Kuna mavazi uki vaa hata Police aki kuona tu tayari usha jitafutia matatizo. Hayo hapo Marekani tu nchi nyingi za kimagharibi. Hoko nyumbani tuna penda sana kuiga mavazi lakini mengine kwa nchi nyingine ni dress code ya kundi fulani la kihalifu. Una weza kupoteza maisha kwa dress code ulio vaa tu wakati wewe huwi kitu Chochote kuhusu ume vaa nini.
Bro! Pia ni story kama hiyo hiyo kabisa. Nimeenda kwa club moja hapa Los Angeles, Beverly-Hills, Jama kaniona nimefa Red kwote yaani. Alipo nikaribia nilikuwa nataka kutoa Sim mfukoni tu, akatowa bastola. Washkaji pembeni wakaziwiya wakisema huyo ni muafrika tena mtuu poa na watu, nikawa ninepona kabisa. Badae wakaja kuniambia niachane nakuvaa ngu żaku Fanana hivo, huwa zinatafsiri ingine vibaya kwa wingine.
Marekani sio mchezo. Na ubaya wa Marekani haijarishi ni sangapi au wapi, unapigwa risasi popote kama unafuatiliwa na watu wenye kukutaka. Iwe katikati mjini, iwe Police, iwe kanisani, iwe ....utapigwa risasi ukipatikana na mulengwa
Huko mambele kila nguo inawekwa stika kuonesha kuonesha bei yake kwa maana aliivaa kabisa kwa sababu alikuwa amesha ipenda na alikuwa anajua kuwa ana uwezo wa kuilipia.
ila kiukweli mie hapahapa kibongobongo ninatabia hiyo yakujaribu nguo nikiipenda huwa nazunguka nayo dukani natafuta nyingine ,, kunasiku nilinyewa na kunguru , nguo nyeupe ikabidi niingie dukani nikaipenda gauni nikaivaa na nikazunguka nayo mle dukani nikiindelea kutafuta nyingine😅 sasa kwa mtindo huo wa wenzetu c utumbo ungesha mwagwa kitambo
USHAURI MSILETE UJUAJI NCHI ZA WATU. UNAWEZA KUUWAWA BILA HATIA KISA KULETA TABIA ZA NCHI ZINAZOENDELEA NA KUPELEKA NCHI ZILIZO ENDELEA. HILO VAZI LA MA GANGSTERS😂😂
Roma hio sio shida ya jamaa.. Ni ni shida anayosababishwa na Black Americans na wengine wanavyo iba (shoplifters). Imepelekea wenye maduka kumprofile mtu na kutia shaka baadhi ya mambo kama hili la kuvaa na kutoka dressing room... hio ni redflag, wanaibiwa sana. Na swala la kukutolea bastola, sio kosa lake na lako lakutokujua kwamba ulichokifanya kimempelekea yeye kutafsiri vingine.. Ndio maana hata polisi akikusimamisha mikono yako mda wote iwe seheme ianayoonekana.. Usirudie siku nyingine na unabahati hakufyetua.. Never try to reach with your hands in an argument without saying your intentions.
Ukitolewa gun marekani basi wewe ni mshamba bado cause hua marekani hauruhusiwu kugusa mfukoni jama alicho fanya amekua ana jiteteya kwasababu marekani kila mtu anakua iko na gun
Unaleta mambo ya Africa USA ooh uku bara lingine bro chuma ingekuhusu alafu USA ata police akikumata au kukuoji ukashika mfukoni tu mzee unakula chuma apo apo inabidi mikono yako ionekane wazi kabisa na usifanye chochote ruhusu usachiwe ata ukimtukana fresh shida kushika mfuko wa nyuma mbele au kufungua bag
Broski mbn Chicago Illinois kuna gangs za kufa mtu, unaishi kwa amani Kweli?? Gangs km O'Block,THF,GD,BD,600,300,nk zina fujo sana kitaa, na kuna rappers km King Von, DThang,051 Melly, OTF Nunu nk walipoteza maisha ktk fujo za mtaani na clubs..au hao jamaa ukimind business zako hawana time na ww??
Ukute hata hiyo 911 wakigundua ni mweusi wanaweza wasije. Na wakijua ni mweusi wa kutoka nchi nyingine ndo watapata na hasira wataamua kumkamata na kumtengenezea kesi kisha kupata shida zingine. Kifupi hao jamaa wana ulimwengu wao. Mi sijawahi kuwakubali hao. Kwao kuua mtu ni kama kukanyaga sisimizi tu hasa kumuua mweusi. Basi tu yani.
Matatizo yako ni kwamba unataka kuwa mmarekani kuliko wamarekani wenyewe! Kwanza unavyovaa Kwa makuzi yetu Tanzania ni aibu. Hata huku bongo Kwa mavazi hayo utaonekana jambazi!
Hiyo haitakiwi kabisa hata Ugerumani haitakiwi kabisa hautakiwi kutumia kitu kabla ya kulipia sasa wewe umevaaje kwanza bila kulipia hapo umechemsha sana acha ushamba
Hivi unalipiaje kitu ambacho hujui Kama kitakutosha au kitakupendezea nyiee ndiyo wale mnao umbukuga nilikuta na mtz mmoja Nairobi akajifanya yy machino akawa anatucheka SS kuuliza Bei ya chakula akaagiza baada ya kula inakuja bili alipie hapo akili ilimka sawa
Hii Kama story yangu ilinitokea nilipokuwa naingia kazini inatakiwa utumie kitambulisho cha Kazi Kama ufunguo Sasa kipindi nakaribia gheti kuna jamaa anatoka nje sasa nilivyopeleka mkono mfukoni kutowa kitambulisho bana Yule jamaa akaingiza mkuno kwenye koti lake like akatowa bastola bana nilihogopa saaana
Kuna mavazi uki vaa hata Police aki kuona tu tayari usha jitafutia matatizo.
Hayo hapo Marekani tu nchi nyingi za kimagharibi.
Hoko nyumbani tuna penda sana kuiga mavazi lakini mengine kwa nchi nyingine ni dress code ya kundi fulani la kihalifu. Una weza kupoteza maisha kwa dress code ulio vaa tu wakati wewe huwi kitu Chochote kuhusu ume vaa nini.
We ulikosea ukijaribu nguo ni kuitoa na kulipia si ruksa kuvaa na kuanza kuendelea na manunuzi,,,,,cause marekani wezi ni wengi kama Tz
Bro Roma nifahamishe hilo duka lipo mtaa gani one day naweza kuja Marekani then nikatamani kufanya shopping kwenye hilo duka
Bro! Pia ni story kama hiyo hiyo kabisa. Nimeenda kwa club moja hapa Los Angeles, Beverly-Hills, Jama kaniona nimefa Red kwote yaani. Alipo nikaribia nilikuwa nataka kutoa Sim mfukoni tu, akatowa bastola. Washkaji pembeni wakaziwiya wakisema huyo ni muafrika tena mtuu poa na watu, nikawa ninepona kabisa. Badae wakaja kuniambia niachane nakuvaa ngu żaku Fanana hivo, huwa zinatafsiri ingine vibaya kwa wingine.
We upo marekani au ruvuma
😂@@davidtentacion3104
Sasa kwa nn uvae red koteeee
@@davidtentacion3104😅😅😅😅daah
Aisee pole sana bwana
Nimejifunza kitu mwanangu Roma
Daah tabia za bongo tusiende nazo kwa mataifa mengine tuwe tunauliza utamaduni wa kwao
Roma nakukubali sana
Isikuume nchi za watu lazima uwe mtumwe,sasa unasema ulipata hasira,,,,UNGEFANYAJE SASA..tulia bro,usiwe na hasira nchi za watu kuwa mpole..
imeshaa Nitokea Hiyo Nipo zangu Tokyo iliniuma sana mpaka leo nipo Dubai nakumbuka hicho😭😭😭
Marekani ni rahisi kuzoeana na mzungu ila sio blacks. Wana shombo sana hawa jamaa
Marekani sio mchezo. Na ubaya wa Marekani haijarishi ni sangapi au wapi, unapigwa risasi popote kama unafuatiliwa na watu wenye kukutaka. Iwe katikati mjini, iwe Police, iwe kanisani, iwe ....utapigwa risasi ukipatikana na mulengwa
Huko mambele kila nguo inawekwa stika kuonesha kuonesha bei yake kwa maana aliivaa kabisa kwa sababu alikuwa amesha ipenda na alikuwa anajua kuwa ana uwezo wa kuilipia.
Roma 💐💐💐💐💐💐💐
Hello
Pole sana ROMA kuweni wapole nchi za watu
ila kiukweli mie hapahapa kibongobongo ninatabia hiyo yakujaribu nguo nikiipenda huwa nazunguka nayo dukani natafuta nyingine ,, kunasiku nilinyewa na kunguru , nguo nyeupe ikabidi niingie dukani nikaipenda gauni nikaivaa na nikazunguka nayo mle dukani nikiindelea kutafuta nyingine😅 sasa kwa mtindo huo wa wenzetu c utumbo ungesha mwagwa kitambo
Pole ila kiufupi hakuna amani huko jamn msichke wallah mee na benda tz au omn auchainz
unyama sana kaka endelea kujifunza mwisho ufanane nao
Marekani noma sana mzee sasa hapo ingekua ni polisi amekusimamisha then ujiguse bila kuomba permission hapo RIP zingekua nyingi sana
Club za mbele dress code inaitwa (smart casual) huwezi kuingia na tracksuit, sport shoes au sweatpants 😅😅😅 ila mtanga anajifunza kwa taab sana😂
Duhuu atar sana roma
Noma baba roma
Dah mzee milad roma ana stor za kusisimua ila me nna iman matukio ayo yote yanafanywa na mtu mweus sis watu weusi tuna matatizo sanaa
Bongo Aman sana tunajambiana club wee na hakuna kinachotokea😊😊😊😊😊
😂😂
😂😂😂😂😂😂
duuh huko nomaaa
Roma nakukubali sana broo 😂😂😂 kwanza ni mkweli kwakweli 😂😂😂
Umevaa nguo haujailipia bado unazunguka nayo we unaona ni sahihi
We naye ni mjinga si ungalipa mapema matatizo unatafuta mwenyewe
Roma mbona kama mwongo jamani hmm sina chakusema 😮😮😮acha tu nibaki mdomo wazi tu
M nachoelewa hapa ni kwamba kila nchi ina taratibu zake na lifestyle yake
Sasa usipojua hilo lazima upate shida
Duh syo poa
jamaaa anaaangalia michezo sanaa apo alijuwa kama matukio ya mchezo ya kuibiwa anataka aaanzishiwe ndo maaanaa akaaanza yeye
USHAURI MSILETE UJUAJI NCHI ZA WATU. UNAWEZA KUUWAWA BILA HATIA KISA KULETA TABIA ZA NCHI ZINAZOENDELEA NA KUPELEKA NCHI ZILIZO ENDELEA. HILO VAZI LA MA GANGSTERS😂😂
Nikweli utajalibu vipi nguo ujalipia unaivaa watoka nayo😂
Sa ujuaji uko wap hapo na anasema alikua hajui na sasa anajua hawezi kufanya hivyo na wala hakubishana na mtu ujuaji we umeuona wap
@@salmabasil385 UJUAJI ni kutouliza taratibu zao. Pia unavaaje nguo ya dukani kabla ya kuilipia na unazunguka nayo SIO SAWA
Sauti ya ladi respect u my brother rom
Dunia haiwez kuacha kukufundusha kila siku utaona mapya
❤❤❤🌹🌹🌹🌹Roma 🎉🎉🎉
Pole san bigman
nimejifunzaa kinyama Kwa mwanangu Roma
Roma hio sio shida ya jamaa..
Ni ni shida anayosababishwa na Black Americans na wengine wanavyo iba (shoplifters).
Imepelekea wenye maduka kumprofile mtu na kutia shaka baadhi ya mambo kama hili la kuvaa na kutoka dressing room... hio ni redflag, wanaibiwa sana.
Na swala la kukutolea bastola, sio kosa lake na lako lakutokujua kwamba ulichokifanya kimempelekea yeye kutafsiri vingine..
Ndio maana hata polisi akikusimamisha mikono yako mda wote iwe seheme ianayoonekana..
Usirudie siku nyingine na unabahati hakufyetua..
Never try to reach with your hands in an argument without saying your intentions.
ilinitokea hiyo wakati nipo las vegas iliniuma sana😢😢😢😢😢😢
🤦Roma au shida ilikuwa Lugha alihisi unamfokea😅😅😱
Waambie nasi hatutaki shobo🤦
Pole saaana roma 😢
Kwanza ncheke😂😂
Roma Duka Gani Hilo Siku Nikija Niwazingue
Nandomana siku hizi siendagi club especially hapa Seattle.
Ukitolewa gun marekani basi wewe ni mshamba bado cause hua marekani hauruhusiwu kugusa mfukoni jama alicho fanya amekua ana jiteteya kwasababu marekani kila mtu anakua iko na gun
Unyama baba..🚴🚴🚴
Unaleta mambo ya Africa USA ooh uku bara lingine bro chuma ingekuhusu alafu USA ata police akikumata au kukuoji ukashika mfukoni tu mzee unakula chuma apo apo inabidi mikono yako ionekane wazi kabisa na usifanye chochote ruhusu usachiwe ata ukimtukana fresh shida kushika mfuko wa nyuma mbele au kufungua bag
Njoon south Africa ndio mtajua bunduki ni Jambo la kawaida
Bro toka miraland njoo Chicago illinois utulie bwana. Unakaa unaishi Shamba tu.
Oi uko upo Chicago sehem gani nitumie Whatsapp namba ako
Broski mbn Chicago Illinois kuna gangs za kufa mtu, unaishi kwa amani Kweli?? Gangs km O'Block,THF,GD,BD,600,300,nk zina fujo sana kitaa, na kuna rappers km King Von, DThang,051 Melly, OTF Nunu nk walipoteza maisha ktk fujo za mtaani na clubs..au hao jamaa ukimind business zako hawana time na ww??
Angemreport polis
Roma nakubali sana❤🎉
Ndo urudi Sasa hom
Ulifanya makosa call 911 coz hapa si poa kuwekeya m2 bunduki is kinyume ya sheria hapa merekani
Ukute hata hiyo 911 wakigundua ni mweusi wanaweza wasije. Na wakijua ni mweusi wa kutoka nchi nyingine ndo watapata na hasira wataamua kumkamata na kumtengenezea kesi kisha kupata shida zingine. Kifupi hao jamaa wana ulimwengu wao. Mi sijawahi kuwakubali hao. Kwao kuua mtu ni kama kukanyaga sisimizi tu hasa kumuua mweusi. Basi tu yani.
@@dunstunnchimbi7994 alafu uku tunawashobokea sanaa yani
Kweli Kabisa Nguo Zingine Unaonekana Mwizi Uko Sawa Maneno Yako Hata Mcongo Mmoja Alisema Kila Kitu Kuusu Maisha Ya Uko
Roma ulitumia ni makosa sana ndo maana ukitoka tz moja k moja bado unakua mshamba sana kama.ungekaa south africa maisha ya mbele kidogo unayaelewa
Wageni wengi wanaambiwa ignorancy utaachwa tu. ila unaweza kufa kwa rangi ya nguo. unataka kuishi marekani kama wao pia utachapika mzee.
We upo Jimbo gan huko
Leo ndo nimemuona Millard bila kofia
👊✌👍.
Huyu nae anatunga story tu hamna kitu
Ulijuaj kama katunga? Ao nyie ndo wale wa kujaza nyama ila machine haikui😂😂😂
Wengne tunajifunza wenda sk tukaenda uko tusifanye makosa
ukishazoea kusema sema uongo basi hata ww kila utakachoambiwa utaona kama unadanganywa tuu
Marekani kuchezea shaba ya kichwa ni dk 0
Roma get back home.tujenge nchi yetu.Hao wamejenga nchi yao wanaona shida sana mnaokuja na kuishi tuu.they consider you lazy aka wapenda mteremko.
Like south Africa😢
Mhuu mm nilienda china mwaka 2018 kilicho nikuta stamani tena kwenda huko😢😢😢😢😢😢
Ilikuaje aisee kaka😅
@@FreeGod368 nilipewa kesi ambayo siijui mtanzania nilikuwa mm tu wengine wanaigeria nimesota blaa kuja kutoka sitaman tena kwenda huko
@@frankbujiku9496 Duuu aisee pole sanaa kaka, 🙏🙏
Mnapoenda nchi za watu acheni kusokota nywele
Itakua china plaza pale kariakoo😂😂😂
Matatizo yako ni kwamba unataka kuwa mmarekani kuliko wamarekani wenyewe! Kwanza unavyovaa Kwa makuzi yetu Tanzania ni aibu. Hata huku bongo Kwa mavazi hayo utaonekana jambazi!
bongo amani tuuuuu tunajambiana club na akuna nomaaa😂
Sasa bro roma mpaka sasa wende club?
Kaka haya mambo ya dunia America kuna mambo
Watu wa Marekani awana mazoea au maadili ya kutembea na ivyo vi beg ni ushamba wa watu wa africa.
Roma story teller 😂
Kwa maelezo hayo, demokrasia ipo ya kutosha Africa
Roma fala sana😂😂😂😂😂
Ilishantokea lagos kwenye club moja ivi aloooo ilikuwa atar😅
Romah njoo nyumban bhna umepotea xanah
Unaweza kwenda kwenye Hoods ya blood gang ukavaa blue umeisha, na ukaenda kwenye hoods za Crips gang ukiwa umevaa Red umeisha.
what is Ki nyamwezi?
I'm in Kenya
Tatizo hamna sura za pesa
Ndio maana siendi club wala sehemu zitakazofanya maisha yangu yawe hatarini.
Frida ndo amekuwa mmama hiv
❤🎉🎉🎉😅😮
Sheraut kwenu mirad roma na cstar kwaku2pa story maisha yanatufanya tuchukiane na kuishia sehemu fulani
Mbele unyama ni mwingi
Rudi nyumbnj rom
Kazi ipo
Yaani hapo unbelievable kabisa ungepiga polisi yaani pesa nje ungemstaki loo
Rudi home kaka 😂 watakuulia huko.
Nakuamin mno mwaba unacho kieleza na kunikosha san kw nymb zako RomA
Hiyo haitakiwi kabisa hata Ugerumani haitakiwi kabisa hautakiwi kutumia kitu kabla ya kulipia sasa wewe umevaaje kwanza bila kulipia hapo umechemsha sana acha ushamba
Hiyo mbona hata bongo. Unavaaje kitu hujalipia😂
Bongo ni kawaida tuu mbona
Hivi unalipiaje kitu ambacho hujui Kama kitakutosha au kitakupendezea nyiee ndiyo wale mnao umbukuga nilikuta na mtz mmoja Nairobi akajifanya yy machino akawa anatucheka SS kuuliza Bei ya chakula akaagiza baada ya kula inakuja bili alipie hapo akili ilimka sawa
Huo ni ushamba mmojawapo vipi wavaa nguo wakati hujailipia❓❓❓mkienda nchi za watu fateni sheria zao au mtarudishwa kwenye masanduku
Acha uongo wewe mimi naishi hapa USA kikawaida Kama umependa nguo
Lazima ujipimishe kwanza kabla ya kulipia
👁️👁️
Uwa nawakubalisana watu wa hip hop matukioyao wanatufunza kitu kuliko ata awa ma start wakubwa tz wa 3
Let's have a conversation
Roma apewe mauwa yake😂😂😂😂😂😂😂😂
Yuko Mcongo Alitoa Mawaiza Kuusu Iyo Ishu Nchi Zingine Ukivaa Nguo Zingine Wanajua Wewe Ni Mwizi Ivo Wanajiami
Daaah so p bro ni maisha tuu
Hajui tuu wabongo tukiamua kuiba hamna wa kushtukia
naKumbuka ilitaka nitokea denmark
Star mzima Anadisia Upumbavu Uvahe nguo Ndio Ukalipe Utapeleka biashara ya china marekani mpumbavu mkubwa wewe
Kama hapa tu SA kuna club kibao ukivaa kapelo huingii na hivyo vikoba pia wengi wanabebea bunduki mtaan
😅😅😅😅
Ata mm ilinitokea kama ivyo manzese
Hii Kama story yangu ilinitokea nilipokuwa naingia kazini inatakiwa utumie kitambulisho cha Kazi Kama ufunguo Sasa kipindi nakaribia gheti kuna jamaa anatoka nje sasa nilivyopeleka mkono mfukoni kutowa kitambulisho bana Yule jamaa akaingiza mkuno kwenye koti lake like akatowa bastola bana nilihogopa saaana
Dah ebhan story yako imenifunza vitu kadha kiukwel uko vizur Roma