EXCLUSIVE: ROMA ALIPOTOLEWA BASTOLA MAREKANI "JAMAA ALINICHUKULIA POA, MAITI YANGU INGESAFIRISHWA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 02. 2024

Komentáře • 166

  • @harounali9057
    @harounali9057 Před 5 měsíci +11

    Kuna mavazi uki vaa hata Police aki kuona tu tayari usha jitafutia matatizo.
    Hayo hapo Marekani tu nchi nyingi za kimagharibi.
    Hoko nyumbani tuna penda sana kuiga mavazi lakini mengine kwa nchi nyingine ni dress code ya kundi fulani la kihalifu. Una weza kupoteza maisha kwa dress code ulio vaa tu wakati wewe huwi kitu Chochote kuhusu ume vaa nini.

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před 5 měsíci +11

    We ulikosea ukijaribu nguo ni kuitoa na kulipia si ruksa kuvaa na kuanza kuendelea na manunuzi,,,,,cause marekani wezi ni wengi kama Tz

  • @babusobakari7882
    @babusobakari7882 Před 5 měsíci +25

    Bro Roma nifahamishe hilo duka lipo mtaa gani one day naweza kuja Marekani then nikatamani kufanya shopping kwenye hilo duka

  • @alainbouba5164
    @alainbouba5164 Před 5 měsíci +49

    Bro! Pia ni story kama hiyo hiyo kabisa. Nimeenda kwa club moja hapa Los Angeles, Beverly-Hills, Jama kaniona nimefa Red kwote yaani. Alipo nikaribia nilikuwa nataka kutoa Sim mfukoni tu, akatowa bastola. Washkaji pembeni wakaziwiya wakisema huyo ni muafrika tena mtuu poa na watu, nikawa ninepona kabisa. Badae wakaja kuniambia niachane nakuvaa ngu żaku Fanana hivo, huwa zinatafsiri ingine vibaya kwa wingine.

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven Před 5 měsíci +16

    Nimejifunza kitu mwanangu Roma

  • @ZakaZakazi-rd7wo
    @ZakaZakazi-rd7wo Před 4 měsíci +5

    Daah tabia za bongo tusiende nazo kwa mataifa mengine tuwe tunauliza utamaduni wa kwao

  • @frankmpanda5850
    @frankmpanda5850 Před 5 měsíci +11

    Roma nakukubali sana

  • @shabankanyama3431
    @shabankanyama3431 Před 5 měsíci +8

    Isikuume nchi za watu lazima uwe mtumwe,sasa unasema ulipata hasira,,,,UNGEFANYAJE SASA..tulia bro,usiwe na hasira nchi za watu kuwa mpole..

  • @samirysharifu8649
    @samirysharifu8649 Před 5 měsíci +7

    imeshaa Nitokea Hiyo Nipo zangu Tokyo iliniuma sana mpaka leo nipo Dubai nakumbuka hicho😭😭😭

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci +12

    Marekani ni rahisi kuzoeana na mzungu ila sio blacks. Wana shombo sana hawa jamaa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před 5 měsíci +6

    Marekani sio mchezo. Na ubaya wa Marekani haijarishi ni sangapi au wapi, unapigwa risasi popote kama unafuatiliwa na watu wenye kukutaka. Iwe katikati mjini, iwe Police, iwe kanisani, iwe ....utapigwa risasi ukipatikana na mulengwa

  • @user-ht6yc1ty4g
    @user-ht6yc1ty4g Před 5 měsíci +6

    Huko mambele kila nguo inawekwa stika kuonesha kuonesha bei yake kwa maana aliivaa kabisa kwa sababu alikuwa amesha ipenda na alikuwa anajua kuwa ana uwezo wa kuilipia.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 5 měsíci +10

    Roma 💐💐💐💐💐💐💐

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 Před 5 měsíci +3

    Pole sana ROMA kuweni wapole nchi za watu

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792 Před 4 měsíci +4

    ila kiukweli mie hapahapa kibongobongo ninatabia hiyo yakujaribu nguo nikiipenda huwa nazunguka nayo dukani natafuta nyingine ,, kunasiku nilinyewa na kunguru , nguo nyeupe ikabidi niingie dukani nikaipenda gauni nikaivaa na nikazunguka nayo mle dukani nikiindelea kutafuta nyingine😅 sasa kwa mtindo huo wa wenzetu c utumbo ungesha mwagwa kitambo

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před 5 měsíci +7

    Pole ila kiufupi hakuna amani huko jamn msichke wallah mee na benda tz au omn auchainz

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi5979 Před 4 měsíci +3

    unyama sana kaka endelea kujifunza mwisho ufanane nao

  • @Salumchiwili2023
    @Salumchiwili2023 Před 4 měsíci +2

    Marekani noma sana mzee sasa hapo ingekua ni polisi amekusimamisha then ujiguse bila kuomba permission hapo RIP zingekua nyingi sana

  • @yaajefwa94
    @yaajefwa94 Před 4 měsíci +3

    Club za mbele dress code inaitwa (smart casual) huwezi kuingia na tracksuit, sport shoes au sweatpants 😅😅😅 ila mtanga anajifunza kwa taab sana😂

  • @williamtweve2622
    @williamtweve2622 Před 4 měsíci +2

    Duhuu atar sana roma

  • @mnomatvKE
    @mnomatvKE Před 5 měsíci +8

    Noma baba roma

  • @InnocentBarn-hf7yb
    @InnocentBarn-hf7yb Před 4 měsíci +2

    Dah mzee milad roma ana stor za kusisimua ila me nna iman matukio ayo yote yanafanywa na mtu mweus sis watu weusi tuna matatizo sanaa

  • @anorderastonyondo3726
    @anorderastonyondo3726 Před 4 měsíci +6

    Bongo Aman sana tunajambiana club wee na hakuna kinachotokea😊😊😊😊😊

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před 4 měsíci +3

    duuh huko nomaaa

  • @user-ch2xi5zm8y
    @user-ch2xi5zm8y Před 5 měsíci +2

    Roma nakukubali sana broo 😂😂😂 kwanza ni mkweli kwakweli 😂😂😂

  • @audaxmlowa9953
    @audaxmlowa9953 Před 5 měsíci +13

    Umevaa nguo haujailipia bado unazunguka nayo we unaona ni sahihi

  • @BarakaMahinda-eg7ph
    @BarakaMahinda-eg7ph Před 5 měsíci +4

    We naye ni mjinga si ungalipa mapema matatizo unatafuta mwenyewe

  • @Platnumz11
    @Platnumz11 Před 4 měsíci +2

    Roma mbona kama mwongo jamani hmm sina chakusema 😮😮😮acha tu nibaki mdomo wazi tu

  • @user-bq9jt9uj7q
    @user-bq9jt9uj7q Před 5 měsíci +3

    M nachoelewa hapa ni kwamba kila nchi ina taratibu zake na lifestyle yake
    Sasa usipojua hilo lazima upate shida

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 Před 5 měsíci +5

    Duh syo poa

  • @ibrayomapenzi7048
    @ibrayomapenzi7048 Před 4 měsíci +2

    jamaaa anaaangalia michezo sanaa apo alijuwa kama matukio ya mchezo ya kuibiwa anataka aaanzishiwe ndo maaanaa akaaanza yeye

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 5 měsíci +8

    USHAURI MSILETE UJUAJI NCHI ZA WATU. UNAWEZA KUUWAWA BILA HATIA KISA KULETA TABIA ZA NCHI ZINAZOENDELEA NA KUPELEKA NCHI ZILIZO ENDELEA. HILO VAZI LA MA GANGSTERS😂😂

    • @user-wp5pu1zs8i
      @user-wp5pu1zs8i Před 5 měsíci +1

      Nikweli utajalibu vipi nguo ujalipia unaivaa watoka nayo😂

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 Před 5 měsíci

      Sa ujuaji uko wap hapo na anasema alikua hajui na sasa anajua hawezi kufanya hivyo na wala hakubishana na mtu ujuaji we umeuona wap

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS Před 5 měsíci +1

      @@salmabasil385 UJUAJI ni kutouliza taratibu zao. Pia unavaaje nguo ya dukani kabla ya kuilipia na unazunguka nayo SIO SAWA

  • @PilliMazinge-li2jg
    @PilliMazinge-li2jg Před 2 měsíci

    Sauti ya ladi respect u my brother rom

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Před 4 měsíci +2

    Dunia haiwez kuacha kukufundusha kila siku utaona mapya

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 Před 5 měsíci +1

    ❤❤❤🌹🌹🌹🌹Roma 🎉🎉🎉

  • @AmosMasungwa-pq7jj
    @AmosMasungwa-pq7jj Před 4 měsíci +1

    Pole san bigman

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 Před 4 měsíci +2

    nimejifunzaa kinyama Kwa mwanangu Roma

  • @richardmbasha1411
    @richardmbasha1411 Před 4 měsíci +2

    Roma hio sio shida ya jamaa..
    Ni ni shida anayosababishwa na Black Americans na wengine wanavyo iba (shoplifters).
    Imepelekea wenye maduka kumprofile mtu na kutia shaka baadhi ya mambo kama hili la kuvaa na kutoka dressing room... hio ni redflag, wanaibiwa sana.
    Na swala la kukutolea bastola, sio kosa lake na lako lakutokujua kwamba ulichokifanya kimempelekea yeye kutafsiri vingine..
    Ndio maana hata polisi akikusimamisha mikono yako mda wote iwe seheme ianayoonekana..
    Usirudie siku nyingine na unabahati hakufyetua..
    Never try to reach with your hands in an argument without saying your intentions.

  • @sportsextra4795
    @sportsextra4795 Před 4 měsíci +2

    ilinitokea hiyo wakati nipo las vegas iliniuma sana😢😢😢😢😢😢

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians Před 4 měsíci +3

    🤦Roma au shida ilikuwa Lugha alihisi unamfokea😅😅😱
    Waambie nasi hatutaki shobo🤦

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s Před 4 měsíci +1

    Pole saaana roma 😢

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 5 měsíci +7

    Kwanza ncheke😂😂

  • @radikallambo491
    @radikallambo491 Před 4 měsíci +2

    Roma Duka Gani Hilo Siku Nikija Niwazingue

  • @user-tl2tw9rg7r
    @user-tl2tw9rg7r Před 4 měsíci +1

    Nandomana siku hizi siendagi club especially hapa Seattle.

  • @Bless-b.DL-babyofficial8769
    @Bless-b.DL-babyofficial8769 Před 4 měsíci +2

    Ukitolewa gun marekani basi wewe ni mshamba bado cause hua marekani hauruhusiwu kugusa mfukoni jama alicho fanya amekua ana jiteteya kwasababu marekani kila mtu anakua iko na gun

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před 4 měsíci +1

    Unyama baba..🚴🚴🚴

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 Před 4 měsíci +2

    Unaleta mambo ya Africa USA ooh uku bara lingine bro chuma ingekuhusu alafu USA ata police akikumata au kukuoji ukashika mfukoni tu mzee unakula chuma apo apo inabidi mikono yako ionekane wazi kabisa na usifanye chochote ruhusu usachiwe ata ukimtukana fresh shida kushika mfuko wa nyuma mbele au kufungua bag

  • @hamisiibrahim1818
    @hamisiibrahim1818 Před 4 měsíci +1

    Njoon south Africa ndio mtajua bunduki ni Jambo la kawaida

  • @tabyabelemwenebenga2311
    @tabyabelemwenebenga2311 Před 5 měsíci +11

    Bro toka miraland njoo Chicago illinois utulie bwana. Unakaa unaishi Shamba tu.

    • @danrappergangamaa1190
      @danrappergangamaa1190 Před 4 měsíci

      Oi uko upo Chicago sehem gani nitumie Whatsapp namba ako

    • @petermahona7688
      @petermahona7688 Před 2 měsíci

      Broski mbn Chicago Illinois kuna gangs za kufa mtu, unaishi kwa amani Kweli?? Gangs km O'Block,THF,GD,BD,600,300,nk zina fujo sana kitaa, na kuna rappers km King Von, DThang,051 Melly, OTF Nunu nk walipoteza maisha ktk fujo za mtaani na clubs..au hao jamaa ukimind business zako hawana time na ww??

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 Před 4 měsíci +1

    Angemreport polis

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Před 4 měsíci +1

    Roma nakubali sana❤🎉

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 Před 4 měsíci +2

    Ndo urudi Sasa hom

  • @songainc2130
    @songainc2130 Před 5 měsíci +2

    Ulifanya makosa call 911 coz hapa si poa kuwekeya m2 bunduki is kinyume ya sheria hapa merekani

    • @dunstunnchimbi7994
      @dunstunnchimbi7994 Před 5 měsíci

      Ukute hata hiyo 911 wakigundua ni mweusi wanaweza wasije. Na wakijua ni mweusi wa kutoka nchi nyingine ndo watapata na hasira wataamua kumkamata na kumtengenezea kesi kisha kupata shida zingine. Kifupi hao jamaa wana ulimwengu wao. Mi sijawahi kuwakubali hao. Kwao kuua mtu ni kama kukanyaga sisimizi tu hasa kumuua mweusi. Basi tu yani.

    • @Terminatorbatogwantama0416
      @Terminatorbatogwantama0416 Před 4 měsíci

      @@dunstunnchimbi7994 alafu uku tunawashobokea sanaa yani

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 3 měsíci

    Kweli Kabisa Nguo Zingine Unaonekana Mwizi Uko Sawa Maneno Yako Hata Mcongo Mmoja Alisema Kila Kitu Kuusu Maisha Ya Uko

  • @rashidialiuwali939
    @rashidialiuwali939 Před 3 měsíci

    Roma ulitumia ni makosa sana ndo maana ukitoka tz moja k moja bado unakua mshamba sana kama.ungekaa south africa maisha ya mbele kidogo unayaelewa

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před 5 měsíci +2

    Wageni wengi wanaambiwa ignorancy utaachwa tu. ila unaweza kufa kwa rangi ya nguo. unataka kuishi marekani kama wao pia utachapika mzee.

  • @Chukwueze14
    @Chukwueze14 Před 4 měsíci +1

    Leo ndo nimemuona Millard bila kofia

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci +1

    👊✌👍.

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 Před 5 měsíci +3

    Huyu nae anatunga story tu hamna kitu

    • @DouglasMassop
      @DouglasMassop Před 5 měsíci +1

      Ulijuaj kama katunga? Ao nyie ndo wale wa kujaza nyama ila machine haikui😂😂😂

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Před 5 měsíci +1

      Wengne tunajifunza wenda sk tukaenda uko tusifanye makosa

    • @happynkya9770
      @happynkya9770 Před 4 měsíci

      ukishazoea kusema sema uongo basi hata ww kila utakachoambiwa utaona kama unadanganywa tuu

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 4 měsíci +1

    Marekani kuchezea shaba ya kichwa ni dk 0

  • @michaelmsemo-nf9pk
    @michaelmsemo-nf9pk Před 4 měsíci +1

    Roma get back home.tujenge nchi yetu.Hao wamejenga nchi yao wanaona shida sana mnaokuja na kuishi tuu.they consider you lazy aka wapenda mteremko.

  • @TeamBaganofficial
    @TeamBaganofficial Před 5 měsíci +1

    Like south Africa😢

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 Před 5 měsíci +2

    Mhuu mm nilienda china mwaka 2018 kilicho nikuta stamani tena kwenda huko😢😢😢😢😢😢

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před 5 měsíci

      Ilikuaje aisee kaka😅

    • @frankbujiku9496
      @frankbujiku9496 Před 5 měsíci

      @@FreeGod368 nilipewa kesi ambayo siijui mtanzania nilikuwa mm tu wengine wanaigeria nimesota blaa kuja kutoka sitaman tena kwenda huko

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před 5 měsíci

      @@frankbujiku9496 Duuu aisee pole sanaa kaka, 🙏🙏

    • @bensonwissa5777
      @bensonwissa5777 Před 5 měsíci +1

      Mnapoenda nchi za watu acheni kusokota nywele

    • @ramadhanitokwete8069
      @ramadhanitokwete8069 Před 4 měsíci

      Itakua china plaza pale kariakoo😂😂😂

  • @tibakabanda6583
    @tibakabanda6583 Před 4 měsíci +1

    Matatizo yako ni kwamba unataka kuwa mmarekani kuliko wamarekani wenyewe! Kwanza unavyovaa Kwa makuzi yetu Tanzania ni aibu. Hata huku bongo Kwa mavazi hayo utaonekana jambazi!

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před 3 měsíci

    bongo amani tuuuuu tunajambiana club na akuna nomaaa😂

  • @PierreTembele
    @PierreTembele Před 4 měsíci +1

    Sasa bro roma mpaka sasa wende club?

  • @augustinesong6066
    @augustinesong6066 Před 4 měsíci +1

    Kaka haya mambo ya dunia America kuna mambo

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 Před 4 měsíci

    Watu wa Marekani awana mazoea au maadili ya kutembea na ivyo vi beg ni ushamba wa watu wa africa.

  • @tadashifrancis3164
    @tadashifrancis3164 Před 4 měsíci +1

    Roma story teller 😂

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 3 měsíci

    Kwa maelezo hayo, demokrasia ipo ya kutosha Africa

  • @ibranoahngidange5909
    @ibranoahngidange5909 Před 5 měsíci +1

    Roma fala sana😂😂😂😂😂

  • @Benomaleo
    @Benomaleo Před 2 měsíci

    Ilishantokea lagos kwenye club moja ivi aloooo ilikuwa atar😅

  • @musaeliasi
    @musaeliasi Před 3 měsíci

    Romah njoo nyumban bhna umepotea xanah

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před 5 měsíci +2

    Unaweza kwenda kwenye Hoods ya blood gang ukavaa blue umeisha, na ukaenda kwenye hoods za Crips gang ukiwa umevaa Red umeisha.

  • @frankbundi7713
    @frankbundi7713 Před měsícem

    what is Ki nyamwezi?
    I'm in Kenya

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 Před 4 měsíci +1

    Tatizo hamna sura za pesa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 3 měsíci

    Ndio maana siendi club wala sehemu zitakazofanya maisha yangu yawe hatarini.

  • @ntullyjanga33
    @ntullyjanga33 Před 4 měsíci +1

    Frida ndo amekuwa mmama hiv

  • @Bardizbah-nr9qi
    @Bardizbah-nr9qi Před 4 měsíci +1

    ❤🎉🎉🎉😅😮

  • @user-ks7bs8yk3p
    @user-ks7bs8yk3p Před 3 měsíci

    Sheraut kwenu mirad roma na cstar kwaku2pa story maisha yanatufanya tuchukiane na kuishia sehemu fulani

  • @joramchristian4042
    @joramchristian4042 Před 4 měsíci +1

    Mbele unyama ni mwingi

  • @user-oh6wc8xr5w
    @user-oh6wc8xr5w Před 4 měsíci +1

    Rudi nyumbnj rom

  • @user-un5dm8gj7p
    @user-un5dm8gj7p Před 4 měsíci

    Yaani hapo unbelievable kabisa ungepiga polisi yaani pesa nje ungemstaki loo

  • @josephmwema4705
    @josephmwema4705 Před 4 měsíci +1

    Rudi home kaka 😂 watakuulia huko.

  • @user-sg5vj2gu6v
    @user-sg5vj2gu6v Před 3 měsíci

    Nakuamin mno mwaba unacho kieleza na kunikosha san kw nymb zako RomA

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 5 měsíci +8

    Hiyo haitakiwi kabisa hata Ugerumani haitakiwi kabisa hautakiwi kutumia kitu kabla ya kulipia sasa wewe umevaaje kwanza bila kulipia hapo umechemsha sana acha ushamba

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci +4

      Hiyo mbona hata bongo. Unavaaje kitu hujalipia😂

    • @reubendidas
      @reubendidas Před 5 měsíci

      Bongo ni kawaida tuu mbona

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 Před 5 měsíci +1

      Hivi unalipiaje kitu ambacho hujui Kama kitakutosha au kitakupendezea nyiee ndiyo wale mnao umbukuga nilikuta na mtz mmoja Nairobi akajifanya yy machino akawa anatucheka SS kuuliza Bei ya chakula akaagiza baada ya kula inakuja bili alipie hapo akili ilimka sawa

    • @shamzone388
      @shamzone388 Před 5 měsíci +1

      Huo ni ushamba mmojawapo vipi wavaa nguo wakati hujailipia❓❓❓mkienda nchi za watu fateni sheria zao au mtarudishwa kwenye masanduku

    • @benedictsumaili7262
      @benedictsumaili7262 Před 5 měsíci

      Acha uongo wewe mimi naishi hapa USA kikawaida Kama umependa nguo
      Lazima ujipimishe kwanza kabla ya kulipia

  • @kakazkanda
    @kakazkanda Před 4 měsíci +2

    👁️👁️

  • @user-mc9hs3pj1w
    @user-mc9hs3pj1w Před 3 měsíci

    Uwa nawakubalisana watu wa hip hop matukioyao wanatufunza kitu kuliko ata awa ma start wakubwa tz wa 3

  • @anoldsalvii7336
    @anoldsalvii7336 Před 3 měsíci

    Let's have a conversation

  • @Naptaisafari
    @Naptaisafari Před 5 měsíci +1

    Roma apewe mauwa yake😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 3 měsíci

    Yuko Mcongo Alitoa Mawaiza Kuusu Iyo Ishu Nchi Zingine Ukivaa Nguo Zingine Wanajua Wewe Ni Mwizi Ivo Wanajiami

  • @user-xu5ds8ef4j
    @user-xu5ds8ef4j Před 3 měsíci

    Daaah so p bro ni maisha tuu

  • @ibrahimngalupela7170
    @ibrahimngalupela7170 Před 4 měsíci

    Hajui tuu wabongo tukiamua kuiba hamna wa kushtukia

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 Před 3 měsíci

    naKumbuka ilitaka nitokea denmark

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 5 měsíci +1

    Star mzima Anadisia Upumbavu Uvahe nguo Ndio Ukalipe Utapeleka biashara ya china marekani mpumbavu mkubwa wewe

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 Před 5 měsíci +1

    Kama hapa tu SA kuna club kibao ukivaa kapelo huingii na hivyo vikoba pia wengi wanabebea bunduki mtaan

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi Před 5 měsíci +4

    😅😅😅😅

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 Před 3 měsíci

    Ata mm ilinitokea kama ivyo manzese

  • @eugidetembele1
    @eugidetembele1 Před 3 měsíci

    Hii Kama story yangu ilinitokea nilipokuwa naingia kazini inatakiwa utumie kitambulisho cha Kazi Kama ufunguo Sasa kipindi nakaribia gheti kuna jamaa anatoka nje sasa nilivyopeleka mkono mfukoni kutowa kitambulisho bana Yule jamaa akaingiza mkuno kwenye koti lake like akatowa bastola bana nilihogopa saaana

  • @user-me1gb7rm9g
    @user-me1gb7rm9g Před 4 měsíci

    Dah ebhan story yako imenifunza vitu kadha kiukwel uko vizur Roma