MTOTO WA BARNABA ATOA MANENO MAZITO KWENYE HARUSI - "WEWE NI BABA BORA KWANGU LEO NI SIKU YAKO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 07. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 175

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 Před rokem +21

    Mungu amtunze huyu mtoto

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +8

    *Steve* katisha, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏😘

    • @aminadigo9784
      @aminadigo9784 Před rokem +1

      Upo 😅😅 bila profile nisingekujua😅

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před rokem +4

    Mashallah .....Mr & Mrs Barnaba ....M/Mungu awabariki sn kwa kila mtakalokusudia kulifanya husuthan ..kwenye malengo yenu. ....Ameen ...

  • @bintymohammedy5759
    @bintymohammedy5759 Před rokem +5

    Wema mdogo angu mungu Akupe mtoto inshallah

  • @iddybakar1946
    @iddybakar1946 Před rokem +40

    duuh kakua ivo yaan mtoto huyu nakumbuka ameitwa steve kazaliwa siku aliokufa stev kanumba ni muda saana jaman daaah daah🙏🙏😂😂 asnte mungu niko bado natumie pumzika yako kuishi

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před rokem +1

    Jaamani RAYA anaenda Rombo uwiiiiii karibu uchagani❤❤❤

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 Před rokem +5

    Akika Wema nakupenda sana 💞

  • @emmanuelnemikhe
    @emmanuelnemikhe Před rokem +2

    Mungu azidi kuwabariki

  • @hawamjungu3396
    @hawamjungu3396 Před rokem +1

    Hongera barnaba kwa kufunga ndoa na mwanao kakuwa kweli

  • @afsaiddy5648
    @afsaiddy5648 Před rokem

    Safi sana baba kwa kutamka kwa sasa anaitwa muhamadi ❤❤

  • @dainessmnenwaa4758
    @dainessmnenwaa4758 Před rokem +1

    Wimbo was Sayuni ndo wenyewe sanaaa❤❤❤

  • @khalfannyanje8970
    @khalfannyanje8970 Před rokem +3

    Hakuna kitu duniani kama kuona umekuva kijana mwenye maadili mema hata chozi linaweza kukutoka😢😢😢

  • @user-ex4cx3ky9o
    @user-ex4cx3ky9o Před rokem +1

    Karibu kwetu wif

  • @josephinekalwa631
    @josephinekalwa631 Před rokem +1

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 Před 2 měsíci

    Ehee kumbe ana mtoto mkubwa hivo!! hongera yake

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Před rokem

    Maanshallah Mohammad kwakufanya mamzi

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf Před 2 měsíci

    Arusi imembadili dini kwa mimi nasema ndoa nyingi zinafungwa kwa sababu nasio pendo la mungu

  • @RoziTabu-fw2cf
    @RoziTabu-fw2cf Před 8 měsíci

    ❤❤❤

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Před 11 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Před rokem +3

    Sasa watu washangilie😮e wameelewa?😅😅 Vigelegele vichacheeee.hizi lugha za kuja na ndege bhanna😮

  • @ismailjuma267
    @ismailjuma267 Před rokem +1

    duuh nguo ya mama harusi tu , nacheka mie

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 Před rokem +8

    Leo ndo nmejua kumbe barnaba mchaga😂😂

  • @mwanaidisaid8480
    @mwanaidisaid8480 Před 9 měsíci

    😊😊😊
    ,.

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc Před rokem +1

    Wanakenua tu hahaaa ata awaelewi

  • @user-ug6df5kg7n
    @user-ug6df5kg7n Před 9 měsíci

    Jamani ni kizungu humuelewi au shida nn😂😂😂😂 hapo sijaskia neno zito

  • @LucyKisia-nh7pv
    @LucyKisia-nh7pv Před rokem +1

    Mama kimbo kavaa nini

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před rokem

    Amekuza

  • @aminakipande5645
    @aminakipande5645 Před rokem +6

    Mtoto wa mwanamke mwengine

  • @JawahirSaid
    @JawahirSaid Před rokem +1

    Dah vazi kama sio muislam allah akuongowe

    • @AronMkumbwa-wl1ee
      @AronMkumbwa-wl1ee Před 4 měsíci

      Acha udini ndugu mavazi ayamuoneshi mtu na dini yake sasa muislam kavaa nguo hiyo una semaje sasa hapo

    • @tuikezeezra1315
      @tuikezeezra1315 Před 2 měsíci

      Tunaishi kistaa🤣🤣🤣🤣

  • @user-em4wp1ct7s
    @user-em4wp1ct7s Před rokem

    Shamesha meku

  • @bintspeech3868
    @bintspeech3868 Před rokem +7

    Mama shikamooo khaaa wewe kweli mswahili khaaa banaba kaz hunayo

  • @maryikwabe3368
    @maryikwabe3368 Před rokem +2

    Kwani lazima angeongea kizungu plz tz

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 Před rokem +4

    Mmmmh bora mngefunga ndoa kanisani halafu naona mama barnaba hayupo

  • @ScolaAlex
    @ScolaAlex Před rokem

    ❤❤❤ nawapend

  • @iddybakar1946
    @iddybakar1946 Před rokem +1

    grup la damu muhimu itakua tyr barnaba anajitambua

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před rokem +10

    Daaaaa huyu Steve kaniacha kabis mtu mwenyewe nimeishia darsa LA saba B 😢

  • @RithaMassawe
    @RithaMassawe Před 2 měsíci

    Kumbe Barnabas ni mtu wa rombo jmn uwii

  • @user-kg4bg2fo5x
    @user-kg4bg2fo5x Před rokem +2

    Ati Barnaba kabadili dini kisa mwanamke! Hovyooo

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Před rokem +3

    Vibaya sana unamuonesha nani nani utupu wako we mwanamke unamuonesha nanii😭😭😭😭 jamani uislaam mutaupa JIBU gani yaarabbi

  • @moudmgomo5742
    @moudmgomo5742 Před rokem +2

    aunt raya tena😢😢😢😢 sio mumy..

    • @wanguiwanjiru5320
      @wanguiwanjiru5320 Před rokem

      Kazi ipo😢

    • @najmaomary4185
      @najmaomary4185 Před rokem +1

      Ni mamaak mdgo lazima aite aunt

    • @khadijasayeed3381
      @khadijasayeed3381 Před rokem

      Ni sawa tu

    • @ZayyunSaleh
      @ZayyunSaleh Před rokem

      Yan mtot hajaonesha kabsa uchangamfu kwa uyo Raya maskin mpk nimejiskia vbaya na sijui kwann hajamuita mama kamuita aunt😢Ila wengne ndo walivyo hawawez kumuita mtu mwengne mama tofaut na mama yake alomzaa

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga8727 Před rokem +1

    Mapenz shikamoo😆😆😆 mchaga akabadili dini alow .

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před rokem

      Labda alikuwa na ndoa ya kanisani na mama Steve mana naye alibadili

  • @isakamaganigani1587
    @isakamaganigani1587 Před rokem

    Mama barnaba alifariki bwana elfu2 kumi2

  • @janethedward4631
    @janethedward4631 Před rokem +4

    Kanumba MUNGU anakuona yn sijakuelewa ata ulicho kizungumza wajamani 🥲

  • @monicamunisi2889
    @monicamunisi2889 Před rokem

    Bi harusi Hana utulivu

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay9535 Před rokem +1

    Ww hii nchi ni Tanzania

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js Před rokem

    Waooo jamani hongera kaka

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Před rokem +2

    mnatuacha jamani hatujasoma

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Před rokem

    Maharusi kwanini hawatulii wanakaa na waswas why

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Před rokem

    Hapo mchagga ni Steve tu. Waliobaki kwisha habari yenu

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Před rokem

    Ukoo wa Sykes ni mkubwa mbona ameonekana Dully peke yake?

  • @user-sk4mt4hd2b
    @user-sk4mt4hd2b Před rokem

    Mbona bibi ako uchi jamani

  • @mamuumoses9547
    @mamuumoses9547 Před rokem

    Msishangae kubadil din barnaba coz mda wowote taraka itamuhusu bi harus tembeeni na hyo

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Před rokem +1

    Mamaaa muachie kungwii wewe mama hupaswi kuyaongea hayo

  • @inongee1141
    @inongee1141 Před rokem +4

    Sina wivu.ila kiukweli bibi harusi hajapendeza hilo gauni limemufanya aonekane mwili mrefu kutoka kiunoni kwenda juu. Kaonekana ana mgongo mrefu

  • @mropeeliakim2528
    @mropeeliakim2528 Před rokem +1

    Kwa hiyo hayo ndio Maneno mazito 😅

    • @bettymwikali8019
      @bettymwikali8019 Před rokem

      C kwa kizungu hichooo

    • @SantiaQwer-ij1ws
      @SantiaQwer-ij1ws Před 8 měsíci

      @@bettymwikali8019 wewe unayejua kingereza nahuna lolote Kaa kwakutulia aliyekwbia kizungu nimambo yote nani acha shobo mtoto wakike 😂😂😂

  • @bintspeech3868
    @bintspeech3868 Před rokem +1

    Siku nyingine ongea kiswahili umeniacha mbali ujue embu nitafisilien

  • @user-un5dm8gj7p
    @user-un5dm8gj7p Před rokem

    uyu mtoto atalelewa kwenye missing ya dini gani? mbona Wanamchanganya mmmh

  • @hamiduhamisi2371
    @hamiduhamisi2371 Před rokem +1

    mbona huyu mke wa barnaba kama baunsa frani au macho yangu😳😳😳😳😳😳? mmemuona mikono yake anavoivimbisha?

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Před rokem

      Ndio kaolewa hivyo

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před rokem

      @@mishikombowato1457 hakuna aliesema hajaolewa kinachozungumzika ni ubaunsa mwanamke anatakiwa raini bwana kwani kuolewa bei gani? watu tupo kwenye ndowa myaka 30 itakuwa yeye kaanza 😏

    • @mishikombowato1457
      @mishikombowato1457 Před rokem

      @@hamiduhamisi2371 kwani nimesema anaanza hajaanza wala.hajamaliza ulivyosema.utadhani.kajiumba yy haya Ana milono ya baunsaa ila kaolewa mnapenda kukosoa hata pasipo tatizo basi mkipendeza nyie inatosha

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 Před rokem

    Raya naomba mganga wako na huyu mbuzi wangu aweze kubadili dini

  • @cynthiachesang6972
    @cynthiachesang6972 Před rokem +2

    Gauni ni Ile ya wedding ya nandy no wonder huyu hajapendeza ndani

  • @user-nq2gl9fj9x
    @user-nq2gl9fj9x Před 8 měsíci

    Ogerasana

  • @asifiwewisayi8580
    @asifiwewisayi8580 Před rokem

    Kumbe ww ni mchaga Barnaba

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem +1

    Rombo ni wakatoliki.Kaoa kaolewaaa,Yesu anakaukia mbavu.

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa

  • @iddybakar1946
    @iddybakar1946 Před rokem +3

    sijaelewa kwamba mama kimbo ndio mama yake dullyseks

  • @naligiatomaso5006
    @naligiatomaso5006 Před rokem +3

    Hyo dogo hawez kumuheshm mama yke maana nmejarb kumwangalia Mara nyng bdo cmwelew

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 Před rokem +2

      Hahaha hampendi kabisa mama yake kwasabu siyo mama yake halisi wmbaya zaidi kambadilisha dini baba yake hata ningekua mimi

    • @sabinaonline6575
      @sabinaonline6575 Před rokem

      Akina shangazi hawaamini kama Barnaba kabadirisha dini, maana wanasalimia bwana asifiwe tumsifu Yesu kristu badala ya wasalamu maleko😂 baba ake barnaba kasema anamshuku Mungu kwa Mwanae kufunga Ndoa Takatifu daaahh

    • @nikusubilamwakyusa7059
      @nikusubilamwakyusa7059 Před rokem

      Picha linaanza, kamuita Aunt Raya😔

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem +1

      ​@@sabinaonline6575Usilolijua sasa huyo mtoto anampenda Raya hatari na jua km mama yake mzazi muislam na huyo Steve amebadilishwa dini ni muislam kwa sasa atakaaje ukristo ikiwa mama mzazi muislam na baba kaingia uislam poleni waja

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem +3

      ​@@nikusubilamwakyusa7059Tembea uone ndugu waarabu mama mkubwa mama wa kambo wote wanawaita aunt

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872 Před rokem +5

    Hiyo ni broken english kwani ulifosiwa uongee english?

    • @fatumahamisi6470
      @fatumahamisi6470 Před rokem

      Kweli kabisaa Yani broken hatari

    • @shangwefisima3993
      @shangwefisima3993 Před rokem +1

      Weee toka pepo.... Tanzania Lugha yetu kiswahili Kaongea English kajitahidi kwasabu siyo Lugha yetu acha chuki

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Před rokem

      @@shangwefisima3993 arudi shule,tz ni kiswahili bt sahi ninavyoongea 99%waongea English ukobwapi wewe

    • @sarahmuhammed6872
      @sarahmuhammed6872 Před rokem

      @@shangwefisima3993 mwAmbie mtoto wa mobeto amfundishe english

    • @salomeraymond2051
      @salomeraymond2051 Před rokem

      Kwa umri wake kajitaidi mwache mtoto khaaa🙄

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před rokem +1

    Bibi harusi nguo ulio vaa inaonekana uko unapumuliya juju

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Před rokem

    Sijaelewa chochote Kama hao wanaopiga makofi pasi kujua kilichoongelewa Ila makofi xx😂😂😂😂😂yalitawala

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před rokem +2

    Mbona hawafanani walishawahi kufikilia DNA

  • @akidajulius1581
    @akidajulius1581 Před rokem +6

    Sasa huyo dogo stive mbona anajina la kikristo,wakati wazazi wote niwa islama na wamefunga ndoa ya kiislam

    • @r9ayyansaid652
      @r9ayyansaid652 Před rokem

      Raya si mamaake

    • @margarethasway8450
      @margarethasway8450 Před rokem +2

      Barnaba alikuwa mkristo lkn sasa amebadili dini na kuwa muislam km mkewe raya

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před rokem

      @@margarethasway8450 ok, Sasa da amemuacha dogo pekeyake ktk ukristo alafu yy kakimbilia uislam,,ambadili na dogo nae,maana dogo peke yake hata wezakujiongonza kwa umri wake ktk Imani ya kikristo

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 Před rokem

      ​@@akidajulius1581SI anaishi na Babu yake atamuongoza

    • @Teddy-fq5oc
      @Teddy-fq5oc Před rokem

      ​@@akidajulius1581embu tuachieni mdogo wetu

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Před rokem +8

    Uislaam saivi watu wanauchukilia ki rahisirahisi weee mwanamke na ndo muislaa amekushinda hata huyo mume aliebadili dini kavaa stara we mwanamke upo utupyuuu wallahiii mi munanilizaa😭😭😭😭 nasikia

    • @guenterernst5481
      @guenterernst5481 Před rokem +3

      Kìla mtu atakwenda na amal yake muhimu bwana amesilimu na kufunga ndoa halal

    • @rahmamohd4822
      @rahmamohd4822 Před rokem +1

      Ukweli aambiwe akisoma comment ajifunze makosa yake

    • @rehematawalani733
      @rehematawalani733 Před rokem +1

      @@rahmamohd4822 kweli kabisa yaani

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem +1

      ​@@guenterernst5481wewe itakuwa sio mwisilaam ndio maana wajibu uwazavyo

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem

      Harusi kama sio waislaam subhannallah

  • @neemaalphonce109
    @neemaalphonce109 Před rokem +3

    Ndoa imeenda kikristo kabisa ad mizk mingi ni gosper tu sa kaslim nn apo

    • @nurudovino4587
      @nurudovino4587 Před 11 měsíci

      Mungu ndio anajua na asirimia kubwa miziki ya kikirsto ndio sana kwenye harusi maan asirimia kubwa tumichanganya dini