UKRAINE hali ni tete! WANAJESHI warudi nyuma URUSI ikishambulia na NGUVU, ZELENSKY asitisha SAFARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Komentáře • 280

  • @user-tm6gv9kp7v
    @user-tm6gv9kp7v Před 3 měsíci +48

    Naomba like 20 Wana sns ..tunawashukuru xna kwa kutupatia taarifa kwa wakat ..
    Zerozensky mwisho wa cku mpk yy atakimbia na kuitelekeza nchi yake

    • @ezekiakiwovele7794
      @ezekiakiwovele7794 Před 3 měsíci +3

      Yani wew hamna sauti unataka like

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 3 měsíci +1

      Nimemtafutia sijasiona uliziweka wapi😅😅😅😅😅😅

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 Před 3 měsíci +3

    Asanteni sana kwa taarifa nzuri zimesomeka kitaalamu kabisa hongereni kwa uchambuzi mzuri wa kiwango cha Kimataifa

  • @kassimbayuu
    @kassimbayuu Před 3 měsíci +5

    Conversation ya Leo yapo poa sana, fantastic job

  • @bishweko
    @bishweko Před 3 měsíci +1

    Combination hii ya wachambuzi inatupa uelewa mkubwa kimantick. ❤❤❤❤. Nashukuru sns kwa kulichukua wazo langu na kulifanyia kazi. ❤❤❤

  • @mnaratailoring6346
    @mnaratailoring6346 Před 3 měsíci +8

    Nawapata vema .nipo Namibia hapa windhoek. Napenda sana kazi yenu.

    • @nyawawawanyawawa935
      @nyawawawanyawawa935 Před 3 měsíci

      Upo Windhoek sehemu gani? Khomazda Katutura Babylon ama Klein Windhoek. Hongera SNS kwa umbuzi uliochangamka

  • @fatmabukuku5384
    @fatmabukuku5384 Před 3 měsíci +9

    Sns nawapata vizuri sana from Belgium

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před 3 měsíci +40

    Dj smaa alishatabiri japo wanao shabikia magaidi NATO na mharifu Marekani hawataki kusikia ukweli .

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw Před 3 měsíci +21

    Ongera kwa urusi.endeleya ku capa NATO n'Amerika...

  • @thelaoban6236
    @thelaoban6236 Před 3 měsíci +4

    Aise Dj Sma na Ally Masubi kwa kazi hii bila shaka mtakua mnapata pesa kubwa sana kwa uchambuzi wenu huu big up 👍

    • @thelaoban6236
      @thelaoban6236 Před 3 měsíci

      Wazee wa Facts and Logic watu wakuunganisha…….

  • @mpwaguzipwagu3199
    @mpwaguzipwagu3199 Před 3 měsíci +2

    Nawapata vzr from Germany

  • @annurmohamedi9824
    @annurmohamedi9824 Před 3 měsíci +10

    Hawa Wagner kwel ni watu hatar sana maana sio kwa wanachokifanya huko Kharkov 🙌

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před 3 měsíci +25

    Ushindi kwa Urusi ni Ushindi Wadunia. Vipi hali ilivyo Gaza na hasa Rafah?

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 3 měsíci +10

    DJ esma nimchambuzi mzuri mrusi siomtuwakutania watu wanavyofikiria ,anaogopwa na wazungu wenzie

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 Před 3 měsíci +1

      Sio dj esma ni Dj sma

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 3 měsíci

      @@Gulfnas1 mkono umetereza kuandika kwaio umekua mkosoaji

    • @mwajumabinwa604
      @mwajumabinwa604 Před 3 měsíci

      @@uwimana6533😂😂😂😂

  • @hajimaruzuku6583
    @hajimaruzuku6583 Před 3 měsíci +6

    Sns tun wapata vizuri URAAAAAA

  • @StevenTaylorx
    @StevenTaylorx Před 3 měsíci +5

    SnS is more than mainstream media..

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Před 3 měsíci +12

    Huko pia wataondoka mwisho watakimbia kabisa na hao mashoga watazidi kupoteza pesa na silaha

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 Před 3 měsíci +2

    Jamani mimi nipo bankoko nawapata vizuri sana ndugu zangu more love u guys

  • @djsma255
    @djsma255 Před 3 měsíci +9

    Sauti ipo ili mtandao ukizidiwa kuna badhi ya watazamaji wanakosa sauti,

    • @bomonda2622
      @bomonda2622 Před 3 měsíci +2

      Dj sma uko bright mashaalah

  • @maneibaztv5943
    @maneibaztv5943 Před 3 měsíci +2

    Watching live from Russia

  • @abcelectricalsolutions7000
    @abcelectricalsolutions7000 Před 3 měsíci +2

    Sns mko vema sana, mnatujuza habari updates

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 2 měsíci

    Hongereni kwa Habari na uchambuzi mzuri

  • @RamadhanpMwakilasa-di5hc
    @RamadhanpMwakilasa-di5hc Před 3 měsíci +2

    Eeeeh hiii urusi tuko pamoja na Putin jamn like zangu 🔥🔥🔥

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 Před 3 měsíci +2

    Shoutout to SnS,,Dj.Smaa & Ally Masoud for wonderful Analysis 🔥🔥🔥🔥

  • @thehomeoffootballskills4358
    @thehomeoffootballskills4358 Před 3 měsíci +7

    wana sns hii ndo.aljazera ya bingo mnakimbiza yani BBC dw nw.days wanazidi poteza followers

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 Před 3 měsíci

    Ahsanteni sana wachambuzi wetu kwa kazi nzuri ya kutulisha habari za uhakika na muhimu kwa maisha yetu

  • @Beauthom
    @Beauthom Před 3 měsíci +2

    Kama unamkubali Dj sma na ally masubi weka like hapa

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Před 6 hodinami

    Safi sana urusi piga hao mashoga wa kimarekani na nato ili kulinda heshima Yako na heshima ya
    Sisi tusio na uwezo

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p Před 3 měsíci +2

    Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na majeshi ya Urusi ya kamanda wa ulimwengu Rais Vladimir Putin, kwa neema ya Mungu wajaliwe kufikia malengo yao kwa wakati.

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Před 3 dny

    Uraaaaa urusi🎉🎉🎉

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 Před 3 měsíci +1

    KAZI nzuri

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před 3 měsíci

    I won't stop listening sns, I really like it

  • @kelviinfocus
    @kelviinfocus Před 3 měsíci

    Ali Masubi ana information sana ila communication skills zake ziko chini... anaweza aka improve !
    SNS Respect 💯👊🏾

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 3 měsíci +12

    Hali nimbaya sana hata BBC imekiri hilo

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 3 měsíci +2

      BBC siku hizi wamekuwa hadi wa pole

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 3 měsíci

      BBC ni propaganda za Marekani,hakuna hata ck 1utakuta anawakosoa wa maharibi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 3 měsíci +1

      BBC na Ujerumani sy Redio zakusikiliza nizwamarelani zakupotosha ukli kumlinda marekani

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g Před 3 měsíci

      ​@@emmanuelmlowe-ew7gxna wao sasa hivi wameanza kukubali muziki wa putini

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g Před 3 měsíci

      ​@@sonnyr1899inabidi na wao wakubali tu sasa wataandika nini ilihali vyombo vyote duniani wanongea lugha moja ni urrusi tu

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Před 3 měsíci +1

    Asnt sana kwatarifa nzr,,
    Warus weusi tunatembea kifua mbele Mungu amjalie afya njema Putin

  • @user-fs6iq2my9k
    @user-fs6iq2my9k Před 2 měsíci

    Hongera urusi kwa kumshikisha ajabu mshirika mamuluki wa nchichi za magharibi

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před 3 měsíci +2

    Team mrusi tujuane👇👇👇👇

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 Před 3 měsíci +2

    Pia mimi niko Ukraine nawapata vizur sana Sns

  • @MiramboMarieJeanne-xz6ys
    @MiramboMarieJeanne-xz6ys Před 3 měsíci +3

    Ok'mimi nakota'drc manyema asate kwa urusi

  • @johnthesimba4764
    @johnthesimba4764 Před 3 měsíci +3

    Huku dj smaa 255 kule aly masubi..kama ni wali basi huu ni mseto uliokamilika

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 Před 3 měsíci

    Mim nilisema tokea tunaanza SnS ni social media kumbwa sn kwa update kiukweli naipenda nimeachana na bbc na DW na cnn pia nikamua nibaki SNS.thaks u Sky

  • @ABUBAKARSUNUS
    @ABUBAKARSUNUS Před 4 dny

    Natural sana

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 Před 3 měsíci

    Safi sana Sns

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 Před 3 měsíci +1

    Haya Ally anayo yaongea anageongea sma watu wa taarabu wangeanza ooooh anaegemea sijui nin na nn, ukwel hauwezi fichwa hata siku moja, sma huwa anaongea yale yanayo fichwa jmn sio kwamba anaegemea

  • @NuhuHamisi
    @NuhuHamisi Před 3 měsíci

    Oya wazee nakubali sana kazi zenu

  • @rashadmohamed8341
    @rashadmohamed8341 Před 3 měsíci

    Kazi nzuri brother

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Před 3 měsíci +3

    Urussi ni jeshi kali zaidi Duniani. Zerenski asipo kaa meza moja na Urusi wamalize uhasama wao. Ukraine inapotea kabisa ktk ramani ya dunia.

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před 3 měsíci

      Ningumu kukameza moja vita haipigani Europa

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 Před 3 měsíci +1

    SNS kitu mnafanya ni kizuri ila Kuna namna Ali anatakiwa kukaa kimya au kusubiri mwenzake amalize kuchangia ndio aongee, obvious anajua but the problem anaingilia time ya mwenzie... Sio Kwa ubaya but itaboresha hii midaharo

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 Před 3 měsíci +3

    Sauti

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před 3 měsíci

    Muunganiko wa ❤ djsma na ❤ Ally napata ratha kipekee hata wizara yetu ulinzi iwangize kwenye kuwa washauli sky hongera kwa kutuletea vitu adimu channel haina umbea na watu unao ongeza ubunifu zaidi❤❤❤❤❤

  • @MussaMillano
    @MussaMillano Před 2 dny +1

    Warusi weusi tujuane kwa like

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 3 měsíci

    Mpo vizuri

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART Před 3 měsíci +1

    Licha ya vita vyote hivi anavopigana mrusi hatusikii kuuwa raia wasiokua na hatia ana deal na wanajeshi tu ila Zaonist Israel kule anua watoto na wanawake bila kujali mungu awalaani Israel na ampe nguvu Russia ashinde vita hivi

  • @lukulomansour3087
    @lukulomansour3087 Před 3 měsíci

    Naam wachambuzi wetu ahsanteni sio tu uchambuzi Bali Ni somo maalum tumefaidika mno!

  • @ramadhandivele9019
    @ramadhandivele9019 Před 3 měsíci

    Asanteni Kwa habari tupo pamoja

  • @africanmandetraveler2847
    @africanmandetraveler2847 Před 3 měsíci +3

    Sauti gani mnayo isema mbona inasikika vizuri tu.

  • @dominic4727
    @dominic4727 Před 3 měsíci

    Kweli

  • @user-il7hv7qr7c
    @user-il7hv7qr7c Před 3 měsíci +3

    Waaaa

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 Před 3 měsíci

    Kwangu mimi siku haiishi bila kupitia sns kumsikiliza dj smaa na all masudi ..wachambuzi waongezee hela kidogo waendelew kuwa na molarity yakuendelea kufuatilia maarifa na taarifa nyingi ..pia wape kbisa ajila official wawe sns kama watangazaaji wa media zingine kubwa kama redio and TV

  • @salumadam2862
    @salumadam2862 Před 3 měsíci

    Sns hamna mpinzani ✌️

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q Před 3 měsíci +1

    Walijichanganya kuushambulia Boligolod eneo la urusi yanayotokea Karkive

  • @HusseinMohamad-pl2cf
    @HusseinMohamad-pl2cf Před 3 měsíci +2

    Mi niko NANDIMBA nawapata vizuri 😂😂😂😂

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f Před 3 měsíci +1

    ❤❤ dj smaa❤❤

  • @godwinmandary5116
    @godwinmandary5116 Před 3 měsíci +1

    Good

  • @lameckraphael3743
    @lameckraphael3743 Před 3 měsíci

    Ali unaongea sana muachie pia Dj asma nae aongee

  • @rashadally6871
    @rashadally6871 Před 3 měsíci +1

    Lazima waseme mwaka huu watakaa mezani...

  • @devisjoseph5787
    @devisjoseph5787 Před 3 měsíci

    Naomba kujua, vipi kama Urusi ikashinda vita na kuichukua Ukraine yote, je Urusi waichukua nchi nzima na kupanua mipaka ya nchi hiyo kwa eneo la Ukeaine?

  • @ShabanKarim-tv3vn
    @ShabanKarim-tv3vn Před 3 měsíci

    Leo mmeongea pwenti nakucambuwa vizuri naweredi mwingi❤

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo Před 3 měsíci +1

    Nyie wachambuzi si mpewe kazi ya kufundisha jeshin?

  • @user-sy6oh2ft6r
    @user-sy6oh2ft6r Před 3 měsíci

    Putin anafanya kazi zuri ila awe makini kwa usalama wake Marekani na ukata wapo kazini usk na mchana

  • @MedardMushobozi
    @MedardMushobozi Před 3 měsíci +1

    Jameni pelekeni watoto shule,Hawa wachambuzi wanatupa Raha sanaaa Urusi idumuuu.Putin For Victori

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE Před 3 měsíci

    Nipo hapa na sky, dj sm, ally masubi.

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 Před 3 měsíci +1

    Sasa ww unafikiria kama Ukraine ataishambulia Moscow sio ndio itamalizwa Ukraine

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 Před 3 měsíci +2

    Sauti hamna

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 Před 3 měsíci

    The change has come

  • @abdallahkhalfan3966
    @abdallahkhalfan3966 Před 3 měsíci +3

    Sauti imepotelea wapi

  • @peterchula1990
    @peterchula1990 Před 3 dny

    Hii vita Ukraine aombe msamaha yaishe

  • @user-pl7rr6oe4z
    @user-pl7rr6oe4z Před 3 měsíci

    Safi.sana

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 Před 3 měsíci

    Nimependa hapo kwenye kudisable GPS system za silaa za adui.

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 3 měsíci +4

    HAHAHAHAAAAA😂 .NA HAO WALIOUWAWA 1,400 MDA WA MASAA 24 TU MBONA BBC HAWASEMI😂. DAH YAANI RAHASANA HAWA JAMAA WALIOTUULIA GADAFIWETU NA SADAMU BILAKOSA DADEK HAYO NDIO MALIPO SASA. kama asemavyo ALLAH. hazidishiwi dhwaalimu isipokua ni hasaratu😂

  • @user-ue7re5rx5k
    @user-ue7re5rx5k Před 3 měsíci +1

    Uuuu Raaaaaa rasia ni super power jamani tunawafuta sana snaa tukiwa burundi

  • @user-sr8tc8ke6q
    @user-sr8tc8ke6q Před 3 měsíci +1

    Nipo Ukraine nawapata vizuri 😢😢😢

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Před 5 hodinami

    Urusi piga hao mashoga wa kimakharibi kwani walijifanya waungu wa dunia

  • @DaudiWimbura
    @DaudiWimbura Před 3 měsíci

    Yaani mpaka waseeeemeee

  • @user-oz3zu1qm9z
    @user-oz3zu1qm9z Před 3 měsíci

    asandeni sana

  • @mutorojackson8847
    @mutorojackson8847 Před 3 měsíci

  • @erickhaule5591
    @erickhaule5591 Před 2 měsíci

    Back sound muhimj

  • @ahmedhemed
    @ahmedhemed Před 2 měsíci

    Mrusi kashajiandaa kutumia s500 kwa ajili ya f _16 naf22na 35

  • @dominic4727
    @dominic4727 Před 3 měsíci

    Mimi toka kologwe tanga mwana chama numba1 wa #sns

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před 3 měsíci

    Mashabiki wa urusi kama Ukraine majeshi yote yameuawa na wanajeshi wa urusi kwa nn haangushi utawala wa zerenzik? Maana mpaka sasa shoga putini amechukua asilimia 20 ya nchi yote ya Ukraine kwa muda wa miaka miwili na ushee kwa ujumla katika vita hii mkorofi kafeli

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před 3 měsíci

    Vita hii ni kwamba Ukraine kaisha shindwa,ila anashindwa kusalim amri coz itakua ni kama NATO wameshindwa vita!Hilo lipo wazi

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Před 3 měsíci

    Mm nko Tel-Aviv ingawa nawapata kwa shida lkn tuko pa1

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před 3 měsíci

    Na wanasema hizo f16 zina technology mpya sana kwa zitawasumbua sana waukrine kuziendesha

  • @hajinachembe4310
    @hajinachembe4310 Před 3 měsíci +1

    Swali langu kwa dj smaa na kwa ally kwa yoyote ambae anaweza kunijibu,, hizi ndege za F-16 na F-35 mrusi ana uwezo wa kuzitungua kwenye uwanja wa vita?

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 3 měsíci +1

    Wapige tu hao mashoga mpaka wakimbie nchi yote iwe urusi tu

  • @soudyhassan1511
    @soudyhassan1511 Před 3 měsíci +2

    Duh

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz Před 3 měsíci +1

    Acha uruss iwatandike hao wapuuzi na waisoma uraaaaaaa

  • @martinndunguru7103
    @martinndunguru7103 Před 3 měsíci

    Fire

  • @isaacramadhan9721
    @isaacramadhan9721 Před 3 měsíci

    Wachana na kharkiv naona pia mji mkuu pia ukienda

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o Před 3 měsíci +1

    Nato kazi yao kutengeneza ugaidi ili kuihadaa dunia wazidi kuendeleza ushetani wao ngoja wakione chamoto

  • @asclassic504
    @asclassic504 Před 3 měsíci +1

    First