brown hussein yeah kaka huku no time to west au eti kwenda kusikiliza mikutano ya hadhala wenzetu mnalili!! Kama hufanyi kazi unatupwa njee kwa kukosa kodi ya nyumba
Safi sana Roma usisikilize wachawi wanaouza mihogo ya kukaanga coco Beach hao ni wachovu wanaoshindia ofa za konyagi,Piga kazi mwanzo mgumu kitaeleweka hilo nyimbo zako mbili ulizozitowa kuweko kwako huko safi ti tutakuelewa Don't giva up✌✌✌.
Kama hujaona toyo ama bajaji lakini wapo wasio na kazi, wapo wasio na pakukaa wanalala sehemu zisizo rasmi, wapo wanaoishi hata kwa mlo wa siku ni mtihani, wapo vibaka na wapo pia mateja, je ikitokea watu Tanzania wanazuiwa kuingia mjini na bajaji pia mtasema raisi hawajali watu wa hali ya chini, hata stand ya dodoma wapiga debe wamekatazwa lkn watu wanalalamika je lipi jema?
Binadamu Bwana hawanaga jema,ukifanya watas3ma,ukikaa kimya watasena,ukisema bado watasema but kikubwa Bro Roma pambania unachokiamini,endelea kusema na Mungu pekee ndo kilakitu,Mungu hashindwi....VIVA ROMA VIVA...Hongera miradayo pongezi kubwa kwa Rais JPMagufuri ❤❤❤❤❤❤🙏
Roma pole sana tatizo watanzania waliowengi kipindi cha awamu zilizopita ulivyokua unafikisha ujumbe. Kwahiyo wanangalia historiya Asante kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa kaka
Acha umbumbumbu wako na kujidharau au wewe mkimbizi nini ni nani hapo anaemjua? Angalia vzr watu maarufu wapoingia madukani huko kwao wanafungiwa madukani mpaka wamalize shopping kwa sababu ya raia wanavyokumbana kwa ajili ya watu maarufu au uko mbali na tv nini? Tumia cm yako au pia unatumia cha tochi nini.
Daaah! Nimependa sana wazungu wanavyo respect wanapita kwa nidhamu kabisa safi sana mko nchi za watu lakini mmejimwaga tu hadi raha kweli ubaguzi umekwisha
Roma kizuri nachokukubali unaishi maisha real,, hufeki life brother ipo siku utakuja kuwa mtu mkubwa sana haya ni maneno yangu,, leo naomba uhifadhi ujumbe huu na one day utakuja ikumbuka kauli yangu.. I'm Raphael Hitler,,,.
always much respect to uu all ayo the way you do as well as roma babaa nancy also ivy's & ivan's dady move foward bro always i apriciate you ..............# jacfor realllllllll......%
🙏 pleas 🙏 share, like, comment and subscribe... kazi imechezwa na allymamba, feisalshavu(kid'shavu) na petercomedy ahsante kwa support yako... Follow on instagram @CHENGAlive czcams.com/video/xTQFRru2HQU/video.html
Daah! Roma una akili sana ndiomaana wenye akili za kuazima na kushikiwa wanashindwa kukuelewa na siku wanajikuta wanaropoka na kukuchukilia mlengo hasi. Hongera sana na Mwenyezi Mungu akulinde dhidi ya wale wote wenye nia mbaya na wewe.
Mimi ni muumini mzuri sana wa fasihi, Roma ujumbe wako kwenye wimbo uko wazi na unaeleweka sema maranyingi ruling party huwa hawapend kukosolewa wanapenda wasifiwe tu lkn kiukweli hip hop kwa asili yake haitaki ukasuku katika mashairi yake, na kitu kingine kila mtu anamtazamo wake kwahiyo chamsingi piga kazi kutokana hisia zinazoibuka kutokana na matendo yanayoendelea ktk jamii yetu na siyo kufurahisha kila MTU, (KEEP IT UP!!!!)
Roma nakupenda zaidi kwa uwazi na ukweli wako, nasikuzote muadilifu huonekana machoni na kile anacho kizungumza nakama sivyo ramda awe ni mtu maalum alepitie elimu ya ujasusi ambae anaweza kuficha uhalisia wake na kufaa uhalisia mwingine.
Millard Ayo Sauti amaizing ya mvuto sijutii bando langu kabsa job is good😋📌✌🏻
Tuko wapi WANA HARAKATI ambao pia ni mashabiki zake ROMA tujuane hapa
topo pamoja roma
tupo pamoja zana
Tuko pamojaaaaaa
Nitumie nyimb mpya ya roma
2p0
Roma ana ubongo mrefu sana Geniuz . "Mungu hashindwi"
Yeah kwa kumtegemea mungu brother umetujenga
Millard unajituma zaidi hadi unasafiri U.S kumhoji Roma, aiseee much blessings.
hongera kwa millard
Unaweza kuwa mkubwa lkn mjinga, hajamfuata, alienda kwa issue yake akaona amtafute
Hata me am so surprised... Good job🥰🥰🥰
@@belak999 KAKA BELLA JAMAA YEYE AJAJUA KWAHIYO KUMUELEKEZA INATAKIWA UMFAHAMISHE NASIO KUMJIBU IVYO NDIO INAPENDEZA TUPENDANE
@@belak999 😂
Anayekubaliana na mimi kwamba #Roma mkari kimuziki agonge like kama zootee hapa down.
Nimependa hii interview gong@ like jaman cjapata hata 1
Mwanamuziki msomi mwanaharakati wa ukweli viva Roma viva
I like Roma interview yake NI ZA KI MTU MZIMA na pia Intelligent and Boldly.... Yaani Roma has a respectable Interview na pia Fun to Listen
Ww bak
Mwana harakat piga piga
Nice tunataka ya lissu 2020
Kama unamkubali Roma gonga like
Kama unamkubali MILLARD AYO like hapa.
jamaa anajua
OK inapendeza
Gud
Walioona wazungu wanapenda kutembea wawiliwawili twende like apa√√
Discussion wanazifanya break tym. Hakuna mda wa kukaa na kuongea
kweli kabisa ,hata italia
Ili iweje
babalaoooo roma mkatolike
Chindo Mani
Dah kweli wamarekani wapo busy yani wanakunywa chai huku wanatembea 😅
Hakuna mda wa kukaa
Hahahahaaaa
brown hussein yeah kaka huku no time to west au eti kwenda kusikiliza mikutano ya hadhala wenzetu mnalili!! Kama hufanyi kazi unatupwa njee kwa kukosa kodi ya nyumba
brown hussein sasa ww tembea tu unakula Hata mua ooh hili sjui lawapiiii
Angel Masala hahaha utaonekana mshamba et unalingisha
Millad ayo congratulations
We ndo kijanaaaa unaye support mziki
Kama unamkubali Roma na kazi zake gonga like hapa pia kama unaikubali sauti ya Millard gonga like twende sawa👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Safi sana Roma usisikilize wachawi wanaouza mihogo ya kukaanga coco Beach hao ni wachovu wanaoshindia ofa za konyagi,Piga kazi mwanzo mgumu kitaeleweka hilo nyimbo zako mbili ulizozitowa kuweko kwako huko safi ti tutakuelewa Don't giva up✌✌✌.
I like Roma interview yake NI ZA KI MTU MZIMA na pia Intelligent and Boldly.... Yaani Roma has a respectable Interview na pia Fun to Listen
Lucky dube alisema "If you stand for the truth always you will stand alone" So Roma ww simamia miiko yako usibadilishwe mawazo #Nakubali.
Ameen.
Kwel
Ndio
Ni kweli Roma endelea kuwa na misimamo yako uwe kama luck dube.
Ni God given naamini hawezi change
Bado sijaona toyo wala bajaji asee
Millard Ayo 👌 good job!
Kama hujaona toyo ama bajaji lakini wapo wasio na kazi, wapo wasio na pakukaa wanalala sehemu zisizo rasmi, wapo wanaoishi hata kwa mlo wa siku ni mtihani, wapo vibaka na wapo pia mateja, je ikitokea watu Tanzania wanazuiwa kuingia mjini na bajaji pia mtasema raisi hawajali watu wa hali ya chini, hata stand ya dodoma wapiga debe wamekatazwa lkn watu wanalalamika je lipi jema?
The only best rapper alive from Tanzania who thinks out of the box, no cap.
Adi mbele kun IST alieziona agonge like tuondoke😂😂😂😂
Nakukubali xna roma xema ivin na aivani pya na mkeo kakumc lud bwna
Hizo wao wamewek km baiskel za watoto. 😂😂😂
Izo sio za japani😁
Kweli unaitwa Roma unae mwelewa gonga like
Binadamu Bwana hawanaga jema,ukifanya watas3ma,ukikaa kimya watasena,ukisema bado watasema but kikubwa Bro Roma pambania unachokiamini,endelea kusema na Mungu pekee ndo kilakitu,Mungu hashindwi....VIVA ROMA VIVA...Hongera miradayo pongezi kubwa kwa Rais JPMagufuri ❤❤❤❤❤❤🙏
Ayo ktk interview nilizo zielewa kwa wasanii ni ya bro Roma. jamaa anaelewa nn anazungumza , big up sana Roma kwa interview yako
Gonga like kama zote kuonesha upendo kwa wasanii wetu wa Tz
pamoja
Wazungu hawapendi kuingia camera but ingekuwa afriq noma, all along from Atlanta Georgia
Roma pole sana tatizo watanzania waliowengi kipindi cha awamu zilizopita ulivyokua unafikisha ujumbe. Kwahiyo wanangalia historiya Asante kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa kaka
anaitwa romaaaaaaaa
Roma watu wengi wankua mwili sio akili
Kama umegundua marekani ni mwendo wa makoti gonga like
Kama umesikia mh jpm akiuliza Roma yule wa chadema? gonga like.hongera kwa kupafom chato nyumbani kwa mh rais jpm
Millard Ayo Mmeru wa kwanza Superstar kuchana anga. From Mount Meru Akeri to Worldwide respect Kaka
Roma nimwamba sana 100%
Kiukweli maelezo ya Roma ya naeleweka san nakama unaelewa kama me gonga lake hap
Nakubali roma
The interview is more logical ....I love it.
Nakupenda kaka unajitambua
Dah! Bonge la interview ila no drink hahahaha! Big up kwa Roma na Millard
Bei juu
Moja kati yavipaji vikubwa kuwahi kuwapo Tanzania 👍
Bigup sana Young wangu Roma.
Kama umetamani kuishi mbele kama na unaamin Mungu atabless gonga like tujuane
😄😄😄😄😄
Aisee wewee
Ingekuwa bongo hapo asee...... Watu wangejaa ktk kamera 😂😂
Hahahaha
Alafu mnasema WENZETU WAZUNGU WAME.... (Wenzenu kwa lipo? 🤣)
Hahahahahahah
wangejaa atarii 🤣🤣🤣
Acha umbumbumbu wako na kujidharau au wewe mkimbizi nini ni nani hapo anaemjua? Angalia vzr watu maarufu wapoingia madukani huko kwao wanafungiwa madukani mpaka wamalize shopping kwa sababu ya raia wanavyokumbana kwa ajili ya watu maarufu au uko mbali na tv nini? Tumia cm yako au pia unatumia cha tochi nini.
Viva Roma
Mungu akulinde kaka kila hatua dua
Respect kwa millard ayo na roma 👏
Ñakubali mkuu
Daaah! Nimependa sana wazungu wanavyo respect wanapita kwa nidhamu kabisa safi sana mko nchi za watu lakini mmejimwaga tu hadi raha kweli ubaguzi umekwisha
Washenzi Tu ubaguzi bado wanao.mi staki hata kuwasikia na Mimi staki waniskiee,kila MTU awe kivyake.
Am a malawian guy,, but I love the guy so much,, nakukukbari sana roma
Kama unamkubali uyu mnyamwezi roma like👇
nimependa alivoweka sawa kaka roma ... mungu aendelee kukusimamia ... watoto tulozaliwa 80’s gonga like
Roma you are brilliant for real,,,,,,, am here UKONGA listening the tune of MKOMBOZI.
Hihi kaka Roma nimecherewa sana brother ku comment na kukubali sana naomba like tatu roma
Watu wanakujadili sana wote niukweli tu huwoo mungu yupo pamoja na ww broo chapa kazi wazidi kuumia
Roma wa Cadema Unajielewa mnoo, Big Up sana
Wazungu hawapendi udaku
Roma usivunjike moyo 🫀💔 sawa unafanya kazi nzuri mashaallah 🙏😇 keep it up 🥰
Uko vizuri kisekorojia Mungu akulinde
Roma kizuri nachokukubali unaishi maisha real,, hufeki life brother ipo siku utakuja kuwa mtu mkubwa sana haya ni maneno yangu,, leo naomba uhifadhi ujumbe huu na one day utakuja ikumbuka kauli yangu.. I'm Raphael Hitler,,,.
Millard big up San ,
Mzee baba👊👊
Roma mimi ni fans wako wa kwanza tangu ni ngali African, ivi niko apa usa Vermont, nakuomba usirudi Tanzania na sijakuona plz
always much respect to uu all ayo the way you do as well as roma babaa nancy also ivy's & ivan's dady move foward bro always i apriciate you ..............# jacfor realllllllll......%
pamoja dogo tumekumis itumbi makongolos chunya
Kuna mzungu bonge kapita mzuri uyo
Big up Roma. Mungu akulinde na kuwa kuwa mzalendo kwa Taifa
🙏 pleas 🙏
share, like, comment and subscribe...
kazi imechezwa na allymamba, feisalshavu(kid'shavu) na petercomedy
ahsante kwa support yako...
Follow on instagram
@CHENGAlive
czcams.com/video/xTQFRru2HQU/video.html
Umetisha sana Mr count down have a blessed forever...unajua sana sana
Ohhh safi Millard umefanya vema kutujulisha mambo haya. Big up Roma kwa maelezo mazuri.
Safi sana, hii imekaa vizuri, tumeelewa ukweli kwani baadhi ya wanasiasa walitumia fursa kupitisha yao.
KAMA UNAUPENDO NAOMBA UNISAIDIE U SUBSCRIBE HII CHANNEL.ASANTE
czcams.com/channels/Yakm4NCPqH_JY0id0eYnpg.html
tunakumic sanaaa brooo ROMA
Roma umeenda kusoma na chadema wako nyuma yako kukusapoti,
Lakini pia maoni yangu naomba Roma ugombee ubunge tanga plz unaweza kufanya jambo.
Roma we noma ila binafs naon kam rostam kuna kichwa kinakoseka ili squred ikamilik amna trecer 9 nabii jeremiah kafanye mpang
mambo vp
We unamwona Roma ni chadema wakati kaenda kikazi ya serikali
Kiukweli mim namkubali sana Roma 🔥🔥🔥🔥
Roma u are too smart and insightful,why usiingie kwenye politics.
Aspo ingia kwenye siasa usinge mjua huyu
Neema Emmanuel kweli kabisa
Broo nyimbo zako znahitaj wat wenye akili kusikilza
Yuko poa sana vina zaidi
Kabisa broo
Kumbe unaelewa bro hawa watoto wa mwaka 2004 ndo hawaelewi hizi flow
Amiri Ramadhan ndio nilichosema watoto tulozaliwa 80’s ndio tunaweza elewa anachokiimba .. ila watoto wa sasa ni tabu tupu
Roma kibaraka wewe kwa wasaniii
daaaa!!!! unachagua nyimbo za parfomance JPM na yeye Roma ni CHADEMA. ana masihara sana President😁😌☺️ Vivaroma by Wizy Junuor
Ahsante sana Millardy Ayo!
huwa napenda sana sana Interview zako,
Ahsante sana pia kaka Roma unaijibu vyema na una hofu ya Mungu
Nakukubali Roma mungu akulinde100%
Daah! Roma una akili sana ndiomaana wenye akili za kuazima na kushikiwa wanashindwa kukuelewa na siku wanajikuta wanaropoka na kukuchukilia mlengo hasi. Hongera sana na Mwenyezi Mungu akulinde dhidi ya wale wote wenye nia mbaya na wewe.
Jifunzeni mfano mmoja tu ni ARUSHA,coz Arusha ni mji ambao wakazi wake wako motion sana ya every time wanasaka chapaa,
Ni kwela boy. Arusha ni USA
I like this...❤❤
Me nasoma coment 2 leki kwa wingi
Mzee baha
VIZUR naupenda mziki wake. wwll done millard Ayo
Jaman Roma watu wana kusema vibaya hawajielewi mm nishabiki yako nakupenda mmno
Nimekuelewa sana
Brother Roma big up sana....kwa iman yako
Kama unaona mirad anachati kwa kuibia gonga like yako tujuane
Yqp😂😂😂
Big up Mirrad Ayo and Roma for excellent interview!
Nimependa wazungu walivyo kwepa camera
Noo man .these guys are standing in the walk way.sikufichi wanakwepa lakini wana nashangaa sana.
Wange kua wabongo wange kua wame jaaa
@@glorytimonyengo4148 🤣🤣🤣
@@glorytimonyengo4148sure
Usinianbie umejifunza kitu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 maana wabongo kazi kujifunza kitu kwa wazungu tu. Ila kwa wabongo wenzao hamna chakujifunza
Good oral interview! Keep it up
I like u guys, , , nice interview sanaaa wazito
Roma huwa anatalk fact sana na ni +prain sana.🌹
Kweli
Ila we munira unasura nzr sana dah jamaa anafaid san
Mimi ni muumini mzuri sana wa fasihi, Roma ujumbe wako kwenye wimbo uko wazi na unaeleweka sema maranyingi ruling party huwa hawapend kukosolewa wanapenda wasifiwe tu lkn kiukweli hip hop kwa asili yake haitaki ukasuku katika mashairi yake, na kitu kingine kila mtu anamtazamo wake kwahiyo chamsingi piga kazi kutokana hisia zinazoibuka kutokana na matendo yanayoendelea ktk jamii yetu na siyo kufurahisha kila MTU, (KEEP IT UP!!!!)
Roma nakupenda zaidi kwa uwazi na ukweli wako, nasikuzote muadilifu huonekana machoni na kile anacho kizungumza nakama sivyo ramda awe ni mtu maalum alepitie elimu ya ujasusi ambae anaweza kuficha uhalisia wake na kufaa uhalisia mwingine.
Tuliyopo united tu like
Roma Roma Roma anaitwa Roma
Kama umemwona mzungu ameshikilia demu weka like twende sawa
Demu maanake nini?
@@doktamathew pita hv Kama haujuw maana yk
Uku lazima umshike mkono mpenzi wako Mara zote sehemu yeyote ni ishara ya upendo umeelewa
wimbo umekaa vema sana tunaupenda kweli
@Moreen Michael mbona jambo la kawaida huko? Wewe unashangaa? Bongo ndo ngumu ?
Wanao mkubali Roma wa like
Solut mkal nilikumisi sana mwanangu long life
Simple life
Mbona sjaona mama ntilie wakipita na sufulia kichwani wakienda kuuza majungu
Blessings to you Roma
Roma upo vizuri saaaaana Mungu akubarikie sana sana
Braz uko vizuri sana
Mina comment hiv ukija unaingia mjengoni,nimeota tu lakini.
Piga kaz mkuu wenye ubongo tunajua nini unafanya
Ila 2me10c sana
Bro namkubali sana roma mkatoliki binafsi hakuna rapper km huyu
Gonga like kama unaangalia magri yanayopita ni makaliii