pamoja na kuungana kwao kote ila wao wenyewe wanajikanyaga wako wengi wanapigana na taifa moja vizuizi vingi wamemuwekea ila jamaa anazidi kutoboa tu big up sana kwa russia
Haliye kuhambia urusi yukopekeake niyemwenye putini au uyokipala djsma manake minakushanga sababu majesh ya chechinia majesh ya Belarus yote yanapgana mstali wambele Ukraine Tajikistan Kazakhstan wote nawengne wengi
Kwanza Tambua Hakuna Nchii Inaitwaa Chachinia 😂😂😂 Chachinia Ni Kisia Kma Kisia Ambacho Kipo Chini Ya Russia Yni Kifupi Nikama Tanganyika Na Zanzibari Usidhani Chachinia Ni Nchii Inayo Tumia Sarafu Yke No Wanatumia Sarafu Ya Russia Yani Ragbo kwaiyo Tanganyika Kutumia Jeshi la ZANZIBAR Ni makosa😂😂😂 Nani Kakudanganya kwamba Belarusian Wamepeleka Majeshi yke Russia kupigana na Ukraine Wacha UWONGO 😂😂😂 Russia Anapigana Na Ulaya Pamoja Na America @@user-tq4lx9si1n
Russia ni wababe kweli kweli. Kwa muungano wooote wa NATO pamoja na marekani wameshindwa kumkwamisha na kumdhibiti Urusi, taifa moja lenye support dogo sana
Wakati Putin mwenyewe kakiri kuwa hatamani kufanya vita na marekani maana njia tu ya kumshinda marekani ni kuwa tayari kufa naye pamoja ila si kupigana naye ukitarajia ushindi... wakati mwengine fatilieni habari wenyewe
Ni lini kuna BOM lilirushwa marekani, marekani hawajui vita na hawapendi vita ni woga ndo maana mashambulizi Yao ni ya kujihami kuua watu wengi wasio na hatia ili kutia woga na kutumia watu wengine kwenye vita badala ya wao wenyewe
@@NdovuDentalClinic_ vita huwa haina sheria... hivi umesahau alichokifanya Putin nchini Ukraine alipoanzisha uvamizi...? hivi wanajeshi wake walikua wakishambulia wanajeshi wa Ukraine au raia...? hivi unajua jamaa aliuwa raia wangapi..? Mbona kama unasahau haraka... hivi lile bomu LA intercontinental ambalo Urusi ilifanya maonyesho yake hivi wajua kazi yake..? lile bomu Lina uwezo wa kuizamisha jiji la New York city na kuifuta kwenye uso wa dunia... na vivyo hivyo wamarekani na wanazo silaha ya aina hizo za maangamizi...
😂 kweli kabisaa 💯 Yaani hawa jamaa ni Waongo vibaya sana Duniani wamefanya wenyewe na huku wanajidai ETI walikuwa wanajua Duuuh hiyo mpya Lakini haya Mashoga Wakubwa Duniani Uongo wao umeisha Julikana ni kuwadanga Tu Ulimwengu na hasa huko Tanzania Wazungu ndio wanawaabudu sana kuliko Nafsi zao Moyoni hii huwa inanishangaza sana hata Dini wanasahau kwa kuwatetea Wazungu na Israel
Tafuta hela ustaadhi njaa, hiyo dini haitakulipia ada wala kuleta unga wa watoto. Ni mpumbavu pekew anayehisi dini yake itampeleka peponi hata kama hatotenda matendo mema. We ni mjinga na mpumbavu mpaka siku utapoelimika. Tchao
@@gregorybakuza5796mpumbavu ni yule ambae bado anawaza kulipa ada,kula na kuvaa huo ndo upumbavu wa hali ya juu maana hivyo vitu hata ndege na wanyama hawaviwazii😂😂😂
Putin huyu Jamaa sjapata kuona jiniasi sn anapambana NATO nchi Tele Alf km C.I.A lengo lao kw urusi warudi nyuma lkn matokeo yake ndiokwanza wanaendelea kuteka maeneo
Hawa watu wanatumia na viumbe wasioonekana kuchunguza mambo Yao ,haiwezekani Kwa akili ya kawaida urussi ambae pia ni mjuzi na nimkubwa pia ktk nyanja za kivita avujishe habari zake kizembe
Russia 🇷🇺 knew.....Ukrainian coming in na wamewakaribisha😅 sasa hivi wanasema hadharani sababu wanajua nn kinakuja... Ili apo badae waseme tuliwaonya😅😅
Inasemekana Putin thrives in commotion, he easily takes advantage of the underlying chaos and restructure his government as quickly as possible so as to avoid the bureaucracy involved during normal times, kama sahii ashapeleka bodyguard wake ku lead mission yote kwa jina la uzalendo
Hahahaha NATO Kuna habari wanazitengeneza na wanataka tusisikie hivyo na masudi unazileta kama wanavyotaka tuzisikie huo ni uwongo Ukraine kashindwa kulinda donbaz leo akalinde ardhi ndani ya urusi ni match time anapiga kichapo kinakuja
Akuna kitu sipend kama waslam ni manafk sana cha kushangaza Ukrainian ikipigwa yanashangilia ila plastina ikipigwa wanaanza Allah Allah pumbafu kama ampendi vitu kwa nn mskemee sehem zote, subili mtapigwa Adi mjambe kwa unafike wenu, ndio maana unauliwa usku kucha
Misihamin mbakaleo kwamba hamasi wanaakri nzuli wanauliwa ugomvi hawauwez wamezdiwa klaktu wanapigwa kama punda lakini bado hawakomi kwaiyo baba mtakatfu Netanyahu tumwachetu hafanyeyake
Matapeli hao Utatabili unachokiandaa wewe mwenyewe, wanaigiza kama Kinyambe alipojifanya mtabili, mbona walitabili iran kushambulia Israel ndani ya masaa 48 mpaka leo bado
Huyo Shogaaaaa jeusiiiiii Jamani mpelekeni Shule hajui lolote hata kuandika na wala hana Point please 🙏 Wizara ya Elimu au Makanisa mpelekeni Shule huyu Masikini labda hana Ada ya kulipia Shule bora tujuwe yupo wapi tumsaidie hata gunia moja la mchele na Dagaa
pamoja na kuungana kwao kote ila wao wenyewe wanajikanyaga wako wengi wanapigana na taifa moja vizuizi vingi wamemuwekea ila jamaa anazidi kutoboa tu big up sana kwa russia
Haliye kuhambia urusi yukopekeake niyemwenye putini au uyokipala djsma manake minakushanga sababu majesh ya chechinia majesh ya Belarus yote yanapgana mstali wambele Ukraine Tajikistan Kazakhstan wote nawengne wengi
@@user-tq4lx9si1n hao wote muwezeshaji ni urusi mwenyewe
@@user-tq4lx9si1n jifunze kuandika kwanza ndio kujibu comments za watu, kibaraka wewe
Kwanza Tambua Hakuna Nchii Inaitwaa Chachinia 😂😂😂 Chachinia Ni Kisia Kma Kisia Ambacho Kipo Chini Ya Russia Yni Kifupi Nikama Tanganyika Na Zanzibari Usidhani Chachinia Ni Nchii Inayo Tumia Sarafu Yke No Wanatumia Sarafu Ya Russia Yani Ragbo kwaiyo Tanganyika Kutumia Jeshi la ZANZIBAR Ni makosa😂😂😂 Nani Kakudanganya kwamba Belarusian Wamepeleka Majeshi yke Russia kupigana na Ukraine Wacha UWONGO 😂😂😂 Russia Anapigana Na Ulaya Pamoja Na America @@user-tq4lx9si1n
Mlevi hujui chochote@@user-tq4lx9si1n
Russia ni wababe kweli kweli. Kwa muungano wooote wa NATO pamoja na marekani wameshindwa kumkwamisha na kumdhibiti Urusi, taifa moja lenye support dogo sana
Marekani na CIA Taifa dhaifu sana😂😂😂😂😂
Wakati Putin mwenyewe kakiri kuwa hatamani kufanya vita na marekani maana njia tu ya kumshinda marekani ni kuwa tayari kufa naye pamoja ila si kupigana naye ukitarajia ushindi... wakati mwengine fatilieni habari wenyewe
@@ElijahOwino-xe2cd
Hili sahihi na kama vile marekan hatak kupgan na urus moja kwa moj anajua hawez shinda
Ni lini kuna BOM lilirushwa marekani, marekani hawajui vita na hawapendi vita ni woga ndo maana mashambulizi Yao ni ya kujihami kuua watu wengi wasio na hatia ili kutia woga na kutumia watu wengine kwenye vita badala ya wao wenyewe
@@NdovuDentalClinic_ vita huwa haina sheria... hivi umesahau alichokifanya Putin nchini Ukraine alipoanzisha uvamizi...? hivi wanajeshi wake walikua wakishambulia wanajeshi wa Ukraine au raia...? hivi unajua jamaa aliuwa raia wangapi..? Mbona kama unasahau haraka... hivi lile bomu LA intercontinental ambalo Urusi ilifanya maonyesho yake hivi wajua kazi yake..? lile bomu Lina uwezo wa kuizamisha jiji la New York city na kuifuta kwenye uso wa dunia... na vivyo hivyo wamarekani na wanazo silaha ya aina hizo za maangamizi...
@@ElijahOwino-xe2cdalikwambia wew kichogo
Wamefanya wao alafu anadai walikuwa wanajua😂😂😂
😂 kweli kabisaa 💯 Yaani hawa jamaa ni Waongo vibaya sana Duniani wamefanya wenyewe na huku wanajidai ETI walikuwa wanajua Duuuh hiyo mpya Lakini haya Mashoga Wakubwa Duniani Uongo wao umeisha Julikana ni kuwadanga Tu Ulimwengu na hasa huko Tanzania Wazungu ndio wanawaabudu sana kuliko Nafsi zao Moyoni hii huwa inanishangaza sana hata Dini wanasahau kwa kuwatetea Wazungu na Israel
CIA wapuuzi walipanga wenyewe shambulizi wanatuchezea akili tu
Sasa wasi jue wakati wao ndo walishiriki kupanga
Hao Ukrain km wanauwezo kweli wangeilinda Ardhi yao kwnza
Kurks nisuala la muda tu
Kweli kabisa
Na atakaye fuata dini isiokua Uislamu basi haitokubaliwa kwake na atakua miongoni mwa waliopata hasara (amepotea)Quran 3:85
DINI ZOTE NI NZURI ILA WAUMINI WA HIZO DINI NI SHIDA .
We muha acha ujinga
Tafuta hela ustaadhi njaa, hiyo dini haitakulipia ada wala kuleta unga wa watoto. Ni mpumbavu pekew anayehisi dini yake itampeleka peponi hata kama hatotenda matendo mema. We ni mjinga na mpumbavu mpaka siku utapoelimika. Tchao
@@gregorybakuza5796 hahaa
@@gregorybakuza5796mpumbavu ni yule ambae bado anawaza kulipa ada,kula na kuvaa huo ndo upumbavu wa hali ya juu maana hivyo vitu hata ndege na wanyama hawaviwazii😂😂😂
Huraaaaa!
Putin huyu Jamaa sjapata kuona jiniasi sn anapambana NATO nchi Tele Alf km C.I.A lengo lao kw urusi warudi nyuma lkn matokeo yake ndiokwanza wanaendelea kuteka maeneo
Cia,amna kitu mbona asara wanazopata awaki wazi nakujua tangu zamani.mafala tu.
Sema mulipanga wenyewe sio tulikua tunajua
Ali ww ndio mkali Wa hizi kazi
Wanagidanganya tu hawana jipya kwa urusi kifo kinawahusu hatawafanye nini mungu ameshaweka ok.muda wa wauwaji kuangamia
Wanachez game wenyew alf wanajikut wajuaji
Hii ndo awamu ya kuuthibitishia ulimwengu kwamba marekani c chochote kuna vyuma imara hlf vimetulia tu havina shida na mtu.
WAMARECANI WAKIFELI WANAJITOA WANAONA AIBU, HATA MUWE PAMOJA😂
Eti walijua wkt wao ndo walipanga
Hawa watu wanatumia na viumbe wasioonekana kuchunguza mambo Yao ,haiwezekani Kwa akili ya kawaida urussi ambae pia ni mjuzi na nimkubwa pia ktk nyanja za kivita avujishe habari zake kizembe
Russia 🇷🇺 knew.....Ukrainian coming in na wamewakaribisha😅 sasa hivi wanasema hadharani sababu wanajua nn kinakuja... Ili apo badae waseme tuliwaonya😅😅
Kwa hawakuwashauri wasiende😂 sasa wamewasaidia nini wameisha wote
Waongo hao, wao ndio walioingia na cha moto wamekipata ,ndio maana wamemuomba kibaraka wao aandae four cease fire plan kww Bidern
Inasemekana Putin thrives in commotion, he easily takes advantage of the underlying chaos and restructure his government as quickly as possible so as to avoid the bureaucracy involved during normal times, kama sahii ashapeleka bodyguard wake ku lead mission yote kwa jina la uzalendo
CIA iache ihanye hanye, siku moja tutamla kichwa yule Jamaa anaye itwa shitotenburg
Ukraine ime Shindwa ku fanya hayo kujilinda kwenye inchi yao je inchi ya urusi ndo wata weza
Wanapambana na kaeneo kadogo wakati watu wanakaribia kuchukua nchi upande wa pili uko
Hahahaha NATO Kuna habari wanazitengeneza na wanataka tusisikie hivyo na masudi unazileta kama wanavyotaka tuzisikie huo ni uwongo Ukraine kashindwa kulinda donbaz leo akalinde ardhi ndani ya urusi ni match time anapiga kichapo kinakuja
Mda mwemgne ao watu wa ujasusi wanabahatisha tu mambo sio mambo yote wanajua uhakika
Na ninyi ni wajinga mnaliongelea kipindi mnajua kua nato na marekani ndo wameyafanya acheni ujinga
Putin anapiga kimyakimya tu qmmk…watasema vitu vyote
Jaman kubet tuache Chelsea na Madrid leo wamenikosesha lakista
Pesa ziko shamban😂😂😂
Pole mwanangu
@@MohammedBwanga du! aise bastu ilasai nahacha manake hahojama wanapanga matokeo
Ukila husemi ..
Ukikosa MATANGAZO kweli wewe NI ....
Akuna kitu sipend kama waslam ni manafk sana cha kushangaza Ukrainian ikipigwa yanashangilia ila plastina ikipigwa wanaanza Allah Allah pumbafu kama ampendi vitu kwa nn mskemee sehem zote, subili mtapigwa Adi mjambe kwa unafike wenu, ndio maana unauliwa usku kucha
Kwani alikwambia nani anakupenda weye muislam ndugu yake muislam mwenziwe hawezi kua na kafiri tafuta kazi ufanye upunguze chuki
Sisi tunatetea haki na tunachukia ukandamizaji
Kwani hamasi wao wenye wanasemaje@@Awatee
Umefanya tafiti ukagundua waislamu wanashangilia au unalopoka baada ya kushiba mahindi,,pimbi wewe.,kama huna Cha kukomenti kaa kimya.
Misihamin mbakaleo kwamba hamasi wanaakri nzuli wanauliwa ugomvi hawauwez wamezdiwa klaktu wanapigwa kama punda lakini bado hawakomi kwaiyo baba mtakatfu Netanyahu tumwachetu hafanyeyake
Kilomita 1000 sio ukweli na wao pia wanadanganya.
Kwahiyo wewe ndio upo urusi😂😂 acha kutumia mapenzi kwenye uhalisia
Unaijua 1200km wewe nizaidi ya umbali WA Dar - Mbeya.
NI waongo
Wapo kilomita 40 tu
Asa ww unawakika gan uko uku mashimoni unajua nn😂😂😂
@@tekashisixtynin9threewithd727 ndio maana Kuna media mkuu
TOENI HABARI ZA RONALDO KUPEWA TUZO NA UEFA
Vita bhana bablai
Ukitoa wewe inatosha 😅😅😅
Mpaka putin afe
Matapeli hao Utatabili unachokiandaa wewe mwenyewe, wanaigiza kama Kinyambe alipojifanya mtabili, mbona walitabili iran kushambulia Israel ndani ya masaa 48 mpaka leo bado
Kwenyei midia wanahaminisha watu kwenyeivtu urusi nikdume kwasababu yuko pekeake uwoniuwongo nawapumbavu wanahamini ivyo kuna majesh yanapgana mstali wambele Ukraine majesh ya chechinia Belarus Tajikistan Kazakhstan Korea nawanajesh wengne wengi wa mataifa mbalimbal rakini Ukraine yuko pekeake hanapewa slaa tubasi lakini urusi pamoja nakusaidiwauko miezi mitatu hanachukua kilometa mbili nakujgamba
Mpuuzi kabisa ww shoga 😂😂
@@SarhaSaid kama huji hao marekani unaowaunga mkono ndio mashoga
Kwanini usijifunze kwanza kuandika!? Uandishi unatia kinyaa kabisa!
Huyo Shogaaaaa jeusiiiiii Jamani mpelekeni Shule hajui lolote hata kuandika na wala hana Point please 🙏 Wizara ya Elimu au Makanisa mpelekeni Shule huyu Masikini labda hana Ada ya kulipia Shule bora tujuwe yupo wapi tumsaidie hata gunia moja la mchele na Dagaa
Kama hujui kitu uwe unatulia tu