NILIFUNGWA JELA MIAKA 30 KWA KUMPA MWANAFUNZI MIMBA|VIFO|USHOGA |NILIKUWA KATILI HATARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 901

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 3 lety +22

    Daaah nimempenda huyu kaka, ameelezea vizuri sana na nimejifunza mengi sana na hii Story inasikitisha sana aiseee,Pole sana kak etu,tunapitia haya ili kujifunza

    • @agneswangui4295
      @agneswangui4295 Před 2 lety

      Waah,gerezani Kuna changamoto na huku nje watu wanaishi vile wanataka hata bila kumuogopa MUNGU Wala Kumshkru

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 Před rokem +1

      Mungu amrehemu huyu kaka

  • @agneswangui4295
    @agneswangui4295 Před 2 lety +11

    MUNGU BABA asaidie Rais wetu Uhuru Kenyatta kabla atoke kitini awasemehe wafungwa wetu watoke.Mimi ni Mkenya 🇰🇪na wapenda sana jirani wetu Tanzania.

  • @rukiakhamsin9220
    @rukiakhamsin9220 Před 3 lety +15

    Subhannah Allah 😭😭😭😭kwa kweli Huyu kaka amepitiya mateso makubwa,Allah amfunguliye njia masikini

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Před 3 lety +18

    Alichanganyikiwa.kwa kufikiria alitenda wema kwa kutokataa mimba na halafu akapewa kifungo na kufika kule akakuta mateso makali ambayo yalimfanya aamue kujihami ili wamuogope wasimguse pole sana baba angu uliumia kiakili.

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 3 lety +15

    Subhana allah naona machozi yananitoka bila kujua...pole sana ndugu yangu kweli jail sio mahali pazur kabisa
    Allah awastir ndugu zetu na watoto wetu Allahuma Amin

  • @jovanafidelis2802
    @jovanafidelis2802 Před 3 lety +8

    Hongera Sana! Unajua Sana kiswahili,unapangilia maelezo kiufupi unajua kujieleza

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673

    Mama Samia Rais wetu,Asante Kwa kuwasamehe haya,Mungu akubariki mama

  • @margaretiminza6270
    @margaretiminza6270 Před 3 lety +13

    Pole sana bro God is with you. Pongezi kwako unajua kujieleza vizuri

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 3 lety +13

    Mi nimempenda huyu Kaka yuko straight forward

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před 3 lety +4

    Pole Sana kaka. Mungu kuhifadhi KWA Hilo gumu na mengine na atuhifadhi na sisi sote. Mitihani yote hii ni kipimo Cha subra NJEMA.

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 Před 3 lety +6

    Huyu kaka atakuja kua mtu mkubwa sna pia huyo mama ana dhambi kubwa sna khaaa mtot asomi afu unamfanyia hiv kweli dah😪😪😪😪😪 pole sna kaka Mungu yupo

  • @didahnidhar8009
    @didahnidhar8009 Před 3 lety +14

    Mashalah hana kinyongo Allah atamfanyia wepes

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před 3 lety +11

    Pole kaka kweli gereza sio zuri..
    Maximum good job tuleteeni story km hizi za kuzingatia za udaku hazina ladha .
    Mama Samiya mtafute kijana huyu akupe vitus tusivo vijua vya gerezani.

  • @maimunaabdalla7146
    @maimunaabdalla7146 Před 3 lety +2

    Watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 zahiri tuna kufatilia sana MUNGU akuzidishie iman

  • @reymaabintabdillah3727
    @reymaabintabdillah3727 Před 3 lety +6

    Kaka zahir hiyo sura ya usingiz kabisaaa umetoka kulala, pole sana Broo ogopa wanafunz

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 Před 3 lety +5

    Kijana yuko smart kiakili wallahy Allah akuongoze akuepushe na mabalaa maisha yko yawe mapya mungu atakusaidia kaka mambo yatanyooka bi idhnillah

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 Před 3 lety +33

    Mm nimekupenda kw vile umeongea ukwl karibu zanziba

  • @hawababuu4350
    @hawababuu4350 Před 3 lety +2

    Jela isikie kwa mwenzako yani ukitoka huko ni mawili uwe mbaya zaidi ama ubadilike uwe mtu mzuri zaidi... Waah pole bro.

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 3 lety +7

    Pole sana
    Miaka19,ulikuwa bado mdogo

  • @rukiasalum5671
    @rukiasalum5671 Před 3 lety +4

    Kwanza kabisa pole sana kakangu M/ Mungu aliye kuweka hai na ukawa huru tena ana jambo njema na wewe unabii huo uliyo utoa kwa ajili ya jamii unatosha kabisa kumpa Mungu utukifu ,
    Lakini kaka Zahir ndugu kanivunja moyo Mimi nitaka kuomba mawasiliano lakini masharti yamenishinda duuuh anataka vidogodogo bado na Mimi 40 🤣🤣🤣

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 Před 3 lety +5

    Zahir kweli akipata hizo zote kweli utakuwa umetengenezea mwanaume mwenzako mazingira mazuri ile hatokuja kukusahau katika maisha yake yote.

  • @mename6020
    @mename6020 Před 3 lety +9

    Innalillah waina illah rajihuon.. HasbiyaAllah waneemal wakeel... Pole Sana...

    • @hellenwakiomwero3166
      @hellenwakiomwero3166 Před 3 lety

      Innallillahi wainnailley rajiun. Kitu nitakushauri zahir akipata mkristo amake sure amamfunza dini ya kiislamu

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 Před 3 lety +8

    Duuh hii story imeniumiza san ila tumshuklu mungu kwa kutoka sallama kaka zahir nakuchek whatsap

  • @andrew29468
    @andrew29468 Před 3 lety +2

    Pole sana .Mungu yu mwema
    Huyu ana hitaji nyenzo atakuwa ili aendeshe maisha ni mtu mwema huyu

  • @saumukonde4338
    @saumukonde4338 Před 3 lety +8

    Nmeumia sana ila pole yote Mitihani, Allah akuzidishie subraa

  • @Kakwasi
    @Kakwasi Před 3 lety +6

    Iyo kesi shida Ilikuwa umaskini. Angekuwa na wakili mzuri angetoka. Ama angepata adhabu kidogo. Maana walisikizana na msichana. Sheria mbaya, umaskini tatizo. Huyu ni mtu mwerevu sana. Akili iko timamu. Musaidieni aanze CZcams channel apeane stori za jela.

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před rokem

      Huyu kaka anaendelea aje jamani. Naulizia toka kenya

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 3 lety +14

    wamekudhulumu na kukupotezea ujana wako . kipindi chako cha ujana kimekupita gerezani .

  • @liliankemuma9475
    @liliankemuma9475 Před 3 lety +6

    Husband material, pole Sana kakangu, Mungu atakuonekania

  • @arafamussa840
    @arafamussa840 Před 3 lety +5

    Pole sana kaka angu muombe allah akusameh pia msameh mwenzako ulimpenda mpak unaenda kwao kujielewa ni wachache san makak wenye roho hizo allah akufungulie milango ya rizki

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 Před 3 lety +9

    Pole kaka daaaah akuna mtu anaijua kesho yake kwakweli unahitaji misahada😭

  • @Kakwasi
    @Kakwasi Před 3 lety +8

    Hizi Sheria niza kishenzi sana. Zinaumiza sana boychild. Ukiangalia msichana wa 16 yrs na mvulana wa 19 yrs hao ni agemates. Niwatu wenye pia akili zinakaribiana. Hakuna sababu ya kutosha ya kupunish mtoto mvulana miaka 30yrs eti kwa sababu ya mimba. Haya nimambo yanayoweza kusuluhuhishwa kwa njia Bora zaidi nasio kupoteza Maisha ya boychild. Ni uchungu sana. Serikali ziangalie mambo haya

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před rokem

      Hizi sheria zingine ila nizakijinga sana. Mtu hajaua, ajaumiza mtu, hajaiba halafu adhabu take 30 yrs????

    • @maishayetu6182
      @maishayetu6182 Před 5 měsíci

      Sheria zimeweka zifatwe acha afungwe

  • @highonebalo8289
    @highonebalo8289 Před 3 lety +7

    Nimependa sana kauli yako kuhusu aina ya mke unayemtaka.
    Wewe ni mwanaume mwenye ufahamu mkubwa sana.
    Mbinguni patakuwa mahali pa kushangaza mno.
    Sio mahali pà dini.
    Ni mahàli pa wateule.
    Nimependa hiyo❤👍

    • @highonebalo8289
      @highonebalo8289 Před 3 lety +1

      Kwani eti maximum TV niwaulize swali?
      CZcams siku hizi imekuwaje mbona sioni pa kukomentia😲

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před 3 lety +6

    Ooo nimewahi leo
    Maximum tv super

  • @aminahadi1966
    @aminahadi1966 Před 3 lety +10

    Mambo matatu katika dini lazima yaharakishwe mtu akitaka kuoa na amepata mke muozesheni
    Mtu akitaka kusilimu mslimisheni
    Mtu akifa wahini kumzika shukhran

  • @shumbanahafidh4304
    @shumbanahafidh4304 Před 3 lety +8

    Anaonekana mstaarabu Kwa mke hakosi Allah amfungulie rizk tu

  • @noofnoof4909
    @noofnoof4909 Před 3 lety +1

    Kaka pole Mungu Ni mwema siku zote kwakuwa umetoka salama Ape we sifa nimependa ulivyo jieleza nakusema ukweli Nakutakia Maisha marefu na Mung Akuwekeye Wepesi usikate tama

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 Před 3 lety +8

    Hapana chezea Jamhuri, ndanda cosovo alishaimba Jela Jela ni mbaya, Jela Jela ni mateso.

  • @shakila3982
    @shakila3982 Před 3 lety +2

    Duul pole sana kaka, ingawa nimewai bakiwa binti yangu inauma mzazi na cwezi mlaumu mamake binti cos najua uchungu wa mama ni mzazi, lakini pole sana, kamuone mwanao atakukubali Inshallah.

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 Před 3 lety +6

    Kijana handsome and smart pole Sana kijana mungu atakusimamia

  • @arafakassela5398
    @arafakassela5398 Před 3 lety +8

    Nimecheka eti sijakumbuka kumuaga rafiki wala nani mbele tuu hahahha nimechaka mbaka kichwa kuuma

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 3 lety +11

    Nimefurahi kusikia Serikali yetu ya Tanzania inatekeleza sheria, umefanya kosa sheria inachukua mkondo wake, kijana umekua muwazi sana umeongea ukweli wako, kifupi muogope sheria somo hili kutoka kwa kijana,

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před 3 lety +2

      Sio sawa. Sheria inamuumiza mtoto mvulana. Ngono walishiriki wote. Hawa ni agemates. 16yrs na 19yrs. Sio sawa.

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 Před 2 lety

      Hapo Sheria Lazima irekebishwe Kuna Vitu havijakaa Sawa

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 Před 2 lety

      Serikali bado ina mapungufu kumfunga MTU kwenye kiza .

  • @rashidyussuf3429
    @rashidyussuf3429 Před 2 lety

    Pole sana suleiman ni mitihani ya duniani, ushaur wangu inaonekana una afya njema kaka cha msingi fanya kazi ili kujipatia rizik ndio jambo kubwa ili kuweza kujipatia cha kuendeleza maisha cha msingi ni kujichanganya na watu ili urud katika hali yako

  • @salhakhamis4629
    @salhakhamis4629 Před 3 lety +3

    Hongera kaka kwa ujari na ukwel kwan ukwel humueka mtu huru nimekubal sn kwakwel 👍👍😍

  • @andersonmoses4029
    @andersonmoses4029 Před 3 lety +6

    Aiseeeee!! Huyo jamaa namfahamu tuliwahi kukutana nae maeneo ya njia ya maji huko kapalamsenga na tuliwahi kupanda nae meri moja mv liemba na tukapiga nae picha kibao mpaka leo ninazo. Mwaka 2002 nilipita shinyanga natokea mwanza kuna mabrother zetu wa kigoma hapo shinyanya wakanipa hizo habari zake nikaumia Sana maana alikuwa mdogo na nilizoea kumwita dogo janja Mgasa. Allaah ni mwema Kama katoka aiseeeee

  • @sabraalkhusebi4220
    @sabraalkhusebi4220 Před 3 lety +6

    Umenisikitisha Sana mdogo wangu m mungu ni mwema umetoka salama

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 Před 3 lety +5

    Pole sana kaka ,mungu akupe hutaji lako la moyo umpate mke msikivu mpole mwenye kuthamini ,pia awe na heshima na upendo kwako ili akusahaurishe kwa mengi ulioyapitia,kaka zahir barikiwa san , na MUNGU.

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Před měsícem

      Halafu ety vibaka wanakamatwa wanaachiwa peleka huko gereza la kilmo aipate freesh

  • @catherinekatuu423
    @catherinekatuu423 Před 3 lety +4

    Mungu ni mkuu kwa kila jambo.Atukuzwe kila wakati🌞🙏.

  • @agnesollie753
    @agnesollie753 Před 3 lety +3

    Huyu jamaa anasema ukweli ilmbidi kujiprotect ndiyo Hali ya gereza badala ya kurekebika walimharibu lakini haya simaumbile yake anahitaji msaada wa kazi na pia msaada wa datari Wa siekolojia🇰🇪🇰🇪

  • @tiaraoscarjuma4522
    @tiaraoscarjuma4522 Před 3 lety +6

    Kwa kweli Tanzania inabidi ibadirishe sheria za magereza kwani sio haki za binaadamu, mtu unamfunga miaka kibao halafu unamtesa balaa, unamfanyisha kazi humlipi mshahara hata kidogo hiyo sio sawa kabisa ni unyanyasaji mkubwa mnooo, MAMA SAMIA LIANGALIE HILI, JELA SIO SEHEMU YA KUMPA MFUNGWA MATESO YA KUPITILIZA, POLE SANA BRO DUUH

  • @mokohratino9052
    @mokohratino9052 Před 3 lety +1

    Jmni nagpa mungu akupe ngvu kka nkukmbka skumoja nilienda geleza rakeko kumuona mfungwa bba Ang mlezi Ila bale nilkua kwenyefleni yakuingia ndani lkaja gali lamageleza bas tkaludishwa nyuma wtoto wdogo wlishushwa akiamungu niliumia nkueaza mbali ilesemu sonzuli jmni mungu atuepushe kwakweli naakutie nguvu kka angu daaa😭😭

  • @arafamussa840
    @arafamussa840 Před 3 lety +7

    Pole shikama na allah muombe allah msamah pale ulipokosea allah akusameh msamehe pia mwenzako

    • @aby21111
      @aby21111 Před 3 lety

      He's a nice guy turned to monster in self defense. Stupid rules. A 19 year old is a kid. 💔

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      @@aby21111 is A Kid in which Country ??Even USA 18 is not a Kid

    • @aby21111
      @aby21111 Před 3 lety

      @@trophywilson7211 30 years for a consensual sex is too much.Not even 1 time I heard someone serving 30 years for imprinting a girl with intention to marry her. 😎

    • @faridanassoro9848
      @faridanassoro9848 Před 3 lety

      Pole sana kaka

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před 3 lety +4

    Allah yupamoja nawe kkngu, never give up brother

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Před 3 lety +8

    Pole shemeji angu.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 3 měsíci +1

    Huyo Askari kuwa na PANGA kufanya hayoo.anastahili KIFUNGO ni muuwaji !

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 Před 3 lety +23

    Assalaam alaykum kama umebadilika bc mm apa njoo uniowe

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👈

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Před 3 lety

      😂😂😂🤣

    • @lovvy854
      @lovvy854 Před 3 lety

      @@ayshamahariq6665 huyu dadaetu yaonekana ana uchu🙄 duhh kamkubali chapchap kabla ata ya mawasiliano🤣

    • @aminaally863
      @aminaally863 Před 3 lety +1

      Maxhaallah jambo la kheri

    • @ashuraomary8859
      @ashuraomary8859 Před 3 lety

      Pia.nisuna.ya.mtume

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 Před 3 lety +2

    Pole Sana kaka MUNGU akufanyie wepes Ishaallah

  • @Randm-
    @Randm- Před 3 lety +7

    Kaka Mzuri Mashallah. Kama ana tama mke nipo hapa tusaidiane maisha. I serious Zahir

    • @Randm-
      @Randm- Před 3 lety +1

      Iddy niko serious kabisa

    • @latypherngombo1022
      @latypherngombo1022 Před 3 lety

      Chukua namba ya zahir iyo mtafute private kama kweli uko serious

    • @credo7837
      @credo7837 Před 3 lety

      @@Randm- wengi maneno tu

  • @leaherasto5686
    @leaherasto5686 Před 3 lety +2

    Teke lilitengeneza uvimbe uyu kaptia magumu jela sio kuzuri Mungu atusaidie sisi navizaz vyetu

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 3 lety +18

    dah ni story ya kusikitisha sana na ya kujifunza

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 3 měsíci +1

    Mwenyez mungu akupe umri mrefu na afya njema nimependa Imani yako

  • @ilhammohamed4107
    @ilhammohamed4107 Před 3 lety +3

    Masha Allah Allah akuongoze kwa ulioyapotia kakangu kwa kweli umejieleza vizuri sana tuu nitajitahidi nikusaidie kakangu we ni muwazi sana Huna uongo wala short cut hujifichii mabaya. ulofanya ya ukweli unasema na ambayo hujafanya uko wazi sana.

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 Před 3 lety

      Ni mwaminifu sana mwanamke atayeolewa naye atakuwa ameokota dodo

  • @jamilasalimvilog6752
    @jamilasalimvilog6752 Před 3 lety +4

    Pole sana

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 Před 3 lety +11

    Pole sana ila dini ni muhimu sana mukitofautiana dini watoto watayumba

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety +2

      Mtu mwenye akili timamu hawezi kufikirifikiri mambo ya dini Mungu katuumba binadamu sote ni sawa na Mungu hana dini

    • @asmamzee7067
      @asmamzee7067 Před 3 lety +4

      @@Mpakauseme mtu mwenye akili timamu huwa anafikiria dini maana dini ndio kila kitu katika maisha

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 3 lety

      @@asmamzee7067 Dini ni Neno tu kama kusema kitabu au Jina lako Asma ni matendo yako ndiyo yatofautiana na Asma wengine jampo mpo wengi mno , lakini mtatofautiana kitabia so unaweza ukawa na dini lakin ushishibe ya Mungu , ukawa tu unajisifu kwa jina la dini na huku una mambo ya kinafiki tu na ukijivika ucha Mungu, Akili na maharifa ndani yake utatuzi kamili, utafiti sambamba na uwelevu katika hayo utaona njia na isiyo na shaka kabisa na hauta fikirifirikiri juu ya huyu na yule kati ya yeyote yule akujiae usoni mwako, kwani Mungu anamakusudi na kila mwanadamu asemaye na wewe ata kwa kushtukiza hii maanayake hakuna mtu hajuae siku ya kesho , usijisifu leo kwa maana hujui kitakacho zaliwa kesho Mithali 27 : 1-2. . Usi ishi kwakufunzwa tu bila na wewe kujifunza akili kuu za kutawala keshakupewa mwanadamu katika uhai wake . Unaweza kumuoa mpagani na akavutika na dini yako kwasababu tu yamatendo yako nasi dini yako ndio maana mwanzo nikakuambia neno Dini nikama kusema kitabu mpaka ukifungue usome ndipo ujue kitabu cha aina gani. BILA UPENDO JUU YA WANADAMU WENZAKO BASI ATA UFUNZWE MAMBO YA DINI NA MALAIKA UTAKWENDA KUTUMBUKIA MOTONI TU .. UBAGUZI NI TABIA YA KISHETANI NA MUNGU SIMBAGUZI MKRISTU MWISLAM WOTE WAKE YEYE . Jifunze kufikiri na kulichambua kila neno huku na ukimuomba Mungu hakupe hekima na maharifa zaidi. Jah bless i ana i. AKILI NAULI.

    • @faudhiasalum7279
      @faudhiasalum7279 Před 3 lety +2

      @@Mpakauseme Yes my dear hallelujah hallelujah!! waslamu wana jikutaga kama ii dunia ni Yao vile wame sahau kabisa kama Atima Ya mtu ipo mikono mwa!!!! MUNGU..
      Na laiti wao ndo wange pewa pepo.. Ya kutuingiza sisi!! Wakristo 🤦‍♀️sijui ingekuwaje ila MUNGU MUACHE aitwe MUNGU.!!
      Hivi ata hawajifikiri mbona MUNGU ana Ubaguzi wa wakristo wara Muslim ote ana tupa ridhiki ote tuna kufa. N. K. Badiliken
      🤣😂😂😂😂🤣Waslamu bwana

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 Před 3 lety

      @@faudhiasalum7279 Alafu jina (faudhia Salum)... Sikilizeni binaadamu tumetofautiana katika imani. Imani yako imetofautiana na Uisilamu sio suala wanajiona kama nani.. Ndivo Uisilamu ulivo kusimama imara katika kumuabudu Mwenyezi Mungu.. Its free halazimishwi mtu baki na imani yako uliyonayo lakini usimkwaze mwenye Dini tofauti na wewe.... Yes kaka yetu yupo katika Uisilamu ndio imani yake na akipata mke wakawa na imani moja inarahisisha kuwaongoza watoto japokuwa halazimishwi anaweza kuoa mkristo kwasababu Uisilamu unaruhusu mwanaume kumuoa mkristo lakini watoto wanatakiwa kufuata Dini ya Uisilamu kutoka kwa baba na inatakiwa mume amuelimishe kuhusu Uisilamu ili ashawishike kuifuata Dini.... Huu ndio Uisilamu unavotufunza hata Mtume wetu alifunga ndoa na mkristo anaitwa Maria na baadae alibadili Dini akaingia katika Uisilamu

  • @nuratzimbwe8655
    @nuratzimbwe8655 Před 3 lety +5

    Pole kaka

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +4

    Mwenye kubeba mimba alitaka mimba itolewe lkn mhusika usitoe wanaume wachache sana kukubali mimba

  • @twahrhamid3941
    @twahrhamid3941 Před 3 lety +6

    Mugu Akufanyie wepesi kaka

  • @razikimustapha4731
    @razikimustapha4731 Před 3 lety +4

    SUBHANA ALLAH MIYAKA 30 WEEK TO MITIKHAANI POLE SANA

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 Před 3 lety +1

    Dah huyu kweli anahitaji msaada jamaa hakukataa mimba wakamueka ndani.doh pole sana kaka.

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Před 3 lety +5

    Pole sana kaka Maskini wadau tumchangie afungue saloon maana ndio fani yake maisha yaendelee .

  • @Roobkii_Gaalkacyo
    @Roobkii_Gaalkacyo Před 3 lety

    Maximum TV umefanya jambo ya haki mimi niko sehemu ya wilaya nitatuma vipi mchangu yangu na huyu ni mtu mwaminifu yani Honest
    Asante sana watanzania ni watu karimu mimi sio mtanzania lakini wanaopendo sio kama watu kwetu jirani yenu sitaji jina utajua mwenyewe

  • @sophiarajab9342
    @sophiarajab9342 Před 3 lety +5

    Pole saana kaka angu

  • @user-il9wb1tx4h
    @user-il9wb1tx4h Před 2 měsíci

    Real definition of " Tell the truth even if it hurts"

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 Před 3 lety +4

    Pole Sana! Ila Sasa ukiona wanafunzi kimbia usiwaguse

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 Před 3 lety +2

    Mwenyezi Mungu atakufanyia wepesi utatoka kimaisha

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 Před 3 lety +9

    Utashangaa ata mimba walitoa daaaah

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba7612 Před 3 lety +1

    pole sana kaka. hta mm yamenikuta gereza co pow.mtu anaekupeleka gerezan muogope

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Před 3 lety +5

    Daaa AISSEH mwanangu anapitia MACHUNGU sana Uko gerezani jamani

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Před 2 lety +2

    Sote wa mungu kwake tutarejea
    .umeshakuwa marehemu.Allah akusamehe

  • @fayzajuma3956
    @fayzajuma3956 Před 3 lety +14

    Kaka zahir nimempenda huyu kaka naomba mawasiliano yake nataka niwe nae

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 lety +1

    Pole, ila usijitetee sana, inaonekana bado hujutii kosa, kama unamlaumu mlezi wa mzazi mwenzio. Vinyozi mnawaharibu sana wanafunzi

  • @fatu.stronggirl5620
    @fatu.stronggirl5620 Před 3 lety +4

    Pole sana kaka Mungu atakufanyia wepesi

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 2 lety

    Pole sana ndg yangu ,na huyo mwanamke yy keshaolewa na mwanamume mwengine na anawajukuu ndio ujuwe Sheria mavi hii

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Před 3 lety +3

    Pole sana lkn ushauri wangu tafuta muisilam mwenzako uoe ujinusuru na kizazi chako na kifungo cha akhera. Mana cha dunia umeona je akhera? Unasema dini ni njia wkt ww ni muisilam na Allah anakwambia hairidhii dini yyte zaidi ya uisilam? Ni vzr uusome uisilam ili usije ukapoteza kizazi chako.

  • @hamizaramadhan1275
    @hamizaramadhan1275 Před 3 lety +1

    Masikini pole sanaaa kaka yangu ALLAH akujalie uwe mwema kwenye maisha YA Uhuru Na uwe Mwema sanaaa

  • @lissapoul5227
    @lissapoul5227 Před 3 lety +6

    Daah! Yaan kaniumiza sana..tunahitaj tumsaidie huyu ka😭

    • @saimonijonas4356
      @saimonijonas4356 Před 2 lety

      Yaani wanadamu sijui tumekuwaje jamani.Kuharibu maisha ya watu wengine kujisafisha wewe.Inauma sana.Nimeumia sana hara mimi.

  • @neemaoman1519
    @neemaoman1519 Před 3 lety +1

    Pole sana kaka kwa maumivu uliyo pitia inauma kwakweli kwasababu ungekua unaniya mbaya ya huyo msichana ulivyo itwa wala usingeenda

  • @jamilaayoub1446
    @jamilaayoub1446 Před 3 lety +17

    Njoo kaka uniowe mm nipe namba yako mm nina miaka 30 karibu

  • @rehemalontinaremysaleh7807

    Inasikitisha sana adi machozi ya menitoka nikikumbuka kk yangu alifungwa wiki 3 apana akipinga sim ni kulia tu sasa myaka yote iyo nimeumia sana

  • @sr.helenarhobi8886
    @sr.helenarhobi8886 Před 3 lety +9

    Pole sana Sereman. Karibu uraiani kaka hayo Ni mapito. Mungu akusaidie. Ila nawe kakangu Zahir ubarikiwe maana wewe ni MALAIKA wa kizazi chetu.Amen wadogo zangu!

  • @lovvy854
    @lovvy854 Před 3 lety +1

    Alhamdulilah Allah Kareem niliponea chupuchupu Kwa kesi kamaio ilasiku mpa minba nilitumia Cd Kwa ujanja wa haliaju

  • @edithlushatuka3293
    @edithlushatuka3293 Před 3 lety +3

    Touching story jamani, alafu kaka mkweli huyu

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Před rokem

    inauma😭Nainasikitisha😭hilo neno lakusema jera hipo kwaajiri yabinadam kwahiyo siogopi lolotee lakini kupitia story hi kuaziya leo Mungu naomba Nifunge kinywa🤐jela sio mchenzo km Tunanavyotamka😭pole sanaa sele,Mungu bado Anampango Nawewe

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 Před 3 lety +13

    Jitahidi sana kwenye dini

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před 3 lety +2

    M/mungu azidi kukupa afya na endeleee na kukupigania inshallah Mr seleman

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Před 3 lety +5

    Afungue kisehemu chake cha kunyoa na Mungu atamsaidia atapata mke humu humu Insh Allah ilibidi awe kama kinyonga he had to do what he had to do huyo jamaa aliyekuzibia riziki bora ulimdunda

  • @fatmafifi7909
    @fatmafifi7909 Před 3 lety

    Maa shaa Allah namponguzi huyu bwana mfugwa. In shaa Allah atekufunguli milangu ya kheri naushikamana na ibanda. Kuswali nakumshukuru Allah. In shaa Allah.

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 Před 3 lety +13

    Tusio Soma sana tuna hekima sana yani huyu jamaa very Creve

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 3 lety +2

    Subhannahllah pole sana my brother.

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 Před 3 lety +12

    Husband material 🤗