Mwijaku: Rayavnny Kapotea kimziki! Hamisa Kamuacha Vunja Bei! Kamzidi HELA! Harmo na Posh Queen! P4
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- Mwijaku amesema atamkaribisha Diamond Platnumz kwenye nyumba yake! adai kuwa Hela yake ya kwanza kuanza ujenzi ilitoka kwa Diamond, na amepokea ujumbe wa kufurahisha kutoka kwa Simba!
Tazama full interview hapa, Susbcribe, Like, Comment & Share!
Kijana tumia kinga, Zingatia uzazi wa mpango. #Sitetereki
Hii ya rayvanny ni kama Kuna ukweli Fulani ivi ukifikilia
Hakuna kitu kama hicho brother, Drake na Nicki Minaj waliondoka katika lebo ya young money cash money ya Lil Wayne na wakaendelea kua washkaji mbona hawakushuka kimuziki??
Siyo kweli mashabiki wa konde, niwale mashabiki wa kiba wanae mchukiya monde
Hakuna ukweli wowote tena vannyboy kachia vyuma
@@jaymandy8136 chui anajiongoza kwa sasa, hana mtu wa kumuelekeza au kama yupo hamsikilizi. Atabaki kuwa juu kibongo bongo sababu ya uteam na kila kitu lakini ukichek hata youtube (platform wanayopenda wabongo) anastruggle especially kwa content anayoupload siku hizi. Ni vile tuu mtu ukisema unaonekana mpinzani au nini lakini kuna kitu kinamiss 😅😅
Raivanny atazidiwa ata marioo soon😮😮😮😮
Ushasema
Fact
Huyu jamaa akiamua kukusifia utaenjoy subiri siku akukosoe utakaaa🙌😅
This guy is intelligent
Watanzania wanapenda maugomvi.. rayvanny kafundisha jamii kutoka kwa mtu si uhasama
Kweli kabisa, Rayvanny kapotea.
😂😂 Mujaku aunakosea kumu linganisha Amisa na Junja bei alihachika
😂😂😂Wah mwijaku mwisho yani wasipatane
My brother mwija kama unaona flani ivi kusema kweli ray ajiangalie vzr😂😂😂😂😂😂
Mwijaku mwehu😂😂😂😂😂
Mwijaku
Yes kwa rayvany kweliii
11:12 huyu jamaa msenge nini sasa hamisa ana pesa gan ya kumzidi vunjabei 😂😂😅
😂😂😂😂 ukiamua kua wa blue kua wa blue sio kua mweusi
Bongo Kuna wanaume wa ajabu sana miaka hiii since 2010 till now Kuna wanaume sijue tuwaitaje anyway bongo oreee
Bro unajua
BALAAAAAAAA
Vannyboy bado yuko vizuri bana acha wivu mwijaku
Ety rayvanny
Mmmmh apo penye kutumia condom ameieleza vizuri sana lakin kwa wake waelewa
❤❤
Ni kama kuendelea kuishi nyumba moja na mke mlieachana😂😂😂😂😂😂
😂😂kabisaaaa kabisaaaa kabisaaaa
CLIP USHAIONA AU BADO.
Sema mguu wa mwijaku Bana 😂😂 ume Pauka 😢
😂😂 uyo siomgu unaitwa mgumba kupauka
mm nilijua kavaa soks😂
Null points
Leo mefel mwjaku Vunja bei amzd vunja bei mzgo mmmm
Chui kweli kila siku yuko nao, sasa aliondoka au zilikuwa ngonjera tuu
Unaambiw siku zote uoga ndyo umasikini wako.. ndyo km rayvan anasema kaondoka wcb lakin bado tunamuona. tena kazidisha collabo ukaribu tofaut na alivyokuw wcb yenyew.
Mtu anaumia within ama inside
Yaani jamaa halioni hata soni kuongea uongo aisee 😂😆
Hpo umeongea ukweli sana kuhusu chui
Timbulo na rayvan😂 mwambwame ana zarau sana
Ongeza volume waskie
Rayvan sio kweli, sababu Cash Money na Young Money kila member ana leble yake na wanahang pamoja na deals zinakuja
Ile nature misa anajenga gorofa kubwa sana na karibuni atawashangaza watu
Kwahio ile anaoishi yakupanga ama ile mlimchangia alipokosana na chibu
About ray vanny msahau kabisa he is a super star 🌟 kupotea sahau alaf mwijaku aache umbwakini na wivu czcams.com/video/AYSA4uYKR0U/video.htmlsi=NTEOQCwNln9JBlrl
Mond alishaambiwa amefeli,Harmo alishaambiwa amefeli,na sasa hivi mnamsema Rayvanny kafeli 😂😂 sasa subirini tu Rayvanny anawazoom kama hawaoni vile.Ila kusema ukweli #rayvanny kufeli ningumu sana na mtasubiri sana,mi namjua ray atawashangaza na nguvu ya tsunami kuliko wasanii wote bongo hamtakaa muamini
Omi umetoka wasaf???
huyu mjinga atuachie mond wetu, matusi anayomtolea leo amkaribisha kwenye huo uchochoro wa nn, aache kujipendekeza km alikupa mwanzo usitegemee mond ana moyo wa jiwe
Acha useng wew asomwe kwa lipi au kwaumalaya alioenda kufanya marekani kwa rick rose 😂😂😂 uyo maraya km maraya wengine tu kaliwa kiboga kapewa mtaji bongo nyoso
Hiii ya rayvanny DC kasema ukweli mim ni fun wa vanny lakin havumii mtaani kama harmo
Mwijaku saa nyingine unachanganyikiwa lini fred alisema ana date na hamisa?nyinyi ndio mnafanya hamisa atukanwe
Analea mimba kwanza atarudi
Unatumia condom?
Kwani hao wasanii walio mzidi rayvan wanatuzo gani kubwa , wamewahi kualikwa wap kwenye shoo kubwa anazo alikwa chui , chui bado ni mkubwa tu , atawashangaza soon mtabaki kumsema yeye anachukua tuzo ,
😂😂😂😂😂😂
shida ya huyu Mwijaku ni muongo saaaana na hata akiongea ukweli unakua ni uongo kwa sababu vingi anavyoongea ni uongo na hapo anavyosema vingi ni vya uongo too much..
Ni ngumu hamis kumzid vunja bei mzigo Hilo nakataa
Ni kweli amissa yuko napesa ata kumzindi huyo mondi anahogopa rais wa apo tanzania ila najuwa wamasikini awana macho yakuhona hamissa yuko na pesa kuzindi ata watu wote wenye wapo apo tanzania huyu dada kazi yake nikufanya vitashara vya bangi na madawa ya kulevya ndo kazi yake nilimtabuwa kibindi alikwenda american uwa anakwenda kukutana na wezake ila nyinyi mzana anakwenda kufanya umayaya ila huyu nilimjuwa kitambo
@@Ryannkaehiv wew ni mtanzania kwer maana ata kiswahili chako sijakierew kbs kwanz chek ulivyoandika 🙄
@@Ryannkae halafu apange?
😳😳😳😂😂
@@mrsinia3064ata niwe utanisaindia nini ?. na hogea lugha 10 nazote uzijuwi labda kiswaili tu ndo unajuwa ni kweli sijuwi kiswaili ila nimezaliwa inje ya nchi. Nanimeona ni sikupe tambu ni kuandikie hivyo hivyo maana umeelewa nilivyo kwandikia maana English na Españoles inge kusubuwa