MSANII CHID BENZ KWA NABII MKUU - GeorDavie TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 01. 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Komentáře • 77

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Před 6 měsíci +6

    Tumpate wapi Tena mtu kama Nabii Mkuu ambaye Mungu anakaa ndani yake, Asante sana Baba kwa kutujali🙏🙏

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před 6 měsíci +3

    waislamu km humpendi Nabii mkuu usiangalie pita na yako sio lazima kuangalia na kuanza kuponda imani za watu, fanyeni yenu

  • @metroplanetstudios
    @metroplanetstudios Před 6 měsíci +2

    Hivi Nisher amekuwa ni mtu wa kuzungumziwa hivi kweli? 😢aisee mimi jina ilo lina nipa huzuni nisikiapotu 😭 aisee Nisher kweli ume tuachia uzuni na majonzi kibao, mkombozi wa vijana wengi wa mitaa genius R.I.P bro💔😢

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před 6 měsíci +3

    NABII MKUU BALOZI WA MU NGU DUNIANI.BARIKIWA SANA.NIMEFURAHI KUMUONA CHID KWA NABII MKUU.

  • @VictorJohn-fu7ch
    @VictorJohn-fu7ch Před 25 dny

    Wow Nabii mkuu umefanya vema❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r Před 6 měsíci +4

    Uyu nabii nimtu safisana ❤

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 6 měsíci

    Asante baba Mungu Akubariki Kwa utumishi wa Kazi zake Aliyekuumba

  • @user-eu1wq8bn9y
    @user-eu1wq8bn9y Před 6 měsíci +4

    Nabiii is very good

  • @DAZIZUbeàutysalon
    @DAZIZUbeàutysalon Před 6 měsíci +4

    namimi naungana na neno lako Baba

  • @user-zo1ym2te7r
    @user-zo1ym2te7r Před 6 měsíci +3

    Chid Benz nimtusafi sana

  • @Fredyjingu
    @Fredyjingu Před 7 měsíci +6

    Mungu azidi kumtunza nabii mkuu

  • @moseshandsam1865
    @moseshandsam1865 Před 7 měsíci +2

    Chid benz his super talented since dem days

  • @richardIyanga
    @richardIyanga Před 4 měsíci

    Powerful

  • @ZabibuMadelelya
    @ZabibuMadelelya Před 4 měsíci

    Amen

  • @LionizeBillionaire
    @LionizeBillionaire Před 7 měsíci +2

    Respect Mchungaji🙏

  • @hassanhussein-ow7qh
    @hassanhussein-ow7qh Před 6 měsíci +2

    Innalillah wainna ilaihi rajiun, Ndugu zangu waislam huu ni msiba, tukamateni dini yetu, tusichupe mipaka ya Allah tukaangukia kwenye ushirikina, tutaulizwa na Allah, Maisha mafupi yakupita haya ndg zangu

    • @danimtenga6962
      @danimtenga6962 Před 6 měsíci

      Huna akili

    • @activestudios.
      @activestudios. Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂 wote wasenge sio nyinyi wala hao wa bwana asifiwe

    • @hassanhussein-ow7qh
      @hassanhussein-ow7qh Před 6 měsíci

      @@activestudios. rainbow 🌈 utawajua tu, tabia za choko choko

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 Před 7 měsíci +11

    Mtumishi wa Mungu analindwa na baunsa

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 6 měsíci +1

    Huyu mchungaji au mganga wa kienyeji

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 7 měsíci

    Asa huyo bod gad Hana Iman n mtu kumpa mkono mtumish jmn😂😂 au chidy bad kichwa haiko vzr

  • @YohanaYared
    @YohanaYared Před 7 měsíci +3

    Vijan fanyen Kaz msipende kupewa 1:57

  • @iwishtv7907
    @iwishtv7907 Před 7 měsíci

    Huyu hayupo sawa kiakili.
    Huyu sio Nabii.

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 Před 6 měsíci

    Mungu azidi kukutunza mkombozi wa karne ya Sasa🤲🤲🤲

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před 6 měsíci

    Umaskini mbaya sana

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 7 měsíci +2

    Duh

  • @user-ow5dv1ht6i
    @user-ow5dv1ht6i Před 7 měsíci

    Amina baba

  • @jobtoo2681
    @jobtoo2681 Před 7 měsíci +1

    Chini ako juu ya unga

  • @oliverkiwinga7032
    @oliverkiwinga7032 Před 6 měsíci

    Bouncer kiburi anamuangalia Chidi juu chini,dharau

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před 7 měsíci +4

    Chid ww muislam unaenda fanya nn kanisani dah njaa noma sana

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Před 7 měsíci +1

      Je na mchungaji hananje aliende mskitini huulizi

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu Před 7 měsíci +2

      Mmeanza kuleta udini sasa mbwa nyinyi🚮

    • @benomdaile7081
      @benomdaile7081 Před 7 měsíci

      ​@@laurnyandwi-sb1gu😂😂😂😂

    • @dfixmoblab
      @dfixmoblab Před 7 měsíci

      ​@@bakarikayugwa3295waambie na ww 😂😂😂😂

    • @laurnyandwi-sb1gu
      @laurnyandwi-sb1gu Před 7 měsíci

      @@benomdaile7081 yan wabongo sijuw tulilogwa wapi.,Kwan mungu s mmoja shida ip wap.

  • @kamandashupavu206
    @kamandashupavu206 Před 7 měsíci +3

    Chid alifata mpunga😅😅😅

  • @Godmaletz
    @Godmaletz Před 6 měsíci

    Ooooh😢

  • @mukeshimanarose1334
    @mukeshimanarose1334 Před 7 měsíci +1

    🙏🙏👍🏾

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před 7 měsíci +1

    Matendo bado yaja!!

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 7 měsíci +5

    Jamaa kanipita Ngarenaro akiwa kwenye Pikipiki 😂

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 6 měsíci

    Apewe gari

  • @user-xw7il4jd8h
    @user-xw7il4jd8h Před 6 měsíci +1

    Tuombe mwisho mwema

  • @user-tu3el4go4f
    @user-tu3el4go4f Před 7 měsíci

    Duuu

  • @saba-gv3mj
    @saba-gv3mj Před 6 měsíci

    Mrongo washenzi njaa tupu umeungua mguu alafu wa vaa buti

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr Před 7 měsíci +4

    Nabii nisaidie nina mgonjwa naomba bimab

    • @Eagles_tech
      @Eagles_tech Před 6 měsíci

      Karibu ngurumo ya upako au search Geordavie google utaona namba za maombi utasaidiwa

  • @user-xv4xr1ez7z
    @user-xv4xr1ez7z Před 6 měsíci

    Yaliyoandikwa yanatimia sasa,,

  • @user-gw6zg5yx9e
    @user-gw6zg5yx9e Před 7 měsíci +3

    Chidi yukojuu yaunga na nabii nimuzaunga siopoa

  • @mariamndabila7916
    @mariamndabila7916 Před 6 měsíci

    Shalom naitaji kuelimishwa kwanini yanafanyika haya mtu anabarikiwa kumtumikia shetani

    • @PeterGabriel-vm5yy
      @PeterGabriel-vm5yy Před 6 měsíci

      Shalom tafakari andiko hilo katika Roho. Barikiwa.
      Zaburi 92:5-7 Ee Bwana, jinsi yalivyo makuu matendo yako! Mawazo yako ni mafumbo makubwa.
      Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.
      Wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakistawi. Ni kwa kusudi waangamizwe milele;

  • @thebios2553
    @thebios2553 Před 6 měsíci

    Zingatia maokoto

  • @SHULE_YA_KRISTO
    @SHULE_YA_KRISTO Před 6 měsíci

    Huyu amekutakutafuta hela...!. Wala sio baraka.
    Nyimbo za kidunia, ni Mungu gani unamuomba akupe baraka?.

  • @eliamwakimage5389
    @eliamwakimage5389 Před 6 měsíci +1

    Haya ndio maabii fake live linaonekana tu kila kukicha wasanii kanisani pamekuwa maaonyesho au club?? Majitu yamefungwa macho hayaoni yanakwenda tu.

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi8438 Před 6 měsíci

    huyo kajivurugia mwenywewe

  • @user-fv2vn4lg9e
    @user-fv2vn4lg9e Před 7 měsíci +1

    Subirini Kwanza muone matokeo siyo mnaongea tu

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 7 měsíci +6

    Acheni ushamba na ubaguzi nyie waislm mbona mnatiaga wa kristo huo ni unafiki popote Mungu yupo

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 7 měsíci +2

    Chid benz ume wekewa lahana ..

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Před 7 měsíci

      Acha chuki je mchungaji hananje Ali alikwa bakwata ikoje hio

  • @jacqueli18
    @jacqueli18 Před 7 měsíci

    Naogopa ataongea utumbo😅😅😅😅😅😅

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp Před 7 měsíci

    🤣🤣🤣🤣

  • @millyarapta6933
    @millyarapta6933 Před 6 měsíci

    Is this the true representation of Jesus The Christ?

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Před 7 měsíci

    Kikubwa ahubiriwe wokovu wa roho yake aokoke na cyo kuangalia maslahi tu

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger Před 6 měsíci

    avurugikiwe zena

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 7 měsíci

    Mbona mApolis tena heree