Video není dostupné.
Omlouváme se.

Mwijaku Afunguka Billion 1.3 ilivyotumika kwenye Nyumba yake! BABA LEVO Hana Mipango! Part 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 01. 2024
  • Baada ya kuwa gumzi kwa wiki hii, DC wa INSTA Mwijaku amekaa na Lil Ommy kwa Saa 2 na kuelezea nukta hadi nukta jinsi Billion 1.3 ilivyotumika katika ujenzi wa KASRi lake Kigamboni!, Tazama Full interview hapa, Subscribe, Like, Comment & Share!
    Mwijaku aichambua Billioni 1.3 / amchana Baba levo Hana Mipango, alezea mambo kibao kuhusu UCHAWA ulivyomlipa na familia ilivokua inachukulia. ni stori ya kusisimua na kufurahia pia!
    Muendelezo wa stori kali upo Part 2, 3 na 4!
    Kijana tumia kinga, Zingatia uzazi wa mpango. #Sitetereki

Komentáře • 64

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před 7 měsíci +3

    Daaaah!Mwijaku matataaa😂😂,muongo hatariiii😂😂😂Mwijaku kibokoo😂

  • @milanomilanogi
    @milanomilanogi Před 7 měsíci +1

    Mmmmhhh

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas8876 Před 7 měsíci +4

    Kila interview numbers za bei zinabadilika 😂😂

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 7 měsíci +1

    Mwanzo alisema hicho kitasa kaweka chumban kwake TU Leo anatuambia kaweka sehemu tatu😂😂😂😂😂kwel muongo siku zote huwa Hana kumbukumbu

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard Před 7 měsíci +2

    Oya ril ommy huyu jamaa adanganye mafala me ni fundi(Local engineer) hyo nyumba ya mwijaku kaka
    Skimming
    Primer binder
    Dawa za ant fungus
    Rangi za no 190000-240000
    White za selling board+ urembo
    Chuma za kudzn board kweny zege floor za juu
    Mbao+ board+ srew+ gypsum powder
    (Labor charge)
    Yaan namahanisha skiming ya jengo Zima+ dzn ya board jengo Zima + finishing ya rangi ni mil 30-35

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 7 měsíci

      Eeeeh 😅

    • @saluuhans
      @saluuhans Před 7 měsíci

      Kk tofautisha fundi bakari na ma engineer wa mwijaku 😂 sasa wewe ni fundi bakari ndio unabajet hizo 😂😂😂😂

  • @jaffarmusafiri5729
    @jaffarmusafiri5729 Před 7 měsíci +2

    Duh, huu Mwijaku ni muongo sana. Alafu hakuna kitu kizuri kama kuongopewa na unajuwa ukweli, Lil Ommy ametulia tu ila anacheka kimoyomoyo 😂

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard Před 7 měsíci +1

    Kuma Nina skiming+ binder mil 300 acha usenge we limbukeni

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb Před 7 měsíci +3

    Hahahha uongo mwingi sana kwa hii interview 😅

  • @javanwatson6675
    @javanwatson6675 Před 7 měsíci

    11:42 😁😁uzuri wa iphone haidanganyi, kwani simu gani jamani ambayo haioneshi tarehe

  • @saluuhans
    @saluuhans Před 7 měsíci +2

    Wahenga wanasema Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu 😂😂 mshenz muhongo huyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana hii interview Kila interview Bei zinapanda 😂😂😂

  • @gataramaabdul9761
    @gataramaabdul9761 Před 7 měsíci

    Number 1

  • @user-fp5fp6wg9n
    @user-fp5fp6wg9n Před 7 měsíci

    🛫

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 Před 7 měsíci +1

    Jaman one’s of his interview anasema ilibomoa nyumba ikiwa ipo kwenye renta so how come iko na wapangaj ndani

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Před 7 měsíci

    Haya bb bora2 una gholofa yko modo kwsha ila kote huko umedanganya mno

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 7 měsíci

    kama kweli anavyosema kapigwa vibaya sana

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 7 měsíci +2

    Kunahitajika kampuni Ya kutengeneza kinga za mdomo kama vile comndom Ya kuchuja MANENO Ya hovyo.
    Unaongea hadi hueleweki tena.

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 7 měsíci +1

    Uongo wa mwijaku hta shetan anauogopa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 7 měsíci +1

    Chawa kanunua kitasa cha millioni 18 sisi wengne tunafer wap?😂😂😂😂😂😂😂

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 Před 7 měsíci

    Mfarume

  • @Kingkongchuma
    @Kingkongchuma Před 7 měsíci

    11:57 iPhone haha video ya mwaka Jana uki tumiwa Leo kwako itasema Leo urongo wa kishamba

  • @BrianKyai
    @BrianKyai Před 7 měsíci +1

    Nyumba kali ila 1.3B mh....hype tu hizi za mjini

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard Před 7 měsíci +1

    Hyo rangi anasema dark grey price yake Ni 190000 kwa ndoo (prascon) kampuni ya kwanza kbsa kweny rangi inamaana hyo nyumba imepigwa ndoo 100+ 😅😅😅😅😅

  • @yogwemwakulola1634
    @yogwemwakulola1634 Před 7 měsíci

    Nyinyi waandishi Mbona msimuulize kuhusu kakayeke aliropoka kwamba taa zinatoka Kwa duka lake hapo Mbona mnafuka hamumuulizi nipate tu nafasi ya kuwauliza maswaki Hawa machawa naona uchawa utafika mwisho maana napita humohumo Hadi watoroke interview

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 Před 7 měsíci

    Umeokopa taa ya laki moja ukaendan kununuw taa la million 5. Mshenzi san mwijaku

  • @kitumbayork5720
    @kitumbayork5720 Před 7 měsíci

    🔥🔥🔥

  • @nk.t.shabani4217
    @nk.t.shabani4217 Před 7 měsíci

    Mwijaku muongo jamani hizo taa kwenye interview ya zamaradi tv kaka yake kampa kwa bure 😂🤣🤣🤣 bongo ukifa kwa stress basi unajitakia mwenyewe 🤣😂🤣

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg Před 7 měsíci

    Sijapata kuona uongo kama uhuu, mambo hayo amwambie mwanae.

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 Před 7 měsíci

    Sagwn hao

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking Před 7 měsíci

    Uongo pia huakisi kiwango cha ujinga

  • @jrsingham
    @jrsingham Před 7 měsíci

    Kuskim m300 kila fundi Kaskim kwa m30 😂😂😂

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard Před 7 měsíci

    Lakin et skiming + binder mili 200 aah mwijaku, et rangi mil 48 duuh nimeamini Kuna binadam Ni waongo shetan akasome

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 Před 7 měsíci

    Muongo sanaaaa

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před 7 měsíci

    Maskini awaijui ela ndio mana wanasema uongo ongera Aristote msechu Nandi mama pi ongeraa zenu

  • @dereva0
    @dereva0 Před 7 měsíci

    mara aseme taa elfu 45 mara milioni hamsini tuelewe vp

  • @rajuxcharity
    @rajuxcharity Před 7 měsíci +6

    Hivi huu mwijaku anahisi 1.3B niutani nyumba anao ishi diamond platinum samani yake ni 1B 😝😝nyumba kama ilee hata 500M nyingi

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 Před 7 měsíci +4

      Mwijaku mtu wa kufurahisha tu😂

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 Před 7 měsíci +2

      Kwahiyo

    • @zeddybass6672
      @zeddybass6672 Před 7 měsíci +1

      Daimond kapanga pale

    • @FredOdemba-rw1us
      @FredOdemba-rw1us Před 7 měsíci

      ​@@zeddybass6672alishainunua wew sema ajaijenga yey lakin sio kam amepanga sahih 😮😮

    • @faidhacute
      @faidhacute Před 7 měsíci +2

      Mwijaku ni mtu ambae ana elimu lakn hajaelimika Kwa kweli Inahuzunisha sana kwakwel😢

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 Před 7 měsíci

    It's good house but it is not 1.3 B

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 Před 7 měsíci

    Ila baba muongo huyu ndio mjengo ni Bomba ila b 1.3 ni uongo uongo

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 Před 7 měsíci

    Hiyo nyumba haizidi mil 200😅huyu jamaa fix saba

  • @user-lw8uk6xw2h
    @user-lw8uk6xw2h Před 7 měsíci +1

    ona kipara chake

  • @amarido12
    @amarido12 Před 7 měsíci

    Kama ametumia 1.3 B atakuwa ameibiwa 1.2 B mchana kweupe

  • @Kulindwa
    @Kulindwa Před 7 měsíci

    DC daka maua yako ya mgebuka, au nyuma yupo accountant wife

  • @eddobiz9452
    @eddobiz9452 Před 7 měsíci

    Uyu baba muongo jamaan

  • @Broxnick
    @Broxnick Před 7 měsíci

    Yaani $398,807 😂😂😂 that’s a f*king lie

  • @sudiabdi4400
    @sudiabdi4400 Před 7 měsíci

    Uongo mtupu

  • @makengomshana8458
    @makengomshana8458 Před 7 měsíci

    WEWE OMBA OMBA NIMUONGO ACHA UJINGA WAKO

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 Před 7 měsíci

    mwijaku muongo mtupu duuh. Gisi anaziongelea hizo millioni kama shiling 100 tu

  • @dominicngeno4227
    @dominicngeno4227 Před 7 měsíci

    You are speaking lies hio nyumba sio B no way

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 Před 7 měsíci

    MUJAKU UNA ONGEZA ZERO

  • @michaelaloyce2072
    @michaelaloyce2072 Před 7 měsíci

    Unamaliza mabando ya wa2 paka ww.....

  • @ellymagoke6079
    @ellymagoke6079 Před 7 měsíci

    Muongo wewe