KIDUM KIBIDO APEWA UNABII PAMOJA NA MILIONI 20 - GeorDavie TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Komentáře • 104

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Před rokem +2

    Kindumu🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪

  • @glaury9938
    @glaury9938 Před rokem +4

    Kwa kweli mungu atusamehe kwa kuhukumu watumishi utasikia nabii kafanya vibaya mbona wewe hufanyi vizuri tujifunze msituchanganyebana

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Před rokem +5

    Mungu akubariki Mtumishi Kidumu ....
    Wanadamu tuna tembea na historia mbaya ya mtu ...
    Wakati wokovu ni swala la sekunde la mtu na Mungu....
    Ole wenu mnaojiona mmesimama angalieni msianguke...

  • @fridolinhabonimana4854
    @fridolinhabonimana4854 Před 7 měsíci +1

    legends Kudumu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 🎙🔥🔥🔥

  • @carindor9825
    @carindor9825 Před rokem +2

    Kidumu mu Burundi wetu Hongera kwa kukutana n profet da!!!!kidumu barikiwa san n songambele Profet asante sana

  • @NiyongereProspere
    @NiyongereProspere Před 3 měsíci +1

    Napenda nionane na mtumishi huyu wa Yesu

  • @user-cb5ou3uv7x
    @user-cb5ou3uv7x Před 5 měsíci +1

    Mungu akubariki sana mtumishi Nabii

  • @tresormadelin1992
    @tresormadelin1992 Před rokem +4

    KIDUM Is the King of Live Music in East Africa

  • @collinsmercy3971
    @collinsmercy3971 Před rokem +2

    Hakuna utakatifu hapo mnafanya mzaga na mungu...from kenya

  • @user-jh9wf2sf1d
    @user-jh9wf2sf1d Před 9 měsíci

    Baba shikamoo mimi nipo der salam kupitia unabii wako nimejikuta nampenda mungu

  • @user-oo4vi4hz1g
    @user-oo4vi4hz1g Před rokem +1

    Baba nasi Rwanda tunakuhitaji. Karibu!

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Před rokem +2

    Imeandikwa kila mwenye pumzi na amsifu BWANA nabii sikupingi kwa kuwa karibiana waimbaji hawa

  • @iribaryurukundo5612
    @iribaryurukundo5612 Před rokem +1

    Kidumu the best live singer in East Africa

  • @EvaristoMatiya-hh5ez
    @EvaristoMatiya-hh5ez Před rokem +1

    Du,hii Kali kinomanoma!!umetisha mze wang Mungu awe na we maana wapo weny kinyongo.ww endelea na Mungu hatokuacha kwa kile alichokupangia kabla hujazaliwa.God bless U, Amen!!!!!!

  • @user-jh9wf2sf1d
    @user-jh9wf2sf1d Před 9 měsíci

    Mungu akulinde nabii mkuu GeorDavie na akupe maisha marefu Sanaa ww ni wapekee Sanaa baba ww umetumwa na mungu kweli kweli naitwa william mathayo nipo der salam

  • @kanyangearakaza4677
    @kanyangearakaza4677 Před rokem +4

    🎉tunampendasana kidumu kibido

  • @rsfdzxzx2274
    @rsfdzxzx2274 Před rokem +1

    Amin

  • @nathangeor
    @nathangeor Před rokem +3

    Kidumu with band equaz to💥💥💥💥💥

  • @manirambonaemeryhasta3739

    Asante san NABII MKUU Dr GeorDavie kwa kushik mkono kimaendeleo bila kujali ni wakabila gani ao wa inchi gani🙏🙏 KIDUMU KIBIDO KIBUGANIZO wa kwetu Burundi bujumbura 🇧🇮

    • @SabinusMhagama-tk3rz
      @SabinusMhagama-tk3rz Před rokem

      BABA WEWE NINABII WAKWANZA KATIKA ULIMWENGU UMETIMIZA KILE ALICHO SEMA YESU .MTAFANYA ZAIDI YAHAYA NINAYO YAFANYA MIMI

  • @kidumkibido257
    @kidumkibido257 Před rokem

    Ok

  • @ivanpeter4945
    @ivanpeter4945 Před rokem +4

    Hallelujah

  • @devithadaniel5423
    @devithadaniel5423 Před rokem

    Mbona anaimba nyimbo za yesu acheni kujaji muwe mnaangaliaa mwanzo mwisho muache ubabai

  • @Jombawayuser-ps2vp4nh7u
    @Jombawayuser-ps2vp4nh7u Před 8 měsíci

    Asante sana mungu akubariki❤❤❤❤

  • @nananailla7723
    @nananailla7723 Před rokem +1

    Nasikitika sana na wewe kitumu wa burundian 🇧🇮 kweli mungu akuongoze hivi umefikilia kweli hizo pesa zote zina heli mungu akusaidiye

    • @maryandason1815
      @maryandason1815 Před rokem

      😂😂😂Zina her kwake tatzo watu hawajui unapewa pesa unauza nafs yko kwa shetan watu hawatak kuomba kuutafuta uso wa MUNGU Zaid ya kuombewa ombewa n kubeba vicvyobebeka.unauza nyota y thaman unapewa pesa ya cku kazaa😢

  • @g.karathaofficial666
    @g.karathaofficial666 Před rokem

    Nimefurahi sana hili jambo

  • @barakaphilip2015
    @barakaphilip2015 Před rokem +1

    Awesome

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Před rokem +1

    Savi sana

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Před rokem +2

    🔥🔥Hii unaipata Ngurumo ya Upako pekee 🥰💃

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Před rokem

    Uhezagirwe Kidum mwana wa mama. Baba Ubarikiwe Sana my Father Senior Prophet GeorDavie. GITEGA BURUNDI

  • @anascholasticandagiwe6977

    Hongera sana mtumishi kwani Mungu wote ni wake na ndiyo maana akasema tuache magugu na ngano viote kwa pamoja,naimani kabisa hukumu si juu yetu nabii mkuu wewe ni baba na mlezi

    • @cliffdenis144
      @cliffdenis144 Před rokem

      Nabii aliyepotoka anakadhana kuuleta udunia ndani ya kanisa la kristo ni aibu ata kusema huyu ni nabii kwa Sasa sijui imekuwaje adi amekuja kupotoka kiasi hichi

    • @saimoniboniphace
      @saimoniboniphace Před rokem

      Tuta wajuaje? Kwamatendo yao live inaonekana giza gizani ila hatuwezi kuku hukumu yesu mwenyekuhukum anakuja

  • @janetkaingu7038
    @janetkaingu7038 Před rokem +1

    Eeeeemen Haleluia kwa kumsifu Mungu

  • @emmanuelshukiah1236
    @emmanuelshukiah1236 Před rokem +9

    Unapata wapi ujasiri wa kupiga nyimbo za kidunia kwenye madhabahu ya Mungu kama wewe kweli unatokana na KRISTO YESU ALIYE HAI.

    • @marcellysumaye341
      @marcellysumaye341 Před rokem +2

      Tafuta hela wew ndo unayejua sana madhabahu ya bwana hapa duniani!

    • @bahatimushi2003
      @bahatimushi2003 Před rokem +3

      Yesu pia alikaa nao hawo ambao umewaona awafai

    • @ELLYJ24
      @ELLYJ24 Před rokem

      ​@@bahatimushi2003 Ndyo maana wahubiri wengi hawaoni ajabu hata kukaa na mashoga ukiuliza eti yesu alikaa na wenye dhambi

    • @lazmeck4754
      @lazmeck4754 Před rokem +1

      Ndugu yangu ni mapokeo yako kutokana na ulivyo fundishwa hizo ni fikra zako kongwa

    • @rehemajoel7094
      @rehemajoel7094 Před rokem

      MADHABAHU IMEJAA NGUVU ZA MUNGU HAKUNA SHETANI WALA VIBARAKA VYAKE ATASOGELEA HAPO MZEE!!

  • @nsengiyumvapierre9343

    So cool my preference artist

  • @ElizabethMtambo-pv2ql
    @ElizabethMtambo-pv2ql Před rokem +1

    Halleluya

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Před rokem

    Safiiiiiiiiii

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 Před rokem

    Nimefamu kuelewa nabii ni vingumu sana siku za nabii Elijah alitumwa kwa mama mjane tena sio myahudi nabii hosea aliambiwa akaoe kahaba so sihukumu nabii Geodavie igawa sikubaliani na waibaji wa kidunia kwenye madhabahu ya MUNGU ni maombi yangu mapenzi ya YESU CHRISTO YATIMIE 🙏🙏

    • @cliffdenis144
      @cliffdenis144 Před rokem

      Hakuna Cha kujiuliza apo kwa kweli alianza vizuri ila Sasa amepotoka ameiacha njia kabisa Giza na Nuru havina shirika hatuweza Sema eti labda Kuna maono Mungu kampa iyo sio kweli Mungu achangamani na uchafu wa Dunia hii.....atubu arejee Yesu ni wa msamaha kwa watu wote

    • @eliudnjenga9385
      @eliudnjenga9385 Před rokem

      @@cliffdenis144 ni kweli kabisa nilifikuliri hawa waibaji wa dunia wanakuja kuokoka ila kupiga nyimbo zao pale duu si imani tena kenya tunafuatilia sana mahubiri yake ila tumefadhaika sana

  • @akimanakarime5437
    @akimanakarime5437 Před rokem +1

    Burundi is one in music live

  • @nurumollel5988
    @nurumollel5988 Před rokem

    Amen

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 Před rokem

    UTUKUFU KWA MUNGU KWA NABII MKUU

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Před rokem

    Hata mavazi ni ya heshima

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Před rokem +1

    Kati Yesu alie letewa mafuta na kahaba na akampaka na akambusu...
    Na Nabil mkuu anae anae waita wasanii madhabahuni nani mkosaji kwako?????
    Jifunze kumjua Mungu haya madogo hayatawasumbua...

    • @cliffdenis144
      @cliffdenis144 Před rokem

      Kwaiyo unataka kusema Yesu alifurahia maisha ya ukahaba aliyokuwa anaishi yule dada ...hivi wakristo wa miaka hii mna shida gani dada yule alikuja kwa Yesu kwa lengo la kutubu na kuacha njia mbaya Hawa wasanii wakidunia wanakuja apo kuimba udunia wanapongezwa na kushangiliwa duuuuu Bado unadhubutu kusema ni sawa kweli tubuni tubuni ndugu zangu Yesu anakaribia kurudi tubuni Giza na Nuru havina shirika tubuni jaman

  • @sabinalaulian-yg1ud
    @sabinalaulian-yg1ud Před rokem

    Bb nabii mkuu nami naomba mtaji nifanye biashara nateseka ila naona unavyosaidia watu nisaidie na Mimi mwanao

  • @nabiimdogotv8686
    @nabiimdogotv8686 Před rokem

    Una nguvu ya kupata bando tazama mambo yasiyokuhusu acha Kuna kosa gan hapo nenda mbinguni kama hutaki kuona ya duniani

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 Před rokem

    🇰🇪🇰🇪🙏🙏📖

  • @princemshindi
    @princemshindi Před rokem

    🇧🇮🇧🇮

  • @teddyjohn7054
    @teddyjohn7054 Před rokem

    🙏🙏

  • @imakubari6786
    @imakubari6786 Před rokem

    Mmmmmmmmmh uyoo mdada Sasa kanisan bwana

  • @nabiimdogotv8686
    @nabiimdogotv8686 Před rokem

    Ivi nyie mnajua sanaa biblia kuliko yenyewe acheni ushamba wa kiroho mwacheni uyu baba

  • @imakubari6786
    @imakubari6786 Před rokem

    Mmmmmmmmmh 😢😢😢😢😢😢😢

  • @eliudnjenga9385
    @eliudnjenga9385 Před rokem +2

    Kutoka 254 tunawapenda sana warokole tz ila kidum tena jukwaani si huyu ni muibaji dance jamani hapo sikubaliani kabisa nimefuatilia nabii sana mbona anapromote sana wanamziki na wachekeshaji wa kidunia si harmonize alikuwa hapo zote tulifikili anakuja kuokoka afuatie diamond sihukumu ila kimimi natilia shaka huyu nabii kiukweli why promote the kingdom of darkness si tz inajulikana kwa waibaji walokole wengi tu sana wapo wapi wapewe mamilioni wahubiri YESU WA NAZARETH

    • @danielworshiper6002
      @danielworshiper6002 Před rokem

      Muamin Mungu
      Na uamin anambadirisha yeyote

    • @cliffdenis144
      @cliffdenis144 Před rokem

      Uko sahihi kaka nasikitika uyu nabii alianza vizuri Sasa amepotoka kabisa Hadi wakina 20 per aliwalika na wakaimba

    • @pascalmsegea4563
      @pascalmsegea4563 Před rokem

      Ameimba nini? Upo nyuma sana ya wakati

    • @ofsatravella8463
      @ofsatravella8463 Před rokem

      Huyu. Ni mpinga kilisto

  • @msteveg2181
    @msteveg2181 Před rokem

    Kidum sio mu Kenya ni muburundi makazi yake ndo yapo Kenya

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před rokem

    mwanadamu anapo kula nakushiba anamsahau MUNGU nakuona kila alifanyalo limfurahishayo moyo wake nisawa nakugeuza nyumba yamungu ni ukumbi wadisko

  • @balljmushi9599
    @balljmushi9599 Před rokem

    Mungu hawezi nunua walio wakee kwa pesa.hahahahaaaaaa

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 Před rokem

    Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu

  • @ElipendoElias-no6ki
    @ElipendoElias-no6ki Před rokem +1

    Yan huyu ndo ameamua kuonyesha ushetani wake wazwaz

  • @DjemsBonane
    @DjemsBonane Před rokem

    Karibu kwako nabii mkubwa tuna kusalimu,Sisi tuko mkongo démocratique République.tuna kufata APA.

  • @nicholaakonkwa9911
    @nicholaakonkwa9911 Před rokem

    Nabbi mudogo njo Nani?

  • @reubennnko6270
    @reubennnko6270 Před rokem

    Ashaaasemaaa ni jukwaaa sio madhabahu so badooo Dula makabila tu hapoo

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 Před rokem +1

    Kanisa la wasani 👀

  • @yousupjabri7304
    @yousupjabri7304 Před rokem

    Mmh ila ndugu zetu nyie..

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 Před rokem

    Mzeee wa bass nani uyuuuuuuuuu