Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
So emotional aseee Mungu awasaidie sana awaepushe na hila za shetani 🙏🙏
Kilicho fungwa duniani na mbinguni kimefungwa Mungu awalinde ❤️❤️
umeonaee
Ongeraaa nandy jitahidi kifo ndo kiwatenganishe msiachane kwasababu ambazo hazina msingi
Yaani Nandy ni wife haswaa ,kameniliza jamanii❤❤❤❤❤ Nawapenda sana Nandy na William Mungu awatunzie ndoa yenu ,nyie ni watu wa maana sana❤❤
Aaah full unyam nmeipenda iyoo nixeme t ukwel asee mnapendezana
Kwel ndoa ni Mungu saidia.. congratulations
Mwenyezi Mungu akazidi kuwabariki na kuwasimamia kwenye ndoa yenu siku zote, mzidi kupendana.
Hongereni sana Nandy mwali wa kizamami unapoolewa utalia tu syo wa sasa macho juu anaona kawaida
Mungu awaepushe na hila za shetani Amina 🙏🙏🙏🙏🙏
Woooohbwifi huyoooo karibu rombo wifi etu,,,,,yetooon,,,mwai wetube hoi hoi ,,,,,
Wew ulifunika kombe hngr
Félicitations ma chérie. Que Dieu vous accompagne et protège votre mariage au Nom Puissant de Jésus-Christ
Mwenyezi mungu awatunze na kuwatunza ktk upendo wa ndoa yenu
Ndoa ni tami ila heshima na kistahamili mdogo wangu hongera sana kutoka kwa fan wako kenya
Congratulations to you both have a better and beautiful life
waooh! mependeza xn
Daaaah vilio vinafanya wadogo tusikaribie uchumba Sasa ila mungu aitangulie ndoa yenu
Hongera sana nandy na billnas
mimi nawapenda sna nand na brooo mpo vizur
hongera sana mum nandy
Najikuta NAMI natoka machozi honqera zenu sana 😊
Hapo kwenye hadi kifo mmhhh nmekaaa pale
Ama kweli nimeamini mtoto akiumia mzazi anaumia zaidii nimemuona mama nandy analia sana
nani aliumia?
Hongeren mmeushinda ujana
Jmn Mungu awatanguliekwenye maisha yenu
Mm nanoyawatu yasiwatenga nishe❤
Mungu azidi kuwabariki katika ndoa yenye muendelee kupendana
So amazing
Mungu awatangulie nandoa njem❤
Mwenyez mung azidi kuwabalik
Hongereni sana
Mwapendeza...
Hongeren cana
Pambo nandy nimekupenda Sana
Bien nawa ombeya mungu Awa saidiye mu dumu sana mbaka kifu
Uuuwi eti na mm kachoz ndo kananitoka leo 😎😎😎😎😂
Muwe waaminifu katka ndoa yenu❤️❤️🙏
Hongera sana
Mungu awajalie maisha tere
Mungu akusaidie my dear
Hongera
Nawamedumuu kwer hongera yao
Mungu awasaidie❤❤❤❤
Nimelia sana😢😢
Nandi umependeza
Hongereni sn
Mbaka lahaaa
🌹Mungu awa baliki🌹
Lovery 😊♥️🥰😍🔥🔥🔥💯🙏
God bless you
Faustina Tena😀😀😀
Wow uko utamu🎉
Muwe na maisha marefu
Mungu awasimamie
Mungu awabariki sana millennium yote
Mbarikiwe sana na mwenyezi mung
Pole
Congrats
❤❤❤
Jaman nandy name unaniliza
😊
Nandi mshoto
Amina
Nandy umeniliza
🥰🥰
Uyu naye alikuya na ma guniya mbona hmmm😂😂😂
Amenoga
Nipitiene tusonge pamoja please
Please what's the title of that song
Jaman nmemuona m2 kavaa shangaz kaja au ndo shangaz mwenyewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤
Hadi machozi yamenitoka na Mimi!
Chakatu
Ginger kwa hatua iyo mung akujalie maish mema
KAMA ULIVYO KIRI KWA KUMAANISHA WW NDO WA KUMLINDA MUMEO MUNGU AWATUNZE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
EcsiEcsi
Mung u awlinde
Kwakwel mung amebark
Wanaigiza ama kweli
Kanisa gani linafungisha wanandoa huku bibi harusi akiwa mjamzito.
We mkamilifu sana😅😅😅
Ila padri umekosea kufunga ndoa mtu ana mimba ya kuzaa
Gdrack
Mungu.awalinde.katik.nyumba.yenu.muishi.salama.namume.wako.nagupenda.saaana.nandy
daah namim choz limetoka lewo sikuangaliaga jaman mungu awatunze
Cjui hata nnelia nn jmn
Mungu akazidi kuwaongezea maisha marefu
z
Swali..hivi..Nandy... umefunga .ndoa . je..mahali milioni...ngap..au...dola..500...Nenga...katoa😁😁😁
Muhim kustirika tu ndoa ni stara
Chaka tu
Mungu amuongoze kwa kila jambo
Lah.san.maishamema
So emotional aseee Mungu awasaidie sana awaepushe na hila za shetani 🙏🙏
Kilicho fungwa duniani na mbinguni kimefungwa Mungu awalinde ❤️❤️
umeonaee
Ongeraaa nandy jitahidi kifo ndo kiwatenganishe msiachane kwasababu ambazo hazina msingi
Yaani Nandy ni wife haswaa ,kameniliza jamanii❤❤❤❤❤ Nawapenda sana Nandy na William Mungu awatunzie ndoa yenu ,nyie ni watu wa maana sana❤❤
Aaah full unyam nmeipenda iyoo nixeme t ukwel asee mnapendezana
Kwel ndoa ni Mungu saidia.. congratulations
Mwenyezi Mungu akazidi kuwabariki na kuwasimamia kwenye ndoa yenu siku zote, mzidi kupendana.
Hongereni sana Nandy mwali wa kizamami unapoolewa utalia tu syo wa sasa macho juu anaona kawaida
Mungu awaepushe na hila za shetani Amina 🙏🙏🙏🙏🙏
Woooohbwifi huyoooo karibu rombo wifi etu,,,,,yetooon,,,mwai wetube hoi hoi ,,,,,
Wew ulifunika kombe hngr
Félicitations ma chérie. Que Dieu vous accompagne et protège votre mariage au Nom Puissant de Jésus-Christ
Mwenyezi mungu awatunze na kuwatunza ktk upendo wa ndoa yenu
Ndoa ni tami ila heshima na kistahamili mdogo wangu hongera sana kutoka kwa fan wako kenya
Congratulations to you both have a better and beautiful life
waooh! mependeza xn
Daaaah vilio vinafanya wadogo tusikaribie uchumba Sasa ila mungu aitangulie ndoa yenu
Hongera sana nandy na billnas
mimi nawapenda sna nand na brooo mpo vizur
hongera sana mum nandy
Najikuta NAMI natoka machozi honqera zenu sana 😊
Hapo kwenye hadi kifo mmhhh nmekaaa pale
Ama kweli nimeamini mtoto akiumia mzazi anaumia zaidii nimemuona mama nandy analia sana
nani aliumia?
Hongeren mmeushinda ujana
Jmn Mungu awatanguliekwenye maisha yenu
Mm nanoyawatu yasiwatenga nishe❤
Mungu azidi kuwabariki katika ndoa yenye muendelee kupendana
So amazing
Mungu awatangulie nandoa njem❤
Mwenyez mung azidi kuwabalik
Hongereni sana
Mwapendeza...
Hongeren cana
Pambo nandy nimekupenda Sana
Bien nawa ombeya mungu Awa saidiye mu dumu sana mbaka kifu
Uuuwi eti na mm kachoz ndo kananitoka leo 😎😎😎😎😂
Muwe waaminifu katka ndoa yenu❤️❤️🙏
Hongera sana
Mungu awajalie maisha tere
Mungu akusaidie my dear
Hongera
Nawamedumuu kwer hongera yao
Mungu awasaidie❤❤❤❤
Nimelia sana😢😢
Nandi umependeza
Hongereni sn
Mbaka lahaaa
🌹Mungu awa baliki🌹
Lovery 😊♥️🥰😍🔥🔥🔥💯🙏
God bless you
Faustina Tena😀😀😀
Wow uko utamu🎉
Muwe na maisha marefu
Mungu awasimamie
Mungu awabariki sana millennium yote
Mbarikiwe sana na mwenyezi mung
Pole
Congrats
❤❤❤
Jaman nandy name unaniliza
😊
Nandi mshoto
Amina
Nandy umeniliza
🥰🥰
Uyu naye alikuya na ma guniya mbona hmmm😂😂😂
Amenoga
Nipitiene tusonge pamoja please
Please what's the title of that song
Jaman nmemuona m2 kavaa shangaz kaja au ndo shangaz mwenyewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤
Hadi machozi yamenitoka na Mimi!
Chakatu
Ginger kwa hatua iyo mung akujalie maish mema
KAMA ULIVYO KIRI KWA KUMAANISHA WW NDO WA KUMLINDA MUMEO MUNGU AWATUNZE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ecsi
Ecsi
Mung u awlinde
Kwakwel mung amebark
Wanaigiza ama kweli
Kanisa gani linafungisha wanandoa huku bibi harusi akiwa mjamzito.
We mkamilifu sana😅😅😅
Ila padri umekosea kufunga ndoa mtu ana mimba ya kuzaa
Gdrack
Mungu.awalinde.katik.nyumba.yenu.muishi.salama.namume.wako.nagupenda.saaana.nandy
daah namim choz limetoka lewo sikuangaliaga jaman mungu awatunze
Cjui hata nnelia nn jmn
Mungu akazidi kuwaongezea maisha marefu
z
Swali..hivi..Nandy... umefunga .ndoa . je..mahali milioni...ngap..au...dola..500...Nenga...katoa😁😁😁
Muhim kustirika tu ndoa ni stara
Chaka tu
Mungu amuongoze kwa kila jambo
Lah.san.maishamema
waooh! mependeza xn
Hongereni sana