'Mume wangu wamemuua, hakuwa Jambazi'- Mke aeleza masikitio yake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 383

  • @hamisindoki885
    @hamisindoki885 Před 6 lety +10

    Kama kweli marehemu hakuwa jambazi lnshaalah mungu yupo anawaona atawahukumu wote walio muua na wanao comment ubaya kwake Amen

  • @evederrick8924
    @evederrick8924 Před 6 lety +6

    Maulana lazima akupiganie...Waliotenda hicho kitendo lazima wa lipe siku is kiama... Yauma sana.Mungu aelaze roho yake mahali pema peponi.Pole sana dadangu na pia kamati ya familia.

  • @nahodahassan6938
    @nahodahassan6938 Před 6 lety +17

    M/mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako!.Innah Lilah wainah illah lajiun!.

    • @onesmokapugi9494
      @onesmokapugi9494 Před 6 lety

      watatumaliza wote sijui watampiga nan?

    • @hamisinassor805
      @hamisinassor805 Před 5 lety

      Nakwakuwa ukiua jambazi hauna kesi.tutarajie mauaji mengi kwakisingio kuwa jambazi

  • @jayratumaulid582
    @jayratumaulid582 Před 6 lety +7

    Innalillah wainnaillahi rajiun, pole sana Allah akupe nguvu katika kipindi hichi kigum

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 Před 6 lety +48

    Nawachukia mapolice wotee wa tz tarehe 31/01/1993 walikuja vamia kijiji chetu na kumuuwa baba yangu bila hatia yoyote eti kisa kulikuwa na bendera za chama cha cuf zimepachikwa ndio ikawa sababu ya kuvamia kijiji na kupiga risas watu nikiwa mdogo na kupelekea nikose busara za baba yangu. Mungu yupo na haki ya mtu haipotei pole dada yangu Mungu yuko na ww kuwa na subra subra ni njema

  • @dickngimba4333
    @dickngimba4333 Před 4 lety

    Kwel Mungu akulinde dada maisha ya duniani magumu sana Polen sana wanafamilia

  • @hajra3111
    @hajra3111 Před rokem

    Pole sana dada Allah akupe subila ila dhuluma imezidibsana maanan nasisi tumesha pata mtihani huo mwenye zimungu awaangalie jicho la hasila hawa mazalimu siwaombei kheli Allah awaadhibu hapa duniani Hadi kesho akhera

  • @azzaalmaamry76
    @azzaalmaamry76 Před 6 lety +1

    Mungu akupe subra dada InshaAllah wtt mungu atawafanyia wepesi pamoja na wewe sali saana kuomba wepesi

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 6 lety +6

    Pole sana dada Allah yu pamoja nawe ln shaa Allah ,Na pia tujisiri jamani ukiwa eddah haipaswi kuonekana.Na nyinyi mnaohoji pia kama mama yuko eddah muacheni mpaka amalize mda wake.

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 Před 4 lety

    Pole sana dada mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu

  • @elisanjichanyange5485
    @elisanjichanyange5485 Před 6 lety

    Pole mummy, dunia ni tambala bovu, mwachie mungu..... Hukumu ya kila mja ijuu ya mwenyezi mungu

  • @pbye2974
    @pbye2974 Před 6 lety

    Pole Sana dada, Mungu akutie nguvu. Lkn nikufahamisheni tu kuwa kuna Wat u ni wanyama Sana hata familiya na watoto wao wahawezi kujua na wamejifunika kwa miamvuli ambapo si rahisi kuwafahamu, Lin cku ukikutana nao au cku watakapo kufanyia tukio ndipo utapoamini na mbaya zaidi wanapogundua umewafahamu wanaeza kukuondoa uhai. Kuwa jambazi c Lazima uwe na aura ngumu na unaeza ukawa unahudhuria kanisani na misikitini kumbe ww ni mnyama. Hivyo shaidi wa uhalisia wa mtu ni nafsi take mwenyew na ndio maana unaeza ukaishi na mtu mbaya chumba/nyumba moja pasipo kujua mpaka cku ile atakayokufanyia ubaya ama kukamatwa kawafanyia watu ubaya. Najua hapa duniani sote ni wasafiri ila kuyaishi matendo yanayompendeza Mungu yatupasa. Tuombee familiya zetu hata vyombo vyetu vya ulinzi(polisi) kuliko kuvipelekea lawama tu kisa misiba hii inatuhusu. Pole sana dada Mungu akutie nguvu, usiwe mtu wa making'uniko mwombee mume wako aweze kupumzika Mahal pema peponi. Amen

  • @maryjustapeter5430
    @maryjustapeter5430 Před 6 lety +1

    Poleni Mjane, Na wanafamilia yote. nyie polisi mnao mwaga damu za watu mjue Mungu atawahukumu roho za watu mnazozipoteza mtatoa hesabu mbele za haki.

  • @aliarkam1413
    @aliarkam1413 Před 6 lety +1

    Allah akufanyie wepes ,pole sana Allah atakusaidia , marehemu mwenyez ampe kauli sabit ..,nuru katika nymban yake milele

  • @mariaalfonce608
    @mariaalfonce608 Před 6 lety +2

    pole sana dada ang, M/Mungu akupe wepesi katika maisha yako!

  • @yahayamaulana8215
    @yahayamaulana8215 Před 6 lety +7

    Hii ndio Tanzania kisiwa cha amani wanafki wanavyo jinadi ukwel nmeguswasana kwa dhurumahii niyakinyonge Inshaallah

  • @amaninaupendo.3539
    @amaninaupendo.3539 Před 5 lety

    Amen amen. Poleni nyote. Amen.

  • @merryn4891
    @merryn4891 Před 6 lety +1

    pole mama mwenyez mungu akupe ujasili nanguvu mama

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 6 lety +49

    Tena inavyoonekana marehemu alikua mwaminifu saana maana kile kitendo cha kufika saa 10 jioni mke wake akawa na wasiwasi kwakua sio kawaida yake kurudi nyumbani usiku haya! Huo ujambazi gani jamani mbona mnajitafutia laana nyinyi ma askari hamuogopi hata Mungu?

    • @jurmainezaidi739
      @jurmainezaidi739 Před 6 lety

      sanaaaa

    • @nshonabdll9363
      @nshonabdll9363 Před 5 lety +2

      Umeonq ehee yn hawa polisi hawana hakili kbs wao ndo majambazi

    • @abdulrahmansaliumalbry2615
      @abdulrahmansaliumalbry2615 Před 5 lety +2

      Mwenyezi Mungu atahukumu muachie mola hao makafiri siku zao zitafika inshaAllah Ameen.

    • @TALLUBOY
      @TALLUBOY Před 5 lety

      Selkal ya mh.MAGUFULI siyo serkal baki ni Uchafu na ugaid nimewai khiyona video moja trafik wanampiga Raia wanapika kama
      Kama mnyama
      Akuna selkar
      Iki kiti cha urais tujalibu kumpa
      Mwingine
      Kula zetu tumepoteza bule

    • @avillasimba5338
      @avillasimba5338 Před 5 lety

      Nu by mambo and

  • @salhaahmad2171
    @salhaahmad2171 Před 5 lety

    Mm pia nawachukia maaskari wa tz maana walichomtendea bb angu ctokuja kuwasahau kwa sababu mmefanya mpaka Maisha yetu Leo yamebadilika sana, bb angu pia walimwita jambaz kisa amegoma kutoka pesa waliyokua wanaitaka, ingawa mungu ni mwema baadae kec ilikuja kuwageukia wao baada ya kugundulika wamemcngizia tukio hlo, pole sana Dd angu m/mung akutie nguvu ktk kpnd hki kigum ulichonacho

  • @suzanampanda9767
    @suzanampanda9767 Před 6 lety +2

    Poleni sana Mungu awape faraja kwa msiba.

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 6 lety

    Pole dada kwa msiba na pole kwa waliokupata. Hata Mimi nimeguswa mno na tukio hilo. Mungu atakulipia

  • @fextomaturo7815
    @fextomaturo7815 Před 5 lety +3

    Pole xanaaa jomon mungu akupe wepex R.I.P

  • @neemamohamedmaryakamaryaka4686

    Pole Dada mungu atakupa subra

  • @jacksonfungo263
    @jacksonfungo263 Před 5 lety

    Pole sana dada mungu atakupa wepesi na maisha yata songa tu mbele

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 Před 6 lety +6

    Dah! maisha haya

  • @sundaymariba360
    @sundaymariba360 Před 6 lety +3

    Pole xnaa dada inauma sanaaa

  • @salumhaji7308
    @salumhaji7308 Před 5 lety

    Allah awape subra wafiwa wote, hii nidhulma yawaazi kabisa, ila waswahili wanasema ukitaka kumuua paka mpe jina baya mfano paka mwizii hata kama hajawai kuiba

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani3076 Před 6 lety

    pole Sana dada mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko4383 Před 6 lety +1

    Subhanallah Allah atakusaidia Dada

  • @husenimsumba8391
    @husenimsumba8391 Před 3 lety

    Duuu!!! Inauma Sana pole Sana Dada,

  • @beatricekamengekamenge5543

    Pole san dada wote tutaicha dunia mungu akutie nguvu dada

  • @fundibombatanzania3457

    kiukweli inauma sana nakama kweli wamemuuwa bila hatia mungu awalaani wote pamoja na kizazi chao

  • @favourkind3746
    @favourkind3746 Před 6 lety

    Pole Dada Mungu akutie nguvu

  • @omarothman8740
    @omarothman8740 Před 6 lety +1

    Polesana sana Dada inauma sana aisee kamawamemuua bilahatia hakiitendeke nawaowauji wachukuliwe hatua nakama kwelinimuhalifu pia hakiitendeke uchunguzi wakinaunahitajika

  • @thedonboss1882
    @thedonboss1882 Před 5 lety

    Mungu akutie nguvu Dada angu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @melkdaitsony2067
    @melkdaitsony2067 Před 5 lety

    pole sanaaaa dada ni maisha tu Allah akutie nguvu

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před 6 lety +1

    Innalillah wainna ilayhi rajiuun. Wamemdhulumu yeye na wewe na watoto na ndugu wazazi jamaa na marafiki zake. Mungu atawalipia. Mungu atakukuzia wanao na atakupa nguvu ya kuwalea in sha Allah amin. Tunaomba mawasiliano tusaidie tafadhali

    • @shabanikingwai3680
      @shabanikingwai3680 Před 6 lety

      duhh what the hell is this ht kama ni jambazi sheria ndo zimasema auawe au alikutwa akiiba hawa polisi sio poa

    • @dainesszubery4751
      @dainesszubery4751 Před 6 lety

      Inauma sanaaaa pole sanaa dada mungu yupo

  • @fayeezomar2902
    @fayeezomar2902 Před 6 lety

    Subhnnlh!! Allah yup na ww inshaallah Allah kareem

  • @taniaaugustin9193
    @taniaaugustin9193 Před 6 lety

    pole sana mujane mungu yuko pamoja na wewe naomba serekari imusaidiye huyo mudada

  • @jeremiahsengasu6595
    @jeremiahsengasu6595 Před 6 lety

    nawachukia sana Polisi, malipo ni Hapa hapa, Mungu awalaani pamoja Na vizazi vyaooo

  • @mohamedally1460
    @mohamedally1460 Před 6 lety +1

    Pole Sana

  • @mariachombo9276
    @mariachombo9276 Před 6 lety +2

    Mmmh pole mungu akutie nguvu...walaaniwe wahusika yawakute nawao

  • @canoksancomprehensivelearn7182

    Allah awalaani wote polisi na raia na viongozi wanaofanya kazi za kuuwa watu. Laana ya mungu iwe juu yenu nanyi mfe vibaya ikiwezekana kwa kujiua wenyewe kama mnavyofanya na mdumu motoni milele mkishakufa. aameen. Dada msilie mungu. Nasi tuna machungu mfano wa yako. Watu wetu wengi wameuliwa na polisi huku wakishauliwa husingiziwa ujambazi na tunamshitakia mungu pia. Tuna machungu mengi na jamani Tusiache kumuomba mungu juu ya hawa madhalimu atuondolee kwa kuwadhalilisha sana duniani. Tusichoke kuomba miaka nenda rudi mungu anasikia na hakutakuwa malipo kutokana na kumlalamikia mungu na kumwachia maana ndiye pekee anamiliki roho zao na riziki zao na siha zao akitaka atawapa maradhi ya akili au maradhi ya kuwatesa tu wasipate raha milele tena au kujiua wenyewe na akitaka wengine atawabadilisha watubu na waache Dhulma. Pia kama angekuwa na chombo huru cha dunia kuona ukatili polisi hususan wa Kiafrika wanavyofanya ukatili kwa raia anashitakiwa binafsi wanakamatwa ingekuwa bora kwao kuliko hiyo jahannam wanayoisubiria na damu za watu haziingani na hata milioni. Ni upumbavu wa kutosha kumuua mtu hata kama kaiba shilingi milioni moja na hiyo roho yake hailingani na hiyo pesa. Kuna namna nyingi za kumkamata mtu bila kumuua ila waliolaaniwa na mungu hawaachi kumwaga damu maana motoni imekuwa ndiyo makazi yao. Kuna polisi wengine wanakamatwa wanayemuhisi bila kumdhuru kabisa umepewa pikipiki, mpo wengi, mna redio calls na vifaa vingi n.k . Kwanini mnakuwa waoga hivyo mnaona kila mtu mnatuuwa nsa kutojiamini mwamsingizia silaha na ujambazi?? Hivi mnamjua mungu ninyi?? Hilo litakutokeeni puani enyi madhalimu. Hapa mpo hamshitakiwi lakini huko mtaalaumu aliyewaruhusu kuuwa watu ovyo na maandalizi mbele ya Mungu kuwa apate adhabu mara mbili na huku mkimlaani wenyewe kwa midomo yenu. Enyi waathiriwa wenzangu. Nakuusieni tena dua simameni usiku mkiomba! Msiiache hilo maana hujui kesho yaweza kuwa zamu yako. Hilo si la mtu mmoja na huyo pengine aliuawa alikuwa naye anaona kwa wenzie tu akipuuza akiona halimuhusu. Pakiwa na wauwaji wanaachwa bila kushughulikiwa na kujitangazia kusingizia maiti hakuna katika sisi aliye salama. Leo kwake kesho kwa mwingine na muuzaji huwa hakai bila kurudia mara nyingi.

  • @elizabethmwandu9899
    @elizabethmwandu9899 Před 6 lety

    Pole sana dada kwa kuondokewa na mume wako kipenzi, Mungu akutie nguvu. Jamani inauma kweli watu baki kusababisha kifo cha binadamu mwenzio asiye hata na hatia ? Walaaniwe wote waliomkatili baba wa watu hakika damu yake haitapotea bure. Kila auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. R. I. P

  • @oceanocean9585
    @oceanocean9585 Před 6 lety

    Inauma sana pole sana dada mungu atakupa njia

  • @mamawa3mamawa321
    @mamawa3mamawa321 Před 5 lety

    Pole Dada Allah akupe subra

  • @fainnamvungi4364
    @fainnamvungi4364 Před 5 lety +2

    pole watt wamarehemu maana nakumbuka mpaka leo baba nilimuacha baba kalala na kuniambia wahi shule nitakuja baadae kama sikuja basi utaambiwa nn kimetokea hakuumwa wala saa tano tukaambiwa turud nyumbn kumbe tayar baba yangu amekufa 2003 nikiwa la3 bado sijasahau walau ningemwambia baba nakupenda lakn wap niliishia kuwaambia wenzangu baba ananipenda...Yarab wajaalie watt wake wakuwe bila misukosuko ya kidunia

  • @fikirijoseph9936
    @fikirijoseph9936 Před 5 lety

    Mungu ajibu hitaji ramoyo wakooo pole Sana dada

  • @najlaomar6854
    @najlaomar6854 Před 6 lety

    Mungu atakulipia

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 Před 6 lety +3

    Pole sana 😢😢😢😢inauma sana vp unamua mtu hana hatia

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 Před 6 lety +22

    ALLAH YUKO NAWE, ondoa shaka Dada, ingawa inauma kumpoteza MUME, ALLAH akupe SUBRA, nakila mtoto Ana rizki YAKE , TAYARI ALLAH kamwekea

    • @hadija846
      @hadija846 Před 6 lety

      Amiin 🙏

    • @lissamsalu2179
      @lissamsalu2179 Před 6 lety

      Allah atakusimamia mamy nimeumia sana

    • @jacksonkyabwe7262
      @jacksonkyabwe7262 Před 6 lety

      kajungle kamalo wakati anawaua wengine huyo allah alaikuwa hawaoni wafiwa hao au unaongea pumba tu

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 Před 5 lety

    DUNIANI tunapita maisha ni mafupi sana tusijidanganye leo tuna nguvu lakini kesho kwa Allah tutajuta kwa tunayoyafanya.Allah ndio mjuzi wa yote poleni familia.

  • @mariagissa4226
    @mariagissa4226 Před 5 lety

    Duuuh pole mama mungu akutie nguvu dada angu pole sana

  • @imamumponda1615
    @imamumponda1615 Před 6 lety +1

    inna li llahi wa inna ilayhi raajiun pole my sister Alla akupe moyo wa subra na amrehemu ndugu yetu

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 Před 6 lety

    Pole Sana sister Allah akupe subra inshaallah muhukumie Allah

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 Před 6 lety +1

    daaah! taifa langu Tanzania yangu ee mungu tuepushie hujuma hizi maana huzuni tulizonazo si haba tumeondokewa na jamaa zetu wengi waliokuwa tegemeo ktk maisha yetu kwa kupigwa risasi au kipigo cha polisi tena kwa kuonewa ......hapa ndo ninapokumbuka hadithi ya nani atamfunga paka kengele maana polisi wanaonekana hawashikiki na hawakosei na wana mamlaka na wana nguvu kubwa kuliko sie kwenye nchi yangu Tanzania

  • @idrisaabdallah3362
    @idrisaabdallah3362 Před 5 lety

    Inna lillah Wa inna lillah rajuun .pole xn mama inshaallah m.mungu atakufuta. Machoz

  • @joramnunu1449
    @joramnunu1449 Před 5 lety

    Pole

  • @aminamfaume4244
    @aminamfaume4244 Před 6 lety

    Dada nimeumia sana.nashindwa nisemeje.ila Allah anawaona

  • @hadijadamumbaya5423
    @hadijadamumbaya5423 Před 6 lety +1

    Poleni jamani

  • @razansalim532
    @razansalim532 Před 6 lety

    Pole sana jamani

  • @rahmamavura406
    @rahmamavura406 Před 6 lety +1

    inaumaaa sana

  • @aminamfaume4244
    @aminamfaume4244 Před 6 lety

    Yaani mungu anawaona ..mkikosa la kusema jmn msipende kusingizia wenzenu.

  • @habibuzahoromakame.6728
    @habibuzahoromakame.6728 Před 6 lety +1

    Pole Dada yangu kua na subira

  • @Richiespice914
    @Richiespice914 Před 6 lety

    Pole dadangu....heri hamia 254

  • @avlinmoloj4902
    @avlinmoloj4902 Před 5 lety

    Pole sana dada, inauma sana😥😥😥

  • @anodiantoni6639
    @anodiantoni6639 Před 5 lety

    Pole sana mama

  • @al-baghiryakout4343
    @al-baghiryakout4343 Před 6 lety +1

    EDA si adhabu, nahisi si kosa kuonekanwa na wanaume, inategemea muonekano wenyewe, hasa kwa dharura km hii haina shida, isitoshe mtu akiwa na EDA anaruhusiwa kufanya shughuli zake za kawaida, kinachokatazwa ni kile kile kinachokatazwa kwa mwanamke hata akiwa hana EDA yaani asihemukwe. anatakiwa ajihifadh vizuri yaani avae kiheshma na ainamishe macho yake chini km alivyofanya huyu Dada amezungumza mpaka mwisho hajainua USO amevaa vizuri. ndivyo anavyotakiwa mwanamke awe kikawaida si katika EDA tuu!

  • @mwanamisaomar346
    @mwanamisaomar346 Před 5 lety

    Pole xana dadaangu

  • @mwanaishamzee8572
    @mwanaishamzee8572 Před 6 lety +1

    pole dada kwa msiba

  • @OfficielSamJr
    @OfficielSamJr Před 5 lety +1

    Afu ninyi mnaona huo mwili wa marehemu ni wakufanya kaz kiwandani

  • @karimujuma7784
    @karimujuma7784 Před 6 lety

    Malipo ni dunian inshalaah m/ mungu akupe shufaa ktk kipind hichi kigumu kwako ameen

  • @raudhanaly1352
    @raudhanaly1352 Před 5 lety

    pole

  • @kimedinson5879
    @kimedinson5879 Před 6 lety

    pole dadangu mungu akuonekanie

  • @hamidamakamemohd8537
    @hamidamakamemohd8537 Před 6 lety

    Pole sana dada allah atakusaidia

  • @fatmachambotanzania9379

    Daaah polisi waache roho mbaya wakumbuke
    Dunia ni mapito pole sana dada
    Allah akutie nguvu
    Allah amlaze mahara pema pepon

  • @OfficielSamJr
    @OfficielSamJr Před 5 lety +1

    kuna mwanamke anaejua kuwa mme wake ni jambazi?? au kuna jambaz anaemwambiaga mkewe kuhusu ujambaz wake,japo wapo wanaoonewaweng mnooo

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 Před 5 lety

    Pole dada yn mm nashindwa kuamini majambazi wanaachwa wanauliwa waso kuwa majambazi

  • @tejawamapenzi1958
    @tejawamapenzi1958 Před 6 lety +2

    Uko Kwenye Eddah Ukhty Jistiri
    Na Nyinyi Watangazaji Angalieni Sehemu Zakumhoji Mtu.

  • @hamisiabdi3450
    @hamisiabdi3450 Před 5 lety

    tanzaniaaa

  • @salamamohamed4356
    @salamamohamed4356 Před 6 lety

    So sad... innalilah wainna lillah rajuin

  • @alimsela9781
    @alimsela9781 Před 6 lety +1

    So sad 😭😭

  • @harrietkemmy8062
    @harrietkemmy8062 Před 6 lety

    Poleni ..inauma kweli

  • @yasinkeita6722
    @yasinkeita6722 Před 6 lety +1

    So pain, police haina nia mbaya nasisi raia, Ila askari tumieni mbinu kukamata na kufikisha mahakamani kwa watuhumiwa wenye matukio ya awali, na wasio na silaha, ili msiruhusu double understand, ua jambaz ameshika silaha yeyote Ile.

  • @Tam_media2548
    @Tam_media2548 Před 6 lety

    Nimelia wallah kwa mkasa huu.. 😥
    Ulaya police hukimbiliwa
    Tz police twawakimbia dah!
    Mungu ibariki Tanzania

  • @ftmat2805
    @ftmat2805 Před 6 lety +1

    So sad mungu akupe subra inshallah!!

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 6 lety +9

    Polisi bila kuua hamsikii raha yaani wakati ilipokuwepo rushwa hawakuwa wakiua kama ivi hasira zao wanamalizia kwa binaadam mungu akupe wepesi dadaa

    • @dani72130
      @dani72130 Před 6 lety +1

      wakati cdm wakiuwawa mnaona wanakelele, wajinga , wachochezin, na sasa muone, mupime je huyo alieuwawa ni mchochezi?

    • @denismasembo59
      @denismasembo59 Před 5 lety

      R I p

  • @treyibrahim3327
    @treyibrahim3327 Před 6 lety +1

    so sad

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 Před 6 lety +1

    Dahh pole sn,,Allah yuko pamoja nawe iyo ndo serikali ya Tanzania ukiwa mnyonge watadharau tuu ilo,,,watoe ushahid km kweli jambazi na ameuwawa kwanini,,dahh inaskitisha sn

  • @eliasbmbushi4490
    @eliasbmbushi4490 Před 5 lety

    pole dada

  • @eliadaabel8991
    @eliadaabel8991 Před 6 lety

    poleee dear

  • @majorplans4120
    @majorplans4120 Před 6 lety

    Doh...

  • @dodoshavu488
    @dodoshavu488 Před 6 lety +1

    I am crying jamoni

  • @neemambisse7041
    @neemambisse7041 Před 6 lety +1

    Dunia

  • @bakarali8075
    @bakarali8075 Před 6 lety +24

    Hiyo ndiyo kazi yao kuua kisha wakasema uongo

  • @jenyleopold4142
    @jenyleopold4142 Před 6 lety

    pole San Dada

  • @evarsam2866
    @evarsam2866 Před 6 lety +3

    NI NGUMU SANA JAMANI NIMEUMIA SANA MUNGU AKUPE NGUVU

  • @masakivlogs
    @masakivlogs Před 6 lety

    Mistaken Identity, pole sana dada, siku zote polisi wakikosea hawawezi kukubali watafanya kila namna kuchepusha ishu

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 3 lety

    😢😢😢😢