One of the best interviews, yani jux umetulia kwenye majibu.. Millard umeua na huyu sister Duu Ndo kabisaaaa ume relax unatupa mawe kwa utuliivu huna pressure. 😂😂😂 big sana 👌
Jux kiukweli nakupendaga sana kwasababu uko mukweli nakuomba ujitahidi uendeleye kuwa n'a imani n'a kumukumbuka Allah kwa sababu n'a yeye hajawahi kukusahau ❤
Jux umeongea kitu Cha Maana sanaaaa Ila hakikisha unatimiza lengo lako Maana umesema unatamani watoto wako wawe wa Baba moja na Mama moja au kupata mke ambae kifo ndo kitawatenganisha inabidi umuombe MUNGU SANA Maana atakupa
Zaa tu usiogope mimi nina watoto saba .zaa mwingine nletee nikusidie kumlea i mean kumpatia security .usiogope kabisaa maisha .mtoto wako ndio atakuwa rafiki yako .mimi wanangu ndio marafiki zangu napiga nao story mpaka nasikia raha japo sina sana but im very happy na hivyo sitakufà haraka .maana najua Mungu hawezi kunichukua nikaacha hawa watoto .Ameen
Ayo nimependa ulivyogeuza concept ya cheating na kufungua kabat la jux 😂😂😂 smart technical questions, hii ndo ufunze watu wako uloajiri siyo yale maswali yao , kwa haraka haraka unaingiza sh ngapi
😂😂😂😂 hiyo inakuwaga sana, sababu unaweza kuwa unamatatizo, unawaambia masela, halafu wao hawakuelewi hawaaamini yani. Lkn hiyo ni nzuri bro inamaana unyota ya kufanikiwa. Uhauri wangu tu kutjmia huo muknekano wako unaweza tafuta connection na watu wenye mafanikio na wewe waweza kufanikiwa kea njia hiyo
Mimi simujuwi huyu jux lakini naona anahakili nyingi sanaaa tena sanaaa !❤Mngu akubaliki natena akufikishie lengo lako ,Mngu nimuweza wayote tuuu uwendeleye njiya nzuli inapendezesha Mngu yote yatatimiya ,siye tunashugulika lakini mngu alitupatanisha na ambao hakili zimecanganyikia mwisho vikanshindikana😢😢lakini kilakitu Mngu ndoo anajuae ✌️❤️.
@@LeilahRashid-fg3pt kwa kaz tuu kipenzi alhamdulillah nina stationary yang tena kubwa tuu napatikana amani zanzibar mkabala na uwanja wa aman taifa ukifika tuu ulizia Ijmal stationary utaletwa na ilo Ijmal ni jina la mwanang nimeandika office yang jengne nikisaidis
Nilisikia "nomatawale" pale jamaa walivosema "no matter what" 😂😂😂😂..dah, when english ain't ur thing unasikia vitu vya ajabu sana watu wakiongea kizungu bana
Brother Millad mtafute kijana mtanzania mmoja he/she asie na chochote fanya nae interview nakuhakikishia utakuwa umemsaidia sana huyo mtu tunakupenda millad . #back to the community 🤝👊
we umeongea point coz kuna vijana wengi mtaani wana talent kaka millard tuna kuamini mfano kuna kijana ana itwa ivorange ana jua sana akina vanilla akina hanstone
Mm na Amin kila malaya awe wa kike au wakiume lazm achoke na pia hukosoa sababu ya Yanii x ndio wabaya Mm naona wazizi wapigwe bakora mia Huu ni ujinga ila kama ww umepitia umalaya utanielewa yani hata kam uliwahi kudeti mara 3 tu ww ni kamalaya na utakuwatu kam huyu anaye zungumza hap huyu ni kwa sababu tuhuyu maarufu lkn vija wengi wako kama jux na umalaya tu tuachanen na zinaa hakuna Mzizi Muumini
Maisha kweli yanaenda kasi Sana huyo Frida nilikuwa nae kwenye bongo star search 2015 alikuwa anajitafuta Sana, leo kafika mbali kiasi hiki, mm ndo kwanza hata sijulikani dahhh kwenye hii dunia unaweza ukawa na matamanio ya kufika mbali lekini WAP hata sijui naelekea wap
Mm sitaki bana uzizi umetuharbu bhana ni porojo tu hata ukimpata pia mwengine uta achana naye tu kwako kama somo la hesabu una patga 'f' halafu unajielezea kumbe huna msingi wa hesabu Sio rahis utafel tena kweli hat kam ni ww uno soma sms
Jux ana jitambua kumbe kiasi hiki aisee noma 💪💪💪
I love frida amani ..... ana kitu atafika mbali AMEN.
she is so good aisee
One of the best interviews, yani jux umetulia kwenye majibu.. Millard umeua na huyu sister Duu Ndo kabisaaaa ume relax unatupa mawe kwa utuliivu huna pressure. 😂😂😂 big sana 👌
Nimependa anavyojielezea mara nying ukiulizwa kuusu ex wako utajikuta unamsema vibaya but him anawaongelea vizur nimependa tujifunze kitu Kwa kwel❤
Napendaga interview za jux hanaga konakona
Jux kiukweli nakupendaga sana kwasababu uko mukweli nakuomba ujitahidi uendeleye kuwa n'a imani n'a kumukumbuka Allah kwa sababu n'a yeye hajawahi kukusahau ❤
Jux umeongea kitu Cha Maana sanaaaa Ila hakikisha unatimiza lengo lako Maana umesema unatamani watoto wako wawe wa Baba moja na Mama moja au kupata mke ambae kifo ndo kitawatenganisha inabidi umuombe MUNGU SANA Maana atakupa
Katika wasanii humble na wenye heshima ni Jux. Nampenda sana🥰. Interview poa sana 🙏
Zaa tu usiogope mimi nina watoto saba .zaa mwingine nletee nikusidie kumlea i mean kumpatia security .usiogope kabisaa maisha .mtoto wako ndio atakuwa rafiki yako .mimi wanangu ndio marafiki zangu napiga nao story mpaka nasikia raha japo sina sana but im very happy na hivyo sitakufà haraka .maana najua Mungu hawezi kunichukua nikaacha hawa watoto .Ameen
Watoto saba 😂😂😂
@@rose_Winchester86 ndio ndugu yangu .wewe huna watoto ?au mtoto?
Nimepanda hii interview 🎉superb
Kama unamkubali millard ayo gonga like za kutosha
Masha'Allah Ramadan Kareem Wa Saum Maqbul Insha'Allah... May Allah protect you from hasad
I started listening to this interview a bit skeptical, however now i respect the guy .. he’s truly really humble
Ayo nimependa ulivyogeuza concept ya cheating na kufungua kabat la jux 😂😂😂 smart technical questions, hii ndo ufunze watu wako uloajiri siyo yale maswali yao , kwa haraka haraka unaingiza sh ngapi
Ni kweli.nina muonekano wa mtu mwenye hela ila sina hela kabisa.mungu mdio mjuzi wa mambo yangu
😂😂😂😂 hiyo inakuwaga sana, sababu unaweza kuwa unamatatizo, unawaambia masela, halafu wao hawakuelewi hawaaamini yani. Lkn hiyo ni nzuri bro inamaana unyota ya kufanikiwa. Uhauri wangu tu kutjmia huo muknekano wako unaweza tafuta connection na watu wenye mafanikio na wewe waweza kufanikiwa kea njia hiyo
Mimi simujuwi huyu jux lakini naona anahakili nyingi sanaaa tena sanaaa !❤Mngu akubaliki natena akufikishie lengo lako ,Mngu nimuweza wayote tuuu uwendeleye njiya nzuli inapendezesha Mngu yote yatatimiya ,siye tunashugulika lakini mngu alitupatanisha na ambao hakili zimecanganyikia mwisho vikanshindikana😢😢lakini kilakitu Mngu ndoo anajuae ✌️❤️.
Kama unamkubali jux tujuane kwa like❤
kx m,.,
x.z.zkskxkxmxmdmdmxlxmxkxlzmzzm dkddkdjd nc xkdkdkls cwkkqoskzM
Mtoto wakitaa kimara baruti,respect juma jux
Sehem gan kaka?
Kajitaidi kufunga sana ongera jux
Mungu atakuwezesha utasali swala zote
Gelfrnd alofkia nae kutaka kuoa ni vanesa na huyu atajutia sana hatodumu mahusiano karma ta Vmane hii😢
He speaks Soo well of his exes ,,hope he finds a good wife wishing you all the best Jux ,,may the stars align for you all the best
Jux mim nakupenda kama vip karibu kwenye ulimweng wang tujenge familia napatikana zanzibar 💕
Tafuta kazi ufanye uache ujinga
@@LeilahRashid-fg3pt kwa kaz tuu kipenzi alhamdulillah nina stationary yang tena kubwa tuu napatikana amani zanzibar mkabala na uwanja wa aman taifa ukifika tuu ulizia Ijmal stationary utaletwa na ilo Ijmal ni jina la mwanang nimeandika office yang jengne nikisaidis
sawa tutakujaaa
Jux so professional answering questions
Naombeni mnikutanishe naye please😢 msanii wangu pendwa❤
Nilisikia "nomatawale" pale jamaa walivosema "no matter what" 😂😂😂😂..dah, when english ain't ur thing unasikia vitu vya ajabu sana watu wakiongea kizungu bana
Kama unamkubali juma jux bad nipe like hata kama so ya upendo 🙏
Millard hakuwepo kabisa kwa hiyo interview...ameuliza maswali ambayo Jux alishaeleza..ni kama hakua focused
interview Safi ,I just like the way he answers the questions.my favourite artist always.🥰🥰🥰🥰.
Ila jux nimemkubali Kwa aina ya mwanamke anaetaka kumuoa safi kujisimamia ni vizur sana hata kama mume hayupo good
Brother Millad mtafute kijana mtanzania mmoja he/she asie na chochote fanya nae interview nakuhakikishia utakuwa umemsaidia sana huyo mtu tunakupenda millad . #back to the community 🤝👊
we umeongea point coz kuna vijana wengi mtaani wana talent kaka millard tuna kuamini mfano kuna kijana ana itwa ivorange ana jua sana akina vanilla akina hanstone
Afanye nae interview kuhusu nn?!
Nimepitia kama jux kuachana na mtu bila 7bu za msingi inaumiza sana inatokea tu
bro yupo open sana i like that
Mbona km nime fit kwenye vigezo vyako juma 😅😅
Jux una Mungu mkubwa sana. Umeweza kuwa Karibu na furaha yako ya milele
ALLAH AKUJALIE UPATE MKE MWENYE KHERI NA WW JUX❤
Jux❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Umeongea vzr sn utapata mke mwema mtangulize mungu
so much love jux
Jux 👍🏿
Juma nimemuelewa sana ❤❤❤❤❤
Uko vizuri kwakweli nimekupenda kwa ajili ya allah
Jux hapo kwa miaka HAPANA😂😂😂😂😂ILA NAKUPENDA JUX❤❤UNAIMBA👌UR SONGS👌😍
❤ you sana jux
the composure on jux when he answers the questions
Mchukuwe bs uyu mdada.ni kama anakuwaga na hutu ndani yk ,naamini mnaweza mkadumu 😘😘
mdada yupi?
@@palistrofruly uyo mtangazaji
One of the best.
it was nice interview
Jaman part 2 iko wapi 😢😢
Nimpend sana jux❤
NICE
Bhanaaa this interview was so good and therapeutic kwangu! But is Jux on a therapy?!
Sema mwamb mbunifu sana !!
😂😂 una date na kale katoto kanasomagaa habary😂😂😂 nomaa san milan
Nakupenda Sana paka naumwa
You’ll find your soulmate 💔 you’ll find your forever girl
❤❤
Millard ana maswali ya mitego sana very professional 😂
Frida is even worse😅
Jux All the best una baya mwamba wangu
Dimpoz Dimpoz 😢
I missed you guys may the lord keep you alive 😊 From Cape Town
Pezula musandawana mamelodi 😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 I see you’re still hangry but don’t I’m Congolese and my club is TP mazembe
Big up sna jux...m2 pic sna
Jux anajua🎉
Kwel Jux Kaongey Fact Xana 👌
Jux👏👏👏
We was ....
Millard Ayo hii interview part 2 ni vipi?
Jitaidi tu kumuomba mungu atasaidia ❤
Namkubali Sana Huyu Jamaa ❤❤❤
nice speech
❤❤❤
Huyu kaka ana hekima sana pia imani
🤝
Mm nataman wangemuuliza kuhusu tattoo alizo chora na maana yake
Jux Kwann unateseka na wanawake ambao hawaoni umuhimu wako Wala upendo wako njoo nichukue mm ninayekupenda🥰
😂😂😂😂atary san
ILA CRUSH JAMANI
Niko hapa jux
Frida ana maswali kama mtangazaji wa redio za njombe
Kwann njombe lkn😂😂😂
Kwakwel why njombe
Frida umenifurahisha sanaaaaaaa umechimba hadi raha yani😂❤
yakisenge sana interview
Acha wivu bro
Yeah,kwel lazima tuwe na mke mwenye uwezo wa akili ya kuendesha familia
❤
part two plz, brother Milard _?
Kumbe frida ni pisi kali tu😊😊😊
Audhubillah vp unajisifia maovu hali ya kuwa mwenyezi mungu akikustiri?maovu yako
❤❤❤❤ jux
❤
Frida ❤❤❤❤
Bro punguza kukojoa njee utasaulika mapema sana siku ikifika
Yanii Nakia story y’a Vanessa khafla najikuta inawez kuwa caren jamanii leteni part two 😅
Frida anazingua😅 in a good way.
I don’t know why I have a feeling the lady that juma blocked and unblocked is hudah from kenya
Frida mrembo kweri kweri
Ila frida😂😂😂🙌🙌🙌 ni mwajuma nchokonoe
Inaonekana kesha cheat buana anakimbia 😂😂😂😂 but MUNGU ANAJUA
Mm na Amin kila malaya awe wa kike au wakiume lazm achoke na pia hukosoa sababu ya Yanii x ndio wabaya Mm naona wazizi wapigwe bakora mia Huu ni ujinga ila kama ww umepitia umalaya utanielewa yani hata kam uliwahi kudeti mara 3 tu ww ni kamalaya na utakuwatu kam huyu anaye zungumza hap huyu ni kwa sababu tuhuyu maarufu lkn vija wengi wako kama jux na umalaya tu tuachanen na zinaa hakuna Mzizi Muumini
Ila izi miwan waga zinaficha maovu
Fridaaaa mchimbisti kunywa soda kwa mangi nitalipa 😂😂😂😂😂
Hapo jux chukua frida weka ndani mambo yaishe acha kulia lia
Sio joketii huyoo mirado hayooooo 😂😂😂📌
Maisha kweli yanaenda kasi Sana huyo Frida nilikuwa nae kwenye bongo star search 2015 alikuwa anajitafuta Sana, leo kafika mbali kiasi hiki, mm ndo kwanza hata sijulikani dahhh kwenye hii dunia unaweza ukawa na matamanio ya kufika mbali lekini WAP hata sijui naelekea wap
Mm sitaki bana uzizi umetuharbu bhana ni porojo tu hata ukimpata pia mwengine uta achana naye tu kwako kama somo la hesabu una patga 'f' halafu unajielezea kumbe huna msingi wa hesabu Sio rahis utafel tena kweli hat kam ni ww uno soma sms