MJUE MR BLUE AKIWA MTAANI KWAKE AKITOA STORY USIZOZIJUA KUHUSU NYIMBO ZAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 268

  • @lameckjeremiah5597
    @lameckjeremiah5597 Před rokem +5

    Kinachonifurahisha kwa brue akiwa anaojiwa huwa anaongea vitu halisia, uongo kwake haupo ila ukweli juu yamaisha na ustaa wake anaviweka bayana. Ongela sana kwa hilo brue

  • @salimmohamed3668
    @salimmohamed3668 Před rokem +9

    Mr Blue is a Legend

  • @athumanimtamatale
    @athumanimtamatale Před rokem +14

    Mwambie blue asihuzunike kukosa tuzo,sababu yeye mwenyewe ndio tuzo kwetu sisi watz

  • @EinsteinFromEastern-vh6lo

    Ngoma yangu pendwa kipindi nakua ni blue blue aisee,fact,byser ni mmoja mwenye alibadilisha mitazamo kua mifamo kwani aliaminisha mziki auna size na kufanya vijana wengi kuamini kumbe ata sisi wadogo tunaweza kufanya na kutambulika katika huu mziki.

  • @blackblue9729
    @blackblue9729 Před rokem +14

    Mapozi ndio my favorite song of all time kutoka kwa Mr Blue 🔥🔥🔥

  • @user-st9xd9we3p
    @user-st9xd9we3p Před rokem +8

    Huyu ndo msanii wangu bora wa muda wote ani

  • @TheMastertz

    Nampenda mno Byser!!🎉Amazing Legend!!! Mungu ambariki zaidi!!

  • @nelsonbilali3888
    @nelsonbilali3888 Před rokem +13

    Bizzy yu deserve the respect. Kenya 🇰🇪 loves yu

  • @simondotto8299
    @simondotto8299 Před rokem +13

    Huyu Ni Legend Amekua na mziki " Amekua na mziki ameanza na bongo flavor, ulipofika katikati kiba akiwa anrun mziki alikuwepo na sasa bado yupo kwa kifupi ana aina ya mziki wake ambao atalala nao.

  • @user-yp6pi7bj2n

    Blue utabakia ... Kua mkongwe daima alfu very humble ❤❤🎉🎉

  • @ushindisaravayi3804

    From Congo 🇨🇩 nakukubali sana bro blue daaaaaa wewe upewe hechima yako bro Tanzania ina faa kuku hechimu brother

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před rokem +13

    MrBlue ni mdogo kiumri lakini mapigo yake kama mtu mzimaaaa

  • @khalfanndenge5269

    Napenda pia uhalisia wake,jamaa mashallah kajitenga na uongo,amejiweka MTU wa kawaida,anamix na Wasee kama kawa,that's impress me very much

  • @LeeMchanaji
    @LeeMchanaji Před rokem +3

    Njooni Kenya pia sisi tutoe maoni kuusu Mr Blue❤❤❤. One love

  • @saidimkome3818
    @saidimkome3818 Před rokem +7

    Akuna Kama blue bongo hii nikipaji ambacho akijawai tokea🙌

  • @Ram_1893

    Moja ya wasaniii nimewapenda tangu wanaanza muziki

  • @lucasmsogoti3435
    @lucasmsogoti3435 Před rokem +6

    Babylon byser daah kama kuna wasanii inchi hii wanatakiwa wapewe heshimu kubwa sana kulingana na mabalaa yao waliyofanya basi mr blue ni mmoja wapo kati yao

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 Před rokem +4

    Nakumbuka hiyo ngoma mapozi akipeform Club Brilliant Mariakani 254

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před rokem +5

    Napenda mapozi haijawahi kuchuja inaendelea kuishi☑️🔥😘

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 Před rokem +6

    Mr blue ni mtu mkalimu sana anaonekana.