MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 02. 2022
  • MAPACHA WACHANGANYA WATU, 'CHENCHI' KAPOKEA MWINGINE | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 1,1K

  • @duhrurhhddhheud8575
    @duhrurhhddhheud8575 Před 2 lety +107

    😢😭Huyu kaka wa miwa ana iman madhubut Mashallah YA ALLAH Umfungulie ridhk yake kwa wepes

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 Před 2 lety +65

    Yaah Allah nakuomba umzidishie yakiin na imani thabiti Muuza miwa maana kaonyesha imani kwako hata kama ni maigizo lakin ni mtu anaonyesha ana imani kubwa kwa Mungu wake

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 Před 2 lety +46

    Wewe kaka wa miwa yaan mashaallah!! Hadi nimekupenda unaimani na haupendi ugomvi

    • @ramadhanimwelondo1811
      @ramadhanimwelondo1811 Před 23 dny +1

      Daah sio siri mwenyezi mungu amjaalie kheri sana katika maisha yake na ampe maisha mazuri zaidi kwa moyo wake aliouonyesha hapo Inshaalah

    • @user-tg2jg7ul9n
      @user-tg2jg7ul9n Před 21 dnem

      Awe mungu mfungulie kila hitaji la moyo wake na umzidishie rizki

  • @erikimethod6246
    @erikimethod6246 Před 2 lety +58

    Muuza miwa Mungu akuinue unaonekana una imani sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 Před 2 lety +70

    Huyo muuza miwa tunaomba namba yake ya simu ili tumchangie chochote tulichonacho. Kaonesha utu sana.

  • @abdallahomary1480
    @abdallahomary1480 Před 2 lety +120

    Allah akupe mafanikio makubwa sana kupitia kwenye biashara yako muuza miwa🙏🙏🙏

  • @UlimeA
    @UlimeA Před 2 lety +30

    Huyu mjasiriamali wa miwa ni peace sana. God bless him

  • @ree6082
    @ree6082 Před 2 lety +134

    Ila uyo jamaa wa miwa anaonekana mstaarabu sana God bless his hustle 🤍

    • @marymushi2512
      @marymushi2512 Před 2 lety +7

      Sana i wish nimjue nimuongezee japo kidogo kamtaji kiukweli anautu na hekma sana

    • @hammyg5714
      @hammyg5714 Před 2 lety +3

      Pia ana imani sana MashaAllah🙌🙌🙌

    • @happygrayson2156
      @happygrayson2156 Před 2 lety +7

      Nmemuonea huruma ad nimelia

    • @imansaid8020
      @imansaid8020 Před 2 lety +2

      Sanaaa mashaallah!! Yaaan hadi nimempenda

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před 2 lety +3

      Sana kwa kweli Mungu amongezee kbx

  • @spaice995
    @spaice995 Před 2 lety +79

    Ni waigizaji wazuri more videos with twins inabamba Sana Ila ulinzi uimalishwe 😆muuza miwa ni mkaka mzuri Sana biashara yake izidi kuendelea

  • @shihana_kiba4997
    @shihana_kiba4997 Před 2 lety +72

    Muuza miwa jmn ataftwe tumchangie buku buku😭😭😭😭😭😭😭

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Před 2 lety +48

    Kwa kweli hicho ni kipimo cha Watanzania kuwa na lmani wengine ni ugomvi wa hali ya juu muuza miwa hongera sana.

  • @backtohappiness4664
    @backtohappiness4664 Před 2 lety +17

    Allah mjaalie riziki na Imani thabiti Muuza miwa MA SHA ALLAH

  • @jawizojays5567
    @jawizojays5567 Před 2 lety +34

    Daaaa muuza miwa kinyongee sana adi huruma😂😂

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 Před 2 lety +33

    Muuza Miwa atafanikiwa Imani inammbeba🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @bravoabdul8201
    @bravoabdul8201 Před 2 lety +166

    Anaesikia huyu jamaa mmoja sauti yake inafanana na Idris sultan gonga like apa👋👋😂

  • @musajuma7437
    @musajuma7437 Před 2 lety +52

    Respect Kwa mwenye miwa kweli hii ni life tu😭😭

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 Před 2 lety +68

    Mbali na Twins Muuza miwa katugusa sana
    May God bless him.

  • @tadeokiliani2874
    @tadeokiliani2874 Před 2 lety +12

    Huyu jamaa wa miwa huyu Safi Sana daaaaah mungu amzidishie

  • @deesure2401
    @deesure2401 Před 2 lety +45

    Daaah very sad kwa muuza miwa 😢💔💔 jins anavy sema NI MAISHA 2

  • @wazirihongo3761
    @wazirihongo3761 Před 2 lety +40

    Muuza miwa Kama mimi (nauza miwa), Allah bless you

  • @maireshsaid1628
    @maireshsaid1628 Před 2 lety +30

    Muuza miwa Allah amjaalie afanikiwe kwenye maisha yake

  • @abubakarally9953
    @abubakarally9953 Před 2 lety +7

    Muuza miwa kakubali loss mwamba kweli jau. Uyo babu jau angekuwa yy angeweza kuwa makini# the best amazing

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 2 lety +70

    Nawapenda saaana hawa vijana jamanini feithar na faidh allah awaongoze katika kila hatua ya maisha yenu na munachokifanya🥰🥰🇹🇿 🇴🇲

  • @nuraynmakoya803
    @nuraynmakoya803 Před 2 lety +59

    Jaman kaka wa miwa roho imeniuma daaaah 😭

  • @joharibashir3478
    @joharibashir3478 Před 2 lety +33

    Maskini uyu wamiwa katia hadi uruma 😅 kijasho cembamba kilikuwa kishaanza kumtoka😢

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 Před 2 lety +26

    Meuwa leo ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ata muuza miwa yani wauza biashara wote wastarabu 😍😍😍🙏🙏🙏

  • @RashHassan
    @RashHassan Před 2 lety +77

    ASSALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH. HUYO JAMAA ANAYE UZA MIWA SAFI SANA ALLAH AMAFANYIE WEPESI TU. IN SHAA ALLAH.

  • @neemamjema1067
    @neemamjema1067 Před 2 lety +10

    Hawa mapacha show kama yao wameuwa mpaka inakeraaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥 ila muuza miwa na muuza karanga mnatia mmetia huruma ila pia mnapata na funzo kwenye kumpa mtu chenji😔😔😔😔 kwa ustarabu huo utafika mbali muuza miwa🤲🤲

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Před 2 lety +11

    Kipindii bora ..ila imana ya muuza miwa imewapendez watyu wengi 🙏

  • @angelmariaotieno2253
    @angelmariaotieno2253 Před 2 lety +20

    Diamond akupandishie mshahara kazi nzuri sana

  • @lucygodfrey4871
    @lucygodfrey4871 Před 2 lety +9

    Uyu Muuza miwa jamn MUNGU akubariki sana na Kazi yako 🙏

  • @baracknyalucy3346
    @baracknyalucy3346 Před 2 lety +35

    Jamaa wa miwa ni mtu poa sana na ana imani sana

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 Před 2 lety +23

    Mungu acha aitwe Mungu yani awa w kaka wanafanan mnoo💕💕Kisha sanya anajuw kujikausha balaa😅😅😅

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 Před 2 lety +19

    Daaaah nimeumia muuza miwa jamanii daaaah ingekuwa kweli sijui ingekuwaje daaaah

  • @sara20028
    @sara20028 Před rokem +3

    Dah mungu akuongezee ridhik kaka wa miwa allah awe nawe

  • @sumayyahally866
    @sumayyahally866 Před 2 lety +12

    Mashaallah mashaallah laha sana kulea mapacha hadi kufikia apo Allah awakuze zaidi lnshaallah natamani na me siku moja Allah anijalie twins lnshaallah

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Před 2 lety +16

    Namuomba Allah sana sana anijaslie mume mwenye hofu ya Allah na tujaaliwe watoto twins nitafurahi sana yaan acheni tu

    • @alkasusjaasus7015
      @alkasusjaasus7015 Před 2 lety

      Nipo Muna na MashaAllah ukoo wetu ni pacha kwenda mbele👌 😊

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 2 lety

      @@alkasusjaasus7015 ok poa poaaa Allah awakuzie vyema sanaaa

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 Před 2 lety +8

    Maashaallaah Allhamdullaah Hawa mapacha wanafanana kweli kabisa mungu awape umli mrufu wenye Barak nyingi Amiin

  • @emmaleejr6670
    @emmaleejr6670 Před 2 lety +18

    Muuza Miwa ..aisee Humanity at his best

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 2 lety +25

    Wallah kipindi cha kijanjanja nimewapendaaaaaa buree 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 Před 2 lety +38

    Ebwana kitaa kina mishe kibao huyo ndio Mo Town Sanya nembo ya mtaa yupo na pacha wenzangu mashallah ❤️ kufanana kama kote

  • @zaujiajuma8260
    @zaujiajuma8260 Před 2 lety +15

    Mashaallah mungu anijaalie na mm nizae mapacha

  • @ibrahimsadick6137
    @ibrahimsadick6137 Před 2 lety +18

    Hahaha hii ya leo nzur sii lazima kila siku superstar..Ubunifu mzuri
    Diamond muongezee MotownSanya mshahara

  • @mawodoshabir507
    @mawodoshabir507 Před 2 lety +10

    Huyu mo town sanya ajengewe sanamu makumbusho🤣🤣🙌

  • @sophierseyyd1162
    @sophierseyyd1162 Před 2 lety +10

    Huruma jmn 😭😭muuza miwa dah maisha hayq 😭😭😭😭 uwiii imeniuma Sana
    .muwe mnawasadia bas km hvy mkiwaona jmn dah

  • @shedracksteven3183
    @shedracksteven3183 Před 2 lety +26

    Sema ina huzunisha kama uyo muuza miwa mungu akusaidie ufike mbar

  • @Omosak
    @Omosak Před 2 lety +8

    Mwenye kipindi bora wasafi na tanzania yote ..mo town sanya...kwaiyi umenikosha

  • @aminasilvia4345
    @aminasilvia4345 Před 2 lety +10

    Wanachanganya kweli hata nami siezi jiokiwa kabisa.from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦

  • @davidnchoji
    @davidnchoji Před 2 lety +92

    Tangu nianze kufuatilia Motown Sanya, this is the best show I had ever seen...big up Bother. We laugh and learn 😂🙌🏽

  • @dianarobert3989
    @dianarobert3989 Před 2 lety +18

    Masikini Mwuuliza miwa alitaka kulia😂sema mwamba hana maneno mengi

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 Před 2 lety +6

    Utu uzima dawa mzee katumia busara ya hali juu. Bigup mzee wa karanga.

  • @MoTownBoy
    @MoTownBoy Před 2 lety +24

    Najua kile mnacho penda hivo sina budi ya kuwapa burudani nakila siku mawazo tofauti tofauti yana kuja ivo endelea ku enjoy Vipidi vikali ndani ya #WasfiTV #WasafiBet #MoTownSanya

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 Před 2 lety +30

    YAani mashallah wamefanana sana yaani wamenikumbusha tukio lishawahi kutokea kijijini kwetu,pacha wa wili wakiume wamefanana kila kitu mpaka tembea sasa mmoja alikuwa jambazi sasa akishaona askari wanamsaka anajificha mwisho wa siku maskini anakamatwa mwenzie ambaye si mwizi maskini alikuwa anasota jela na vipigo kila wakati, mpaka mwisho wa siku Askari wanakuja kujua ni mapacha wa kufanana tayari too late

    • @mwanahamisnsillah7800
      @mwanahamisnsillah7800 Před 2 lety

      Mmh jamn

    • @noxlosingida2369
      @noxlosingida2369 Před 2 lety +1

      😆 🤣 😂 umeni kumbusha mume wangu nae picha na wote wanajeshi sasa mwenzake alikuwa ni mtu wa kukopa sana alafu anadai mume jamani walivyo gundua ilabidi watenganishwe ofisini

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 Před 2 lety +5

      @@noxlosingida2369 Hahahaha hiyo style ya kimataifa iliku yaani kopa wewe mimi nilipe hahahaha halafu sometimes wanamakusudi wakijiona wamefanana yaani lazima tuu watajadiliana ili wavae sare ili wakafanye tukio 😂😂 Astaghfirullah laadhwim 🤣 mie Alhamdulillah pacha mwenzangu wa kiume akithubutu kufanya batili wanamkamata mwenyewe kama walivyomkuta hahahaha 😂

    • @ericksaluvator9101
      @ericksaluvator9101 Před 2 lety +3

      Mtauwa watu kwa pulesha

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před 2 lety

      Ipo sana iyo

  • @jenymtafya3430
    @jenymtafya3430 Před 2 lety +4

    Dah wanafanana sana aisee! Na wanajua kuigiza kweli kweli nice 👍

  • @mansourjuma3731
    @mansourjuma3731 Před 2 lety +10

    "Mungu ndo anaejua atakulipa vipi" Well said MashaAllah🙏🙏🙏🙏🌙

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 2 lety +11

    🤣🤣🤣maskin muuza miwa jamani hebu muongezeeni mtaj, mwenyew mpoole

    • @samiraabdimahamed4449
      @samiraabdimahamed4449 Před 2 lety +2

      Mi nimempenda sana kwa Imani alivyokuwa nayo😢 tumchangieni hata jero jero kila mtu
      Nangoja majibu yenu

  • @khalidabdulaziz8735
    @khalidabdulaziz8735 Před 2 lety +5

    Show babu kubwa sana nimekubali motown Sanya hicho kipindi kiko juu

  • @vestinandimbo7439
    @vestinandimbo7439 Před 2 lety +8

    Sanya katika vipind vyote hichiiii nimeonjoy kinoumaaaaaaaaa wametishaaaa twins nation🔥🔥🔥🔥

  • @shardalove1159
    @shardalove1159 Před 2 lety +17

    Hehehee kwakweli Wana changanya kama date ya Leo 22/2/22 safiii sana

  • @kelvintembo734
    @kelvintembo734 Před 2 lety +23

    Umetisha sana mwamba from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @MOMMEDIA1
    @MOMMEDIA1 Před 2 lety +6

    Ni moja kitu kikubwa Sana aiseeeeeeh ambacho ushawai fanya keep it up 💪 kumbe show kalisio lazima mastar

  • @aichaaicha8045
    @aichaaicha8045 Před 2 lety +7

    Napendaka sana vipindi vyako kka yngu❤🇦🇪🇧🇮

  • @rechoftrezlyamisi8567
    @rechoftrezlyamisi8567 Před 2 lety +98

    We needs more videos with twins ❤🥰😍

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 Před 2 lety +14

    Leo mo umenifurahisha sana maana unawafahamisha uzuri mashallah acha nilale sasa masalama❤️

  • @kayembaquraishyvascas7480
    @kayembaquraishyvascas7480 Před 2 lety +34

    Wow l can also say it's one of my favourites show 😂😁😚

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 Před 2 lety +12

    Mo sanya leo mke wangu kafurai kwasbb yeye naye ni pacha

  • @tumainianthony1613
    @tumainianthony1613 Před 2 lety +9

    Mo.. Hii show Umetisha.. Nimefurahi sana yani kila nikikumbuka nacheka tu.. Big up bro.. And the twins Brothers.. Mmetisha

  • @dinnoboy6232
    @dinnoboy6232 Před 2 lety +6

    Muuza Karanga alivyirudi katoa macho kama mjusi kabanwa na mlango😂😂😂😂😂😂

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před 2 lety +5

    That’s so funny… yafaa wakatie dem mmoja!! Dah maisha mtaa.. watu wanapiga kazi 💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇺🇸🇺🇸

  • @ibrahimabdi7436
    @ibrahimabdi7436 Před 2 lety +25

    Nakubali Sana mo town Sanya 🔥🔥🔥🇰🇪 more love

  • @lisaozokalonji7655
    @lisaozokalonji7655 Před 2 lety +17

    Nice please We need more shows with the twins nimeipenda sana from 🇨🇦🇨🇦

  • @piccokikongwe5437
    @piccokikongwe5437 Před 2 lety +40

    Naitwa Picco kikongwe ni mwana music wa bongo flavor, niliimba kikongwe, swagga na nyinginezo, hizo chini Ni platfom ambazo music wangu unapatikana za zamani andika Picco kikongwe Album utapata ngoma zote za kitambo, na ukitaka mpalya andika Picco ameshushwa utapata music mzuri mkali wa kijanja na wa kisasa, sapoti music wa nyumbani msapoti mtanzania mwenzio
    1. Boomplay
    2. Audiomack
    3. Spotify
    4. Apple Music
    5. Shazam
    6. Deezer
    7. CZcams Music
    8. Notjustic
    9. Soundcloud
    10.Tidal
    11. Amazon
    12. Facebook
    Etc

  • @guygaelgf
    @guygaelgf Před 2 lety +5

    SANYA UMEUWA SANA YANI KWENY IVI NI KWELI UMETISHA 2022 UMEKUJA MOTO SANAAAAA

  • @mamadiva9684
    @mamadiva9684 Před 2 lety +12

    MashaAllah their mom should be very happy

  • @purityangle
    @purityangle Před 2 lety +11

    Babu Hana sadaka😘😘💕💕😂😂Hana sadaka yahaina hio

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha Před 2 lety +16

    Kuwa fananisha mpaka uwe kabisa na ukaribu nao , sio kwa mfanano uho 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🙌🙌

    • @omarysaidi9715
      @omarysaidi9715 Před 2 lety

      Hata ukiwa karibu nao uwezi na wanatoooo dem mmoja sana hao

  • @abdulmalikmassoud2229
    @abdulmalikmassoud2229 Před 2 lety +6

    Babu mumemchangnya mpak ameamuwa kuvuta sigara kichwa kinamuuma

  • @Markhomestz
    @Markhomestz Před 2 lety +25

    Awesome ✨✨🔥

  • @yohanamageta2069
    @yohanamageta2069 Před rokem +1

    Subiria mbaka niuze ndo nikupe pesaako..dah wanangu wa dola moja amani sanaaaa✊✊✊✊

  • @noru9028
    @noru9028 Před 2 lety +12

    Muuza miwa jamn nimemuonea huruma🤣🤣

  • @sifamugwaneza8774
    @sifamugwaneza8774 Před 2 lety +12

    My brother #Motown hii kali ya 2022 🙌🙌🙌

  • @DurahRich
    @DurahRich Před 2 lety +5

    22022022 ndo hawa Jamaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 2 lety +2

    Dah kaka wamiwa jmn😭😭😰😰😰yani wafanya biashara hote niwaminifu hakiyanani cheki uyu kaka wakaranga jmn wachips yani wote tu😭😰

  • @leylaally5707
    @leylaally5707 Před 2 lety +5

    Insh Allah Allah amfanyie weeps muuza miwa 🙏🙏

    • @JackoboMorisi
      @JackoboMorisi Před rokem

      Asante kwenye maisha inahtajka iman Sana🙏

  • @halima7255
    @halima7255 Před 2 lety +3

    Mashallah Allah yani adi raha nawakubali mapacha nyie noma sana ❤️❤️❤️❤️

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Před 2 lety +12

    😂😂😂 Aliekuwa kulia ndo huyo apo Kati 😊 Yy ndo kasema Twins Nation Suruali yake ina kauzi kwa chini 🤗😜😂

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před 2 lety +6

    Jamani mbavu zangu🤣🤣🤣babu anasema Ana sadaka ya Aina hiyo😂😂😂basi babu mimi natoa nusu, wewe babu toa nusu, hata robo Sina 🤣.

  • @adamabubakar7569
    @adamabubakar7569 Před 25 dny

    Dah nasikitika pacha wangu kaenda kula maharage ya watu kwa mama ntilie akaondoka hakulipa siku niloenda mimi nikabananishwa hadi huruma,ila muuza miwa Big up sana🤝💪

  • @jamesmhina9823
    @jamesmhina9823 Před 2 lety +3

    Umetisha sana umekuwa mbunifuuu sana big up

  • @twahaabdalla2304
    @twahaabdalla2304 Před 2 lety +4

    Nimeipenda sana hii

  • @levinamushi270
    @levinamushi270 Před 2 lety +1

    Yaan toka nmeanza kuafatilia hiki kipindi jmn hii ya hawa matwins ni the best nmecheka sna na kuwaonea huruma haswa miss miwa jmn

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před 2 lety +5

    Mashaallah mashaallah

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 2 lety +12

    Roho imeniuma jamanini kwa uyo muuza miwa😣🤓🥰

    • @yunyun799
      @yunyun799 Před 2 lety +2

      @Stan's Online 😂😂😂hata mm😢😢😢

  • @azyoungmussa7196
    @azyoungmussa7196 Před 2 lety +2

    Muuza miwa Mungu amfungulie milango ya ridhik amina ..….ana busara sana🙏🙏🙏🙏

  • @vionaperis4813
    @vionaperis4813 Před rokem +1

    Woooi can't explain how much I love those 2 boys paka I wish nigepewa wakue wangu
    Please once again kavideo with the twins more love from Kenya

  • @jamesmbegwa4862
    @jamesmbegwa4862 Před 2 lety +7

    Amazing big up

  • @abdullygumbo1733
    @abdullygumbo1733 Před 2 lety +6

    😂😂😂😂 Jana tulichekaa sana watu wanatamani hadi kulia

  • @africangirllifestyle7686
    @africangirllifestyle7686 Před 2 lety +1

    Santa naomba namba tumsaidie miuza miwa tafadhali

  • @zinabzinabo8916
    @zinabzinabo8916 Před 2 lety +1

    Wow masha Allah 😍😍😍

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Před 2 lety +13

    Huu muuza miwa nimetaka kulia jmn😭😭😭😭

    • @JackoboMorisi
      @JackoboMorisi Před rokem

      Hpn usilie iwe funzo na kwako pia iman ndo kila kt kwenye maisha