MwanaFA - GWIJI ft Maua Sama & Nyoshi El Saadat (Official Video)
Vložit
- čas přidán 16. 06. 2020
- #MwanaFA #Gwiji #NyoshiElSaadat #MauaSama #SlideDigital
(c) Slide Digital
MWANA FA SONGS ARE AVAILABLE WORLDWIDE ON ALL DIGITAL PLATFORMS
ffm.bio/ao7drgr
Follow Mwana FA on;
/ mwanafa
search/top/?...
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Hudba
dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo... wapi likes za Mwana falsafaa🔥🔥🔥🔥
Mhhhhhh mobutuuuuuuu!!!!!!
Mbwa mpumbavu ndo anaweza bwekea ndege 😆😆😆❣️❣️❣️Sema mm nampenda huyu kaka jaman .Dear lord bless him for me please 🙏🏻🙏🏻
Safi dua yako fa anajua
Njooo kwangu kijana
Mm na ww mpacha
Alie kujua kuwa nyosh el saadat kuwa kaimba sehem ndogo lakn kaua balaaa bas mlike hap
Falsafa: kama ulishawahi kusukuma mlango uliyoandikwa VUTA gonga like hapa
Kwa tuliokataliwa kazi tu🤣🤣🤣🤣🌍
Na inafunguka
Yes,yes,yes, Jamani mimi nataka like 100 tu #FalsafaJr8
Unataka uzipeleke wapi wewe me nataka nikupe izo likes 100
@@hallmenaboud3192 said. Finally,.,
We za nini?
@@mohamedmatalaulaya9081 na mimi nataka niachie ngoma yangu
@@hallmenaboud3192 🤣🤣🤣
Bana congo 🇨🇩 piga like hapa twende mpaka nyumbani DRC
MOTEMA NA NGAI
Omeki okangami
Motema na ngai
"naota ndoto hazina rangi naamka nazipaka".....unbelivable..ujumbe mzito kwa wanaofikiria vizuri
Mtu kwao mwenye wivu ajinyonge tanga kwanza na ubunge tutakupa binam wetu tanga hoyeeeee√
2024 twnde sawa 😂
The only rapper who spits reality or rather punchlines like this guy in Tanzania is Rostam bro Yani huyu jamaa rapper kibabe🙌much love from +254 KENYA 🇰🇪 Mwana FA +254 tupite na likes♥️🤜
Listen to Prof Jay
@@emmanuelbetuel8024 Btw also him🙌🤜
Very different people, Roma cant rhyme with FA ,likewise Mwana FA cant flow with Roma mkatoliki, professor J outdated
Real bars ....
@@Moses-Kuria Nuuuuh Proff still be fire.....
Shida hazikwepiki zipo kukupima hustle🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Dunia haitasimama ukigoma kutembea nayo!!..
Kukupima muscle( misuli)
Akili yako mwanaFA inafaa kuongoza baadhi ya ofisi kubwa z kiserikari ebu vaa akili ya kanye west yakutaka one day awe prezidaaa ukishidwa basi usikose ubunge. (Ngma iko hot)
Mawaz yako yalikuwa ya mbali comment yk imetendewa haki
King unaona future Sana naomba namba yako
❤❤❤ huwa naiangalia kila siku hili goma nafurahi kuona champion wangu Tz one respect nyingi kwake pale anapolipiga punching+beg langu mlirisha sana apo mikocheni nikaja kucheki kumuona champion wangu Tz one nikaona kweli na mm ninaheshimika kwani nililitengemeza kwa akili nyingi sana adi grave padi daaah nawakubali sana watu wangu wa nguvu FA na brother Mwakinyo tuendelee kulike na kucomment hili goma la taifa
Piga like kwa Fa Wake Huyooooh! 💥💥💥💥
Kali san mwana
You killed it papi. All the way from 🇰🇪.. Weka likes hapo chini mwanaFA fans 🙌🏾🙌🏾💯
T
Ngoma kalii saan Mungu wetu halali
Kama na ww unakubali like hapa
"Kifo kiniue au maumivu yanikomaze" well said💃🏽
Katisha
"Mbwa mpumbavu ndo anayeweza kumbwekea ndege".... Keeping the good music alive🔥🔥🔥🔥.. GWIJI kama GWIJI
Ney wa Mitego hii inamuhusu, Mungu yupo! Safi sana F.A
Mungu mwenyewe ndo anataka....uko makin bro ..i appreciate ur work
Uyu ndio hamisi mwijuma ninae mjua ktk maisha yangu yamakuzi mpk leo 😍 atabaki kuwa mkali wa madude aya acha kabisa
Sijui niombe like ama nicoment!!.... Aaaaah acha tu nicoment.. This a hit bro kuanzia legend mpaka Chorus imetisha hii ngoma... yani ni💥💥💥💥💥
Huu sio mziki wa mafala . Mad love from 🇰🇪
Am proud to see ma two Tanga brothers hip hop legend and Boxing legend
FA and mwakwinyo👊🤛🤜
Mwana Fa Waz Inspired Me.. Most Of The Words He Speaks Always Got A Milions Of Meaning.. "Mbwa Mpumbavu Ndo Anaweza Mbwekea Ndege"
"Tusha sukuma sana milango iliyo andikwa VUTA, niamini na inafunguka....."
Hii ndio ile inaitwa third doors....niamini inafunguka
Hii ndio ile inaitwa "third doors"....niamini inafunguka
F. A UWAAAAA XANA ALAFU pendezesha kwa kumuweka champion Mwakinyo saluti zote kusapotiana ndo mizuka boy endeleza arakati kk
Mbeya city tujuane hapa
Huyu ndo Mwana Falsafa bana, Respect Sana.
Chumaaaaaa Atuachi kumuombaa gonga like apa kama umeiyelewa Gwiji twende sawa Ila mauwa umekuwa uwa la Jangwani uku umetisha uku Rose 🌹 wa jangwani
We mkali na utabaki kuwa mkali Big up brother.
jaman naomba ninaomba nikutanenae
Bonge la mdundo hujawah niangusha fa 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Eti?!.. mapanchi mengi yata-touch-i Kizima mdundo? Aaaahhh!… hii nzuri zaidi
Legend pekee aliyefanikiwa kuweka wimbo trending tena ni hiphop ile enyewe daaaadek🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubal.
Mungu wetu Halali,wala haendi rikizo, hatuchoki kumuomba,kudadeki Kamjibu Nay Wamitego “Mungu yupo wapi?
Hii nyimbo y ney inaonkan me ty ndo sjatak kuianglia HD leo
Shida hazikwepeki ziko kukupima muscle 🔥🔥🔥 Legendary💯falsafa
Huu c mziki wa mafala ni mziki wa mataita hatari kaka umekuwa 2020 from Jan to june this is the best song of half year good luck keep good music alive
Mwwnafalsafa bro sina chakusema kwenye hii ngoma ila hapo ndipo tunapopataka pure talent hakuna kichujo hapo oyoooo waiteeeeeee!!!
Ngoma kali bro nipe like kama unamkubali mwana fa🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Huyu ni kichwaaaa haswaaaa
Brother together Huu sio music wa mafalaaaaa
Anatisha sana
Mwana FA he’s sound like the best rapper ever for me BIG Appreciation 👊this song is 🔥🔥🔥🔥🔥
czcams.com/video/DV-7vO9mEro/video.html
Naomba tufikishe 1m views in 2days. Keeping the good music alive
ni majembe tu ..mbwa mpubavu ndiye anayebwekea ndege wajanja wanarada from 254
"Naota ndoto hazina rangi naamka nazipaka, watoto wa uswahi hwezi kutwekea mipaka..."
"Mungu ndo alotaka Jongoo kawa Nyoka... tushasukuma sana milango iloandikwa vuta niamini na ikafunguka..."
uliona hatujasikiliza au>>>? acha binamu afanye yake....
😂😂
Mwana FA Gwiji wa Magwiji
❤from Zambia
@@brainbuzzsystemtech.9408😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn
Nimesha sukuma milango iliyo andikwaa vuta niamini na inafunguka..💯 kifo kiniuwe au maumivu yani komaze Ila upumbavu usini pumabze🏋️🤾💯 Shida hazi kwepeki
Like kwa mwana fa bonge la wimbo
❤assistant minister of music,arts,sports and culture Mwana FA
mwana FA vs mwakinyo na punch kaliii...
Falsafa The onE
Gonga Like twende sawa
Hili goma ni dawa ya corona.... Mwakinyo ni shida 🔥🔥🔥🔥🔥
Hakuwahi kukosea tangu namfahamu mwana falsafa king of score in game of music umengeneza njia katika milango migumu mpk sasahivi music wa bongo umepaa anga lingine 🔥🔥🔥🙏🙏🙏👑👑👑
Safi broo wa nyumbani mwambie Huyo anaejifanya hajui kama kweli mungu yupo!!!!
Mbwa mpumbavu ndo anayeweza kumbwekea ndege".... Keeping the good music alive #FALSAFAAAAAAA
"tushasukuma sana milango iliyoandikwa vuta, na inafunguka"
Falsafa zilizotumika umu ni za level zote ....juu, kati na chini....
Duh !!! Acha tuoneshane makali! Wataelewa tu 🔥 🔥 🔥
Real Classic bongo flava🇰🇪🇯🇵
Kali 🔥💥💥 “Wewe ni gwiji wa ma Gwiji 😍😍”
Jamani huwa nawakubali sana hawa watu wawili namkubali sana brother KHAMIS MWINJUMA,, THEN na MAUA pia namkubali sana daaahhh
Shikamoo fa binamu mwanafarsafa umenigusasana nilimic sana ivi ndovituvyangu uwanafipata toka kwako I like this song
Mm ni nan nigome kukupatia heko Mr Shaban Robert wa generation yetu!!!! Tisha sana
This is what we need . PURE TALENT AND MEANINGFUL LYRICS FROM A PURE ARTIST ✊🏾
czcams.com/video/Ruy5KQCmEAM/video.html ya kwako hii..💫🎉
czcams.com/video/DV-7vO9mEro/video.html
You never get old master
@@biasharanamafanikiotv.8561 Baddest
💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣💣
Maua vocals on point...FA always run Dsm...Ingawa wanachukia ila ndio walivyo binadamu.
Mwakinyo na wew umeua sana humo ndani 👊👊👊
Mwana Fa ujawai feli mwana kwa hizi mambo!
Watoto wamechezea Bongo fleva acha legend FA awahongoze tu
Tulishasukuma sana milango iliyoandikwa Vuta.....hit song full message
To me Mwana FA is the Best is best kwa sasa kwenye uandishi
Daah 🔥🔥🎶 Song Mazee Gong like kama 2unakubalian n hili
*Huyu ndo MWANA FALSAFA aiseee anajua mpaka homa*
🔥🔥🔥🔥
Haha
czcams.com/video/DV-7vO9mEro/video.html
Binamu haya we endeleea 2 gwiji ngoja tuwaiteee 👊🙏niko proud kukushuhudia ukiwa bado hai
Huyo ndio mwana farsafa .
Au mwana f A ... Noma sana mzee ngoma kali
Mwanafunzi wa shaban robert ....saaaafi saaana
_chama la wanatupia like kwanza ndio tuwende sawa_
Mwana FA the legendary himself
Daaaah mwamba mwamba tuuu upo mwamba usie kua na kiki na kazi zinatembea kama kasi ya risasi mwana F.A ujawagi kosea mkuu
Creativity 100%
Bounding 100%
Screen play 100%
🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama muv vile nimepnda sijui bongo muv wanafeli wap
Ngoma Kalii Video kalii na Story pia Nzurii🔥🔥🔥 Maua Sama anauwaga sana kweny Viitikio ndo maan anashikirishwa sana tofauti na wasanii wengine wakike
Lyrics that make you pause, open your notebook then restart the song. Pure greatness
Bonge la ngomaaaaa ,daaaah waliopush milango iliyoandikwa vuta pigeni kelee
Shaban Robert WA leo, ingekuwa na walau ten minutes 💪💪
Yaan imeisha haraka..
Bala jingine kutoka kwa legend Jems Bond Bless up my Brother
Mbwa pumbavu ndo anaeza bwekea ndege. Gwiji FA, much love from Nairobi pipelines.
Naota ndoto zina rangi naamka nazipaka.. Falsafaaa Binam choir master World to the map..
Wa TANGA tujuane hapa kwa like
acha ukabila😂😂😂😂😂😂😂
Acha ubinafc broo
@@wazirikipanga325 ubanafsi uko wapi hapo mbona mkisifia wakigoma hatu panick
MAJANI MAPANA
Sija manisha vibaya ila mkataa kwao MTU mwaaaaah
haya haya wale ndugu zangu wa muheza like zenu hapa
🔥✊
Dah aise uyu jamaa nimkari saana bigap mwana alakati mwezangu eshima kwako broo
Mwana FA AKA King FA , Maua, Mwakinyo make me proud to be a Tanzanian
Gonga like kwa fa twende sawa👋👋
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥mamaeee huyu mzee fundiiiiii
Kumbe Kuna vingi vya kuimba mbali na nyimbo za uwanja wa fisi,,,,,,,dude nazid kulirudia daily
The heavy weight MC, le Gwijiii... Smash hit song.
Nilivyo Kua naitegemea sondogisi ilivyokuja!!! Respect bro
Km unaachana na dunia wew ndo uandike taraka
Sondogisi..hahaha
This is real hip hop 🔥🔥🔥
Tushasukuma sana Milango iloandikwa VUTA Falsafaaaaaa
Mwenyezi Mungu azidi sana Kukulinda bwana ili udumu sana kwenye Gemu,,make mziki huu siyo wa mafara,,na hautetemi kama jeneleita.
Nahisi huu ni wimbo wako mfupi kabisa kuliko zote...ila umetisha sanaaaa🔥🔥
Mwana FA has never disappoint me with his music ...love you bro from Kenya
Mungu wetu alali wala haendi likizo!
From Kenya na mapenzi tele.. Mungu halali
Kwa ufupi tu huyu boy hajawahi kukosea big up kwake❤❤
Ngoma kali more hits songs, i'm here after seeing post from alikiba on instagram
Me too
Maua umeuaaa 🔥🔥🔥
FA he knows what the people need
czcams.com/video/Ruy5KQCmEAM/video.html ya kwako hii..💫🎉
czcams.com/video/DV-7vO9mEro/video.html
That song is for the lions who don’t cry during problems but fight to win..I play it everyday even now am from playing it coming from work…it’s my motivation song…all thanks to the king 👑 fa
Naota ndoto hazina rangi namka nazipaka,jongoo kawa nyoka ... Hatari sana