EXCLUSIVE NA CHID BENZ AFUNGUKA "ROMA HAJANILIPA, NILIKUWA NA HELA NYINGI ZAIDI ALIYONIPA GEORDAVIE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 01. 2024

Komentáře • 287

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 Před 5 měsíci +5

    Huyu Jamaa Dah! Mungu Ana Kitu Kikubwa Sana Amempa Kichwan Kwake Ila Mengine N Madhaifu Ya Kiubinadam Tu! This Man Is So Smart

  • @mbarakkhalid117
    @mbarakkhalid117 Před 6 měsíci +36

    Chidi anathamini utu zaidi ya vitu hyu ni legendary god bless him

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman Před 5 měsíci +8

    Chid Benz
    Ana Akili ya ajabu Sana 🎉🎉 proud of him 💪

  • @fatumamfumia4507
    @fatumamfumia4507 Před 5 měsíci +9

    Kuna kitu watu wengi huwa hawajamuelewa Chidi japo wanamchukulia kama CHIZI. Hii kichwa ina akili sana (GENIUS) tatizo binadamu huwa tunapenda kuongopewa huyu jamaaa anangeaga ukweli mtupu. Natamani sana ningekuwa na uwezo kifedha ningekuwa hata mfadhili wake ila basi tu. Namuombea sana kwa MUNGU arudi tena juu zaidi kwny mziki Inshaallah

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 Před 6 měsíci +11

    Hakuna kitu kibaya kama wewe kuwa sawa halafu kila mtu anakwambia hauko sawa au anafanya vitendo vya kuonesha hauko sawa.. inafika muda unakua completely hauko sawa, angekua mtu mwengine angegoma hata kuhojiwa maana daily anaulizwa same shit na kila anaekutana nae first impression kwake ni kumuona Hayuko sawa.. Mwenyezi Mungu amsaidie azidi kuwa bold💪🏾.

    • @modelka222
      @modelka222 Před 5 měsíci +1

      yes. hasa watanzania tunapenda saana kufanya wengine waonekane wehu. hata watu wa karibu huwa wana hii shida

    • @user-jc8el6je5e
      @user-jc8el6je5e Před 5 měsíci

      Ujumbe mzuri sana

  • @ngellamickyofficial
    @ngellamickyofficial Před 6 měsíci +14

    Inahitaji utulivu wa akili sana kumuelewa Genius Chid

  • @dj_jmoon_tz
    @dj_jmoon_tz Před 5 měsíci +5

    Ukirudia hii interview mara 4 na hujaielewa ubongo wako ni mdogo saana chid ni genius

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 6 měsíci +17

    chid Benz upo sahihi alienda Kumpa pole na hakufikiria atapewa pesa,, wakati anapewa hakuwa na furaha nazo

  • @venasalbert3930
    @venasalbert3930 Před 6 měsíci +34

    Don't say that I am the one who makes him on trending but I am happy because he trusting me to collaborate with him. This man is Genius.

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před 6 měsíci +9

    Mungu Akupiganie Ila Na ww Jitahid utoke Huko Tunakupenda Chid One Love..

  • @whiteAfrican83
    @whiteAfrican83 Před 5 měsíci +1

    Dah Ukiacha mengine chid ni mmoja tu
    Respect bro

  • @sydneympiluka7959
    @sydneympiluka7959 Před 5 měsíci +2

    Chidi anauwezo mkubwa sana wakufikiri. Na #anautu_sana na ukiona humuelewi anachokiongea #chidi jua wewe ndo umechanganyikiwa ❤❤

  • @ZabourahIthnain-cz5vm
    @ZabourahIthnain-cz5vm Před 5 měsíci +1

    Chidi for life

  • @user-vo7zt3ph2g
    @user-vo7zt3ph2g Před 5 měsíci +3

    This guy sio crazy... ako tu sawa, na angekua chizi hangeweza kuimba kwa umakini kwenye hii ngoma

  • @nabbeely5295
    @nabbeely5295 Před 5 měsíci +1

    Daah the respect alotoa na akakiss the ground for ngweaaa daah chidiiiiiiiiiiiiii salute

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 Před 5 měsíci +5

    M
    Ayo Tv
    Nawapenda sana from Burundi 🇧🇮 🎉❤ lakini an day interview na Bg Fizzo please 🙏🙏

  • @boscokikoti
    @boscokikoti Před 6 měsíci +20

    Mungu akubariki sana chidi benz uwe kama zamani

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz Před 5 měsíci +4

    This guy ni genius

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před 6 měsíci +7

    Chid safi hiyo nimeikubali sana

  • @aishamohamedi362
    @aishamohamedi362 Před 6 měsíci +2

    Uyo ndo chid benz ❤❤❤❤❤❤❤kaka yangu nakupenda sana yaan ss watu mliyo sema chid benz yupo na njaa ayo ndo majibu yen

  • @stephenmwanzake
    @stephenmwanzake Před 5 měsíci +3

    Naweza msikiza Chid siku nzima. Ana mambo, ana ushauri na ana mwanga rohoni mwake. Waja wasiskize mambo mabaya ya kumchafua mtu mzuri. Jamaa ana advices nzuri sana

  • @waelewaclassic1824
    @waelewaclassic1824 Před 5 měsíci +2

    Jamaa yuko Sawa Sana..!
    NAMWOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU AMUONGOZE INSHAALLAH na Nchi Pia Pamoja Na Watanzania Watambue Huyu Jamaa Ana akili gan..!! Mwisho Niseme Tu.. MWENYE AKILI ANATAMBULIKA NA MWENYE AKILI MWENZIE same To Some One CRAYZ👋👋

  • @user-hj6yd6jb6x
    @user-hj6yd6jb6x Před 5 měsíci +3

    Ira serikar ingekuwa inaangalia wasanii wetu kabla awajatoka katika uso wadunia uyu tumtizame kwajicho lakwanza kabisa mtu mhimu sana uyu katka taifa

  • @Pathro_Cavosia
    @Pathro_Cavosia Před 5 měsíci +6

    Chidi Is so Impressive and Motivating Wallai May Allah Guide and Protect Him Daima.

  • @hari_meshi
    @hari_meshi Před 6 měsíci +12

    Drugs are a bad thing to human

  • @devidjav3583
    @devidjav3583 Před 5 měsíci +2

    Much love kwa chid i wish atakubali kuna tatizo na atafute msaada kweli.

  • @Sebastian-ul7wg
    @Sebastian-ul7wg Před 6 měsíci +5

    Legendary welcome back brother

  • @fischerkashaija3214
    @fischerkashaija3214 Před 6 měsíci +29

    Halafu nyie mnae muhoji chid benzi mnamuharibia sana aonekane ni mtu wa kulalamika yan mbna mna roho mbaya aisee mwana anajitafuta nyie mnamleta maswali ya kikuda aonekane analalamika yan

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před 6 měsíci +4

    He can do it,ni msani mzuri sana,and this guy is so smart more than you think 🤔

  • @Mwenyekiti1118
    @Mwenyekiti1118 Před 5 měsíci +3

    Dah Huyu jamaaa ana AKILI sana sikiliza mpaka Mwisho

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 Před 6 měsíci +4

    Chid ana real luv kutoka moyoni kabsaa

  • @MulababazOG
    @MulababazOG Před 5 měsíci +2

    Chidi benz noma sanaa
    Bonge la genius

  • @michaelvincentmhagama337
    @michaelvincentmhagama337 Před 4 měsíci +1

    Upholding humanity

  • @richie_Jk
    @richie_Jk Před 5 měsíci +4

    Chid akiwa katika hali hiyo still bado kawazidi uwezo wa kufikiri wasanii wengi sanaa... sijui kabla ya dawa alikua je.. ila chidi kwenye wasanii genius top three yangu yupo akiwa na hali hiyohiyo

  • @Immahjr
    @Immahjr Před 6 měsíci +9

    Chid Benz mtu poa sana

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p Před 5 měsíci +1

    Nice chidbenze👍

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 Před 6 měsíci +5

    Chidi benzi❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥❤️❤️

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 Před 5 měsíci +2

    Chidi 🎉🎉 ukweli unauma ila watu hubadilika i can feel he has changed but still watu bado tunamfatafita chidi yule aliyekuwa namajanga yake ya zamani tujifunze k appreciate the way he is now and try to support him mentally, emotional, financial big kwa roma hajaangalia his pastlife but his talent

  • @agustinealberty
    @agustinealberty Před 5 měsíci +1

    am from Japan but leme say Huyu msenge anaakili sana

  • @irenematari6218
    @irenematari6218 Před 5 měsíci +3

    Aki chidi kumuelewa yataka uwe very keen anauliza kingine anajibu kingine 😂😂😂but we got love for him❤

  • @roberttaigo9216
    @roberttaigo9216 Před 6 měsíci +11

    jamaa yuko very concsious sana,akili kubwa sana

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Před 6 měsíci +8

    Roma super but chiddy ni super since Long Time chiddy ni super msela

  • @mikasiadventures6709
    @mikasiadventures6709 Před 5 měsíci +1

    Kwani yeye tu Chidi ndio ataishi Aki complain hajasaidiwa Na kila Mtu 😊

  • @Daladalamedia
    @Daladalamedia Před 5 měsíci +1

    You have a deep heart Chid Beenz, forever in my heart and praying hard for you.

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co Před 6 měsíci +4

    P1 sana chidi, big up sana mzee

  • @JonathanNsweve
    @JonathanNsweve Před 5 měsíci +1

    Chini ni noma

  • @alexwatae3165
    @alexwatae3165 Před 6 měsíci +21

    Unaongea vzur sana tatizo kila unapoongea point pia kuna nguvu ya dawa nayo inajitahid kuongea..Mungu akutangulie

  • @Gabonfreeman
    @Gabonfreeman Před 5 měsíci +3

    Kumuelewa chid inaomba akili 🧠👈 Sana 🙏😅🎉🎉🎉

  • @officialchidibenz
    @officialchidibenz Před 6 měsíci +6

    Kwanini kila kitu ni madaawa..mnataka niongee kama nani tufanane.

  • @VicentMillanzi-tw9qe
    @VicentMillanzi-tw9qe Před 6 měsíci +3

    Nakosa kuelewa chidy ana tatizo gan...watu wanajaribu kumrudisha kwenye njia lakin Bado aelewi....ila chidy Ujui kama tunakukubali?

  • @DanielMarwa-ep8qr
    @DanielMarwa-ep8qr Před 5 měsíci +1

    King kong❤

  • @ramadhanomar8346
    @ramadhanomar8346 Před 5 měsíci +1

    It is about love

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před 6 měsíci +8

    Bro we Roll❤❤

  • @catewahu6860
    @catewahu6860 Před 5 měsíci +1

    Chidi mungu tu nfio atamsaidia aache vitu anatumia ako na kitu ndani yake talented 😅

  • @damianjeremia3821
    @damianjeremia3821 Před 6 měsíci +1

    Chidbenz jina kubwa mjini lakini mwenye jina walaaa hajali wala nini🎉

  • @RabiaIddi-ci2uz
    @RabiaIddi-ci2uz Před 6 měsíci +2

    We nae dharau nyingi ndo maana husaidiki sasa mtu hata akikupa laki moja ulikuwanayo? halafu chid wewe sio kwamba wasanii hawakupendi bali wewe ndo hutaki kubadilika 😢ila mungu akusaidie kwakweli

  • @nyamweririchard5945
    @nyamweririchard5945 Před 6 měsíci +5

    Binafsi sina uwezo wa kufanya jambo lolote juu ya Chid ila Naamni maombi yangu yatamsaidia,huyo ni Azina kubwa sana kwa Muziki wa Bongo

  • @user-kx1ou3ez7q
    @user-kx1ou3ez7q Před 5 měsíci +1

    Jomba ni noma sana Benz

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 Před 5 měsíci +1

    Chiz Benz big up bro

  • @noelkibere8208
    @noelkibere8208 Před 6 měsíci +3

    Ushakuwa wenge BCBG aisee

  • @dullahzebuffa
    @dullahzebuffa Před 6 měsíci +2

    Safi sana aiseh

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Před 6 měsíci +2

    Mungu amsaidie.

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 Před 5 měsíci +1

    STAMINA & ROMA WANAMPENDA CHIDY BENZ KI KWELI KWELI. “Wengine wanamcheka”

  • @demask3423
    @demask3423 Před 6 měsíci +4

    Dakika ya 12 umeongea point. Mtu akikutukana jitafakari... Hata na wewe ujitafakari uone ni kwanini watz wanakutusi.. chid punguza unga na pombe.. utafika mbali.

  • @onesmolwambano9349
    @onesmolwambano9349 Před 6 měsíci +2

    Fact

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x Před 6 měsíci +2

    Salute bro

  • @kalmaarufuofficial74
    @kalmaarufuofficial74 Před 5 měsíci +1

    Chidi ni wazokubwa sana🔥🔥

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 5 měsíci +4

    Tuseme tu ukweli huyu jamaaa ameeenda

  • @MakalaSimulizi
    @MakalaSimulizi Před 6 měsíci +8

    😂😂😂😂😂anakula kwa hasiraaa

  • @linusjoseph8454
    @linusjoseph8454 Před 5 měsíci +1

    Yani huyu jamaa madawa yashamuaribu ata awezi kujitambua

  • @kinotasontravel2093
    @kinotasontravel2093 Před 5 měsíci +1

    Chiz sio mbinafsi 100 💯

  • @emmanueljackson5445
    @emmanueljackson5445 Před 5 měsíci +1

    Bro kwel anaroho nzuri afu anakipaji

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo Před 5 měsíci +2

    Nyie chid hayupo sawa😕

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df Před 5 měsíci +1

    Ngoma ile kali sn kuanzia beat na lyrics,Chidi amemmeza Roma kbs.

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 Před 6 měsíci +4

    Pale alikuwa Chod benz Leo ni Rashid 😂😂😂

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 Před 6 měsíci +3

    Kabla ujamponda huyu bwana kasikilize vyote sizani kama hakuna kitu utofunguka lipo la kushika katka 10 anayo yatamka

  • @bittersweet1683
    @bittersweet1683 Před 6 měsíci +2

    I like this

  • @officialmanji4438
    @officialmanji4438 Před 6 měsíci +5

    King Kong 😮

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML Před 6 měsíci +10

    Ni kosa sana kusema pesa uliyopewa ni ndogo sn kumbuka hela ya kupewa bila jasho sikuzote ni kubwa sn ht ikiwa elufu 7 tu!

    • @Josephkp629
      @Josephkp629 Před 6 měsíci

      Amna hela bila jasho unazan kaenda kwa mguu arusha

    • @filberth_Mchilo
      @filberth_Mchilo Před 6 měsíci

      Huyu Jamaa kuvimba haachagi hata awe kapuku Namna gani 😅😅

    • @WaziriRamadhan-ML
      @WaziriRamadhan-ML Před 6 měsíci +1

      @@Josephkp629 tumia akili wewe kwan arusha aliitwa? au ye alijiendea tu ye mwenyewe kwa madai alienda kumuona mfiwa,sema tu ye chid kikubwa pale alilenga hela na alijua atapewa ht milion kazaa kitu ambacho haijawa hivyo na kupatwa na hasira maana ile kauli yake siyo kbs na kwa mtu mwenye akil nying anajua tu

    • @FadyFs
      @FadyFs Před 6 měsíci

      @@WaziriRamadhan-ML kwani ni milion10 ile?

    • @snaidertv1857
      @snaidertv1857 Před 6 měsíci +2

      Chid alienda kumuona mfiwa then mfiwa anampatia pesa ndio maana hakuifurahia alifeel bad

  • @salimaziz9858
    @salimaziz9858 Před 6 měsíci +3

    Kuna kipande kimekatwa 16:58

  • @amrozwhite1073
    @amrozwhite1073 Před 5 měsíci +2

    CHIDI HAWAJAMMJULIA HUYU TAHIRA

  • @chiefkissensi
    @chiefkissensi Před 5 měsíci +5

    Chid anamaadui wasiotaka Aendelee kuwa Kwenye Nafasi yake, wengine wanajikosha kuwa karibu nae ila Makwilo Still yupo na kipaji kikubwa.
    ChidKing🇹🇿

  • @minhokid
    @minhokid Před 5 měsíci +1

    Nimecheka et oooh chidi sijui kaiba ooh sijui nini, wanaficha ndani

  • @chiefshonelyzbeth5844
    @chiefshonelyzbeth5844 Před 5 měsíci +1

    Safi sana

  • @hclever7731
    @hclever7731 Před 5 měsíci +3

    Et pipa na mfuniko😂😂😂
    Ila jamaa anaakili mingi,, ila pia inahitaj akili mingi kum understand

  • @hancykajanjathelimitmusic427
    @hancykajanjathelimitmusic427 Před 5 měsíci +2

    Hakika bro chidy

  • @mackhanssa2484
    @mackhanssa2484 Před 6 měsíci +4

    Anakula KWA hasira sana😂😂😂

  • @mdumashop7423
    @mdumashop7423 Před 6 měsíci +5

    Mtu anaakil sana huyu

  • @mengipeter9598
    @mengipeter9598 Před 5 měsíci +2

    Mwamba karudi

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 6 měsíci +3

    Jamaa yuko really sn 🇶🇦

  • @AmaniMcharo-wn3ul
    @AmaniMcharo-wn3ul Před 6 měsíci +5

    REspeCt chid benz 😂😂😂

  • @isalohsk4762
    @isalohsk4762 Před 6 měsíci +2

    Chungeni mapenzi yenu mnapopenda watu yasifanye upumbavu ukue, chidi tunampenda lakin ni mpumbavu,look at him age inaenda you think lini atatoboa but maybe kivingine sio muziki ..In fact

  • @MalickMazikublood-gq2fs
    @MalickMazikublood-gq2fs Před 5 měsíci +1

    Hiyo nimeipenda pipa na mfuniko😂😂😂❤❤

  • @pajokakasasa
    @pajokakasasa Před 5 měsíci +4

    Chidy akili nyingi sana

  • @user-kd6qq3fh7w
    @user-kd6qq3fh7w Před 6 měsíci +5

    Bado ngoma imewaka

  • @neviyuzzle3905
    @neviyuzzle3905 Před 5 měsíci +1

    Nice

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Před 5 měsíci +1

    Chid you so bright but ni mtundu na mwenye dharau upo kama player balloteli,unajiona star sana kuliko mond kuliko kiba kuliko roma😂

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 Před 6 měsíci +5

    Jama ni philosopher wanaoelewa anacho zungumza wachache sana

  • @frankmichael1968
    @frankmichael1968 Před 5 měsíci +1

    Me kwangu chd ni msanii bora mara zote hayo mengine ambayo anayo ni mambo ya kibinadam tu

  • @bedastusmichael7811
    @bedastusmichael7811 Před 6 měsíci +2

    Chidy unasumbua sana broo.tishaaa