Mungu akubarki na huduma yako uishi kua mshaidi wa maisha yako na pia mahali mungu alikokutoa na ukanasuliwa kwenye mdomo wa ibilisi.....Keep spreading the word
Hatujakuzoea hvi millard, story kma hii ambayo Ina part 2 kma itakupendeza usipost na ukiwa Tayar post kwa muendelezo yani part 1, 2, 3, manake mtu kasoma tangu majuzi Leo ndio wa post ya pili, Mfano:Ile ya Ben Pol watu wakapanicna kutoa povu kabla hawajaskiliza part 2 :Anyway mahojiano Mazur na kazi nzur keep it up
Katika story hiii nimejifunza kumtegemea mungu kwa kila jambo yeye awez kukuacha ata Kama wanadam wakikuacha na hasa akiwa anakuitaji kwa kazi zake lazima utoke kwenye tundu la simba
Please stop advocating tribes, huku Tanzania hatujui hayo mambo. We live in peace with everyone regardless of one’s tribe, kwanza hata hatuna haja ya kujua kabila la mtu.
With this confession this guy could be charged afresh in light of the "new evidence" by the accused person except for innocence from self incriminating evidence
KILICHO KUOKOA WEWE UJAWA NA NIA MBAYO TOKA MWANZO IMANI YAKO IMEKUPONYA SS WAISLAM TUNASEMA KILA AMAL UNAYOFANYA INANGALIWA NIA YAKO HATO UNAVYONGEA ROHO YAKO NI NZUR MUNGU HAKUTANGULIE
Nilicho jifunza kwa huyu jama ni ire lmani yake ya kumwamini mungu pamoja na kwamba Arikua jambazi mungu hutumia hata majambazi Anacho Angalia ni ww uwe mwaminifu kwake
38:39 Mtangazaji unatengeneza ushahidi ili jamaa aropoke tukio alilowafanyia watu ili hasira ziwapande waanze kumkumbuka vyema na kumtafuta mwisho tusikie jamaa amepotea kweye mazingira ya kutatanisha
Kwa msingi wa ushahidi mpya anaoutoa huyu mhusika, anastahili kukamatwa na kufungwa. Aliidanganya mahakama. Pia, kiroho anayo hatia, maana wale aliowaibia, hakuwaomba msamaha, wao wana maumivu ya kuibiwa vitu vyao. Atafutaje maumivu ya familia nyingi alizowanyang'anya mali zao? Angekuwa hata amewaomba radhi hadharani wahusika, angekuwa na dhamiri safi. Fikiria aliyeibiwa akikuona na simulizi hii, atashangilia moyoni mwake? Ama, kwa bahati akakutana nawe baada ya simulizi hii, atakuacha salama?
Bro, jibu hoja kwa hoja, usijibu hoja kwa tuhuma zisizo msingi. Mimi sina uwakala wowote na shetani. Naamini katika kumpa Kristo maisha, na msamaha wa makosa. Ila, naamini pia katika kulipa niliowadhulumu. Hebu fikiri nje ya box, ungekuwa ni wewe huyo mwizi aliyeongoka, na hujapatana na uliowadhuru, na mali ulizoiba umetumia kwa faida zako, siku ukikutana na uliowadhulumu, watakuacha kwa sababu tu eti umeacha uovu wako?
🙏 "GOD" IS GREAT HE SAVED MICHAEL. When you hear Somebody CONFESSING his SINS to the Public it means he/she has REPENTED. Hallelujah AMEN. ➕️ 🙏🙏🙏
Hongera kwa Wokovu wa Kiroho na Kimwili. Mungu anahaja nawe kukutumia. Huo ni ushuhuda mkubwa sana. Unajenga sana. Mungu akubariki sana.
Mwandish yuko poa sana hakatizi katiz maneno yni anafanya tuelewe zaid kwa umakin yuko saf sana yni classic interview
Tuliopo Kenya 🇰🇪 tunaelewa,,, ukikataa wokovu kaburi linakungoja,,
Hapo hakuna mwandishi ni mshika maiki tu 🤣🤣😂
Sasa Kenya si wanaweza kukurudisha tena kwa hiyo confession. Well, I hope God will protect you as you've accepted him.
Mungu Ni wa wote wenye mwili ashukuriwe kristo ,kuku okoa
Mungu akubarki na huduma yako uishi kua mshaidi wa maisha yako na pia mahali mungu alikokutoa na ukanasuliwa kwenye mdomo wa ibilisi.....Keep spreading the word
Amen!! Yesu asifiwe sana!! Ubarikiwe sana!!
God is the everything all the time 🙏🙏
Wale Majambazi wenzangu tulionusurika na Michael akakamatwa njooni mumuone ndugu yetu katoka jela 😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🤣🤣🤣🤣
Hahaha
Tatizo Michael kaanza kutoboa siri😂😂😂
Mhh dunia ina mengi yakujifunza kwakweli🤔🤔
Onger sanaa,kaza buti Mungu bado Anampango nawewe🙏
Hatujakuzoea hvi millard, story kma hii ambayo Ina part 2 kma itakupendeza usipost na ukiwa Tayar post kwa muendelezo yani part 1, 2, 3, manake mtu kasoma tangu majuzi Leo ndio wa post ya pili,
Mfano:Ile ya Ben Pol watu wakapanicna kutoa povu kabla hawajaskiliza part 2
:Anyway mahojiano Mazur na kazi nzur keep it up
😂😂😂😂
Kweri kabisa ..
GOD intervenes Everywhere 👏
Mtangazaji Your Honour manaake ni mheshimiwa...huku Tz husema mheshimiwa jaji ama mheshimiwa hakimu
Daah ni nouma xanaaa🙏🙏🙏
CID si mchezo...si unawafahawu🤣🤣🤣🤣🤣
hongera sana ndugu yangu, una bahati sana
Katika story hiii nimejifunza kumtegemea mungu kwa kila jambo yeye awez kukuacha ata Kama wanadam wakikuacha na hasa akiwa anakuitaji kwa kazi zake lazima utoke kwenye tundu la simba
Hongera sana kwakugundua makosayako na kuacha ujqmbazi
Proud to be a kamba #kambation
But huyu si mkamba ali forge jina
Please stop advocating tribes, huku Tanzania hatujui hayo mambo. We live in peace with everyone regardless of one’s tribe, kwanza hata hatuna haja ya kujua kabila la mtu.
Watching from kenya,,am a kamba
So touching
With this confession this guy could be charged afresh in light of the "new evidence" by the accused person except for innocence from self incriminating evidence
His lying
@@Mina.15😂
Kushukuru Mungu sana kwa hayo aliyo yaenda juu yako
BONGO MOVIE MKO WAPI CHUKUENI STORY IYO MUIFANYIE KAZI SIO KILA SIKU MAPENZI TUMEWACHOKA
Ni your honour sio Yona,mwandishi uko na shida nyingi
Un experienced presenter
Mtangazaji hajielewi, mtu anakuambia yupo jela unaendelea tu kumuuliza humohumo jela?? 😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣
Nimecheka sana duuh
Haamini labda.🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Humo humo sokoni 😂😂
Michael nimejifunza kitu kupitia ww tuish na w2 vzr isije ikawa ukamuomba yule ulie mnyima
Mungu ni mkuu sana jina lake litukuzwe😊❤
jamaa kwenye kuadisia stori nimemkubari
To God be the Glory
Kenya ni nchi nzuri sana ila wageni wakija wanaanza zao
Mungu akusahihidie sana
God is great all the time
Kweli hiyo ni muujiza mashallah....Hakuna kurudi nyuma
Pole bro..Ukija Nairobi tena nitafute...
Huyu mwandishi nae anauliza uliza kwa kurudia rudia maswal ya kibwege tu
Kweli hapo hakuna mwandishi sijui hasikilizi au ndy haelewi anachoambiwa sijui.
Km ambae ni rafiki yake wanaongea😂😂
Mwandishi hakuna hapa
Hadi anaboo wallahi
Lazima a get poa coz kesi nya kenya
Uzidi kutumikia Mungu
Mwandishi sijui hasikilizi story maana maswali yake mengine ni kama hayupo yaani😏😏
Mungu atukuzwe
Alie msaidia huyu jamaa ni Mungu Tu yesu hana haezi kutetea akisema yes ni yes
Jela ni funny sana, watu innocent ndio hufungwa, waliotenda wanaachiliwa.
It's good testimony but be careful those rich guys may come for you
Just thank God hakukuwa na ushahidi wa kutosha..
The story is nice uku Kenya kama umetoboa jela huwa unakuwa mchungaji
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
God is able
Mungu alikupatia nafasi nyingine ya kuishi.Sasa mtumikie maisha yako yote
In Jesus Christ we trust 🙏
Kumbe unatujua vizuri...lazma tukikushika utasema vizuri
Huyu mwandishi arudi shule yaani YOUR HONOR hajui ni nini!!🫢
Amen🙏
Boss wako ikawaje
Mtangazaji....Next time...ukue na notebook ya maswali ndio usijirudie rudie.
Chunga Kaka , waweza kuombwa na koti urudi ueleze koti vizuri. kifungu cha statute of limitation cha weza kukiuka ikiwa maafa yalikwemo.
Huyo mzeee atakaa kusau maishaa yake yote ila pole sana
Mwandishi sisi tunaelewa wacha kuuliza uliza maswali. Unachanganya. Your honour ndio jaji.
😂😂😂😂
Nyie watangazaji wa youtube mjiongeze kielimu kiasi...your honor maana yake ni mheshimiwa kwa kiswahili
You own George
😂😂😂😂Wacha ujinga amesema your honour imean jaji
Hyu mtangazaj kiaz kwl🤣🤣🤣
Rudisha hii takataka Kenya tuinyonge!
Maze, ame tubeba ndogo
Millard, hapa huna mwanahabari.. Your Honour anadhani ni "Yona",😂😂 anapewa majibu anarudia maswali hayo hayo..
Well intrigued concrete evidence 🤔
Kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪,,🔥🔥
Mungu mkubwa sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.
Hahaha 😂 Yani sio nafurahi ila jamaa anafurahisha
nimependa story
WAPENTECOSTAL MPO HAPA JAMANI...HONGERENI KWA KUSHUHUDIWA KUWA MNAPIGA INJILI
Nliisubir kwa hamu
Nahisi Mungu alikuchakulia njia ya jela ili upate wokovu. Akuaomamie ili ueneze injili yake.
KILICHO KUOKOA WEWE UJAWA NA NIA MBAYO TOKA MWANZO IMANI YAKO IMEKUPONYA SS WAISLAM TUNASEMA KILA AMAL UNAYOFANYA INANGALIWA NIA YAKO HATO UNAVYONGEA ROHO YAKO NI NZUR MUNGU HAKUTANGULIE
Nilikua nasubilia muendelezo asanteni sana.
mm pia
Tupo wengi
Hakuna kama mungu, mungu ni mwema tumsifu mungu Kila siku amina
Nilicho jifunza kwa huyu jama ni ire lmani yake ya kumwamini mungu pamoja na kwamba Arikua jambazi mungu hutumia hata majambazi Anacho Angalia ni ww uwe mwaminifu kwake
Apo qwa uweusi umetudanganyia wwe
🤔
Uyu jamaa anarejea rejea kuuliza maswali adi anabowa ,kiukweli hana mvuto kwenye tasnia ya uandishi wa habari ni bora aende shambani tu kulima.
This clip is so sensitive,
Utaweza kutafutwa tena, evidence yote umeweka hapa venye ulidanganya, bosi wako nko sure amepata hi habari
Usirudie tena
Mjifunze kuuliza maswali
Mwandishi hauko makini hujui kuhoji maswali ya msingi
Self incrimination if you're clever don't step in the territory of The Republic of Kenya.
Yaani miladi una mambo mengi Sana, story reeefu
Wewe umemwona Millard hapo?? Na kwann usikue unafoward video
nzuli hiii
Hii ndio sababu nzuri ya mwizi kumaliziwa pale anaposhikwa. Ukishika mwizi dawa ni kummalizia hapo hapo mambo ya kesi ni upuuzi
jela sio pakuomba uende
38:39 Mtangazaji unatengeneza ushahidi ili jamaa aropoke tukio alilowafanyia watu ili hasira ziwapande waanze kumkumbuka vyema na kumtafuta mwisho tusikie jamaa amepotea kweye mazingira ya kutatanisha
Arudi Kwa bosi wake aombe msamaha...uwezi kulia sahani then ukagunia ndani
Usimuache Mungu wako,huu ni ushuhuda mzito mno,wewe ungefia korokoroni.
Ushuda mziri kabisa mungu atukuzwe
Kwa msingi wa ushahidi mpya anaoutoa huyu mhusika, anastahili kukamatwa na kufungwa. Aliidanganya mahakama.
Pia, kiroho anayo hatia, maana wale aliowaibia, hakuwaomba msamaha, wao wana maumivu ya kuibiwa vitu vyao. Atafutaje maumivu ya familia nyingi alizowanyang'anya mali zao? Angekuwa hata amewaomba radhi hadharani wahusika, angekuwa na dhamiri safi. Fikiria aliyeibiwa akikuona na simulizi hii, atashangilia moyoni mwake? Ama, kwa bahati akakutana nawe baada ya simulizi hii, atakuacha salama?
Mtu akishampa Yesu maisha analipiwa madeni na Mungu wewe unAesema itakuwa ni wakala wa shetani unajisikia vibaya alivyooka huyu jama
Bro, jibu hoja kwa hoja, usijibu hoja kwa tuhuma zisizo msingi. Mimi sina uwakala wowote na shetani.
Naamini katika kumpa Kristo maisha, na msamaha wa makosa. Ila, naamini pia katika kulipa niliowadhulumu.
Hebu fikiri nje ya box, ungekuwa ni wewe huyo mwizi aliyeongoka, na hujapatana na uliowadhuru, na mali ulizoiba umetumia kwa faida zako, siku ukikutana na uliowadhulumu, watakuacha kwa sababu tu eti umeacha uovu wako?
Hapa sijamuona Mungu apo ni uwongo na akili za waizi wenzako zimekubeba Mungu ni wahaki huwez danganya na mlinya kwel
Sasa kama umeokoka si ungekiri badala ya kukataa?
Wewe
Watangazaji wengi hawajui kuhoji hasa watu wanaotoka jera. Maana kwanza hata jera yenyewe hawaijui sasa kunavitu vingi vya kuhoji lakini hawajui
Jera🤔😂😂
Tafuta wako umu hoji
Kwahiyo unataka watangazaji wakaishi kwanza huko jera(jela) halafu ndiyo watuletee habari
@@raphaelnambombi3709 🤣🤣🤣🤣minaic anataka ivyo✍️
@@raphaelnambombi3709 ndiyoo🤣🤣🤣🤣
Yaani mtangazaji hajui hata maana ya your Honour...!😁😁😁
Anayesimulia ndo anakosea namna ya pronounce ndo mn mwandishi haelewi😂😂
Michael angemwambia tu mheshimiwa angeelewa freshi haha.Hapa Kenya hata huwa mheshimiwa ukiamua kuhojiwa na Kiswahili
Huyu anaeleza hivi hatoshikwa kweli ??? Maana kesi yake ilikua nzito au mie ndio sijui mambo ya kesi
Alafu naona wanazoom kitamburisho Cha NIDA Kila wakati, Nadhani alishinda hivyo hawezi kushtakiwa Tena,
Kesi ikishaisha imeisha
Kesi ikiisha imeishaa mzee kuna kesi milio1900
Alisha hukumiwa hivyo Hana nihistori ya maisha tu
Mwandishi zero kwa mahojiano nenda shule kidogo