Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Aisee Moni ni Mwanahip hop mzuri sana na najua tutamwelewa zaidi, fundi sana
One among the Greatest Rapper 🔥⚡
Nakukubali sana Moni🎉❤
Kwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 malume
Very humble
Malume nembo ya dom city🥶🔥🙌
Malume bhn muhuni akizngua akataii💣
Honestly uyu mwanahip hop napenda saana kazi zake..natokea kenya na kila dunde anaachia napendagA sana...namdai nyimbo na harmonize
Miye pia niliipenda sana couple yenu Wallah nitamanii mpaka Leo muwepomoja
Moni design yupo high😅😅
😅
Mbona akuna video yeyote
Moni ni mc anaendika kuhusu stori za maisha yake sana basically mpk maumivu
Malume
Sema uyu Jamaa naisi anavuta bangi
Anavuta ndio 😂 kwani tatizo liko wapi?
atuwezi kukubali
Actually
Moni kweli account imepotea au ujanja ujanja tuu😂😂
Abou in real life.. mjuba umesikika hapa
Jamaa katinga mbaya😂😂
High school hiyo mkuu 😂😂
hivi msodoki kapotelea wapi jamani na ule msani wa rap kama nani wa mirasta yani watu wamepotea hiii game hiyiii
Awadhi mwana idodomia
Maelezo aliyotoa Moni hapa kuhusu Ile video yake na Nai, ni tofauti na maelezo aliyotoa kwenye interview ya Ghetto kwa Msanuaji.
Ile siku alilewa.. sasa Ile siku ndo aliongea ukweli 😂😂 Leo ana akili timamu anazingua 😅
#hiphop zinatakiwa
Ila jamaa nna wasi wasi kuna ktu anatumia
@@johnphilipo6760 Eee
Kawaida kwenye maisha ya ujana
@@giztony2009 Kawaida gani??
Inaonekana anaaibu so kupata confidence amekunywa nadhani
@@Johnnyphilimon Hamna sio pombe
Aisee Moni ni Mwanahip hop mzuri sana na najua tutamwelewa zaidi, fundi sana
One among the Greatest Rapper 🔥⚡
Nakukubali sana Moni🎉❤
Kwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 malume
Very humble
Malume nembo ya dom city🥶🔥🙌
Malume bhn muhuni akizngua akataii💣
Honestly uyu mwanahip hop napenda saana kazi zake..natokea kenya na kila dunde anaachia napendagA sana...namdai nyimbo na harmonize
Miye pia niliipenda sana couple yenu Wallah nitamanii mpaka Leo muwepomoja
Moni design yupo high😅😅
😅
Mbona akuna video yeyote
Moni ni mc anaendika kuhusu stori za maisha yake sana basically mpk maumivu
Malume
Sema uyu Jamaa naisi anavuta bangi
Anavuta ndio 😂 kwani tatizo liko wapi?
atuwezi kukubali
Actually
Moni kweli account imepotea au ujanja ujanja tuu😂😂
Abou in real life.. mjuba umesikika hapa
Jamaa katinga mbaya😂😂
High school hiyo mkuu 😂😂
hivi msodoki kapotelea wapi jamani na ule msani wa rap kama nani wa mirasta yani watu wamepotea hiii game hiyiii
Awadhi mwana idodomia
Maelezo aliyotoa Moni hapa kuhusu Ile video yake na Nai, ni tofauti na maelezo aliyotoa kwenye interview ya Ghetto kwa Msanuaji.
Ile siku alilewa.. sasa Ile siku ndo aliongea ukweli 😂😂 Leo ana akili timamu anazingua 😅
#hiphop zinatakiwa
Ila jamaa nna wasi wasi kuna ktu anatumia
@@johnphilipo6760 Eee
Kawaida kwenye maisha ya ujana
@@giztony2009 Kawaida gani??
Inaonekana anaaibu so kupata confidence amekunywa nadhani
@@Johnnyphilimon Hamna sio pombe