mama yangu ana bahati sana katuzaa pacha mara mbili wa kwanza kapiga wa kiume wawili mara ya pili akaleta mapacha wa kike tena mimi na mwenzangu namuombea mama yangu maisha marefu sana kwa kutulea wote tukakuwa na maadili mema
Mimi pacha mwenzangu kasha tangulia mbele yahaki sema yeye alikua wakiume mim wakike Yani navo ona iviii naumia sem mipango yamungu Haina makosa 💔💔💔😭😭😭😭
Hawa ni mapacha Ila ukiwaangalia vizuri wanatofautiana Mimi nimeshaona Tena kwa haraka Sana tofauti yao angalia vizuri sura zao moja ni ana sura ya duara mmoja ana sura ya urefu kidogo
Mimi nina pacha wa kike wote. Kwa uzoefu wangu hawa hawafanani sana. Mmoja mrefu na lighter kuliko mwingine ni mfupi kidogo na bit darker. Hivyo kwangu wanatofautiana mpaka sauti.
mama yangu ana bahati sana katuzaa pacha mara mbili wa kwanza kapiga wa kiume wawili mara ya pili akaleta mapacha wa kike tena mimi na mwenzangu namuombea mama yangu maisha marefu sana kwa kutulea wote tukakuwa na maadili mema
@@fadhilaongezaongeza226 to tr
Mm
@@fadhilaongezaongeza226 to tr
Mm
@@fadhilaongezaongeza226 to tr
Mm
@@fadhilaongezaongeza226 to tr
Mm
hebu tukuone pacha
Mashaa Allah napenda mapacha mm mapacha love you so much popote mlipo 😘
Mungu anijalie nami nipate mapacha nitajivunia sana
Naomba dua Kila nikiswali Allah anijaalie nipate pacha hata mara 3 walah napenda mno
Inasemekana kama uko wenu kama kuna pacha au ww mwenyewe kama pacha
@@dotosalim5090 mm si pacha sema wadog zng Kuna ally na Aluwy pacha na Yusuf na Yunnus ndio pacha mm sina pacha ndg yng
@@munaahmed8499 kila kitu kinawakat
@@dotosalim5090 insha Allah momy sijui momy sijui kaka maan jin ya Doto yatumika kote kote
Inshaallah mungu atakupa
Yaa Rabii na me naomba unipe iyi zawadi
Amiin mm pia namiss sana😍😍😍
We kama mie ndoto zangu nikuwapata hawa viumbe
Amiin mung atujaalie 🤲👏🙏
Wanasaut km idris jmn hawa vijana. Au naskia mim tu. Ila nice 👌❤
Atakusema mmoja aweza sana
Mashaallah napenda sn mapacha
Jirani anamapacha wamiaka 5 wakike
Nawakiume mapacha wamiaka 5
Nasasahivi mjamzito ameambiwa anamapacha
AMEN God will bless you too my dear.
Mashaallah Allah akujaalie na wewe
Duuh! Wa kiume na wa kike wote wana miaka 5 je alizaa 4 Kwa mpigo?
Daah sharifa na safia st.Mary's twins umenikumbusha shule sharifa unaongea kama kawaida yako maneno 100
Napenda sana Mapacha, Allah nijaalie nipate Mapacha, nimewapenda sana.
Mungu naomba unipe pacha 4 wali wasichana wawil wavulana yaaan nawapenda mbaya mubarikiwe ps
Mimi Nina mbengu za kipacha
Waliowapata sio kwamba waliomba....
Hupati ng'oooo
Mungu nijalie mapacha 🙏🙏🙏
Yani nataman pia mm
Mungu nakuomba uniletee mapacha 🤲🤲🤲🤲
ALLAH nijalie mmoja wa kike na wakiume inshaallah
Amin
Jamani napenda twins hatari
Ameen
Amen
Watoto wangu ni mapacha mimi baba yao nashindwa kuwatofautisha akikosea mmoja nachapa wote. Nikitaka kuwatuma naita tuu atakae jilengesha ndo anatumwa
😀😀😀
Duuu hao ni kiboko
😂😂😂😂
Hahahhaaaha
😂😂😂😂😂😂
Wao nimewapenda mlivo mwaaaaaa
Wasibishe mapacha wana power fulani hivi ya kuzaliwa nayo, wanavyo sema mimi na kubali kbs ❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mm pia nna mapacha wana changanya
True
WALIOGUNDUA JAMAA WANA SOUND KAMA IDRISS SULTAN.. LIKE ZETU NI APA
Kabsaaa
Sanaa
Ya, kama idrisa
Ndio wanaongozana ndio Inakuwa mmoja anaanza asubuh mwingine anakuja jion
Kwel wamefanana wale wa uba ilitokea
Allah anijaalie mapacha🙏
Ameeen nami pia
harafu ukawauze au?
Amin Rabil Amin hata mm hutamani sanaa
Mungu nijalie mapacha wakufanana
@@sarahwillium9222 kwakweli
Yarabbi nijalie na Mimi mapacha inshallah 🙏
Duh hadi rahaaa🙌🙌
Warembo kama wawakubli gonga like
Wow i love them all guys and girls there so pretty 100 %
Yan Hawa wanaoongea sana ni akinadoto😂
Awa mapacha wa kiume wana fanana na Idriss Sultan...au wadogo zake!!!
Mashalah Na mi ninamapacha wakike Na wakiume
Hawo mapacha wa kiume wanapenda Sana
Hello
Dah nimewapenda wote wakike na wakiume
Zawadi nzuli kutoka kwamungu😋😋😘😘
Kweli ni "Otomatiko" Sio "Oromarikal"👍😂
Hao wazazi waliojaliwa mapacha wa kufanana wanabahati kubwa Sana yani inapendeza
Aisee acha tu nawapenda mm mwenyew wadogo zangu ni pacha na dada yangu anapacha
😅😅hawa madogo wanazingua sana. Wanapendeza sana wadogo zetu
Hongereni sana adi raha
Wazur kwakwel nawapenda matwi ns nataman mungu anipe namm
😂hao wakiume sasa walivyo nogewa na story zao😅love you guys
Hawa wakike hawafanani sana unaeza sema mtu na dadaake tu huyo red ni tofauti kabisa
Nimewapenda sana
Nmependa hii
Nam nipo pacha...walioko pacha kuja mnipe like zangu jaman.🧑🤝🧑
Hawa hunawez kutofautisha man meengin nimwembamba san moja ana kamwil kidogo
Sauti kabisa zina tofauti
Dear God bless me with twins 😭😭🙏🙏🙏
Ee mungu unikumbuke na mm
Inapendez sna kuzaa pachaa jmn natmn
Dah ila ni wazur htr🥰🥰🥰🥰🥰
Mwenyezi Mungu nami siku moja nijalie mapacha 🙏🙏
Mungu anijalie na mm km mama Yang
Yaani mimi ndio sisemi
Mmoja sura ya Idriss
Mashallah nikitu napenda sana katika maisha yangu namuomba MOLA anijaalie mzao wangu wa pili nizawadike zawadii hii Inshallah
Ameen inshaallah
Ukiwa na mapacha wanao fanana raha sana unalipia ada mmoja wanasoma wote.
Haiwezi kutokea hahahahahah
So cutes❤️❤️❤️❤️
Daaaa jamani napenda sana mapacha yaani hawa wamefanana sana wote.
Nawapenda Sana wapo wengine wanacheza mpira
Kama umeona hawa mmoja ni mrefu konga like ukanyange makubwa makubwa👌
Twin boys wako powa 😄😄, nawapenda sana twins 😘😘
Mungu naomba unisaidie nipate watoto mapacha wa kike na wa kium wakue wakubw kama hawa
Ni kweli kabsa
Nawapenda wote
Napenda jamani Mungu skia kilio changu
Hao wa kiume ndio nomaa
😂😂😂😍😍
Kama unataman kupata mapacha nione
Unagawa au?
@@eddydauson7525 nagawa mbegu
Jmn nmewapnda bure mpk rahaa
Awa wanaume wanafanana sana yani uwezi kuwa juwa
Nami naamni mungu atanipatia mapacha🙏🙏🙏
Mimi kuna wadongo zangu mapacha mpaka mama Yao anawachanganyaga majina kwajinsi walivo fanana
Nikweli_kabisa_hata_mimi_na_pacha_wangu_ilikuwa_hivyo_naelewa_kabisa_Alipo_
Muna fanana noma Ila mwenye guo nyekundu nmulefu kidogo mwenye sauti kubwa
Mmja anaongea SANA hiyo ndo tofauti Yao🙈
Waooo, Mungu awajalie amani na upendo.
Duuuh adilaaa
Wanatofautika tu mngine ana kisura cha kitoto
Ata mm ninapacha tumefanana Sana tunapitia changamoto nyingi za kufananishwa
Nawapenda mapacha niao pia
Bonitos e Bonitas
Wazur😁
Adii rahaaa jmn uuuuwwwwwi
Hao wavulana wana the same voice vbaya
Twins nati0n 1 twin nati0n 2 Ee MUNGU na me na0mba mapacha jaman daaah
warembo hand laah
Nice
Wakiume wamefanana zaidi
Mimi pacha mwenzangu kasha tangulia mbele yahaki sema yeye alikua wakiume mim wakike Yani navo ona iviii naumia sem mipango yamungu Haina makosa 💔💔💔😭😭😭😭
Wazuriii
Duh awo mapacha wakiume noumaaa aisee
Ooooh my goodness 😳
So lovely I love the boy where can I found them
Natamani mapacha❤
Nitafute
Njoo kwangu
EE MWENYEZI MUNGU NAOMBA NIJALIE NA MIMI ISMAILI NIWEZE KUPATA MAPACHA EE MWENYEZI MUNGU NASHUKURU SANAA ASANTEE
Kwanza mmoja mweupe hawa wakike
Watoto wa kiume nawafaham jamna Wana heshim Sana halafu wapole
Wee huon hata walivocmama kiheshimaa???mpk mikono wameikunja kiheshima
Wee huon hata walivocmama kiheshimaa???mpk mikono wameikunja kiheshima
Watu n wawili wawili lkn hawa n watatu hawa broh n wawili then plus idriss....itabidi nitawaongezea wawe 4😁😁ili wawe sawa 2,,,2😂😂😂🙈
Kabisa
@@happypa2027 😂😂😂😂🤭
Umeona eeeh sasa idrissa atuwa na nani 😄😄😄😄
@@uwitekamimy3431 itabidi nifanye uchunguzi😂😂😂😂
Kabisaa
Nawapndag hawaaa
Hao jamaa wanafanana na Idriss Sultan
Handsome
❤️💕❤️💕
May Allah bless mi with twins yarabi
Mandoa TUUU HAPO
JIONGEZENI TWINs
Hawa ni mapacha Ila ukiwaangalia vizuri wanatofautiana Mimi nimeshaona Tena kwa haraka Sana tofauti yao angalia vizuri sura zao moja ni ana sura ya duara mmoja ana sura ya urefu kidogo
Mi nimewatofaut mmoja mrefu mwingne mfup pande zote wadada pia hvy hvy alf hao warefuu wanaongea sn pande zote
Mimi nina pacha wa kike wote. Kwa uzoefu wangu hawa hawafanani sana. Mmoja mrefu na lighter kuliko mwingine ni mfupi kidogo na bit darker. Hivyo kwangu wanatofautiana mpaka sauti.
kweli nguo ya blue sura mduara nguo nyekundu, sura ndefu.
Wamefana ulowatambua wewe ni mtaalam
Mikbla yakufungua niliona
Wqnaongea tofauti
They are so cute ❤️
The power of DNA.
Washaanza uongoo