NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 03. 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
    #Bonatv #Exclusive
  • Zábava

Komentáře • 483

  • @lindakibanga996
    @lindakibanga996 Před 2 lety +116

    Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana7735 Před 2 lety +89

    Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 Před 2 lety +20

    Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo4338 Před 2 lety +5

    Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel

  • @mariamuhamadi4966
    @mariamuhamadi4966 Před 2 lety +26

    Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo6780 Před 2 lety +56

    King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u

  • @addijmz5240
    @addijmz5240 Před 2 lety +11

    Ali kiba is always on his own level... King🤴

  • @chabushizo3972
    @chabushizo3972 Před 2 lety +42

    Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe

  • @jumakessy4192
    @jumakessy4192 Před 2 lety +7

    Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro4686 Před 2 lety +8

    Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 Před 2 lety +5

    King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha

  • @neemaanthony3571
    @neemaanthony3571 Před 2 lety +63

    King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana

    • @Adeen.1
      @Adeen.1 Před 2 lety +1

      Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube

    • @godfreywilliam9673
      @godfreywilliam9673 Před 2 lety

      @@Adeen.1 rudia kusoma
      Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa

    • @Adeen.1
      @Adeen.1 Před 2 lety +1

      @@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia

    • @revocatusbukombe2551
      @revocatusbukombe2551 Před 2 lety

      sana sanaa

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 Před rokem +4

    Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Před 2 lety +13

    Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿

  • @marymbatia7801
    @marymbatia7801 Před 2 lety +10

    Wow very naturally Ali Kiba nice voice

  • @beatricemkassa9340
    @beatricemkassa9340 Před 2 lety +35

    Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍

  • @baetee8782
    @baetee8782 Před 2 lety +7

    Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King

  • @fatmaqhta8528
    @fatmaqhta8528 Před 2 lety +22

    Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 Před 2 lety +22

    Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa

  • @leylagadau3394
    @leylagadau3394 Před 2 lety +19

    Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @edwardnjile5621
    @edwardnjile5621 Před 2 lety +11

    Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles5449 Před 2 lety +3

    Dah? Nature voice man.congraturate king

  • @pamelahezron8326
    @pamelahezron8326 Před 2 lety +17

    Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt Před 2 lety +18

    Music is all about melody and natural voice

  • @fikirimloka7389
    @fikirimloka7389 Před 2 lety +13

    Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.

  • @zeyhussein1709
    @zeyhussein1709 Před 2 lety +31

    KING🔥🔥🔥 no one like him😍

  • @youngtygamayamimusicmmc
    @youngtygamayamimusicmmc Před 2 lety +34

    Ali king kiba a tua voz nem precisa ser masterizado és natural meu grande brother big up Sana miaka mingi ushy king wangu ili tupate mziki mzury I'm boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 258

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 lety +16

    Mungu ambariki sana hao chawa ni wagombanishi

  • @sharonojwang2353
    @sharonojwang2353 Před 2 lety +3

    The best bongo artist ktka tz, so much from kenya

  • @wendokiba4673
    @wendokiba4673 Před 2 lety +6

    The love i have for this man🥰🥰🥰ouh my God!!! What a darlin hunn🔥🔥🔥❤️

  • @lbmaasai929
    @lbmaasai929 Před 2 lety +5

    One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 Před 2 lety +40

    King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.

    • @abdulaabdula2631
      @abdulaabdula2631 Před 2 lety +7

      🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 Před 2 lety +8

      @@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.

    • @padorsmart6249
      @padorsmart6249 Před 2 lety +2

      Hata nywere yake hainaga mambo

    • @lucylucy3678
      @lucylucy3678 Před 2 lety +2

      @@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Před 2 lety

      New nasheed video 👇...
      czcams.com/video/ZsJURMICYaA/video.html

  • @agripinagaudence7744
    @agripinagaudence7744 Před 2 lety +3

    King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃

  • @ashuramohamed241
    @ashuramohamed241 Před 2 lety +3

    Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘

  • @princedracsal790
    @princedracsal790 Před 2 lety +2

    saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee

  • @bintybweta9604
    @bintybweta9604 Před 2 lety +9

    Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hassansaid9925
    @hassansaid9925 Před 2 lety +3

    Kiba mziki anaujua and I do love him

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha4926 Před 2 lety +38

    Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️

  • @nassorally4002
    @nassorally4002 Před rokem +2

    Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba

  • @abdulrazakmjape2259
    @abdulrazakmjape2259 Před 2 lety +2

    Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 Před 2 lety +21

    King,!!U'll always be a King, only you,,,,
    Yebabaaa!!!!!

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 2 lety +20

    Always king is KING

  • @vicluxuriousinvestments672

    I also feel the vibe for Alikiba

  • @rashidnajma350
    @rashidnajma350 Před 2 lety +68

    Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn3287 Před 2 lety +2

    Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba

  • @anzonapon199
    @anzonapon199 Před 2 lety +10

    Only one king 👑 🔥 😍

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 Před 2 lety +4

    Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌

  • @rachelelias1251
    @rachelelias1251 Před 2 lety +2

    I Love u kiba

  • @blondonsele9028
    @blondonsele9028 Před 2 lety +2

    Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass

  • @billylovebillybillylovebil580

    😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko

  • @griffinjahazi2167
    @griffinjahazi2167 Před 2 lety +4

    Since I was a kid u av been always my no 1,I cherish u kiba

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Před 2 lety +13

    I Love Ali Kiba

  • @ladynisha9240
    @ladynisha9240 Před 2 lety +6

    I'm from Kenya and you are my best black artists from Tanzania. I love the song utu. Wewe noma sana dear. I'm also an Artist a rapper and a singer too please can we a collaboration of one song.

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 Před 2 lety +4

    Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn

  • @dearlatty5305
    @dearlatty5305 Před 2 lety +2

    Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Před 2 lety +4

    yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍

  • @fatmakimbau3299
    @fatmakimbau3299 Před 2 lety +1

    King 🤴 👑 ni mmoja tu,

  • @assumanissa4395
    @assumanissa4395 Před 2 lety +14

    King kiba yaaaa napenda sana nyimbo zako zote,Matola mozambique cabo delgado nangade sede fronteira.

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 Před 2 lety +4

    Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.

  • @angelaraphat5524
    @angelaraphat5524 Před 2 lety +8

    Dah natural talent

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu6682 Před 2 lety +8

    King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza

  • @salimtaqdir1096
    @salimtaqdir1096 Před 2 lety +2

    King forever

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 2 lety +106

    Natural voice, Natural talent 👍👌🙌

  • @jojosstar8930
    @jojosstar8930 Před 2 lety +2

    Kweli king in king tu

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 Před 2 lety +7

    Safi sana Only one King, hapa wangeambiwa waambe wengine live tungesingizia maiki lol

  • @almercyproducts2601
    @almercyproducts2601 Před 2 lety +2

    Salute sana Alchama napenda io effort

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 2 lety +5

    Dah Yan ww king kiba 💖💓💓💓♥️♥️💓💓be blessed

  • @sharonakinyi5795
    @sharonakinyi5795 Před 2 lety +10

    I wish to listen to you live one day you're my favourite bongo artist

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 Před 2 lety +46

    Amazing voice!!!!

  • @khalfanzanzibar4816
    @khalfanzanzibar4816 Před 2 lety +4

    Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote

  • @realcomrade1556
    @realcomrade1556 Před 2 lety +3

    Once a king always a king,,,!@king kiba band man kiba

  • @jacklineandrew5909
    @jacklineandrew5909 Před 2 lety +6

    Original voice 😘 ur blessed 🙏

  • @severinbin8437
    @severinbin8437 Před 2 lety +2

    Respect the king 👌😊😊✊

  • @yassinm69
    @yassinm69 Před 2 lety +2

    The only king

  • @mourinembodze1513
    @mourinembodze1513 Před 2 lety +2

    Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪

  • @Lando_Anthony
    @Lando_Anthony Před 2 lety +9

    Ooooh vocals

  • @alishauri6506
    @alishauri6506 Před 2 lety +13

    Natural sound, well done

  • @lbmaasai929
    @lbmaasai929 Před 2 lety +2

    Alikiba forever 😍🤩🤩🤩🤩

  • @annrobin9291
    @annrobin9291 Před 2 lety +5

    Waooo nakupenda sana you know that

  • @rahimamawesi1295
    @rahimamawesi1295 Před 2 lety +2

    Always you will still be my favorite brother

  • @domykimata5768
    @domykimata5768 Před 2 lety +5

    Rkelly wa east africal king kiba

  • @suleimanrodriguez9484
    @suleimanrodriguez9484 Před 2 lety +3

    Jamaa anajuwa imba huyu kabisa

  • @rehemaabtwahi4097
    @rehemaabtwahi4097 Před 2 lety +29

    Le voice🔥🔥

  • @justinaninga5628
    @justinaninga5628 Před 2 lety +1

    Sina Shaka na kipaji chako nakupenda Sana king kiba

  • @bakarimgeni5424
    @bakarimgeni5424 Před 2 lety +2

    Mwamba fundi sana we mtu fundi sana kibaaa Yee baba

  • @stevenoiro3815
    @stevenoiro3815 Před 2 lety +3

    Tuendelee kujifukiza,UFALME UTABAKI KUWA KWAKO SIKU ZOTE 👑

  • @khanwizzytz4130
    @khanwizzytz4130 Před 2 lety +5

    Siyo Vibaya Kusema Wewe Ndiye Baba Wa Mziki Wa Bongo Fleva Utaki Acha Kuimba Nyimbo Za Kutambia Ngoma🤣🤣🤣 King 👑 Ni Mmoja2 King KIBA

  • @melaniamakeupartist6366
    @melaniamakeupartist6366 Před 2 lety +3

    King❤️❤️❤️

  • @seiphabdallah4146
    @seiphabdallah4146 Před 2 lety +19

    Kings music forever 💞💯💯💯

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 2 lety +5

    Hahaha eti baada ya kutoka listen part nimemkuta mkewangu amekalili verse ya kwanza

  • @nickykimambo4803
    @nickykimambo4803 Před 2 lety +1

    Mwenye muziki wake King Kiba

  • @kefaluminas286
    @kefaluminas286 Před rokem +3

    The best song, apart from mac muga and cinderrella, you av ever made..big up

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378

    Nice song

  • @shellaking6185
    @shellaking6185 Před 2 lety +22

    Alikiba hataki wanawake wamfate karibu,chezea kuombwa talaka ww,heshimu ndoa yko.

  • @valentinelwiza8363
    @valentinelwiza8363 Před 2 lety +2

    Yaan hapo enyewe ushakuwa chawa

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 Před 2 lety +2

    Nakupend san una saut nzur mnoo😘

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Před 2 lety +1

    the king himself

  • @festorelex4628
    @festorelex4628 Před 2 lety +1

    Hii ndio maana ya msanii wa music lazima ujue kuimba akapelela Yani bila bits

  • @scarmkadinalitopic7766
    @scarmkadinalitopic7766 Před 2 lety +2

    KING OF

  • @sulleyalmass9814
    @sulleyalmass9814 Před 2 lety +2

    Sema huyu jamaa anaimba sana mzee