BILLNASS APOKELEWA KWA SHANGWE NYUMBANI KWAKINA NANDY/MAJIZZO,MWANA FA,MOCCO WAMSINDIKIZA
Vložit
- čas přidán 19. 02. 2022
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
BILLNASS APOKELEWA KWA SHANGWE NYUMBANI KWAKINA NANDY/MAJIZZO,MWANA FA,MOCCO WAMSINDIKIZA
#Bonatv #Exclusive #Nandy #Billnass - Zábava
Wansemaivi anaeumia na yy atafute wake acheni waone mana wanapendana ♥️♥️♥️♥️♥️♥️💓💓♥️💃💃💃💃❤️✔️
Wanampenda sana jmni hadi rahass watu walikuwa hawajui km anapendwa sana upande wa akina Nandy jmn hadi raha nafurahi sana walipitia mengi jmn lakini walivumilia Mungu awabarikisana nimependa hii sio kiki kbisa is natural very nice ndivyo intakiwa baraka zote wamezipata Pande zote haki hata Mungu amebariki kila kiti hongereni sana wapendwa nawaombea sana mdumu omoja kwa furaha na Amani hadi kifo kiwatenganishe .Dads Nandy tangu utoto wangu nkupendaga sana hongera mnooo
Mungu awazidishie jamani nawapenda sana nandy n billnasi mungu awaezeshe mfanikishe ndoa
Waooo hongeren Sana Mungu ni mwema awasimamie katika yote
Nandy na billinans umejaa Idee hapo sio feki Ni huakiwa nawatakia kila la khedive❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏👍👍👍
Woow najikuta nafurahi sana kws furaha haki mungu awafanyie wepesi kwa maisha yenu wangu nami mume wangu anakuja sikati tamaa 😊😊😊
Hongereni saana. Namuomba Mungu aidumishe ndoa yenu. Na akujaalieni kizazi chema kwenu na kwa jamii nzima. From Oman. Nawapenda saana.
Congratulations kwenu much love from kenya iwe ya kheir inshaallah❤️🤲
Sio feki Ni rear Love mmependeza yaani mmemach Nandy nashingo yako ndefu sio fupi shingo nakichwa aisee shingo ndefu sura hunayo pia Billings thesame handysome umependeza yaani mmependeza sana🙏🙏🙏👌👌👌👌👌👌❤️❤️
Yani nimefurahi mana awa watu nawapenda kwakwel ❤❤👏
Safi sana Nandy na Billnas Mungu akawaongoze kwenye maisha yenu
Kweli watu hutoka mbaka ndoa hupangwa mbinguni hongera wapenzi ❤️❤️❤️💖mungu awajalia mapenzi yenu yawe yanye kudumu
Yeah God is always faithful, 🙏 🙌 ♥ ❤ 😍 💯 ikiwa ni nyumba ya Baraka ni inakuwa tuu
Nmependa mama nandy alvomsalimu nenga ka sio wakwe kishkaji🥰🤗😂.mom nandy very charming walah🥰🙏insh iwe kherii
Umeonaeeh🤣🤣🤣🤣🤣,, Uku kwakina Nandy Walton walionyesha tu wazi wampenda Billnass
mara ya kwanza sijaona watz wakisema wataachana tu😂😂😂kweli mnawapenda
Waooooo hongerini Sana Mungu aidumishe hili mhitimishe lengo penda San ❤️❤️❤️
Hakika nimefrah mungu awatangulie
Nawapenda mpaka naumwa jamani dah Mungu akawe kiongozi wenu katika safari yenu hii
yaani tz unaweza kua king for one day😅hongera kanandi ketu kanaolewa allah ampe baraka kwa ndoa yake❤️
Hongereni saaaana wadogo zangu. MUNGU awasaidie katika maisha mnayoyaanza
Raha sanaaaaa hongera kwa Billnas na Nandy💗💗💗💯
Ma shaa allah, mungu awabariki sana , 😍😍😍😍😍
Baada ya nandy nami nifate mungu mwema
Mashallah mama nandy anafuraha kabisa kaona mwanao anaoana namtu anampenda
Mama nandi na rafiki wa mkwe wakwe jinsia alivyo mpa huo mkono kushikaj zaidi👍❤️
Ma Sha Allah..
Waooh !!so great!!
Billnass ameonesha nidhamu ya hali ya juu na heshima kubwa.Mungu awatangulie kwenye safari yao ya ndoa mpaka kifo kitakapowatenganisha.Nawatakia heri
mashaaAllah mama nandy love you mom❤️
This is Soo sweet ♥️❤️❤️
Waoo Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi kwa kila jambo
*Congratulations **#NandyBillnas**💍❤️*
Jamani raha Sana 💕💕
Mwenyezi mungu awajaalie family yenye amani na baraka tele
Im happy with this couple
Ewajwa ni ngoro nae aende wakwe(Anayeumwa na roho nae atafute wake😆).
Klaas, great 👍😘
Congratulations you made it
Congratulations to them 👏
Mungu nibariki nmm siku moja nifikie huku
I love this couple
🔥🔥🔥♥️
Jaman raha wowww
Daah mpk nimetoa choz Mungu awatunzeee😘
Yaaani these people have a history...yaani they knew each other tangu Enzi za marehemu Ruge... waaaa destiny will always prevail alopanga Mungu binadamu hawezi panga. I wonder if Ruge could have woken up today I am sure he will be happy... coz ni mtu alikua anamfahamu already
Congratulations 👏
Mungu ni mwema
Waoo wapare,
Hongereni nimefurahi sana
Hongera cn cn ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🤲🙏
Hongera nandy& billnass
Waaoooo rumburya mpongezi huvyo niho venture cheendwa!!!? Hongera dada hivyo ndivyo inavyotakiwa kipare !!! Usireoka kipereto
Live bila chengq hakuna kiki hapa hongereni sana
Hongera
Mungu awasimamie nawapenda sana
Ongela sana mungu awasimamie
Couple glows
Very Smart guys😘
Teeeeeeeena🤣🤣🤣🤣🤣🥰
Mungu awatanguliee
Mungu awarinde nandy na billnas
Wauw chic guys 🙋🙋
Lovely Mashaallah
Nipenda hiyo,nandi and nandy nawapenda sana
Unaongea nandi and nandy 🙄🙄😂
♥️♥️♥️♥️
Mungu awalinde
Congrats 💐💐💐 Nandy & Bills
🙏🙏
Well done Nandy
Play don't worry by hakim sasha..
Safi Sana bilinadi na Nandi mungu awalinde kwa hatua hiyo
Hongera nandy
😘😘
Ewajwa ni ng'oro nae eende wakwe..jamanii nimekumbuka na mim Siku nlivyotolewa mahari..hongereni Mandy& bill..Mungu awatunze mfikie lengo La ndoa
Amepedeza sana
waoooooo
🥰🥰🥰🥰🥰🙏🙏
Waooooo
Muzidisogambere basi good
Hongera ala msirudie makosa ya kujiposti vipicha vyenu vya utupu ndoa sio madhiara
Hii ndio oh nahiko Opa sio Fleck hongera Nandy na Nenga na muons chid disgner Maigizo Jsm boss enjeni sana kwa kufanyakweli sio feki kama zingine of kabisa bila kingilio😬😬😃😬😃❤️🔥❤️🔥🔥❤️🔥❤️🔥🙏🙏🙏🙏🙏
Hivi Sasa ndio vitu vyenye Baraka
❤❤💖
Naskia songi la kipare apo✌️
Yeleleleleeeeee wapambe tuko hai sana mungu awatangulie jamani nilokuwa nikiomba juu yenu mara mkosane Mara mpandane basis Leo mmenipa furaha shabiki wenu
Hii siku nilikua naisubiri sanaa congratulations nenga
😀
Mkumbuke kuvaa barakoa
MUNGU HABARIK8 NA WAJALIA WATOTO UPENDO UZIDI
Haya ndio mapenzi
Mama nandy kachangamka km katiwa ndimu🤣🤣🤣🤣
EEMwenyezi Mungu awalinde kweli ilimuweze fikisha lengo lenu
Ewajwa ni ngoro nae aende wakwe😅😅🔥
Wapare oyeaahhhhh
Mambo shwariii
Kila la kheri kwenu billinas na nandy
Maman naNady na mukwe wake sasa
Lulu na majizo wawasimamie arusi Yao ndio hawata achana
Naomba vijana wa Tz wamekuwa walemavu wanatembelea mikongojo. Shida NINI vijana?
Let me guess 😂Majizo na Lulu ndo watakua wasimamizi wa Harus..trust me
Namm nimebet hivyo😅😅😅
Wachaga kwa wachaga
😆😆😆
I bet that too