Video není dostupné.
Omlouváme se.

THE CLASSIC CHIDI BEENZ EP 1:BEEF NA PROFESSOR /MWANZO WA KUINGIA KATIKA MADAWA/JE ALITEGESHEWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2023
  • Hii ni sehemu ya maongezi ambayo tulifanya na Chidi beenz mwaka mmoja na nusu uliopita ,kama hukuwahi kuiona walau hii ni sehemu ya mahojiano hayo

Komentáře • 39

  • @yusuphmakhahala6570
    @yusuphmakhahala6570 Před rokem +4

    Brother chid nakuelewa sana Mungu akulinde sana

  • @bladdavid3356
    @bladdavid3356 Před rokem +2

    Inaitwa mmenisoma chid benz

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343

    Inaonekana ya moto sana hii, tukitulia tutasilikiza

  • @francismwakalile2310
    @francismwakalile2310 Před 5 měsíci

    Best interview hizi sema fupi sana

  • @kibakivideos
    @kibakivideos Před rokem +2

    One and only “The Legend”🔥🔥🔥🔥

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 Před 10 měsíci

    Ilala,La familia inanikumbusha mbali sana,enzi hizo

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 Před rokem +3

    Jana tu niliitafuta ile ngoma ya chiku k ft chid benz ya lonely! Aisee chid alikuwa Ni hatari Sana! Ile flow ya verse yake Ni noma Sana! Namna alivyonata na Ile beat na zile swaga daah hatari Sana! Huyu mtu alikuwa Ni shida Sana! Ana uwezo mkubwa Sana!

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 Před rokem +1

    Saut ya dhahabu🔥🔥🔥🔥

  • @Alhabib_Mohaa_001
    @Alhabib_Mohaa_001 Před rokem

    Inakua poa sana yaani kumuona braza karidisha mwili wake
    kweli kuteleza sio kuanguka na kuvunjika Kwa mwiko sio mwisho wa upishi

  • @scorpionkiro720
    @scorpionkiro720 Před rokem +1

    Interview nzur sema inabidi mna Improve kwenye sound zena km makamasi flani

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 Před rokem

    Huyu Jamaa Genius 💥💥

  • @Heismasai
    @Heismasai Před 8 měsíci

    KAKA SAUTI YA BEAT PUNGUZA UWA UNAWEKA JUU SANA

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 Před rokem

    Real homboy🦍 💯🔥

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před 5 měsíci

    Aliemhusisha Manara na Yanga ni karata Dume mwenyewe Simba wa Morogoro

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Před rokem +1

    Ukimuhoji Chid ww ndio utakuwa msikilizaji...

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před 5 měsíci

    S/o to Q Chilla

  • @barakajpilly6900
    @barakajpilly6900 Před rokem

    Chid urithi wake utadumu vizazi na vizazi,mara kwa mara anaongea kuhusu upendo ila wasanii bado hawaelew,angekuwa kwenye dini tungemuita nabii

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499 Před rokem

    🦍 #Chidi Beenz

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před rokem +7

    Usimsahau Jose Mtambo mnamtenga sana nyie watangazaji wa Bongo wakati jamaa katika matop 5 dead or live yupo tuletee tumsikie ndugu

    • @jengadaudi-oe9wq
      @jengadaudi-oe9wq Před rokem +1

      Jamaa anajua Sana mtambo aboiiii

    • @moneythemes
      @moneythemes Před rokem

      Sure, hauwezi kuweka legends wenye flow kali ukamwacha Jos Mtambo, sema naskia alipata matatizo ya Alcohol, labda kama alimudu kuyamaliza

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před rokem +9

      mtambo tumemtafuta sana hapatikani ni kama mwenyewe ameamua kujiweka nje ya game ,atakapokuwa tayari tutamuita bila shaka

    • @albertbunyinyiga7581
      @albertbunyinyiga7581 Před rokem

      @@KuviFacts gud tuko pamoja interview zako ziko hot

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 Před rokem +1

      True, Jose yuko underrated ila flow na uandishi unique sana. Kuvi kama amesikia tuletee JOSE MTAMBO, mtaa unamielewa sana.

  • @hassanikaawizy2597
    @hassanikaawizy2597 Před rokem

    C ilishapitaga hii

  • @jengadaudi-oe9wq
    @jengadaudi-oe9wq Před rokem

    Big fanya Mpango mlete Jos mtambo Kumbuka jamaa katoka mbali kabla Yao,,, Ngoma tunaskia ila yy kimya na interview

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před rokem +1

    Chid

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +1

    TUNAMUOMBA NOORAH TAFADHALI,,WASANII WENGINE MNAWARUDIA KILA DEI.

  • @mohamedslh5478
    @mohamedslh5478 Před rokem

    hii ngoma iko background ya chid benz inaitwaje

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Před rokem

    ✊🏿👮🏿