ASIMULIA ALIVYOKAA JELA MIAKA 9 KISA MAUAJI “NILIMUAZIMA GHETTO RAFIKI YANGU AKAMUUA MPENZI WAKE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Leo nakukutanisha na Tumaini Mabula Kijana mwenye umri wa miaka 32 ambaye kiasili ni Mzaliwa wa Simiyu na alikuja Dar es salaam kutafuta maisha tu, mwaka 2013 alikutana na majanga yaliyomfanya aishie kukaa mahabusu kwa miak tisa na ametoka mwaka huu.
    Mwezi February 2013 akiwa anaishi Mwananyamala aliazimwa gheto na Rafiki yake ili apumzike na Mpenzi wake , Tumaini akaondoka kwenda Kariakoo alikokuwa anafanya shughul8 za kujitatutia kipato na kuwaacha wawili hap ndani kwae, aliporudi Jioni alimkuta Mwanamke yule Mpenzi wa Rafiki yake akiwa amefariki, wakati huo Rafiki yake tayari alikuwa ameshatoroka na tangu hapo mzigo wa kesi ya mauaji ukamuangukia Tumaini..
    Kwa sasa ametoka Mahabusu na hana msaada wowote, hana pa kulala, hana kazi na hana Ndugu wa kumsaidia, amekuja mbele ya Watanzania kuomba support, Tunae Tumaini kwenye Exclusive interview na anasimulia mkasa wake wote kwa urefu, namba za kumsaidia ni 0688580756 Abilahi Abdallah

Komentáře • 790

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 Před 2 lety +140

    Huyu jamaa ukimskiliza vzuri anatufundisha Sana kumshirikisha Mungu Kwenye mambo yako

  • @frolawihenge2078
    @frolawihenge2078 Před 2 lety +153

    Mungu akutetee sana kijana Mabula .Kuna nyumba Mlandizi haijaisha sawasaw lakini inaweza.kukaliwa na watu uko tayari kukaa huko?Tena bure sababu mateso uliyoyapata yatosha.Mungu akusaidie.

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Před 2 lety +6

      Watafute kina Millard wamuulize yeye hata cm ya kuona ujumbe hana

    • @sikatendeshabani2490
      @sikatendeshabani2490 Před 2 lety +6

      @@OnlyRuky duh nipe number yak ni mcheki ata fungo la kumi

    • @2116-n
      @2116-n Před 2 lety +4

      Angalia dk ya 34 namba zake zimeoneshwa, chukua umpigie mshikaji

    • @2116-n
      @2116-n Před 2 lety +3

      @@sikatendeshabani2490 dakika ya 34 angalia namba zake zimeoneshwa

    • @trillianbennahbennah5312
      @trillianbennahbennah5312 Před 2 lety +4

      Watu wa tanzania ebu niambieni buku ni shilingi ngapi

  • @nouvamusik3482
    @nouvamusik3482 Před 2 lety +66

    Millard ayo jitolee umsaidie uyu kijana kwa sababu naamini huez shindwa tafadhali kaka 🙏,,,🇰🇪

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 2 lety +44

    Ntakutumia pesa Kaka yangu Mungu akipenda pole sana Na matatizo kumbe polisi wana treat watu vizuri sana sikujua pole sana na matatizo

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 2 lety +46

    Haya waazimisha mageto amkeni uko mtapewa kesi ziwaharibie maisha,,, pole sana bro ni mitihani ya maisha Mungu atakusaidia 🙏🏻

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Před 2 lety +4

      Na hao wanaenda kuomba geto alete girl friend wake wajifunze fuateni mila na desturi na utamaduni turudi kwa mola

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 Před 2 lety +1

      😂😂

    • @jacksonjohn5686
      @jacksonjohn5686 Před 2 lety +2

      Kwakweli

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 Před 2 lety +2

      Nyie acheni tu hii kitu Kuna siku nilimpelekea moto mtt wa watu akageuza macho akazima nashkuru kummwagia maji akazinduka ila sasa hv hata nikiingia lodge naomba sana lisitokee jambo

    • @mdta8161
      @mdta8161 Před 2 lety

      @@bongorecaps3558 🤣🤣🤣

  • @poployalty9403
    @poployalty9403 Před 2 lety +186

    Daah nimejifunza kitu sana jamaa alikuja ofisini kwangu akiwa na simu ina password akaniambia naomba unifrashie hii sim nimepewa ili niende na mawasiliano kwa millard ayo...akaniadisia kidogo moyo wa imani ukaniingia nikamfrashia bure japo wenzangu waliniambia uyo analolote katoka kuiba iyo...daaah sasa leo namuona hapa moyo umeshtuka sana kumbe ni kweli....nimeelewa maana ya usi ukumu kitabu nje kabla ujakisoma.....#Tumsaidien

  • @martinymaryogo8753
    @martinymaryogo8753 Před 2 lety +48

    Aseee pole sana mdogo wangu, pole sana, ila MUNGU ndo kila kitu utainuka na utakaa pwa tu tena sana, ucje ukajutia kwa lolote, ni sehemu ya maisha ulipitishwa maan kuna wengine wako uraian lkn ni wagonjw na hawawez hata kucmama,ko ww shukuru uko na afya yote MUNGU anafungua kwa wakat wake kwa kila alie wake.

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 Před 2 lety +48

    Umeongea yote mazur na tumejifunza kaka lkn kubwa pia hilo la kusaidia wenye kuhitaji 👏👏👏 na Mungu atakubless siku zote na ufanikiwe pakubwa 🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 Před 4 měsíci +3

    Pole Sana, Leo ndio nimekuona kwenye mahojiano na Upendo TV.

  • @yusuphmtumweni5829
    @yusuphmtumweni5829 Před 2 lety +31

    Duh kupitia ushahidi wa macho tunajifunza utukufu wa Mwenyezimungu hana mfano na kiumbe chochote

  • @user-lf9eh4mz1j
    @user-lf9eh4mz1j Před 2 lety +15

    Duh nimeamini kweli wanaufungwa jela wote sio wenye hatia Allah akupe subra

  • @majidisalumu3260
    @majidisalumu3260 Před 2 lety +19

    Looh, Nimeumia Sana Kiongozi😭 Tupatie Namba Yake Tumsaidie Japo Kidogo

  • @nsumburoote2486
    @nsumburoote2486 Před 2 lety +60

    Nitakusaidia mtaji in shaallah na naomba watz tumchangie apate pesa Ya passport nitamtafuta kazi

  • @Milla_2024
    @Milla_2024 Před 2 lety +8

    Thanks millard ayo hii content naamini kila mtu amejifunza na tumuombee jamaa atimize ndoto zake Muda bado upo..!!🙏🙏

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety

      Mkuu tusidanganyane watu wamejifunza kwa kusikiliza tu hapa ila walipoweka cm pembeni mambo yaliendelea pale pale ukitaka kuamini sisi wa afrika au watu wote ni vichwa vigumu unakuta mtu yupo hospitality amekaa mapokezi anaangalia TV wanaweka yale mambo unakuta uume au uke umealibiwa na magonjwa ya zinaa au anaona jinsi watu walivyoathirika tunashauliwa tutumie condom ila akitoka hapo hospital unazani anakumbuka hilo tena ndugu yangu hapo ndo utajua kumbe shetani yupo kazini

  • @nunizedon8876
    @nunizedon8876 Před 2 lety +5

    Respect sana Millard wew ndio sababu kuu ya kumsaidia huyu kijana bila ya wew tusingemjua mungu atakulipa kaka .

  • @sharonmasawe5381
    @sharonmasawe5381 Před 2 lety +23

    ila wanaume wana hii tabia ya kuazimana vyumba sababu ya wanawake, wanasahau hatari kama hizi hata waskie vitu kama hivi wanasahau mapema sana

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety

      Sasa tunafanyeje ndo kusaidiana uko likikukuta unajumuika nalo tu we ukumbuki ata wewe nilikupeleka kwa msela wangu ushasahau hilo uoni kama tulisaidiwa tukamaliza kiu zetu tulizokua nazo

  • @edowardeddy
    @edowardeddy Před měsícem +1

    Ametupa fundisho sana sisi ambao tupo na Hawa wachumba zetu Alla amtie nguvu na amjaalie mafanikio mema inshaalla

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e2450 Před 2 lety +15

    Daah msukuma mwenzangu polee Sanaa,,ndo mapitoo nmejisikiaa vbaya Sanaa!!😥

    • @joycemachibya4380
      @joycemachibya4380 Před 2 lety +1

      Adi nimeumia jmn ,msukuma mwenzangu jmn upole nao sio mzuri 😢

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 Před 2 lety +7

    👏👏👏Asant sn kk nmejifunza mengi Kuna rafiki yng Huku warabuni Huwa wanapigana mm Huwa naingilia Kati bt Kwa maelezo yk nmekoma juu mm Bado kijana mdogo hawa umri umeenda n Huku si kwetu

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Před 2 lety +3

    Hilo ni funzo usimwamini hadi rafiki ako na watu wapenzi waende kurent mungu akulinde😍😍

  • @athumanimtajih
    @athumanimtajih Před 2 lety +52

    Funzo kwenu mnaoazimana ghetto kwa ajili ya kumpa support shetani

    • @amossmabangotz2032
      @amossmabangotz2032 Před 2 lety +5

      Inategemea. Kaka sasa amekuja msela wako meshibana kinoma huwezi kumkazia mzee sema ndy hivyo kwenye maisha tusiwe wema sana

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 Před 2 lety

      kabisaa mshahara wa dhambi

    • @esthersiresire
      @esthersiresire Před 2 lety +1

      Nina Imani wewe pia ushawai saidiwa ghetoo so usiongee vibaya mwambie mwenzako pole Kwa yaliyomkuta tuu

    • @athumanimtajih
      @athumanimtajih Před 2 lety

      @@esthersiresire sijawahi hata hiyo tabia

    • @faithzamani1965
      @faithzamani1965 Před 2 lety

      @@athumanimtajih acha uongo ulikuwa unipeleki kule kwa rafikiako juu kule

  • @rabylicious7178
    @rabylicious7178 Před 2 lety +35

    Allah akujaalie pole hiyo n mitihani ya mwnyezi mungu uckate tamaaa🤲🙏

  • @Stellaetesha
    @Stellaetesha Před 2 lety +8

    That can happen to anyone kwenye system ambazo uchunguzi wa ukweli haupewi kipao mbele. Tanzania justice system has to improve! Pole sana Tumaini.

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 Před 2 lety +24

    I'm really sorry kaka all will be well in sha Allah ameen 🙏

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před 2 lety +20

    Kwa maelezo haya , mpelelezi wa hii kesi, hakumuelewa hata kidogo? Tunajua kesi ya mauaji hutumia muda mrefu lkn.....na mashahidi mbona kama walikua wapo? Miaka .. 9 .!!.
    Hilo jaribu ni gumu lkn naamini Mungu atakusaidia kijana..wema umekuponzaaa😭

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 Před 2 lety +4

      Asingeweza kutoka mpaka huyo muuaji kupatikana kwani mauaji yalitokea nyumbani kwake.

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety +1

      Hii story ya broo imenikumbusha wimbo wa ferooz wema wangu umenipoza

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety

      @@1stladyafrica402 kwaiyo asingepatikana angekaa ata miaka 50 na zaidi kuna mda serikali itizame upande wa pili kisaikolojia tu mtu kashaeleza kila kitu pale nikufanya upelelez wao wa kina kisha kumpa ata dhamana ya kuwa nje akishilikiana na mahakama na jeshi la polisi maana yeye asingeweza kukimbia wakat jambo akulifanya yeye kwaiyo angewapa ushilikiano polisi na mahakama vzur sasa mtu akuhusika miaka 9 je tufanye alieusika sasa asingepatikana au angelikuwa nae alishafariki je jamaa angeukumiwa au ndo ile kesi ingegeuzwa kuwa ameuwa bila kukusudia wakat sio yeye kuna jambo kama vile alijakaa sawa hapo kisheria japo cjui sana mambo ya sheria ila hilo litizamwe kwa jicho la nne

    • @dijasaid2994
      @dijasaid2994 Před rokem +1

      @@1stladyafrica402 yaani damu ya Binaadam kuitoa roho haiendi bure.... na HAKI ya mtu asie na hatia ipo japo inachelewaga... pole kwake maskini ALLAH amfanyie wepesi

    • @venancegaspatv1961
      @venancegaspatv1961 Před 6 měsíci

      shida ilikuwa pale kwenye DNA baada ya yeye kumshika bega na pia kururhusu getto kutumika inachukua muda kuonesha no connection

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897

    shukran Sana BB.,msaada ndungu zangu mwenye nacho mwenye nachumba apangishiwe nafunguliwe mradi.inshaaAllah

  • @victormessy7130
    @victormessy7130 Před 2 lety +3

    Pole Sana kaka @milard naomba kumuona huyu jamaa,naweza saidia chochote. Dah 9years inamtosha mtu kua Billionaire

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety +20

    Mtihani pole kijana ndio tujifunze kwani katika hiiii duniya hakuna rafiki hasa ukipata tatizo wote walio wakia wema kwako watakukimbiya

  • @ayubumbembati8658
    @ayubumbembati8658 Před 2 lety +3

    Kwenye Uhuru hapo umenigusa sana. Siku zote huwezi kujua thamani ya Uhuru kama hujawahi kuukosa. Uhuru tulionao una thamani saaaana!! Umepita kwny wakati mgumu sana lkn Mungu alijua unaweza na ndo sababu aliruhusu upite kwny huo wakati mgumu na akakuvusha salama. Usimwache Mungu wako siku zote za maisha yako. Pole sana bro, hii ndo dunia!

  • @donalddonald3190
    @donalddonald3190 Před 2 lety +23

    the guy is damn innocent 😥😥

  • @estonhaule9253
    @estonhaule9253 Před měsícem +2

    Anyway hii inaeza mkuta MTU yeyote na wakati usiotarajia. Kikubwa ni kupunguza Imani kwa watu. Naomba mwisho mwema

  • @annamuro5937
    @annamuro5937 Před 2 lety +14

    Mungu si Asthumani.... Mungu anaishi, ni kuwa na subira tuh na kumtegemea Mungu... Kama ameweza kutoka jela basi na maisha yatamnyookea Kwa uwezo was bawna Alie juu mbinguni, Mungu akufungulie milango ya baraka kaka angu

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 Před 2 lety +2

    😭😭😭 anarudi Tena, Yesu anarudi Tena, utukufu haleluya tumbariki tumepona msifu Bwana anarudi Tena 🙏
    Pole sana kaka

  • @sureiamboo
    @sureiamboo Před 2 lety +133

    Almost a decade 🥲, very sad. The Government should be responsible to pay him compensation for his lost life he spent in jail for the crime he did not commit!

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 2 lety +29

    tatizo nchi za Africa hususan police hawawezi kazi kabisa hawana uweledi hata kidogo kazi kurundika watu jela wasio na hatia

    • @neemamathew7465
      @neemamathew7465 Před 2 lety

      Kwrrr kabisa😓😓

    • @elizagreen8098
      @elizagreen8098 Před 2 lety +3

      Shida sio police, shida ni sheria zenyewe vilivyotengenezea police hana mamlaka ya kumuachia mtu mwenye tuhuma hasa kesi za mauaji ni kipengele kidogo na hazina dhamana... Mpaka hukumu itakapotolewa

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 Před 2 lety

      @@elizagreen8098 sio hivo ki vp wakati wao uchunguzi miaka 20 ? sikiliza hiyo storimuuaji alipatikana kitambo kwanini huyo waliendelea kumuweka, ? police Africa ni shida tupu na kusingizia watu kesi

  • @evancechangae
    @evancechangae Před 2 lety +21

    Very Sad 😢... MUNGU atakupa Mwanzo mpya 🙏. Na kwa kuwa umeweka namba hapo, tutakujali kwa chochote.

  • @sein.208
    @sein.208 Před 2 lety +5

    Subhana Allah
    Mtihani kweli kweli 😭😭 pole sana kaka.. Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼

  • @aboumaburaramadhan4188
    @aboumaburaramadhan4188 Před 2 lety +10

    Pole sana bro hizi ndio story tunazo zitaka maana zinatufunza musilete story za ajabu

  • @aminamollel5725
    @aminamollel5725 Před rokem +5

    Ni mara ya tatu Leo naangalia na kusikiliza hii na sijawahi comment, sababu hata sijui nacomment nini? Wacha nijitahidi tu😭😭😭😭 nimejifunza kuwafukuza vijana wote wanaolala kwenye ghetto la watoto wangu

  • @ianchristopher1950
    @ianchristopher1950 Před 2 lety +20

    safi sana, kumbe bongo kuna fingerprint and Dna detection

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 lety +5

    Daa, nimejifunza mengi. Kumbe ndiyo maana wanasemaga upelelezi unaendelea. Wee, sitosogelea penye matukio ya mauwaji ng' o. Pole Sana mdogo wangu . Apumzike salama Binti wa watu.

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety +2

      Mmh mimi ctoacha kushuudia nataka hiyo cctv ya macho na mimi ininase tu napenda kushuhudia matukio mimi

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Před 2 lety

      @@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣 utakipata, unachokitafuta. Mi hata 😔

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety

      @@shakilamasoud2983 kwakwer acha tu nikipate sipendi kusimuliwa mimi napenda kushuhudia live

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Před 2 lety

      @@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣🤣

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 Před 2 lety +21

    Ila legal system ya Tz hovyo sana. Pole sana na Mungu akupe rehema zake.

    • @Stavanger-cr3ee
      @Stavanger-cr3ee Před 2 lety

      Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto

    • @Stavanger-cr3ee
      @Stavanger-cr3ee Před 2 lety

      Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 Před rokem +4

    Imeisikitisha sana haya maisha haya Pole sana kaka ni sehemu ya kujifunza pia mwenyezi mungu Akupe uvumilivu na afya njema bado utatimiza ndoto zako tu.

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Před 2 lety +7

    Dah aise imeniuma sana amepitia mtihani kwa ajili ya wema dah pole sana kaka Mungu atakupa nguvu inshallah 🙏 umetufunza kitu kikubwa katika maisha ila pia mngetutajia namba zake za simu ili mtu kama utakuwa na chochote tuweze kumchangia angepata ata chumba na mtaji ili aanze kujipanga

  • @ibra_muddy
    @ibra_muddy Před 2 lety +8

    True Story ila presenter una feli kwa kutokua serious. Ndugu yangu omba yasikukute.

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před 2 lety +5

    29 :09 MACHO ni zaidi ya camera ukiona ugomvii usisogeee yanarecord 💯

  • @brightlastborn4440
    @brightlastborn4440 Před 2 lety +4

    Dah pole sana bro, sema umezungumzia sim na ili jambo jana tu tulikuwa tunalijadili na washkaj zangu duh kumbe limekualibia maisha kiasi iko,pole sana

  • @Jenib_
    @Jenib_ Před 2 lety +3

    yaani Tanzaniani nchi yangu ila kuna watu evil sana dah pole sana Kaka .. contact zake laad Millard tunapataje? Mimi Kuna siku kidogo nichomwe kisu chooni yaani sitaki hata kukumbuka.

  • @abuumakiwa7121
    @abuumakiwa7121 Před rokem +4

    Ila tupongeze polisi ishu imetokea muda mref ila bado walikua wanafatilia mpaka baada ya miaka yote hiyo jamaa kapatikana..

  • @bintiAbdalla
    @bintiAbdalla Před 2 lety +9

    Duuuh pole sana kijana,yote ni maisha anza upya madhali we ni mzima mikono uko nayo pambana tu kaka

  • @tanveermalik6182
    @tanveermalik6182 Před 2 lety +8

    😭😭 AKI SIMU WW UMEKUA NI TATIZO KUBWA DUNIANI POLE BRO ILA HII NI ELIM TOSHA KWENYE HUU ULIMWENGU WA SIMU .!!!

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Před 2 lety +3

    Mungu ni mwema mbaya wako alipatikana nawe uko huru ,Mungu atakupa mahitaji yako na amani tele.Watz tupambane tumpe support

  • @Rafkazu
    @Rafkazu Před 2 lety +17

    Naomba namba yake nitamsaidia kwa malipo ya nyumba miezi mitatu

  • @sarahzuberi9983
    @sarahzuberi9983 Před 2 lety +17

    Tunaomba nambaaa hii story inanikumbusha mbali sana .... Mpangaji wetu alijiuwa ndani alimuweka mama angu kwenye wakati mgumu sanaaa siwezi sahau jamani pole Kaka angu

    • @kenansyprian6954
      @kenansyprian6954 Před 2 lety +1

      Angalia kwenye dakika ya 34 hiv zipo hapo namba zake

    • @neemamwita9733
      @neemamwita9733 Před 2 lety

      Dada yangu huyu kaka ni muongo mimi namjua anamke wake alimtesa sana mke wake eti amekaa mahabusu miaka 9 wakati mtoto wake na mkewe ana miaka 2 sasa nimuog🤣🤣🤣leo nimecheka sana

    • @neemamwita9733
      @neemamwita9733 Před 2 lety

      Asiwadangany mvuta begin huyu🤣🤣🤣🤣

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Před 2 lety

      @@neemamwita9733 kimeumana 😄 🤣 😂 😆 😄

    • @Preciousamaya
      @Preciousamaya Před 2 lety

      @neema mwita acha kutafuta sifa za kujifanya unamjua mtu mtu Muongo anajulikana

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 Před 2 lety +6

    Du huyu kijana kapitia mtihani mgumu sana wa maisha ila selikali ismuache tu inabidi wamsaidie maana kahukumiwa kwa kosa lisilo lake miaka tisa sio mchezo

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Před 2 lety +3

    tunaomba no ya huyu kijana pls we will support him

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d Před 2 lety +5

    Mambo ya sm kukaguwana n vifo nje nje aki me kuna sk nikagua sm ya mme 😥walai tuligombana nilipigwa sikurudia tena ndo ikawa fundisho cjawahi kagua sm yake mpka tulivyoachana uwiii pole sna kaka kwa changamoto uliopitia weka iman tuu ipo sk utasahau yote

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Před 2 lety +1

    Daaah pole sana mwamba.. naamini bado ujachelewa, pambana muda bado unao.. maisha yetu hatujui mbele tunakutana na kipi.. hili ni funzo kubwa sana....alaf namba imefungiwa kupokea simu hii.. Sina uwezo wa aina ile Ila naamin mwamba ni mpambanaji tunaweza fanya Jambo..

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792 Před 2 lety +8

    Pole sana kaka lakini ushauri wangu kaka angeenda kwanza nyumbani kwao akajipange akapate baraka za wazazi then arudi kupambana

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Před 2 lety +1

      Kama wazazi walimtenga ?!!

    • @teddyndungurusabnu4792
      @teddyndungurusabnu4792 Před 2 lety

      @@ashurajengela3926 mzazi ni mzazi tu huwezi jua huwenda hata walipambana hivyohivyo kimasikini lakini walishindwa dunia inamengi hii na hata ukute wanajua alishakufa

    • @zainabkazige7388
      @zainabkazige7388 Před 2 lety

      Pengine hata wazazi hana😥

    • @miaerny6609
      @miaerny6609 Před 2 lety +1

      Akirudi nyumbani kwasasa hivi sjui kama atatoboa kimaisha kwa kweli nilichokiona kwake ni kua ana Mungu na anaimani pia baraka za wazazi atazipata hata kwenye simu sasa hivi atafute pakutokea kwanza atafute maisha hapahapa mjini

  • @nyakundizachary4122
    @nyakundizachary4122 Před 2 lety +3

    So sorry wish we can send money from Kenya I'm willing to do so

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 Před 2 lety +1

    MUNGU akubariki sana utafanikiwa tu, kila jambo hutokea kwsbb. pole sana kijana mwenzangu

  • @sosthenesjairo7995
    @sosthenesjairo7995 Před 2 lety +6

    Dar..pole xana mwana na sisi maskini tunaetoka kwenda kutafuta mbali na nyumbani atukumbukwi na ndugu maana wanajua auna cha kuwasaidia kumbe m2 uko ndani dar toa namba ndg yany na karibu katika bwana

  • @bhokesaid3264
    @bhokesaid3264 Před 2 lety +5

    Dunia hii kila kitu ni mpango wa Mungu tuombe sana hatujui mwisho wetu asee

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před 2 lety +3

    Pole sana ndg yangu mungu kakusimamia umetoka na ridhiki mungu atakufungulia tuu inshaallah

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 Před 2 lety +1

    Pole sana Aliloliandika Mungu huwezi kuliepuka kila tukio mungu ana sababu yakepia hua ni mtihani kwako..Mungu kakuvua bado mzima na kijana ...Jitahidi kaza tu kweri yako Mungu kaificha.. pambana mungu atakufungulia

  • @mwajjumapolewema3041
    @mwajjumapolewema3041 Před 2 lety +5

    Story sio ya kuchekesha mtangazaji anajichekesha vipi

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před rokem +3

    Jamaa ni mkweli kuliko hata kawaida afu nimekutana naye hata siamini msala wake nahisi mungu anamaksudi naye

  • @martinymaryogo8753
    @martinymaryogo8753 Před 2 lety +114

    Hiyo ya cm ni hatari sna, mm nilishawahi kuhitaji cm ya daaaaaah tulikabana na kulazmishana kupokonya cm kumbe wanawake wananguvu sana wakiwa wanatetea jambo lao tulivutana hadi cm ilipasuka ingawa nilipokonya ni kweli nilkuta sms za kutosha za mwanaume, ko mm hadi sasa sihitaji kabsa mwanamke sitaki hata kusikia hayo mapenzi, nikickia mtu anaongelea mapenzi mm naanza kupiga uluzi wng naendelea na story zangu maan nishakata tamaa sitaki, MUNGU ndo mpenzi wang kwa sasa, tumkimbilieni MUNGU tutaishi kwa aman sana, tubadilikeni.

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 2 lety +7

    Pole sana brother msaidieni jamani kijana huyu atia imani wallahi msaidieni please

  • @allyhafidhi4826
    @allyhafidhi4826 Před rokem +1

    pole sana bro mungu ni mwema muda wote amekupa mtihani na amekulinda Allah akujaze kila lenye kheri

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 2 lety +2

    Mungu atakulipia kaka umepitia magumu Sana pole Sana kaka Mungu akakupe haja yamoyo wako kupitia jaribu ilo

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Před 2 lety +11

    poleee broo.Nakumbuka sele alipewa kesi ya kubaka miaka 20 amekaa gerezani katoka kwa msamaha wa samia, kijana wa watu hajamaliza hata mwaka nje kauliwa

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před 2 lety +3

    Daaa maisha haya😭😢😢 pole saña ndugu yàngu Mwenye enz Mungu atakusaidia ktk maisha yako

  • @mumuog7876
    @mumuog7876 Před rokem +1

    Dah mwanangu nimekukubali aise unajua kujielezea kiukweli Mungu akusaidie aise

  • @andrewcharleskillaga6805
    @andrewcharleskillaga6805 Před 2 lety +1

    Tumaini Mabula-:Pole sana kijana..
    Imani yako itakusaidia..

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 2 lety +4

    Pole.lakini kwa kukusijiliza tu pe gine ni Mungu mwenyewe amekuadhibu.kwani huyo rafiki yako aliingia na mpenzi wake kwenye geto yako kufanya nae nini? je kitendo hicho kilimpendexa Mungu?
    Mungu ameshakusamehe ili tujifunze vijan wengine pia

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 Před 2 lety +7

    Stori ya kujifunza ni ndogo tuuu mwanamke sio wa kupiga basi

  • @khadijakinyala9407
    @khadijakinyala9407 Před 2 lety +2

    Pole kaka ,wenye mageto mjifunze hili na maisha ya sasa visasi ni vingi mnoo

  • @rehemadearing3380
    @rehemadearing3380 Před 2 lety +6

    Wow, halafu hana hata chuki na serikali. Una moyo wa kipekee kaka. Mungu akupe kila hitaji la moyo wako.

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Před 2 lety +5

    Doh maskini mdogo wangu utoto nao jamani pole Sana kwa yalio kukuta

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Před 2 lety +1

    Pole sana1:simu
    2:hata huo msaada uliompaga rafiki yako pia si halali

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 2 lety +3

    Pole kijana wangu hakika Mungu yuko nasi tunataka tukuwezeshe uone furaha tena sio kusafisha mitaro unahitaji kilicho chema zaidi sana.

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 Před 2 lety +1

    In Tansania mmm mbayasana police huwahawafanyi upelelezi wakutosha sasa huyu kijana kufungwa miaka 9 mmm😢😢🙏🏽🙏🏽mbaya sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 2 lety +4

    Oooo POLE SANA. Kusaidia rafiki Ama NDUGU kwenye maovu kama HAYO ya kingono na uasheratu WATU wa jinsi MUNGU hafurashiwi na NDO rungu ulilolipata

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 2 lety +12

    Dah! Pole sana bro, mwenyezi mungu ndiye ajuaye.

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před 2 lety +3

    Pole sana tumaini ila hongera kwa kutoka pia karibu uraiani ila tushukuru mungu umetoka bado kijana ,, tumaini mungu yuko nawe namini kwa uwezo wake ipo siku yatabaki story na unaonyesha unaakili mno utafika mbali nakuombea kheri

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 2 lety +5

    Kumbe tuna finger prints system Tanzania vizuri sana

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Před 2 lety +7

    Wallahi mtihani pole sanaaaa mdogo wangu

  • @thomaswenceslaus6677
    @thomaswenceslaus6677 Před 2 lety +8

    Acha asimulie story kwanza mwandishi una narrate story yote mwanzo ata hamu ya kusikiliza inakata.

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před 4 měsíci

    Subhana Allah pole sana kakangu japo story ilishapita Allah akuzidishie subra huko ulipo

  • @esternely7166
    @esternely7166 Před 2 lety +3

    Pole kaka lakin naendelea kuamin mungu ananguvu jina lake litukuzwe haki yako imeonekana

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Před 2 lety +8

    Duuuuuh,eheee
    Mungu akufanyie wepesi ndugu yetu 🙏

  • @thenewking_tv
    @thenewking_tv Před 2 lety +2

    Pole sana ndugu ni mapito tu hayo, bado ni kijana na una nguvu anza upya maisha mungu atakujaalia utakaa sawa

  • @stellakatega4910
    @stellakatega4910 Před rokem +1

    Mungu anajia zake yaani jinsi alivyopatikana na maisha uliyoishi jela pole sana

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Před 2 lety +10

    Asa mbona unaanza direct kutuhadithia badala ya kumuachia mwamba ndio atufungukie. Ukisummarize utawapa people uvivu wa kusikiliza video yote.

  • @bimayapenzi.lovecover
    @bimayapenzi.lovecover Před 2 lety +1

    Amesema kweli kweli tupu kuna wahitaji sana gerezani.

  • @dorislinus8296
    @dorislinus8296 Před 2 lety +4

    Pole Sana kakaangu mungu hajawahi mwacha aliye wake

  • @idrisaallysalum9447
    @idrisaallysalum9447 Před 6 měsíci

    Pole sana kijana, nakuombea mafanikio makubwa maishani mwako. Ila Muandishi "Hana uwezo wa kuuliza" hata hajamuuliza kama kijana ana ndugu au Wazazi na kwanini haendi angalau nyumbani kwao akapate baraka za wazee wake.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před 2 lety +2

    Pole sana kakaangu sio kila wanaoingia jela wanahatia

  • @Warner192
    @Warner192 Před 2 lety +1

    Pole sana bro I streamed some tears , ila wabongo tujitahidi kufarijiana kwenye matatizo dizaini hii