Kweri ushikaji sana Inakuwa siyo pouw het niaje Nisje mala kukumbatiana Bila misingi ni ujinga BROTHER #CHID WATANZANIA TUNAKUPENDA SANAAA HATA WASANII WENZAKO PIA WANAKUPENDA BUT UPO VERR UMBLE NA NI MTU MWENYE HESHIMA SANA
Huyu bwana ana ego, kujifanya mjanja sana kisa sijui katoka ilala, Yani sipendi hiyo tabia, alafu hana shukrani, hakuna haja ya kumpa airtime huyu takataka.
Bwege kweli wewe nenda dar wewe ,,,yeye amepapenda na sasa ana mwezi bado yupo chuga ,,, et unamshaur ww kama nan au unafkr dar n pazur sanaa nijitu ambayo haijawah kuishi dar bana mnakuwa mnapashobokea
@@Maxpaul-oi8pw huyo chid pamoja na wewe wote washamba wa maisha tu...mnaona madawa na mapombe ni ujanga ?fala nyie.Sikia me nimekaa toronto..Canada na Joburg southafrika..utaniambia nini wewe mtoto wa ngarenaro na mansese machoko tu.
Waaache kutumia pooombe! Wapi like za CHID BENZ❤
Og sana
Wewe unatisha. Nikija tanzania. Napiga kelele....😂. Gr. Uit Amsterdam chidi benz. 2019 met in da club in masaki. Men. Vibe man. Goat from Tanzania.🎉
Nafurahi kuona chidi benzi a nakuwa sawa Pia anazid kuwa good sana
Nafurai sn interview za chiz 😂😂😂😂
Nyumbani sihami mpaka wazazi waone aibu wahame wao Na coment yangu isiguswe ✍️
Ovyo kabisa
Stimu haijifichi tatizo lina anzia nini uta ongea au uta fanya baada ya kula stimu,ngono ina pendana na stimu
Usiwe na roho nzuri kupitiliza noted Chid
This man is genius
Genius for nothing... chamsingi aache madawa kabisa...kila kitu kitakaa sawa
Kweri ushikaji sana
Inakuwa siyo pouw het niaje
Nisje mala kukumbatiana
Bila misingi ni ujinga
BROTHER #CHID WATANZANIA
TUNAKUPENDA SANAAA
HATA WASANII WENZAKO
PIA WANAKUPENDA BUT UPO
VERR UMBLE NA NI
MTU MWENYE HESHIMA SANA
CHID kama CHID uko fire 🔥🔥
Chuma 🔥🔥🙌
Chid kichwa sana
Mtangazaji alivyoskia ukinipa hamsini nakuua aka sizi kwanza dk ya 7😂😂😂😂😂
Sauti ya aweeeeeeee striker
Chid is back
Aache Sasa ,madawa
Akili nyingii sana chid
Moriin sio mtamu kama chiku yeeh
MAKASI
Ila Chidiii 😂😂😂😂😂😂😂 🔥🔥🔥🔥🔥 hizi nyimbo imebidi nizitafute tena
Chidi cha kwanza toka uko Arusha sio kuzuri hasa kwa vijana ambao hawajatulia broo
Acha ushamba tz nzima amna mji uliotulia kama arusha na moshi. Ndo maana watu wa nchi za nje wanapapenda
Arusha ndo kuna watu wako real
King Kong chidbenz
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂..... waswailini Eti watamu...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.... Uyuuu jamaaaa Nomaaa
Chuma
Hatuna kerere 😅😅😅😅😅
Kuwa makini na watu wa karibu.
Noooma
Chiddy chuma
Mna uhakika jaivah ndio mwenye saut?
Kassy on the bt😂
Unatisha blaza
😂😂chuma kinapata upepo kila mda wote
Chidi eti unapiga chabo uku unachangamsha maungo
Is he related to GigyMoney?? Just asking ❤
Sawa ila just stop drugs dat iz
Spack ft chid benzi
Ama away ya alikiba ft Chidi was on point
Jamn kinanani atumuelew uyu Zombie Dondosha Like Hapa👇👇
😂😂😂😂😂😂😂
King Kong
Huyu bwana ana ego, kujifanya mjanja sana kisa sijui katoka ilala, Yani sipendi hiyo tabia, alafu hana shukrani, hakuna haja ya kumpa airtime huyu takataka.
Acha chuki maskini wewe mbwa takataka!
😂😂 Chuki hazijengiii... Utakufa na pressure
Haumpendi kaa kushoto upendo haulazimishwi mzee muache chid afanye maisha yake
Put ur mouth shut Wewe mtoto
Aisee upo ngarenaro..nakushauri urudi dar
Acha ushamba
Msikariri ngarenaro awajaaribika kama mnavo ona sema nisehemu kwenye makirimiti sasa ukija kireee ndio utazikiri uchi
@@Maxpaul-oi8pw mshamba wewe ulekuja ngarenaro juzi
Bwege kweli wewe nenda dar wewe ,,,yeye amepapenda na sasa ana mwezi bado yupo chuga ,,, et unamshaur ww kama nan au unafkr dar n pazur sanaa nijitu ambayo haijawah kuishi dar bana mnakuwa mnapashobokea
@@Maxpaul-oi8pw huyo chid pamoja na wewe wote washamba wa maisha tu...mnaona madawa na mapombe ni ujanga ?fala nyie.Sikia me nimekaa toronto..Canada na Joburg southafrika..utaniambia nini wewe mtoto wa ngarenaro na mansese machoko tu.