Mwijaku: Rayavnny Kapotea kimziki! Hamisa Kamuacha Vunja Bei! Kamzidi HELA! Harmo na Posh Queen! P4

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Mwijaku amesema atamkaribisha Diamond Platnumz kwenye nyumba yake! adai kuwa Hela yake ya kwanza kuanza ujenzi ilitoka kwa Diamond, na amepokea ujumbe wa kufurahisha kutoka kwa Simba!
    Tazama full interview hapa, Susbcribe, Like, Comment & Share!
    Kijana tumia kinga, Zingatia uzazi wa mpango. #Sitetereki

Komentáře • 67

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 Před 7 měsíci +37

    Hii ya rayvanny ni kama Kuna ukweli Fulani ivi ukifikilia

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 Před 7 měsíci

      Hakuna kitu kama hicho brother, Drake na Nicki Minaj waliondoka katika lebo ya young money cash money ya Lil Wayne na wakaendelea kua washkaji mbona hawakushuka kimuziki??

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Před 7 měsíci +1

      Siyo kweli mashabiki wa konde, niwale mashabiki wa kiba wanae mchukiya monde

    • @armanysafe2429
      @armanysafe2429 Před 7 měsíci

      Hakuna ukweli wowote tena vannyboy kachia vyuma

    • @ursulinenyandindi3051
      @ursulinenyandindi3051 Před 6 měsíci

      ​​@@jaymandy8136 chui anajiongoza kwa sasa, hana mtu wa kumuelekeza au kama yupo hamsikilizi. Atabaki kuwa juu kibongo bongo sababu ya uteam na kila kitu lakini ukichek hata youtube (platform wanayopenda wabongo) anastruggle especially kwa content anayoupload siku hizi. Ni vile tuu mtu ukisema unaonekana mpinzani au nini lakini kuna kitu kinamiss 😅😅

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh Před 7 měsíci +14

    Raivanny atazidiwa ata marioo soon😮😮😮😮

  • @devgodfrey
    @devgodfrey Před 7 měsíci +10

    Huyu jamaa akiamua kukusifia utaenjoy subiri siku akukosoe utakaaa🙌😅

  • @neepepatrick1844
    @neepepatrick1844 Před 7 měsíci +2

    This guy is intelligent

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Před 7 měsíci +1

    Watanzania wanapenda maugomvi.. rayvanny kafundisha jamii kutoka kwa mtu si uhasama

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 Před 7 měsíci +5

    Kweli kabisa, Rayvanny kapotea.

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 Před 7 měsíci +4

    😂😂 Mujaku aunakosea kumu linganisha Amisa na Junja bei alihachika

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 7 měsíci +2

    😂😂😂Wah mwijaku mwisho yani wasipatane

  • @Makondtz
    @Makondtz Před 7 měsíci

    My brother mwija kama unaona flani ivi kusema kweli ray ajiangalie vzr😂😂😂😂😂😂

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise4540 Před 7 měsíci +2

    Mwijaku mwehu😂😂😂😂😂

  • @sangafaiko.s.3960
    @sangafaiko.s.3960 Před 7 měsíci

    Mwijaku

  • @AsantaeliMunuo-md7zg
    @AsantaeliMunuo-md7zg Před 7 měsíci

    Yes kwa rayvany kweliii

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 7 měsíci +1

    11:12 huyu jamaa msenge nini sasa hamisa ana pesa gan ya kumzidi vunjabei 😂😂😅

  • @daylight1707
    @daylight1707 Před 7 měsíci +2

    😂😂😂😂 ukiamua kua wa blue kua wa blue sio kua mweusi

  • @thetas08
    @thetas08 Před 7 měsíci

    Bongo Kuna wanaume wa ajabu sana miaka hiii since 2010 till now Kuna wanaume sijue tuwaitaje anyway bongo oreee

  • @user-wd6ou7vn4w
    @user-wd6ou7vn4w Před 7 měsíci

    Bro unajua

  • @habari254
    @habari254 Před 7 měsíci +2

    BALAAAAAAAA

  • @armanysafe2429
    @armanysafe2429 Před 7 měsíci

    Vannyboy bado yuko vizuri bana acha wivu mwijaku

  • @user-cg9df5nt1f
    @user-cg9df5nt1f Před 2 měsíci

    Ety rayvanny

  • @wakali_wa_masauti1884
    @wakali_wa_masauti1884 Před 7 měsíci +2

    Mmmmh apo penye kutumia condom ameieleza vizuri sana lakin kwa wake waelewa

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 Před 7 měsíci

    ❤❤

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před 7 měsíci +5

    Ni kama kuendelea kuishi nyumba moja na mke mlieachana😂😂😂😂😂😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 7 měsíci +1

    CLIP USHAIONA AU BADO.

  • @officialprincohb249
    @officialprincohb249 Před 7 měsíci +2

    Sema mguu wa mwijaku Bana 😂😂 ume Pauka 😢

    • @aminnoour4788
      @aminnoour4788 Před 7 měsíci +1

      😂😂 uyo siomgu unaitwa mgumba kupauka

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Před 7 měsíci +2

      mm nilijua kavaa soks😂

  • @jonathansimba6749
    @jonathansimba6749 Před 7 měsíci +1

    Null points

  • @user-zj1ep6hn4p
    @user-zj1ep6hn4p Před 6 měsíci

    Leo mefel mwjaku Vunja bei amzd vunja bei mzgo mmmm

  • @ursulinenyandindi3051
    @ursulinenyandindi3051 Před 7 měsíci +1

    Chui kweli kila siku yuko nao, sasa aliondoka au zilikuwa ngonjera tuu

    • @JaymbwanziOg
      @JaymbwanziOg Před 7 měsíci

      Unaambiw siku zote uoga ndyo umasikini wako.. ndyo km rayvan anasema kaondoka wcb lakin bado tunamuona. tena kazidisha collabo ukaribu tofaut na alivyokuw wcb yenyew.

  • @bekatv1009
    @bekatv1009 Před 7 měsíci

    Mtu anaumia within ama inside

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před 7 měsíci

    Yaani jamaa halioni hata soni kuongea uongo aisee 😂😆

  • @FilbertHabashi-zn1qu
    @FilbertHabashi-zn1qu Před 7 měsíci

    Hpo umeongea ukweli sana kuhusu chui

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 Před 7 měsíci +2

    Timbulo na rayvan😂 mwambwame ana zarau sana

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 7 měsíci

    Rayvan sio kweli, sababu Cash Money na Young Money kila member ana leble yake na wanahang pamoja na deals zinakuja

  • @user-iq9bu7dm5b
    @user-iq9bu7dm5b Před 7 měsíci +2

    Ile nature misa anajenga gorofa kubwa sana na karibuni atawashangaza watu

    • @Nihadshighadi
      @Nihadshighadi Před 7 měsíci

      Kwahio ile anaoishi yakupanga ama ile mlimchangia alipokosana na chibu

  • @shimadosun
    @shimadosun Před 7 měsíci +3

    About ray vanny msahau kabisa he is a super star 🌟 kupotea sahau alaf mwijaku aache umbwakini na wivu czcams.com/video/AYSA4uYKR0U/video.htmlsi=NTEOQCwNln9JBlrl

  • @augustinenjesi3215
    @augustinenjesi3215 Před 7 měsíci +2

    Mond alishaambiwa amefeli,Harmo alishaambiwa amefeli,na sasa hivi mnamsema Rayvanny kafeli 😂😂 sasa subirini tu Rayvanny anawazoom kama hawaoni vile.Ila kusema ukweli #rayvanny kufeli ningumu sana na mtasubiri sana,mi namjua ray atawashangaza na nguvu ya tsunami kuliko wasanii wote bongo hamtakaa muamini

  • @user-py8ih8jr4b
    @user-py8ih8jr4b Před 7 měsíci

    Omi umetoka wasaf???

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před 7 měsíci +1

    huyu mjinga atuachie mond wetu, matusi anayomtolea leo amkaribisha kwenye huo uchochoro wa nn, aache kujipendekeza km alikupa mwanzo usitegemee mond ana moyo wa jiwe

  • @user-cd6iw9wm3p
    @user-cd6iw9wm3p Před 7 měsíci

    Acha useng wew asomwe kwa lipi au kwaumalaya alioenda kufanya marekani kwa rick rose 😂😂😂 uyo maraya km maraya wengine tu kaliwa kiboga kapewa mtaji bongo nyoso

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla Před 7 měsíci

    Hiii ya rayvanny DC kasema ukweli mim ni fun wa vanny lakin havumii mtaani kama harmo

  • @wennceslausmushi2356
    @wennceslausmushi2356 Před 7 měsíci

    Mwijaku saa nyingine unachanganyikiwa lini fred alisema ana date na hamisa?nyinyi ndio mnafanya hamisa atukanwe

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 7 měsíci

    Analea mimba kwanza atarudi

  • @elishampoki8751
    @elishampoki8751 Před 7 měsíci

    Kwani hao wasanii walio mzidi rayvan wanatuzo gani kubwa , wamewahi kualikwa wap kwenye shoo kubwa anazo alikwa chui , chui bado ni mkubwa tu , atawashangaza soon mtabaki kumsema yeye anachukua tuzo ,

  • @abdulhakimmuhammad2895
    @abdulhakimmuhammad2895 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d Před 7 měsíci

    shida ya huyu Mwijaku ni muongo saaaana na hata akiongea ukweli unakua ni uongo kwa sababu vingi anavyoongea ni uongo na hapo anavyosema vingi ni vya uongo too much..

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 Před 7 měsíci +1

    Ni ngumu hamis kumzid vunja bei mzigo Hilo nakataa

    • @Ryannkae
      @Ryannkae Před 7 měsíci +2

      Ni kweli amissa yuko napesa ata kumzindi huyo mondi anahogopa rais wa apo tanzania ila najuwa wamasikini awana macho yakuhona hamissa yuko na pesa kuzindi ata watu wote wenye wapo apo tanzania huyu dada kazi yake nikufanya vitashara vya bangi na madawa ya kulevya ndo kazi yake nilimtabuwa kibindi alikwenda american uwa anakwenda kukutana na wezake ila nyinyi mzana anakwenda kufanya umayaya ila huyu nilimjuwa kitambo

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Před 7 měsíci +1

      ​@@Ryannkaehiv wew ni mtanzania kwer maana ata kiswahili chako sijakierew kbs kwanz chek ulivyoandika 🙄

    • @wennceslausmushi2356
      @wennceslausmushi2356 Před 7 měsíci +1

      @@Ryannkae halafu apange?

    • @sixytntongambele3038
      @sixytntongambele3038 Před 7 měsíci

      😳😳😳😂😂

    • @Ryannkae
      @Ryannkae Před 7 měsíci

      ⁠@@mrsinia3064ata niwe utanisaindia nini ?. na hogea lugha 10 nazote uzijuwi labda kiswaili tu ndo unajuwa ni kweli sijuwi kiswaili ila nimezaliwa inje ya nchi. Nanimeona ni sikupe tambu ni kuandikie hivyo hivyo maana umeelewa nilivyo kwandikia maana English na Españoles inge kusubuwa