HILI NI BALAAA...MAPACHA WAMGOMBANIA MR RIGHT | ANGALIA ALICHOFANYA MR RIGHT
Vložit
- čas přidán 22. 09. 2023
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU - Zábava
Huyu mpole asiye na wigi nimempenda sana, Mungu amubariki na mwanaume mzuri, nimependa tabiya yake
Enyewe jamaa hajafkiria
Kila shetan na mbuyuwake huyu apenda mpole huyu apenda ucharuko
Mapacha kulwa anakuwaga mpole kuliko doto
sasa si uendeko ukamchukue
Huyu Pacha Asie kuwa na Wigi nimempenda Kabisa. ❤🌹
Me too mzuri sana
Nimempenda Mercy, ni mdada humble 🥰❤❤❤ huyo Mwingine 😅🤦
Merce mempenda buree mungu ambari
Nilitamani amchague kulwa nimpore.san😂❤🇨🇦
Kweli kulwa mpole tuu😢❤😅
Kwelii bhanaa 🥲🥲
Dah sio pow
Kwa hakika
Hamna mpole hapo shoga angu vidangaji ivyo hatari njoo sinza uvione vinavyovuta masigara na mashisha
😢😢😢😢 mimi sijapenda chaguwa yake 😢😢
Ndo ameshachagua 😂😂
Uyo kulwa mpole nimempenda bureeeee
❤aaaiy jamani nmemtakia Kila la heri Messi ilaaaa💔💔💔
Bora kamchagua huyo mwenye wenge maana angemchagua mpole huyo na mawenge yake angeweza kwenda kumwaribia mwenzake
Kwel mkubwa n mkubwa 😂😂😂😂❤
I love the show I'm watching from Nigeria ❤❤
ivi hii huwa ni kweli au michezo tu
Ka dotto kana vinyama fulani ivi amazing
😂 asanten kwa kutupunguzia stress
😂😂😂😂😂😂jamani mjini hapa🙌🙌🙌 hatimae nashuhudia uongo ninaoujua nyie wakina noureen nyie kwanza hayo majina ya mercy na maria mmeyapata wap 😅😅😅😅 aiseee ukistaajabu ya musa Khah leo nyie wadada mmejua kuuza contect Haya mkitoka hapo Mpitie wazo Norah uje unisuke dada ako kweli mijn usipotumia akili kinachoumia ni kiungo chako cha mwili 🙌🙌
Daaaah!!! mambo hayo kweli hiyo ni vita ya ndugu haipaswi mtu wa nje kuingilia
Hata Mie kadoto nimekaelewa 😊
😂😂😂😂😂
That is true love the one in love you👌🇧🇮🇿🇦
Ongeleni kwa kipindi kizuri. Naomba mawasiliani. Asant
Nice ❤❤❤🎉🎉🎉
Duh jamn angemchukua mecy nimpore san lkn hyu mwngne duh ni hatr😢😢 pole mecy
Kulwaa ni mpole sana
Pole zainab
hii show iko local sna
Kulwa yuko vzuri kimawazo❤
Huyo mwenye wigi sijampenda wallah ana karoho flan hivi halafu walitakiwa kutokuoneana wivu walitakiwa kupendana loh kulwa mpole anaroho nzuri lkn doto hapana
Yan hawa wataenda kugombana tu huko na huyo bwana atawala wote shaur yao😂😂😂
Hata ingekua ww ungewaacha kweli
@@MwaniPhataweza kuvumilia nani❓
@@MwaniPh Mimi ningekula wote 😂😂
@@Fredy-oz5vu 😂😂😂😂
Mapacha ni hatar😂😂😂❤
Hawa pacha hawasikilizani hady kwa sasa wanapo ongea...nani ana agree na Mimi...weka likes..
It's okay
Nilijuwa tu akn doto wababe always
Kaidrisa sema kadoto karembo kasister do Sana na mwendo wake hatar pozi zake mercy kidogo mlokole
Kumbe Mr Right ana pesa ana maduka ya nafaka sema anavaa vizur kwel Mr Right hila doto atalinga alivyompata Mr right
Hicho ndio ulichokiona tamaaa tu wanawake wa sasa
St bongo inasumbua Hadi nimekata tamaa ya kulipia hv as yn napitwa tu....😭😭
Kwa Nini inasumbua et
❤ ukopw kas
Wamefanana ila Asie na wigi ni mzur sana
Jaman kamuacha kibonge nimeumia😊😊😊😂😂😂😂😂😂
😂😂😂sasa toka lini mapacha wakawa hivi kwakeli
Wakoo hvyoo
@@leshyhaule 🤣🤣🤣basi wana kazi nao
Sipendi watu wanajishaua mtoto wakike anabinua macho kama anakata roho fyiuuuu
😂😂😂😂😂😂
Hivi hii kitu Ni kweli au maigizo Ni kweli unapat mchumba Wa kuowa apa
Ndy
Sijapenda😢
Duuh kibonge wangu kabaki😅😅
Wamefanana
Jaman chaupolee
Hizi zarau huku mtaani amtuoni au ndio mnatafuta tredi
Ila huyo mwenye wigii😮
Uyu mu kaka naona a itaji mke waku owa ,ila Ana itaji wakula naye Bata njiyani😅 naona Ali aca mke muzuri mwenye iko na umama, mwenye eshima na moyo mzuri...basi uyo pacha mkubwa Ana stahili mume mzuri ambaye Ata mcunga ,naona na uyo mume akuwq namu stahili😢sorry
Hivi huu ujasiri wanautoaga wapi??
Aibuu na mimi akiii
For the first time naona mapacha wanakosoana kwaajili ya mwanaume
Nko nawaleaa wakinaa dotoo n wamotoo sanaaa😂😂😂
mapacha bwana hata tumboni huwa tunagombana alafu akina dotto wakolofi sana nashukuru mungu mimi kurwa pia dotto ni mbaba
Kipind hichi kinanitoa roh kinavyonipa raha😂❤
Sijapenda kbs😢😢😢
Hat mie sijapenda hicho kitendo walicho kufanya duuuuu ☁☁🎈🎈☁☁☁☁
😊😊👀😊🌛☁☁☁
😊😊😊😊☁☁☁☁
☁☁😊😊☁☁☁☁
☁☁😊😊☁☁☁☁
☁☁😊😊☁☁☁☁
☁☁😊😊☁☁☁☁
☁☁😊😊☁☁☁🎈
☁☁😊😊😊😊😊😊
☁☁😊😊😊😊😊😊
☁☁😊☁😊☁😊😊
🌾🌾😊🌾😊🌾😊😊
🔥🔥🔥
Mwenye wigi ana mbwembwe
Maria ako na maringo ovyo sana
Jamani hako kadogo kakorofi ila wote wazuri
I need a beautiful girl from tz. Awe mple kama huyo ambaye hakua na wig
Mwanaume mwenyewe sasa😢
Bora amechaguliwa atutolee kisirani maana mwenzie angechanguliwa angemuua
Huyu doto ni derlin wa volktoc
Jamaaaani mesiiiiiii nilijua atamchagua kulwa lol wanaume kweli mwalimu wao kipofu mke alikua kulwa ana nidham na huluma 😂
sheria ni lazima achague mapepe siku akizubaa anashituliwa na mwko wa mgongoni
@@user-zw7ln4iy3g🤣🤣🤣🤣
@@user-zw7ln4iy3g🤣🤣🤣🤣
Mesmerized by the choice, 🙄🙄🙄
Huyu mercy akiendelea kuvaa hivi na hilo umbo lake hatoboi
Ndo Maan vikatombwa wote, vina usnge flan hv😂😂
kumbe😂😂
Kumbe Mr Right ni T.l.D
Uyo pacha mwingine ana mashauzi hila Maria wigi limependeza bola mercy na yeye angevaa wigi na yeye angependeza Sana Mara nyingi doto wanakuwaga mapepe
Hila mwanaume nimependa anavyosema ondoka na wale waliotaka kuondoka na wee
Mr light ni tamu😅
Ni kwel jaman sio michezo tu ni kwel yani watu wanaondoka kwel na wapenzi ni kama walikuww hawana wanatafutiwa
Apo unaenda na mke wako alafu unamchagua Kwa akili zako tuu kulwa na doto waende wakatafute. Mchumba hapo kulwa kashindwa kusema kitu co ni shemeji yake huyo 😂😂😂😂😂😂 mwenyé mume ndiye anajisemea semea
Mtaongea tu saukute huyo mwanaume n mtu wa dotto wamekuj tu kushow lkn hao wanajua wanachofanya
mimi sijapenda chaguo lake labda kama anahitaj mtu wa show time but...kama serious alitakiwa amchague kulwa
Hap umenen
Nataka namba za hao ma pacha
Huyo jamaa hajui kuchagua unachangueje kicheche unamwacha mpole mbwa huyu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa hajuiii
Kaniuzi kwel huyu jamaa
Wote malaya tu
Kazingua kwel
😂😂😂😂😂
Hilo wingi umeazima buza🤣🤣
Jamn kulwaaaa mh
kulwa nd katulia uyo doto mapepe
Jmn hata mm nna pacha I'la upuuz Kama wa huyu dawa wig cijaupenda
Hawa ni comedy😂😂
Maria anaonekan ni kichaaa kabisa hapo mwamba kafeli
Jamaa kaona manoginogi mm nimependa
Tanzania is a blessed country everything is beautiful
Mwache akapambane na hilo gumegume make mwenye macho haambiwi tazama
Utapat 2 nilembo bado
Jomba kavhanganywa na wigi fala kweli
Huyo asie na wingi ndo mke wakuoa
Kulwa ndy bee uyu mwingine huyu cjui🤔 mana....... Ishara tu sio zenyewe
Mbona kila mwanaume anaitwa Mr Right?
Mr Right paka anacheka alivyosema kibonge
Lulu diva naye anakera...subir nn sasa
😂😂😂uzur ukimkosa mpenz bc atakuwa shemeji🤣🤣🤣🤣
Mhhh
Yule mwingine angevaa wigi naye wangefanana sana
Wapoje agnes ni mapacha hawo huoni wanafanana japo mmoja hana wigi
Kuharibu huyo angemchagua kurwa dotho ni machepere atamsumbua😯
Amchague kulwa jaman
Uyu jamaa mwehu ange kataa wote
Mmh hatal na nusu
Nilitamani angechaguliwa ambaye mercy
Mbeee😂😂😂😂😂😂😂😂
Kulwa ni mpole ila doto ni mapepe
Hao madem wote malaya kama unabisha nitafute nikupelek Kwao Amna mpole hapo
wengine tunamzimia kulwa kichizi
Vivian😂😂😂😂mpka ukaoge
sijui anawaza nini
Ameyatimba
Hawa ni mapacha ambao hawakua mfuko mmoja ndomana havielewan yaan nyie mwanaume awachanganye alfu badala muwe kitu kimoja mnagombana nyie
😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂