Huko sio confessional kwa sababu anaweza kuongea hivyo kumbe ikawa sio kweli. Anaweza kuongea hivyo kwa sababu ya kiki alafu kukawa hakuna tukio la hivyo.
Sio kwamba tunawacheka au hatulii nao ili utoboe kwenye maisha jifunze kukaa kimya media zinaweza kuibua mengi sana ...siku ukipata nafasi yakusimama mbele ya kamera unanyamaza kwanza na kuwaza ujibu nini MUNGU atusaidie kwa kweli
Nadhan chuo wangetulia tu ila najua wanafanya hivyo ili kuonekana kama wanasimamia weledi lakn haitowasaidia kitu coz kitu wanachofanya now ni tofauti na elimu yao
@@lucasmartin431 weee Jamaa unaongea kama hujasoma vile unadhan kila Mtu anaefanya kazi anafanya kile alichosomea ni wachache Sana afu siyo kila anesoma anataka apate kazi fungua ubongo wako
Hata wakipona kwenye hilo, ila kumbuka pia forgery ni kosa la jinai na Taasisi kubwa kama Ardhi university haitakubali kudhalilishwa, kwahiyo bado shida ipo pale pale.
Hakuna kitu ambacho hua nazingatia sana haswa ukiongea public unapaswa kuwa makini kwenye kila neno lako mana unaweza ongea kitu ukajikuta unaharibu safari yako yote so tuwe makini sana na vyombo vya habari na mitandao habari zinapaa sana
That’s when you need a hand writing forensic.. they gonna get caught plus finger prints if they still have those papers .. even though your identical twins finger prints are unique they are screwed … talking too much
Chuo kinapaswa kujiuliza pia, hizo taaluma walizo patia vyeti hao Mabinti zimewasaidia nini katika Maisha yao ya sasa. Cause as far as I can hear hao Mabinti ni Wafanyabiashara wa Nguo… Hakuna Engineer wa Maji wala Scientist wa whatever kati yao na Chuo bado kina Audacity ya kuwatisha… Shame on Education system ya Tanzania, ni Utapeli na Wizi wa Pesa na Muda wa Watu tu. Nakubaliana sana na ile Kauli ya Mbunge Kishimba kwamba hizi Higher Learning Institutions zinapaswa kuwa held accountable katika courses wanazo offer, how many employment do they create kwenye public. And by employment ziwe ni self employments au zile za public/ govt employments…. Siyo watoto wa wenyewe wameenda kuunguza ada hapo wamemaliza wanaishia kuuza maduka ya nguo na bado wanataka kuwatisha tisha…. Yes walifanyiana Mtihani coz wali dharau mfumo wenu ndiyo maana wamemaliza na hawafanyi kazi zenu wanafanya Biashara ya Duka, what’s wrong with that!?
Kwahiyo ukishahitimu ni jukumu la chuo kutafutia wahitimu ajira? Swala la kuajiriwa au kujiajiri ni jukumu lako mwenyewe, ni nchi chache sana duniani ambazo vyuo vyake ndiyo hutafutia wahitimu wake ajira na siyo vyuo vyote.
Hapo ni ngumu kuwakamata kwa sababu mwandiko wao ni sawa. Maana hata wao wenyewe hawawezi kuwatofautisha. Wataambiana wewe uwe mimi na mimi niwe wewe imeisha hiyo.
Muda uliotumia kusoma,fedha,karaha za course work,mitihani,usingizi halafu ufutiwe cheti hata kama upo ktk field tofauti wapo hampo sirious....hapa ikitokea kuna kuteteleka wala sio mzaha
Huyo Mkuu wa Chuo Hana Akili kabisa pumbavu sana huyo Éti afanye uchunguzi Sasa anafanya uchunguzi upi ilihali Wao tu Wamekili Wazi kwenye Clip sasa afanye Uchunguzi upi tena wakati ukweli wamesha usema wenyewe?? Au ndo anataka kupiga hela ( Rushwa)?????
Huo ndio upuuzi nisioutaka kabisa. Chuo kinashindwa kufanya vitu vya msingi, kinakomalia vitu vya kijinga. Tatizo vyuo vyetu vinafundisha kua na makaratasi zaidi kuliko maarifa. Binafsi sijawahi kuchukua cheti cha zaidi ya s/msingi na secondary o level. Tu.
Kwanza vyeti vinafaida gani sikuhiz mm naona haina shida pia hawawez fanywa lolote maana wanaweza kusema myb walikuw wanatafuta kiki bc kesi inakwisha..
Mdomo ulizidi kichwa 😂😂😂
Wenyewe wakomae tu na biashara kwanza wako nje ya taaluma yao. Wangekua kazini ndowangeumia.
Watafutuwa degree zao sasa kama ☺☺
Kwani nao waliona sifa kueleza hayo kwenye interview
Wamefanana na queen masanja hawa madada
Siku zote sifa zikizidi.
Hawa madem washenz sana
Huko sio confessional kwa sababu anaweza kuongea hivyo kumbe ikawa sio kweli. Anaweza kuongea hivyo kwa sababu ya kiki alafu kukawa hakuna tukio la hivyo.
Kuongea hivyo tayari ni ushahidi tosha, km walikuw wanatafuta kiki basi washaipata
Huwezi kuchafua hadhi ya chuo na ukasema ni kiki huwezi kuachwa salama
sasa wakikuambia kiki utabisha 😂😂😂
Hapo sasa😂 hawajui ugali umekuwa mgumu
Kwahiyo wame jishtaki!😢
Mungu awasaidie eeh mungu wasaidie
Kuropoka kuvaya😂😂 afu umetaja chuo
Sio kwamba tunawacheka au hatulii nao ili utoboe kwenye maisha jifunze kukaa kimya media zinaweza kuibua mengi sana ...siku ukipata nafasi yakusimama mbele ya kamera unanyamaza kwanza na kuwaza ujibu nini MUNGU atusaidie kwa kweli
makamu wa chuo Hana Akili
Baadhi Ya wabongo mienendo yetu Ya kuishi imekuwa hatari tusipokuwa makini.
Hakukuwa umuhimu wowote kuongea siri tata kama hiyo.
Hawajielewi
Duh kimeumana
Nadhan chuo wangetulia tu ila najua wanafanya hivyo ili kuonekana kama wanasimamia weledi lakn haitowasaidia kitu coz kitu wanachofanya now ni tofauti na elimu yao
Acha uduwanzi ....Ujui chochote, walienda Chuo kufanya nini Si wangefanya hicho wanachojifanya.
HHHH
@@lucasmartin431 weee Jamaa unaongea kama hujasoma vile unadhan kila Mtu anaefanya kazi anafanya kile alichosomea ni wachache Sana afu siyo kila anesoma anataka apate kazi fungua ubongo wako
Hata wakipona kwenye hilo, ila kumbuka pia forgery ni kosa la jinai na Taasisi kubwa kama Ardhi university haitakubali kudhalilishwa, kwahiyo bado shida ipo pale pale.
Wakuu mnao koment hicho chuko kikuu ardhi hakichekagi na ujinga..hivyo vyeti vyao vya degree wanaweza wakavikosa
Wamejichongea 😂😂
Nilijua tu 😅
Sema wasafi. Ndo tv inaongoza kuwaponza watu sijui shida ya aina ya waandishi
Watangazaji wao ni wa mtaani huko
Kwa mama kimbo pale utatoa siri tu au utagombanisha watu....
Hata wakifuta Haina noma hawa madem wanajua Haina shida ndio maana wakaongea tu
Shida ipo mmiliki wa vyet vyao ni chuo 😂😂 watazifuta
@@faidhamyovela179Sasa hivyo vyeti vina faida gan, labda km wameajiriwa kwa hivyo vyeti lakin km wanapga tu mishe zao wala haisaidii lolote
Kumbuka forgery ni kosa la jinai pia.
Hakuna kitu ambacho hua nazingatia sana haswa ukiongea public unapaswa kuwa makini kwenye kila neno lako mana unaweza ongea kitu ukajikuta unaharibu safari yako yote so tuwe makini sana na vyombo vya habari na mitandao habari zinapaa sana
Ni kweli dunia sasa ipo kiganjani dakika tu habari zishasambaa sio kama zamani
Sure kitu kidogo,kinaweza kukuletea shda though wewe unaweza kudhani sifa 😂😂😂
Tujifunze kuchagua mambo ya kuongea hasa tunapokuw katika media
Wanaacha kuchunguza vitu vingine so wameona hili ndo la maana
Wanaweza wachunguze na wasijuwe 😅 mana wanafanana 😊
Kufanana sio issue tatizo ni kumfanyia mtu mwingine mtihani Hilo ni kosa
Ndo tanzania yetuu
Watachunguza kwa vithibitisho vipi wakati ni mapacha😂😂
Mwandiko jee
Hand writing itachunguzwa hapo
Mwandiko best, kila mtu ana handwriting yake hata uige vipi
Wamejiajiri hizo nothing can harm them
Mdomo uponza kichwa, ila mapacha wakifanya mtihan mmoja ni sawa tu
Usawa uko wapi hapo hakuna tofauti na waibia mitihani.
Mkome hashuo
This is Tanzania dah
Kilanga mngekaa kmy
Kama mama hadi ninaogopa😢😢😢
Na wakichunguza wasipokuta sap hata moja watatupa taarifa
Ila wanaigiza
Kuwa na kias kwenye kila kitu
Kwani wameajiwa na selikali?
Wabongo mnachekesha roho mbaya tu zimewajaa Kwan mnadhan maisha wanayoishi nikwaajili yahivyo vyeti 😂😂😂😂
Kwanini walienda shule ??? Toa ufafanuzi
Hasira za kukosa ajira😂😂😂zinawapeleka kubaya sasa
Kwani duka Lao pia litafungwa?
Hapo mapacha wanaweza wakakataa kwa namna moja au nyengine.kwanza mwandishi ameulza kinafki na amejibiwa kinafki.kesi umeisha
Wanapoteza mda tu hao ardhi University, wamesha kuwa na elimu makaratasi hayawasaidii tena
Misioni tatizo sema wafrica hua twatafuta unga kw mbinu zote aaa ila wanadamu kama walifanya si wao kw wao kwani shida gani
Sasa ni mtihani gani???
Hamna lolote kitakachotokea hapo
Chuo kinajidharirisha. Kwa ni uongo mbona wengi wanafanyiwa research
Sas shida ikwap😂😂😂😂😂😂😂 wanatafuta kiki na wenyewe😂😂😂😂😂😂😂😂
That’s when you need a hand writing forensic.. they gonna get caught plus finger prints if they still have those papers .. even though your identical twins finger prints are unique they are screwed … talking too much
walitaka kusherehesha kipindi period nothing serious
Mnatoa povu jingiiii wakati wengi wenu hao wamewazidi kwakila kitu tena bila kutegemea hvo vyet vyenu, si pesa ,si maisha ,si Kila kitu 😂
Ingekua wanafanya kazi maofcn hapo kwel ingeleta shida lakini wanabiashara yao hapo sioni shida kiukweli.
Cheti cha degree wanaweza wakakifuta..hicho chuo kikuu ardhi hakichekagi na ujinga
@@akilainnocenteee lakini wanabahati kama wamesimama kibiashara
Iyo inaitwa kuchamba kwingi kushika mavi..muwe munaangalia maneno yakuongea jaman .kwamfano mtu unakuta anakiri Kutoa mimba hadharan wewe unadhan sio makosa? Hayo
Hao ni wafanyabiashara hiyo roho mbaya haisaidia.
Semen kikiii😂
Wanayumba
Mapepe Yao yanawaponza…saa nyingine mdomo koma.
Wakome umedomo umewazidi 😂😂😂
Hii itawaaffect tu kwa njia moja au nyingine, tukomage kuropoka
Ohooooo kichwa kimeponza mdomo😂😂😂😂
Hawa masisita du wasiwapotezee mda Hawa ni watafuta kiki tu
😂😂tuwe makini na hizi interview
Watajiwa wenyewe wanadhani sifa kumbe wamejikanyaga wanalo ilo😏
HHHH
KUNYAMANZ MUHIM SN
@@allahisone6386kabisaa my brother 😊
Domo koma
Chuo kinapaswa kujiuliza pia, hizo taaluma walizo patia vyeti hao Mabinti zimewasaidia nini katika Maisha yao ya sasa. Cause as far as I can hear hao Mabinti ni Wafanyabiashara wa Nguo… Hakuna Engineer wa Maji wala Scientist wa whatever kati yao na Chuo bado kina Audacity ya kuwatisha… Shame on Education system ya Tanzania, ni Utapeli na Wizi wa Pesa na Muda wa Watu tu. Nakubaliana sana na ile Kauli ya Mbunge Kishimba kwamba hizi Higher Learning Institutions zinapaswa kuwa held accountable katika courses wanazo offer, how many employment do they create kwenye public. And by employment ziwe ni self employments au zile za public/ govt employments…. Siyo watoto wa wenyewe wameenda kuunguza ada hapo wamemaliza wanaishia kuuza maduka ya nguo na bado wanataka kuwatisha tisha…. Yes walifanyiana Mtihani coz wali dharau mfumo wenu ndiyo maana wamemaliza na hawafanyi kazi zenu wanafanya Biashara ya Duka, what’s wrong with that!?
Kwahiyo ukishahitimu ni jukumu la chuo kutafutia wahitimu ajira? Swala la kuajiriwa au kujiajiri ni jukumu lako mwenyewe, ni nchi chache sana duniani ambazo vyuo vyake ndiyo hutafutia wahitimu wake ajira na siyo vyuo vyote.
Hapo ni ngumu kuwakamata kwa sababu mwandiko wao ni sawa. Maana hata wao wenyewe hawawezi kuwatofautisha. Wataambiana wewe uwe mimi na mimi niwe wewe imeisha hiyo.
Only fingerprints don't lying wangetumia hivyo kufanya pepa
Iyo ndio kiki sasa.. Wataeza futiwa matokeo ila biashara yao inakua kwa kasi , hawakua wana julikana hawa
NIKWELIIIII KBSAAAAAA
Haitawaacha salama
Walikua ni jokes tu.
😂😂😂😂😂😂
Muda uliotumia kusoma,fedha,karaha za course work,mitihani,usingizi halafu ufutiwe cheti hata kama upo ktk field tofauti wapo hampo sirious....hapa ikitokea kuna kuteteleka wala sio mzaha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Now your screwed .. you thought its was a joke 😂💩
Useless...hakuna kitu hapo....
Stupidity at it's finest. Una degree lakini unashindwa kuelewa athari ya maneno hayo, surely mlikuwa mnafanyiana
So walikua wanaona sifa kwenye media yani walishindwa kbs kuchuja maneno ya kuongea kabisa wajinga kbs
Huyo Mkuu wa Chuo Hana Akili kabisa pumbavu sana huyo Éti afanye uchunguzi
Sasa anafanya uchunguzi upi ilihali Wao tu Wamekili Wazi kwenye Clip sasa afanye Uchunguzi upi tena wakati ukweli wamesha usema wenyewe?? Au ndo anataka kupiga hela ( Rushwa)?????
Huo ndio upuuzi nisioutaka kabisa.
Chuo kinashindwa kufanya vitu vya msingi, kinakomalia vitu vya kijinga. Tatizo vyuo vyetu vinafundisha kua na makaratasi zaidi kuliko maarifa.
Binafsi sijawahi kuchukua cheti cha zaidi ya s/msingi na secondary o level. Tu.
Kwanza vyeti vinafaida gani sikuhiz mm naona haina shida pia hawawez fanywa lolote maana wanaweza kusema myb walikuw wanatafuta kiki bc kesi inakwisha..
Hata wakiwafitia haisaidii kitu maana tiyari wako njee ya elimu yao tiyari ni wafanya biashara na biashara yao haiingiliani na elimu yao
Wakinyanganywa vyeti na kufutiwa degree inaumiza wewe, miaka yote hiyo ya shule iende bure.
@@homeandaway2811cheti ndio nn mzee ukishajipata cheti hakina kazi sababu hata ajira zikitoka hawaombi
Kumbuka forgery ni kosa la jinai pia.