Maulana lazima akupiganie...Waliotenda hicho kitendo lazima wa lipe siku is kiama... Yauma sana.Mungu aelaze roho yake mahali pema peponi.Pole sana dadangu na pia kamati ya familia.
Nawachukia mapolice wotee wa tz tarehe 31/01/1993 walikuja vamia kijiji chetu na kumuuwa baba yangu bila hatia yoyote eti kisa kulikuwa na bendera za chama cha cuf zimepachikwa ndio ikawa sababu ya kuvamia kijiji na kupiga risas watu nikiwa mdogo na kupelekea nikose busara za baba yangu. Mungu yupo na haki ya mtu haipotei pole dada yangu Mungu yuko na ww kuwa na subra subra ni njema
Pole sana dada Allah akupe subila ila dhuluma imezidibsana maanan nasisi tumesha pata mtihani huo mwenye zimungu awaangalie jicho la hasila hawa mazalimu siwaombei kheli Allah awaadhibu hapa duniani Hadi kesho akhera
Pole sana dada Allah yu pamoja nawe ln shaa Allah ,Na pia tujisiri jamani ukiwa eddah haipaswi kuonekana.Na nyinyi mnaohoji pia kama mama yuko eddah muacheni mpaka amalize mda wake.
Pole Sana dada, Mungu akutie nguvu. Lkn nikufahamisheni tu kuwa kuna Wat u ni wanyama Sana hata familiya na watoto wao wahawezi kujua na wamejifunika kwa miamvuli ambapo si rahisi kuwafahamu, Lin cku ukikutana nao au cku watakapo kufanyia tukio ndipo utapoamini na mbaya zaidi wanapogundua umewafahamu wanaeza kukuondoa uhai. Kuwa jambazi c Lazima uwe na aura ngumu na unaeza ukawa unahudhuria kanisani na misikitini kumbe ww ni mnyama. Hivyo shaidi wa uhalisia wa mtu ni nafsi take mwenyew na ndio maana unaeza ukaishi na mtu mbaya chumba/nyumba moja pasipo kujua mpaka cku ile atakayokufanyia ubaya ama kukamatwa kawafanyia watu ubaya. Najua hapa duniani sote ni wasafiri ila kuyaishi matendo yanayompendeza Mungu yatupasa. Tuombee familiya zetu hata vyombo vyetu vya ulinzi(polisi) kuliko kuvipelekea lawama tu kisa misiba hii inatuhusu. Pole sana dada Mungu akutie nguvu, usiwe mtu wa making'uniko mwombee mume wako aweze kupumzika Mahal pema peponi. Amen
Tena inavyoonekana marehemu alikua mwaminifu saana maana kile kitendo cha kufika saa 10 jioni mke wake akawa na wasiwasi kwakua sio kawaida yake kurudi nyumbani usiku haya! Huo ujambazi gani jamani mbona mnajitafutia laana nyinyi ma askari hamuogopi hata Mungu?
Selkal ya mh.MAGUFULI siyo serkal baki ni Uchafu na ugaid nimewai khiyona video moja trafik wanampiga Raia wanapika kama Kama mnyama Akuna selkar Iki kiti cha urais tujalibu kumpa Mwingine Kula zetu tumepoteza bule
Mm pia nawachukia maaskari wa tz maana walichomtendea bb angu ctokuja kuwasahau kwa sababu mmefanya mpaka Maisha yetu Leo yamebadilika sana, bb angu pia walimwita jambaz kisa amegoma kutoka pesa waliyokua wanaitaka, ingawa mungu ni mwema baadae kec ilikuja kuwageukia wao baada ya kugundulika wamemcngizia tukio hlo, pole sana Dd angu m/mung akutie nguvu ktk kpnd hki kigum ulichonacho
Allah awape subra wafiwa wote, hii nidhulma yawaazi kabisa, ila waswahili wanasema ukitaka kumuua paka mpe jina baya mfano paka mwizii hata kama hajawai kuiba
Innalillah wainna ilayhi rajiuun. Wamemdhulumu yeye na wewe na watoto na ndugu wazazi jamaa na marafiki zake. Mungu atawalipia. Mungu atakukuzia wanao na atakupa nguvu ya kuwalea in sha Allah amin. Tunaomba mawasiliano tusaidie tafadhali
Allah awalaani wote polisi na raia na viongozi wanaofanya kazi za kuuwa watu. Laana ya mungu iwe juu yenu nanyi mfe vibaya ikiwezekana kwa kujiua wenyewe kama mnavyofanya na mdumu motoni milele mkishakufa. aameen. Dada msilie mungu. Nasi tuna machungu mfano wa yako. Watu wetu wengi wameuliwa na polisi huku wakishauliwa husingiziwa ujambazi na tunamshitakia mungu pia. Tuna machungu mengi na jamani Tusiache kumuomba mungu juu ya hawa madhalimu atuondolee kwa kuwadhalilisha sana duniani. Tusichoke kuomba miaka nenda rudi mungu anasikia na hakutakuwa malipo kutokana na kumlalamikia mungu na kumwachia maana ndiye pekee anamiliki roho zao na riziki zao na siha zao akitaka atawapa maradhi ya akili au maradhi ya kuwatesa tu wasipate raha milele tena au kujiua wenyewe na akitaka wengine atawabadilisha watubu na waache Dhulma. Pia kama angekuwa na chombo huru cha dunia kuona ukatili polisi hususan wa Kiafrika wanavyofanya ukatili kwa raia anashitakiwa binafsi wanakamatwa ingekuwa bora kwao kuliko hiyo jahannam wanayoisubiria na damu za watu haziingani na hata milioni. Ni upumbavu wa kutosha kumuua mtu hata kama kaiba shilingi milioni moja na hiyo roho yake hailingani na hiyo pesa. Kuna namna nyingi za kumkamata mtu bila kumuua ila waliolaaniwa na mungu hawaachi kumwaga damu maana motoni imekuwa ndiyo makazi yao. Kuna polisi wengine wanakamatwa wanayemuhisi bila kumdhuru kabisa umepewa pikipiki, mpo wengi, mna redio calls na vifaa vingi n.k . Kwanini mnakuwa waoga hivyo mnaona kila mtu mnatuuwa nsa kutojiamini mwamsingizia silaha na ujambazi?? Hivi mnamjua mungu ninyi?? Hilo litakutokeeni puani enyi madhalimu. Hapa mpo hamshitakiwi lakini huko mtaalaumu aliyewaruhusu kuuwa watu ovyo na maandalizi mbele ya Mungu kuwa apate adhabu mara mbili na huku mkimlaani wenyewe kwa midomo yenu. Enyi waathiriwa wenzangu. Nakuusieni tena dua simameni usiku mkiomba! Msiiache hilo maana hujui kesho yaweza kuwa zamu yako. Hilo si la mtu mmoja na huyo pengine aliuawa alikuwa naye anaona kwa wenzie tu akipuuza akiona halimuhusu. Pakiwa na wauwaji wanaachwa bila kushughulikiwa na kujitangazia kusingizia maiti hakuna katika sisi aliye salama. Leo kwake kesho kwa mwingine na muuzaji huwa hakai bila kurudia mara nyingi.
Pole sana dada kwa kuondokewa na mume wako kipenzi, Mungu akutie nguvu. Jamani inauma kweli watu baki kusababisha kifo cha binadamu mwenzio asiye hata na hatia ? Walaaniwe wote waliomkatili baba wa watu hakika damu yake haitapotea bure. Kila auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. R. I. P
pole watt wamarehemu maana nakumbuka mpaka leo baba nilimuacha baba kalala na kuniambia wahi shule nitakuja baadae kama sikuja basi utaambiwa nn kimetokea hakuumwa wala saa tano tukaambiwa turud nyumbn kumbe tayar baba yangu amekufa 2003 nikiwa la3 bado sijasahau walau ningemwambia baba nakupenda lakn wap niliishia kuwaambia wenzangu baba ananipenda...Yarab wajaalie watt wake wakuwe bila misukosuko ya kidunia
DUNIANI tunapita maisha ni mafupi sana tusijidanganye leo tuna nguvu lakini kesho kwa Allah tutajuta kwa tunayoyafanya.Allah ndio mjuzi wa yote poleni familia.
daaah! taifa langu Tanzania yangu ee mungu tuepushie hujuma hizi maana huzuni tulizonazo si haba tumeondokewa na jamaa zetu wengi waliokuwa tegemeo ktk maisha yetu kwa kupigwa risasi au kipigo cha polisi tena kwa kuonewa ......hapa ndo ninapokumbuka hadithi ya nani atamfunga paka kengele maana polisi wanaonekana hawashikiki na hawakosei na wana mamlaka na wana nguvu kubwa kuliko sie kwenye nchi yangu Tanzania
EDA si adhabu, nahisi si kosa kuonekanwa na wanaume, inategemea muonekano wenyewe, hasa kwa dharura km hii haina shida, isitoshe mtu akiwa na EDA anaruhusiwa kufanya shughuli zake za kawaida, kinachokatazwa ni kile kile kinachokatazwa kwa mwanamke hata akiwa hana EDA yaani asihemukwe. anatakiwa ajihifadh vizuri yaani avae kiheshma na ainamishe macho yake chini km alivyofanya huyu Dada amezungumza mpaka mwisho hajainua USO amevaa vizuri. ndivyo anavyotakiwa mwanamke awe kikawaida si katika EDA tuu!
So pain, police haina nia mbaya nasisi raia, Ila askari tumieni mbinu kukamata na kufikisha mahakamani kwa watuhumiwa wenye matukio ya awali, na wasio na silaha, ili msiruhusu double understand, ua jambaz ameshika silaha yeyote Ile.
Dahh pole sn,,Allah yuko pamoja nawe iyo ndo serikali ya Tanzania ukiwa mnyonge watadharau tuu ilo,,,watoe ushahid km kweli jambazi na ameuwawa kwanini,,dahh inaskitisha sn
Kama kweli marehemu hakuwa jambazi lnshaalah mungu yupo anawaona atawahukumu wote walio muua na wanao comment ubaya kwake Amen
Maulana lazima akupiganie...Waliotenda hicho kitendo lazima wa lipe siku is kiama... Yauma sana.Mungu aelaze roho yake mahali pema peponi.Pole sana dadangu na pia kamati ya familia.
M/mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako!.Innah Lilah wainah illah lajiun!.
watatumaliza wote sijui watampiga nan?
Nakwakuwa ukiua jambazi hauna kesi.tutarajie mauaji mengi kwakisingio kuwa jambazi
Innalillah wainnaillahi rajiun, pole sana Allah akupe nguvu katika kipindi hichi kigum
Nawachukia mapolice wotee wa tz tarehe 31/01/1993 walikuja vamia kijiji chetu na kumuuwa baba yangu bila hatia yoyote eti kisa kulikuwa na bendera za chama cha cuf zimepachikwa ndio ikawa sababu ya kuvamia kijiji na kupiga risas watu nikiwa mdogo na kupelekea nikose busara za baba yangu. Mungu yupo na haki ya mtu haipotei pole dada yangu Mungu yuko na ww kuwa na subra subra ni njema
pole
Kombo Omar pole sana
@@anifa1612 shukran Allah bless u
Kombo Omar pole sana
@@lovemomomicpapamohamed6568 shukran Allah bless u
Kwel Mungu akulinde dada maisha ya duniani magumu sana Polen sana wanafamilia
Pole sana dada Allah akupe subila ila dhuluma imezidibsana maanan nasisi tumesha pata mtihani huo mwenye zimungu awaangalie jicho la hasila hawa mazalimu siwaombei kheli Allah awaadhibu hapa duniani Hadi kesho akhera
Mungu akupe subra dada InshaAllah wtt mungu atawafanyia wepesi pamoja na wewe sali saana kuomba wepesi
Pole sana dada Allah yu pamoja nawe ln shaa Allah ,Na pia tujisiri jamani ukiwa eddah haipaswi kuonekana.Na nyinyi mnaohoji pia kama mama yuko eddah muacheni mpaka amalize mda wake.
Pole sana
Pole sana dada mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu
Pole mummy, dunia ni tambala bovu, mwachie mungu..... Hukumu ya kila mja ijuu ya mwenyezi mungu
Pole Sana dada, Mungu akutie nguvu. Lkn nikufahamisheni tu kuwa kuna Wat u ni wanyama Sana hata familiya na watoto wao wahawezi kujua na wamejifunika kwa miamvuli ambapo si rahisi kuwafahamu, Lin cku ukikutana nao au cku watakapo kufanyia tukio ndipo utapoamini na mbaya zaidi wanapogundua umewafahamu wanaeza kukuondoa uhai. Kuwa jambazi c Lazima uwe na aura ngumu na unaeza ukawa unahudhuria kanisani na misikitini kumbe ww ni mnyama. Hivyo shaidi wa uhalisia wa mtu ni nafsi take mwenyew na ndio maana unaeza ukaishi na mtu mbaya chumba/nyumba moja pasipo kujua mpaka cku ile atakayokufanyia ubaya ama kukamatwa kawafanyia watu ubaya. Najua hapa duniani sote ni wasafiri ila kuyaishi matendo yanayompendeza Mungu yatupasa. Tuombee familiya zetu hata vyombo vyetu vya ulinzi(polisi) kuliko kuvipelekea lawama tu kisa misiba hii inatuhusu. Pole sana dada Mungu akutie nguvu, usiwe mtu wa making'uniko mwombee mume wako aweze kupumzika Mahal pema peponi. Amen
Poleni Mjane, Na wanafamilia yote. nyie polisi mnao mwaga damu za watu mjue Mungu atawahukumu roho za watu mnazozipoteza mtatoa hesabu mbele za haki.
Allah akufanyie wepes ,pole sana Allah atakusaidia , marehemu mwenyez ampe kauli sabit ..,nuru katika nymban yake milele
pole sana dada ang, M/Mungu akupe wepesi katika maisha yako!
pole sana
Hii ndio Tanzania kisiwa cha amani wanafki wanavyo jinadi ukwel nmeguswasana kwa dhurumahii niyakinyonge Inshaallah
Amen amen. Poleni nyote. Amen.
pole mama mwenyez mungu akupe ujasili nanguvu mama
Tena inavyoonekana marehemu alikua mwaminifu saana maana kile kitendo cha kufika saa 10 jioni mke wake akawa na wasiwasi kwakua sio kawaida yake kurudi nyumbani usiku haya! Huo ujambazi gani jamani mbona mnajitafutia laana nyinyi ma askari hamuogopi hata Mungu?
sanaaaa
Umeonq ehee yn hawa polisi hawana hakili kbs wao ndo majambazi
Mwenyezi Mungu atahukumu muachie mola hao makafiri siku zao zitafika inshaAllah Ameen.
Selkal ya mh.MAGUFULI siyo serkal baki ni Uchafu na ugaid nimewai khiyona video moja trafik wanampiga Raia wanapika kama
Kama mnyama
Akuna selkar
Iki kiti cha urais tujalibu kumpa
Mwingine
Kula zetu tumepoteza bule
Nu by mambo and
Mm pia nawachukia maaskari wa tz maana walichomtendea bb angu ctokuja kuwasahau kwa sababu mmefanya mpaka Maisha yetu Leo yamebadilika sana, bb angu pia walimwita jambaz kisa amegoma kutoka pesa waliyokua wanaitaka, ingawa mungu ni mwema baadae kec ilikuja kuwageukia wao baada ya kugundulika wamemcngizia tukio hlo, pole sana Dd angu m/mung akutie nguvu ktk kpnd hki kigum ulichonacho
Poleni sana Mungu awape faraja kwa msiba.
Pole dada kwa msiba na pole kwa waliokupata. Hata Mimi nimeguswa mno na tukio hilo. Mungu atakulipia
Pole xanaaa jomon mungu akupe wepex R.I.P
Pole Dada mungu atakupa subra
Pole sana dada mungu atakupa wepesi na maisha yata songa tu mbele
Dah! maisha haya
Pole xnaa dada inauma sanaaa
Allah awape subra wafiwa wote, hii nidhulma yawaazi kabisa, ila waswahili wanasema ukitaka kumuua paka mpe jina baya mfano paka mwizii hata kama hajawai kuiba
pole Sana dada mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi
Subhanallah Allah atakusaidia Dada
Duuu!!! Inauma Sana pole Sana Dada,
Pole san dada wote tutaicha dunia mungu akutie nguvu dada
kiukweli inauma sana nakama kweli wamemuuwa bila hatia mungu awalaani wote pamoja na kizazi chao
Pole Dada Mungu akutie nguvu
Polesana sana Dada inauma sana aisee kamawamemuua bilahatia hakiitendeke nawaowauji wachukuliwe hatua nakama kwelinimuhalifu pia hakiitendeke uchunguzi wakinaunahitajika
Mungu akutie nguvu Dada angu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
pole sanaaaa dada ni maisha tu Allah akutie nguvu
Innalillah wainna ilayhi rajiuun. Wamemdhulumu yeye na wewe na watoto na ndugu wazazi jamaa na marafiki zake. Mungu atawalipia. Mungu atakukuzia wanao na atakupa nguvu ya kuwalea in sha Allah amin. Tunaomba mawasiliano tusaidie tafadhali
duhh what the hell is this ht kama ni jambazi sheria ndo zimasema auawe au alikutwa akiiba hawa polisi sio poa
Inauma sanaaaa pole sanaa dada mungu yupo
Subhnnlh!! Allah yup na ww inshaallah Allah kareem
pole sana mujane mungu yuko pamoja na wewe naomba serekari imusaidiye huyo mudada
nawachukia sana Polisi, malipo ni Hapa hapa, Mungu awalaani pamoja Na vizazi vyaooo
Pole Sana
Mmmh pole mungu akutie nguvu...walaaniwe wahusika yawakute nawao
Allah awalaani wote polisi na raia na viongozi wanaofanya kazi za kuuwa watu. Laana ya mungu iwe juu yenu nanyi mfe vibaya ikiwezekana kwa kujiua wenyewe kama mnavyofanya na mdumu motoni milele mkishakufa. aameen. Dada msilie mungu. Nasi tuna machungu mfano wa yako. Watu wetu wengi wameuliwa na polisi huku wakishauliwa husingiziwa ujambazi na tunamshitakia mungu pia. Tuna machungu mengi na jamani Tusiache kumuomba mungu juu ya hawa madhalimu atuondolee kwa kuwadhalilisha sana duniani. Tusichoke kuomba miaka nenda rudi mungu anasikia na hakutakuwa malipo kutokana na kumlalamikia mungu na kumwachia maana ndiye pekee anamiliki roho zao na riziki zao na siha zao akitaka atawapa maradhi ya akili au maradhi ya kuwatesa tu wasipate raha milele tena au kujiua wenyewe na akitaka wengine atawabadilisha watubu na waache Dhulma. Pia kama angekuwa na chombo huru cha dunia kuona ukatili polisi hususan wa Kiafrika wanavyofanya ukatili kwa raia anashitakiwa binafsi wanakamatwa ingekuwa bora kwao kuliko hiyo jahannam wanayoisubiria na damu za watu haziingani na hata milioni. Ni upumbavu wa kutosha kumuua mtu hata kama kaiba shilingi milioni moja na hiyo roho yake hailingani na hiyo pesa. Kuna namna nyingi za kumkamata mtu bila kumuua ila waliolaaniwa na mungu hawaachi kumwaga damu maana motoni imekuwa ndiyo makazi yao. Kuna polisi wengine wanakamatwa wanayemuhisi bila kumdhuru kabisa umepewa pikipiki, mpo wengi, mna redio calls na vifaa vingi n.k . Kwanini mnakuwa waoga hivyo mnaona kila mtu mnatuuwa nsa kutojiamini mwamsingizia silaha na ujambazi?? Hivi mnamjua mungu ninyi?? Hilo litakutokeeni puani enyi madhalimu. Hapa mpo hamshitakiwi lakini huko mtaalaumu aliyewaruhusu kuuwa watu ovyo na maandalizi mbele ya Mungu kuwa apate adhabu mara mbili na huku mkimlaani wenyewe kwa midomo yenu. Enyi waathiriwa wenzangu. Nakuusieni tena dua simameni usiku mkiomba! Msiiache hilo maana hujui kesho yaweza kuwa zamu yako. Hilo si la mtu mmoja na huyo pengine aliuawa alikuwa naye anaona kwa wenzie tu akipuuza akiona halimuhusu. Pakiwa na wauwaji wanaachwa bila kushughulikiwa na kujitangazia kusingizia maiti hakuna katika sisi aliye salama. Leo kwake kesho kwa mwingine na muuzaji huwa hakai bila kurudia mara nyingi.
Aamina
Pole sana dada kwa kuondokewa na mume wako kipenzi, Mungu akutie nguvu. Jamani inauma kweli watu baki kusababisha kifo cha binadamu mwenzio asiye hata na hatia ? Walaaniwe wote waliomkatili baba wa watu hakika damu yake haitapotea bure. Kila auaye kwa upanga naye atakufa kwa upanga. R. I. P
Inauma sana pole sana dada mungu atakupa njia
Pole Dada Allah akupe subra
pole watt wamarehemu maana nakumbuka mpaka leo baba nilimuacha baba kalala na kuniambia wahi shule nitakuja baadae kama sikuja basi utaambiwa nn kimetokea hakuumwa wala saa tano tukaambiwa turud nyumbn kumbe tayar baba yangu amekufa 2003 nikiwa la3 bado sijasahau walau ningemwambia baba nakupenda lakn wap niliishia kuwaambia wenzangu baba ananipenda...Yarab wajaalie watt wake wakuwe bila misukosuko ya kidunia
Fainna Abdallah pole wajina...
@@masoudbonda4929 Shukran my
Mungu ajibu hitaji ramoyo wakooo pole Sana dada
Mungu atakulipia
Pole sana 😢😢😢😢inauma sana vp unamua mtu hana hatia
ALLAH YUKO NAWE, ondoa shaka Dada, ingawa inauma kumpoteza MUME, ALLAH akupe SUBRA, nakila mtoto Ana rizki YAKE , TAYARI ALLAH kamwekea
Amiin 🙏
Allah atakusimamia mamy nimeumia sana
kajungle kamalo wakati anawaua wengine huyo allah alaikuwa hawaoni wafiwa hao au unaongea pumba tu
DUNIANI tunapita maisha ni mafupi sana tusijidanganye leo tuna nguvu lakini kesho kwa Allah tutajuta kwa tunayoyafanya.Allah ndio mjuzi wa yote poleni familia.
Duuuh pole mama mungu akutie nguvu dada angu pole sana
inna li llahi wa inna ilayhi raajiun pole my sister Alla akupe moyo wa subra na amrehemu ndugu yetu
Pole Sana sister Allah akupe subra inshaallah muhukumie Allah
daaah! taifa langu Tanzania yangu ee mungu tuepushie hujuma hizi maana huzuni tulizonazo si haba tumeondokewa na jamaa zetu wengi waliokuwa tegemeo ktk maisha yetu kwa kupigwa risasi au kipigo cha polisi tena kwa kuonewa ......hapa ndo ninapokumbuka hadithi ya nani atamfunga paka kengele maana polisi wanaonekana hawashikiki na hawakosei na wana mamlaka na wana nguvu kubwa kuliko sie kwenye nchi yangu Tanzania
Inna lillah Wa inna lillah rajuun .pole xn mama inshaallah m.mungu atakufuta. Machoz
Pole
Dada nimeumia sana.nashindwa nisemeje.ila Allah anawaona
Poleni jamani
Pole sana jamani
inaumaaa sana
Yaani mungu anawaona ..mkikosa la kusema jmn msipende kusingizia wenzenu.
Pole Dada yangu kua na subira
Pole dadangu....heri hamia 254
Pole sana dada, inauma sana😥😥😥
Pole sana mama
EDA si adhabu, nahisi si kosa kuonekanwa na wanaume, inategemea muonekano wenyewe, hasa kwa dharura km hii haina shida, isitoshe mtu akiwa na EDA anaruhusiwa kufanya shughuli zake za kawaida, kinachokatazwa ni kile kile kinachokatazwa kwa mwanamke hata akiwa hana EDA yaani asihemukwe. anatakiwa ajihifadh vizuri yaani avae kiheshma na ainamishe macho yake chini km alivyofanya huyu Dada amezungumza mpaka mwisho hajainua USO amevaa vizuri. ndivyo anavyotakiwa mwanamke awe kikawaida si katika EDA tuu!
Pole xana dadaangu
pole dada kwa msiba
Afu ninyi mnaona huo mwili wa marehemu ni wakufanya kaz kiwandani
Malipo ni dunian inshalaah m/ mungu akupe shufaa ktk kipind hichi kigumu kwako ameen
pole
pole dadangu mungu akuonekanie
Pole sana dada allah atakusaidia
Daaah polisi waache roho mbaya wakumbuke
Dunia ni mapito pole sana dada
Allah akutie nguvu
Allah amlaze mahara pema pepon
kuna mwanamke anaejua kuwa mme wake ni jambazi?? au kuna jambaz anaemwambiaga mkewe kuhusu ujambaz wake,japo wapo wanaoonewaweng mnooo
Pole dada yn mm nashindwa kuamini majambazi wanaachwa wanauliwa waso kuwa majambazi
Uko Kwenye Eddah Ukhty Jistiri
Na Nyinyi Watangazaji Angalieni Sehemu Zakumhoji Mtu.
tanzaniaaa
So sad... innalilah wainna lillah rajuin
So sad 😭😭
Poleni ..inauma kweli
So pain, police haina nia mbaya nasisi raia, Ila askari tumieni mbinu kukamata na kufikisha mahakamani kwa watuhumiwa wenye matukio ya awali, na wasio na silaha, ili msiruhusu double understand, ua jambaz ameshika silaha yeyote Ile.
Nimelia wallah kwa mkasa huu.. 😥
Ulaya police hukimbiliwa
Tz police twawakimbia dah!
Mungu ibariki Tanzania
So sad mungu akupe subra inshallah!!
Polisi bila kuua hamsikii raha yaani wakati ilipokuwepo rushwa hawakuwa wakiua kama ivi hasira zao wanamalizia kwa binaadam mungu akupe wepesi dadaa
wakati cdm wakiuwawa mnaona wanakelele, wajinga , wachochezin, na sasa muone, mupime je huyo alieuwawa ni mchochezi?
R I p
so sad
Dahh pole sn,,Allah yuko pamoja nawe iyo ndo serikali ya Tanzania ukiwa mnyonge watadharau tuu ilo,,,watoe ushahid km kweli jambazi na ameuwawa kwanini,,dahh inaskitisha sn
pole dada
poleee dear
Doh...
I am crying jamoni
Dunia
Hiyo ndiyo kazi yao kuua kisha wakasema uongo
Aswaaah
mungu atawalan watasaau ahela amnacheo muombe mubaki dunian naakuna kitakachobaki nimchatu
pole San Dada
NI NGUMU SANA JAMANI NIMEUMIA SANA MUNGU AKUPE NGUVU
Mistaken Identity, pole sana dada, siku zote polisi wakikosea hawawezi kukubali watafanya kila namna kuchepusha ishu
😢😢😢😢