NI KWELI HARMORAPA ANA SURA MBAYA/ MIMI SIOGOPI KUMCHANA
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 5. 10. 2020
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Kama umeikubali hii "ile tv ambayo inaonyeshwa kwa radio" toka kwa Masai gonga like......
Mungu ametuumba Kwa Sura na mfano wake wewe ni Nani binadamu kukosoa uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
Yn kaka yngu we acha tu kuna watu wengne wanamkufuru Allah xana nimeumia xana kwakweli yn Binadamu mwenzako eti unamfananisha na Mnyama๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข๐ข
Tunajisahau San na mitandao ambayo inatusukum kuongea ata vsivyo mpendeza Mungu
Kwaivo Mungu anafanana na Harmorapa?
Me hata sijapenda kwakweli
Subhanallah ๐ฅsote tumeumbwa n mungu na sio kumkosoa et una sura mbaya
Harmorapa ...sio kwamba ana sura mbaya but the guy lacks confidence n some swags...but he needs smbdy smart to upgrade his swags...he is one of us I mean Godz creation
Ako poa alafu kapendeza na kipara
@@kombemizinga4158 he is cool
Naona unajaribu kumpa moyo ๐
@@graphixmaster6146 hamna bro naongea kweli Hamna MTU mbaya duniani
Shida ya wabongo nihii
Jamaa kazingua kumchana mshikaji Harmorapa
Ni ufala uliopitiliza.
Kila binadamu Ni mzuri kwa nafasi yake maana wote wameumbwa na Mungu
Kweli kabisaa
Very true
True
sawa
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Akuna mtu mbaya duniani jamani,mwenyezi mungu katuumba kwa mufano wake โคโคโคโคโค mbona kaka yangu harmorapa iko poa,handsome boy mume wa bi adija
Kweli lakini na kibaya kin a mwenyewe
Mtu mpk anatoa chizii
Kwelihakuna m2 mbaya
czcams.com/video/PwOat-cZouY/video.html
Kweli hakuna MTU mbaya wote ni wa mungu sura zote ni za mungu
Tz hamna nidhamu,hupaswi kumkosoa mungu. Eti ana sura mbaya hadi mtoto anafuta chozi kweli inatia hurumu,mkuki kwa nguruwe binadamu chungu,254
Unaleta utaifa kwa maono ya mtu mmoja, mbona nyie wakenya mna roho mbaya na ukabila wenu kila siku kuuana pumbav
Sura mbaya bwana
@@abdulhadiomar8915 AJITAMBUI
Wacha kujifanya unawapenda wabongo wakati kwenu ampendani kwenu ukabila na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe ampendani ndio umpende mTanzania
Masai katixhaaaa ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅila harmo rapa wamemfananixha mpk na wanyama cjapenda ๐ขkajikaza tyu kiume
Hamorapa hajui kuchuki aisee๐๐๐
Ile tv inayooneswa kwenye radio๐๐. Kazi nzuri.respect kwa hamorapa kwa kujituma na kusurvive mpaka sasa kwenye game
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Hhhh
Ila huyo Kaka kanibowa kweli jamani kwanini udhihaki binadamu mwizio tena unamwambia. Nimbaya jamani. Nimeumia kweli.
I just like Harmorapa...he just keeps smiling
Jaman wapenz wasikilizaji na watazamaji nawaomba muuskilize wimbo wa robert clever,unaoenda kwa jina la shina tafadhal subscribe na utoe comment yako Ahsanten Mungu awabariki
Wasaf media kila brudan tunapata had raha janam like zaooo jaman
Kamaumemkubali Masai nipe like zangu
Yani mmasai lazima awe star
czcams.com/video/PwOat-cZouY/video.html
Hahaha
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Yaa
Masai katisha kuliko wote like kama masai kamchanganya
YALEO๐ฅ๐ฅ๐
Omg ๐๐๐๐ yhhhhhhhhhh
Imekupendeza sababu ni chaguo ya moyo wako๐๐๐๐
Ile TV inaonyeshwa kwa redio
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Masikini hamorapa nimeumia sana kumuona analia wewee kaka ni mjinga sana huwezi kumponda mwanaume mwenzako hivii jinga wewe
Uyo jamaa mwenye kibagalashia na red T-shirt ana roho ngumu Sana ๐๐๐๐
He is a human being - treat each other nice. He looks handsome to me.
Eti Masaai. I love my people.
from,
Arusha.
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Sura mbaya bwana harmorapa sura mbovu
Ta
NAMCHUKIA SANA MTU KUMWAMBIA MWENZIE ET SURA MBAYA, SIPENDI KM NINI
Saana Blood Umeonaa Eeeh
Wanazinguaaa
Nihatari Sana wanasahawu kama utukufu niwa kwake Allah SubhannaAllah
@@husnashindano1192 hawajui kwmb wanamkosoa mwenyez mungu, wala c yule wanaemwambia ana sura mbaya
@@husseinhajjihussein6898 sanaaaa WANAZINGUAAA
Wa t shirt nyekundu mungu anamuona dah!!! Kwahyo yeye anajiona mzur Sana ee!! Aya bwana h Ni dunia
Masai:Hii shanga ya kina mama ya kuvaa kiunoni
Harmorapa:hii cheni ya kina baba ya kuvaa shingoni๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐
Sikiliza Tanzania mp3 czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
๐๐๐
๐๐๐๐๐ ๐
Masai
Hii ni best show yng
Nitairudia kila mara...
Jamani masai ๐คฃ๐๐๐ nimkweli sana ๐คท๐พโโ๏ธ๐คท๐พโโ๏ธ๐คท๐พโโ๏ธ afu haogopi โค๏ธโค๏ธโค๏ธโค๏ธ
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Jmn nitkpa nmb yke
Hahaaaa
Afu mwanaume unamwita mwanaume mwenzio mbaya unatafta nn matako ya mbuzi ww.
Kila mtu aliumbwa kwa mfano wa mungu.
Kweli Neema
Acheni kumkufuru Allah Kama mnamuona yeye mmbaya umbeni nyinyi mzuri Kama ni rahisi kuingilia kazi ya mungu
Uyo mama big up sana
Masai Man of the match ๐๐๐ผ
๐๐๐
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
๐๐๐๐๐ harmorapa yupo kama Roger wa kwenye American guy...yani anafanana Allean
Umevaa kofiya ya msikitini halafu unamuumbua mwenzio hujesha kuumbwa, unatiya kufuru Allah anaweza akakugeuza anytime, uislam inakataza kibri na hicho ni kibri
Thanks for that information /comment, mimi pia nimeshangazwa sana bro
Awaaaah haifai
my favourite wasafi tv show currently..big up bro..hivi ni kweli๐
Huyoo mwanaumee anaesema Harmorapa akoo na suraa mbayaa Mungu anamwona kwakweliii sioo vizuriii mnooo
Masai katisha sana eti AFSA TV ni ilรช redio inaoneshwa kwenye tv๐๐๐๐
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
SaNya:Masaii Huyu Ni Mfungwaa??
Maasai: Sielewii๐๐๐๐๐๐
Sikiliza czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Daaah kama ni roho ya kibinadamu kwakwel nimeumia sana kumuona Harmorapa analia kisa maneno ya uyo jamaa mwenye barakashia daah so sad๐ข๐ข๐ข
Kwali siyo haki
Wallahi katuliza wengi sikumzalilisha ivooo ila waelewe nawao wwana zaa tu๐ช๐ช๐ช๐ช
Me too imeniuma sana
Kwani kusema ana sura mbaya kaongea uongo au kamzulia ,!? Ingekuwa kamzulia asingekuwa na ujasiri wa kumueleza mbeleyake na asingeweza kusema aliloliongea kabla ya mwenyewe kuwepo angekuwa ni mnafiki .
Kinachokatazwa ktk Uislamu ni Unafiki na kumsengenya mtu ,so nimependa kuwa mkweli hata mbele ya mwenyewe .
Ukiwa na stress njoo kwa gonga beat ujionee vibogoyo๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Nobody:
Definetly nobody:
Masai: TV inayoonyeshwa kwa Redio ๐ 7:25
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Masai kashangaaa kinoma, eti aaah hii imeteleza sana
๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐
Roho inaniuma sana m2 kumdharau mwenzake ๐ญ๐ญ
Kama mimi aseee
Uyu mkaka ni bonge la mshamba ajielew mwanaume mzima ovyooo Kama shoga analopoka ovyo
Wa kwanza kucomment kwa MO Town Sanya Chombo kwa hewaโค๐Hodari mwenyewe kwa kazi Yako MashAllaah Allah akuzidishie uhodari zaidi ili uzidi kupiga hatua ya maisha
hahahahaha ukwel unauma
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Ushamba huo mwanaume kumwambia mwanaume mwenzake mbaya...hiyo cyo itikeli
Kweli kabisaaaa
Tana nimshamba mnooh
Muuni ana itikeli kabisa uwez mchalazia ofsa kama vile kalocha sana
@@naimaislam552 Yani ni kutokukamilika kwa uwanaume maana cyo sawa kumwambia mwanaume mwenzako hivyo
@@salhamrishoaish9292 Yani kazingua sana huyo jamaa... wanaume hatupo hivyo na kiubinadamu cyo sawa kabisa
Ile tv ambayo inaonesha kwa redio ๐๐
๐๐คช๐
๐๐
czcams.com/video/PwOat-cZouY/video.html
czcams.com/video/zuPzr5WXG5A/video.html
@@alwattanchinga ngom kl keep it up
Kwakweli leo mo town sanya umenifuraisha ii interview yani makavu live nmecheka sana sasa namtaka nimuome pnc na dulayo
Kama uliskia mwishoni mwishon eti hapo kwenye dushelele ndio najua sana like hapa ๐๐๐๐ ila #Motown nakukubal san bro
Edo kumwembe
Momo ricardo
Hhhhh mmetisha....
Jamaa mjinga kweli..kumkosoa mwenzio dhambi sana mungu amsamee๐
Huyu Harmo rappa munamcheka sanaa ila munamuona vile anajulikana na kila mpita njia,SO HUYU JAMAA NI BONGE LA STAR WALLAHY
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Kweli kabisa
Harmorapa roho yako safi sana ๐๐๐
Like jamani kwa hamorapa
Jamani kwalengo zuri. Ivi wamasai wamepata uhuru mwaka gani??
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ jamani
Mmmmh 2002
Ile tv ambayo inaonyesha kwa redio๐๐๐๐Masai bana
๐๐๐๐๐๐๐
Like kwa mo town sanya
In Tanzania there's alot of haters for real...how can they say it to someone's face???
We kaka uliyemwambia mwenzako anasura mbaya Mungu anakuona, usitukane wakunga na uzazi ungalipo chunga kauli zako usikosoe uumbaji wa Mungu binafsi cjaipenda hiyo kauli
Anasura mbaya sawa ila Allah kareem๐alhamdulilah
Lakini kaka umeongea vibaya ufai kumwambia minadam mwezio ana sura mbYa.umemkosea mola wako.
Kabisa ayush dahh vibaya sana
@@nissarhussein4887 hata biblia inasema kna wazur na wabaya
Sio poa kumwambia mwenzio Ana sura mbovu wallay Tena Muslims
Yan mbaka anatuliza kiukweli sivo ila waelew bad tuna zaa
Me nimejisikia vibaya uyo mkaka alovaa shat jekundu kazingua Sana ajielew mwanaume mzima anakua Kama shoga anaongea na mwenzake kama wanaugomv alafu amemdhiaki Sana mwenzake kajisikia vibaya bas tu kajikaza๐ฉ๐ฉ๐ญ
Nampenda harmorapa ajui kukasirika mungu amuwekee๐๐๐
Kabsa ako sawa sana amolapa
Kaah harmo Chen iyo mwana๐๐๐
Sio Chein bhn ni nyororo
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Harmorapa kamuiga msanii anaitwa AY POYOO๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kweli anaiga kwayule jamaahh
๐คฃ๐คฃnimeenda kuhakiki Kam kweli anamuiga jamn kwelii Tena wanafanan Sana au pacha ake๐๐๐๐๐ya mungu mengi hamo Kama hamorapa๐คฃ๐คฃ
Kweliii๐คช
czcams.com/video/PwOat-cZouY/video.html
I think he is handsome, he has a beautiful smile
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
๐๐๐
Bonge la kipindi.big up sanya. Next Tuesday mlete byser babilon. Mr blue๐๐น๐ฟ.
Jamaniiiiii ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ ila sio vizuri kumwambia mwenzako mbaya
masai kaua eti ile tv inaonesha kwa redio ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ ila huyo jamaa mwingne ni fala uwez mkosoa binadamu ivo
๐๐๐๐๐๐
Ivo anavovaa minyororo inamzidisha kufananizwa na mnyama ila kwakwelo kiumbe mwenzako hutaki kumkosowa wakati hio kazi hukufanya wewe hutakiwi kuingilia umbaji wa Allah muachie mwenyewe mola. MZURI WENU NIYULE ANAEMJUA ALLAH NA SI SURA WALA RANGI WALA NYWELE
Dah hamorapa maski adi anataka kulia maskin ๐ญ๐ญye hakupenda kuubwa ivo jmn sisi wote wanadam
Katupia ucheni ka mfungwa wa kibrazil๐๐๐๐
Sema katokelezea Ni fassion moja matata sana
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Fashion moja matata๐๐๐๐
Ntakamata mukia๐๐๐๐
Kumbe hamorapa ana mkia๐
๐๐๐๐
Nitafute
@@migopibrahimu9592 haya
0653638675 whatsap
Mkia ni MB***
Harmorapa unavituko jameni Nini umefunga kea shingo,kiparo nacho hicho,lakini msimete sura mbaya Kila mtu ameumba kwa mfano wa mungu.nyinyi sura nzuri nendene mkaiuze buchani.
Asa izo amo ni cheni au minyololo chaa Tz Tanzania naipenda inchi yangu ๐๐๐๐๐
We edo na mziki wapi na wap kaka?๐๐คฃ๐๐คฃ๐
harmorap wanasem imba ye anachekacheka tu lol๐๐๐
๐คฃ๐๐๐๐
Kumbe wasafi unaonyeshwa kweny redio masai katish
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐, Gonga beat ya leo nimeumwa mbavu zangu ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Ile TV inayooneshwa kwny redio Masai noumaaaa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ahhhhaa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐๐
czcams.com/video/PwOat-cZouY/video.html
Masai : Umekupendeza kwa kuwa ni chaguo la moyo wako๐๐๐
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
wisdom...he captured it beautifully.
Hujafa hujaumbika Brouh...Mungu wa kwetu sote
Kumbe hadi wasafi fm wapo vibogoyo me nilijua sie tu kitaaa๐๐๐tusiojua kuimba
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ i just love the end how they sing with earphones ๐ง ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃmasai jomoniiiiiiiiiiii ety cheni ya mbwa๐คฃ๐คฃ๐คฃningekuwa mm ningelia ๐คฃ
Kama unaamini hamoralpa anafanana na sokwe gonga like
Sielewiiiiiii๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐ hii kipara umepaka nn mbona inamelimet ๐ช๐ช๐ช
๐๐
Masai kanichekesha sana ๐๐๐๐ฅ๐ฅ
Nimeskia tu sauti inatoka sijaelewa maneno๐น๐น๐น๐คฒ๐ฝ๐คฒ๐ฝ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃalaf apo kwa"kaniachaaaa๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ yani jamaa ametisha sana.
Guys letโs treat each other equally
Hip hop ni misingi na Rap ni hiyo misingi jibu la mwezi๐๐๐
oiii!!!! Mo Sanya mbna umeva t-shirt imeandikwa "ANTI-HERO " unamaaninsha nn kaka
Mm mwenyew najouliza kwa ina maan gani? Sijapata jibu mwenzangu
Wana wa Gomz like hapa
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Kwani mungu alikosea alipomuumba? na wewe unaujua mwisho wako unaweza kugeuzwa dakika tu ukatisha. Muogope mungu.
๐๐๐๐๐๐๐ช๐ชichi kipindii rahaa sanaa wasafi mnahakili sanaaa kweli wcb 4life ๐๐๐๐ง๐ผ๐ง๐ผ๐ฅ๐ฅ
Kipara ngonto, he should do his style, not copy ay poyoo
Hamorapa Ameumbwa na Mwenyezi Mungu.
Na kazi ya Mungu haina Makosa .
Ile TV ambayo inaoneshwa kwa redio. Hahhahah Masai bhan
Dahh kaka umemkosea Mola wako sio vzr kabisa nilikua nafurah ila kwa ili umezingua sana ndgu yangu imagn angekua mtoto wako ungeweza kumuita anasura mbovu dahh au mwasemaje ndugu zangu like zenu
Kabla hujafa hujaumbika
Na hapo bado anaendelea kuzaa
Nimelia mm sababu ujuh mtu anajiskiaje moyon
True tok moyon kabis
Km hizi mambo zingekuwa pre recorded huyu msenge ilibidi wamkate,,kaleta ungese sanaa
Waallah machozi yamenitoka...wanamtia unyonge kijana wawatu
KuSeMa AnA SuRa MbaYa๐๐คฃ๐๐คฃ๐๐คฃ
Dah๐ Hio KaLi SaNa๐ค๐คฃ๐
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com
Hahaha masai hataki amguse anamwambia ata mkata na sime hamorapa pole
Alieona mwanaume huyu mjinga sana kumponda mwenzie. anajiona handsome domo sasa.
Oya dingilao uwe na baunsa umo kwenye ndinga mzee, c unaona wajuba wanavyotoa makavu?, siku watakuja kushkana mashati mbele yako ohoooo!
Sure
Maasai kafunga mchezo hahahah ile wasafi inaoneshwa kwenye radio duuhh
My showwww again ๐ฅ๐ฅ๐ฅbudah sanyaaa
T-shirt ya Red ๐๐๐๐๐ mhuni sana... harmorapa minyororo kama mfungwa wa Colombia ๐จ๐ด ,ambaye ametoroka jela
Aisha Elias ๐๐๐mwanaume tangu lini akawa mrembo
TV inayoonyweshwa kwenye redio๐๐๐
Ahhaaaaaaa๐๐๐
kama unaitaji bidhaa yeyote yenye ubora na ufikishiwe ulipo kwa bei rahisi kabisa basi ingia www.dukakuu.com