HATIMAE MFUNGWA WA MIAKA 30 AONGEA NA BINTI YAKE KWA MARA YA KWANZA |SIKILIZA MAZUNGUMZO NI UZUNI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 619

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 Před 3 lety +48

    Zahir una roho safi Sana.. Mungu aendelee kukupa maisha marefu.. Huyu kaka akija kuoa.. Akipata mtoto wa kiume ampe jina lako jaman😘😘😘😘😘

    • @veronicamasanja9809
      @veronicamasanja9809 Před 3 lety +4

      Uwe makini ktk kupata mke wengi watakuja kwa maslai yao binafsi ukizingatia umeshaanza kupata msingi

    • @shantellemwanakombo3703
      @shantellemwanakombo3703 Před 3 lety

      Ameen

    • @hawaheri5833
      @hawaheri5833 Před 3 lety +1

      @@veronicamasanja9809 walahi anaharaka na wanawake atakuja kulia huyo we muache wanawake hapo wanaesabu pesa tu wnawake wananja tu hao

  • @sharifafatawy9874
    @sharifafatawy9874 Před 3 lety +44

    Huyu jamaa nimchapakazi,yupo vizuri asaidiwe mtaji abadilishishe maisha yake.

    • @bethmsigwa6742
      @bethmsigwa6742 Před 3 lety +3

      Mungu akukumbuke na wewe

    • @manasadunia3458
      @manasadunia3458 Před 3 lety

      Nikweli

    • @jamilaabdallah3955
      @jamilaabdallah3955 Před 3 lety

      Naomba namba yamtangazaj ninashida nataka kutafuta baba yangu naomben msaada wadau mweneanae ijua namba anisaidie

    • @mumucha1529
      @mumucha1529 Před 3 lety

      @@jamilaabdallah3955 angalia kwenye hiyo habari namba zinazopita chini ndo upige

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 Před 3 lety +23

    Mm nasema hivi kwamba zahiri naomba huyo kaka asije akaenda pekeyake huko lazima aende. Natuyoyote ndio usia wangu huo 🙏🙏🙏🙏

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 Před 3 lety +4

    Vizuri sana Suleiman una mtanguliza mungu kwanza kwa kila jambo,Allah atakupa mwenzako mwenye kher na wewe,mchukue mwanao witness umtoe kwenye udhalili,kazi za ndani sio nzuri,anaweza kusomea chochote hapo Dar.

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar6876 Před 3 lety +10

    Ushauri wangu wasije wakamdai pesa,weshamweka jela miaka 20 keshalipa kila kitu hapo ni wajuane tu na mwanawe inatosha mana kasota gerezani kwa ajili yake,huyo selemani atafute mke akipata na Mungu awajaalie watoto basi atunze familia yake, huyo witness ameshakua mkubwa, kosa alilifanya shangazi yake huyo mwanamke.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 3 lety +25

    Vunja bei Uko Wapi Jamanii ugempa mtaji Huyo Kaka Au ajira

    • @credo7837
      @credo7837 Před 3 lety +4

      Heri ya ngamia kupenya katik tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katik ufalme wa mbinguni

  • @jumaselemani2720
    @jumaselemani2720 Před 3 lety +16

    Daaah aisee hii stori unaweza ukaitengenezea muvi na ikauzika

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 Před 3 lety +17

    Huyo binti tayari anamiaka 19, kwa hiyo hahitaji ruhusu ya mama.

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 Před 2 lety +7

    Kifo cha uyu kaka suleiman kimenifanya nipitie tena interview zake zote za nyuma dahh nimeumia adi nimelia lkn uyo Kuna namna tu ya kifo chake nasikitika tena kuusu familia Yake ajaiyona Miaka 20 anakuja kuniona familia anakaa kidogo anauawa dahh 😭😭mungu ampunguzie adhabu ya kabri na ampe kauli thabit marehem suleiman ila dahh nilitamani sana aishi aweze kufuraiya maisha Yake lakini mungu pia akupenda Inshalaah mungu ndo muamuzi kamwe kulaumu siwezi🙏😭

    • @mhjgkgjfjzuzu9545
      @mhjgkgjfjzuzu9545 Před 2 lety

      Nayaoneka alikuwa mcheshi kweli. Allah ampe kitabu chake kwa mkono wa kulia

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +1

      Ukiangalia kuna vile mambo yamesukwa. Kwa sababu huyo afisa elimu alitumia cheo vibaya tu kumfanyia uonevu. Huyo bint kama alikuwa underage hakutakiwa pia kuwa anafanyishwa kazi za maid alifaa kuwa shule. Siyo ajabu wamegundua atafuatilia haki wakampangia njama auwawe.

    • @reginamluviji9405
      @reginamluviji9405 Před 2 lety +1

      kwani kauawaaa

    • @swadatimmbaga7435
      @swadatimmbaga7435 Před 6 měsíci

      Mwaka gan? Huyu Alfarik 😢😢😢

    • @SmilingPlanets-yx9rm
      @SmilingPlanets-yx9rm Před 6 měsíci

      Ameuwawa!??

  • @rokiroki1825
    @rokiroki1825 Před 3 lety +16

    Zahiri ALLAH akulipe kher haki unaitafuta pepo tena pepo ya fridaus

  • @assiakhadijz4167
    @assiakhadijz4167 Před 3 lety +11

    Wallahi kila nikisikiliza taarifa za huyu kaka machozi yananitoka Allah amjaalie subra

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 Před 3 lety

      Wallahy tena ni mkaka mstarabu amepitia mengi magumu Allah amfanyie wepes

    • @assiakhadijz4167
      @assiakhadijz4167 Před 3 lety

      @@mimahmimah1595 amiin

    • @assiakhadijz4167
      @assiakhadijz4167 Před 3 lety

      @@mimahmimah1595 nimependa hata anavo ongea yani anajiamini

    • @mimahmimah1595
      @mimahmimah1595 Před 3 lety

      @@assiakhadijz4167 sana anatia huruma wallahy

    • @assiakhadijz4167
      @assiakhadijz4167 Před 3 lety

      @@mimahmimah1595 yani ningelikuwa na uwezo bc ningemsaidia ila ndio ivo umasikini

  • @qwqw1665
    @qwqw1665 Před 3 lety +14

    Pole kaka mtangulize mungu utayapita yaloyo magumu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fatumaothman8884
    @fatumaothman8884 Před 3 lety +3

    kaka Zahih naomba hizo pesa zizuie wewe, ili zifikie malengo hata ya kununua pikipiki kwanza, aanze kazi mwenyewe na a save ili apate zaidi ya kununua bajaji, ikiwa atabaki na hela yeye mwenyewe wasiwasi wangu atazitumia iwe tatizo jengine tena, hapo nimemsikia kuhusu kanunua nguo, nguo kama anazo tatu tuu zinaatosha kabisa kwa vile ana malengo yake ya maisha. hana haja ya mahusiano kama hajakaa sawa kimaisha, asubiri kwanza asichanganye madawa.
    HAYO NI MAWAZO YANGU BINAFSI

    • @kadejahh4036
      @kadejahh4036 Před 3 lety

      Mawazo mazuri sa fatuma pesa Bwana ukiwa nayo mkononi mie pia niliwaza ni bola ajijenge kwanza

  • @empresssonia1937
    @empresssonia1937 Před 3 lety +12

    BRO ZAHIR LETA NUMBER YA HUYU JAMAA NAPENDA WATZ SANA MM NI MKENYA🇰🇪 ILA SAI NIKO DUBAI NATAKA MTU MATURE MWENYE ANAJIELEWA KAMA HUYU JAMAA💙

  • @doreenchaula3535
    @doreenchaula3535 Před 3 lety +2

    Kweli huyu Kaka nimtu safii nime mpendaa bure anajua kujieleza na nimkweli sana, Zahirahir we ni Kaka mwenye moyo Safi Mungu aku zidishie

  • @aminaally2014
    @aminaally2014 Před 3 lety +36

    Mimi nashauri musiwe munatangaza kiwango cha fedha zinazopatikana kwa sababu kuna watu wahuni wanaweza kumumpotezea malengo au kumuibia

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 Před 3 lety +9

    Zahir huyo mama aliyemfunga unaweza mpata ili ajue alichotenda sio haki kaka wa watu alifungwa bila hatia maskini wa mungu kuna watu wana roho mbaya hatary huyo mama ataenda chomwa moto kama mbwa....::siku ya kiama

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 Před 3 lety +18

    Pole sana husband material jaman utapata mwanamke mwingine

    • @sadamohammed6177
      @sadamohammed6177 Před 3 lety

      Dhahiri nakupa tena hongera kwa juudi na upendo na nguvu nyinyinazofanya kusaidia watu wenye matt natamani nikuine siku moja

  • @golder3410
    @golder3410 Před 3 lety +21

    Huyo mamah anakaa anamaisha magumu japo Kua aliolewa,huyu Jamaa anakaa mpambanaji wangekua mbali Sana kimaisha

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Před 3 lety +11

    Ila songea asiende kama huyo mtoto ni wake atakuja tu haina haja ya kuwafuwata wao umfuwate yy nani muache akae na huyo mtoto na pili mtoto ameshakuwa mkubwa ana maamuzi yake.

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r Před 4 měsíci

    Maa Shaa Allah nawapongeza sana wale wote waliojitokeza kumsaidia huyu kaka na imaan ana furaha huko alipo mtangazaji pia hongera sana kwa kazi yako nzuri Allah awabariki sana japo naiona leo hii interview

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya4792 Před 3 lety +12

    Kaka zahir mm nimeshatuma mchango wangu ila sijampigia cm nilikuwa sina salio

  • @reymaabintabdillah3727
    @reymaabintabdillah3727 Před 3 lety +3

    Kaka zahir mm naomba tuwe wapambe kwenye hii ndoa mungu atie baraka zake

  • @faridamohamed4677
    @faridamohamed4677 Před 3 lety +15

    Masikin anajua kushukur🤝

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Před 3 lety +7

    Huyo shangazi hovyo mwenye kutumia madaraka vibaya anatakiwa ajue alichofanya kuonea raia miaka 30 nisawa na kuua mtu.

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 lety +7

    Maskini 😊
    "Kifungo nilichotumikia faida yake Mtoto"
    Jama anajieleza kisiasa ✊🏾

  • @graceshayo8465
    @graceshayo8465 Před 3 lety +6

    Mtoto kaliswa sumu na mama yke lkn huy kak anampend mwanae jmn wngne tunataman hta wakina baba wa kusingiziwa jmn Dunia hiiii

  • @irenewile
    @irenewile Před 3 lety +2

    Zahir anamuonea huruma mwanaume mwenzake kuwa hajafanya mapenzi miaka daahaa,,huo ni Upendo wa Agabe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 Před 3 lety +2

    Mashallah hadi raha jamani Zahir barikiwa hki kama sio ww na media yko bac baba huyu asinge mjua mtoto wake angetoka jela maskini akawa na mawazo kibao tu xna

  • @aayeshakhan9962
    @aayeshakhan9962 Před 3 lety +3

    Mungu amusaidiye apat atazakiwanja kisha kaka zahir umujengeye kama bibi na mama zabibu kwasababu kupanga nivigumu kupata pesa zakuripa

  • @maimunamsakamali9152
    @maimunamsakamali9152 Před 3 lety +2

    Kaka zahiri hongera Sana napenda unachokifanya kwa kweli nikijariwa mtoto wa kiume nitamwita zahri

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Před 3 lety +2

    Leo nimewai no 2 wacha nisikize ndipo nicomment zahir una bidii asante sana brother.

  • @ashakileo4980
    @ashakileo4980 Před 3 lety +5

    Safi kaka zairi Kazi nzuri mungu awe nawewe

  • @mwanahawaomarimashaka197
    @mwanahawaomarimashaka197 Před 3 lety +4

    Adhabu nliyoitumikia inafaida yake.....Alhamdulillah

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 Před 3 lety +8

    Jamani maxmam tujiandae na harusi

  • @afanamb4504
    @afanamb4504 Před 3 lety +10

    God is good ,good work zahir,keep it up

  • @roseatieno6691
    @roseatieno6691 Před 3 lety +1

    MASHALLAH MASHALLAH . ZAHIR WETU UBARIKIWE SANA KWA KUMSAIDIA MWANAUME MWENZIYO .

  • @Shuu.A
    @Shuu.A Před 3 lety +1

    Zahir asimuamini huyo mama mana shetani akienda pekeake anaweza kumsingizia ubaya wowote amtafutie matatizo mapya kama aliweza kumfanyia ya mwanzo hashindwi na sahivi yeye na watu wake sio watu wazuri wamenharibia maisha huyu kaka

    • @neemageoffrey3586
      @neemageoffrey3586 Před 3 lety

      Kwa kweli ni shetani, hata mwenzie alipofugwa hakuwahi kumtembelea huko gerezani kwa miaka yote hiyo

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 3 lety +3

    Wow haya wale waso na waume mume huyo mashallah mujitahidi fursa ndoo hiyo

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Před 3 lety +23

    Huyu mtto kajazwa maneno na mama kwahiyo baba kuwa na amani utapata mke utapata watoto wazuri maana naona majibu ya huyu mtto sio sawa kivileee

    • @ains1122
      @ains1122 Před 3 lety

      Madamu mwanae hata waweke vikwazo vipi atie bidii amuone, japokuwa mtoto wa zinaa, na daima hunasibishwa na mama,kidini ya kiislamu huitwa mtoto wa kitanda, na unasibishwa na mama na sio baba

    • @fesalchambuso8023
      @fesalchambuso8023 Před 3 lety

      Umeonaee eeeh 😰

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 Před 3 lety +1

      @@ains1122 kumuona atamuona lakini huyu mtoto hata hana ile kumfuraia baba wala pole hana eti siwezi kukuona mpaka uende kwamama kweli daaa mtihani ila kikubwa afanye vile wanavyotaka yani akienda huko utasikia atoe fidia mmmmmmmmmh na wakati katoka jela

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 Před 3 lety

      @@fesalchambuso8023 mmi huu uongeaji tu wa huyu mtoto ndo umenitia shaka zaidi na kupelekea kuwaza hivi ila sijui

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Před 3 lety

      @@fesalchambuso8023mtt balaa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 lety +6

    Huyo bint kidogo hajasikiliza toka mwanzo... Maswali yke kama mtu ambaye ndio kazaliwa right now.

    • @agneskighenda3795
      @agneskighenda3795 Před 3 lety

      Anatabia za kichuga…

    • @minakhamiskhamisi6193
      @minakhamiskhamisi6193 Před 3 lety +1

      Yani hv ngoj niwalimishe kdg au niwape story yg kwasbb ht mm story yg n huyo bint zinafann yn inakuja hv huyo unae msikilza yote anayo uliza anauliz tuu lkn hat ule Upendo haupo kabc kwa baba yake ht ndio maaan Takia alivo aza kuongea n zahari yn yey anachukulia jambo l kawaida tuu n sio kwamb haelew anaelewa vzr hilo tatz linakuj hv n kwasbb hajakaa n huyo baba karibu n hajalelewa n yeye ndio maaan ht kweny kuongea kwake ndio maaan anaongea km mtu ambae hayupo sirious n kitu sijui una nielew vzr mimi hpa nimelelewa n bibi yangu mam yg walitengena n baba yg Kitmbo takia nikiwa mdg hata mwak sijafikish bd na mama aliodk akaniach kwa bibi yg nikiwa ht maziwa sijamalz kunyony kwaiyo mim mpk nikafik daras l 4 ndio nikaja kujua mam yg baba yg mpk Leo simjui n Wala hat pich sijawah kuona huyo mama mwenyw kaolewa huko hana ht habar n mimi mpk namaliza shule mam yg ht ile nguo tuu alikuwa hajui kwaiyo ninavo ongea hap mam yg baba yg ule upend unao uzania wewe kwa wazazi haupo hat mdaa mwgn anasem anaumw sijui mim naon kawaida tuu n Wala sione ajabu wala ile huruma haipo mtu nilie mzoea n bibi yg bc ht akisem naumwa Niko radhi naacha ht km n kazi naenda kumtizam au nampaa hela y hospital yani yale mapenz y wazazi hayapo kbc kweny kichwa Changu ninae mjali n moj tuu ambae n bib yg kwaiyo ht huyo binti Han mapenz kwa wazazi wake kwasbb hajakaa Nao inamaan akil yake ipo kwingn ndio maaan unaon anaongea tuu hana ile furah au shauku y kusem mbn n bab yg niwahi nikamuone bab yg lbd awe n furh yn yule ht ile kusem uje umtizame bab yko n km analazimishwa lkn ht ile mdii yn akil yake haipo kbc kuhus sual l baba hayupo kbc maongez yake unajua kwamb huyu mtu hayupo sirious kbc yn hiyo mdaa mwgn unawez ukalia ukawa n mawazo unawz ukajikut sehmu mbay San mim mdaa mwgn naumia lkn ndio hv kwaiyo wwee mchukulie kawaida tuu sio kwamb huyo bint ndio Anamakos hpn yn sijui nikwambie vip ndg yg ndio unielew

  • @z.nalnabhani7194
    @z.nalnabhani7194 Před 3 lety +6

    Suleiman ni muelewa sana,anaeleza vizur

  • @superwomankulwa620
    @superwomankulwa620 Před 3 lety +7

    Mashallaa ongera sana kaka zairi mungu awabariki

    • @frolawihenge2078
      @frolawihenge2078 Před 3 lety

      Zahir kazi uloifanya ni kubwa sana Mungu azidi kukutunza na.kukupa maisha marefu na wengine waje kusaidiwa kama ulivomsaidia huyu jamaaa.

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 Před 3 lety +2

    Asante kk Zahir kwa kazi nzuri

  • @charlesmatesorehani5012
    @charlesmatesorehani5012 Před 3 lety +2

    Zaili wewe Mungu akurinde sana kwa kazi nzuri kaka 🙏

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 Před 3 lety +8

    Hata mimi naunga,wazo lako kazi za ndani huko tumuondoe

  • @mussamivache4986
    @mussamivache4986 Před 3 lety +1

    Baba anaupendo sana na mtoto wake😍 natamani ningepata baba kama huyu naumia sn nimetelekezwa mimi pamoja na wadogozangu baba ajali chochote kuhusu sisi wakati anajua mama alisha faliki😭😭😭

  • @amour5535
    @amour5535 Před 3 lety +2

    Kaka zahri huyu kaka asiende pekeake na pia. Lazima afike kituo cha polisi apate kampani ya usalama kabsaa 🙏🙏🙏Ahsate wote Alhamdullah

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 Před 3 lety +23

    Huyo Afisa Elim hawezi kukuamini atahisi utamfanyia kisasi hapo alipo anahofu kwa sababu alitenda dhambi

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 Před 3 lety +6

      Alifanya vibaya alidhani anamkomoa huyu baba kumbe anamuumiza na mtoto. Asingefungwa huenda mtoto angekuwa na maisha mazuri na angesoma.

    • @rehemavickie6521
      @rehemavickie6521 Před 3 lety

      Mama si alikua mwanafunzi? Ni kosa . Anajielewa ila kosa lake ni kumla mimba mwanafunzi

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 Před 3 lety +1

      @@rehemavickie6521 hukusikiliza video zote? Hakuwa mwanafunzi walimfanyia hila huyo kaka

    • @namirihamisi3899
      @namirihamisi3899 Před 3 lety

      Huyo kaka anasema hakuwa mwanafunzi bali ni mfanya kazi wa ndani kwa vile alitaka kusimamia kess ili huyo afungwe akamshtaki kuwa mwanafunzi.

    • @njuka3515
      @njuka3515 Před 3 lety

      Hata Kama ingekuwa wewe ungekubali kuonana nae? Maisha yenyewe ni mio soko ya petrol na visu

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před 3 lety +5

    Hongera Sana kaka, wewe ni mwanaume mwenye hofu ya mungu.

  • @mwanahawaomarimashaka197
    @mwanahawaomarimashaka197 Před 3 lety +7

    Wapili..
    Alhamdulillah

  • @swaumujuma6333
    @swaumujuma6333 Před 3 lety +1

    Mashallah litaisha kwa uwezo wa Allah inshallah 🤲🤲🤲mungu awabaliki maxmam tv🤲🤲

  • @Randm-
    @Randm- Před 3 lety +5

    Zahir unakosea yule sie mke wake... yule mama ameshaolewa.. Mumewe akisikiliza hii interview unamtafutia shida mama wa watu

    • @joymadambby3290
      @joymadambby3290 Před 3 lety

      Kwani amesema anamtaka yy anatk mtt wake

    • @Randm-
      @Randm- Před 3 lety +1

      @@joymadambby3290 najua sana anataka mtoto wake. Sikiliza zahir anavyoingea then uje hapa uko commet utopoli

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 Před 3 lety

      Mzazi mwenzie haifutiki

  • @ashakufakunoga4904
    @ashakufakunoga4904 Před 3 lety +9

    Yaan nimetokwa na machozi jamani😭😭

  • @katayaloveness5529
    @katayaloveness5529 Před 3 lety +5

    Masha Allah

  • @apichitseso3073
    @apichitseso3073 Před 3 lety +2

    Minamuombea🙏🙏🙏 maisha mema upate mke muwe na maelewano

  • @abuumareja8505
    @abuumareja8505 Před 3 lety +3

    Uyo jamaa muajirini apo kwenye iyo maxmamu TV nimutangazaji mzuri sana

  • @user-vn2ni9vm4b
    @user-vn2ni9vm4b Před 3 lety +6

    Mashaalla

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 Před 3 lety +5

    Vigezo na masharti vizingatiwe kwa wifi yetu 😂😂😂

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7

    MashaAllah kazi nzur baba OYEEE watanzania oyee

  • @chabakakilumanga2206
    @chabakakilumanga2206 Před 3 lety

    Nakipenda sana hiki kipindi. Hongera sana Maximum TV

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Před 3 lety +6

    Machozi ya menitoka

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 Před 3 lety

    Masha allah Zahir unaupendo sanaa Allah azidi kukusimamia katika kazi yako 🤲

  • @catherinekatuu423
    @catherinekatuu423 Před 3 lety

    Mungu ni wa ajabu kiukweli na atakufungulia mlango na kuchapa job😍😘💝💞🌞🙏.

  • @papachidi7672
    @papachidi7672 Před 3 lety +2

    Mashallah.. jamaa anajuwa kujielezeya napia nimkweli.

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 Před 3 lety

    Story inafurahisha na kuhudhunisha pia. Hongera sana mtangazaji, kazi nzuri sana

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 Před 3 lety +4

    Zahir waweza mtafuta huyo mama ... aliyemfunga ili ajue alichokifanya sio fair

  • @arafamussa840
    @arafamussa840 Před 3 lety +1

    Pole kaka allah akufanyie wepec na ufanikiwa ktk maisha yako pia allah akujaarie mke mwema atakae mama bora

  • @3azxtv843
    @3azxtv843 Před 3 lety +21

    Khadija
    Zahir uyo asiende kwa iyo mama asije wakamtumia watu akapigwa

  • @fariarizaq7528
    @fariarizaq7528 Před 3 lety +1

    Mashaallah huyu baba anawogea ukweli kabisa Allah akubariki sana inshaallah

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb5 Před 3 lety +10

    MashaAllah walhadulilah jamnj kka furaha km zote❤

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 Před 2 lety

    Mashaallah mashaallah hongera maxmamu tv

  • @aminamuhdhar3447
    @aminamuhdhar3447 Před 3 lety +3

    Huyu mtoto hajuwi upendo wa baba ashajazwa maneno kwelii

  • @ramlajuma1598
    @ramlajuma1598 Před 3 lety +5

    Mashaallah 😊😍😍

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Před 3 lety +1

    Baba anajua kujieleza hapindishi hata moja hongera sana

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 Před 3 lety +17

    Anajipenda baba witness

  • @MohammedAli-rh5si
    @MohammedAli-rh5si Před 3 lety

    Thulma imetumika imesababisha kuharibu maisha ya bint na baba yake asingefungwa angekua tofauti mtt wake masikini Allah akusimamie

  • @louiskalenga5745
    @louiskalenga5745 Před 3 lety +1

    POLE SAANA NDUGU . Ila ukweli wanawake tunawatak ila kuna mda munatuingiza kwenye mambo magum bila atia yoyote kbs

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 lety +1

    Mungu atakusaidia bro, hongera kwa busara zako za kutaka kumjua mwanao.

  • @linnahndelwa6351
    @linnahndelwa6351 Před 3 lety +1

    Nakupenda sana zahir mungu akutunze naendelea na huo moyo kaka

  • @sadamohammed6177
    @sadamohammed6177 Před 3 lety +1

    Na uyo mtt ni mkubwa ssivi ana maanuzi yake km akiona mama amtendei haki kwa kaishi maisha marefu bila kujua kitu kuusu babaake ss amempata babaake wampe nafasi awe karibu na babaake

  • @tinachacha1502
    @tinachacha1502 Před 3 lety +2

    😭😭😭naumia xn mungu yumwema xn uyumungu niwawote jamani

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před 3 lety +2

    😪😪😪😪so sad jmn ila mingu nimwema sana

  • @rosemzava5149
    @rosemzava5149 Před 3 lety

    Baba kama ww mpo wachache sana mungu akupe maisha marefu baba mwenye busara na hekima🥰

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 3 lety

    Mungu akuweke Zahir I wish ningekuwepo Tanzania nami unisaidie kutafuta familia ya rafiki yangu mpendwa maana kwasasa hatunae tena na sijui wazazi wake walipo ili niwajuze,huku niliko ni gharama sana 😔😪❤🇨🇭🇹🇿

  • @lall2037
    @lall2037 Před 3 lety +8

    Hakuna usiende uko ñdugu yangu kaka zahiri msiende uko

  • @mamajd269
    @mamajd269 Před 3 lety +1

    Wow . 😭 Mungu awabariki MaximumTv

  • @aminaabdallah9117
    @aminaabdallah9117 Před 3 lety

    Anaongea point huyukaka alisema nayy spare awezekusaidia wengine km yy hongerasana😍

  • @thadeusmarkiminja9653
    @thadeusmarkiminja9653 Před 3 lety +1

    Usichoke Zahir habari hii inasisimua,hongera sana iko siku nataka nikuone live.

  • @semenirudovick1989
    @semenirudovick1989 Před 3 lety +2

    Nampendaga fabi Yuko smart

  • @zuleikhaomar4657
    @zuleikhaomar4657 Před 3 lety +3

    MashaAllah kapata kuongea na mwanawe na mtoto kajua ukweli

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z Před 3 lety +1

    MashaAllah MashaAllah. mungu nimkubwa

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 Před 3 lety +2

    allah awajaliye kilalakheri kila alojitoleya awazifishiye walipopunguza

  • @Googoosh1433
    @Googoosh1433 Před 3 lety +3

    Bba ameongea vzri n anajua pia Kuna sheria

  • @kiri5807
    @kiri5807 Před 3 lety +3

    Haijapotea hiyo haki yako utakuwa umeweka bank isiyo riba Allah atakulipa tu kwa njia yeyote .

  • @zainakuzenza759
    @zainakuzenza759 Před 3 lety

    Hongera baba wit kwa kuwa mkweli umekusaidia na utakusaidia maishani

  • @naimumtinda2494
    @naimumtinda2494 Před 3 lety +11

    Maskin huyu baba anavyoongea na mwanae hadi machoz yanitoka jamn 😭😭 😭😭

    • @joycenshala1310
      @joycenshala1310 Před 3 lety +1

      Yaani mie nimelia kabisa

    • @naimumtinda2494
      @naimumtinda2494 Před 3 lety

      @@joycenshala1310 Yan acha tu jamn me mwenyew cina baba nipigiwe cm kama hivo ntapiga ukelele huo hadi watu wanishangae

  • @mamayao9816
    @mamayao9816 Před 3 lety

    Uyo baba ni baba na nusu igekua mwingine ageshuhulika kutaka jua mwanawe alipo na ndio unakuta baba na mwanawe wanapendana na hata kuzaa bila wao kujuana kongole sana suleman in Sha Allah yote ulopitia Allah atakupa mke wa kheri🙏

  • @hadijaharerimana1687
    @hadijaharerimana1687 Před 3 lety +1

    Zahir unaweza kumtafutia huyo kaka mwanasheria ili yule mama alimuweka ndani apatikane sababu hakumtendea haki huyo kijani yani alifungwa bila hatia jamani 30 years in prison .... is not a joke huyo mama alitakiwa apate Azabu

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 3 lety +2

    Mungu mkubwa brother 😍😍😍🇴🇲👌