"WE DADA UNANITAFUTIA MATATIZO/ HII DUNIA UNAWEZA KUAMKA MZIMA NA UKAFA" | HIVI NI KWELI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 06. 2022
  • "WE DADA UNANITAFUTIA MATATIZO/ HII DUNIA UNAWEZA KUAMKA MZIMA NA UKAFA" | HIVI NI KWELI
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    DOTTO ARUDISHA PENZI LA MOTOWN SANYA
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 428

  • @Bettingwinner1
    @Bettingwinner1 Před 2 lety +102

    Nilifika saa tatu na dakika 30. Nikawa nawasubiri tu hapa..
    Na Leo Nimekuwa wakwanza tena.
    LIKE KWANGU ❤️🤣✍️

  • @sammynyao9082
    @sammynyao9082 Před rokem +3

    Motown sanya zidi kubarikiwa sana u have made my day you have made the day of that guy ipo sikuu nitakam Tanzania 🇹🇿 pia nipatanae nawe mimi ni mkenya niko Dubai

  • @japhethmangaka3768
    @japhethmangaka3768 Před 2 lety +10

    Huyo Bro wa musoma Daah nimeumia Sana anaongea kwa hisia Sana, kazi nzuri sana mmeitendea haki Sanaa Mo town Sanya na huyo Dada 🔥🔥🔥

  • @sirleembmbambatz5502
    @sirleembmbambatz5502 Před 2 lety +8

    Dottto mnyamaa sanaa Mwana kinyongee sana lakin kasolvee Soo kibingwaa sanaaa💪🏾💪🏻💪🏾🙌🏼🙌🏼

  • @aitharyally5948
    @aitharyally5948 Před 2 lety +21

    Sanya umependeza mashallah

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges3131 Před 2 lety +4

    Safi sana kipindi kizuri mnafanya vizuri pia kuwapoza watu kwa chochote kwa kutumia muda wao big up sana

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Před 2 lety +11

    Safi sana Dotto nimeamini kwenye hii dunia kuna watu wapole ambao maisha yamewapiga mpaka wanachohitaji ni amani ya moyo tu wala hawataki kujua kama nchi ina mpango gani wao wanaishi maisha yao tu na familia zao wanamtegemea MUNGU na wanafanya bidii kwenye kazi zao.Kama wakoafanikiwa maishani sawa kama wakiondoka siku zimefika sawa wao wanajiona wapita njia tu hapa duniani kwamba hii dunia ina wenyewe wao sio wahusika.Kwa kweli inasikitisha.

  • @bongoupdatestv9322
    @bongoupdatestv9322 Před 2 lety +12

    Mazingira yangu hayaruhusu bro. Ukinianiangalia Mazingira yangua naweza kuwa na mwanamke kama huyu. Kauli hii ina ujumbe mzito daah

  • @aronnyboy_tz7785
    @aronnyboy_tz7785 Před 2 lety +14

    Kiki kipindi unaweza kujuwa kinachekesha kumbe kinafundisha jinsi ya kuishi✊

    • @tabomusic3625
      @tabomusic3625 Před rokem

      Point mzee
      Kwenye hiki kipindi unaona uhalisia wa hali za watanzania hasa walioko jijini dar yaani ni halisia na si maigizo tena na ndo utaelewa watu wanamaisha magumu sana uwezi jua kwa kuwaona wanapita au wamekaa tu ila hiki kipindi kinawafanya waziseme tu hali zao …DOTTO…

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Před 2 lety +16

    Jamaa Anzukwa na Tumbo" la Muharo🤣🤣🤣🤣🤣 Utansababishia matatizo mm mwenyewe sina maisha,Maisha yangu yakuunga🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 Před 2 lety +27

    Duh! machozi yamenitoka juu ya huyo kaka wa Musoma anasema maisha yenyewe ya kuunga unga😥 duh anasubira sana

  • @jacquelinesangu1521
    @jacquelinesangu1521 Před 2 lety +43

    😤😤umeniliza sana kaka unajiona ukahisi haufai kwa dunia unafaa sana alafu mo town sanya msiwatafute watu wenye maisha magumu mnatuliza

  • @kelvinraphael7634
    @kelvinraphael7634 Před 2 lety +16

    🤣🤣🤣Kaka leo umeua saaf sana, unatakiwa uwape presha hvyo, umeona hadi katoa tiketi daaaaaaaah Mamae🙌🏽, Ila next time kama anaweza kukubali umpige hata kibao huyo dada(AS PART OF ACTING SCENE) af usiingie kwa utulivu kabisa uingie kwa shari ili yeye akutulize!! But KAZI NZURI KAKA🙌🏽😅😅😅

  • @yekinyamataga7929
    @yekinyamataga7929 Před 2 lety +5

    Binafsi niko pamoja na homeboy Dotto maana huwezi kuja mjini siku chache then ukawavimbia wenye mji ikiwa hujapata ramani,ko yupo sahihi kabisa na ameenda vile script inataka 👍👍👏👏

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 2 lety +7

    Dotto kaupiga mwing SANA licha ya kuwa mgeni kweny huu mji,wakurya waogope wakiwa wanaongea wako calm. Hapo angetaka kubadilika damu ingetapakaa.

  • @gudimahaz9928
    @gudimahaz9928 Před 2 lety +5

    oaaah..weee Nembo yaMtaa metish xan mor creativity mzee💪✌

  • @shebydebely1751
    @shebydebely1751 Před 2 lety +16

    🤣🤣🤣🤣dah muuza ice cream kiukweli kanichekesha saaana kiukweli duh

  • @thomashudson1083
    @thomashudson1083 Před 2 lety +20

    Huyu shabiki mwenzangu wa simba cjamuelewa kisa kavaa jezi ya simba ndo ashindwe kuyaamin mazingira yake...! Ahaaaah

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 Před 2 lety +15

    Wanaume tunavutana pembeni 💪💪 very impressive

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 Před 2 lety +17

    Lafiki yangu unaniletea matatizo rafiki yangu dah😂😂😂😂😂😂

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před 2 lety +15

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jaman kumbe mdogoake Said,,,,,,,,Muuza ice cream sasa🤣🤣🤣🤣

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před 2 lety +9

    Mo town haunipiti hata kwa dkk 💥💥💪

  • @paulmartin2316
    @paulmartin2316 Před 2 lety +21

    Watu musoma tukijaga kwenye mikoa yenu tunakuwaga wapole 😭😭😭

  • @paulwilliam6053
    @paulwilliam6053 Před 2 lety +3

    Nakubali sana kazi zako ASANTENI

  • @sunnamickdady5383
    @sunnamickdady5383 Před 2 lety +18

    😂😂😂😂Napendaa hii kitu 😂😂

  • @nobodyog9512
    @nobodyog9512 Před 2 lety +20

    kuniangalia mazingira yangu naeza kuwa na huyu mtu?😂😂

    • @fatmaomar4838
      @fatmaomar4838 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maskni ajui mapnzy upofuuu sjui mbona yuajishusha ati mazingira ayaruhusu

    • @nobodyog9512
      @nobodyog9512 Před 2 lety

      @@fatmaomar4838 Jamaa cjui anaferi wap😅😅

  • @neemasawe7016
    @neemasawe7016 Před 2 lety +10

    Alivokuwa ananyoosha mkono mara ya kwanza apokee simu🤣😂😂

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Před 2 lety +21

    maisha yangu ni ya kuunga tena ni ya kuunga munooo

  • @psnawana3794
    @psnawana3794 Před 2 lety +6

    Daah sema jamaa wa musoma roho safi sana

  • @rodgerushindi85
    @rodgerushindi85 Před 2 lety +20

    Wanaume wanaongea kiume sio watu wa shari ... wanavutana Pembeni kuongea mambo yaishe

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Před 2 lety +12

    Maskini uyo Jamaa wa Musoma anatia hadi huruma, Maskini ya Mungu mpole sana 😢😢😢

  • @shomarkhamis8006
    @shomarkhamis8006 Před 2 lety +13

    Oya mwenetu wa Simba katuangusha huku😂😂😂😂😂

  • @valeflolian5869
    @valeflolian5869 Před 2 lety +3

    Nimecheka mpaka basi bwana Dotto na muuza ukwaju daaa bonge la hivi ni kweli.

  • @christopherdiu7851
    @christopherdiu7851 Před 2 lety +14

    Mkurya FALA KWELI .,,Aaaahahaaa mpaka tiketi katoa kwamba yeye WAKUJA.Yaani mimi hapo huyo Dem ningeanza kumbinyabinya kama embe wenyewe wangeona hapa sio

  • @asiacruiz5165
    @asiacruiz5165 Před 2 lety +14

    Wanaume wa msoma ngangari ,mbona saidi hakuwa muoga 😂😂😂😂

  • @godfreyally7787
    @godfreyally7787 Před 2 lety +4

    Sanya umeua Sana mwamba maubunifu full🔥🔥🔥

  • @tumahmifashion9200
    @tumahmifashion9200 Před 2 lety +14

    Hana maisha jmn ni yakuungaaaa🤣🤣🤣

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel4671 Před 2 lety +10

    Dotto ana moyo sana. Ni mpatanishi mzuri wa jamii

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 2 lety +12

    nimejisikia huruma jamaa anasema unavyoangalia mazingira yangu hivi naweza kuwa na mwanamke kama huyu naomba namba nimtumie laki masikini

  • @maligeltabatholomeo8128
    @maligeltabatholomeo8128 Před 2 lety +14

    Wangapi awanamaishi jamani wametoka musoma

  • @starmoonofficial9829
    @starmoonofficial9829 Před 2 lety +5

    Sanyaaa fireee

  • @emidisadikisaididenchi8210

    Umetisha saana bro mavazi kazi nzuri saana

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Před 2 lety +4

    Nakukubali bro 👊

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 Před 2 lety +5

    Dotto amerudisha penzi dotto nimecheka Sana

  • @davismontana6228
    @davismontana6228 Před 2 lety +17

    😂 😂 😂 jamaaa anatia sana huruma

  • @muckymaccode134
    @muckymaccode134 Před 2 lety +6

    Mo Town Sanya Nembo Ya Mtaa kijana wa Ovyo🙌🙌😂😂😂

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 2 lety +8

    Jamaa wa msimbazi alijifanya mkauzu kuongea ktk cm.baada ya kumuona bishoo mwenyew kapoa

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 Před rokem +2

    Jamaa kutikisa miguu aliingiza baridi kinoma😄😄😄😄😄

  • @UdakuOnline
    @UdakuOnline Před 2 lety +7

    Unanipenda hunipendi hapo Ndo #kipengere😁😁😁😁😁

  • @edwinclement233
    @edwinclement233 Před 11 měsíci +1

    doto ameniumiza sanaaa sana masikini jaman

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 2 lety +2

    Dah bonge Moja la content 😂😂💪💪

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 Před 2 lety +7

    Mackin dah!! ety sina maisha mimi

  • @zebidahlawrence9419
    @zebidahlawrence9419 Před 2 lety +4

    Maskn 😔 eti huyo sio type yangu mimi, kwa mazingira yangu mm unaona unaona kabisa hafu anajiangalia viatu 😔😔 roho imeniuma mi cwez kuangalia hv vitu

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Před 2 lety +9

    😁😁😁😁me ningekimbia

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety +7

    Nachekaga mo town anavyokujaga na bodaboda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Gibson360kibabi
    @Gibson360kibabi Před 2 lety

    Daaar mwanang umetisha snaaaa

  • @Puxladen
    @Puxladen Před 2 lety +4

    Uyooo Sio typ yangu mm embu niangalie mazingira yangu

  • @mohamedjaffer7478
    @mohamedjaffer7478 Před 2 lety +5

    Background sound inasumbua, hatuskii voice vizuri

  • @abdalahnyahenge896
    @abdalahnyahenge896 Před 2 lety +11

    Et kwenye maisha yako kwani unapata furaha?

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před 2 lety +6

    Dah! jamaa amenunua kesi kieahisi sana

  • @FamousGamer254
    @FamousGamer254 Před rokem +1

    Motown Sanya is king of legit content 🤴💪💪

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 Před 2 lety +2

    etii Dotto baada ya kuambiwa anaonekanaga kwenye tv Ndo akakumbuka salam etii aah mambo vipi kwemaaa 😅😅😅😅

  • @juniorsonofgod5675
    @juniorsonofgod5675 Před 2 lety +4

    😂😂😂😂eti naongea Kama mwanaume wenzako. Pili Mimi ndo natoka nae huyu mwanamke 😂😂😂 Tanzania hii haina watu

  • @mmassadieudonnengomoya8607

    Anae shoot anashoot akiwa mbali San sometimes sura azionekan vzr afu fujo za magara na pikipiki izo atuelew

  • @dulax2457
    @dulax2457 Před 2 lety

    001 we were watching dulax wavaniler big up kazi kubwa sana mungu sana sanya

  • @djpatruick
    @djpatruick Před 2 lety +1

    Daah.! Hapo mm utajikuta nilisha rusha ngumi hapa mchezo.

  • @angolina1768
    @angolina1768 Před 2 lety +7

    Alooo weee hahahaaaaa siyo poa makolo wanakuaga waoga sana nyieee anajielezea masikin

  • @asmaathmani440
    @asmaathmani440 Před 2 lety +14

    Yule mwenye jezi ya simba amenitoa machoz maskin

  • @samirysharifu8649
    @samirysharifu8649 Před rokem +2

    Dahhh Nimetoa machozi jamaa alivyo kuwa anaisemaa mazingira yake kwa unyongee sana nimeumia sana

  • @nobodyog9512
    @nobodyog9512 Před 2 lety +8

    Eti namba hyo FUTA.. ooh nitamchamba kumbe kelele tuh😂😂😂

  • @joejux1380
    @joejux1380 Před 2 lety +5

    Kuna Kolo Huku Kadakwa Na Sanya😂

  • @paulomaona2466
    @paulomaona2466 Před 2 lety +10

    Mwamba anabusala kinoma moyo saf leo mmeuaaa

  • @yousufyousuf5963
    @yousufyousuf5963 Před rokem

    Tonysanya munafurahisha from 🇴🇲

  • @hgery2666
    @hgery2666 Před 2 lety +2

    Kwan mwenyewe yuko wapi jamaa kaanza kuogopa🤣🤣

  • @johnkyara8061
    @johnkyara8061 Před 2 lety +2

    Jamaa.anasema mazingira yake hawezi kuwa na pic kali 😆 🤣 😂

  • @issahassani9293
    @issahassani9293 Před rokem +1

    Hugo bwana mdogo amekuja kutafuta maishaa mnamleteya ukonjwa wa moyo

  • @yassinmuhode7182
    @yassinmuhode7182 Před 2 lety +10

    Mwanaume akikwambia anaunga bac anaunga kwelii🙆

  • @dvjkelly8449
    @dvjkelly8449 Před 2 lety +23

    Sema huyu mtu wa simba yuko sawa kabisa katika kujitetea, make unaweza kaza uje uingizwe dudu takoni kisa mambo ambayo hayakusaidii

  • @bizabishakaanifa586
    @bizabishakaanifa586 Před 2 lety

    Sanya umetisha 🔥🔥🔥

  • @hadijalivigha9781
    @hadijalivigha9781 Před 2 lety +5

    Unajua dadaangu

  • @sevenhenrystephano6337
    @sevenhenrystephano6337 Před 2 lety +1

    haaa niatari kweli

  • @hassaniothmani8549
    @hassaniothmani8549 Před 2 lety +5

    Huyu jamaa fala sana 😂😂😂

  • @evanamkondya4257
    @evanamkondya4257 Před rokem

    Asee mo una tisha safi sana aseeeh

  • @stambyser8305
    @stambyser8305 Před 2 lety +3

    😂😂😂mwanaume hapotezagi fulsa ya demu “bora nimkanyagie mwana ili nichukue dem”

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 Před 2 lety +6

    Kwa mazingira yangu unaona naweza kuwa na huyu mwanamke 😂😂
    Vitu viwili tofauti

  • @psnawana3794
    @psnawana3794 Před 2 lety +3

    Sanya unaezaje kufinya uso kwe izi situation😆😆😆😆mm ningeshamcheka

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 Před 2 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣mi mwenyewe ningecheka hyo Crip ingebuma

  • @yassinmuhode7182
    @yassinmuhode7182 Před 2 lety +4

    Naqubalii🙌

  • @mwambarock2562
    @mwambarock2562 Před 2 lety +3

    😂😂😂😂😂😂daaa et hivi ukiniangalia kwa mazingila yangu na weza kuwa nademu Kama huyuu 😂😂😂halafu kinyongee daaaa et mama yangu mzazi ...#monsanya#hivinikweli..

  • @pdwanakaza2411
    @pdwanakaza2411 Před 2 lety +8

    Haahhahhaa huyu jamaa wa jez ya simba kanichekesha snaaa

  • @kisalaTV
    @kisalaTV Před 2 lety +2

    😄😄😄😄kumchamba kumeisha siurijitia utakuja kumchamba😂😂😂

  • @chanchubasammy4562
    @chanchubasammy4562 Před 2 lety +6

    Nmechela kifala sana leo

    • @tiffanyakramJr822
      @tiffanyakramJr822 Před 2 lety +1

      😂😂 kweli mwanangu umecheka kifala hebu rudia ulichoandika

  • @nasibundondole9592
    @nasibundondole9592 Před 2 lety +1

    Mshikaji kasema dada mi sina maisha..

  • @UdakuOnline
    @UdakuOnline Před 2 lety +3

    NAONGEA KAMA MWANAUME MWENZAKO😁😁😁😁😁🌝

  • @lameckmihayo4669
    @lameckmihayo4669 Před 2 lety +1

    Duh hik kipind hatar Sana jaman Kuna mda kama hujui unaweza panic sana eboo

  • @frankdanford8245
    @frankdanford8245 Před 2 lety

    Mo town hii clip kali sana ila ungeongeza na kamkwara ka bastola hivi kwa huyo mwamba ingekuwa poa sana😂😂😂😂😂😂

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 2 lety +7

    KIPINDI 🔥🔥🔥🔥
    #AVATASTAR255 👽🎵👈

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 Před 2 lety +4

    Nasema ivi nitamalizana nae vzl nitamchamba

  • @robisongodiwnmushi9304

    ila umetisha san

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 Před 2 lety +4

    Hii Inaonyesha wanaume wengi wabongo Ni Malaya awataki wapitwe na jambo

  • @sulebless8575
    @sulebless8575 Před 2 lety +7

    Uyo demu kalia nini maneno mazito kaongea dotto

    • @kajugaa4537
      @kajugaa4537 Před 2 lety

      ofcoz mchizi kaongea kwa hisia sana (haya maisha unaweza kuamka mzimaaa ila ukarudi nyumbani marehemu tu kwa sababu ya binadamu tu)