PART TWO: JAMBAZI MTANZANIA ASIMULIA MAISHA YA JELA, MKE WAKE AOLEWA NA MUME MWINGINE,AFUNGUKA YOTE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 02. 2023

Komentáře • 215

  • @gideon546
    @gideon546 Před rokem +13

    🙏 "GOD" IS GREAT HE SAVED MICHAEL. When you hear Somebody CONFESSING his SINS to the Public it means he/she has REPENTED. Hallelujah AMEN. ➕️ 🙏🙏🙏

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před rokem +19

    Hongera kwa Wokovu wa Kiroho na Kimwili. Mungu anahaja nawe kukutumia. Huo ni ushuhuda mkubwa sana. Unajenga sana. Mungu akubariki sana.

  • @nmasare9364
    @nmasare9364 Před rokem +3

    Mwandish yuko poa sana hakatizi katiz maneno yni anafanya tuelewe zaid kwa umakin yuko saf sana yni classic interview

  • @martinmush3991
    @martinmush3991 Před rokem +8

    Tuliopo Kenya 🇰🇪 tunaelewa,,, ukikataa wokovu kaburi linakungoja,,

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem +7

    Hapo hakuna mwandishi ni mshika maiki tu 🤣🤣😂

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Před 8 měsíci +1

    Sasa Kenya si wanaweza kukurudisha tena kwa hiyo confession. Well, I hope God will protect you as you've accepted him.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 Před rokem +8

    Mungu Ni wa wote wenye mwili ashukuriwe kristo ,kuku okoa

  • @elizabethmwende9353
    @elizabethmwende9353 Před rokem

    Mungu akubarki na huduma yako uishi kua mshaidi wa maisha yako na pia mahali mungu alikokutoa na ukanasuliwa kwenye mdomo wa ibilisi.....Keep spreading the word

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Před rokem +2

    Amen!! Yesu asifiwe sana!! Ubarikiwe sana!!

  • @fettyramadhan622
    @fettyramadhan622 Před rokem +5

    God is the everything all the time 🙏🙏

  • @Dar_tour
    @Dar_tour Před rokem +8

    Wale Majambazi wenzangu tulionusurika na Michael akakamatwa njooni mumuone ndugu yetu katoka jela 😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +7

    Mhh dunia ina mengi yakujifunza kwakweli🤔🤔

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Před rokem +4

    Onger sanaa,kaza buti Mungu bado Anampango nawewe🙏

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 Před rokem +10

    Hatujakuzoea hvi millard, story kma hii ambayo Ina part 2 kma itakupendeza usipost na ukiwa Tayar post kwa muendelezo yani part 1, 2, 3, manake mtu kasoma tangu majuzi Leo ndio wa post ya pili,
    Mfano:Ile ya Ben Pol watu wakapanicna kutoa povu kabla hawajaskiliza part 2
    :Anyway mahojiano Mazur na kazi nzur keep it up

  • @manpierre571
    @manpierre571 Před rokem +3

    GOD intervenes Everywhere 👏

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před rokem +2

    Mtangazaji Your Honour manaake ni mheshimiwa...huku Tz husema mheshimiwa jaji ama mheshimiwa hakimu

  • @boniphacemwiga3743
    @boniphacemwiga3743 Před rokem +2

    Daah ni nouma xanaaa🙏🙏🙏

  • @zamzam3031
    @zamzam3031 Před rokem +2

    CID si mchezo...si unawafahawu🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kelvinkahonga5349
    @kelvinkahonga5349 Před rokem +1

    hongera sana ndugu yangu, una bahati sana

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Před rokem +3

    Katika story hiii nimejifunza kumtegemea mungu kwa kila jambo yeye awez kukuacha ata Kama wanadam wakikuacha na hasa akiwa anakuitaji kwa kazi zake lazima utoke kwenye tundu la simba

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Hongera sana kwakugundua makosayako na kuacha ujqmbazi

  • @deeduks15
    @deeduks15 Před rokem +7

    Proud to be a kamba #kambation

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 Před rokem

      But huyu si mkamba ali forge jina

    • @SomaBiblia
      @SomaBiblia Před rokem +2

      Please stop advocating tribes, huku Tanzania hatujui hayo mambo. We live in peace with everyone regardless of one’s tribe, kwanza hata hatuna haja ya kujua kabila la mtu.

  • @mwanziamwongela4894
    @mwanziamwongela4894 Před rokem

    Watching from kenya,,am a kamba

  • @ahmedosman3437
    @ahmedosman3437 Před rokem +1

    So touching

  • @ANDAREJO
    @ANDAREJO Před rokem +10

    With this confession this guy could be charged afresh in light of the "new evidence" by the accused person except for innocence from self incriminating evidence

  • @sanyajuutv2679
    @sanyajuutv2679 Před rokem +2

    Kushukuru Mungu sana kwa hayo aliyo yaenda juu yako

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 Před rokem +7

    BONGO MOVIE MKO WAPI CHUKUENI STORY IYO MUIFANYIE KAZI SIO KILA SIKU MAPENZI TUMEWACHOKA

  • @georgemulinke
    @georgemulinke Před rokem +3

    Ni your honour sio Yona,mwandishi uko na shida nyingi

  • @franciskariz4283
    @franciskariz4283 Před rokem

    Un experienced presenter

  • @princessjj8298
    @princessjj8298 Před rokem +7

    Mtangazaji hajielewi, mtu anakuambia yupo jela unaendelea tu kumuuliza humohumo jela?? 😀😀😀

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 Před rokem +2

    Michael nimejifunza kitu kupitia ww tuish na w2 vzr isije ikawa ukamuomba yule ulie mnyima

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 Před rokem

    Mungu ni mkuu sana jina lake litukuzwe😊❤

  • @kifubayusuph8741
    @kifubayusuph8741 Před rokem +4

    jamaa kwenye kuadisia stori nimemkubari

  • @alkenia-luvchante.
    @alkenia-luvchante. Před rokem +7

    To God be the Glory

  • @brianontori8384
    @brianontori8384 Před rokem +1

    Kenya ni nchi nzuri sana ila wageni wakija wanaanza zao

  • @tamoneeliya5033
    @tamoneeliya5033 Před rokem

    Mungu akusahihidie sana

  • @pascalmgina
    @pascalmgina Před rokem +5

    God is great all the time

  • @amedorichpa6767
    @amedorichpa6767 Před rokem

    Kweli hiyo ni muujiza mashallah....Hakuna kurudi nyuma

  • @nathanielkirigha652
    @nathanielkirigha652 Před rokem

    Pole bro..Ukija Nairobi tena nitafute...

  • @hamzanyimkuu8002
    @hamzanyimkuu8002 Před rokem +33

    Huyu mwandishi nae anauliza uliza kwa kurudia rudia maswal ya kibwege tu

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před rokem +1

    Uzidi kutumikia Mungu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před rokem +2

    Mwandishi sijui hasikilizi story maana maswali yake mengine ni kama hayupo yaani😏😏

  • @Worldtoday777
    @Worldtoday777 Před rokem

    Mungu atukuzwe

  • @funneybozzen5080
    @funneybozzen5080 Před rokem +1

    Alie msaidia huyu jamaa ni Mungu Tu yesu hana haezi kutetea akisema yes ni yes

  • @naftalimiheso249
    @naftalimiheso249 Před rokem

    Jela ni funny sana, watu innocent ndio hufungwa, waliotenda wanaachiliwa.

  • @kamauwilliamk
    @kamauwilliamk Před rokem

    It's good testimony but be careful those rich guys may come for you

  • @esthermatili7200
    @esthermatili7200 Před rokem

    Just thank God hakukuwa na ushahidi wa kutosha..

  • @francisekadeli3660
    @francisekadeli3660 Před rokem +1

    The story is nice uku Kenya kama umetoboa jela huwa unakuwa mchungaji

  • @jonathanmwatangia1277

    God is able

  • @ronaldmokaya1952
    @ronaldmokaya1952 Před rokem

    Mungu alikupatia nafasi nyingine ya kuishi.Sasa mtumikie maisha yako yote

  • @davidmnyela2459
    @davidmnyela2459 Před rokem +1

    In Jesus Christ we trust 🙏

  • @nathanielkirigha652
    @nathanielkirigha652 Před rokem

    Kumbe unatujua vizuri...lazma tukikushika utasema vizuri

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 Před rokem

    Huyu mwandishi arudi shule yaani YOUR HONOR hajui ni nini!!🫢

  • @C.Nyabwar_Ke
    @C.Nyabwar_Ke Před rokem

    Amen🙏

  • @manp9091
    @manp9091 Před rokem +1

    Boss wako ikawaje

  • @dagie7754
    @dagie7754 Před rokem

    Mtangazaji....Next time...ukue na notebook ya maswali ndio usijirudie rudie.

  • @papabaharini
    @papabaharini Před rokem

    Chunga Kaka , waweza kuombwa na koti urudi ueleze koti vizuri. kifungu cha statute of limitation cha weza kukiuka ikiwa maafa yalikwemo.

  • @bensonmafuru3871
    @bensonmafuru3871 Před rokem

    Huyo mzeee atakaa kusau maishaa yake yote ila pole sana

  • @hillarymakete5851
    @hillarymakete5851 Před rokem +1

    Mwandishi sisi tunaelewa wacha kuuliza uliza maswali. Unachanganya. Your honour ndio jaji.

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před rokem

    Nyie watangazaji wa youtube mjiongeze kielimu kiasi...your honor maana yake ni mheshimiwa kwa kiswahili

  • @simonmachupa6767
    @simonmachupa6767 Před rokem

    You own George

    • @abbnaiyah6009
      @abbnaiyah6009 Před rokem

      😂😂😂😂Wacha ujinga amesema your honour imean jaji

  • @happyshirima1131
    @happyshirima1131 Před rokem

    Hyu mtangazaj kiaz kwl🤣🤣🤣

  • @westernkenyapolitics1703

    Rudisha hii takataka Kenya tuinyonge!

    • @Abuizmee
      @Abuizmee Před rokem

      Maze, ame tubeba ndogo

  • @chileshebwilya8967
    @chileshebwilya8967 Před rokem

    Millard, hapa huna mwanahabari.. Your Honour anadhani ni "Yona",😂😂 anapewa majibu anarudia maswali hayo hayo..

  • @therealprincess.1458
    @therealprincess.1458 Před rokem

    Well intrigued concrete evidence 🤔

  • @gidyke1456
    @gidyke1456 Před rokem

    Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪,,🔥🔥

  • @Dj_anaetumia_kanda_AloyceG

    Mungu mkubwa sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Před rokem

    Hahaha 😂 Yani sio nafurahi ila jamaa anafurahisha

  • @njapukaadhra9550
    @njapukaadhra9550 Před rokem +1

    nimependa story

  • @eliashibundabalinze2217
    @eliashibundabalinze2217 Před rokem +1

    WAPENTECOSTAL MPO HAPA JAMANI...HONGERENI KWA KUSHUHUDIWA KUWA MNAPIGA INJILI

  • @suzansimon5296
    @suzansimon5296 Před rokem +1

    Nliisubir kwa hamu

  • @blasioshitsirishibachi9739

    Nahisi Mungu alikuchakulia njia ya jela ili upate wokovu. Akuaomamie ili ueneze injili yake.

  • @azizbashir
    @azizbashir Před rokem +1

    KILICHO KUOKOA WEWE UJAWA NA NIA MBAYO TOKA MWANZO IMANI YAKO IMEKUPONYA SS WAISLAM TUNASEMA KILA AMAL UNAYOFANYA INANGALIWA NIA YAKO HATO UNAVYONGEA ROHO YAKO NI NZUR MUNGU HAKUTANGULIE

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Před rokem +3

    Nilikua nasubilia muendelezo asanteni sana.

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Před rokem

    Nilicho jifunza kwa huyu jama ni ire lmani yake ya kumwamini mungu pamoja na kwamba Arikua jambazi mungu hutumia hata majambazi Anacho Angalia ni ww uwe mwaminifu kwake

  • @ventonluvaiadalo8534
    @ventonluvaiadalo8534 Před rokem

    Apo qwa uweusi umetudanganyia wwe

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před rokem

    🤔

  • @misalitourssafari640
    @misalitourssafari640 Před rokem

    Uyu jamaa anarejea rejea kuuliza maswali adi anabowa ,kiukweli hana mvuto kwenye tasnia ya uandishi wa habari ni bora aende shambani tu kulima.

  • @wildlifepassion789
    @wildlifepassion789 Před rokem

    This clip is so sensitive,

  • @yovesolela7153
    @yovesolela7153 Před rokem

    Utaweza kutafutwa tena, evidence yote umeweka hapa venye ulidanganya, bosi wako nko sure amepata hi habari

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před rokem

    Usirudie tena

  • @hellenboniphace7541
    @hellenboniphace7541 Před rokem +1

    Mjifunze kuuliza maswali

  • @georgetano389
    @georgetano389 Před rokem

    Mwandishi hauko makini hujui kuhoji maswali ya msingi

  • @kelvinmuriithijr2831
    @kelvinmuriithijr2831 Před rokem

    Self incrimination if you're clever don't step in the territory of The Republic of Kenya.

  • @aikaM74
    @aikaM74 Před rokem

    Yaani miladi una mambo mengi Sana, story reeefu

  • @frankmpanda5850
    @frankmpanda5850 Před rokem

    nzuli hiii

  • @oyay2821
    @oyay2821 Před rokem

    Hii ndio sababu nzuri ya mwizi kumaliziwa pale anaposhikwa. Ukishika mwizi dawa ni kummalizia hapo hapo mambo ya kesi ni upuuzi

  • @maila561
    @maila561 Před rokem

    jela sio pakuomba uende

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Před rokem

    38:39 Mtangazaji unatengeneza ushahidi ili jamaa aropoke tukio alilowafanyia watu ili hasira ziwapande waanze kumkumbuka vyema na kumtafuta mwisho tusikie jamaa amepotea kweye mazingira ya kutatanisha

  • @khloechepkoech6817
    @khloechepkoech6817 Před rokem

    Arudi Kwa bosi wake aombe msamaha...uwezi kulia sahani then ukagunia ndani

  • @barakakings
    @barakakings Před rokem

    Usimuache Mungu wako,huu ni ushuhuda mzito mno,wewe ungefia korokoroni.

  • @simonmachupa6767
    @simonmachupa6767 Před rokem +1

    Ushuda mziri kabisa mungu atukuzwe

  • @alfristricks7515
    @alfristricks7515 Před rokem +1

    Kwa msingi wa ushahidi mpya anaoutoa huyu mhusika, anastahili kukamatwa na kufungwa. Aliidanganya mahakama.
    Pia, kiroho anayo hatia, maana wale aliowaibia, hakuwaomba msamaha, wao wana maumivu ya kuibiwa vitu vyao. Atafutaje maumivu ya familia nyingi alizowanyang'anya mali zao? Angekuwa hata amewaomba radhi hadharani wahusika, angekuwa na dhamiri safi. Fikiria aliyeibiwa akikuona na simulizi hii, atashangilia moyoni mwake? Ama, kwa bahati akakutana nawe baada ya simulizi hii, atakuacha salama?

    • @GeorgeChitemo-kt8sw
      @GeorgeChitemo-kt8sw Před 9 měsíci

      Mtu akishampa Yesu maisha analipiwa madeni na Mungu wewe unAesema itakuwa ni wakala wa shetani unajisikia vibaya alivyooka huyu jama

    • @alfristricks7515
      @alfristricks7515 Před 9 měsíci

      Bro, jibu hoja kwa hoja, usijibu hoja kwa tuhuma zisizo msingi. Mimi sina uwakala wowote na shetani.
      Naamini katika kumpa Kristo maisha, na msamaha wa makosa. Ila, naamini pia katika kulipa niliowadhulumu.
      Hebu fikiri nje ya box, ungekuwa ni wewe huyo mwizi aliyeongoka, na hujapatana na uliowadhuru, na mali ulizoiba umetumia kwa faida zako, siku ukikutana na uliowadhulumu, watakuacha kwa sababu tu eti umeacha uovu wako?

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 Před rokem

    Hapa sijamuona Mungu apo ni uwongo na akili za waizi wenzako zimekubeba Mungu ni wahaki huwez danganya na mlinya kwel

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 Před rokem

    Sasa kama umeokoka si ungekiri badala ya kukataa?

  • @kmtcuniversity9310
    @kmtcuniversity9310 Před rokem

    Wewe

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před rokem +3

    Watangazaji wengi hawajui kuhoji hasa watu wanaotoka jera. Maana kwanza hata jera yenyewe hawaijui sasa kunavitu vingi vya kuhoji lakini hawajui

  • @princessjj8298
    @princessjj8298 Před rokem +4

    Yaani mtangazaji hajui hata maana ya your Honour...!😁😁😁

    • @floridimassay8987
      @floridimassay8987 Před rokem +2

      Anayesimulia ndo anakosea namna ya pronounce ndo mn mwandishi haelewi😂😂

    • @jameskinuthiamunene6356
      @jameskinuthiamunene6356 Před rokem

      Michael angemwambia tu mheshimiwa angeelewa freshi haha.Hapa Kenya hata huwa mheshimiwa ukiamua kuhojiwa na Kiswahili

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +2

    Huyu anaeleza hivi hatoshikwa kweli ??? Maana kesi yake ilikua nzito au mie ndio sijui mambo ya kesi

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Před rokem

    Mwandishi zero kwa mahojiano nenda shule kidogo