Kwasasa maisha ya shabadilika lkn Kuna wengi mbon wanafanya kama hawa lkn wanaishia Julia njaa tu Ila hao wapiga makelele ndo wasanii wenye pesa kubwa na wanatembea na walinz kwa usalama wao
I liked the way they sang happily regardless of their political issues, this is important, I would be happier if Professor J was there, thank you Madam President for having a great team.
I love the way tanzanians appreciate their own hadi president amekaa anawaskia... salute to you people 👋 Nice performance guys all this artists have been my childhood favorites from Nako 2 Nako soldiers,joh making,nikii wa pili,ay,and my main favorite mwana FA
Yaaani sugu umewaheshimisha wasanii wenzako jamani wa zamani ila Badoo wapo juu jmn mpk Sasa awa ndo waligendally was mziki wakiongozwa na Queen ladyjaeedy
I always love hip hop song hawa wengine wabana pua kila verse mapenzi mapenzi mapenzi weka kule thus why ukija kwangu usiniulize cjui Niweke nyimbo za hawa wanaojiita bongo flava utapata tabu sana na mpaka sasa cjui heat song ya bongo ni Ipi zaidi nikisafiri ktk basi Zuber the Trans from dar to Mza
Ingetumika nguvu kama hii kuutangaza utalii wa nchi yetu ingependeza zaidi kuliko kugharamikia filamu ambayo wengi wa 🇹🇿 wamekua wakiifikiria kinamna tofauti kabisa.
We unajua ni nchi ngapi zimeangalia hiyo filamu ya utalii na unajua ni watalii wangapi wameshakuja Tanzania mpaka Sasa epuka kulaumu usichokijua Fanya uchunguzi usikurupuke sisi Wana Arusha tunaona matunda ya hiyo filamu
Hao ndio wasani wanao wakilisha nchii sasa Kama mlikuwa hamjui mavazi uimbaji wao muonekano vyote hivyo vimebeba bendera ya Tanzania 🇹🇿 nakuonesha ualisia na tamaduni za watanzania hongereni sanaa
Tuseme tu ukwer old rapper wanasaut na vocal za kibabe anaykubar hili tia like hapa
Mungu akufanyie wepesi babaangu Professor J, Leo hii ungekuwepo, inshallah Mungu akufanyie wepesi 🙏🙏🙏
Mungu huyu anampango nae amina
Ume nigusa Sana nawewe uliye tukumbusha hili mungu akulinde Sana ndungu yangu nimekupenda bure kwa kauliyako nzuri na inayo tukumbusha mengi🙏💓
@@chimbokiswaga8662 Amina ndg yangu daima tuombeane kheri🙏🙏🙏🙏
Amen
Inshallah 🙏🙏 13/06/2023 prof anaendelea kuriCover
I got goosebumps when I saw Nick and FA Performing in front of the President.. such a joy to watch.. Samia should be proud of her leaders
Same to me I got goosebumps 💕
Hip Hop is always best in Performance. You can feel lyrics and flows.
I appreciate the chemistry being made, make it a song as a remix. Mwana FA 🙏
Sister Jide yupo so pure! vocal zile zile yani🤦🏿♂️ sauti moja ya dhahabu mno! hakika hadi sasa hakuna wa kumzidi Lady Jaydee
Sawa kabisa
Yupo mwingne maua sama
Maua sama hawezi kufikia hiyo chuma
Komando jidee
Killer kabisa ,wasanii wanatakiwa kujifunza kupitia hii show ,mziki sio kupiga makelele this is real real music 😊😊😊
Kwasasa maisha ya shabadilika lkn Kuna wengi mbon wanafanya kama hawa lkn wanaishia Julia njaa tu Ila hao wapiga makelele ndo wasanii wenye pesa kubwa na wanatembea na walinz kwa usalama wao
Inategemea una perform wapi na umma ni kina Nan..??
@@msalabanireko1518 ❤
Watoto wa kizazi hikiki wanaimba ilimlad .old music it's very nice.
You Tanzanians see this?....Kuna heshima ukijipa utajiweka Mahalia flani....Hakuna Ali ama Diamond hapa.Only legends 🇰🇪... represented
Alikiba na diamond sio wana hip hop hapo ni hip hop
Apo walipo inatosha sana
Dah
Na Inaonenya wanapendana na kuthaminiana inapendeza
Only Sugu,Jide, AY and FA are the legends
I liked the way they sang happily regardless of their political issues, this is important, I would be happier if Professor J was there, thank you Madam President for having a great team.
Much respect Wakongwe, a bit sad not seeing Juma Nature and Prof J on this one.
Na bado timu haijakamilika dah old is gold
😂😂😂🎤🇹🇿🪘 Yap! Nakubali, Mimi ni mpagazi on the Mountain kilimanjaro
Mwana FA 🙌🙌🙌🙌🙌 binamu you always killing it
Naikubali ile utaoa lini
🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu Lady J Dee nyoko
I love the way tanzanians appreciate their own hadi president amekaa anawaskia... salute to you people 👋
Nice performance guys all this artists have been my childhood favorites from Nako 2 Nako soldiers,joh making,nikii wa pili,ay,and my main favorite mwana FA
Bila kusahau mwanzilishi wa bongo flavour mr. 2 sugu.
Tz more love ❤️..
Much respect to the veterans
Wow from Kenya 🇰🇪 with love❤️🙏🎶👑🔥🔥🔥👏👏👏
Living Legends uwezo mkubwa Sana 💪💪💪
Pole sn j mwenyezi mungu akuzidishie subra ya dhati moyon upone haraka
Kakosekana Professor na Nature duu.
Old is Gold always
Ay kauwa pongezi kwa John making na mwana f.a sister jide nk
Yaaani sugu umewaheshimisha wasanii wenzako jamani wa zamani ila Badoo wapo juu jmn mpk Sasa awa ndo waligendally was mziki wakiongozwa na Queen ladyjaeedy
Sugu Hii Concerty imetisha xn big up xn remember in hiphop
Kilimanjaro ⛰️ my best hip hop song of all time, I think jay Dee killed that corus
WAKULUNGWAAA
What a performance 🎸🎸🎸
AY ni master
Alo kosekana ni professor Jay jamani🙁Allah ampee shufaa ajumuekee na wenzake
Wenye mziki wao ✨🎤💯
Kabisa
Prof Jay would be also great 🔥🔥
Lod izy mnyama sana flow zake
this is tz bhana watuache na mama yetu😘😘
😄😄😄😅😅🤣🤣! 🥱 Daaah Kwel sasaiv nchi Ndio imepata Rais sasa naona Mama anacheki Shoo hana Presha!!😭😭
I always love hip hop song hawa wengine wabana pua kila verse mapenzi mapenzi mapenzi weka kule thus why ukija kwangu usiniulize cjui Niweke nyimbo za hawa wanaojiita bongo flava utapata tabu sana na mpaka sasa cjui heat song ya bongo ni Ipi zaidi nikisafiri ktk basi Zuber the Trans from dar to Mza
Huh ndy muziki na ndy wasanii pure walikuwepo.. wapo.. watakuwepo..blessed 🙏
Joh makini🔥🔥🔥🔥🔥
Vibe km lote km umesikia royal tour tujuane kwa like
Much love from DRCongo👌💪
Shikamooo hip hop na ma legend be blessed
Am always adorable to these ....nice guys.
What a voice from lady Jay dee❤
Ebwan kilimanjaro my best of all the time still in my playlist noma
Daaah kakosekana Wa mitulinga tu 😢
AY nakuita Mara tatu AY AY AY
you killed it
Tumemjubu Dr dre
wahenga...hongerenI sana hakika ilipendeza sana
Hawa ndo wasaniii tunaowajua sis hao wengne wakwenu.
We need this mash up niggas! Go and record it!
Hao ndiyo wasanii wa hip hop hapa Tanzania wengine bado sanaaaaaa
Collaboration nzuri sana asanteni Legend
Ilikua 🔥🔥🔥🔥
Jede WW ndo kachumbali ktk pilau umetisha sana
hii nyimbo ilifaa iwe kwenye sound track ya hiyo movie ya loyal tour
Sio loyal ni Royal tahira wewe
@@hateebcooper5539 😂😂😂😂mmmmhh
Raha ya pesa ,unakuwa na marafki wenye pesa, maskini marafiki zake watakuwa wale wale
Nimecheka sana aiseeee imebidi nikoment tuuuuu daaa life is not fare my rafiki 🤣🤣
Nimependa sana sungu mungu hakuzidi shiemema wewe ni kingi 👑💥💥🙏🙏💪💪
Wewe umeona ulichoandika au🤣🤣🤣🤣😂😂😃
Happy to see Ay
Mkude ze Don I appreciate for what u done
Dah ilo colabo verse ya mwisho angekuepo mbunge wangu wa T Town Roma Mkatoliki ingekua kizazi sana na mistari yake konk ilionyooka kama rula😂🤣🤔
Fa respect to you browh
Kilimanjaro theme is great
Kali Sana, nimeiona Leo hii na nasubscribe Leo aisee
The best rappers and the best singer
kwa wanawake bado sana kwa Jd bado saaaana
Wananimalizia bando lang mamaee 😂😂😂😂
No body talked abt jide... ❤❤
Fireee ,wahuniii
Legendary moments
Aisee mumeuaa kinoma mwaaaahh💋
Mr ll mmesikia alichana na vijana wake nik fa kwa mbali namuona ay tulituwa tunawasikia radio one kipindi cha michano.
AY THE GREAT OF ALL TIME
Hatareee sanaa
What a performance?
Ohhh my God...amaizing
Nikii wa Pili 👌👌👌👌
Ingetumika nguvu kama hii kuutangaza utalii wa nchi yetu ingependeza zaidi kuliko kugharamikia filamu ambayo wengi wa 🇹🇿 wamekua wakiifikiria kinamna tofauti kabisa.
Hata alivofanya rais ni best...wacha tuwangalie....italeta faida
Mmmh ww nae
Kwan hiyo filam ni ya kongo sio ya tx🤣🤣
Kwan hiyo filam ni ya kongo sio ya tx🤣🤣
We unajua ni nchi ngapi zimeangalia hiyo filamu ya utalii na unajua ni watalii wangapi wameshakuja Tanzania mpaka Sasa epuka kulaumu usichokijua Fanya uchunguzi usikurupuke sisi Wana Arusha tunaona matunda ya hiyo filamu
Hapo ni ukweliukweli,wa Sasa ni uongouongo.KISW.Hii imeenda.
Hatari blessed artists,lovely
Show Tamu kinoma big up kwawaandaaji wahili tukio💪💪💪
Dah mwana falsafa FA 🙌💯💥
Jide ni shidaaaa huyu komamndo kweli
Noma 🔥🔥🔥
Hii masharp ni nomaaa🙌🏾🙌🏾
Lady jay dee Mama huyu ananyoosha
Big up mabrother big uppppppppppp
Jamaa walienjoy sana wakati ule na walijua sana kufanya muziki
Salute ff
Duuh fid q hakuna kweli 😂😂😂
Iconics😢😢😢
Much love
Juma Nature
MwanaFA ameua
Killer performance
Waaaooooooo so nice jaman
Mwana FA 🫡🫡🫡🫡🫡
Whaaaaaao my regend
I love hip hop full stop
Za,...ndaaaaaaani niyeye!!
Class is permanent.
Respect for all
Jeedy, happy yaani🔥🔥🔥🔥
Hao ndio wasani wanao wakilisha nchii sasa Kama mlikuwa hamjui mavazi uimbaji wao muonekano vyote hivyo vimebeba bendera ya Tanzania 🇹🇿 nakuonesha ualisia na tamaduni za watanzania hongereni sanaa