Video není dostupné.
Omlouváme se.

NANDY ambana BILLNASS kuhusu kupata mtoto na mwanamke mwingine, "Nataka ufanye interview useme"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 12. 2021
  • #Nandy #Billnass

Komentáře • 248

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 2 lety +44

    Nandy anampenda sana bill😍😍

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 Před 2 lety +14

    Mmejua kunifurahisha sana Nandy na mangi Mungua awatangulie mfunge ndoa.

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Před 2 lety +53

    Nandy unampenda sana bill😘😘😘true love

  • @64aaa
    @64aaa Před 2 lety +37

    MashaAllah!! Nafurai kuwaona hivi. Fanyeni muowane sasa. ❤❤

  • @angelmutua9575
    @angelmutua9575 Před 2 lety +8

    Nandy loves this guy truly sio yakufake hataaa

  • @tausiomary5294
    @tausiomary5294 Před 2 lety +13

    Nawapenda Sana napenda niwaone mkiwa hivyo mnapendeza Sana mungu awabariki mfike mbali

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 2 lety +2

    Baada yandoa Niko hapa nawakubali sana Nenga n Bill

  • @hassanford7148
    @hassanford7148 Před 2 lety +3

    Nawapenda sana hawa jamaa coz wanapendana sana mpaka najiskia raha sana nawaombea kwa mungu awape upendo wa dhat na baraka tele Inshaallah.

  • @BacktoPhiladelphiaministry
    @BacktoPhiladelphiaministry Před 2 lety +13

    Yaani kuonekana pamoja tuh ni biashara.... hearth is hard

  • @w_media_house
    @w_media_house Před 2 lety +10

    Waandishi mnaharibu muziki, mnakamia mahusiano akati kilichowaleta ni muziki🙌🙌

  • @thefarahatlifestyle
    @thefarahatlifestyle Před 2 lety +15

    Mnao juwa kumsoma mtu macho NANDY aisee inaonesha anavyo Mapenzi makubwa kwa BILLNASS.

    • @abdulsinga2464
      @abdulsinga2464 Před 2 lety +1

      Hahaaaa kwa luge alifta nini..😂...kama bado anapenda?

    • @christamazara1266
      @christamazara1266 Před 2 lety

      Umeona eee!nawapenda sn sn jmn waoane 2 jmn.

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před 2 lety +21

    Nandy ndio anaependa sana nenga hamna kitu

  • @khadijamasoudmikidady1726

    Nand anampenda sana mpaka namuonea uluma

  • @saraaudax8138
    @saraaudax8138 Před 2 lety +7

    Yan uyu bilnas ata ayuko romantic kwa mwenzie Yan Nandy kanajitahidi kumregezea jicho ye amekazaa

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 Před 2 lety +15

    Neenga!!!! mwanang sanaaa🔥🔥🔥

  • @mutisyatv
    @mutisyatv Před 2 lety +8

    Nandy anampenda billnass sana...

  • @constanciashangali7523
    @constanciashangali7523 Před 2 lety +3

    Billnas, unajina kubwa sana.. una jina la Nyota.. yaan mida hii ulitakiwa uwe juu sanaaa

  • @yvesmasirika3839
    @yvesmasirika3839 Před 2 lety +44

    The lady loves the man more than the man does

    • @alicekisanga8004
      @alicekisanga8004 Před 2 lety +9

      Yes but i think her parents are too negative towards their relationship, which is very discouraging for a man.

    • @fadhiliyusuph5195
      @fadhiliyusuph5195 Před 2 lety

      @@alicekisanga8004 yeah that's

    • @evenabwire1860
      @evenabwire1860 Před 2 lety +2

      So what!!!

    • @marykaingu4888
      @marykaingu4888 Před 2 lety +1

      Yes true nandy amependa sana

    • @sylviah9666
      @sylviah9666 Před 2 lety +3

      Nandys parents are negative towards bilnass kisa na maana kipato cha Nandy kipo juu

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Před 2 lety +12

    I love both of them 🥰🥰

  • @erastojackson8432
    @erastojackson8432 Před 2 lety +3

    Dah penzi lenu linsnikosha sanaaaa Nandy Big up💪❣️

  • @isaya.junior
    @isaya.junior Před 2 lety +4

    OMB. 3:22 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.

  • @mr.elevator4567
    @mr.elevator4567 Před 2 lety +11

    Mapenzi ya upande mmoja magumu sana. Ngoja kwanza Nandy apate experience

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana7988 Před 2 lety +11

    Ila Nandy anampenda saana billnass yaani anavomuangalia tu unaona mtoto kafa kaoza Mungu aendelee kuwasimamia

  • @kimah9855
    @kimah9855 Před 2 lety +13

    Nandy nakuona vile tu unaiangalia sema you guys are inlove😁😂

  • @SilverMediaTVke21
    @SilverMediaTVke21 Před 2 lety +23

    Being in an interview and you're busy on phone is total disrespect

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 Před 2 lety +2

      For real… very very stupid

    • @hamdusimai7711
      @hamdusimai7711 Před 2 lety +1

      Unprofessional kabisa

    • @angelxwt7879
      @angelxwt7879 Před 2 lety +1

      Pia Mimi sipendi simu qwani inahama akimuacha atawahi pata Kama Nandy

    • @hopeeve3558
      @hopeeve3558 Před 2 lety +1

      I second you broo

  • @eazieofficial6209
    @eazieofficial6209 Před 2 lety +6

    Nandy anampenda Sana huku Kaka hata kwa macho anaonekana Ila huyu Kaka sasa

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 2 lety +43

    YAANI HUYU NANDI ANAMPENDA MTU MPAKA ANARINGA

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra4101 Před 2 lety +10

    Nafurahi sana kuwaona tena❤️

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 Před 2 lety +3

    Nandi uyo bwana anadharau achana nae acha kubebelea mizigo ya ovyo kiukweli uyo bwana hakupendi acha kujibembeleza mh!

  • @tehamarobema9403
    @tehamarobema9403 Před 2 lety +6

    Hakuna mapenzi hapo

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 Před 2 lety +8

    hii story isijekuw kama jux na vee😂😂

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 Před 2 lety +25

    Yani wasani wa tz ndo maana awatofika popote sasa wewe unaojiwa unajifanya uko busy na simu kweli, hizo nikuonyesha zarau kwa waandishi wa abari

    • @tunuyaomar5017
      @tunuyaomar5017 Před 2 lety +12

      Sio dharau ana asili ya aibu kwa hiyo hapo anazuga kucheki camera hataki😂😂

    • @64aaa
      @64aaa Před 2 lety +3

      Wewe waona mna mwaswali ya maana hapo isipokuwa Umbea. Waandishi na media za Bongo watakahivyo coz wanasubiri uteleze tu wapate ya kuongezea.

    • @64aaa
      @64aaa Před 2 lety +3

      @@tunuyaomar5017 kabisaaaa na apendi maswali ya kimbea.🤣🤣🤣

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety +1

      Si bora wasaniiiiiiii huwa nasikia kuwachapa viboko wana siasa wa chama fulani yaani hata kwenye mikutano ya maana wako busy na simu NONSENSE

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 Před 2 lety +2

      Sasa kama maswali yenyewe ndo haya ataachaje kuwa bize na mambo yake

  • @officialarafa6511
    @officialarafa6511 Před 2 lety +3

    Yaaniie huwa nawashangaa sana watu wa kwetu 7naulizwa maswali lkn hujibu inavotakiwa sababu ni nini lkn muda wote huo munapotezewa watu bando tuu

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 Před 2 lety +19

    Katoto laini ona kanavyo mwangalia najicho la mahaba Nenga ana faidi nyie

  • @fadhiladam7769
    @fadhiladam7769 Před 2 lety +1

    Jmaa anakilk sana broo nakukubal ata kujibu kwako nakukubal sana nandy anakufaaa msela

  • @mediaisbawa7255
    @mediaisbawa7255 Před 2 lety +3

    Oya aiseee the africa prince

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 Před 2 lety +11

    Bilinasi hana mapenzi yaukweli wanawake hua twamizwa kilasiku

    • @salummzengaeka9341
      @salummzengaeka9341 Před 2 lety +1

      Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,

    • @donathalaizera6561
      @donathalaizera6561 Před rokem

      Ndio washaoana na mtoto tayari

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Před 2 lety +5

    Billnas kaka yng una aibu sana jmn
    Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu
    Anachezea cm si dharau ni aibu huyo

    • @64aaa
      @64aaa Před 2 lety +1

      Hawo hawana cha maojiano ni umbea tu. Na billnenga ndie anaewaweza. Media za bongo wanasubiri uteleze tu ndio utakiona🤣🤣🤣

  • @projazzpromoter7503
    @projazzpromoter7503 Před 2 lety +1

    Mapenzi Adimu. From MuseziTv 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před 2 lety +1

    Wabongo wanapenda sana umbea na wengine kuharibikiwa, aina ya maswali ya so called waandishi wsnauliza

  • @upendodavid3081
    @upendodavid3081 Před 2 lety +4

    Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana

  • @williamkeitha1262
    @williamkeitha1262 Před 2 lety +4

    Billnass umekuja kwa interview but haupo serious upo busy na simu acha uboya hapo umebebwa tu na NANDY.acha upuuzi aisee bill

  • @evenabwire1860
    @evenabwire1860 Před 2 lety +12

    That guy is a cool guy

  • @dach_addiction9557
    @dach_addiction9557 Před 2 lety +6

    Billnass anamapoz ya kishamba

  • @leahfanuel254
    @leahfanuel254 Před 2 lety +7

    What a love 💕

  • @user-ef3gw8hq6u
    @user-ef3gw8hq6u Před 2 lety +2

    Mpenzi ayafichiki hongera nandi

  • @dyzerjoshuah5475
    @dyzerjoshuah5475 Před 2 lety +2

    best couple in town

  • @zubedamagambo9600
    @zubedamagambo9600 Před 2 lety +5

    Bilnas hana comfidance kabisa.

  • @jacqdaniels891
    @jacqdaniels891 Před 2 lety +2

    huyu nae cm utasema kajua cm leo loooh

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 Před 2 lety +4

    Nawapenda jamn

  • @zuhra480
    @zuhra480 Před 2 lety +2

    Why are you guys blaming billnas being on phone...maybe he has interview phobia...nit everyoneikes interviews!!

  • @zachariaamos5585
    @zachariaamos5585 Před 2 lety +5

    Mnaendana sana🔥

  • @atroisfoundation5546
    @atroisfoundation5546 Před 2 lety +10

    Nenga ila next usishike simu unapokua unahojiwa sio poa..bora ukatae interview next time if ur busy

    • @64aaa
      @64aaa Před 2 lety +1

      Media za bongo zinataka mtu kama billnenga. Hapo amna mwaswali ya maana zaidi ya Umbea.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety

      Nadhani yuko shy ☺️ sana

  • @user-jb7cf4if1p
    @user-jb7cf4if1p Před 7 měsíci

    I really apreaciate dis couple❤❤❤❤💯💯

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před 2 lety +4

    Tatizo waandishi wa habar mnapoa sana,tabia ya kung'ang'ania kitu uliza maswali ya msingi yanayohusu mada iliyoletwa

  • @kaymsafi
    @kaymsafi Před 2 lety +2

    WANAKAA VZURI SANA👏👏👏👏👏

  • @esthernonneh2740
    @esthernonneh2740 Před 2 lety +10

    there is a disconnect btwn nenga n nandy

    • @denisdejo5033
      @denisdejo5033 Před 2 lety +1

      Upo sahihi, though people can't see that.

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 Před 2 lety

      Hayo ni mawazo yako aise. Wapo poa tena sana

    • @denisdejo5033
      @denisdejo5033 Před 2 lety

      @@phinaswai4718 Upo sahihi na wewe pia. Some see that way.

    • @eshimendinkya8678
      @eshimendinkya8678 Před 2 lety +1

      Yess hata mm naona hapa kila mtu ana hamsini zake ..Ni kama yale ya vee na jux kuambiana wasiexpose mambo nje ila mwisho wa siku

  • @RoseBitanga
    @RoseBitanga Před 6 měsíci

    Nandy i love you

  • @jemmymarioty848
    @jemmymarioty848 Před 2 lety +6

    ila nandy na nenga pumbaaaaaafu saaaana ,,,
    yan mnang'ang'amuana afu mnajdai mmeachana

  • @faithmutio2628
    @faithmutio2628 Před 2 lety +17

    Nandy deserves a man who respects her..billnass doesn't seem to respect her

    • @jacklinebaini3517
      @jacklinebaini3517 Před 2 lety +1

      I think we are on the same page. Will end up separating like venessa and jux.

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 Před 2 lety +1

      Ata amemwita Huyu alikua South Africa

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 Před 2 lety +5

      Nyie watu mnajaji watu sana!!!MNAWAJUA???

    • @saeedalsaedy9916
      @saeedalsaedy9916 Před 2 lety +2

      unafki mbaya daah wanapendna wte sna snaa

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 Před 2 lety +2

      Haya wamefunga na ndoa kabisa, nyie mnao wajua sanaaaa imekuaje??

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 Před 2 lety +2

    True love never see handsome ur beautiful

  • @khadijakiba3587
    @khadijakiba3587 Před 2 lety +4

    Ila wapare jmn wanajua kupenda hawajui kuacha wakishapenda na wivu juuu kwa sanaa

  • @esthernafula3415
    @esthernafula3415 Před 2 lety +2

    Nandy unapenda hakuna ati unaitwa huyu dada vua viatu

  • @msbeckie4693
    @msbeckie4693 Před 2 lety +1

    The guy yuko busy na cm ad anaboa😏

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 Před 2 lety +6

    Nice🙏🙏🙏✍️✍️

  • @bonifacegervas7936
    @bonifacegervas7936 Před 2 lety +2

    Sweety couple

  • @milbys3decarter998
    @milbys3decarter998 Před 2 lety +1

    This lady eeeish maringo!!!! Ppppthoooo

  • @denisdejo5033
    @denisdejo5033 Před 2 lety +21

    Something is very wrong with these two. No matter what things will never be the same between them. Billnas made a huge mistake while he was still in a relationship with Nandy of which she is using that to hold the relationship between them. Nenga wants to be forgiven so they can get back together but Nandy will find a way to forgive him but not to be with him again. And for those who think that Nandy loves Nenga more than him, big NO, it,s Nenga loves Nandy more than her. As a result, Nandy will be healed from this and move on but Nenga will never recover from this I can promise you that. I really like the new song from Nandy with Nenga "Party".

    • @mayahassan1330
      @mayahassan1330 Před 2 lety +1

      ✌️✌️✌️✌️

    • @denisdejo5033
      @denisdejo5033 Před 2 lety +2

      @@mayahassan1330 🔥🔥🔥.

    • @junaithammahad3844
      @junaithammahad3844 Před 2 lety +2

      Mistake gani kubwa kiasi kwamba nandy asiweze rudiana nae kimahusiano?

    • @eshimendinkya8678
      @eshimendinkya8678 Před 2 lety +2

      @@junaithammahad3844 mtoto nje wakati bado wakiwa ndani ya mahusiano

    • @junaithammahad3844
      @junaithammahad3844 Před 2 lety +2

      @@eshimendinkya8678 ohhh ok apo mm mwenyewe nisingemsamehe. Ok thanks

  • @omahmoses9710
    @omahmoses9710 Před 2 lety +2

    Nawapenda sana

  • @finishmasai4562
    @finishmasai4562 Před 2 lety +1

    Nawakubali Sana ficheni Mambo yenu

  • @ashiriiyulu6430
    @ashiriiyulu6430 Před 2 lety +2

    wanakumbushia 😂😂😂

  • @nimoshe0423
    @nimoshe0423 Před 2 lety +1

    Let's not ignore Billnass rudeness???

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 Před 2 lety

    Hivi mnao andika kingereza mna Nini lakin hamjuh kiswahili au nawependa nyote

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 Před 2 lety +9

    Nawapendaga 🥰🥰

  • @dannywiston6391
    @dannywiston6391 Před 2 lety +2

    Nenga hua ana akiri sana

  • @kingideo4032
    @kingideo4032 Před 2 lety

    Best couple in tanzania

  • @eshimendinkya8678
    @eshimendinkya8678 Před 2 lety +2

    Sidhani kama hapa kuna mahusiano

  • @calvinmayola7866
    @calvinmayola7866 Před 2 lety +1

    Wewwwww nandy

  • @user-lc8cd3cw2m
    @user-lc8cd3cw2m Před rokem

    Safi sanaaa nandy

  • @devisowigo8067
    @devisowigo8067 Před 2 lety

    Hawa jamaa wanaendana xna na mapenzi yao yakisekondary hahaaaa

  • @dolicajosedolicajose1447

    Te amo nandy

  • @leilaadamu4817
    @leilaadamu4817 Před 2 lety

    Nawapenda muwe wote jmn acheni hizi breck up😠😠😠

  • @imeldathomas760
    @imeldathomas760 Před 2 lety +5

    Natamani siku moja kuona mmefunga ndoa.

  • @cecilemsupa2015
    @cecilemsupa2015 Před 2 lety +9

    Huyu bill as anajifanya, nandy atafute mwanaume wa hadhi yake

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 Před 2 lety +2

      Bill Nas anaaibu sanàa

    • @wardaridhwankassim4774
      @wardaridhwankassim4774 Před 2 lety +1

      Nandy anatuaibisha wapare😂 Emb Afate njia ya dada V😍

    • @tonybyser7961
      @tonybyser7961 Před 2 lety

      Nandy kampenda sana Billnass kwo hawezi kumuacha hata iweje 😂😂😂

    • @eshimendinkya8678
      @eshimendinkya8678 Před 2 lety

      Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety +2

    SNS 💕💞💙

  • @RamadhaniMnderi-up7em

    Love it

  • @lameckjr4243
    @lameckjr4243 Před 2 lety

    good bless

  • @masalukasomi1617
    @masalukasomi1617 Před 2 lety +1

    Waoooh

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 2 lety +2

    Wote wamekutana mmoja ana mtoto mwingine ana Popo mwenye makampuni yake bongo

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 Před 2 lety +4

    hawa wanachanaka nakurudiana kilasiku daah 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @pharmaceuticalnotesbank3348

    nenga unakaa kinyongee sana

  • @emmakipalula9097
    @emmakipalula9097 Před 2 lety +7

    Hawa wakimaliza interview wanaenda kugombana....kicheko Cha kinafki...

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před 2 lety +3

    Mwanaume yuko busy na nacm utafkiri wakala mxiiiiiiiiu

  • @user-ol9yx8dz5s
    @user-ol9yx8dz5s Před 4 měsíci

    ❤you biiin

  • @patrickmukundichalamila3038

    Bill aibuuu kama mm🤣🤣

  • @hakimsashamusic
    @hakimsashamusic Před 2 lety

    Play don't worry by hakim Sasha please i

  • @rahmasaleh3953
    @rahmasaleh3953 Před 2 lety +1

    Nandy unapenda over limit mwanaume hana mdaa yani ukitazama tu unajua hakupendi

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 2 lety

    Uyu kaka kwanini yuko ivo Bellinas kweli

  • @bettychambogo4582
    @bettychambogo4582 Před 2 lety

    Love..

  • @kunlecryzee2933
    @kunlecryzee2933 Před 2 lety

    Nenga mah broh