Video není dostupné.
Omlouváme se.
THE CLASSIC CHIDI BEENZ EP 1:BEEF NA PROFESSOR /MWANZO WA KUINGIA KATIKA MADAWA/JE ALITEGESHEWA
Vložit
- čas přidán 13. 07. 2023
- Hii ni sehemu ya maongezi ambayo tulifanya na Chidi beenz mwaka mmoja na nusu uliopita ,kama hukuwahi kuiona walau hii ni sehemu ya mahojiano hayo
Brother chid nakuelewa sana Mungu akulinde sana
Inaitwa mmenisoma chid benz
Inaonekana ya moto sana hii, tukitulia tutasilikiza
Best interview hizi sema fupi sana
One and only “The Legend”🔥🔥🔥🔥
Ilala,La familia inanikumbusha mbali sana,enzi hizo
Jana tu niliitafuta ile ngoma ya chiku k ft chid benz ya lonely! Aisee chid alikuwa Ni hatari Sana! Ile flow ya verse yake Ni noma Sana! Namna alivyonata na Ile beat na zile swaga daah hatari Sana! Huyu mtu alikuwa Ni shida Sana! Ana uwezo mkubwa Sana!
Moja ya playlist zangu. Lonely
Saut ya dhahabu🔥🔥🔥🔥
Inakua poa sana yaani kumuona braza karidisha mwili wake
kweli kuteleza sio kuanguka na kuvunjika Kwa mwiko sio mwisho wa upishi
Interview nzur sema inabidi mna Improve kwenye sound zena km makamasi flani
Huyu Jamaa Genius 💥💥
KAKA SAUTI YA BEAT PUNGUZA UWA UNAWEKA JUU SANA
Real homboy🦍 💯🔥
Aliemhusisha Manara na Yanga ni karata Dume mwenyewe Simba wa Morogoro
Ukimuhoji Chid ww ndio utakuwa msikilizaji...
S/o to Q Chilla
Chid urithi wake utadumu vizazi na vizazi,mara kwa mara anaongea kuhusu upendo ila wasanii bado hawaelew,angekuwa kwenye dini tungemuita nabii
🦍 #Chidi Beenz
Usimsahau Jose Mtambo mnamtenga sana nyie watangazaji wa Bongo wakati jamaa katika matop 5 dead or live yupo tuletee tumsikie ndugu
Jamaa anajua Sana mtambo aboiiii
Sure, hauwezi kuweka legends wenye flow kali ukamwacha Jos Mtambo, sema naskia alipata matatizo ya Alcohol, labda kama alimudu kuyamaliza
mtambo tumemtafuta sana hapatikani ni kama mwenyewe ameamua kujiweka nje ya game ,atakapokuwa tayari tutamuita bila shaka
@@KuviFacts gud tuko pamoja interview zako ziko hot
True, Jose yuko underrated ila flow na uandishi unique sana. Kuvi kama amesikia tuletee JOSE MTAMBO, mtaa unamielewa sana.
C ilishapitaga hii
Big fanya Mpango mlete Jos mtambo Kumbuka jamaa katoka mbali kabla Yao,,, Ngoma tunaskia ila yy kimya na interview
Kawa mlevi kinoma skuhz
Sana aisee yaan ni huruma sana
Chid
TUNAMUOMBA NOORAH TAFADHALI,,WASANII WENGINE MNAWARUDIA KILA DEI.
Noorah kumpata ni vigum yupo SHINYANGA bize na mishe zake
@@christophergeorge5490 😄da
hii ngoma iko background ya chid benz inaitwaje
"Jiachie"
jiachie inaitwa ina verse moto sanna
✊🏿👮🏿