CIA yadai ilijua kabla mipango ya Ukraine kuvamia Kurski, yadai PUTIN anapanga shambulizi kubwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 129

  • @allymbaruku4710
    @allymbaruku4710 Před 15 dny +31

    pamoja na kuungana kwao kote ila wao wenyewe wanajikanyaga wako wengi wanapigana na taifa moja vizuizi vingi wamemuwekea ila jamaa anazidi kutoboa tu big up sana kwa russia

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 15 dny +3

      Haliye kuhambia urusi yukopekeake niyemwenye putini au uyokipala djsma manake minakushanga sababu majesh ya chechinia majesh ya Belarus yote yanapgana mstali wambele Ukraine Tajikistan Kazakhstan wote nawengne wengi

    • @allymbaruku4710
      @allymbaruku4710 Před 15 dny

      @@user-tq4lx9si1n hao wote muwezeshaji ni urusi mwenyewe

    • @mpjozzegalvanize4926
      @mpjozzegalvanize4926 Před 15 dny

      ​@@user-tq4lx9si1n jifunze kuandika kwanza ndio kujibu comments za watu, kibaraka wewe

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Před 15 dny

      Kwanza Tambua Hakuna Nchii Inaitwaa Chachinia 😂😂😂 Chachinia Ni Kisia Kma Kisia Ambacho Kipo Chini Ya Russia Yni Kifupi Nikama Tanganyika Na Zanzibari Usidhani Chachinia Ni Nchii Inayo Tumia Sarafu Yke No Wanatumia Sarafu Ya Russia Yani Ragbo kwaiyo Tanganyika Kutumia Jeshi la ZANZIBAR Ni makosa😂😂😂 Nani Kakudanganya kwamba Belarusian Wamepeleka Majeshi yke Russia kupigana na Ukraine Wacha UWONGO 😂😂😂 Russia Anapigana Na Ulaya Pamoja Na America ​@@user-tq4lx9si1n

    • @YohanaMasebo
      @YohanaMasebo Před 15 dny

      Mlevi hujui chochote​@@user-tq4lx9si1n

  • @michaeljuma254
    @michaeljuma254 Před 15 dny +7

    Russia ni wababe kweli kweli. Kwa muungano wooote wa NATO pamoja na marekani wameshindwa kumkwamisha na kumdhibiti Urusi, taifa moja lenye support dogo sana

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ Před 15 dny +6

    Marekani na CIA Taifa dhaifu sana😂😂😂😂😂

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd Před 15 dny

      Wakati Putin mwenyewe kakiri kuwa hatamani kufanya vita na marekani maana njia tu ya kumshinda marekani ni kuwa tayari kufa naye pamoja ila si kupigana naye ukitarajia ushindi... wakati mwengine fatilieni habari wenyewe

    • @natual7572
      @natual7572 Před 15 dny +1

      ​@@ElijahOwino-xe2cd
      Hili sahihi na kama vile marekan hatak kupgan na urus moja kwa moj anajua hawez shinda

    • @NdovuDentalClinic_
      @NdovuDentalClinic_ Před 15 dny

      Ni lini kuna BOM lilirushwa marekani, marekani hawajui vita na hawapendi vita ni woga ndo maana mashambulizi Yao ni ya kujihami kuua watu wengi wasio na hatia ili kutia woga na kutumia watu wengine kwenye vita badala ya wao wenyewe

    • @ElijahOwino-xe2cd
      @ElijahOwino-xe2cd Před 15 dny

      @@NdovuDentalClinic_ vita huwa haina sheria... hivi umesahau alichokifanya Putin nchini Ukraine alipoanzisha uvamizi...? hivi wanajeshi wake walikua wakishambulia wanajeshi wa Ukraine au raia...? hivi unajua jamaa aliuwa raia wangapi..? Mbona kama unasahau haraka... hivi lile bomu LA intercontinental ambalo Urusi ilifanya maonyesho yake hivi wajua kazi yake..? lile bomu Lina uwezo wa kuizamisha jiji la New York city na kuifuta kwenye uso wa dunia... na vivyo hivyo wamarekani na wanazo silaha ya aina hizo za maangamizi...

    • @vladimirputn1809
      @vladimirputn1809 Před 14 dny

      ​@@ElijahOwino-xe2cdalikwambia wew kichogo

  • @benimlisa6056
    @benimlisa6056 Před 15 dny +10

    Wamefanya wao alafu anadai walikuwa wanajua😂😂😂

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Před 15 dny +2

      😂 kweli kabisaa 💯 Yaani hawa jamaa ni Waongo vibaya sana Duniani wamefanya wenyewe na huku wanajidai ETI walikuwa wanajua Duuuh hiyo mpya Lakini haya Mashoga Wakubwa Duniani Uongo wao umeisha Julikana ni kuwadanga Tu Ulimwengu na hasa huko Tanzania Wazungu ndio wanawaabudu sana kuliko Nafsi zao Moyoni hii huwa inanishangaza sana hata Dini wanasahau kwa kuwatetea Wazungu na Israel

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 15 dny +6

    CIA wapuuzi walipanga wenyewe shambulizi wanatuchezea akili tu

  • @inogelapixels
    @inogelapixels Před 15 dny +4

    Sasa wasi jue wakati wao ndo walishiriki kupanga

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před 15 dny +4

    Hao Ukrain km wanauwezo kweli wangeilinda Ardhi yao kwnza
    Kurks nisuala la muda tu

  • @JosephBalebanga
    @JosephBalebanga Před 15 dny +15

    Na atakaye fuata dini isiokua Uislamu basi haitokubaliwa kwake na atakua miongoni mwa waliopata hasara (amepotea)Quran 3:85

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 Před 15 dny +1

      DINI ZOTE NI NZURI ILA WAUMINI WA HIZO DINI NI SHIDA .

    • @user-yr3yi2yr6i
      @user-yr3yi2yr6i Před 15 dny +1

      We muha acha ujinga

    • @gregorybakuza5796
      @gregorybakuza5796 Před 15 dny

      Tafuta hela ustaadhi njaa, hiyo dini haitakulipia ada wala kuleta unga wa watoto. Ni mpumbavu pekew anayehisi dini yake itampeleka peponi hata kama hatotenda matendo mema. We ni mjinga na mpumbavu mpaka siku utapoelimika. Tchao

    • @massawemrlowprice3949
      @massawemrlowprice3949 Před 15 dny

      ​@@gregorybakuza5796 hahaa

    • @HaniaAbdoul
      @HaniaAbdoul Před 15 dny

      ​@@gregorybakuza5796mpumbavu ni yule ambae bado anawaza kulipa ada,kula na kuvaa huo ndo upumbavu wa hali ya juu maana hivyo vitu hata ndege na wanyama hawaviwazii😂😂😂

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy Před 15 dny

    Huraaaaa!

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga Před 15 dny +4

    Putin huyu Jamaa sjapata kuona jiniasi sn anapambana NATO nchi Tele Alf km C.I.A lengo lao kw urusi warudi nyuma lkn matokeo yake ndiokwanza wanaendelea kuteka maeneo

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche Před 15 dny +2

    Cia,amna kitu mbona asara wanazopata awaki wazi nakujua tangu zamani.mafala tu.

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 15 dny +1

    Sema mulipanga wenyewe sio tulikua tunajua

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před 14 dny +1

    Ali ww ndio mkali Wa hizi kazi

  • @user-nd7yd5gd1o
    @user-nd7yd5gd1o Před 14 dny

    Wanagidanganya tu hawana jipya kwa urusi kifo kinawahusu hatawafanye nini mungu ameshaweka ok.muda wa wauwaji kuangamia

  • @ChristianChuwa-cy1du
    @ChristianChuwa-cy1du Před 15 dny +3

    Wanachez game wenyew alf wanajikut wajuaji

  • @SaddamkhamisSaddamkhamis
    @SaddamkhamisSaddamkhamis Před 15 dny +1

    Hii ndo awamu ya kuuthibitishia ulimwengu kwamba marekani c chochote kuna vyuma imara hlf vimetulia tu havina shida na mtu.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk

    WAMARECANI WAKIFELI WANAJITOA WANAONA AIBU, HATA MUWE PAMOJA😂

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před 15 dny +1

    Eti walijua wkt wao ndo walipanga

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 15 dny +1

    Hawa watu wanatumia na viumbe wasioonekana kuchunguza mambo Yao ,haiwezekani Kwa akili ya kawaida urussi ambae pia ni mjuzi na nimkubwa pia ktk nyanja za kivita avujishe habari zake kizembe

  • @valerianchamlungu7268
    @valerianchamlungu7268 Před 15 dny +1

    Russia 🇷🇺 knew.....Ukrainian coming in na wamewakaribisha😅 sasa hivi wanasema hadharani sababu wanajua nn kinakuja... Ili apo badae waseme tuliwaonya😅😅

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 Před 15 dny +1

    Kwa hawakuwashauri wasiende😂 sasa wamewasaidia nini wameisha wote

  • @michaelmahenge593
    @michaelmahenge593 Před 14 dny

    Waongo hao, wao ndio walioingia na cha moto wamekipata ,ndio maana wamemuomba kibaraka wao aandae four cease fire plan kww Bidern

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 Před 14 dny

    Inasemekana Putin thrives in commotion, he easily takes advantage of the underlying chaos and restructure his government as quickly as possible so as to avoid the bureaucracy involved during normal times, kama sahii ashapeleka bodyguard wake ku lead mission yote kwa jina la uzalendo

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Před 15 dny +1

    CIA iache ihanye hanye, siku moja tutamla kichwa yule Jamaa anaye itwa shitotenburg

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 Před 15 dny +3

    Ukraine ime Shindwa ku fanya hayo kujilinda kwenye inchi yao je inchi ya urusi ndo wata weza

  • @nick1o7bang17
    @nick1o7bang17 Před 15 dny +1

    Wanapambana na kaeneo kadogo wakati watu wanakaribia kuchukua nchi upande wa pili uko

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Před 15 dny +1

    Hahahaha NATO Kuna habari wanazitengeneza na wanataka tusisikie hivyo na masudi unazileta kama wanavyotaka tuzisikie huo ni uwongo Ukraine kashindwa kulinda donbaz leo akalinde ardhi ndani ya urusi ni match time anapiga kichapo kinakuja

  • @zakariaabdalla-uo3nk
    @zakariaabdalla-uo3nk Před 15 dny

    Mda mwemgne ao watu wa ujasusi wanabahatisha tu mambo sio mambo yote wanajua uhakika

  • @mapenzisiri7133
    @mapenzisiri7133 Před 15 dny +1

    Na ninyi ni wajinga mnaliongelea kipindi mnajua kua nato na marekani ndo wameyafanya acheni ujinga

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 Před 14 dny

    Putin anapiga kimyakimya tu qmmk…watasema vitu vyote

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před 15 dny +2

    Jaman kubet tuache Chelsea na Madrid leo wamenikosesha lakista

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk Před 15 dny +6

    Akuna kitu sipend kama waslam ni manafk sana cha kushangaza Ukrainian ikipigwa yanashangilia ila plastina ikipigwa wanaanza Allah Allah pumbafu kama ampendi vitu kwa nn mskemee sehem zote, subili mtapigwa Adi mjambe kwa unafike wenu, ndio maana unauliwa usku kucha

    • @Awatee
      @Awatee Před 15 dny +3

      Kwani alikwambia nani anakupenda weye muislam ndugu yake muislam mwenziwe hawezi kua na kafiri tafuta kazi ufanye upunguze chuki

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před 15 dny +1

      Sisi tunatetea haki na tunachukia ukandamizaji

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 15 dny +1

      Kwani hamasi wao wenye wanasemaje​@@Awatee

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 Před 15 dny +1

      Umefanya tafiti ukagundua waislamu wanashangilia au unalopoka baada ya kushiba mahindi,,pimbi wewe.,kama huna Cha kukomenti kaa kimya.

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n Před 15 dny +1

      Misihamin mbakaleo kwamba hamasi wanaakri nzuli wanauliwa ugomvi hawauwez wamezdiwa klaktu wanapigwa kama punda lakini bado hawakomi kwaiyo baba mtakatfu Netanyahu tumwachetu hafanyeyake

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 Před 15 dny +1

    Kilomita 1000 sio ukweli na wao pia wanadanganya.

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarlounge Před 15 dny +1

    TOENI HABARI ZA RONALDO KUPEWA TUZO NA UEFA

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 15 dny

    Mpaka putin afe

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 15 dny

    Matapeli hao Utatabili unachokiandaa wewe mwenyewe, wanaigiza kama Kinyambe alipojifanya mtabili, mbona walitabili iran kushambulia Israel ndani ya masaa 48 mpaka leo bado

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před 15 dny +2

    Kwenyei midia wanahaminisha watu kwenyeivtu urusi nikdume kwasababu yuko pekeake uwoniuwongo nawapumbavu wanahamini ivyo kuna majesh yanapgana mstali wambele Ukraine majesh ya chechinia Belarus Tajikistan Kazakhstan Korea nawanajesh wengne wengi wa mataifa mbalimbal rakini Ukraine yuko pekeake hanapewa slaa tubasi lakini urusi pamoja nakusaidiwauko miezi mitatu hanachukua kilometa mbili nakujgamba

    • @SarhaSaid
      @SarhaSaid Před 15 dny +2

      Mpuuzi kabisa ww shoga 😂😂

    • @Mumewangu
      @Mumewangu Před 15 dny

      @@SarhaSaid kama huji hao marekani unaowaunga mkono ndio mashoga

    • @gregorybakuza5796
      @gregorybakuza5796 Před 15 dny +1

      Kwanini usijifunze kwanza kuandika!? Uandishi unatia kinyaa kabisa!

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Před 15 dny +1

      Huyo Shogaaaaa jeusiiiiii Jamani mpelekeni Shule hajui lolote hata kuandika na wala hana Point please 🙏 Wizara ya Elimu au Makanisa mpelekeni Shule huyu Masikini labda hana Ada ya kulipia Shule bora tujuwe yupo wapi tumsaidie hata gunia moja la mchele na Dagaa

    • @JosephSeleman-t9r
      @JosephSeleman-t9r Před 15 dny +1

      Kama hujui kitu uwe unatulia tu