MJUE MR BLUE AKIWA MTAANI KWAKE AKITOA STORY USIZOZIJUA KUHUSU NYIMBO ZAKE
Vložit
- čas přidán 24. 06. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kinachonifurahisha kwa brue akiwa anaojiwa huwa anaongea vitu halisia, uongo kwake haupo ila ukweli juu yamaisha na ustaa wake anaviweka bayana. Ongela sana kwa hilo brue
Mr Blue is a Legend
Mwambie blue asihuzunike kukosa tuzo,sababu yeye mwenyewe ndio tuzo kwetu sisi watz
Ngoma yangu pendwa kipindi nakua ni blue blue aisee,fact,byser ni mmoja mwenye alibadilisha mitazamo kua mifamo kwani aliaminisha mziki auna size na kufanya vijana wengi kuamini kumbe ata sisi wadogo tunaweza kufanya na kutambulika katika huu mziki.
Mapozi ndio my favorite song of all time kutoka kwa Mr Blue 🔥🔥🔥
Huyu ndo msanii wangu bora wa muda wote ani
Nampenda mno Byser!!🎉Amazing Legend!!! Mungu ambariki zaidi!!
Bizzy yu deserve the respect. Kenya 🇰🇪 loves yu
Huyu Ni Legend Amekua na mziki " Amekua na mziki ameanza na bongo flavor, ulipofika katikati kiba akiwa anrun mziki alikuwepo na sasa bado yupo kwa kifupi ana aina ya mziki wake ambao atalala nao.
Blue utabakia ... Kua mkongwe daima alfu very humble ❤❤🎉🎉
From Congo 🇨🇩 nakukubali sana bro blue daaaaaa wewe upewe hechima yako bro Tanzania ina faa kuku hechimu brother
MrBlue ni mdogo kiumri lakini mapigo yake kama mtu mzimaaaa
Napenda pia uhalisia wake,jamaa mashallah kajitenga na uongo,amejiweka MTU wa kawaida,anamix na Wasee kama kawa,that's impress me very much
Njooni Kenya pia sisi tutoe maoni kuusu Mr Blue❤❤❤. One love
Akuna Kama blue bongo hii nikipaji ambacho akijawai tokea🙌
Moja ya wasaniii nimewapenda tangu wanaanza muziki
Babylon byser daah kama kuna wasanii inchi hii wanatakiwa wapewe heshimu kubwa sana kulingana na mabalaa yao waliyofanya basi mr blue ni mmoja wapo kati yao
Nakumbuka hiyo ngoma mapozi akipeform Club Brilliant Mariakani 254
Napenda mapozi haijawahi kuchuja inaendelea kuishi☑️🔥😘
Mr blue ni mtu mkalimu sana anaonekana.