Ila tuongee ukweli cheni hajui kusherehesha kabsaaa sema wanasapotiana tu yaan anamsimamisha dj uku kasahau kama kiti kinaendelea kuzunguka angestopisha vyotee...billnas alichukia😀
Remember hakutaka watu wajue kama Tayari Wako juu... Na watu wote walikuwa wanaangalia mlangoni mc anasema shangilia watu wakawa hawashangilii maana hawawaoni watu mlangoni Akaona a stop kwanza mziki awatayarishe watu kushangiria then ndo miziki uendeleee wakati huo Ile stage Ina zunguka yaan haija setiwa iende na mapigo ya mziki...
Hii harusi ni Konki true love still exist! Hongeren sanaaaa
Nandy kafunika harusi zamastaa wote bongo🙌🙌🔥🔥
👌
Ukweli
@@raelwere3300 okkñi
Kenge
Mamb
Naomba Allah anijaalie nipate mume na mie niwe na mwenza wng insha Allah
Mwamini MUNGU na usiache kuomba
@@CatherineNzeki haya dada yng nimekusikia
Amin InshaAllah
Mwenyezi mungu awalinde jamani Amina am from kenya.love you nanndi
Oua👠
Hii ni sherehe bora ya harusi kuwahi kuishuhudia kwa umri wangu wanandoa wapo vizuri wageni wapo vizuri na ukumbi ulikua lit Sana
I love u both
I always like this couple they are the best ever
Hii ndo weeding imefunika Tz wamejitahidi sana
Na hakuna mwenye atafanya kuliko hii
Akuna km iyo bongo❤❤❤❤
Waoooh the best wedding ever
👍
Mmetuweza,hongereni sana.Hatariiiii
Waha watu walinitoa stress zote yan kila nikiwaangalia nifeel happy more than them 🤗🤗🥳
Sichoki kuwatazama billinas na nandy...as I was saying this couple is powerful proud of then..goo prove them wrong guys
Nawapenda sana
Sure
Nandy ndie staa aliependeza zaidi katika harusi zote za mastaa
So much ,♥️♥️♥️
Waahooo nice wedding mayGod bless ue
Niliipenda hiyo jamani walivyo ingia
i really love your voice nandy
Beutiful so beautiful 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽♥️♥️♥️
Wooow is so beautiful ❤️❤️
Woow
Hii Ni fantastic kwakweli aitatokea
Hii kweli ni Wedding na sio harusi
Beautiful❤❤❤❤ hii kweli ni wedding
Yes after church here
Inashinda hata ya president
I love so much
Mmm emsi nae kajitahidi jamani,haijawai tokea kama hii naona rahaaaa kwanyie kufikia lengo lenu
Mc
Haitawai kuwa
Beautiful
Harusi ya TAIFA
dr chen anaangaikia ugali wa wanae.umc kazi
congratulation to ue dr
wachagga naomba likes zenu, toto la kipare nandera tumemleta nyumban nahavache thanaa vapare vosee
Hongereni mastaa wa bongo
Kumbe Nandy unapacha hongera
Mungu awajalie maisha malefu
Nice nawaombea ndoa idumu Mungu awatangulie
And good
Duuuuh cjawahu Ina 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice couple ❤❤
Wow 🇰🇪🇰🇪
Aiseeee,,,, mmeweza vipenz
Nice
Kila lakheri ktk maisha yenu kutoka moyoni nawapenda sana
Watoto wamependeza. Wazazi wamefurahi. Na Mungu ameibariki.wazinifu amuigi,? Shida nini nn?
Ilikuwa sherehe ya kistar kweli
Hadi raha
Waoooooo 💗💗💗
Hiii kaliii ya mwaka
Mliokesha muniambie Billnass kavaa nguo ngapi
4
Harusi kali kuwah kutokea mpaka sasa 2023 hakuna iliyovunja rekodi
Nec
nitafute hela sasa😂😂
❤️❤️❤️
Hujapata mpinzani my nandy.harusi yako bado ni namba moja bongo nzina
Hii ni konki nandy love sanaaaaaa
❤
Bodyguard kapewa maua 😳
❤❤❤❤❤
Halusi hii haijawahi kuwa na mpinzani
Rah sana
Hadi laha yani kufunga harus laha yake jamani
ni Zaid ya ndoaaaaaa
Nawapenda sana
Nandy wangu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Nandy kafanana sana na mama yake
Mmependeza saana haijapata tokea
Nmegundua naigiza maisha haki vile
😀😀😀
Nenga uhakika
Hapo kwenye MC angewekwa Gara B ndio ninja wa mambo hayo
Kweli , ila alipangiwa kwengine
Harusi ya mwaka 2022
Wachaga hua wanamapacha Sana
Nandy
Ila tuongee ukweli cheni hajui kusherehesha kabsaaa sema wanasapotiana tu yaan anamsimamisha dj uku kasahau kama kiti kinaendelea kuzunguka angestopisha vyotee...billnas alichukia😀
Remember hakutaka watu wajue kama Tayari Wako juu...
Na watu wote walikuwa wanaangalia mlangoni mc anasema shangilia watu wakawa hawashangilii maana hawawaoni watu mlangoni
Akaona a stop kwanza mziki awatayarishe watu kushangiria then ndo miziki uendeleee wakati huo Ile stage Ina zunguka yaan haija setiwa iende na mapigo ya mziki...
In short wabongo iyo kitu ilikuwa mpya kwetu
Huyu jamaa hajawa upgraded, ni MC wa kizamani. Angalia hata uvaaji wa suti kaboa.
Kumbe na wew umemuona enh alivyorespond kwa mikono😂😂 yan aliboeka haswaa😂😂