MSANII CHID BENZ KWA NABII MKUU - GeorDavie TV
Vložit
- čas přidán 8. 01. 2024
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Tumpate wapi Tena mtu kama Nabii Mkuu ambaye Mungu anakaa ndani yake, Asante sana Baba kwa kutujali🙏🙏
waislamu km humpendi Nabii mkuu usiangalie pita na yako sio lazima kuangalia na kuanza kuponda imani za watu, fanyeni yenu
Hivi Nisher amekuwa ni mtu wa kuzungumziwa hivi kweli? 😢aisee mimi jina ilo lina nipa huzuni nisikiapotu 😭 aisee Nisher kweli ume tuachia uzuni na majonzi kibao, mkombozi wa vijana wengi wa mitaa genius R.I.P bro💔😢
NABII MKUU BALOZI WA MU NGU DUNIANI.BARIKIWA SANA.NIMEFURAHI KUMUONA CHID KWA NABII MKUU.
Wow Nabii mkuu umefanya vema❤❤❤❤❤❤❤
Uyu nabii nimtu safisana ❤
Asante baba Mungu Akubariki Kwa utumishi wa Kazi zake Aliyekuumba
Nabiii is very good
namimi naungana na neno lako Baba
Chid Benz nimtusafi sana
Mungu azidi kumtunza nabii mkuu
Chid benz his super talented since dem days
Powerful
Amen
Respect Mchungaji🙏
Innalillah wainna ilaihi rajiun, Ndugu zangu waislam huu ni msiba, tukamateni dini yetu, tusichupe mipaka ya Allah tukaangukia kwenye ushirikina, tutaulizwa na Allah, Maisha mafupi yakupita haya ndg zangu
Huna akili
😂😂😂😂😂😂😂 wote wasenge sio nyinyi wala hao wa bwana asifiwe
@@activestudios. rainbow 🌈 utawajua tu, tabia za choko choko
Mtumishi wa Mungu analindwa na baunsa
Muuni baba yoko mjinga wewe
Huyo dokta sule tu anawalinzi
Hata Yesu alikuwa na mabaunsa tena 12
😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Huyu mchungaji au mganga wa kienyeji
Asa huyo bod gad Hana Iman n mtu kumpa mkono mtumish jmn😂😂 au chidy bad kichwa haiko vzr
Vijan fanyen Kaz msipende kupewa 1:57
Huyu hayupo sawa kiakili.
Huyu sio Nabii.
Mungu azidi kukutunza mkombozi wa karne ya Sasa🤲🤲🤲
Umaskini mbaya sana
Duh
Amina baba
Chini ako juu ya unga
Bouncer kiburi anamuangalia Chidi juu chini,dharau
Chid ww muislam unaenda fanya nn kanisani dah njaa noma sana
Je na mchungaji hananje aliende mskitini huulizi
Mmeanza kuleta udini sasa mbwa nyinyi🚮
@@laurnyandwi-sb1gu😂😂😂😂
@@bakarikayugwa3295waambie na ww 😂😂😂😂
@@benomdaile7081 yan wabongo sijuw tulilogwa wapi.,Kwan mungu s mmoja shida ip wap.
Chid alifata mpunga😅😅😅
Ooooh😢
🙏🙏👍🏾
Matendo bado yaja!!
Jamaa kanipita Ngarenaro akiwa kwenye Pikipiki 😂
Apewe gari
Tuombe mwisho mwema
Duuu
Mrongo washenzi njaa tupu umeungua mguu alafu wa vaa buti
Nabii nisaidie nina mgonjwa naomba bimab
Karibu ngurumo ya upako au search Geordavie google utaona namba za maombi utasaidiwa
Yaliyoandikwa yanatimia sasa,,
Chidi yukojuu yaunga na nabii nimuzaunga siopoa
unaushaidi...?????
Shalom naitaji kuelimishwa kwanini yanafanyika haya mtu anabarikiwa kumtumikia shetani
Shalom tafakari andiko hilo katika Roho. Barikiwa.
Zaburi 92:5-7 Ee Bwana, jinsi yalivyo makuu matendo yako! Mawazo yako ni mafumbo makubwa.
Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.
Wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakistawi. Ni kwa kusudi waangamizwe milele;
Zingatia maokoto
Huyu amekutakutafuta hela...!. Wala sio baraka.
Nyimbo za kidunia, ni Mungu gani unamuomba akupe baraka?.
Haya ndio maabii fake live linaonekana tu kila kukicha wasanii kanisani pamekuwa maaonyesho au club?? Majitu yamefungwa macho hayaoni yanakwenda tu.
huyo kajivurugia mwenywewe
Subirini Kwanza muone matokeo siyo mnaongea tu
Acheni ushamba na ubaguzi nyie waislm mbona mnatiaga wa kristo huo ni unafiki popote Mungu yupo
Chid benz ume wekewa lahana ..
Acha chuki je mchungaji hananje Ali alikwa bakwata ikoje hio
Naogopa ataongea utumbo😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Is this the true representation of Jesus The Christ?
No, satan
Kikubwa ahubiriwe wokovu wa roho yake aokoke na cyo kuangalia maslahi tu
avurugikiwe zena
Mbona mApolis tena heree