EXCLUSIVE: ROMA ASIMULIA ALIVYOITWA NYUMBANI KWA RAIS MAGUFULI "NILIFATWA NA GARI 4"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 02. 2020

Komentáře • 1,2K

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 Před 4 lety +31

    Millard Ayo Sauti amaizing ya mvuto sijutii bando langu kabsa job is good😋📌✌🏻

  • @rashidramadhan4129
    @rashidramadhan4129 Před 4 lety +299

    Tuko wapi WANA HARAKATI ambao pia ni mashabiki zake ROMA tujuane hapa

  • @godwinegacharo9001
    @godwinegacharo9001 Před 4 lety +81

    Roma ana ubongo mrefu sana Geniuz . "Mungu hashindwi"

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 4 lety +128

    Millard unajituma zaidi hadi unasafiri U.S kumhoji Roma, aiseee much blessings.

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 Před 4 lety +127

    Anayekubaliana na mimi kwamba #Roma mkari kimuziki agonge like kama zootee hapa down.

  • @nanjingasaidi1257
    @nanjingasaidi1257 Před 4 lety +193

    Nimependa hii interview gong@ like jaman cjapata hata 1

  • @tallmunyama5250
    @tallmunyama5250 Před 3 lety +11

    Kama unamkubali Roma gonga like

  • @enockjmtafya4957
    @enockjmtafya4957 Před 4 lety +173

    Kama unamkubali MILLARD AYO like hapa.
    jamaa anajua

  • @fabianfacho8841
    @fabianfacho8841 Před 4 lety +155

    Walioona wazungu wanapenda kutembea wawiliwawili twende like apa√√

  • @ochutrendymwonekano2672
    @ochutrendymwonekano2672 Před 4 lety +169

    Dah kweli wamarekani wapo busy yani wanakunywa chai huku wanatembea 😅

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 4 lety +3

      Hakuna mda wa kukaa

    • @salamamchingama3033
      @salamamchingama3033 Před 4 lety +2

      Hahahahaaaa

    • @bakariisack5537
      @bakariisack5537 Před 4 lety +4

      brown hussein yeah kaka huku no time to west au eti kwenda kusikiliza mikutano ya hadhala wenzetu mnalili!! Kama hufanyi kazi unatupwa njee kwa kukosa kodi ya nyumba

    • @angelmasala9568
      @angelmasala9568 Před 4 lety +3

      brown hussein sasa ww tembea tu unakula Hata mua ooh hili sjui lawapiiii

    • @ochutrendymwonekano2672
      @ochutrendymwonekano2672 Před 4 lety +2

      Angel Masala hahaha utaonekana mshamba et unalingisha

  • @osseaaroni2477
    @osseaaroni2477 Před 4 lety +6

    Millad ayo congratulations
    We ndo kijanaaaa unaye support mziki

  • @pinahoscar6735
    @pinahoscar6735 Před 4 lety +11

    Kama unamkubali Roma na kazi zake gonga like hapa pia kama unaikubali sauti ya Millard gonga like twende sawa👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Před 4 lety +8

    Safi sana Roma usisikilize wachawi wanaouza mihogo ya kukaanga coco Beach hao ni wachovu wanaoshindia ofa za konyagi,Piga kazi mwanzo mgumu kitaeleweka hilo nyimbo zako mbili ulizozitowa kuweko kwako huko safi ti tutakuelewa Don't giva up✌✌✌.

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi Před 3 lety +12

    I like Roma interview yake NI ZA KI MTU MZIMA na pia Intelligent and Boldly.... Yaani Roma has a respectable Interview na pia Fun to Listen

  • @denismgimba3964
    @denismgimba3964 Před 4 lety +58

    Lucky dube alisema "If you stand for the truth always you will stand alone" So Roma ww simamia miiko yako usibadilishwe mawazo #Nakubali.

  • @godfreylekasango3789
    @godfreylekasango3789 Před 4 lety +34

    Bado sijaona toyo wala bajaji asee
    Millard Ayo 👌 good job!

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 Před 3 lety +1

      Kama hujaona toyo ama bajaji lakini wapo wasio na kazi, wapo wasio na pakukaa wanalala sehemu zisizo rasmi, wapo wanaoishi hata kwa mlo wa siku ni mtihani, wapo vibaka na wapo pia mateja, je ikitokea watu Tanzania wanazuiwa kuingia mjini na bajaji pia mtasema raisi hawajali watu wa hali ya chini, hata stand ya dodoma wapiga debe wamekatazwa lkn watu wanalalamika je lipi jema?

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Před 3 lety +6

    The only best rapper alive from Tanzania who thinks out of the box, no cap.

  • @kelvinbenard3504
    @kelvinbenard3504 Před 4 lety +25

    Adi mbele kun IST alieziona agonge like tuondoke😂😂😂😂

  • @mbegesdigita5182
    @mbegesdigita5182 Před 4 lety +46

    Kweli unaitwa Roma unae mwelewa gonga like

  • @glorytweve7992
    @glorytweve7992 Před 4 lety +3

    Binadamu Bwana hawanaga jema,ukifanya watas3ma,ukikaa kimya watasena,ukisema bado watasema but kikubwa Bro Roma pambania unachokiamini,endelea kusema na Mungu pekee ndo kilakitu,Mungu hashindwi....VIVA ROMA VIVA...Hongera miradayo pongezi kubwa kwa Rais JPMagufuri ❤❤❤❤❤❤🙏

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 Před 3 lety +4

    Ayo ktk interview nilizo zielewa kwa wasanii ni ya bro Roma. jamaa anaelewa nn anazungumza , big up sana Roma kwa interview yako

  • @allymejatz4637
    @allymejatz4637 Před 4 lety +101

    Gonga like kama zote kuonesha upendo kwa wasanii wetu wa Tz

  • @lilbobi2347
    @lilbobi2347 Před 4 lety +7

    Wazungu hawapendi kuingia camera but ingekuwa afriq noma, all along from Atlanta Georgia

  • @rogerslaurence2603
    @rogerslaurence2603 Před 4 lety +3

    Roma pole sana tatizo watanzania waliowengi kipindi cha awamu zilizopita ulivyokua unafikisha ujumbe. Kwahiyo wanangalia historiya Asante kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa kaka

  • @chezarygeorge2666
    @chezarygeorge2666 Před 4 lety +14

    anaitwa romaaaaaaaa

  • @yaseenjanja5420
    @yaseenjanja5420 Před 4 lety +27

    Roma watu wengi wankua mwili sio akili

  • @mnomoonetz509
    @mnomoonetz509 Před 3 lety +2

    Kama umegundua marekani ni mwendo wa makoti gonga like

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Před 4 lety +33

    Kama umesikia mh jpm akiuliza Roma yule wa chadema? gonga like.hongera kwa kupafom chato nyumbani kwa mh rais jpm

  • @haysanhassan2685
    @haysanhassan2685 Před 4 lety +3

    Millard Ayo Mmeru wa kwanza Superstar kuchana anga. From Mount Meru Akeri to Worldwide respect Kaka

  • @nicolausnicolaus734
    @nicolausnicolaus734 Před 4 lety +30

    Roma nimwamba sana 100%

  • @ngosha_tzngosha_tz6938
    @ngosha_tzngosha_tz6938 Před 3 lety +42

    Kiukweli maelezo ya Roma ya naeleweka san nakama unaelewa kama me gonga lake hap

  • @aniveaderickson4174
    @aniveaderickson4174 Před 4 lety +14

    The interview is more logical ....I love it.

  • @neemajeofrey2184
    @neemajeofrey2184 Před 4 lety +32

    Nakupenda kaka unajitambua

  • @mayumageorge5293
    @mayumageorge5293 Před 4 lety +7

    Dah! Bonge la interview ila no drink hahahaha! Big up kwa Roma na Millard

  • @sospeterkedmonchitema
    @sospeterkedmonchitema Před rokem +2

    Moja kati yavipaji vikubwa kuwahi kuwapo Tanzania 👍

  • @neemamwakatika12
    @neemamwakatika12 Před 4 lety +32

    Bigup sana Young wangu Roma.

  • @ricklifefun7184
    @ricklifefun7184 Před 4 lety +21

    Kama umetamani kuishi mbele kama na unaamin Mungu atabless gonga like tujuane
    😄😄😄😄😄

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo5354 Před 4 lety +66

    Ingekuwa bongo hapo asee...... Watu wangejaa ktk kamera 😂😂

    • @pennybaraka3689
      @pennybaraka3689 Před 4 lety

      Hahahaha

    • @jimmiejr9531
      @jimmiejr9531 Před 4 lety

      Alafu mnasema WENZETU WAZUNGU WAME.... (Wenzenu kwa lipo? 🤣)

    • @wazirikhamisi4828
      @wazirikhamisi4828 Před 4 lety

      Hahahahahahah

    • @tausirashid1196
      @tausirashid1196 Před 4 lety

      wangejaa atarii 🤣🤣🤣

    • @davidcurtis8556
      @davidcurtis8556 Před 3 lety

      Acha umbumbumbu wako na kujidharau au wewe mkimbizi nini ni nani hapo anaemjua? Angalia vzr watu maarufu wapoingia madukani huko kwao wanafungiwa madukani mpaka wamalize shopping kwa sababu ya raia wanavyokumbana kwa ajili ya watu maarufu au uko mbali na tv nini? Tumia cm yako au pia unatumia cha tochi nini.

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 Před 3 lety +2

    Viva Roma

  • @josephmayanki
    @josephmayanki Před rokem +1

    Mungu akulinde kaka kila hatua dua

  • @godfreymahavile4688
    @godfreymahavile4688 Před 3 lety +8

    Respect kwa millard ayo na roma 👏

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 Před 4 lety +4

    Daaah! Nimependa sana wazungu wanavyo respect wanapita kwa nidhamu kabisa safi sana mko nchi za watu lakini mmejimwaga tu hadi raha kweli ubaguzi umekwisha

    • @user-sq7pz9ex5g
      @user-sq7pz9ex5g Před 3 lety

      Washenzi Tu ubaguzi bado wanao.mi staki hata kuwasikia na Mimi staki waniskiee,kila MTU awe kivyake.

  • @justinjustin7099
    @justinjustin7099 Před rokem +2

    Am a malawian guy,, but I love the guy so much,, nakukukbari sana roma

  • @kinglunda_best7616
    @kinglunda_best7616 Před 4 lety +2

    Kama unamkubali uyu mnyamwezi roma like👇

  • @fatmafeisal4328
    @fatmafeisal4328 Před 4 lety +4

    nimependa alivoweka sawa kaka roma ... mungu aendelee kukusimamia ... watoto tulozaliwa 80’s gonga like

  • @samsonphilmon6757
    @samsonphilmon6757 Před 4 lety +5

    Roma you are brilliant for real,,,,,,, am here UKONGA listening the tune of MKOMBOZI.

  • @Devilinintungwawc2vk
    @Devilinintungwawc2vk Před 25 dny

    Hihi kaka Roma nimecherewa sana brother ku comment na kukubali sana naomba like tatu roma

  • @pepyeddy8017
    @pepyeddy8017 Před 3 lety +1

    Watu wanakujadili sana wote niukweli tu huwoo mungu yupo pamoja na ww broo chapa kazi wazidi kuumia

  • @vivianmbiro6866
    @vivianmbiro6866 Před 4 lety +3

    Roma wa Cadema Unajielewa mnoo, Big Up sana

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 Před 4 lety +17

    Wazungu hawapendi udaku

  • @zubedasammy
    @zubedasammy Před rokem

    Roma usivunjike moyo 🫀💔 sawa unafanya kazi nzuri mashaallah 🙏😇 keep it up 🥰

  • @basumegembotwa4167
    @basumegembotwa4167 Před 3 lety +1

    Uko vizuri kisekorojia Mungu akulinde

  • @raphaelhitler6411
    @raphaelhitler6411 Před 4 lety +3

    Roma kizuri nachokukubali unaishi maisha real,, hufeki life brother ipo siku utakuja kuwa mtu mkubwa sana haya ni maneno yangu,, leo naomba uhifadhi ujumbe huu na one day utakuja ikumbuka kauli yangu.. I'm Raphael Hitler,,,.

  • @jocety4426
    @jocety4426 Před 4 lety +12

    Millard big up San ,
    Mzee baba👊👊

  • @Kilibaondskwetunusa7771
    @Kilibaondskwetunusa7771 Před 4 lety +1

    Roma mimi ni fans wako wa kwanza tangu ni ngali African, ivi niko apa usa Vermont, nakuomba usirudi Tanzania na sijakuona plz

  • @jacquriciouslusekelo7823
    @jacquriciouslusekelo7823 Před 4 lety +1

    always much respect to uu all ayo the way you do as well as roma babaa nancy also ivy's & ivan's dady move foward bro always i apriciate you ..............# jacfor realllllllll......%

  • @zagaronondo8130
    @zagaronondo8130 Před 4 lety +9

    pamoja dogo tumekumis itumbi makongolos chunya

  • @Hiphobongo
    @Hiphobongo Před 4 lety +5

    Kuna mzungu bonge kapita mzuri uyo

  • @annaphaustin6701
    @annaphaustin6701 Před 3 lety +2

    Big up Roma. Mungu akulinde na kuwa kuwa mzalendo kwa Taifa

  • @kidshavu
    @kidshavu Před 4 lety +1

    🙏 pleas 🙏
    share, like, comment and subscribe...
    kazi imechezwa na allymamba, feisalshavu(kid'shavu) na petercomedy
    ahsante kwa support yako...
    Follow on instagram
    @CHENGAlive
    czcams.com/video/xTQFRru2HQU/video.html

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai6805 Před 4 lety +5

    Umetisha sana Mr count down have a blessed forever...unajua sana sana

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 Před 4 lety +20

    Ohhh safi Millard umefanya vema kutujulisha mambo haya. Big up Roma kwa maelezo mazuri.

    • @abednegomhamba1471
      @abednegomhamba1471 Před rokem

      Safi sana, hii imekaa vizuri, tumeelewa ukweli kwani baadhi ya wanasiasa walitumia fursa kupitisha yao.

  • @drtobias_
    @drtobias_ Před 4 lety

    KAMA UNAUPENDO NAOMBA UNISAIDIE U SUBSCRIBE HII CHANNEL.ASANTE
    czcams.com/channels/Yakm4NCPqH_JY0id0eYnpg.html

  • @danmarinyanchagac6051
    @danmarinyanchagac6051 Před 2 lety +1

    tunakumic sanaaa brooo ROMA

  • @martinsilwimba4282
    @martinsilwimba4282 Před 4 lety +45

    Roma umeenda kusoma na chadema wako nyuma yako kukusapoti,
    Lakini pia maoni yangu naomba Roma ugombee ubunge tanga plz unaweza kufanya jambo.

    • @renatusking3580
      @renatusking3580 Před 4 lety +1

      Roma we noma ila binafs naon kam rostam kuna kichwa kinakoseka ili squred ikamilik amna trecer 9 nabii jeremiah kafanye mpang

    • @saidielimu4444
      @saidielimu4444 Před 4 lety

      mambo vp

    • @tinahissore5005
      @tinahissore5005 Před 3 lety

      We unamwona Roma ni chadema wakati kaenda kikazi ya serikali

  • @aiqasamo2085
    @aiqasamo2085 Před 4 lety +20

    Kiukweli mim namkubali sana Roma 🔥🔥🔥🔥

  • @neemaemmanuel4942
    @neemaemmanuel4942 Před 4 lety +12

    Roma u are too smart and insightful,why usiingie kwenye politics.

  • @josperchriss8955
    @josperchriss8955 Před 4 lety +102

    Broo nyimbo zako znahitaj wat wenye akili kusikilza

    • @samsonndasa5066
      @samsonndasa5066 Před 4 lety +1

      Yuko poa sana vina zaidi

    • @ayubleo
      @ayubleo Před 4 lety

      Kabisa broo

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 Před 4 lety +1

      Kumbe unaelewa bro hawa watoto wa mwaka 2004 ndo hawaelewi hizi flow

    • @fatmafeisal4328
      @fatmafeisal4328 Před 4 lety

      Amiri Ramadhan ndio nilichosema watoto tulozaliwa 80’s ndio tunaweza elewa anachokiimba .. ila watoto wa sasa ni tabu tupu

    • @tumamapishi2184
      @tumamapishi2184 Před 4 lety

      Roma kibaraka wewe kwa wasaniii

  • @wizyjunior5771
    @wizyjunior5771 Před 4 lety +17

    daaaa!!!! unachagua nyimbo za parfomance JPM na yeye Roma ni CHADEMA. ana masihara sana President😁😌☺️ Vivaroma by Wizy Junuor

  • @dastansimpanzye5558
    @dastansimpanzye5558 Před 4 lety +9

    Ahsante sana Millardy Ayo!
    huwa napenda sana sana Interview zako,
    Ahsante sana pia kaka Roma unaijibu vyema na una hofu ya Mungu

  • @audaxprotas2273
    @audaxprotas2273 Před 3 lety +1

    Nakukubali Roma mungu akulinde100%

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 4 lety +2

    Daah! Roma una akili sana ndiomaana wenye akili za kuazima na kushikiwa wanashindwa kukuelewa na siku wanajikuta wanaropoka na kukuchukilia mlengo hasi. Hongera sana na Mwenyezi Mungu akulinde dhidi ya wale wote wenye nia mbaya na wewe.

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 Před 4 lety +29

    Jifunzeni mfano mmoja tu ni ARUSHA,coz Arusha ni mji ambao wakazi wake wako motion sana ya every time wanasaka chapaa,

  • @giftstarmwanri2637
    @giftstarmwanri2637 Před 4 lety +15

    I like this...❤❤

  • @majaliwacharles9340
    @majaliwacharles9340 Před 4 lety +15

    Me nasoma coment 2 leki kwa wingi

  • @hermanbonitus866
    @hermanbonitus866 Před 4 lety +2

    VIZUR naupenda mziki wake. wwll done millard Ayo

  • @aminamohamed9955
    @aminamohamed9955 Před 4 lety +4

    Jaman Roma watu wana kusema vibaya hawajielewi mm nishabiki yako nakupenda mmno

  • @eliaskalluvya2285
    @eliaskalluvya2285 Před 4 lety +12

    Nimekuelewa sana

  • @emmanueljackson1863
    @emmanueljackson1863 Před 4 lety +2

    Brother Roma big up sana....kwa iman yako

  • @joycekwilasa3675
    @joycekwilasa3675 Před 4 lety +4

    Kama unaona mirad anachati kwa kuibia gonga like yako tujuane

  • @jmvuna2792
    @jmvuna2792 Před 4 lety +3

    Big up Mirrad Ayo and Roma for excellent interview!

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Před 4 lety +118

    Nimependa wazungu walivyo kwepa camera

    • @graytonndamgoba4805
      @graytonndamgoba4805 Před 4 lety +4

      Noo man .these guys are standing in the walk way.sikufichi wanakwepa lakini wana nashangaa sana.

    • @glorytimonyengo4148
      @glorytimonyengo4148 Před 4 lety +6

      Wange kua wabongo wange kua wame jaaa

    • @khadijaomar8427
      @khadijaomar8427 Před 4 lety

      @@glorytimonyengo4148 🤣🤣🤣

    • @ombenmichael3473
      @ombenmichael3473 Před 4 lety

      @@glorytimonyengo4148sure

    • @kelvinjohn6851
      @kelvinjohn6851 Před 4 lety +7

      Usinianbie umejifunza kitu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 maana wabongo kazi kujifunza kitu kwa wazungu tu. Ila kwa wabongo wenzao hamna chakujifunza

  • @asifamwenga5310
    @asifamwenga5310 Před 4 lety +2

    Good oral interview! Keep it up

  • @saidmambo2721
    @saidmambo2721 Před rokem

    I like u guys, , , nice interview sanaaa wazito

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +11

    Roma huwa anatalk fact sana na ni +prain sana.🌹

  • @jalimashauli6974
    @jalimashauli6974 Před 4 lety +7

    Mimi ni muumini mzuri sana wa fasihi, Roma ujumbe wako kwenye wimbo uko wazi na unaeleweka sema maranyingi ruling party huwa hawapend kukosolewa wanapenda wasifiwe tu lkn kiukweli hip hop kwa asili yake haitaki ukasuku katika mashairi yake, na kitu kingine kila mtu anamtazamo wake kwahiyo chamsingi piga kazi kutokana hisia zinazoibuka kutokana na matendo yanayoendelea ktk jamii yetu na siyo kufurahisha kila MTU, (KEEP IT UP!!!!)

  • @jafaribori601
    @jafaribori601 Před 4 lety +1

    Roma nakupenda zaidi kwa uwazi na ukweli wako, nasikuzote muadilifu huonekana machoni na kile anacho kizungumza nakama sivyo ramda awe ni mtu maalum alepitie elimu ya ujasusi ambae anaweza kuficha uhalisia wake na kufaa uhalisia mwingine.

  • @floramollel8933
    @floramollel8933 Před 4 lety +41

    Tuliyopo united tu like

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Před 4 lety +4

    Roma Roma Roma anaitwa Roma

  • @moreenmichael7482
    @moreenmichael7482 Před 4 lety +35

    Kama umemwona mzungu ameshikilia demu weka like twende sawa

    • @doktamathew
      @doktamathew Před 4 lety

      Demu maanake nini?

    • @moreenmichael7482
      @moreenmichael7482 Před 4 lety +1

      @@doktamathew pita hv Kama haujuw maana yk

    • @LeeUfudu
      @LeeUfudu Před 4 lety +1

      Uku lazima umshike mkono mpenzi wako Mara zote sehemu yeyote ni ishara ya upendo umeelewa

    • @shukurunzenzule5963
      @shukurunzenzule5963 Před 4 lety +1

      wimbo umekaa vema sana tunaupenda kweli

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 Před 4 lety

      @Moreen Michael mbona jambo la kawaida huko? Wewe unashangaa? Bongo ndo ngumu ?

  • @ajibumnyama1249
    @ajibumnyama1249 Před 3 lety +1

    Wanao mkubali Roma wa like

  • @daudpillah3591
    @daudpillah3591 Před 4 lety +2

    Solut mkal nilikumisi sana mwanangu long life

  • @robartifabiani6572
    @robartifabiani6572 Před 4 lety +30

    Simple life

    • @andrewkimwagaa9722
      @andrewkimwagaa9722 Před 4 lety

      Mbona sjaona mama ntilie wakipita na sufulia kichwani wakienda kuuza majungu

  • @aizackkajika5086
    @aizackkajika5086 Před 4 lety +10

    Blessings to you Roma

  • @joycelugano2228
    @joycelugano2228 Před 4 lety +1

    Roma upo vizuri saaaaana Mungu akubarikie sana sana

  • @salimjuma9834
    @salimjuma9834 Před 4 lety +1

    Braz uko vizuri sana

  • @nikiflavour3884
    @nikiflavour3884 Před 4 lety +43

    Mina comment hiv ukija unaingia mjengoni,nimeota tu lakini.

  • @mzurikwaokambi1850
    @mzurikwaokambi1850 Před 4 lety +14

    Piga kaz mkuu wenye ubongo tunajua nini unafanya
    Ila 2me10c sana

  • @frenkiefrenize6891
    @frenkiefrenize6891 Před 4 lety +2

    Bro namkubali sana roma mkatoliki binafsi hakuna rapper km huyu

  • @suleimankibombwe2287
    @suleimankibombwe2287 Před 4 lety +1

    Gonga like kama unaangalia magri yanayopita ni makaliii