❤Nano anaangalia na mimi leo hapa kabla ya kuaga mwaka hahahahaa my favourate song ever my brother napenda sana kazi yakoooooooooo....Happy new coming year everyone
Linah anaposema "Niliotea!" Ni kama kusema kwamba "nashukuru kukuheshimu na kuishi vizuri na wewe." Somo: tujitahidi kuishi na watu vizuri mana huijui kesho ya mtu!
Ni mwaka 2024 nimerudi kutazama tena. Kuna kiwango cha heshima alichoonesha Linah (heshima ya Kikinga hasa) na kuna kiwango cha utu alichoonesha Mwana FA. Mungu azidi kuwatunza.
ENDELEENI KUISAPOTI CZcams CHANNEL YETU📌
Vzr
Ambao bado tunaitizama hii nwaka huu 2024 gonga like👍
Tupo
Hata Mimi Bado naitizama
🎉
🎉
Namesake 😂 we are together
Kila nkija CZcams lazima ñifike hapa, nataman mtu a like tu Ili niludi Tena na tena
Ambao mnaangalia mda huu like hapa
Hivi ni mimi tu mchozi unanitoka kwa furaha au na wengine 🥰jaman Mwana Falsafa apewe maua yake anajua huyu kaka Jaman alaf yuko very humble ❤❤❤
Ametisha
Hata me machozi yamenitoka aisee😂
So ww tuh ata mm .Machoz yanenitoka
Nilichokipenda zaidi ni kitendo cha mheshimiwa kumpa lina zawadi alizopewa, big up sana mheshimiwa
Hivi ni mimi mwenyew nacheka cheka ka fala au tupo wengi 😂😂😂
Hata mimi dyaadyaa me nimecheka kwa furaha hadi machozi et😅😅
asee nmejikuta natabasam kuanzia mwanzo mpaka mwisho.... ni chemistry ni fire sana
Mm mpaka 😭😭
Ntarudi 2025 mtu aki like comment yangu ❤
😂😂
MIMI NTARUDI 2050
Mimi 😂😂😂201000
❤Nano anaangalia na mimi leo hapa kabla ya kuaga mwaka hahahahaa my favourate song ever my brother napenda sana kazi yakoooooooooo....Happy new coming year everyone
Dah! Yaani Mwana- fa asingepanda stejini angemuangusha sana Linah, na ndio watu wajifunze hapa kuhusu maisha...!
Yan linah alivyoomba jamaa aje stejin
Ivi ni mm pekeang naerudiarudia kuangalia...
2/1/2024 apa still watching
Sio pekeako bro😊
Hiii ikopw sana
Aisee hata mie bado naipenda hii ngoma love mtt wa kitanga ❤❤❤
Tupo wengi😅
Niko hapa pia
Profesa Jay,Mwana FA na NIKI WA PILI nawakubali sana
Really appreciate uchaguz huu wa Mh. Rais kwa naibu waziri pmj na waziri wa MICHEZO wanafanya kaz nzur sana kwa kwl ni watu wa watu 💜❤️
PURE TALENT...🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💛💚💛💚
Nimependa FA alipopotea Maokoto then akambarikia Linah 🎉❤
Amemsitiri kwa kumpatia maokoto, what a gentleman!
Nimependa bureee, it was a good moment! Linah ft Mwana FA
You're my sunshine, my moonlight and everything I dream about, Linah let's go...
Kwa wanaojua muziki mzuri
Mwana FA be alive 100 yrs brother
Like you from Louisville Kentucky USA 🇱🇷🇱🇷
Dah kuna wanamuziki alafu kuna wasanii 🙌🙌linah❤
NILICHOKIPENDA PESA KAMWACHIA LINNAH, GENTLENESS
This is on fire. Love from Papua New Guinea ❤️🇵🇬🎼🎶🕺💃
uzuri wa kujiandikia mistari ni huu hata uamshwe saangapi usiku, you just flow... Fa so humble ❤️,,,, sio kuandikiwa halafu ujidai
Nimependa apo mweshimiwa alivyochukua maiki.kizazi Sana god bless you wazuri unapenda ukitabasam .
Sana yani
Nimeishiwa maneno.kikubwa zaidi upendo upo ❤
From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup this song bado kwangu naipenda Sana
I like where you gave the money to Lina.. you've supported her.. love you❤
My favourite...natabasamu watching this. More love from Kenya 🇰🇪
Linah anaposema "Niliotea!" Ni kama kusema kwamba "nashukuru kukuheshimu na kuishi vizuri na wewe." Somo: tujitahidi kuishi na watu vizuri mana huijui kesho ya mtu!
Ikiwa mungu itampendeza namuombea aje kua raisi
Alivyo kua kwnye kiti amekaa alikua ndio mbunge...alivyoshika Mike ata mwendo ulibadilika...ukawa mwendo wq wana F.A.
Naibu waziri sio mbunge
@@florencejames-jo1czni mbunge pia wa muheza Tanga
Inawezekanaje mtu mmoja kushika nyazifa mbili kwa wakati mmoja labda ilikua siku za nyuma
Inawezekana, huwez kua wazir mpk uwe mbunge.
Mfano Ummy mwalimu ni wazir wa afya na ni mbunge wa Tanga.
Mwana FA ni mbunge wa kwetu muheza
@ florencejames
I love this song.well seng
Aiseeeee.... Tamu hii. Mwana FA, Prof Jay, Chege, Ferouz nawazimia sigara siku zote.
Pure talent nakubali waziri❤❤
Kwa hiyo play back ?
Angeimba live
Ni mwaka 2024 nimerudi kutazama tena. Kuna kiwango cha heshima alichoonesha Linah (heshima ya Kikinga hasa) na kuna kiwango cha utu alichoonesha Mwana FA. Mungu azidi kuwatunza.
Apo brother Kaka kafikishwa Mtu na fani yake hongela dam yangu
Nawaombea linah na fa ingieni studio mtoe Ngoma nyingine bado tunahitaji kitu kizur Toka kwenu love you fun
They can
Nice kila mara naangalia hii video mwana FA ana utu sana
Mweshimiwa naibuwaziri mwana FA kwaheshematu tafadhali achilia ngoma atamoja mshirikishe profesa tafadhali.
Sema wizara iko na mtu makini mshikaji anatakiwa kuwa waziri husika
Hako ka heshima kusema thank you bro na magoti kidogo jaman❤❤
Hadi rahaaaa❤❤❤
Safi sana naibi waziri umeonyesha mapenzi Kwa dada ako linnah
Great performance of the year
Hivinipo siku ntsjipsta namimi hafra zahivyo niwe napata frusa za kuhuzulia jamani 😢😢😢😢 ❤❤❤❤
Mungu nimwema ipo siku amini ata mbuyu ulianza kama mchicha,ipo siku tu utafanikiwa 6:38
@@MagdalenaHoja-jh9qg 🙏🙏🙏
Ooow
Wangap wamependa waendelee kuimba
Mheshimiwa Mzuka ulikuwa ushapanda. Llikuwa suala la muda tu😂
Yaan wew
Safi mwana FA mheshimiwa nzur sana kuitazama hata mara mia rais kaona mbali ikimpendeza uwe boss wa hiyo wizara mungu akubariki sana
Waoooo! Mmenipa raha sana nilivyoangalia natabasamu mwanzo mwisho
Nmerudia mara kibao❤❤
29/02/2024 tujue apa aiseee
MWANA FA ni likaka na nusu😘😘
Wajina wangu linnah sanga nakupenda 🎉
Mwana fa namkubali toka kitambo jamaa anajua na hana majigambo
Mja asili Aachi asili yake Wazuri mzuka umepanda amekumbuka mbali sana
❤❤❤❤👍👍
Nilichopenda mm sana sana mwana fa aluvyompa pesa linna ni kama amemsapot good naibu wazir wa Michezo na utamaduni
Sure
Hakika inapendeza sana kwa muheshimiwa kufanya vilee❤❤
Linah sanga sauti natural bless
Ila hiyo ni Play back hiyo
Hapa kuna cha kujifunza,sote tujifunze kujiheshimu na kuheshimiana,maana hakuna ajuae kesho❤...fa mwamba sana,linah,nidham sana.
Hii imeenda jamani bonge la performance kuwahi kulishuhdia
Nimerudia km marakumi ila bado
Emotional xn.....mheshimiwa asantee kw kujishusha
I real feel the vibe ❤️🔥
Yalaiti nyimbo yangu bora ya muda wote
Congratulations keep it up good job ❤
Yaani maisha ya mtu yanapangwa na Mungu mwenyewe...usimdharau yeyote kwa hali yeyote ile, maisha yana fumbo kubwa sana
Huyu Ndio Kiongozi Anaejitambua Hana Papara Na Vijisenti Kaona Amwachie Linah Safi Sana Hamis Mwijuma
Binamu nakukubali sana Tena sana kk. Hunaga kujisikia, kwa mtazamo wng, hata ukiwa rais utaperform ti!
Daaaah this dude is talented
Combination ilikua 🔥🔥🔥🔥🔥 san wamtish kinyam
Nimeipenda❤
I love it❤
Nawakubali sana nihatar ogopaaaa
So social 🎉🎉🎉🎉🎉 nimempenda Bure maana hana majigambo hata kidogo kiongozi wa kuigwa
Mungu awape maisha malefu zaidi
Hii ndo bongo wachana siku hizi sijui wanaimba nini
Safi sana Mhe. Usiache asili Yako bhna.❤❤
I can watch this 10000000 times, when music was music
Nimeludi Tena Leo 17 apr 2024
5:42 MAASHAALLAH 😍😍😍😍😍
Nimependa sana... Mheshmiwa ulivonyamyuka
huu wimbo umebeba historia na hisia za maisha ya watu kipindi hko, hizi ndo nyimbo sasa
Fa ❤
Umetisha Sana mwana fA
Sema kwa sauti ya Lina alivyomwomba jamaa daah hata Kama Mimi ningeenda
😂😂😂😂😂
Kweli kabisa yaani upendo na unyenyekevu wa hali ya juu...Linah ylikuwa very emotional!
Nimefika nakukumbuka xn kwny game mheshimiwa mwana fa respect for u in hip hop forever
Mungu aukuze usanii wako ufike mbali kabisa Linah Sanga binamu!!!😂😂😂😂😂
Hiii n nomaa kabsaa ❤
Good matching nicemsong
Had leo 2024 tupo
I swear hii nyimbo lazma ipigwe kwe harusi au engagement😊😊
😊😊
Babu Tale nampendaga jaman...Ningtqman nionane nae tu nimwombe anisaidie kitu kimoja tuuu.
Nakubali sana Mana Fa
Uko vizuri Linah ft Mwana fa naupnda wimbo
Hongera sana nyiewatu❤❤❤
Nimejikuta natabasam zaidi 😊
Anayejua anajua tuu jmn ❤❤❤❤❤❤
Mwana FA hapo safi sana
Kenya 🇰🇪
watching
Lina unasauti sna tena.uko vzr sna
Good linah and mhe
2024 from mozambique