King Kiba alivyoisimamisha Mombasa na wakazi wake
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2018
- Ndoa ya King Ali Kiba ilikuwa gumzo la kutisha ndani ya mji wa Mombasa na viunga vyake. Wakazi na wahamiaji wa mji huo wakajikuta wakisherehekea harusi ya King Ali Kiba. Hebu jumuika nao upate kufurahi pia.
- Zábava
Ilipendeza Sana, watu wa MOMBASA tulifurahi sana
Masha Allah, Ally kiba basata wanachelewa kukupatia tunzo za hekma, maana unastahiki kupata zawadi kwani, wewe ni kioo Cha jamii kiukweli🤲🤲🤲🤲🤲 Allah ibarik
Mashaalah ilipendez sana twataman n ss tupate waume wazur km hao
Walodislike watakua walozalishwaa wameachwaa kwenye mataa🤣🤣🤣KIUKWELI ILINOGAAA.AMINA MZURI BANA .BI AMINAA SMIle🤗MC ULIJUa KUNOGESHA SALUTE
Congratulations Kiba 🎉🎉🎉🎉 my own artist ❤
Mashaalla kikiba mungu akuondolee usuda mbaya katika ndoa wako
Amen
Hi,hongera sn kwakweli Ali kiba ulifanya kitu cha maana Allah aibariki ndoa yenu insha'Allah
sio ndoa ilivunjika
Nivyema mwanamke wa kiislam akijistiri angejistiri nyele zake angependeza Zaidi kama mwanzo mbarikiwe maisha mema duniani na kesho akhera inshaallah
Mabrooq Alf Mabrooq, ilinoga Kweli Maa Shaa Allah.
Ahaaaaaa,,usiogope nyau wala paka,,,,,vitu vyiako amina...Ahaaaaaa
Mashaalla❤️wonderful wedding 😍
Yaani uyo Mc ananifurahisha mno
🤣
King Kiba, you did well, amazing and very fantastic wedding
kiba noma
Ma Sha Allah tabaraka may Allah bless your wedding and gives you happy Family
بي العافيه
وايام سعيده
عسل صافى وكله افراح
يسعده
MaashAllah mabrq Ali kiba na Amina
m pendeza sana jaman
Mm Naona Leo kumbe washaachana duh kiba mrundie hi Amina tafadhali
Shukran InshAllah heri
Mashallah munguu awapefahamu nzuri
Nawaombea kila la heri Kwa ndoa ya Ali kiba na Amina
Mungu aidumishe ndoa Yao hao wawili (A,A)Allahumma Aaamin👌👌❤️❤️
I loved this wedding,my best artist
Mbn hamchangamki mwaogopana ama nn jamani
Que dieu protège votre amour Amina inshallah. Mashallah
Likeee
Hadi raha yaan
I will watch alikibas wedding till I die
MASHALLAH
I like it
Kingkiba
hadi leo sichoki ku watch alikiba wedding yake
Mashallah wamependeza
Amina tz utapaweza
😂😂😂😂 sawa Aunti sada😂😂
Yaap
nice well
Had raha
Ooh,yes!!
King
Good memory
Uliambiwa usiogope,Nyau Wala paka,,
Usiogope usiogope
Hakuna harusi iliyo noga kma y alikiba
2nakutakia maisha malefu katika ulimwengu mpya ulioingia hakika mungu ni mkubwa mtaniwangu mi mtu wa bukoba Tanzania.🇹🇿🌹🌹🌹💙
Wapi nduru ndo nn
Mashallah 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Where are they from???
Groom From Africa Tanzania, Bride From Africa Kenya, Groom Is A Popular Singer who sing RNB his Name Is Alikiba, search His Songs
@@eltajir Thank you for the Reply. Their outfit looks similar to what we wear in saudi.. Interesting 🇸🇦🇸🇦
@@user-cq1px3vq2c here in africa islam groom like wearing saud outfit or oman outfit, do you use whatsapp??
@@user-cq1px3vq2c same cultures just all muslims are the same bro
So sad they got a divorce after all that😢
@azam nataka kujua hiyo wimbo ali Kiba aliingia nayo ni gani
Nice 🎉❤
MashaAllah
ilinoga kinyama nyama
Shefa la miraba minne
ndoa njema
Mashaallah
Mc hatariiii
Sichoki kuangalia guys kila la kheri
tuliopo 2024 tujuane
Tunasubr halus ya mond
Joshua
Mama Kiba alikuwa na furaha mno
Ilipendeza sn jmn
Zabibu Na hilo wigi ,bora angelivua kabisa
Where they came from? Kenya
Ni wivuuu tu wewe
Kiukweli nywele alichemshaaa
Upuuzi mtupu wallahi...
Wivuuuuuu huo
Ni wivuuuu tu wewe kama mchawi
Yawezekana ww mchawi
Ni mchawi hahaha