Huyu jamaa namkubali kinoma noma na ipo siku ataimba kwaya na roho mtakatifu atashuka ndani yawatu ,,,maana dah,,, anaimba adi unywele unasisimkaaaaaaaa king kibaa
Marioo kafanya Bora kabisa. Ali kiba we ni Moto wa kuotea mbali HUa mi Shabiki wa Diamond Platnumz ila apo umefanya Po sana. Tangu leo Mi shabiki Yako King Kiba. you did welll on this live band Karaokee
Anapo jiita king tambueni uwa anamanisha aya angalieni apo vizuri na sikilizeni sauti iyo yani bongo akuna kama king ww nakama mnabisha busu pua yako👃👃👃👃👃
No one artist Africa than you brother King kiba who can sing live performance, also your only one King of bongoflavor but continue hard work and make sure that in this year 2023 must be you prepared many projects those come to be hits songs.
Serikali inasubri nn kumjengea sanamu popote pale ama mpka afe ndio waanze alikuwa sijui nini nini bas watupe kibali sisi mashabiki zake tumjengee hata pale Airport ili wageni wakija Bongo wajue tunamsanii mmoja tu Tz waliobak wote ni wanamuziki Daah king kiba for life
UNYAMA SANAAAA MWANDALIENI SHOW ALLY NA RUBY WAIMBE LIVE ITAKUWA UNYAMA SANA
Kiba ee mi nakukubali blaza sana kwa mangoma yako magum nayaelewa mno
Hatari sana kama itatokea utakuwa corabo ya karne
Bravo point hio
Huyu jamaa namkubali kinoma noma na ipo siku ataimba kwaya na roho mtakatifu atashuka ndani yawatu ,,,maana dah,,, anaimba adi unywele unasisimkaaaaaaaa king kibaa
🤔🤔
Kwenye kwaya sasa😂😂
Hapo kwenye kwaya sasa
As you Prophecy it will come to pass in Jesus name
@@joyousjackson8352sahihi kabisaaa ....Ameeen
Huyu jamaa musikubari kuimba nae Live" anaua sana huyu bila beat ni killer ❤️
Kabsa anakupoteza
Asante kaka kiba nampenda jaman
That's king
😃😃😃😃😃Jamaa ni mnoma sana
King 👑 kiba
Mwenyezi mungu akuongoze daima auna mpinzani uko peke yko 👑💖💖💖
😂😂😂
Unaota
Amuongoze wapi sasa kwenye ushetani dua zengine sizo muombeeni ahidike
Napenda watu wanamkumbatia yuko kawaida bila bodyguard kufukuza watu adi rah ❤show 👌🎉❤❤
Natural voice kaka mkubwa wewe ni zaidi ya mfalme 👑👑 I appreciate you much #King Kiba
Marioo kafanya Bora kabisa. Ali kiba we ni Moto wa kuotea mbali HUa mi Shabiki wa Diamond Platnumz ila apo umefanya Po sana. Tangu leo Mi shabiki Yako King Kiba. you did welll on this live band Karaokee
Mbona kazidiwa na rayvanny. Kapoa sana
@@Agpthegreatcompany hujui mziki ww
Huna lolote
@@Agpthegreatcompany kazidiwa nini labda
@@Agpthegreatcompany tuoka zako wewe chizi ravyann ni mtt sn kwa kiba hawezi kuimba live kama kiba
Sijawahi jutia kuwa fan wako king
King Kiba ,king of bongofleva hakuna km ww bongo,best live performance ♥
Nimeirudia Zaid ya Mara 3 km nawewe pia gonga like hapa
Uyu mbwa Ali ana kipaji kuliko msanii yeyote bongo ila 🔥🔥🔥🙌🙌😂😂👑👑
King kauua saàna.....I love the tune....utu is a all time hit song.
Namkubari sana Brother Kiba kwa kazi zake so Allah akufanyie upessi katika harakati zako🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Allah usimtaje ktk maswala y mziki kaka km ni muislam omba toba maana Allah hataki mambo ya sheitwani
@@rashidsaid1153 kwani makosa ya wapi kaka na ndo harakati zake zakutafuta rizki angekua mwizi pia mngesema binadamu sie kwakusema tu tumebarikiwa
@@mishibeibz8239 hata uwizi pia haukubaliwi we unapata rizk unaimba au mwizi
Ingekua ni wasanii wengine hapo hawapandi bila bodigadi,aruhusiwi mtu kusogea ila kibaa ni King 🤴 wa bongoflava
Aise ALI yuko vizur kwa yote be blessed natamani oneday nifanye wimbo naye wa kumtukuza mungu kbc
Only one King jamaaa anajua sana hadi anaboa kwanini lakini jamani King 🤴 hapana usifanye hiyoo King 🤴
Jamani Ali ni king ku compare na alivyo imba Diamond live ninam support kiba for life big up king
Diamond ni malaika anayeishi mawinguni akishiriki kuwaimbia binadamu na majini.Acha kabisa Chibu kiwango kingine
Kwa kweli nimeshangazwa na "sound quality". This is marvellous! It is like Michael Jackson or Rihanna is performing! Kudos for organisers!
Huyuu jamaa n hatari Sana'a no one like him n yeyeeee pekee
Unajua mpaka unakera
Sound iko poa kweli ,show nyingine msanii humsikii kabisa Kama anaimba live.
King your the best everyday my brother
King your the best everyday my brother
🔥🔥ani sauti ya kwenye wimbo na live ni ile ile 🙌
Da! Kiukweli ulio wazi Kiba ss ivi yupo kinyamwezi sana hana tofauti na wanamuziki wa mbele
I'll forever adore huyu msanii Ali.
Huyu kiba uyu ni noma sanaa yani kitendo cha kwenda kwa rais mstafu bila camera ni heshm sana wangekua wengn sasaaa mmh
He~is~ablendazone~in~case~0f~musician~
❤❤❤❤respect~king~kiba
Kiba number one✌✌
Hii ndiyo Miziki ya kusikiliza 😍
Love how we Tanzanians supporting our own. Hongera sana Marioo. ❤❤❤
Uhakika unyama kama wote inatakia muwe muwe mnashilikiana kimuzik hivo hivo chuki hatutaki øg mario kingi kiba nawakubali sana
We love you so much💙💙💙💙 king 👑 kiba n mmja to tunamtambua kma kiba❤️❤️❤️❤️ much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Only one king in Africa 🙌🙌🙌
Ma chanson préférée depuis Paris 🇨🇵❤️
King wa izo kazi mkome kumuwekea mi live band atawaua
King 👑km king👑 na kubali Sana kazi Yako 🙌 Ishi miaka 💯 yenye Amani na Upendo 🙏
What a lovely sound #the only one king 🤴 ❤ 💖🥰 ☄🔥🔥
Uyo ndo king kiba
Uyo ndio kiba big up sana king kiba
Am seeing Tanzania keep growing in music much love from zambia
King musique vraiment tu sais baucoup chanté tu es toujours numéro 1❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Depuis paris on se fatigue pas d écouter tes chanson le roi de la musique Tanzani
Kiba my always best singer in east Africa
Boom 💥 💥 💥 he is G.O.A.T of bongofleva......🙌🙌🙌 KING 🤴 KIBA
Marvelous King kiba❤️
Mutu m,badi sana....you are the best...love from Malawi
Kiba na daimond popote mlipo mm nipo nawapenda sana Mungu azidi kuwaweka
Namimi nakupenda wewe
You're king of bongo flavor king kiba big up broo
Huyu Mhehe anajua sana god bless you
Mimi nasemaga siku zote mtu anaejua kuimba ambie live , , kingi kiba ni msaniii sasa huwez kumfanananisha na diamond
King Kiba anajua anajua anajua tena sauti mie hoiiiii aiseee
Anapo jiita king tambueni uwa anamanisha aya angalieni apo vizuri na sikilizeni sauti iyo yani bongo akuna kama king ww nakama mnabisha busu pua yako👃👃👃👃👃
Naturally sound alikiba the king of music may god bless you Ali salute you 🎉🎉
p.a system na band ziko another level 💥💥
👑 kiba ni mnyama bongo nzima
10000000 % unajua mmekutana wenyemzikiwenu nimependa sanaaa kibaaa king wakuache
Mwenye kujifanya anajua kuimba live band aje ashindane na huyu mwamba😂😂😂😂🙌🏾
King kiba ur amazing bro.mkali wao nakukubali 1oo%
Hapa ndipo tofauti ya msanii na mwanamziki inapoonekana king kiba ni mwanamuziki hakika ni tunu kwa taifa ameamua kuishi maisha take pekee
King kiba is the best 👌
The songgggg.. 🔥🔥🔥🔥
KING 👑 KIBA 🔥🔥😍😍😀😀
I'm enjoy your song & voice loudly big up my broo kingkiba
Karibu tena, na roho yako mkononi ku sapoti mdogo wako❤️❤️
King biking 2 ndiomaana umeimba R kely yusundo faly
Napenda sana King Kiba...ni nko Kenya Mombasa
wanaongoja #King aende retire watangoja sana. This guy is from another world
Acha uhuni hhhh
No one artist Africa than you brother King kiba who can sing live performance, also your only one King of bongoflavor but continue hard work and make sure that in this year 2023 must be you prepared many projects those come to be hits songs.
Very few people can do a live music this is what diffarenciet real talent
King umeua kinyama bana 🔥
The voice😊❤️❤️❤️❤️❤️❤️
King himself the greatest of all time
East to west your the best your the past future and present king kerp it up🙏🙏🙏🙏wewe ni munimaaa
Nime ijoy utadhani nilikuwepo jaman Ani raha ivi
Noma sana King kiba
na mkubali huyu mwamba sana.... ww ni msanii bora wa mda wote kwangu
Kiba 4ever. From 254
King Kiba na Rubby kwenye live performance ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
KIBA to the world 😍😍
weee this songgg aah ...✨✨✨✨✨it makes me feek special kinder
Long live the king 🤴 🙏 💙
Alikiba 🔥🔥🔥🔥
Kiba anajua paka anakera💣💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Nyie huyu kiba hapana jmn🙌🙌🙌🙌anajua xna jmn
Yani kwanza kapendeza kaimba vizuri sana kweri 👑 wewe kiboko
The man steals the show
Mi team wcb laki kiba anajua jaman
Utu jmn utu❤️😌❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Big voice natural one love it
nakubak kib. unaweza
Kingkibaaaa
This is what we call real brotherhood.#fire
King kiba hatariiiii🥰🥰❤️❤️
U are killing it guys
Kwa mara ya kwanza namuona Ali kiba kapendeza😂🙄
Kumbe marioo aliondoka baada ya kuona jamaa anatunzwa mpunga na kushangiliwa kama shoo yake mwamba anajua
KINGS MUSIC 🔥🔥🔥🔥♥️ NA
Aweweeewe king🔥🔥🔥📣💗💗💗💞
King of Live Music,King Kibaa❤️
Huyu kiba anajua kuimba 👑👑👑👑👑👑👑
Hakuna muimbaji tz kama wewe King 🤴
Huyuu jamaa hatareee🔥🔥🔥
king nakubali
Yaani King ki Ni King ki
Serikali inasubri nn kumjengea sanamu popote pale ama mpka afe ndio waanze alikuwa sijui nini nini bas watupe kibali sisi mashabiki zake tumjengee hata pale Airport ili wageni wakija Bongo wajue tunamsanii mmoja tu Tz waliobak wote ni wanamuziki Daah king kiba for life