Hizo Nyumba Ziko Boko, Kama waliwatupa Ununio, Nilishaenda Huko Mwaka 1995 Kwenye Maombi ya Kufunga Kwenye Retreat za TAFES, Kuna Magorofa Kama Magofu 6 Hivi ambayo Hayakaliwi na Mtu, Sijui sasa kama yapo Occupied. Ndiko walikompeleka Pia Dr. Ulimboka Na Watekaji Tanzania ni PSU.
nimejaribu kuvaa kiatu chako kwa kwel kinanipwelepweta!!! yaan me nahisi ningekuwa nimeshakufwaaa kabisa!! yaan kuona tu hiyo mitutu me buriani!! pole baba ivan mpende sana mkeo maana Nancy alikuwa analia hana hali
Mimi namshukuru Mungu, na watu wenye mapenzi mema bila kumsahau mkeo, alilia sana sana nakumbuka alisema, kama mume wangu kafa basi wampe hata maiti ili amzike mume wake, jamani inatia huzuni!!
Inawezekana mungu amekupitisha humo uone wananayotendewa wengi bila watu kufaha kinachoendelea mshukuru tu mungu na kumuomba sana mungu na kuiombea nchi hii kwa yale uliyoyaona
Kumbe wasiojulikana wa najulikana, kwa sababu wasiojulikana hawana time ya kukaa au kumzuia mtekwaji wao kwa muda mrefu hivyo. Ni chombo kimoja tuu ndio kinaweza kumuweka mtu kizuizini kwa muda mrefu.
Daaaaaahhhhh hatimae umeamua kuwambia umma hayo yote then what Ila poa mm nilikuelewa from the first day kikubwa tuu uendelee kufanya mzik tunaotaka mashabik na watz kwa ujumla I appreciate you mkubwa #Roma shoutout Pole san kwa yote Mungu atatnda juu ya watesi wako Amin
Majibu watapata mbele ya kiti cha hukumu. Imenitoa machozi upya jamani. Halafu hii inatupa fununu kuhusu watekaji. Mungu anusuru Taifa letu kwa vitendo vikatili vilivyotokea na vinavyoendelea
Duuuh pole sana kwakupgwa hadi machoz iseee kiukwel matukio mengne yasikie tu kwa mwingne ila usiombe yakupate wasamehe tu ukiw km ww mwanadam ulieshika dini unaesali haya ya dunia mwachie mungu akutetee hao waliokufanyia hvyo hukum yao ipo kwa mungu
My fevorite rapper belive you me I love this guy very much..... Viva Roma
Pole Sana Mwanangu Roma endeleaa Kusali mungu atakulipiaa
Pole sana bro
Hizo Nyumba Ziko Boko, Kama waliwatupa Ununio, Nilishaenda Huko Mwaka 1995 Kwenye Maombi ya Kufunga Kwenye Retreat za TAFES, Kuna Magorofa Kama Magofu 6 Hivi ambayo Hayakaliwi na Mtu, Sijui sasa kama yapo Occupied. Ndiko walikompeleka Pia Dr. Ulimboka Na Watekaji Tanzania ni PSU.
nimejaribu kuvaa kiatu chako kwa kwel kinanipwelepweta!!! yaan me nahisi ningekuwa nimeshakufwaaa kabisa!! yaan kuona tu hiyo mitutu me buriani!! pole baba ivan mpende sana mkeo maana Nancy alikuwa analia hana hali
Duuuu Pole xana Roma Ila nkushukuru mungu coz uhai ndio everything
Pole sana ROMA.....Mwenyezi Mungu akupe ujasiri....Napenda sana kazi yako
Viva Roma, sanaaaaaaa, MZEE, uko juu baba. Huo Ndio ukweli baba hata mm pia makamanda wangu wawili wataleta ukombozi 2030
Au sio
hujafa hujaumbika kaka yangu Roma ila yotee hayo Mungu pekee ndo mtoa hukumu
Pole sana ndg kwa yaliyokukuta,mungu yupo tu,
Pole bro, Mungu no mwaminifu na ndo maana bado unaishi, piga moyo konde atakuponya majeraha yako yote. Hongera bro Milad kwa kazi nzuri.
Nimeanza kukueleewa tangia Salute had Leo.. Rudi shule kashike chaki. Taifa tuna uhaba wa walimu wa sayansi.
Pole broo
ninakubari sana kazi zako broo mungu aenderee kubariki kazi za mawazo yetyu poule san roma mnazalet time ikifika wataria na kusaga meno hooohaleluya
namuona brother Roma katika ubora Wake
Am in tears😭😭😭😭. Roma mungu akujalie waliokuteka they will never know peace in their lives
hello
Hakuna kipande kigumu ka hiki ukikisikiliza lazima ulie dah! Pole sana br Roma na nakukubali sana shabiki namba moja😭
nakuelewa sana Roma tisha mno by MnyaQ boy
Pole sana kaka Roma naomba mungu awalani kwa kukutendea Mabaya
Mimi namshukuru Mungu, na watu wenye mapenzi mema bila kumsahau mkeo, alilia sana sana nakumbuka alisema, kama mume wangu kafa basi wampe hata maiti ili amzike mume wake, jamani inatia huzuni!!
Dah
Vivaaa roma vivaaaa am on my way to ZIMBABWE
Jaman!!!Pole Roma
du pole sana jembe ni wakati tuu unapitia.mungu yupo
Maxhabiki wa mwana harakat a, k, a 2030 weka like hapa tujuane
nikawaida katika maisha
pole brother God will help you songa mbele kaza maisha ni mitihan kupanda na kuxhuka
Daah ! pole sana bro
Mungu akusaidie. Nchi yetu ni nzuri, lakini matukio haya ni miongoni mwa mambo ya hovyo katika nchi yetu.
Pole Loma Mungu atakulipia hapahapa Duniani.
Ayo nimependa maswali yako huko vzr Sana!
Daaah pole sana kaka angu,
Polesana roma mungu naamini ameshalipa maombi yako usikate tamaa cc tupo nyumayako pia mungu anakupambania sana c vyo hadisasa tusingekua ote pamoja
mchizi Roma kweli mpiginia haki husemwa mchiz we kaza tu hao vimbwanga tu wanga
Kwa taswira ya picha kwa kile kilichokukuta kupitia hii, una haki ya kusepa bongo mzee baba #muchRespect
Hapo mm nimepata jibu Serikali ilihusika!!!!!!!🔛🔝🏃🏃🇹🇿
Unaishi wapi
Upo hatalini
Pole sanaa broo
unajua nini ALLAH ANAJUA UMEZULUMIWA YU PAMOJA NAWENYE SUBIRA
Pole sana
pole sana mkuu ROMA
4rever bro roma
Daah pole sana but mungu ni mwema pia malipo yapo hapa hapa dunian kikubwa endelea kumtumain mwenyez mungu.
Emma Mabula
Ukweri inasikitisha sana
Kizaz sn...bro roma
Pole Bro.. 2030 Good Thinker, Thank for Thinking about TZ 18yrs comming...
Duu Tanzania inakwenda wapii pole bro
Inawezekana mungu amekupitisha humo uone wananayotendewa wengi bila watu kufaha kinachoendelea mshukuru tu mungu na kumuomba sana mungu na kuiombea nchi hii kwa yale uliyoyaona
Pole sana Roma. Maghufuli must Go. Serikali ya Tanzania lazima iwajibike
Pole sana bro
da inauma sana pore Roma ira mwachiye mungu
dahhh! pole sana Roma ila ucjali malipo ni hapa hapa
miss Agatha yotemaisha
Kumbe wasiojulikana wa najulikana, kwa sababu wasiojulikana hawana time ya kukaa au kumzuia mtekwaji wao kwa muda mrefu hivyo. Ni chombo kimoja tuu ndio kinaweza kumuweka mtu kizuizini kwa muda mrefu.
Imeniuma cyo kidogo,maelezo yako yamenitoa machozi kabisa,duh!!,nikweli mungu yupo
pole sana
Mungu yu pamoja nanyi vivavrom
pole kaka Roma.asante Millard kwa kutujuza. duh.
Mungu atakulipia Roma....malipo ni hapahapa duniani
TTC
Jamani CCM yatupeleka kubaya
pole'sana'#mungu' ndio mungu'atakulipia
Tz nch yaajabu sana.inauma kusikiliza mateso uliyopitia
Mkwasi wa mistari mumemfanyia nini sipendi kuskia hili tukio......but always strong Roma kama roma ♥️♥️♥️♥️
pole sana kaka Roma Mungu yuko pamoja naww
Aizack didas b
Aizaki vp
I am from Rwanda guys. But this is too much, guys. The war that Tanzania has never faced you faced it alone; you Roma. Justice for Roma
Daaah😭😭pole sana brother Roma Zimbabwe
Aisee pole sana Roma
pole kakangu......mwakilishi toka Kenya
pole sana roma
Daaaaaahhhhh hatimae umeamua kuwambia umma hayo yote then what Ila poa mm nilikuelewa from the first day kikubwa tuu uendelee kufanya mzik tunaotaka mashabik na watz kwa ujumla I appreciate you mkubwa #Roma shoutout Pole san kwa yote Mungu atatnda juu ya watesi wako Amin
katuñizakiswahilizawatoto
kjna mtazamo wangu acha sanaa jichanganye na mambo mengine Kwan jua hamna kisichowezekana mwisho wa yote utaacha family ikiumia
Pole sana *Rais* Wangu wa 2030
ROMA.Reserch what is ECG in pretorial.you will get the answer of what you went through.keep strong in christ
Viva Roma Viva 👊👊👊👊
Kaka uwe na Amani Mungu adhihakiwi atakulipia Mungu anajibu Tuuu majibu ni hapa hapa kuna maisha zaidi ya haya.
Millard big up maana kuna waloshindwa kuhoji
Kaka Roma mungu yu pamoja na wew
Mungu awalaani hao majitu wafe mmojammoja
Pole sana kaka blatha Mungu yuko nawe kwa kutetea wanyonge
Da ryme of magic attraction god stand for u
Pole 😢 bro daah
Pole sana kaka.
Na wale watu waliomteka Roma walipatikana usijali mungu ndo atawahukumu waliokufanyia unyama
diamond
Pole sn 2030 Mungu atawahukum insha-allah
Pole kijana roma
Mungu anaona kibaya na chema na yeye in mwenye haki so haki yako mungu atakulipia ucjali
Kaamarekani kaka umeteseka sana
Mungu atalipa ROMA usiogope bro
Dah roma umenifurahisha apo ndio mmmh walivunjw si kidole cha mwisho huwa nakiimba imba
Pole sana Mungu ndo kila kitu kwetu
Dah ! Pole sana Roma
Pole sana ndugu yetu ndio Tanzania yetu hiyo haina jinsi
God bless you brod
Pole sana Roma pia Mungu atawalipa tuu mahayawani hao
inasitikisha xan. pole xan Roma
Viva #Roma
mkundu ww
Hamis Malimungu wee kuma la mamako kama mkundu unakuwasha lete hapa nikutue kenda mkundu maji wewe
Hamis Malimungu kuwa kichaa cyo mpaka uende kuokota makopo, namaanisha wewe ni kichaa japo utajidai upo sawa
Majibu watapata mbele ya kiti cha hukumu. Imenitoa machozi upya jamani. Halafu hii inatupa fununu kuhusu watekaji. Mungu anusuru Taifa letu kwa vitendo vikatili vilivyotokea na vinavyoendelea
Duuuh pole sana kwakupgwa hadi machoz iseee kiukwel matukio mengne yasikie tu kwa mwingne ila usiombe yakupate wasamehe tu ukiw km ww mwanadam ulieshika dini unaesali haya ya dunia mwachie mungu akutetee hao waliokufanyia hvyo hukum yao ipo kwa mungu
pole sana Mungu yu nawe daima
Duuh poleee Sana Man
Pole saana MUNGU atawahukimu wote napamoja nahyo aliyewatuma wakufanyiehivyo
Dah pole sana sikujui lakini hisia zimenijia ssana.mateso gani hayo. Ila mungu amekupigania sana na utazidi kufika pale unapotaka
Pole sana brother
axante blooodaaa% maneno yako yataja komboa nchi yetu ( 2moro if not 2day ). pole xana our fighter%
daa ? pole sana kaka roma
Pole sana mzee babaa
dah!xema mlkula frexh
Jacob Leonard adi samaki haha walitekwa au walienda pool party haha
Sounds so emotional.
Pole sana kaka yangu.
Ilileta taharuki mpaka kanisani likaomba kwaajili yake, Mungu akupe Maisha mema na akulinde zaidi ya yote akuangazie nuru ya uso wake
Daaah kumbe ndo mwaka ulio mzaa mwanao ivan🤣🤣🤣🤣
Pole Sana .
pore sana kaka daa kumbe ilikuwa makubwa hivo jamani mungu atawalipa japo itachukua muda ila mungu yupo
Pole sana