JOSLINE ANAFUNGUKA MAZITO/ KILICHOMUINGIZA KWENYE../ CHANZO CHA YOTE/ DULLY SYKES/ BIFU NA MR BLUE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 02. 2023
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

Komentáře • 110

  • @naseem7188
    @naseem7188 Před 7 měsíci

    najihisi machozi kunitoka siamini kama leo nimemuona tena msanii ninayempenda josilini nakumbuka mbali sana ,natamani urudi kwenye game nimemiss sana swaga zako mnyamwezi mpaka leo nikiwa na washikaji wa mtaa tunajiita wakali kwanza ,nakuzimia sana mwamba josline song zako tamu mshkaji mmoja ,niite basi ,perfume ,kariakoo nzima

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Před rokem +6

    My role model enzi hizooo!!Amenishape namna flani kuwa Smart n swag!! He's still humble n minato na midondoko ile ile!!He was way a head of time!!

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 Před rokem +16

    Bonge La Interview.. Joseline Anajua Sana Kujieleza Katulia.. Huchoki Kumsikiliza 🙌🏾 Presenter Anauliza Maswali Ya Msingi Sana.. BEST 2023 INTERVIEW SO FAR..!!

  • @nathanielmpeta6144
    @nathanielmpeta6144 Před rokem +2

    Jamaa ana love sana na washkaji zake after all these years, this is rare.. he is a real one!

  • @siraaronmallya425
    @siraaronmallya425 Před rokem +13

    Brother Joslin wimbo wako ulinipa pesa sanaa ule niite basi....i was in primary and i was doing writing for others such song and paid....i was like grade 5 or6

  • @pascalcostantine4478
    @pascalcostantine4478 Před rokem +2

    Jos ameongea FACT sana kuhusu kuimba nyimbo za mtu kwa stage. Respect you bro

  • @shepherdmosha1610
    @shepherdmosha1610 Před rokem +13

    Mimi ninachokiona leo ni tofauti na ile interview ya wale shilawadu, nakuomba sana Jos stay possitive bro najua ni ngumu kuachana na urahimu ila ni rahisi kuachana na marafiki wanaokupelekea kwenye urahimu, namba 1 wa kuachana nae ni yule mliyekua nae kwenye ile interview, kwa sababu ndiye niliyemuona, wengine siwajui ila achana nao. Muombe Mungu akusaidie kwa hili na ikibidi mkabidhi maisha yako okoka. Mengine yatakaa sawa kadhi Mungu atakavyo bariki. Sisi tunaokujua kipindi kile tunasikiliza nyimbo zenu kwenye SONY WALKMAN unakua na zile kanda za (Kali za bongo) ndio tuna uchungu na nyie. Ni hayo tuu.

    • @charlschito6867
      @charlschito6867 Před rokem +1

      Ebnae wanakuita Shepherd Mosha yaani ushauri na maoni yote umenifilisi umepita pooote nlipo waza kupita khs Josline ''Man of GOD , ile interview ilini jeruhi kumuona JOS yupo vile .... Huwezi amini kazi zke na Wakali kwanza sie ndio twackiliza hdi nukta hii

    • @thespot1435
      @thespot1435 Před rokem

      Urahimu ndo nini?

    • @CleverMjaggah-uv8on
      @CleverMjaggah-uv8on Před 5 měsíci

      Nn kilifanya akapotea kwenye game

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před rokem +5

    Joslin you are big na Sasa tuko kwenye digital world you don't need no body... Just take your content to the digital.. Yani hata ukianzisha Podcast unatoka watu wanapenda kukusikiliza tu hata Kama huimbi.. una vibe na Kila mtu.. Mungu unayemuomba akusaidie you are good to Gooooo! 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před rokem +3

    Me nampenda sana akiongea yaan natamani arudi kwenye game aisee he's absolutely amazing

  • @chancesholdan342
    @chancesholdan342 Před rokem +8

    Nigga got swagg! Can be market if he's serious #Jos+Jos

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Před 8 měsíci

    One love bro. Nakumbuka busara zako na mchango wako for the truck we sung together going by the name of TUWE WOTE by Phantyrhymes ft Joslin. Kali sana hii

  • @SoudyBrown
    @SoudyBrown Před rokem +9

    Maaaan…. mwamba Kaua sanaaaa, nimependa sehem aliyotangaza Vita 😂🙌

  • @J96tz
    @J96tz Před rokem +4

    Joseline my model namkubali Sana sana mpaka uzee wangu niufikie nitamsikiliza @j96_sna every where napatikana

  • @sasquaremusic3140
    @sasquaremusic3140 Před rokem +1

    Bro uko vizuri katika kumhoji msanii na pia msanii brother josline yuko vizuri katika kujibu na kuelezea kwakweli tumelizika kwa interview..Ila naomba mtafuten na spack wa nipe report (tunda na spack)

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem +3

    Jamaa bonge Moja la singer rnb i'la dah his pambana bana...

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 Před rokem +1

    Sema joslin mnyamwezi sana kapoa kinyamwezi hata ongea yake ya kinyamwezi sana Nakubali sana

  • @yusuphkidoto6766
    @yusuphkidoto6766 Před rokem +4

    Ndugu mtangazaji mtafutee msanii mirror mfanye interview

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před rokem +3

    Anaongea Kama ana rap you just want keep listening 👍🏾👍🏾👍🏾

  • @abelkilumbu9205
    @abelkilumbu9205 Před rokem +4

    Ngoma za wakali kwanza nilizinunulia daftari maalum nikaziandika na penseli za rangi 😀

  • @hezekiahelbertonline6831

    Bila hata kupepesa macho nafikiria Barnaba Classic atakuwa amekuelewa vizuri 🤔🤔🤔

  • @jovitham6003
    @jovitham6003 Před rokem +6

    Big up dogo👍 makofi kwa wingi.
    Niseme tu kwamba,,, kuimba nyimbo ya msanii jukwaani ni makosa. Ni kumuibia msanii kazi zake. Ndio maana utasikia ughaibuni,, hata ile tu kupost nyimbo ya msanii utasikia " I have no right to this song,, huu mwimbo ni mwimbo wa . .... mfano huu mwimbo ni mwimbo wa Joslin,, au kwa ruhusa ya Joslin,,, tena kila ukiucheza asilimia fulani ya malipo inakwenda kwa muhusika wa nyimbo yake. ( period./ nukta )

  • @goustonefrancisisole2534

    Nimeona video fupi asee...... One of the best.....

  • @babrashabanu7073
    @babrashabanu7073 Před rokem +5

    Una swaga sana bro

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 Před rokem +2

    Much respect bro ✌

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 Před rokem

    Yes Very good ❤🇧🇮🇧🇮from Burundi in Cape Town

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 Před rokem +3

    DAR24 WALETENI WOTE WAKALI KWANZA TUWASIKIE KWENYE INTERVIEW.

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 Před rokem

    Wendoambaye umemkopi blue,,,, hyo style alianza nayo blue nandmn hata kimafanikio blue amekuacha mbali sanaaaaa

  • @tahataly2413
    @tahataly2413 Před rokem +1

    Young Dollar Baibe 🔥🔥

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Před rokem +2

    Kingine huruma haina bahati Joslin kuna muda mdomo unaokoa siunaona kina t, I, d mdomo tu ndounauweka kwene game but hamna kitu

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Před rokem +2

    Anaongea kwa upole kama Onmmy dimples

  • @hiphopoldschoolkalama1405

    Jamaa anaongea fresh sana. Hana majigambo ako ntulivu sana.

  • @bakariabdallah8702
    @bakariabdallah8702 Před rokem +2

    bonge la interview na joseline

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 Před rokem +1

    Big up Joslin

  • @mudriqbutton8372
    @mudriqbutton8372 Před rokem +1

    Ila kwenye dhahabu josline kaua kinoma

  • @ibrahimurichard377
    @ibrahimurichard377 Před rokem +3

    Background sauti ipo juu sana

  • @adamore854
    @adamore854 Před rokem +3

    Jamaa ni mwenye nidham kubwa ya maongezi.

  • @youngsachafurniture5482

    Best online Tanzania 🇹🇿

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 Před rokem +1

    👊

  • @subzig8521
    @subzig8521 Před rokem

    Kiukweli,tu,josline anakipaji kikubwa zaidi ya blue,sema tu blue ana bahati zaidi ya josline,

  • @rasdaudi4199
    @rasdaudi4199 Před rokem

    Peace Peace MAN I Josline#

  • @richardsaikong1138
    @richardsaikong1138 Před rokem +4

    He still got it basing on the response to the questions

  • @imanrogers5309
    @imanrogers5309 Před rokem +1

    Jaman nina weza kupata namba za Joslin

  • @kisoso890
    @kisoso890 Před rokem +2

    Much respect love ndugu yangu jos

  • @umelamedia
    @umelamedia Před rokem

    Interview nzuri

  • @hefsibahunkie7376
    @hefsibahunkie7376 Před rokem

    when was this?

  • @timoliiisaya3824
    @timoliiisaya3824 Před rokem +1

    29;15 hapo ndo kaanza kuzungumzia beef yake na duly😁

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza Před rokem +3

    Jama anaongea kinyamwezi sana kama zamani sehemu zetu za posta enzi hizo duh zilikua swag mwanzo mwisho nimemiss dar yazaman .!!

    • @yusuphswai6851
      @yusuphswai6851 Před rokem

      Kwel kabis ezi izo blue alikuwa mkali sana wa izo mambo

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před rokem

    Dar 24 mlikosa meza ya kuweka vikombe?? Mbona mnatia aibu media kubwa kama yenu jamani..

  • @uvuvweweonyetenyevwe1348

    Hii ni kabla au baada ya ile aloojiwa na akina maimartha?

  • @dismaskimario389
    @dismaskimario389 Před rokem

    Tatizo wasanii wengi wa zamani wameshindwa kuendana na kasi ya mabadiliko ya utandawazi, especially from analogy (hard copy) selling system to softcopy au digital selling system. afu wanalalamika sana hawataki kujishusha maisha yaende.

    • @Lky589
      @Lky589 Před rokem

      Kuna kitu kipo nyuma Bado hujakijua, haohao waliowafanya tuwajue ndo haohao wanaofanya tuwaone hivo 🙏🙏🙏.

  • @mphotshoke7760
    @mphotshoke7760 Před rokem +4

    🍁🍁✌️🇿🇦

  • @veenpoul900
    @veenpoul900 Před rokem

    Tatizo lake umarekani mwingi ndmn wanaishia kwny madawa2

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Před rokem +1

    For sure joh but alichokupa mungu lazima Dunia ijue na mwisho uwezo wa mungu awe mpaka mwisho wa Dunia lkn sio Kwa Hawa Wana damu namini ipo tym yako sahihi ambavyo wewe utatoboa upya ukiachana na wanafiki walokushika mwanzo

    • @faza4023
      @faza4023 Před rokem

      Duh bro umeongea point sana..alichokupa MUNGU hakipotei na watu watakujua kwa icho sababu amekupa icho ili uwafikie watu.

  • @kisoso890
    @kisoso890 Před rokem

    Kijana wetu wa Enzi zetu bilcanas

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 Před 11 měsíci

    watu alowa-inspire ni:
    Mr. blue, ommy dimpoz na Gosby..

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 Před 3 měsíci

      Mr blue alianza muziki nakuanza kuonekana kwenye tv kabla ya Joseline

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 Před 3 měsíci

      @@steveanthon5523 josling ndo wa kwanza kurap kwa mapoz, blue kaiga.. ndo maana dully aliwaeka ktk Dhahabu

  • @Marjeby
    @Marjeby Před rokem +16

    Vichwa kama hivi vinepotea kwa mambo ya kisenge senge tu jamaa kama huyu unaweza kumfananisha na msanii kama Konge boy kwenye kona gani?muonekano?kuimba?akili kubwa?kujieleza konde boy haingi kokote but kikubwa kinacho waponza watu kama hawa ni umjini wa kupita kiasi ndio unawapoteza mpaka wana angukia kwenye vitu vya kishamba

    • @travy0110
      @travy0110 Před rokem +2

      Kwa nini usimtolee mfano diamond platnumz, mpk umseme tena Kwa kumtaja konde boy... Got yourself discipline.. point unayo Ila don't mention people... F***k.

    • @mwecmapesa3623
      @mwecmapesa3623 Před rokem +1

      @@travy0110 😁😁

    • @magdalenapaulo1776
      @magdalenapaulo1776 Před rokem

      @@travy0110 sasa huyo Dogo si bange ndo zinafanya watu wamtolee mfano na sio smart huyo Dogo au ulitaka amtolee mfano babaako

    • @travy0110
      @travy0110 Před rokem +1

      @@magdalenapaulo1776 angemtolea bwana ako anaekupiga K, ingekuwa poa sana,.. bange zimefanyaje, wasanii wangapi dunian tena wakubwa na wanaheshimika wanakula bangi, na wanafanya vizur.. nkuambie kitu kama ulikuwa ulikuwa hujui wasanii 90% wanavuta bangi,.... Haya huyo mondi aliyekondeana Kwa madawa.. Acha upumbavu mwambie bwana ako akukaze vizur akili ivujie vizur.. na umwambie bwana ako aache Kula bange na yeye, Sawa mage

    • @abelmbilinyi1262
      @abelmbilinyi1262 Před rokem +1

      Kabisaaa✊

  • @agynoel2846
    @agynoel2846 Před rokem +2

    Ivi Joseline huyu ndo yule niliemuona Kwa kina juma lokole mbona kama Yuko tofauti na yule

    • @abelmbilinyi1262
      @abelmbilinyi1262 Před rokem +1

      Na Mimi ngoja nisubir jibu hapa

    • @godfreysangu8954
      @godfreysangu8954 Před rokem

      @@abelmbilinyi1262 Ndo huyu huyu lakini inawezekana kapata watu wazuri wa psychology wamemrudisha kwenye hali ya kujitambua kwa haraka sana. Kapata tiba sahihi na amekubali kubadilika

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 Před rokem +1

      Nadhani na kamera pia

    • @goustonefrancisisole2534
      @goustonefrancisisole2534 Před rokem

      Ile interview haikuwa planned.... Ilikuwa accident kuonekana karibu na studio.....

  • @robertmodestmushema1297

    I just wish huyu jamaa angetafuta identity yake badala ya kupmbana kumuiga Millard kwa sauti. Evryone has a golden chance to create an new thing in the industry

    • @joshuamakota6714
      @joshuamakota6714 Před rokem

      Anaiga mpaka upoaji aisee

    • @yusuphswai6851
      @yusuphswai6851 Před rokem

      Ww uoni mapresents wengi walitokea kumuig adam mchov yan iyo ipo ulifany kizuri watu watapenda tu nakuiga

    • @joshuamakota6714
      @joshuamakota6714 Před rokem +1

      @@yusuphswai6851 sil kuiga huko sasa yani kumcopy kabisa mtu, ni vizuri kuvutiwa na mtu ila sio kujaribu kua yeye na wewe kua wewe maana huwezi kamwe kua yeye ila utaonekana tu kua unamuiga yeye.

    • @ed3ezekiel388
      @ed3ezekiel388 Před rokem

      Kijana ebu fatilia vizur kati ya huyo millad wko na J nan alianza game 😅😅 wakat wakina J wanatamba hii dasalama huyo millad wako alikuwa anatafuta siso sasa unamlinganisha vp na J

    • @ezekielchengula2228
      @ezekielchengula2228 Před rokem

      Tone ya Joslin ndiyo hii hii hata kabla ya Millard.

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Před rokem +1

    Madawa ya kulevya mabaya Sana.

  • @allyhabibu1117
    @allyhabibu1117 Před rokem

    Mwanetu

  • @imanrogers5309
    @imanrogers5309 Před rokem

    Dar 24 naombeni namba za Joslin

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Před rokem +1

    Ongea Sana usikae kimya

  • @thandiweonkhwazi8164
    @thandiweonkhwazi8164 Před rokem +2

    Punguzeni sauti ya hako ka mziki kana bore

  • @micahkalume7826
    @micahkalume7826 Před rokem

    Collabo yake na Dully & Mr Blue aliua sana uyo mwamba