ALIKIBA ADAI HAJAACHANA NA MKEWE, AMINA AIBUKA NA KUMWAMBIA “TUHESHIMIANE”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 09. 2023

Komentáře • 18

  • @user-yh2gy1lp7w
    @user-yh2gy1lp7w Před 9 měsíci

    Uyu Amina hatushituwi sisi tutabaki teams kiba forever ❤

  • @JUMA_JR_TZ
    @JUMA_JR_TZ Před 10 měsíci +2

    Karibu Tena mafia brother

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 10 měsíci +4

    Mambo ni mengi wakti ni mchache,,, Mitihani...

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před 10 měsíci +3

    Maskini kaachika. Amina hapendi mzaha. 😂😂😂umaarufu kwenye mapenzi au ndoa hutoboi😂

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 Před 10 měsíci +3

    Talaka si kitu kizuri. Ya ngoswe muachieni ngoswe!

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 Před 10 měsíci +1

    Amina kwani kiba kasema jina lake atuache bwana alaa aende zake huko wivu tu wewe uolewe halafu mama wa mume usimthamini kakudanganya nani Kigagula wewe

  • @dannydeblast8302
    @dannydeblast8302 Před 10 měsíci +1

    Unajua siku zote andaaa mazingira ya mwenzio kbla ujaingia katika ndoa kama alikiba aliandaaa mazingira ya mwanamke ni ngum sana kutoatalaka au kuachaa sawa mwanamke anaweza akawa ameandaa mazingira lakin yasifikie kiwanga cha mwanaume coz yeye ndie muaandaaji wakila kitu wanawake hubadilika mda wowote chakufanya Alikiba akae chin na mkewe wayajenge na wakubaliane tu no way kama kuachana ni sawa ili wasipotezeane mdaa na hiii life sio yakudumu nakujipanga kujibu juu ya mbigu tu

  • @Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi
    @Saiditofikisaidiramadhan-mk2xi Před 10 měsíci +2

    Huyo ndio alikiba hakubali kushindwa😂😂😂

  • @Bigfmedia
    @Bigfmedia Před 10 měsíci +1

    Ndoa ya huyu jamaa ni kama kioo, yaan unapojitazama kama una manundu basi utaona Manundu. Yaan kwa ufupi ipo hivi hii ndoa ni ya kisanii tangia walipoanza kufunga ndoa na hadi sasa kwenye maisha yao ya ndoa ni usanii mtupu.

  • @MaryNgoi-
    @MaryNgoi- Před 10 měsíci +1

    Mm nmemuelewa kiba😂 amina kashamuacha ila hana haja ya kusema hadharani kwaio bado kjificha kwa mgongo wa ndoa na ilo LINAMKERA AMINA😅

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 10 měsíci +1

    KingKiba mbishi tu ila waliachana na Aminah

    • @mapenzi_tz1511
      @mapenzi_tz1511 Před 10 měsíci

      Kw nn awe na Hasira uyo Amina km wameachana

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Před 10 měsíci +7

    Sema Ali Kiba mbishi sana kwanini usikubali tu kuwa your single, can you just move on give that woman Amina space please,cos ndoa yako imejaa machafu tu bro

  • @sadruhsnow5637
    @sadruhsnow5637 Před 10 měsíci +1

    Mfalme