INTERVIEW: Mwana FA kuhusu maisha, muziki, P Funk, Jokate na mengine.
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2024
- Kutana na mkongwe wa bongofleva mwenye zaidi ya miaka 10 kwenye muziki anaoufanya na ameweza kukaza bila kupotea, hii ni Exclusive Interview ambayo amezungumzia vitu vingi vya muziki na vingine vinavyomuhusu.
nakumbuka ilitoka 2002 nikiwa form II, ilifanya nikupende kuwa msanii namba one mpaka leo...huwezi amini nina mistari kichwani ya nyimbo zako za mwanafalsafani...respect you
Mwana FA i look so much up to you.This guy is super cool!!!!! Muhenza wamebahatika kua na mbunge muelewa sana
Silalamiki sina viatu wenzangu hawana miguu thanks for coming br, bG up xn mkuu!
interview nyingi umeweka ila kusema ukweli hii umetutendea haki 100%
shukran sana blaza.
Johnson Meshack from ngaramtoni arusha,,,,Mwana FA uko bie sana,asanten kwa kuja ipo classic ile kinoma
Vichwa viwili tu na vikubal tz. FA na blue
Daah jamaa yuko vzur sana kwny interview......big up FA
Kati ya wasanii ninao wakubali, my legendary ❤️
Am a fun of Mwana Fa, so humble
asante sana mtu wangu wa nguvu naomba utuletee John makin
umeona eee *Nasser mungu ambariki sana mtu wetu wa nguvu
ukweli upo vizuri sana mwan fa😘😘
uko vzr
🙌🙌🙌asante kwa kuja FA
asante kwa ngoma kali
Millard upo poa Sana Kaka nakukubali hady kesho
mungu akubarikie kazi yako
Big up sana bro FA Mr Coundouwn
Kazi nzuri millard
nice bro
ahsante millard
narudi tena upo sahihi apo f.a unaweza ukatoa nyimbo na msanii mkubwa wa nje ya nchi mwisho wa siku inaonekana kituko tu wasanii ipendeni lugha yenu big up millard ayo
I like this!!
Nakuelewa sn Millard na kazi zako zinatubariki sn.
master plan..fa uyu jamaa kiboko bongela intaeview aise
good broo!
Mwana fa umemsahau dazz baba
Upo vizurii sana Falsafa
That's Great!!!!
Siwaambii msiusie,sisemi zipu mfungue,sisemi muache kuwa wema,ila ujinga usienderee kwamba kila anaye kufa kwa ngoma mkadhani ni kicheche....daah...lakini alikufa kwa ngoma
nimemic mwana fa ft jay dee
nina mabinti dam dam..hehe....mwana fa "mabinti" was my first intro to him, back in 2003 apo. my fav east african rapper, hehe....luh dat nigga!!!! n he's a kenyan if u ask me, lol, ingawaje twajua ni wa bongo, hehe
😂😂😂 weweee
nice interview
very nice
hermy b!
interview imetulia sana
nice bro upo gud
Big up Bro.....muite na AY
great interview
Gwiji FA
Namkubali sana
aya
Millard nini una angalia on your right.kila video ukiifanya ni hivo hivo
34:40
I get around 2023
39:01
ilibidi nipause kwanza nicheke
hata mimi😂😂😂😂
😎
Nice broo
umenena bro ngwair hatofananishwa kamwe nyimbo mliopiga ya demu sikiliza duu mlitisha xana
Hapo 10:55 aisee, binamu anajua nyie
poa
diddy kuimba kwenyewe hajui😆😆
@Millard Ayo mkumbushe @mwanafa hiii
asante sana mtu wangu wa nguvu naomba utuletee John makin
uko vzr