsíci

    Hiii ni kwamba inaonyesha ameishi vibaya na watu anaogopa hawatamzika vizuri. Mi nashauri atoe na pesa za kuwalisha waombolezaji na wazikaji wajue kabisa mapena 😂😂😂

  • @user-xx7ch6kw2u
    @user-xx7ch6kw2u Před 5 měsíci

    huyu atakuja kufa kifo kibaya sana unamtania mungu

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p Před 4 měsíci

    Yuko sahihi njia pekee ya kuludi tuliko toka ni kifo pekee

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 5 měsíci +1

    Mzee wee ni mpumbavu sana, ivi unajua utaish mpaka ln

  • @AusiIssachimsala-pu1pf
    @AusiIssachimsala-pu1pf Před 5 měsíci

    Huyo alikuwa mafia na mkuu wa majambazi ,kaua watu wafanyabiashara wengi na kunyang'anya Mali za aliodhulum uhai wao

  • @jj-iv1wm
    @jj-iv1wm Před 5 měsíci

    Wallah 😂 akili zingine sijui mnazitoa wapi duuh

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 Před 5 měsíci

    Hasa Mungu alivyokua hajaribuwi unajenga jeneza na kaburi mwisho wa siku unakufa BAHARINI UNALIWA NA SAMAKI 😂😂😂

  • @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk

    Huyo mzee mpumbavu hizo ml10 angeenda kuzitoa kwa watoto yatima ingekuaje kuma kwer

  • @Tiagoernest_4
    @Tiagoernest_4 Před 5 měsíci +1

    Huyu ni muoga wa kifo😅😅

  • @user-tc9vi3ow3n
    @user-tc9vi3ow3n Před 5 měsíci

    Huyu kamanda noma. Kaisafisha. Moro kipindi chake

  • @user-xc8ec5uc5e
    @user-xc8ec5uc5e Před 5 měsíci

    Jenaza si kitu unawafurahisha watu je moyo wako uko wapi Mungu adhiakiwi na uo ni uaribifu wa fetha eri ungetoa sadaka kwa yatima na ombaomba kuliko kujitolea sadaka mwenyewe na angari unavyo