BILLNASS APOKELEWA KWA SHANGWE NYUMBANI KWAKINA NANDY/MAJIZZO,MWANA FA,MOCCO WAMSINDIKIZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 02. 2022
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
    BILLNASS APOKELEWA KWA SHANGWE NYUMBANI KWAKINA NANDY/MAJIZZO,MWANA FA,MOCCO WAMSINDIKIZA
    #Bonatv #Exclusive #Nandy #Billnass
  • Zábava

Komentáře • 139

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Před 2 lety +13

    Wansemaivi anaeumia na yy atafute wake acheni waone mana wanapendana ♥️♥️♥️♥️♥️♥️💓💓♥️💃💃💃💃❤️✔️

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 2 lety +8

    Wanampenda sana jmni hadi rahass watu walikuwa hawajui km anapendwa sana upande wa akina Nandy jmn hadi raha nafurahi sana walipitia mengi jmn lakini walivumilia Mungu awabarikisana nimependa hii sio kiki kbisa is natural very nice ndivyo intakiwa baraka zote wamezipata Pande zote haki hata Mungu amebariki kila kiti hongereni sana wapendwa nawaombea sana mdumu omoja kwa furaha na Amani hadi kifo kiwatenganishe .Dads Nandy tangu utoto wangu nkupendaga sana hongera mnooo

  • @mariammwendakazungu5783
    @mariammwendakazungu5783 Před 2 lety +14

    Mungu awazidishie jamani nawapenda sana nandy n billnasi mungu awaezeshe mfanikishe ndoa

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Před 2 lety +20

    Waooo hongeren Sana Mungu ni mwema awasimamie katika yote

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety +6

    Nandy na billinans umejaa Idee hapo sio feki Ni huakiwa nawatakia kila la khedive❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏👍👍👍

  • @isunga1964
    @isunga1964 Před 2 lety +6

    Woow najikuta nafurahi sana kws furaha haki mungu awafanyie wepesi kwa maisha yenu wangu nami mume wangu anakuja sikati tamaa 😊😊😊

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před 2 lety +8

    Hongereni saana. Namuomba Mungu aidumishe ndoa yenu. Na akujaalieni kizazi chema kwenu na kwa jamii nzima. From Oman. Nawapenda saana.

  • @juddymwakio8982
    @juddymwakio8982 Před 2 lety +9

    Congratulations kwenu much love from kenya iwe ya kheir inshaallah❤️🤲

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety +7

    Sio feki Ni rear Love mmependeza yaani mmemach Nandy nashingo yako ndefu sio fupi shingo nakichwa aisee shingo ndefu sura hunayo pia Billings thesame handysome umependeza yaani mmependeza sana🙏🙏🙏👌👌👌👌👌👌❤️❤️

  • @zou7470
    @zou7470 Před 2 lety +10

    Yani nimefurahi mana awa watu nawapenda kwakwel ❤❤👏

  • @ashamasaza4096
    @ashamasaza4096 Před 2 lety +8

    Safi sana Nandy na Billnas Mungu akawaongoze kwenye maisha yenu

  • @nurumutiojameskhankhanjame7337

    Kweli watu hutoka mbaka ndoa hupangwa mbinguni hongera wapenzi ❤️❤️❤️💖mungu awajalia mapenzi yenu yawe yanye kudumu

  • @danielladavid2251
    @danielladavid2251 Před 2 lety +6

    Yeah God is always faithful, 🙏 🙌 ♥ ❤ 😍 💯 ikiwa ni nyumba ya Baraka ni inakuwa tuu

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Před 2 lety +5

    Nmependa mama nandy alvomsalimu nenga ka sio wakwe kishkaji🥰🤗😂.mom nandy very charming walah🥰🙏insh iwe kherii

    • @Aminasalim-lq9td
      @Aminasalim-lq9td Před 2 lety

      Umeonaeeh🤣🤣🤣🤣🤣,, Uku kwakina Nandy Walton walionyesha tu wazi wampenda Billnass

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Před 2 lety +2

    mara ya kwanza sijaona watz wakisema wataachana tu😂😂😂kweli mnawapenda

  • @deborapeter9188
    @deborapeter9188 Před 2 lety +1

    Waooooo hongerini Sana Mungu aidumishe hili mhitimishe lengo penda San ❤️❤️❤️

  • @josephinemjema1875
    @josephinemjema1875 Před 2 lety +8

    Hakika nimefrah mungu awatangulie

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 Před 2 lety +5

    Nawapenda mpaka naumwa jamani dah Mungu akawe kiongozi wenu katika safari yenu hii

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Před 2 lety +2

    yaani tz unaweza kua king for one day😅hongera kanandi ketu kanaolewa allah ampe baraka kwa ndoa yake❤️

  • @florencemasebo9398
    @florencemasebo9398 Před 2 lety +1

    Hongereni saaaana wadogo zangu. MUNGU awasaidie katika maisha mnayoyaanza

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Před 2 lety +2

    Raha sanaaaaa hongera kwa Billnas na Nandy💗💗💗💯

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421

    Ma shaa allah, mungu awabariki sana , 😍😍😍😍😍

  • @nurumwangoka5909
    @nurumwangoka5909 Před 2 lety +3

    Baada ya nandy nami nifate mungu mwema

  • @leilaahamad8989
    @leilaahamad8989 Před 2 lety +2

    Mashallah mama nandy anafuraha kabisa kaona mwanao anaoana namtu anampenda

  • @edinawilliam2943
    @edinawilliam2943 Před 2 lety

    Mama nandi na rafiki wa mkwe wakwe jinsia alivyo mpa huo mkono kushikaj zaidi👍❤️

  • @salhasaid9667
    @salhasaid9667 Před 2 lety

    Ma Sha Allah..

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Před 2 lety +3

    Waooh !!so great!!

  • @faithngaleni7930
    @faithngaleni7930 Před 2 lety

    Billnass ameonesha nidhamu ya hali ya juu na heshima kubwa.Mungu awatangulie kwenye safari yao ya ndoa mpaka kifo kitakapowatenganisha.Nawatakia heri

  • @saumsuleiman4509
    @saumsuleiman4509 Před 2 lety

    mashaaAllah mama nandy love you mom❤️

  • @everlynkadenge9552
    @everlynkadenge9552 Před 2 lety

    This is Soo sweet ♥️❤️❤️

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 Před 2 lety

    Waoo Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi kwa kila jambo

  • @wazambulitv5735
    @wazambulitv5735 Před 2 lety +4

    *Congratulations **#NandyBillnas**💍❤️*

  • @rosechami5637
    @rosechami5637 Před 2 lety

    Jamani raha Sana 💕💕

  • @priscaherman5302
    @priscaherman5302 Před 2 lety

    Mwenyezi mungu awajaalie family yenye amani na baraka tele

  • @saramartin1182
    @saramartin1182 Před 2 lety +1

    Im happy with this couple

  • @nataemsuya
    @nataemsuya Před 2 lety +5

    Ewajwa ni ngoro nae aende wakwe(Anayeumwa na roho nae atafute wake😆).

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Před 2 lety

    Klaas, great 👍😘

  • @lailatuyusuf9131
    @lailatuyusuf9131 Před 2 lety +2

    Congratulations you made it

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 Před 2 lety +1

    Congratulations to them 👏

  • @mwajumamsangi7678
    @mwajumamsangi7678 Před 2 lety

    Mungu nibariki nmm siku moja nifikie huku

  • @loyciousaaa
    @loyciousaaa Před 2 lety

    I love this couple

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Před 2 lety +1

    🔥🔥🔥♥️

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 2 lety

    Jaman raha wowww

  • @fausterrugemarila7731
    @fausterrugemarila7731 Před 2 lety

    Daah mpk nimetoa choz Mungu awatunzeee😘

  • @mariamsaid4381
    @mariamsaid4381 Před 2 lety

    Yaaani these people have a history...yaani they knew each other tangu Enzi za marehemu Ruge... waaaa destiny will always prevail alopanga Mungu binadamu hawezi panga. I wonder if Ruge could have woken up today I am sure he will be happy... coz ni mtu alikua anamfahamu already

  • @naumibahat8748
    @naumibahat8748 Před 2 lety +4

    Congratulations 👏

  • @fora2009
    @fora2009 Před 2 lety +1

    Mungu ni mwema

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 Před 2 lety +1

    Waoo wapare,

  • @husnamfuko6136
    @husnamfuko6136 Před 2 lety

    Hongereni nimefurahi sana

  • @ashaulaya7412
    @ashaulaya7412 Před 2 lety

    Hongera cn cn ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤲🙏

  • @morinejoseressiriam4581

    Hongera nandy& billnass

  • @williamelieskia3038
    @williamelieskia3038 Před 2 lety

    Waaoooo rumburya mpongezi huvyo niho venture cheendwa!!!? Hongera dada hivyo ndivyo inavyotakiwa kipare !!! Usireoka kipereto

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety +1

    Live bila chengq hakuna kiki hapa hongereni sana

  • @rehemaothman2200
    @rehemaothman2200 Před 2 lety

    Hongera

  • @doreendidzuri8661
    @doreendidzuri8661 Před 2 lety

    Mungu awasimamie nawapenda sana

  • @Meme-xn8mo
    @Meme-xn8mo Před 2 lety

    Ongela sana mungu awasimamie

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 Před 2 lety +2

    Couple glows

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Před 2 lety

    Very Smart guys😘

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety +2

    Teeeeeeeena🤣🤣🤣🤣🤣🥰

  • @pendotemba3614
    @pendotemba3614 Před 2 lety

    Mungu awatanguliee

  • @joleal7941
    @joleal7941 Před 2 lety

    Mungu awarinde nandy na billnas

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Před 2 lety

    Wauw chic guys 🙋🙋

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Před 2 lety +1

    Lovely Mashaallah

  • @neemarichard8034
    @neemarichard8034 Před 2 lety +1

    Nipenda hiyo,nandi and nandy nawapenda sana

  • @meryshomi1738
    @meryshomi1738 Před 2 lety

    ♥️♥️♥️♥️

  • @skyluu
    @skyluu Před 2 lety

    Mungu awalinde

  • @yassintaibrahim24
    @yassintaibrahim24 Před 2 lety +3

    Congrats 💐💐💐 Nandy & Bills

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před 2 lety

    🙏🙏

  • @janepherkhisa8581
    @janepherkhisa8581 Před 2 lety +4

    Well done Nandy

  • @hakimsashamusic
    @hakimsashamusic Před 2 lety

    Play don't worry by hakim sasha..

  • @imanidaraja8275
    @imanidaraja8275 Před 2 lety +2

    Safi Sana bilinadi na Nandi mungu awalinde kwa hatua hiyo

  • @mare9438
    @mare9438 Před 2 lety

    Hongera nandy

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před 2 lety

    😘😘

  • @filomenawiliam6701
    @filomenawiliam6701 Před 2 lety

    Ewajwa ni ng'oro nae eende wakwe..jamanii nimekumbuka na mim Siku nlivyotolewa mahari..hongereni Mandy& bill..Mungu awatunze mfikie lengo La ndoa

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Před 2 lety

    Amepedeza sana

  • @Mariam-ou1uz
    @Mariam-ou1uz Před 2 lety

    waoooooo

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před 2 lety

    🥰🥰🥰🥰🥰🙏🙏

  • @shamimukijoji1191
    @shamimukijoji1191 Před 2 lety

    Waooooo

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Před 2 lety

    Muzidisogambere basi good

  • @issaiddi3261
    @issaiddi3261 Před 2 lety

    Hongera ala msirudie makosa ya kujiposti vipicha vyenu vya utupu ndoa sio madhiara

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety

    Hii ndio oh nahiko Opa sio Fleck hongera Nandy na Nenga na muons chid disgner Maigizo Jsm boss enjeni sana kwa kufanyakweli sio feki kama zingine of kabisa bila kingilio😬😬😃😬😃❤️🔥❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥🙏🙏🙏🙏🙏

  • @arafacute7250
    @arafacute7250 Před 2 lety +1

    Hivi Sasa ndio vitu vyenye Baraka

  • @ndayushimiyerungarunga8438

    ❤❤💖

  • @davidchalambo9746
    @davidchalambo9746 Před 2 lety +1

    Naskia songi la kipare apo✌️

  • @mjasiriamalishupavulailamu7163

    Yeleleleleeeeee wapambe tuko hai sana mungu awatangulie jamani nilokuwa nikiomba juu yenu mara mkosane Mara mpandane basis Leo mmenipa furaha shabiki wenu

  • @messphinerdavid5637
    @messphinerdavid5637 Před 2 lety

    Hii siku nilikua naisubiri sanaa congratulations nenga

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 2 lety

    😀

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 Před 2 lety

    Mkumbuke kuvaa barakoa

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 2 lety +2

    MUNGU HABARIK8 NA WAJALIA WATOTO UPENDO UZIDI

  • @aishaa2930
    @aishaa2930 Před 2 lety

    Haya ndio mapenzi

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 2 lety +1

    Mama nandy kachangamka km katiwa ndimu🤣🤣🤣🤣

  • @marymagnus8712
    @marymagnus8712 Před 2 lety

    EEMwenyezi Mungu awalinde kweli ilimuweze fikisha lengo lenu

  • @halimamvungi1
    @halimamvungi1 Před 2 lety

    Ewajwa ni ngoro nae aende wakwe😅😅🔥

  • @irenewile
    @irenewile Před 2 lety

    Wapare oyeaahhhhh

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Před 2 lety +1

    Mambo shwariii

  • @addelineantony3622
    @addelineantony3622 Před 2 lety

    Kila la kheri kwenu billinas na nandy

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 2 lety +2

    Maman naNady na mukwe wake sasa

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 2 lety +1

    Lulu na majizo wawasimamie arusi Yao ndio hawata achana

  • @whimsymaverick3057
    @whimsymaverick3057 Před 2 lety

    Naomba vijana wa Tz wamekuwa walemavu wanatembelea mikongojo. Shida NINI vijana?

  • @liliankessy1255
    @liliankessy1255 Před 2 lety +8

    Let me guess 😂Majizo na Lulu ndo watakua wasimamizi wa Harus..trust me