THE CLASSIC SUGU EP 1:MIAKA 30 YA GAME /BEEF NA KWANZA UNIT/KUHARIBU ZAWADI MBELE YA MKUU WA MKOA
Vložit
- čas přidán 14. 07. 2023
- Kama hukuwahi kuona The classic na Sugu ambayo ilfanyika mwaka jana sasa ,tumekuwekea hapa ambapo Sug anaelezea alivyoanza game ya rap miaka 30 iliopita,katika episode hii Sugu ameelezea ugumu alioupata katika miaka hiyo na jinsi ambavyo aliwez kushinda vizingiti vikubwa katika safari yake mpaka sasa
#theclassic #sugu #jongwe #kuvifacts #trending #popular #podcast #bongoflava #kuvichaka
Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ
Mrudie hii
Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo
Hakuna kubisha SUGU kubws laoooo!!!
Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe
Hakuna kama Sugu hapa Bongo
Sugu number 1 MC in Tanzania
Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana
Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌
Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.
Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥
Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu
Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii
Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati
@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa
@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,
Nakukubali Sugu Mkali
Sugu moto chini
Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂
Good vibez kabisa. Peace.
Legend💪
💥💥Show Kal
Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌
LEGEND🔥🔥🔥🔥
The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story
Part 2 naitafuta sijaona
Noma sana
Sugu
😂😂😂sugu 🙌
Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀
Mwanangu Ice Cube 😂
Interesting Sugu
🔥🔥🔥🔥🔥sugu
Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana
Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.
Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu
mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo
Jongwe
Mtata
Sugu mtu makini
❤
HE IS NOT FAKER
Noma sana
Sugu
Jongwe