NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
Vložit
- čas přidán 11. 03. 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
#Bonatv #Exclusive - Zábava
Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king
Jamaaa anajua sauti hatareee Mashaa Allah
🤣🤣🤣🤣
Kabisa kipenz tupo wengiii😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo ndo maana ya kupenda music na si mtu
Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌
Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King
Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel
Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩
King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u
Exactly
Ali kiba is always on his own level... King🤴
Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe
Mamamaeeeeh 😀😀😀
Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽
Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice
King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha
King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana
Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube
@@Adeen.1 rudia kusoma
Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa
@@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia
sana sanaa
Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri
Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿
Wow very naturally Ali Kiba nice voice
Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍
Huyu mshikaji wa kipekee sanaa
Shobo zinakusumbua
@@masudimillanzi994Daaah... 😁
Me mwenyew kidog nilie at sjui what happen
Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King
Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa
Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba
Fact
Dah? Nature voice man.congraturate king
Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.
Music is all about melody and natural voice
Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.
Yeah we love king😍😍😍👏👏👏
KING🔥🔥🔥 no one like him😍
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
Ali king kiba a tua voz nem precisa ser masterizado és natural meu grande brother big up Sana miaka mingi ushy king wangu ili tupate mziki mzury I'm boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 258
É verdade ele gênio
Te amamos from Tanzania...
czcams.com/video/GZdEZT7ZI48/video.html
Mungu ambariki sana hao chawa ni wagombanishi
🤣🤣kbs
The best bongo artist ktka tz, so much from kenya
The love i have for this man🥰🥰🥰ouh my God!!! What a darlin hunn🔥🔥🔥❤️
One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri
King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.
🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano
@@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.
Hata nywere yake hainaga mambo
@@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃
Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘
saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee
Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
Kiba mziki anaujua and I do love him
Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️
Na watakuua kina Baba levo na Masha love😂😂
Tuko wot sina msani mwengine ninaempenda kama kiba
Hawamuwezi kiba
Yan kama mm
Hujapigika vizur anyway au basi
Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba
Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake
King,!!U'll always be a King, only you,,,,
Yebabaaa!!!!!
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
Always king is KING
I also feel the vibe for Alikiba
Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya
999qaa
Kabsaa
Kabisa
love you jiraniiii from tz
Unamjua😂😂
Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba
Only one king 👑 🔥 😍
Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌
Kiba anajipaj kikubwa sana
I Love u kiba
Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass
😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko
Since I was a kid u av been always my no 1,I cherish u kiba
I Love Ali Kiba
I'm from Kenya and you are my best black artists from Tanzania. I love the song utu. Wewe noma sana dear. I'm also an Artist a rapper and a singer too please can we a collaboration of one song.
Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn
Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤
yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍
King 🤴 👑 ni mmoja tu,
King kiba yaaaa napenda sana nyimbo zako zote,Matola mozambique cabo delgado nangade sede fronteira.
Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.
Dah natural talent
King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza
King forever
Natural voice, Natural talent 👍👌🙌
King 🤴 👑
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
@@DonMooSTUDIO_Express naturally...
Masenge sauti inakata mbona
We Ni mtu
Kweli king in king tu
Safi sana Only one King, hapa wangeambiwa waambe wengine live tungesingizia maiki lol
Haaaaaaa, wengine wanabebwa na beat
Salute sana Alchama napenda io effort
Dah Yan ww king kiba 💖💓💓💓♥️♥️💓💓be blessed
I wish to listen to you live one day you're my favourite bongo artist
Amazing voice!!!!
Makubwa upande upi wewe nimwenzetu
Hongera sana kaka jaman mwenyez mung akubarki sana kwenye ndoa Yako mdumu
Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote
Once a king always a king,,,!@king kiba band man kiba
Original voice 😘 ur blessed 🙏
Respect the king 👌😊😊✊
The only king
Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪
Ooooh vocals
Natural sound, well done
Alikiba forever 😍🤩🤩🤩🤩
Waooo nakupenda sana you know that
Always you will still be my favorite brother
Rkelly wa east africal king kiba
Jamaa anajuwa imba huyu kabisa
Le voice🔥🔥
New nasheed video 👇...
czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html
Sina Shaka na kipaji chako nakupenda Sana king kiba
Mwamba fundi sana we mtu fundi sana kibaaa Yee baba
Tuendelee kujifukiza,UFALME UTABAKI KUWA KWAKO SIKU ZOTE 👑
Siyo Vibaya Kusema Wewe Ndiye Baba Wa Mziki Wa Bongo Fleva Utaki Acha Kuimba Nyimbo Za Kutambia Ngoma🤣🤣🤣 King 👑 Ni Mmoja2 King KIBA
King❤️❤️❤️
Kings music forever 💞💯💯💯
Hahaha eti baada ya kutoka listen part nimemkuta mkewangu amekalili verse ya kwanza
Mwenye muziki wake King Kiba
The best song, apart from mac muga and cinderrella, you av ever made..big up
Nice song
Alikiba hataki wanawake wamfate karibu,chezea kuombwa talaka ww,heshimu ndoa yko.
🤣🤣
😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣
😂😂
Haki wewe 🤣🤣🤣🤣🤣...una akili sana. Kumbe umeona hiyo? Ubarikiwe sana 😆😆😆😆
Yaan hapo enyewe ushakuwa chawa
Nakupend san una saut nzur mnoo😘
the king himself
Hii ndio maana ya msanii wa music lazima ujue kuimba akapelela Yani bila bits
KING OF
Sema huyu jamaa anaimba sana mzee