ROMA: WALIONITEKA WALINIAMBIA NITATOKA 2030

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 08. 2024
  • Ambayo hujawahi kuyasikia kuhusu na Roma kutekwa , ilikuaje, maswali waliyoulizwa na Vyakula walivyopewa, Yote utayapata hapa
  • Zábava

Komentáře • 628

  • @simiyuboj
    @simiyuboj Před 4 lety +6

    My fevorite rapper belive you me I love this guy very much..... Viva Roma

  • @mosesthoya9818
    @mosesthoya9818 Před 5 lety +18

    Pole Sana Mwanangu Roma endeleaa Kusali mungu atakulipiaa

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 5 lety +11

    Hizo Nyumba Ziko Boko, Kama waliwatupa Ununio, Nilishaenda Huko Mwaka 1995 Kwenye Maombi ya Kufunga Kwenye Retreat za TAFES, Kuna Magorofa Kama Magofu 6 Hivi ambayo Hayakaliwi na Mtu, Sijui sasa kama yapo Occupied. Ndiko walikompeleka Pia Dr. Ulimboka Na Watekaji Tanzania ni PSU.

  • @graciousjerry1322
    @graciousjerry1322 Před 7 lety +10

    nimejaribu kuvaa kiatu chako kwa kwel kinanipwelepweta!!! yaan me nahisi ningekuwa nimeshakufwaaa kabisa!! yaan kuona tu hiyo mitutu me buriani!! pole baba ivan mpende sana mkeo maana Nancy alikuwa analia hana hali

  • @mainajackson4197
    @mainajackson4197 Před 7 lety +10

    Duuuu Pole xana Roma Ila nkushukuru mungu coz uhai ndio everything

  • @jackyshizzle397
    @jackyshizzle397 Před 6 lety +2

    Pole sana ROMA.....Mwenyezi Mungu akupe ujasiri....Napenda sana kazi yako

  • @charlesmurimi592
    @charlesmurimi592 Před 5 lety +7

    Viva Roma, sanaaaaaaa, MZEE, uko juu baba. Huo Ndio ukweli baba hata mm pia makamanda wangu wawili wataleta ukombozi 2030

  • @jeskamathias5613
    @jeskamathias5613 Před 7 lety +15

    hujafa hujaumbika kaka yangu Roma ila yotee hayo Mungu pekee ndo mtoa hukumu

  • @wiliamsongolala5238
    @wiliamsongolala5238 Před 5 lety +7

    Pole sana ndg kwa yaliyokukuta,mungu yupo tu,

  • @emanueljosephmahenge1079
    @emanueljosephmahenge1079 Před 6 lety +5

    Pole bro, Mungu no mwaminifu na ndo maana bado unaishi, piga moyo konde atakuponya majeraha yako yote. Hongera bro Milad kwa kazi nzuri.

  • @ramaiddi4590
    @ramaiddi4590 Před 6 lety +6

    Nimeanza kukueleewa tangia Salute had Leo.. Rudi shule kashike chaki. Taifa tuna uhaba wa walimu wa sayansi.

  • @sweetbartcloud2787
    @sweetbartcloud2787 Před 7 lety +10

    ninakubari sana kazi zako broo mungu aenderee kubariki kazi za mawazo yetyu poule san roma mnazalet time ikifika wataria na kusaga meno hooohaleluya

  • @jorodanusruragirwa2594
    @jorodanusruragirwa2594 Před 7 lety +15

    namuona brother Roma katika ubora Wake

  • @lovekambua7413
    @lovekambua7413 Před 7 lety +23

    Am in tears😭😭😭😭. Roma mungu akujalie waliokuteka they will never know peace in their lives

  • @patrickutouh6307
    @patrickutouh6307 Před 3 lety +7

    Hakuna kipande kigumu ka hiki ukikisikiliza lazima ulie dah! Pole sana br Roma na nakukubali sana shabiki namba moja😭

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 Před 7 lety +4

    nakuelewa sana Roma tisha mno by MnyaQ boy

  • @victorsichimata387
    @victorsichimata387 Před 5 lety +4

    Pole sana kaka Roma naomba mungu awalani kwa kukutendea Mabaya

  • @ceciliajimmy5652
    @ceciliajimmy5652 Před 5 lety +20

    Mimi namshukuru Mungu, na watu wenye mapenzi mema bila kumsahau mkeo, alilia sana sana nakumbuka alisema, kama mume wangu kafa basi wampe hata maiti ili amzike mume wake, jamani inatia huzuni!!

  • @princesalumu981
    @princesalumu981 Před 7 lety +13

    Vivaaa roma vivaaaa am on my way to ZIMBABWE

  • @latifaayoub5750
    @latifaayoub5750 Před 7 lety +9

    Jaman!!!Pole Roma

  • @dativajoseph1304
    @dativajoseph1304 Před 6 lety +4

    du pole sana jembe ni wakati tuu unapitia.mungu yupo

  • @jackisongirani245
    @jackisongirani245 Před 3 lety +8

    Maxhabiki wa mwana harakat a, k, a 2030 weka like hapa tujuane

  • @bonkemlawa1615
    @bonkemlawa1615 Před 6 lety +2

    pole brother God will help you songa mbele kaza maisha ni mitihan kupanda na kuxhuka

  • @waleoofficial6816
    @waleoofficial6816 Před 7 lety +5

    Daah ! pole sana bro

  • @godymbanyi1878
    @godymbanyi1878 Před 4 lety +2

    Mungu akusaidie. Nchi yetu ni nzuri, lakini matukio haya ni miongoni mwa mambo ya hovyo katika nchi yetu.

  • @anetikapami4228
    @anetikapami4228 Před 6 lety +2

    Pole Loma Mungu atakulipia hapahapa Duniani.

  • @happykimaya2762
    @happykimaya2762 Před 5 lety +7

    Ayo nimependa maswali yako huko vzr Sana!

  • @alexsdogan7790
    @alexsdogan7790 Před 7 lety +4

    Daaah pole sana kaka angu,

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy Před 5 měsíci

    Polesana roma mungu naamini ameshalipa maombi yako usikate tamaa cc tupo nyumayako pia mungu anakupambania sana c vyo hadisasa tusingekua ote pamoja

  • @hairounmkangwa9505
    @hairounmkangwa9505 Před 7 lety +6

    mchizi Roma kweli mpiginia haki husemwa mchiz we kaza tu hao vimbwanga tu wanga

  • @noordyndinny
    @noordyndinny Před 3 lety +4

    Kwa taswira ya picha kwa kile kilichokukuta kupitia hii, una haki ya kusepa bongo mzee baba #muchRespect

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy5809 Před 3 lety +4

    Hapo mm nimepata jibu Serikali ilihusika!!!!!!!🔛🔝🏃🏃🇹🇿

  • @godfreyreuben4554
    @godfreyreuben4554 Před rokem +1

    Pole sanaa broo

  • @sadiqsleemz6311
    @sadiqsleemz6311 Před 7 lety +18

    unajua nini ALLAH ANAJUA UMEZULUMIWA YU PAMOJA NAWENYE SUBIRA

  • @sundayndazi1761
    @sundayndazi1761 Před 7 lety +8

    Pole sana

  • @maxmillan7664
    @maxmillan7664 Před 7 lety +4

    pole sana mkuu ROMA

  • @jeremiahkiberenge834
    @jeremiahkiberenge834 Před 7 lety +6

    4rever bro roma

  • @emmamabula6044
    @emmamabula6044 Před 7 lety +7

    Daah pole sana but mungu ni mwema pia malipo yapo hapa hapa dunian kikubwa endelea kumtumain mwenyez mungu.

  • @geofreymatto6710
    @geofreymatto6710 Před 6 lety +4

    Pole Bro.. 2030 Good Thinker, Thank for Thinking about TZ 18yrs comming...

  • @eddyeddy6071
    @eddyeddy6071 Před 7 lety +24

    Duu Tanzania inakwenda wapii pole bro

  • @mwangamussa793
    @mwangamussa793 Před 4 lety +1

    Inawezekana mungu amekupitisha humo uone wananayotendewa wengi bila watu kufaha kinachoendelea mshukuru tu mungu na kumuomba sana mungu na kuiombea nchi hii kwa yale uliyoyaona

  • @gitongamukira3749
    @gitongamukira3749 Před 6 lety +3

    Pole sana Roma. Maghufuli must Go. Serikali ya Tanzania lazima iwajibike

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 Před 5 lety +3

    Pole sana bro

  • @salomemahenge9845
    @salomemahenge9845 Před 7 lety +5

    da inauma sana pore Roma ira mwachiye mungu

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 Před 7 lety +15

    dahhh! pole sana Roma ila ucjali malipo ni hapa hapa

    • @ramadhanabdalah3728
      @ramadhanabdalah3728 Před 6 lety

      miss Agatha yotemaisha

    • @visaa8203
      @visaa8203 Před 4 lety

      Kumbe wasiojulikana wa najulikana, kwa sababu wasiojulikana hawana time ya kukaa au kumzuia mtekwaji wao kwa muda mrefu hivyo. Ni chombo kimoja tuu ndio kinaweza kumuweka mtu kizuizini kwa muda mrefu.

  • @wiliamsongolala5238
    @wiliamsongolala5238 Před 5 lety +11

    Imeniuma cyo kidogo,maelezo yako yamenitoa machozi kabisa,duh!!,nikweli mungu yupo

  • @abasiamili4504
    @abasiamili4504 Před 3 lety +1

    Mungu yu pamoja nanyi vivavrom

  • @chrispinetungaraza4531
    @chrispinetungaraza4531 Před 7 lety +3

    pole kaka Roma.asante Millard kwa kutujuza. duh.

  • @deone728
    @deone728 Před 7 lety +22

    Mungu atakulipia Roma....malipo ni hapahapa duniani

  • @queenqueen-du3ht
    @queenqueen-du3ht Před 7 lety +4

    pole'sana'#mungu' ndio mungu'atakulipia

    • @genius8524
      @genius8524 Před 4 lety

      Tz nch yaajabu sana.inauma kusikiliza mateso uliyopitia

  • @eduardobabou3022
    @eduardobabou3022 Před rokem

    Mkwasi wa mistari mumemfanyia nini sipendi kuskia hili tukio......but always strong Roma kama roma ♥️♥️♥️♥️

  • @aizackdidas9792
    @aizackdidas9792 Před 7 lety +15

    pole sana kaka Roma Mungu yuko pamoja naww

  • @veryzua
    @veryzua Před 6 lety +4

    I am from Rwanda guys. But this is too much, guys. The war that Tanzania has never faced you faced it alone; you Roma. Justice for Roma

  • @goodluckmmole8076
    @goodluckmmole8076 Před 3 lety +1

    Daaah😭😭pole sana brother Roma Zimbabwe

  • @allyahamedy6567
    @allyahamedy6567 Před 7 lety +2

    Aisee pole sana Roma

  • @kelvinzablon2090
    @kelvinzablon2090 Před 4 lety

    pole kakangu......mwakilishi toka Kenya

  • @stevenk5899
    @stevenk5899 Před 7 lety +3

    pole sana roma

  • @FAMASIKITAA
    @FAMASIKITAA Před 7 lety +16

    Daaaaaahhhhh hatimae umeamua kuwambia umma hayo yote then what Ila poa mm nilikuelewa from the first day kikubwa tuu uendelee kufanya mzik tunaotaka mashabik na watz kwa ujumla I appreciate you mkubwa #Roma shoutout Pole san kwa yote Mungu atatnda juu ya watesi wako Amin

    • @mohammedyjuma2475
      @mohammedyjuma2475 Před 6 lety +1

      katuñizakiswahilizawatoto

    • @abdurissa1389
      @abdurissa1389 Před 6 lety

      kjna mtazamo wangu acha sanaa jichanganye na mambo mengine Kwan jua hamna kisichowezekana mwisho wa yote utaacha family ikiumia

  • @Tanurulafikra2410
    @Tanurulafikra2410 Před 4 lety +4

    Pole sana *Rais* Wangu wa 2030

  • @graytonndamgoba4805
    @graytonndamgoba4805 Před 7 lety +1

    ROMA.Reserch what is ECG in pretorial.you will get the answer of what you went through.keep strong in christ

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 3 lety +1

    Viva Roma Viva 👊👊👊👊

  • @joycelugano2228
    @joycelugano2228 Před 4 lety

    Kaka uwe na Amani Mungu adhihakiwi atakulipia Mungu anajibu Tuuu majibu ni hapa hapa kuna maisha zaidi ya haya.

  • @kiganjaprimetz8245
    @kiganjaprimetz8245 Před 7 lety +6

    Millard big up maana kuna waloshindwa kuhoji

  • @Isackkayanda
    @Isackkayanda Před 3 měsíci +1

    Kaka Roma mungu yu pamoja na wew

  • @separatebetres5315
    @separatebetres5315 Před 3 lety +1

    Mungu awalaani hao majitu wafe mmojammoja

  • @clivemuseveni7786
    @clivemuseveni7786 Před 6 lety

    Pole sana kaka blatha Mungu yuko nawe kwa kutetea wanyonge

  • @damasbarnabas2753
    @damasbarnabas2753 Před 7 lety

    Da ryme of magic attraction god stand for u

  • @Kenya844
    @Kenya844 Před měsícem

    Pole 😢 bro daah

  • @lmanimapunda4208
    @lmanimapunda4208 Před 3 lety +1

    Pole sana kaka.

  • @elishalucumay9766
    @elishalucumay9766 Před 7 lety +7

    Na wale watu waliomteka Roma walipatikana usijali mungu ndo atawahukumu waliokufanyia unyama

  • @abdulmkatupemkatupe7974
    @abdulmkatupemkatupe7974 Před 7 lety +8

    Pole sn 2030 Mungu atawahukum insha-allah

  • @davidlissu9099
    @davidlissu9099 Před 7 lety +4

    Pole kijana roma

  • @vitaliskipingu6238
    @vitaliskipingu6238 Před 4 lety

    Mungu anaona kibaya na chema na yeye in mwenye haki so haki yako mungu atakulipia ucjali

  • @emmanwelkomba4791
    @emmanwelkomba4791 Před měsícem

    Kaamarekani kaka umeteseka sana

  • @samwelching5051
    @samwelching5051 Před 6 lety +1

    Mungu atalipa ROMA usiogope bro

  • @denicymichael6284
    @denicymichael6284 Před 4 lety +1

    Dah roma umenifurahisha apo ndio mmmh walivunjw si kidole cha mwisho huwa nakiimba imba

  • @winebernad3908
    @winebernad3908 Před 7 lety +5

    Pole sana Mungu ndo kila kitu kwetu

  • @angellamwanri8414
    @angellamwanri8414 Před 5 lety

    Dah ! Pole sana Roma

  • @momembe9980
    @momembe9980 Před 7 lety +2

    Pole sana ndugu yetu ndio Tanzania yetu hiyo haina jinsi

  • @yamungutujenge7433
    @yamungutujenge7433 Před 6 lety +1

    God bless you brod

  • @ludaday7428
    @ludaday7428 Před 6 lety

    Pole sana Roma pia Mungu atawalipa tuu mahayawani hao

  • @stevejames4118
    @stevejames4118 Před 7 lety

    inasitikisha xan. pole xan Roma

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 7 lety +8

    Viva #Roma

    • @hamismalimungu9959
      @hamismalimungu9959 Před 7 lety

      mkundu ww

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 Před 7 lety

      Hamis Malimungu wee kuma la mamako kama mkundu unakuwasha lete hapa nikutue kenda mkundu maji wewe

    • @paulnada6354
      @paulnada6354 Před 7 lety +1

      Hamis Malimungu kuwa kichaa cyo mpaka uende kuokota makopo, namaanisha wewe ni kichaa japo utajidai upo sawa

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před 5 lety +2

    Majibu watapata mbele ya kiti cha hukumu. Imenitoa machozi upya jamani. Halafu hii inatupa fununu kuhusu watekaji. Mungu anusuru Taifa letu kwa vitendo vikatili vilivyotokea na vinavyoendelea

  • @agnesgervas8070
    @agnesgervas8070 Před 4 lety

    Duuuh pole sana kwakupgwa hadi machoz iseee kiukwel matukio mengne yasikie tu kwa mwingne ila usiombe yakupate wasamehe tu ukiw km ww mwanadam ulieshika dini unaesali haya ya dunia mwachie mungu akutetee hao waliokufanyia hvyo hukum yao ipo kwa mungu

  • @kulwakabembo643
    @kulwakabembo643 Před 7 lety

    pole sana Mungu yu nawe daima

  • @bahatijoseph8763
    @bahatijoseph8763 Před 3 lety

    Duuh poleee Sana Man

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Před rokem

    Pole saana MUNGU atawahukimu wote napamoja nahyo aliyewatuma wakufanyiehivyo

  • @fettyally333
    @fettyally333 Před 3 lety

    Dah pole sana sikujui lakini hisia zimenijia ssana.mateso gani hayo. Ila mungu amekupigania sana na utazidi kufika pale unapotaka

  • @Mediator-ct7yj
    @Mediator-ct7yj Před rokem

    Pole sana brother

  • @emmanueldaniel8445
    @emmanueldaniel8445 Před 7 lety +1

    axante blooodaaa% maneno yako yataja komboa nchi yetu ( 2moro if not 2day ). pole xana our fighter%

  • @pelusemanueli858
    @pelusemanueli858 Před 5 lety +1

    daa ? pole sana kaka roma

  • @chipiratony6625
    @chipiratony6625 Před 7 lety +1

    Pole sana mzee babaa

  • @jacobleonard2129
    @jacobleonard2129 Před 7 lety +9

    dah!xema mlkula frexh

    • @ashrafibrahim2727
      @ashrafibrahim2727 Před 7 lety

      Jacob Leonard adi samaki haha walitekwa au walienda pool party haha

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 4 lety +2

    Sounds so emotional.

  • @kasianomoris8455
    @kasianomoris8455 Před 5 lety

    Pole sana kaka yangu.

  • @floramsacky3929
    @floramsacky3929 Před rokem

    Ilileta taharuki mpaka kanisani likaomba kwaajili yake, Mungu akupe Maisha mema na akulinde zaidi ya yote akuangazie nuru ya uso wake

  • @methodsikale8456
    @methodsikale8456 Před 4 lety +1

    Daaah kumbe ndo mwaka ulio mzaa mwanao ivan🤣🤣🤣🤣

  • @barakamkama6309
    @barakamkama6309 Před 4 lety

    Pole Sana .

  • @ashaakidotkidotlyova2881
    @ashaakidotkidotlyova2881 Před 7 lety +2

    pore sana kaka daa kumbe ilikuwa makubwa hivo jamani mungu atawalipa japo itachukua muda ila mungu yupo