Meena Ally - Ajibu kuhusu Mahusiano yake na MillardAyo, Nimewasamahe wote waliosambaza Clip ya Uongo
Vložit
- čas přidán 4. 10. 2022
- Meena Ali aongelea tetesi za Mahusiano yake ya Kimapenzi na Mtangazaji, MillardAyo hadi kuingia ukumbini Mlimani City wakiwa wameshikana Mikono kwenye Usiku wa Harusi ya Bill Nas na Nandy, Pia aongelea swala la video clip iliyovuja na kusema kishawasemehe wote waliohusika!
Tazama Full interview hapa, Subscribe channel hii #LilOmmyTV #MeenaAlly #Podcast
Part 1 - • Meena Ally - Nilidanga...
Part 2 - • Meena Ally - Asimulia ... - Zábava
Meena Akili kubwa sana🙌🏽
Very positive hongera sana Meena Ally
she is positive and I didn't expect atajibi....ivi I really like her naatafika mbali sana....honestly kile ndo kipimo sahihi chakugundua the way alivyo strong....nakubali sana hustle zake......and I promise atafika mbali mara amsini yaalipo fikia....dua njema kwake
Kizaz nakukubal an lilly ommy una inspire sn wallah
Meena you are my favorite...keep it up sis
Nimejifunza vitu Vingi kweli kipitia Meena Ally leo,Hongera sana bro @lilomy
The lady is truly cute
Safi sana meena Ally umeongea kwa utulivu mashallah 💓
Nakupenda saan my kipenz meena Ally mungu akubarki Katka maish yako yote na Kaz ya mkono yako❤❤❤
Mi nawapenda mno sana mkiwa kwenye mahusiano
True ❤
The MVP🇧🇮🇿🇦
Kizaz sana liliommy
Dope
Nakupenda meen all
Big brains
When two of my favorite meets........
#Meenaally
#LilOmmy
Meena Ally👏
YOUNG AND BRAVE ,Meena
Nakuelewa San mdad
We ni mfano wa kuigwa kwa wengi San kiufup kinawe Ng wanajifunza kutoka kwako
Lily Omy n mwamba San
Love you meena,unaongea vzr,unamajb smart,ur very humble Lady...Pambania ndoto zko utafik mbali sn Mamy.
Nyote!!Nawapenda,,Mina Ally napenda ukivaa km leo kitumbo hakionekan
👏👏👏👏👏
Hpo kwa millard umetupiga meena bhn c useme ukwel tu😍
Nimeipenda hiyo unabeba hiyo kutokana na Blood group A wapo hivyo
Moja ya watu ninaowakubali na kuwafuatilia kwa ukaribu sana ni huyu mdada Meena Ally Mungu akutunze sana kwa kweli,najifunza vingi kupitia wewe.
Benjamin ivan shabani💪
Yani huyu mdada nimdada ambaye anajielewa sijawahi kumdondosha Mungu ampe ujasiri
Askwambie mtu interview ili uinjoy umpate lily omy ,millad ayo ,salama na vido vidox.
Nakubarii sana
Kuna SNS pia
@@ngwacahnyagwaswa9979 Ni kwel nao wapo vizur hasa hasa fedric bundala(sky worker) na criss feyvaz. wanahoji vizur
jonijoo nae
Na yule mkaka anaehojigi kwenye kipindi Chill na Sky hua yuko very smart kwenye kuhoji
LILOMMY UKO VYEMA SANNA INTERVIEW ZAKO BUT SHIDA UNAINTERFERE SANNA MZUNGUMZAJI INASUMBUWA KIDOGO
Wanaotoa hizo video chafu chafu wamekosa kazi za kufanya.
Inter view ya mtangazaji kwa mtangazaji ipo km story flani km simahojiano iko poa san
yule ww bhna
Namuona mtangazaji wa take one action cha cluody midia
Kwani chaa ajabu nini
Kawasamehe vip si alibisha sio yy
Kuwa mulewa kasame Kwa wale walio sambaza uli video na kudai kuwa ni yeye
Hata mm siamin Kama ww unaujinga Kama ule
Ukovizur mwana dada kwa kutangaza
kwan ayo si ameoa kwann asiwe anaenda na mkewe
🇹🇿🇹🇿
Dada fanyakazi wanawivutu binadamu pambana dada
Yule ni yeye sometimes ukiwa katika lile jambo la sex unaweza ukawa happy ata kwa kujulikodi ili iwe kama kumbukumbu ya furaha yako ikitokea gafra umegombana na mwenza wako anaweza akakuambisha tu.ili brand yako iwe mbaya
Usijali ushapewa ruhusa ya kuamini ukweli wako
itoshe kusema ww ni msengeeeeee
@@ChoroTesla 🤣🤣🤣
Eti siwezi FANYA ivyooo kwani hautombwi ww si mwanamke
Unauwakika gni kma ni mwanamke😏😏😏
😂
😆😆😅🤣
Mh 😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆aya bnhaaa
Kuwa na busara
Ommy bado uko limbukeni sana, unasema watu wasichafue watu maarufu kwa hiyo watu wasiotaka umaarufu inakuwaje, halafu influencer na pesa nyingi vingereza vingi kichwani bado sana dogo
He's poor in English kuna vimaneno amekalili had kero he is just reapeating all the time,too bored
Ahaa kumbe umenotice he is not real. Like to look American with his little cramed statement which makes him look like a cartoon to smart people. Ushamba wakati mwingine bana
Wacheni ujinga bhana
Mjinga ni huyo anayetaka umarekani angekuwa anaishi huku kama sisi si angeshaukana u bongo kabisa
@@ufugajiwetu7782 hivyo vijineno ndo vnanfanyaga ncmwangalie ad naona aibu mie anavyovirudiaga..🤣🤣....
Bigap meen nakukubali sana young sisiter
kwan ayo si ameoa kwann asiwe anaenda na mkewe
Hata mm siamin Kama ww unaujinga Kama ule