THE CLASSIC SUGU EP 1:MIAKA 30 YA GAME /BEEF NA KWANZA UNIT/KUHARIBU ZAWADI MBELE YA MKUU WA MKOA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 07. 2023
  • Kama hukuwahi kuona The classic na Sugu ambayo ilfanyika mwaka jana sasa ,tumekuwekea hapa ambapo Sug anaelezea alivyoanza game ya rap miaka 30 iliopita,katika episode hii Sugu ameelezea ugumu alioupata katika miaka hiyo na jinsi ambavyo aliwez kushinda vizingiti vikubwa katika safari yake mpaka sasa
    #theclassic #sugu #jongwe #kuvifacts #trending #popular #podcast #bongoflava #kuvichaka

Komentáře • 45

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 Před rokem +5

    Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ

  • @TeamSelekta
    @TeamSelekta Před 25 dny

    Mrudie hii

  • @fadmwangosi1007
    @fadmwangosi1007 Před rokem +5

    Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo

  • @Bumutz-po2df
    @Bumutz-po2df Před 7 měsíci +2

    Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe

  • @lowkeybongo
    @lowkeybongo Před 11 měsíci +1

    Hakuna kama Sugu hapa Bongo

  • @phinaphina3201
    @phinaphina3201 Před rokem +3

    Sugu number 1 MC in Tanzania

    • @kazimilykulwa2516
      @kazimilykulwa2516 Před 7 měsíci

      Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před rokem +2

    Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 Před 4 měsíci +1

    Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.

  • @user-ti7nf4jc8g
    @user-ti7nf4jc8g Před 4 měsíci

    Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Před rokem +2

    Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 7 měsíci +2

    Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii

  • @kingnebuchadnezar
    @kingnebuchadnezar Před 7 měsíci +6

    Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati

    • @kingnebuchadnezar
      @kingnebuchadnezar Před 5 měsíci +1

      @thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa

    • @kingnebuchadnezar
      @kingnebuchadnezar Před 4 měsíci

      @thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 Před rokem +1

    Nakukubali Sugu Mkali

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 Před rokem +1

    Sugu moto chini

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Před rokem +1

    Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 Před 4 měsíci

    Good vibez kabisa. Peace.

  • @twahangamba3082
    @twahangamba3082 Před 4 měsíci

    Legend💪

  • @mombamo5
    @mombamo5 Před rokem +1

    💥💥Show Kal

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 Před rokem

    Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před rokem +1

    LEGEND🔥🔥🔥🔥

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Před rokem +3

    The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story

  • @isakangogo3636
    @isakangogo3636 Před 4 měsíci

    Part 2 naitafuta sijaona

  • @robartifabiani
    @robartifabiani Před rokem +1

    Noma sana

  • @maicgado58
    @maicgado58 Před rokem +1

    Sugu

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu Před 5 měsíci

    😂😂😂sugu 🙌

  • @issaabeid1215
    @issaabeid1215 Před rokem

    Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀

  • @ngaukamaita3979
    @ngaukamaita3979 Před 10 měsíci

    Interesting Sugu

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub Před rokem

    🔥🔥🔥🔥🔥sugu

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 5 měsíci

    Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 Před 4 měsíci

    Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 4 měsíci

      Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu

  • @ayoubbilali1050
    @ayoubbilali1050 Před rokem

    mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo

  • @pascalgodfrey686
    @pascalgodfrey686 Před 9 měsíci

    Jongwe

  • @user-kc3ux2oz8m
    @user-kc3ux2oz8m Před rokem

    Mtata

  • @jiwefurniture1128
    @jiwefurniture1128 Před rokem +2

    Sugu mtu makini

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před rokem +1

    HE IS NOT FAKER

  • @zombazezu
    @zombazezu Před 7 měsíci

    Noma sana

  • @abbyjma7355
    @abbyjma7355 Před 3 měsíci

    Sugu

  • @raphaelmheta
    @raphaelmheta Před rokem

    Jongwe