CHUO KIKUU ARDHI kuchunguza MAPACHA waliofanyiana MITIHANI, walitoboa SIRI kwenye interview WASAFI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
    play.google.co...

Komentáře • 111

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter Před 5 měsíci +16

    Mdomo ulizidi kichwa 😂😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 5 měsíci +16

    Wenyewe wakomae tu na biashara kwanza wako nje ya taaluma yao. Wangekua kazini ndowangeumia.

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 5 měsíci

      Watafutuwa degree zao sasa kama ☺☺

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 5 měsíci

      Kwani nao waliona sifa kueleza hayo kwenye interview

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 4 měsíci

    Wamefanana na queen masanja hawa madada

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Před 5 měsíci +9

    Siku zote sifa zikizidi.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 5 měsíci +3

    Hawa madem washenz sana

  • @user-hk2dd9kp2w
    @user-hk2dd9kp2w Před 5 měsíci +7

    Huko sio confessional kwa sababu anaweza kuongea hivyo kumbe ikawa sio kweli. Anaweza kuongea hivyo kwa sababu ya kiki alafu kukawa hakuna tukio la hivyo.

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před 5 měsíci

      Kuongea hivyo tayari ni ushahidi tosha, km walikuw wanatafuta kiki basi washaipata

    • @linajulius4185
      @linajulius4185 Před 5 měsíci

      Huwezi kuchafua hadhi ya chuo na ukasema ni kiki huwezi kuachwa salama

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 5 měsíci +10

    sasa wakikuambia kiki utabisha 😂😂😂

    • @fatmaOmmy
      @fatmaOmmy Před 5 měsíci

      Hapo sasa😂 hawajui ugali umekuwa mgumu

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 5 měsíci +6

    Kwahiyo wame jishtaki!😢

  • @LenatusPosiano-hi7tk
    @LenatusPosiano-hi7tk Před 5 měsíci

    Mungu awasaidie eeh mungu wasaidie

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 Před 5 měsíci +7

    Kuropoka kuvaya😂😂 afu umetaja chuo

  • @karibunyumbani3824
    @karibunyumbani3824 Před 5 měsíci +1

    Sio kwamba tunawacheka au hatulii nao ili utoboe kwenye maisha jifunze kukaa kimya media zinaweza kuibua mengi sana ...siku ukipata nafasi yakusimama mbele ya kamera unanyamaza kwanza na kuwaza ujibu nini MUNGU atusaidie kwa kweli

  • @majalaworldwide
    @majalaworldwide Před 5 měsíci +2

    makamu wa chuo Hana Akili

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 5 měsíci +2

    Baadhi Ya wabongo mienendo yetu Ya kuishi imekuwa hatari tusipokuwa makini.
    Hakukuwa umuhimu wowote kuongea siri tata kama hiyo.

  • @muadhihassan4486
    @muadhihassan4486 Před 5 měsíci +3

    Hawajielewi

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 5 měsíci +1

    Duh kimeumana

  • @VascoSamson-ox8bx
    @VascoSamson-ox8bx Před 5 měsíci +7

    Nadhan chuo wangetulia tu ila najua wanafanya hivyo ili kuonekana kama wanasimamia weledi lakn haitowasaidia kitu coz kitu wanachofanya now ni tofauti na elimu yao

    • @lucasmartin431
      @lucasmartin431 Před 5 měsíci +3

      Acha uduwanzi ....Ujui chochote, walienda Chuo kufanya nini Si wangefanya hicho wanachojifanya.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 5 měsíci


      HHHH

    • @VascoSamson-ox8bx
      @VascoSamson-ox8bx Před 5 měsíci

      @@lucasmartin431 weee Jamaa unaongea kama hujasoma vile unadhan kila Mtu anaefanya kazi anafanya kile alichosomea ni wachache Sana afu siyo kila anesoma anataka apate kazi fungua ubongo wako

    • @emanueljohn3044
      @emanueljohn3044 Před 5 měsíci

      Hata wakipona kwenye hilo, ila kumbuka pia forgery ni kosa la jinai na Taasisi kubwa kama Ardhi university haitakubali kudhalilishwa, kwahiyo bado shida ipo pale pale.

  • @akilainnocent
    @akilainnocent Před 5 měsíci +5

    Wakuu mnao koment hicho chuko kikuu ardhi hakichekagi na ujinga..hivyo vyeti vyao vya degree wanaweza wakavikosa

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 Před 5 měsíci +3

    Nilijua tu 😅

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Před 5 měsíci

    Sema wasafi. Ndo tv inaongoza kuwaponza watu sijui shida ya aina ya waandishi

    • @mariej6962
      @mariej6962 Před 5 měsíci

      Watangazaji wao ni wa mtaani huko

    • @shebykhamisy9341
      @shebykhamisy9341 Před 5 měsíci

      Kwa mama kimbo pale utatoa siri tu au utagombanisha watu....

  • @ErickRichard-kt1li
    @ErickRichard-kt1li Před 5 měsíci +9

    Hata wakifuta Haina noma hawa madem wanajua Haina shida ndio maana wakaongea tu

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 Před 5 měsíci

      Shida ipo mmiliki wa vyet vyao ni chuo 😂😂 watazifuta

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před 5 měsíci +1

      ​@@faidhamyovela179Sasa hivyo vyeti vina faida gan, labda km wameajiriwa kwa hivyo vyeti lakin km wanapga tu mishe zao wala haisaidii lolote

    • @emanueljohn3044
      @emanueljohn3044 Před 5 měsíci

      Kumbuka forgery ni kosa la jinai pia.

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Před 5 měsíci +8

    Hakuna kitu ambacho hua nazingatia sana haswa ukiongea public unapaswa kuwa makini kwenye kila neno lako mana unaweza ongea kitu ukajikuta unaharibu safari yako yote so tuwe makini sana na vyombo vya habari na mitandao habari zinapaa sana

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 Před 5 měsíci

      Ni kweli dunia sasa ipo kiganjani dakika tu habari zishasambaa sio kama zamani

    • @eveliynejoseph7944
      @eveliynejoseph7944 Před 5 měsíci

      Sure kitu kidogo,kinaweza kukuletea shda though wewe unaweza kudhani sifa 😂😂😂

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx Před 5 měsíci +2

    Tujifunze kuchagua mambo ya kuongea hasa tunapokuw katika media

  • @Coinfoodtz
    @Coinfoodtz Před 5 měsíci +3

    Wanaacha kuchunguza vitu vingine so wameona hili ndo la maana

  • @delgalshan6318
    @delgalshan6318 Před 5 měsíci

    Wanaweza wachunguze na wasijuwe 😅 mana wanafanana 😊

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 5 měsíci

      Kufanana sio issue tatizo ni kumfanyia mtu mwingine mtihani Hilo ni kosa

  • @michaelreus8974
    @michaelreus8974 Před 5 měsíci

    Ndo tanzania yetuu

  • @web2.095
    @web2.095 Před 5 měsíci +4

    Watachunguza kwa vithibitisho vipi wakati ni mapacha😂😂

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba48 Před 5 měsíci

    Wamejiajiri hizo nothing can harm them

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Před 5 měsíci +3

    Mdomo uponza kichwa, ila mapacha wakifanya mtihan mmoja ni sawa tu

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 Před 5 měsíci

      Usawa uko wapi hapo hakuna tofauti na waibia mitihani.

  • @mwanaibrahim2444
    @mwanaibrahim2444 Před 5 měsíci +1

    Mkome hashuo

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare Před 5 měsíci

    This is Tanzania dah

  • @YusuphSadallah-um4sp
    @YusuphSadallah-um4sp Před 5 měsíci

    Kilanga mngekaa kmy

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 Před 5 měsíci

    Kama mama hadi ninaogopa😢😢😢

  • @anethlyatuu849
    @anethlyatuu849 Před 3 měsíci

    Na wakichunguza wasipokuta sap hata moja watatupa taarifa

  • @charlesmagige8935
    @charlesmagige8935 Před 5 měsíci

    Ila wanaigiza

  • @mwitoremwita3567
    @mwitoremwita3567 Před 5 měsíci

    Kuwa na kias kwenye kila kitu

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Před 5 měsíci

    Kwani wameajiwa na selikali?

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h Před 5 měsíci +1

    Wabongo mnachekesha roho mbaya tu zimewajaa Kwan mnadhan maisha wanayoishi nikwaajili yahivyo vyeti 😂😂😂😂

  • @aidankakulu398
    @aidankakulu398 Před 5 měsíci

    Hasira za kukosa ajira😂😂😂zinawapeleka kubaya sasa

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 Před 5 měsíci

    Kwani duka Lao pia litafungwa?

  • @user-jl5zd2xr7m
    @user-jl5zd2xr7m Před 5 měsíci

    Hapo mapacha wanaweza wakakataa kwa namna moja au nyengine.kwanza mwandishi ameulza kinafki na amejibiwa kinafki.kesi umeisha

  • @iam_paul3279
    @iam_paul3279 Před 5 měsíci

    Wanapoteza mda tu hao ardhi University, wamesha kuwa na elimu makaratasi hayawasaidii tena

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Před 5 měsíci

    Misioni tatizo sema wafrica hua twatafuta unga kw mbinu zote aaa ila wanadamu kama walifanya si wao kw wao kwani shida gani

  • @JeffJoeNya
    @JeffJoeNya Před 5 měsíci

    Sasa ni mtihani gani???

  • @eddyamour9720
    @eddyamour9720 Před 5 měsíci +3

    Hamna lolote kitakachotokea hapo

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před 5 měsíci

    Chuo kinajidharirisha. Kwa ni uongo mbona wengi wanafanyiwa research

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Před 5 měsíci

    Sas shida ikwap😂😂😂😂😂😂😂 wanatafuta kiki na wenyewe😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 5 měsíci +2

    That’s when you need a hand writing forensic.. they gonna get caught plus finger prints if they still have those papers .. even though your identical twins finger prints are unique they are screwed … talking too much

  • @dennisraphael96
    @dennisraphael96 Před 5 měsíci +1

    walitaka kusherehesha kipindi period nothing serious

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h Před 5 měsíci +2

    Mnatoa povu jingiiii wakati wengi wenu hao wamewazidi kwakila kitu tena bila kutegemea hvo vyet vyenu, si pesa ,si maisha ,si Kila kitu 😂

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před 5 měsíci +1

    Ingekua wanafanya kazi maofcn hapo kwel ingeleta shida lakini wanabiashara yao hapo sioni shida kiukweli.

    • @akilainnocent
      @akilainnocent Před 5 měsíci +2

      Cheti cha degree wanaweza wakakifuta..hicho chuo kikuu ardhi hakichekagi na ujinga

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 5 měsíci

      @@akilainnocenteee lakini wanabahati kama wamesimama kibiashara

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 5 měsíci +1

    Iyo inaitwa kuchamba kwingi kushika mavi..muwe munaangalia maneno yakuongea jaman .kwamfano mtu unakuta anakiri Kutoa mimba hadharan wewe unadhan sio makosa? Hayo

  • @YusufDuale-eq4kl
    @YusufDuale-eq4kl Před 5 měsíci

    Hao ni wafanyabiashara hiyo roho mbaya haisaidia.

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Před 5 měsíci

    Semen kikiii😂

  • @BarakasensoJames
    @BarakasensoJames Před 3 měsíci

    Wanayumba

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 5 měsíci +1

    Mapepe Yao yanawaponza…saa nyingine mdomo koma.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 5 měsíci

    Wakome umedomo umewazidi 😂😂😂

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 5 měsíci +1

    Hii itawaaffect tu kwa njia moja au nyingine, tukomage kuropoka

    • @tinaminja5500
      @tinaminja5500 Před 5 měsíci

      Ohooooo kichwa kimeponza mdomo😂😂😂😂

  • @RudelphZabron
    @RudelphZabron Před 5 měsíci

    Hawa masisita du wasiwapotezee mda Hawa ni watafuta kiki tu

  • @user-lq4cm4rq6z
    @user-lq4cm4rq6z Před 5 měsíci

    😂😂tuwe makini na hizi interview

  • @halimahalima1488
    @halimahalima1488 Před 5 měsíci +1

    Watajiwa wenyewe wanadhani sifa kumbe wamejikanyaga wanalo ilo😏

  • @popiya2368
    @popiya2368 Před 5 měsíci

    Domo koma

  • @pellestianomasai1220
    @pellestianomasai1220 Před 5 měsíci

    Chuo kinapaswa kujiuliza pia, hizo taaluma walizo patia vyeti hao Mabinti zimewasaidia nini katika Maisha yao ya sasa. Cause as far as I can hear hao Mabinti ni Wafanyabiashara wa Nguo… Hakuna Engineer wa Maji wala Scientist wa whatever kati yao na Chuo bado kina Audacity ya kuwatisha… Shame on Education system ya Tanzania, ni Utapeli na Wizi wa Pesa na Muda wa Watu tu. Nakubaliana sana na ile Kauli ya Mbunge Kishimba kwamba hizi Higher Learning Institutions zinapaswa kuwa held accountable katika courses wanazo offer, how many employment do they create kwenye public. And by employment ziwe ni self employments au zile za public/ govt employments…. Siyo watoto wa wenyewe wameenda kuunguza ada hapo wamemaliza wanaishia kuuza maduka ya nguo na bado wanataka kuwatisha tisha…. Yes walifanyiana Mtihani coz wali dharau mfumo wenu ndiyo maana wamemaliza na hawafanyi kazi zenu wanafanya Biashara ya Duka, what’s wrong with that!?

    • @emanueljohn3044
      @emanueljohn3044 Před 5 měsíci

      Kwahiyo ukishahitimu ni jukumu la chuo kutafutia wahitimu ajira? Swala la kuajiriwa au kujiajiri ni jukumu lako mwenyewe, ni nchi chache sana duniani ambazo vyuo vyake ndiyo hutafutia wahitimu wake ajira na siyo vyuo vyote.

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před 5 měsíci

    Hapo ni ngumu kuwakamata kwa sababu mwandiko wao ni sawa. Maana hata wao wenyewe hawawezi kuwatofautisha. Wataambiana wewe uwe mimi na mimi niwe wewe imeisha hiyo.

    • @furahawalter7823
      @furahawalter7823 Před 5 měsíci

      Only fingerprints don't lying wangetumia hivyo kufanya pepa

  • @opportunities2767
    @opportunities2767 Před 5 měsíci +3

    Iyo ndio kiki sasa.. Wataeza futiwa matokeo ila biashara yao inakua kwa kasi , hawakua wana julikana hawa

  • @saidmasoud9004
    @saidmasoud9004 Před 5 měsíci

    Walikua ni jokes tu.

  • @user-rl3yh6ls7b
    @user-rl3yh6ls7b Před 5 měsíci

    😂😂😂😂😂😂

  • @hawaramadhani6954
    @hawaramadhani6954 Před 5 měsíci

    Muda uliotumia kusoma,fedha,karaha za course work,mitihani,usingizi halafu ufutiwe cheti hata kama upo ktk field tofauti wapo hampo sirious....hapa ikitokea kuna kuteteleka wala sio mzaha

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 Před 5 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 5 měsíci

    Now your screwed .. you thought its was a joke 😂💩

  • @chire4574
    @chire4574 Před 5 měsíci

    Useless...hakuna kitu hapo....

  • @mariej6962
    @mariej6962 Před 5 měsíci

    Stupidity at it's finest. Una degree lakini unashindwa kuelewa athari ya maneno hayo, surely mlikuwa mnafanyiana

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 5 měsíci

    So walikua wanaona sifa kwenye media yani walishindwa kbs kuchuja maneno ya kuongea kabisa wajinga kbs

  • @directorwizard7310
    @directorwizard7310 Před 5 měsíci

    Huyo Mkuu wa Chuo Hana Akili kabisa pumbavu sana huyo Éti afanye uchunguzi
    Sasa anafanya uchunguzi upi ilihali Wao tu Wamekili Wazi kwenye Clip sasa afanye Uchunguzi upi tena wakati ukweli wamesha usema wenyewe?? Au ndo anataka kupiga hela ( Rushwa)?????

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Před 5 měsíci

    Huo ndio upuuzi nisioutaka kabisa.
    Chuo kinashindwa kufanya vitu vya msingi, kinakomalia vitu vya kijinga. Tatizo vyuo vyetu vinafundisha kua na makaratasi zaidi kuliko maarifa.
    Binafsi sijawahi kuchukua cheti cha zaidi ya s/msingi na secondary o level. Tu.

  • @josephwerema5367
    @josephwerema5367 Před 5 měsíci +1

    Kwanza vyeti vinafaida gani sikuhiz mm naona haina shida pia hawawez fanywa lolote maana wanaweza kusema myb walikuw wanatafuta kiki bc kesi inakwisha..

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 Před 5 měsíci +3

    Hata wakiwafitia haisaidii kitu maana tiyari wako njee ya elimu yao tiyari ni wafanya biashara na biashara yao haiingiliani na elimu yao

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před 5 měsíci +1

      Wakinyanganywa vyeti na kufutiwa degree inaumiza wewe, miaka yote hiyo ya shule iende bure.

    • @RommyCareMovies
      @RommyCareMovies Před 5 měsíci

      ​@@homeandaway2811cheti ndio nn mzee ukishajipata cheti hakina kazi sababu hata ajira zikitoka hawaombi

    • @emanueljohn3044
      @emanueljohn3044 Před 5 měsíci

      Kumbuka forgery ni kosa la jinai pia.