Amina kwani kiba kasema jina lake atuache bwana alaa aende zake huko wivu tu wewe uolewe halafu mama wa mume usimthamini kakudanganya nani Kigagula wewe
Unajua siku zote andaaa mazingira ya mwenzio kbla ujaingia katika ndoa kama alikiba aliandaaa mazingira ya mwanamke ni ngum sana kutoatalaka au kuachaa sawa mwanamke anaweza akawa ameandaa mazingira lakin yasifikie kiwanga cha mwanaume coz yeye ndie muaandaaji wakila kitu wanawake hubadilika mda wowote chakufanya Alikiba akae chin na mkewe wayajenge na wakubaliane tu no way kama kuachana ni sawa ili wasipotezeane mdaa na hiii life sio yakudumu nakujipanga kujibu juu ya mbigu tu
Ndoa ya huyu jamaa ni kama kioo, yaan unapojitazama kama una manundu basi utaona Manundu. Yaan kwa ufupi ipo hivi hii ndoa ni ya kisanii tangia walipoanza kufunga ndoa na hadi sasa kwenye maisha yao ya ndoa ni usanii mtupu.
Sema Ali Kiba mbishi sana kwanini usikubali tu kuwa your single, can you just move on give that woman Amina space please,cos ndoa yako imejaa machafu tu bro
Uyu Amina hatushituwi sisi tutabaki teams kiba forever ❤
Karibu Tena mafia brother
Mambo ni mengi wakti ni mchache,,, Mitihani...
Maskini kaachika. Amina hapendi mzaha. 😂😂😂umaarufu kwenye mapenzi au ndoa hutoboi😂
Talaka si kitu kizuri. Ya ngoswe muachieni ngoswe!
Amina kwani kiba kasema jina lake atuache bwana alaa aende zake huko wivu tu wewe uolewe halafu mama wa mume usimthamini kakudanganya nani Kigagula wewe
Unajua siku zote andaaa mazingira ya mwenzio kbla ujaingia katika ndoa kama alikiba aliandaaa mazingira ya mwanamke ni ngum sana kutoatalaka au kuachaa sawa mwanamke anaweza akawa ameandaa mazingira lakin yasifikie kiwanga cha mwanaume coz yeye ndie muaandaaji wakila kitu wanawake hubadilika mda wowote chakufanya Alikiba akae chin na mkewe wayajenge na wakubaliane tu no way kama kuachana ni sawa ili wasipotezeane mdaa na hiii life sio yakudumu nakujipanga kujibu juu ya mbigu tu
Huyo ndio alikiba hakubali kushindwa😂😂😂
Ndoa ya huyu jamaa ni kama kioo, yaan unapojitazama kama una manundu basi utaona Manundu. Yaan kwa ufupi ipo hivi hii ndoa ni ya kisanii tangia walipoanza kufunga ndoa na hadi sasa kwenye maisha yao ya ndoa ni usanii mtupu.
Mm nmemuelewa kiba😂 amina kashamuacha ila hana haja ya kusema hadharani kwaio bado kjificha kwa mgongo wa ndoa na ilo LINAMKERA AMINA😅
KingKiba mbishi tu ila waliachana na Aminah
Kw nn awe na Hasira uyo Amina km wameachana
Sema Ali Kiba mbishi sana kwanini usikubali tu kuwa your single, can you just move on give that woman Amina space please,cos ndoa yako imejaa machafu tu bro
Boya wewe
@@nassirsalim6679 fotsek boy you don't know nothing very useless people like you piss of shit nonsense
kayatoe ww
Oa wewe ndio uache
Mfalme