Utapenda Linah Sanga alivyo Mpandisha Mwana Fa Stejini Na Kupaform Yalaiti

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 03. 2023
  • #azamtv #azamsports #mwanafa #linah #Yaraiti #BMT #tff

Komentáře • 299

  • @siddytv_online
    @siddytv_online  Před 10 měsíci +32

    ENDELEENI KUISAPOTI CZcams CHANNEL YETU📌

  • @HeriethLeonard-dg2bx
    @HeriethLeonard-dg2bx Před 6 měsíci +265

    Ambao bado tunaitizama hii nwaka huu 2024 gonga like👍

  • @vennyblack3766
    @vennyblack3766 Před měsícem +25

    Kila nkija CZcams lazima ñifike hapa, nataman mtu a like tu Ili niludi Tena na tena

  • @mr.samfacts5975
    @mr.samfacts5975 Před 2 měsíci +27

    Ambao mnaangalia mda huu like hapa

  • @HanifaIssah
    @HanifaIssah Před 2 měsíci +17

    Hivi ni mimi tu mchozi unanitoka kwa furaha au na wengine 🥰jaman Mwana Falsafa apewe maua yake anajua huyu kaka Jaman alaf yuko very humble ❤❤❤

  • @goodluckuronu6759
    @goodluckuronu6759 Před 6 měsíci +53

    Nilichokipenda zaidi ni kitendo cha mheshimiwa kumpa lina zawadi alizopewa, big up sana mheshimiwa

  • @scholahmwelange1406
    @scholahmwelange1406 Před 5 měsíci +36

    Hivi ni mimi mwenyew nacheka cheka ka fala au tupo wengi 😂😂😂

    • @cathymama4010
      @cathymama4010 Před 10 dny

      Hata mimi dyaadyaa me nimecheka kwa furaha hadi machozi et😅😅

  • @joelmasano3157
    @joelmasano3157 Před 11 měsíci +40

    asee nmejikuta natabasam kuanzia mwanzo mpaka mwisho.... ni chemistry ni fire sana

  • @vennyblack3766
    @vennyblack3766 Před 2 měsíci +24

    Ntarudi 2025 mtu aki like comment yangu ❤

  • @winiemajengo1679
    @winiemajengo1679 Před 7 měsíci +31

    ❤Nano anaangalia na mimi leo hapa kabla ya kuaga mwaka hahahahaa my favourate song ever my brother napenda sana kazi yakoooooooooo....Happy new coming year everyone

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 7 měsíci +27

    Dah! Yaani Mwana- fa asingepanda stejini angemuangusha sana Linah, na ndio watu wajifunze hapa kuhusu maisha...!

  • @chingjr1741
    @chingjr1741 Před 7 měsíci +48

    Ivi ni mm pekeang naerudiarudia kuangalia...
    2/1/2024 apa still watching

  • @SALEHSALEH-lk5jr
    @SALEHSALEH-lk5jr Před 7 měsíci +13

    Profesa Jay,Mwana FA na NIKI WA PILI nawakubali sana

  • @ussihadji2248
    @ussihadji2248 Před 10 měsíci +12

    Really appreciate uchaguz huu wa Mh. Rais kwa naibu waziri pmj na waziri wa MICHEZO wanafanya kaz nzur sana kwa kwl ni watu wa watu 💜❤️

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga5792 Před 10 měsíci +24

    PURE TALENT...🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💛💚💛💚

  • @manasemlimbila9906
    @manasemlimbila9906 Před 9 měsíci +21

    Nimependa FA alipopotea Maokoto then akambarikia Linah 🎉❤

  • @user-jw7yu8tp3i
    @user-jw7yu8tp3i Před 7 měsíci +12

    Amemsitiri kwa kumpatia maokoto, what a gentleman!

  • @andrew0502
    @andrew0502 Před 11 měsíci +18

    Nimependa bureee, it was a good moment! Linah ft Mwana FA

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Před 8 měsíci +26

    You're my sunshine, my moonlight and everything I dream about, Linah let's go...

  • @user-hp2yh7fq9d
    @user-hp2yh7fq9d Před 2 měsíci +6

    Mwana FA be alive 100 yrs brother
    Like you from Louisville Kentucky USA 🇱🇷🇱🇷

  • @youngweezy3846
    @youngweezy3846 Před 8 měsíci +13

    Dah kuna wanamuziki alafu kuna wasanii 🙌🙌linah❤

  • @chrissameri465
    @chrissameri465 Před 6 měsíci +11

    NILICHOKIPENDA PESA KAMWACHIA LINNAH, GENTLENESS

  • @Willo_911
    @Willo_911 Před 11 měsíci +22

    This is on fire. Love from Papua New Guinea ❤️🇵🇬🎼🎶🕺💃

  • @kadengekitsao3885
    @kadengekitsao3885 Před 10 měsíci +21

    uzuri wa kujiandikia mistari ni huu hata uamshwe saangapi usiku, you just flow... Fa so humble ❤️,,,, sio kuandikiwa halafu ujidai

  • @aminaheri2590
    @aminaheri2590 Před 9 měsíci +15

    Nimependa apo mweshimiwa alivyochukua maiki.kizazi Sana god bless you wazuri unapenda ukitabasam .

  • @user-xs8qf4hl3n
    @user-xs8qf4hl3n Před 7 měsíci +8

    Nimeishiwa maneno.kikubwa zaidi upendo upo ❤

  • @user-dd9rh5ij9h
    @user-dd9rh5ij9h Před 5 měsíci +2

    From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup this song bado kwangu naipenda Sana

  • @alimasha7017
    @alimasha7017 Před 7 měsíci +7

    I like where you gave the money to Lina.. you've supported her.. love you❤

  • @evewangenye7774
    @evewangenye7774 Před 4 měsíci +1

    My favourite...natabasamu watching this. More love from Kenya 🇰🇪

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 7 měsíci +5

    Linah anaposema "Niliotea!" Ni kama kusema kwamba "nashukuru kukuheshimu na kuishi vizuri na wewe." Somo: tujitahidi kuishi na watu vizuri mana huijui kesho ya mtu!

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 Před 8 měsíci +12

    Ikiwa mungu itampendeza namuombea aje kua raisi

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Před 10 měsíci +52

    Alivyo kua kwnye kiti amekaa alikua ndio mbunge...alivyoshika Mike ata mwendo ulibadilika...ukawa mwendo wq wana F.A.

    • @florencejames-jo1cz
      @florencejames-jo1cz Před 7 měsíci +2

      Naibu waziri sio mbunge

    • @Zayrish92
      @Zayrish92 Před 6 měsíci +2

      ​@@florencejames-jo1czni mbunge pia wa muheza Tanga

    • @florencejames-jo1cz
      @florencejames-jo1cz Před 6 měsíci +2

      Inawezekanaje mtu mmoja kushika nyazifa mbili kwa wakati mmoja labda ilikua siku za nyuma

    • @halimarichard7323
      @halimarichard7323 Před 6 měsíci +3

      Inawezekana, huwez kua wazir mpk uwe mbunge.
      Mfano Ummy mwalimu ni wazir wa afya na ni mbunge wa Tanga.
      Mwana FA ni mbunge wa kwetu muheza

    • @halimarichard7323
      @halimarichard7323 Před 6 měsíci +1

      @ florencejames

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Před 5 měsíci +5

    I love this song.well seng

  • @nahashonkenomumia6431
    @nahashonkenomumia6431 Před 9 měsíci +3

    Aiseeeee.... Tamu hii. Mwana FA, Prof Jay, Chege, Ferouz nawazimia sigara siku zote.

  • @abubakarmohamed9845
    @abubakarmohamed9845 Před 10 měsíci +10

    Pure talent nakubali waziri❤❤

  • @fadhymtanga
    @fadhymtanga Před 8 dny

    Ni mwaka 2024 nimerudi kutazama tena. Kuna kiwango cha heshima alichoonesha Linah (heshima ya Kikinga hasa) na kuna kiwango cha utu alichoonesha Mwana FA. Mungu azidi kuwatunza.

  • @Ramadhani-k2j
    @Ramadhani-k2j Před 2 dny

    Apo brother Kaka kafikishwa Mtu na fani yake hongela dam yangu

  • @PhilipAndrew-et3nq
    @PhilipAndrew-et3nq Před 6 měsíci +5

    Nawaombea linah na fa ingieni studio mtoe Ngoma nyingine bado tunahitaji kitu kizur Toka kwenu love you fun

  • @jomedia-rx9zh
    @jomedia-rx9zh Před 3 měsíci +1

    Nice kila mara naangalia hii video mwana FA ana utu sana

  • @princesumary7356
    @princesumary7356 Před 7 měsíci +6

    Mweshimiwa naibuwaziri mwana FA kwaheshematu tafadhali achilia ngoma atamoja mshirikishe profesa tafadhali.

    • @katabaroonlinetv9688
      @katabaroonlinetv9688 Před 7 měsíci

      Sema wizara iko na mtu makini mshikaji anatakiwa kuwa waziri husika

  • @vennyblack3766
    @vennyblack3766 Před 4 měsíci +2

    Hako ka heshima kusema thank you bro na magoti kidogo jaman❤❤

  • @malombemunyithya9341
    @malombemunyithya9341 Před 7 měsíci +4

    Safi sana naibi waziri umeonyesha mapenzi Kwa dada ako linnah

  • @libeberu
    @libeberu Před 11 měsíci +12

    Great performance of the year

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Před 9 měsíci +6

    Hivinipo siku ntsjipsta namimi hafra zahivyo niwe napata frusa za kuhuzulia jamani 😢😢😢😢 ❤❤❤❤

  • @mariammdoe9437
    @mariammdoe9437 Před 6 měsíci +6

    Wangap wamependa waendelee kuimba

  • @dgt6303
    @dgt6303 Před 10 měsíci +12

    Mheshimiwa Mzuka ulikuwa ushapanda. Llikuwa suala la muda tu😂

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c Před 3 měsíci

    Safi mwana FA mheshimiwa nzur sana kuitazama hata mara mia rais kaona mbali ikimpendeza uwe boss wa hiyo wizara mungu akubariki sana

  • @pkabdallah856
    @pkabdallah856 Před 4 měsíci +1

    Waoooo! Mmenipa raha sana nilivyoangalia natabasamu mwanzo mwisho

  • @merykatondo9511
    @merykatondo9511 Před 7 měsíci +5

    Nmerudia mara kibao❤❤

  • @mayalakatema2576
    @mayalakatema2576 Před 5 měsíci +4

    29/02/2024 tujue apa aiseee

  • @tinamadega
    @tinamadega Před 7 měsíci +3

    MWANA FA ni likaka na nusu😘😘

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 7 měsíci +3

    Wajina wangu linnah sanga nakupenda 🎉

  • @halfanhaji2907
    @halfanhaji2907 Před 7 měsíci +5

    Mwana fa namkubali toka kitambo jamaa anajua na hana majigambo

  • @user-il8ir1uj3y
    @user-il8ir1uj3y Před 11 měsíci +6

    Mja asili Aachi asili yake Wazuri mzuka umepanda amekumbuka mbali sana

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤👍👍

  • @AllyMwita-ox2sx
    @AllyMwita-ox2sx Před rokem +37

    Nilichopenda mm sana sana mwana fa aluvyompa pesa linna ni kama amemsapot good naibu wazir wa Michezo na utamaduni

  • @khamisramadhan5133
    @khamisramadhan5133 Před 10 měsíci +5

    Linah sanga sauti natural bless

  • @josephhaule6045
    @josephhaule6045 Před 3 měsíci

    Hapa kuna cha kujifunza,sote tujifunze kujiheshimu na kuheshimiana,maana hakuna ajuae kesho❤...fa mwamba sana,linah,nidham sana.

  • @hayrunurdini9961
    @hayrunurdini9961 Před 2 měsíci +2

    Hii imeenda jamani bonge la performance kuwahi kulishuhdia
    Nimerudia km marakumi ila bado

  • @MahengeFredy
    @MahengeFredy Před 18 dny

    Emotional xn.....mheshimiwa asantee kw kujishusha

  • @heriethkusigwa7209
    @heriethkusigwa7209 Před 7 měsíci +3

    I real feel the vibe ❤️‍🔥

  • @SalvatoryMbigili-m2f
    @SalvatoryMbigili-m2f Před 17 dny

    Yalaiti nyimbo yangu bora ya muda wote

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Před 4 měsíci

    Congratulations keep it up good job ❤

  • @goodluckuronu6759
    @goodluckuronu6759 Před 6 měsíci

    Yaani maisha ya mtu yanapangwa na Mungu mwenyewe...usimdharau yeyote kwa hali yeyote ile, maisha yana fumbo kubwa sana

  • @NyamtigaIbrahim
    @NyamtigaIbrahim Před 18 dny +1

    Huyu Ndio Kiongozi Anaejitambua Hana Papara Na Vijisenti Kaona Amwachie Linah Safi Sana Hamis Mwijuma

  • @mgazaabeid5873
    @mgazaabeid5873 Před 7 měsíci +2

    Binamu nakukubali sana Tena sana kk. Hunaga kujisikia, kwa mtazamo wng, hata ukiwa rais utaperform ti!

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 Před 5 měsíci +1

    Daaaah this dude is talented

  • @user-me7dq3mt2t
    @user-me7dq3mt2t Před 7 měsíci +2

    Combination ilikua 🔥🔥🔥🔥🔥 san wamtish kinyam

  • @joycenose2356
    @joycenose2356 Před 20 dny

    Nimeipenda❤

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 11 měsíci +4

    I love it❤

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz Před 7 měsíci +2

    Nawakubali sana nihatar ogopaaaa

  • @DamianoFisoo
    @DamianoFisoo Před dnem

    So social 🎉🎉🎉🎉🎉 nimempenda Bure maana hana majigambo hata kidogo kiongozi wa kuigwa

  • @user-dd7ls4qg8s
    @user-dd7ls4qg8s Před 4 měsíci

    Mungu awape maisha malefu zaidi

  • @salimkenya3491
    @salimkenya3491 Před 7 měsíci +5

    Hii ndo bongo wachana siku hizi sijui wanaimba nini

  • @user-rc4mr1yq4z
    @user-rc4mr1yq4z Před měsícem

    Safi sana Mhe. Usiache asili Yako bhna.❤❤

  • @alponwilla
    @alponwilla Před 4 měsíci

    I can watch this 10000000 times, when music was music

  • @vennyblack3766
    @vennyblack3766 Před 3 měsíci +1

    Nimeludi Tena Leo 17 apr 2024

  • @aminatimbulo4207
    @aminatimbulo4207 Před 5 měsíci

    5:42 MAASHAALLAH 😍😍😍😍😍

  • @EdghaMoses-js8lj
    @EdghaMoses-js8lj Před 8 měsíci +2

    Nimependa sana... Mheshmiwa ulivonyamyuka

  • @konakitaatv
    @konakitaatv Před 6 měsíci +1

    huu wimbo umebeba historia na hisia za maisha ya watu kipindi hko, hizi ndo nyimbo sasa

  • @salvationachugbu981
    @salvationachugbu981 Před rokem +2

    Fa ❤

  • @mhinimlilo8213
    @mhinimlilo8213 Před 7 měsíci +2

    Umetisha Sana mwana fA

  • @barakatlemu6976
    @barakatlemu6976 Před 7 měsíci +4

    Sema kwa sauti ya Lina alivyomwomba jamaa daah hata Kama Mimi ningeenda

    • @BerthaKadaso
      @BerthaKadaso Před 7 měsíci

      😂😂😂😂😂

    • @nassoromussa2423
      @nassoromussa2423 Před 7 měsíci

      Kweli kabisa yaani upendo na unyenyekevu wa hali ya juu...Linah ylikuwa very emotional!

  • @icapaoffice1592
    @icapaoffice1592 Před 4 měsíci

    Nimefika nakukumbuka xn kwny game mheshimiwa mwana fa respect for u in hip hop forever

  • @abelmbilinyi7401
    @abelmbilinyi7401 Před 6 měsíci +2

    Mungu aukuze usanii wako ufike mbali kabisa Linah Sanga binamu!!!😂😂😂😂😂

  • @danielmbiso5162
    @danielmbiso5162 Před 5 měsíci +1

    Hiii n nomaa kabsaa ❤

  • @fuadaladawi1255
    @fuadaladawi1255 Před 6 dny

    Good matching nicemsong

  • @Muddysadik89
    @Muddysadik89 Před 2 měsíci +1

    Had leo 2024 tupo

  • @vailethmwakatoga1830
    @vailethmwakatoga1830 Před 25 dny +1

    I swear hii nyimbo lazma ipigwe kwe harusi au engagement😊😊

  • @user-ky2ch5rl7i
    @user-ky2ch5rl7i Před 6 měsíci +1

    Babu Tale nampendaga jaman...Ningtqman nionane nae tu nimwombe anisaidie kitu kimoja tuuu.

  • @user-oy1rn6yo5n
    @user-oy1rn6yo5n Před 7 měsíci +2

    Nakubali sana Mana Fa

  • @jumaaabdillahi4534
    @jumaaabdillahi4534 Před měsícem

    Uko vizuri Linah ft Mwana fa naupnda wimbo

  • @user-lf2ze2xr7s
    @user-lf2ze2xr7s Před 5 měsíci

    Hongera sana nyiewatu❤❤❤

  • @ShadyaIssa-gs2ej
    @ShadyaIssa-gs2ej Před 7 dny

    Nimejikuta natabasam zaidi 😊

  • @eusebiaurassa3417
    @eusebiaurassa3417 Před 4 měsíci

    Anayejua anajua tuu jmn ❤❤❤❤❤❤

  • @mlonjadavid273
    @mlonjadavid273 Před 5 měsíci +1

    Mwana FA hapo safi sana

  • @frankbundi7713
    @frankbundi7713 Před 7 měsíci

    Kenya 🇰🇪
    watching

  • @mohamedindalo2663
    @mohamedindalo2663 Před 6 měsíci +1

    Lina unasauti sna tena.uko vzr sna

  • @user-eh7uk9wf2f
    @user-eh7uk9wf2f Před 11 měsíci +2

    Good linah and mhe

  • @sumailadamo9600
    @sumailadamo9600 Před 3 měsíci

    2024 from mozambique