MKOJANI : TWENDE POLISI TUKAWAULIZE WANANIJUA/HUYU NDIYO ZUCHU
Vloลพit
- ฤas pลidรกn 19. 04. 2021
- ๐๐ธ๐โโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐๐ ๐บ
๐๐ญ๐๐ -๐ฐ๐ญ๐ญ | ๐๐ฆ๐ง๐ฉ ๐ฎ๐ต๐ฒ | ๐ญ๐จ๐๐จ-๐ฌ๐ฎ๐ด
๐ฆ๐ง๐๐ฅ๐ง๐๐ ๐๐ฆ-๐ฐ๐ฐ๐ฐ & ๐ฏ๐ฏ๐ฏ | ๐๐ข๐๐ข๐ก๐จ๐ง ๐ง๐ฉ-๐ฎ๐ฌ |๐๐ผ๐ฑ๐ผ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ฏ๐น๐ฒ-๐ญ๐ญ๐ฏ
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐/
๐๐๐๐๐ผโ ๐๐ธ๐๐ธ๐ฝ๐ ๐ฝ๐ ๐ป
๐ด๐ด.๐ต ๐๐๐ฅ ๐๐ฆ ๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐ป | ๐ญ๐ฌ๐ฐ.๐ญ ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ ๐ป | ๐ต๐ฐ.๐ฑ ๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐๐ ๐ป
๐ฝ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐โ:
๐ฐ๐ต๐บ๐ป๐จ๐ฎ๐น๐จ๐ด: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ถ๐ป๐๐๐ฎ๐ด๐ฟ๐ฎ๐บ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ป๐พ๐ฐ๐ป๐ป๐ฌ๐น: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐ถ๐๐๐ฒ๐ฟ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ/
๐ญ๐จ๐ช๐ฌ๐ฉ๐ถ๐ถ๐ฒ: ๐ต๐๐๐ฝ๐://๐๐๐.๐ณ๐ฎ๐ฐ๐ฒ๐ฏ๐ผ๐ผ๐ธ.๐ฐ๐ผ๐บ/๐๐ฎ๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐ณ๐บ
๐ช๐๐๐๐๐๐๐๐ ยฉ2020 ๐พ๐๐๐๐๐ ๐ด๐๐ ๐๐. ๐จ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zรกbava
Wanao mkubali mkojan like hap 2juane
Mkojan level nyengine yaan kipind kimeenda fresh๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Namkubali sana
๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐ค๐ค๐ค๐ฏโค๏ธโค๏ธJe l aime lui beaucoup
@@fardboy7043 09bbbb
Dah! yaani kila siku sipati like, wanangu nisaidieni plz๐๐โ๐พ๐๐
Sasa like itakusaidiya nini
Unapeleka wapi
Njoo UChukuwa zote
Walio kuja kwa ajil ya mkojani
Yani hii ya mkojani nangalia sitaki hata imalize hii shoo yani burudani mpaka basi ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ผ
Mkojani like kwake jamani kama anafanya vizuri
Mkojani kaenda namba 2 on trending... MashaAllah nyota njema
Mm kila siku sipati like nipeni jamani japo thu๐๐๐
Kwani like unakula
Wanaomkubali mkojani gonga like twende sawa
Walio sikie twende mochwari gonga like hap
Uyu jaa kichaaa eti mochwali
๐คฃ๐คฃ๐ญ๐ญ
Kumbe Ng'ombe unijuiii......respect mkojani unajua sanaaaa๐ฅ๐ฅ๐๐
Huna baya Mo Town sanya na Team yako yote I Appreciate Broh..! ๐๐๐๐๐๐
NAZANI MKOJANI INTERVIEW YAKE IMEVUNJA RECORD YA ZUCHU ANAEKUBALI GONGA LIKE HAPO CHINI
Haina maana comedy vs music
Nc mkojan
Record ipi unayozngumzia?
Hatariiii
Iyo ni hatar sana
Mkojani A.K.A. KING MAJUTO ๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Mkali wa kita leo kazi ipo mkojani yani noma I'M FROM TANZANIA ๐น๐ฟ๐โฅ WATCHING FROM SOUTH AFRICA ๐ฟ๐ฆGOOD GOOD ๐
You are right bro
@@kadabramoses8467 number one bro
WaTanzania wanamkubali saiz mkojani.. like
Nimependa watoto walivyo mtakia kheri๐๐ mpka machozi yamenitoka
Kwakweli anapendwa
Mkojan anajuwa sana
Maashaallah anajua
Love kubwa kwa kweli
Kuna mtoto mmoja alisikika ,, mkojan kapat bahat ya mtende
Team mkojani tujuane nimecheka sana leo bro ๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Alie skia usinivue kofia nnahirizi nan gonga like twende sawa๐๐๐
kama umeskia... kama anavyofanya Abdul gonga like hapa twende sawa
Nawaambieni ningekua hapo ningesimama na mimi I love mkojani๐๐๐๐
Nyote mnaosoma comments huku mna watch najua hatujuani ila naomba mwenyezi akawazidishie maishani ๐๐๐โค๏ธ
Amen
@@emmanuelmwakyembe9632 shukran
Amiin
Ameen
Ameen uzidishiwe na wewe pia
Kama unaamini bongo movie wamebakia kina mkojanitu gonga like twende sawa๐ฏ๐ฏ๐ฏ
Da niliisubiria sana hiyo da mkojani umeuwa gerezani kwa jonijooo na hii sanya pamoja
@wasafi warudie tena kali sanaaa 1 more time ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฏ๐ฏ๐ฏ๐ฏ
Hatanasisi Online tunamukubali ๐๐ฅฐ๐ฅฐโ
Nakupeda sana mkojani โค๏ธโค๏ธ๐
๐๐Ivi wee ng'ombe hunijui ๐๐mkojani jamanii umenivunja mbavu zangu ๐
Aliyekuja baada ya kuona trending namba 2
Daah ๐๐๐ Yan leo nimecheka mpaka bas et nimesikia nyie waendesha pikpik mpaka mkaliwe nyuma Ndo mnapata Hera๐
Likes za mkojaniii ni hapa
Ng'ombe weweeeee,maliuuuuun.Penda sana Mkojani.
Noma san mkojan ata ukimpelka jeshin angkupga bao mkojan the legend
Maskin ftari yangu yangu yoote imenitoka tumboni aiseee๐คฃ๐๐๐๐คฃ mkojan fujo tu yakheee
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ pole
Mkojani kwa ss ndio msani mkubwa kwa vichekosho hakuna ubishi
Hapaaaanaaaa
๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
๐ธ๐ฆ๐ธ๐ฆ๐ธ๐ฆ
aka bachuchu mombasa 001
๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
Na tin white vp
Tin white ndio mkongwe wao lkn kwa ss mkojani ako juu
Kweli anatupuza stress za warabu huku saudia
Hi show Kali nimeipenda Mkojan juu
Nembo Ya Mtaaa๐ฅ๐ฅ๐ฅ Mkojani Number one in Tanzani Hutaki Jamba๐
Gonga beat s mchezo,u have made my day๐๐๐๐๐
Mkojani kashindikana ๐๐พ
number 1 kwa comedy ๐น๐ฟ
Pindi la kijanja Sanaa ๐๐น๐ฟ๐น๐ฟ
Nina vidonge vyangu viko ndani nikivimeza HVO naongea kingereza balaa, mkojani salute
Cute Cute ๐i see you Queen
Mkojani yupo juu kila sehemu akipewa aicheze anaiweza jmn wanaokubaliana na mm like hata 2
๐คฃ๐คฃ๐คฃNimecheka eti huyu ndo zuchu sema nimemic home huyu alivaa nyeusi kajitaidi kidogo kuimba
Mkojani noma popote kazi kazi , nakupata vyema Toronto ๐จ๐ฆ
Wanaomkubali mkojani tupa like
Tulio jikuta tunacheka baada ya kusikia twende police pale humu tunyooshe kidole โ๏ธ tujuane.
Nachek adi machoz eti waende adi mochwari
Like kwake mkojani
๐๐๐๐๐๐๐๐Leo nimekuja hapa kucheka tuuuu
Ngonga beat TP MAZEMBE LIKE ZETU
Watu wanafki sana ๐๐๐๐๐ Mjinga anasema alishamuona Mbagala kumbe bure kabisa ๐๐๐๐๐๐๐๐ Nipeni hata like basi jamani
Nimecheka Sana๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐๐
Kumgundua mtu live sio rahisi
moo town in the building nakubali sana mwanangu unatuletea maujanja kama yote mzee nakucheki kutoka capetown mother city of Africa
Woooow kiti cha majuto kimepata mtu ๐ค๐๐๐
๐๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐
๐๐๐๐ Kweli kabisa
Sure
Mi favorite show โคโคโค๐ฅ
#Baikoko ni noma๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐ We Sanya mungu anakuona ๐๐๐ niko Rwanda ila nakukubari sanaaaaa ๐
Mkojani huyu jamaa anakipanji sana amemridhi mzee majuto nina follow sana nikiwa gulf middle East Qatar
Unatisha kaka kila sehemu mpaka uku uwarabuni wanakukubali ๐ค๐ค๐ค๐ค๐คฉ๐คฉ๐คฉ
๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ @motownsanya ipo siku watakupiga kwenye hii section ya gonga beat๐๐๐๐๐
Wakwanza leoo nimewauwa gonga like kwasana. Wametisha
Mkojani nakupenda bure๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ฅ๐ฅ
Old man he is truly Hero , I don't know him but many knows him
He is just a young man and not old..He is fine comedian
@@12322879 thanks
Nembo Ya Mtaa Vs Mkojani was funny๐๐๐๐
Mbona mwenge hamumlet mkojan mleten mwenge
Mkojan kakutana na muhun
Leo kaz imekuwa
Kubwa sana umeuwa
Bwana Motown sanya
Gonga like kwa monchwar ๐๐๐
Siyo Tanzรขnia tu, mpaka Mozambique๐ฒ๐ฟ๐ฒ๐ฟ๐ฒ๐ฟ, tunasikiliza. Anafanha Poรก Edelehe hivyo na Rafiki yake whaite
Bro fanya kipind ukilet na kwa wasanii wa zanzibar kwan kipindi kizur nimependa jinsi watu wanavokutanishwa na wasanii wao hongera mo town sanya
Jamaniii...nampendagaaaa
Siyo bahati mtende kawaida yangu nyau ww achia like yngu
Mashaallh mashaallh ๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช๐๐๐๐ฏ
Dhuuu mkojani amekuweza Mon town
So amazing sana
Maaaayne...I Like This "Hivi Ni KweLi"...My boY MoTown Knows How doinG His ThanGs...On Top Of That...Pamba KaLi....
Likuwa naisubiri sanaa hii
Hii mwana tunataka request tena mochwari n helicopter ๐๐๐๐
Mkojani Ng'ooooombe wewe Umetiiiisha. Mo town Sanya ujanja kwiiisha ett ndo Zuchu
THIS IS ONE OF THE BEST๐
Maskini watuwameshaanza kumsahau kingi majuto kwahuyu mwamba mkojani kaza mzee baba Big up ๐ค๐ค๐ค๐๐๐
Acha masiala wewe. Majuto ni Majuto tu
Wanaompend mkojan agonge like basi nahitaj like 100 hap chin wapenz wa mkojan
Wote wananijua , labda twende police tuone kama wananijua๐
"Oya mariamu nipe namba yako ya simu ww" mkojani nakubali kaka
mchuzi wa pweza unatoa harara na chunusi ....lol ambae kaelewa gonga like
Huyu ndo king majuto mwenyewe copy right ๐๐๐ฅ๐ฏโค
Mkojani twakupenda sana kakangu mungu akueke ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฐ๐ช๐ฐ๐ช
Kwenye gonga bit aliyesikia uvundo agonge like tende sawa
Hey. Let's make it trending number 1 please
๐๐๐๐ hao waimbaji sasa
Ila bro hichi kipindi kidumu milele
Wap mkojaniiiii mwane2๐ช
huyo mkojani ni bonge WA star โจโจโจโจ
Kwan tukiipeleka trend namba moja itakuaje????
Wapili leo like tafadhali
Twende zetu namba moja on trending
Twende mochwariiiiiiii๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ai mbavu zangu
Mkojani ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Mzigo upo namba #2trending
Zuchu & Mkojani ni Moto ๐ฅ๐ฅ๐ฅ mmevuja likodi
Kipupwe ๐Mkojani
Great transformation
Kama hujacheka leo naomba ukapimwe
Mkojani yuwatambulika hadi Kenya
Yan nikiwa na mawazo napenda sana kumuangalia mkojan pa1 na tini ninawapenda san
Nembo ya mtaa hivi nikwer kuna mwingine Kama mo town sanya๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mkojani ananguvu yake bana ayaa anaetaka twende no one trending tujuane hapa sasa
Nipo hapo
Mo town sanya !!!on trending