Hiki ndicho kinachomfanya Marekani na Israel wamuogope Iran

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 04. 2024

Komentáře • 347

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Před 3 měsíci +26

    Huyu Iran anatisha sanaa Allah aendelee kuwapa ufaham zaidi

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před 3 měsíci +15

    Mtenda akitendewa!! Yani hii Israel na America ndio chanzo cha balaa kubwa duniani hilo linajulikana!!

  • @somoeomar4861
    @somoeomar4861 Před 2 měsíci +4

    Shukraan sana leo ndo nimeelewa kila kitu umetueleza vizuri sana thanx alot

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před měsícem +1

    Duu safiii broooo

  • @ibrahimsalad1717
    @ibrahimsalad1717 Před 2 měsíci +7

    Mashallah unajua history keep it up bro, hizi nchi za kiarabu ni vibaraka tu kukiongozwa na Saudi ile siku watashtuka itakua too late, nawaombea tu Iran mungu awasimamie nawakubali sana hawa

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 Před 3 měsíci +49

    Ebwana umetafsiri vizuri sn istoria nzuri kweli kumbe iran inanguvu ivyo nawasapoti iran mungu awalinde kilasiku mungu ukaha kwamwenye haki ❤❤❤❤ iran

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 3 měsíci +4

      Ulikuwa hujuwi ilo, kwa waarabu huyo ndie kidume anaeogopewa na nchi za kimagharibi.

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d Před 3 měsíci +4

      Iran sio waarabu

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 3 měsíci +1

      @@user-io8hn1jb4d Upertia ni kabila tu, lkn ndio haohao.
      Au kwsbb wanazungumza Kifursi.

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r Před 2 měsíci

      Uko na mchezo,angalia ni nchi ngapi ziko na mabomu ya nuclear uone kama Iran ni Moja wao.Nchi ni 9 na Iran haipo kwenye hiyo orodha

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před 2 měsíci

      ​@@user-hy5zd5rn6riweke ww iwepo mgawaji wa technology 😅😅

  • @abdul-qadirkhamis2518
    @abdul-qadirkhamis2518 Před 3 měsíci +10

    MA shaa Allah.. I wish nionane na wewe one day in shaa Allah.... You are genius, again and again, and more than again....

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 Před 3 měsíci +2

    Asante sana kaka ❤❤
    Wewe nimwana histor mzur sn,,anavitu vingi vya kutufundisha,,ukiashilia wachambuz uchwara,,binafsi nataman ungekuwa na jukwa maarum,,Ili tujifunze kutoka kwako,,Mungu akujalie afya njema ulichokipata nasisi tunufaike nacho❤❤❤💪💪,,

  • @onelinelyrics200
    @onelinelyrics200 Před 2 měsíci +4

    Umetema facts! Ukweli Mchungu japo Mataifa ya kiarabu yanasaliti Ummah ikiwemo Suudia - kwa mfumo wa Petro-dolla kwa maslahi binafsi

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 Před 3 měsíci +15

    Mashallah tabaraqah. Huyu mtaalamu umlete tenna kwa uchambuzi zaid

    • @JoalAlma-ci1hi
      @JoalAlma-ci1hi Před měsícem

      Kwasababu anasema iran inaogopwa na marekani na israel😂😂😂😂😂et nawe unaamni et

  • @dulax2457
    @dulax2457 Před 3 měsíci +10

    Broo uko vizur from mombasa twakupata 100%wewe ni professer

    • @revocatusjilala2441
      @revocatusjilala2441 Před 3 měsíci +1

      Tanzania tumebobea kwa Tafukuri, kuelezea mambo kwa kina, watanzania wengi ni great thinker kuliko wakenya!! Wakenya kazi Yao ni kubwabwaja

    • @SuperMtani
      @SuperMtani Před 3 měsíci

      Asante

  • @allynassor1119
    @allynassor1119 Před 3 měsíci +5

    Nimekuelewa pongez kwako mungu akuongoze ktk kazi na maisha yk

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 Před 2 měsíci +5

    Mchambuzi uko vizuri sana

  • @rk-rp2un
    @rk-rp2un Před 2 měsíci +5

    Hongera sana brother,nimeipenda ushauri ulioutoa,Mungu akubariki sana

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 2 měsíci +2

    Cuba ndio nchi yenye vikwazo zaid

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 Před 3 měsíci +4

    Maelezo mazuri sana pamoja na ushauri juu ya kuwekeza kwenye elimu ya ujuzi

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 3 měsíci +3

    Umeongea vitu Vizuri vya Mwanga Nimejifunza kitu kizuri sana Uendelee na Uchambuzi 🙏🏾

  • @user-uv8lo5jo3s
    @user-uv8lo5jo3s Před 2 měsíci +3

    Basi mtu anaeongea vitu vya maana kama huyu huwezi kusikia media zina muhoji hatasikumoja innalilah wainailaih rajiun

  • @PatrickBarnabas-fs4ow
    @PatrickBarnabas-fs4ow Před měsícem

    Umetisha

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 Před 2 měsíci +3

    Kweli aisee kama iran ingekua inasubir kupewa hakika ingekua imeisha anguka

  • @alibinali_
    @alibinali_ Před 3 měsíci +2

    Thanks kwa uchambuzi mzuri sana kuna watu wanaongea mambo tofauti ila wewe umechambua vizuri na bila ubaguzi na vyombo vingi vyahabari hawaongie ukweli

  • @user-vj8eu7ih4k
    @user-vj8eu7ih4k Před 3 měsíci +11

    Kaka umeeleza vizur sana nimegain kitu kikubwa sana na allah anifanyie wepes inshallah ,Allah akupe maisha marefu na yenye mafanikio

  • @snuramushi9612
    @snuramushi9612 Před 3 měsíci +5

    Mashallah umeisimulia vizuri sana tunategemea kukuona kwenye historia nyingine Inshaallah,,,kuhusu Iran kufanikiwa kujitengenezea vitu vyao wenyewe hii imesababishwa na ujasiri wao na utayari toka pale walipo uondoa utawala wa kifalme na kuweka utawala wakiislam walishakubali kupambana na lolote mbele yao sasa hawa wenzao bado waoga

    • @user-to7bs5pl4n
      @user-to7bs5pl4n Před 2 měsíci

      MUNGU NDIYE ALIYE IBARIKI ISRAEL NA NDIYE ATAKAE ITETEA ISRAEL MUNGU LINDA MIPAKA YA ISRAEL ADUI WA ISRAEL NI ADUI WA MUNGU TUTAONA MUNGU WAO NA MUNGU WA ISRAEL NANI ZAIDI MUNGU IBARIKI ISRAEL NA MIPAKA YAKE HAKUNA ALIYE NA NGUVU KAMA MUNGU WA ISRAEL

    • @saphinalutaha9077
      @saphinalutaha9077 Před 2 měsíci

      ​@@user-to7bs5pl4n😂😂😂😂 mtajpa puresha bure kwaiyo mungu ndo Alie waambia wawe wanachokoza watu😂😂😂😂

    • @Alkaburu
      @Alkaburu Před 2 měsíci

      ​@@user-to7bs5pl4nkwa hiyo wewe ni mpagani huna Mungu kama Mungu ni waisraeli?

    • @afrahamohamedi6301
      @afrahamohamedi6301 Před 2 měsíci

      ​@@user-to7bs5pl4nwewe ni myahudi au 😮😮 ? wayahudi waliasi amri za Mungu ndio maana Yesu hana baba myahudi bali alizaliwa kwa njia tofauti bila manii ya mhuni mwizraeli . waizraeli ni watu washenzi wewe unawa entertain 😢😢 safari hii Izraeli itang'olewa na hata kama watatumia Atomiki bomu au haidrojeni bomu la Amerika au msaada wa urusi hautaleta manufaa yoyote kwa waizraeli

  • @hilalisaidseif8483
    @hilalisaidseif8483 Před 3 měsíci +5

    MashaAllah kumbe bado Tz tunawanahistoria wazuri hivi endelea kutupa elimu

  • @radjabusuleiman6486
    @radjabusuleiman6486 Před 3 měsíci +4

    WA SHIA ni watu hatari Sana, sio kama sisi wa SUNI waoga ule imam wawo khomein akitangaza tuu vita hapatokalika mashariki yakati wanamuamini ule mzee wawo kuliko Ata Wazazi wao akitowa amri hakuna wa kupinga amri yake.

  • @user-bo1ew3xq6w
    @user-bo1ew3xq6w Před 3 měsíci +6

    Nimekkubali bro mambo unayo yasema yapo na maono makubwa sana.

  • @user-db3vt4ei6b
    @user-db3vt4ei6b Před 3 měsíci +5

    Very good mr for this story and i believe that one day you will be a big man in this world in term of revolutionilist

    • @0diraWilson
      @0diraWilson Před měsícem

      Unazungumzia Ujinga usio ujua. ISRAEL ni Taifa ambalo MUNGU wa IBRAHIM alimpa. Sasa hizo ni historia za kijinga haisaidii kitu ni porojo za mchana, hujui lolote.

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 Před 24 dny

      ​@@0diraWilsonMungu wa Israel ni marekan na ndio mungu wako pia

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn Před 3 měsíci +3

    Mhh nimefumbuka mambo mengi Hsante Kaka

  • @krisantmwaipungu1434
    @krisantmwaipungu1434 Před 2 měsíci

    Well said brother

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 3 měsíci +2

    Uchambuzi mzuri sana

  • @user-tf3vf8rj8n
    @user-tf3vf8rj8n Před měsícem

    Wallah umenifunz mingi sana amby siikuw nayajua
    Kaka Allah akubarik

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga6400 Před 2 měsíci

    Wapi mr Sebo..mmmh. nice historical facts.

  • @HabibuMudhwahir
    @HabibuMudhwahir Před 3 měsíci +4

    اللهم صل على محمد وال محمد

    • @user-yv2mx1vq3w
      @user-yv2mx1vq3w Před 2 měsíci

      I am the National Chairman of Indiginous Shia Community: Tanzania lthna'ashariyyah Community (T.l.C)

  • @user-pf2qk8fz9o
    @user-pf2qk8fz9o Před 3 měsíci +1

    Much respect kakamkubwa technical school ndo msingi

  • @kokubukoba7510
    @kokubukoba7510 Před měsícem

    Great analysis, asante

  • @hajimrisholukamba602
    @hajimrisholukamba602 Před 2 měsíci

    very knowledgeable, context analysis yako makes a lot of sense

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před 2 měsíci +2

    Tanzania inadaiwa deni kubwa sana na iran.Tumekopa tangu wakati wa Marehemu Ali hassan mwinyi akiwa Rais halafu tumeuchuna kama hatujui hatuna kamwe huo mpango wala hata hatujui tutalipa lini.Tunalipa madeni ya dhulma ya Riba ya wazungu na tumeacha kulipa deni lisilo na Riba yoyote.

  • @makhanguwakhutu2408
    @makhanguwakhutu2408 Před 3 měsíci +2

    Irani ni mfano mzuri wa afrika kufata tujifunze technically skills sio kusifiya tu Israel na marekani

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v Před 3 měsíci +2

    Hongera brother

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6z Před měsícem

    Mhadhiri umesaidia uchambuzi mzuri na umetupa manufaa sn kuelewa hali ilivyo mashariki ya kati na ht mgogoro wa Israel na Iran.
    Thanks

  • @ShadrackMwikoni
    @ShadrackMwikoni Před měsícem

    Teacher big up Sana natamani niwe kama wewe, wewe ni msomi mkubwa Allah akuzidishie ila niombee na mm mwanafunzi wako wa first year

  • @peterokoo7962
    @peterokoo7962 Před 2 měsíci +2

    Jamaa akovizuri sana

  • @Mbmaster-os5oi
    @Mbmaster-os5oi Před 3 měsíci +2

    Hongera ndugu

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před 2 měsíci +1

    Maashaallah umetufunza

  • @yussufmiraji9408
    @yussufmiraji9408 Před 3 měsíci +5

    Toka nianze kufatia siasa za mashariki ya kati ndiyo kwanza nitapate taluma mm nilikuwa najuwa iran ni nchi ya kawaida tu kumbe wana technology kubwa sana kiasi wazungu wamuogope iran irani is the best country in Islam in the world

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 Před 3 měsíci

      Lakini Iran ndio Audi mkubwa WA waislamu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 měsíci +1

      ​@@osmaniidrisa6290ALAA SIO MUISRAEL ADUWI WA WAISLAMU???

    • @osmaniidrisa6290
      @osmaniidrisa6290 Před 2 měsíci

      @@salimmalaka256 wote ni maadui WA uislamu lakini harari zaidi ni Yule anaejifanya sio Audi kumbe ni adui

    • @jumaali4893
      @jumaali4893 Před 2 měsíci

      Unaushahidi wowote wa kuthibitisha ulichokiandika? au huna​@@osmaniidrisa6290

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před 2 měsíci

      ​@@osmaniidrisa6290Naona bora Iran inaisapoti palestina kuliko Saudia ?!!! Sasa yupi aduwi zaidi ya waislam u ?

  • @issakawaya8315
    @issakawaya8315 Před 2 měsíci +1

    Mashallah

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 Před 2 měsíci +1

    Hongera broo

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Před 3 měsíci +3

    Nakuunga mkono sasa hivi serikali inatakiwa kuwekeza kwenye Teknolojia

  • @user-pe4lj4zl5n
    @user-pe4lj4zl5n Před 3 měsíci +1

    Kweli kaka niwakati wa technology bro! 🎉

  • @saidngumbi6222
    @saidngumbi6222 Před 3 měsíci +2

    @simulizi na sauti

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před 3 měsíci +3

    Ni vigumu sana ku gundua Marekani na Esraeli ni Nchi moja lakini uki chunguza na kufatilia matukio kwa akili tangu azimio laku anzishwa Taifa hilo na matukio yaliyo fuata hadi leo uta gundua

  • @fadhilimnyanga6400
    @fadhilimnyanga6400 Před 2 měsíci

    Nice work broo..nakusoma mjomba

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 Před 3 měsíci +4

    Muingeleza na Mmarekani Ndiyo Israel

  • @abdulpagali7476
    @abdulpagali7476 Před 2 měsíci

    I appreciate your informed presentation. Shida humfanya mtu kuwa mdadisi, mbunifu na kuwa mwenye uthubutu wa kutenda. Iran imewekewa vikwazo vingi baada ya mapinduzi ya 1979. Suluhisho kwao ni kuwekeza kwenye teknolojia inayowafanya sasa waogopwe. Sisi tumewekeza zaidi kwenye siasa. Walimu, wahandisi na hata madaktari hukimbilia kwenye siasa ambako raslimali nyingi za taifa zimewekezwa huko. Sasa marndeleo tutayapataje kwa kukopi na kipesti kila kitu? Vijana wanasomea vyeti tu na sio utaalam, masrifa wala ujuzi. Je, ubunifu utatoka wapi? Asante mwalimu kwa kunielimisha 🎉🎉🎉.

  • @jafariHabibu-jc9zf
    @jafariHabibu-jc9zf Před 3 měsíci +1

    Nakushukuru sana bro nimekupata vyema

    • @jumamohammed2748
      @jumamohammed2748 Před 2 měsíci

      Mashallah mwalimu wangu Mr Mtani, nimekuelewa sana.

  • @GapsonRevoson-bn7nt
    @GapsonRevoson-bn7nt Před 2 měsíci

    Nikili wazi napenda history lakin Kwa maelezo yako uliyoyatoa naona ninakazi kubwa kijifunza kutoka kwako ww umesimulia na kutatua Kwa maelezo yaliyonyooka na fact congratulations sana chief

  • @NgamelaYussuph
    @NgamelaYussuph Před 3 měsíci +2

    Hivyo Vikundo Vimezuia Miaka Kumi Na mbili Marekani Kumuangusha Rais wa Siria

  • @AnthonyGabriel-ou7wz
    @AnthonyGabriel-ou7wz Před měsícem +1

    Tuambie imekuwaje Ajali ya Raisi wao?

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 2 měsíci +1

    Ufafanuzi mzuri sana, ila mhadhiri ameacha maswali mengi kwa TZ lkn na Afrika kwa ujumla. Yaani, ni kwa namna gani nchi za Afrika zimeshindwa kuwekeza katika teknolojia?? Shida ni nini hapa! Lakini nini kifanyike...

  • @YassinAwami-yi8jd
    @YassinAwami-yi8jd Před 2 měsíci

    Tuwekeze kwenye TECHNICAL KNOWLEDGE... That is a point

  • @abdulkasukari5481
    @abdulkasukari5481 Před 2 měsíci

    Good Presentation

  • @EligiusRichardGoldenboy
    @EligiusRichardGoldenboy Před 2 měsíci

  • @SaidiChinduli
    @SaidiChinduli Před 3 měsíci +3

    Elimu sahihi wakati sahihi pokea🎉🎉🎉🎉🎉 yako.

  • @selemanshemea4093
    @selemanshemea4093 Před 3 měsíci +9

    Lakini mbona tukio la Iran ndio linazungumzwa Sana?Israel kushambulia ubalozi wa Irani na kuua hilo sitatizo ,kweli dunia SASA IPO mikononi mwa waovu.

    • @suleim505
      @suleim505 Před 3 měsíci +3

      Dunia imeshaharibiwa na waharibifu, na ndio wanaounga mkono uharibufu unaofanyika kwa mataifa ya wanyonge

    • @muhamadharun9432
      @muhamadharun9432 Před 2 měsíci

      Propaganda za kusahaulisha uovu wa Israel

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi Před měsícem

    Kwer mumeamini kuwa Israel inatisha ee vita inakufa nawatu wengi

  • @ekimnkande2873
    @ekimnkande2873 Před 3 měsíci

    Lets wait

  • @Inbrajabtv
    @Inbrajabtv Před 2 měsíci

    Ebanaeeh we uk vzr ahsant saana

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před 3 měsíci +3

    Iran fumua nuclear hao mazayuni na huyo mmarekani

  • @saiddarrus6400
    @saiddarrus6400 Před 2 měsíci

    Hats off brother

  • @user-nc7fx2qc2v
    @user-nc7fx2qc2v Před 2 měsíci +1

    Wairani hawakubali utumwa kama waarabu

  • @user-fn5zt6tm1h
    @user-fn5zt6tm1h Před 3 měsíci +1

    Anaejua anajua tu
    Hongera umetufumbua macho

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 Před 2 měsíci +2

    Mkuu, umejitahidi lakini pia irani wako vizur hata katika matibabu, ukweli irani ni taifa pekee lililobaki duniani kuwa ni huru kutokana na Mataifa ya magharib Iran imebaki kuwa ni kikwazo pekee kwa nchi za magharib na marekani kuitawala mashariki ya kati, nia ya Israel ni kuiburuza marekani iingie katika vita ili wao wa Israel wawe mabwana wa mashariki ya kati

  • @RamadhanmwidiniUdulele
    @RamadhanmwidiniUdulele Před 2 měsíci

    My love teacher % fact

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 Před 3 měsíci +1

    Aisee umeongea vzr sana ndg mchambuzi nimekusikiliza kwa umakin sana unaongea kwa utaratibu kabisa ongera bas pokea maua yako na pongezi sana kwa Iran

  • @user-fc1kn9jd4f
    @user-fc1kn9jd4f Před 2 měsíci +1

    ZAO LA PROFESA JUMA

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 3 měsíci +1

    Mchambuzi nakushukuru sana

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi Před měsícem

    Israel iliwambia Italipa kisasi mliona kisasi chake mliona kisasi chakutosha mpaka amtosaau mlivyo fanywa

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 Před 2 měsíci +1

    Silaha wanazopewa waarabu hazitakiwi kuzidi uwezo wa Israel

  • @surerichard1116
    @surerichard1116 Před 3 měsíci

    🙏

  • @bakarimusa6297
    @bakarimusa6297 Před 3 měsíci +3

    Duh kumbe Iran mbabe

  • @user-me3dy9zk7e
    @user-me3dy9zk7e Před 3 měsíci +2

    Labbayka Yaa Imam

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 3 měsíci

      Taqiya 😢😢

    • @abdilahmohamed6679
      @abdilahmohamed6679 Před 2 měsíci

      Hawa watu me nashangaa hata waislam kuwafurahia Iran ila hawa ni wabaya kuliko hata waisrael na niwatalaam wa propaganda nataman umgewajua kwanza hawa Shia na mipango yao then ndo tuje tuongee wameua watoto Syria,Iraq na yemen na kila wakiua wanaweka vikundi kama hizbullah,IS na hamas ili waweke ushia kama yemen na kuua SUNNI 😢

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 2 měsíci

      @@abdilahmohamed6679 kweli ni movie ya KIHINDI

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama Před 3 měsíci +1

    Tuache ushabiki sikiliza point pamoja na vikwazo Iran imejweza ki uchumi na tecnolog tujifunze halafu jitu linaleta ushabiki hongera mchambuzi

  • @amrannjiwa
    @amrannjiwa Před měsícem

    big up

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem

    Shida Tanzania siasa imetawala na uchawa tu,

  • @salimali-rf9er
    @salimali-rf9er Před 3 měsíci +1

    Sadakta maneno yako👍🏻

  • @NoelNjementi
    @NoelNjementi Před měsícem

    Naisi tokea afe mlisi wahaminey naisi ujapona vzr kk

  • @shabaniramadhan6751
    @shabaniramadhan6751 Před 2 měsíci +1

    Ume eleza hali alisi vizuri. Wale walio Kalia eti dini dini,taifa teule walewe kwamba kule ni iporaji wa rasili mali. Usipo jisalimisha kama nchi zetu za Afrika unaitwa gaidi, tishio la dunia.

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 Před 2 měsíci +2

    Jordan mfalme wake mama ni mzungu so wale ni wajomba zake

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 2 měsíci +1

      TENA UFALME ALIKIWA APEWE HAMZA SIO YEYE MAMA MZUNGU WAKAMWEKA KIBARAKA HUYO KIBARAKA.

  • @omaryyusuph3251
    @omaryyusuph3251 Před 2 měsíci

    Ushauri mzuri sana serikali ilione hilo kwa jicho la tatu

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila Před měsícem

    Israel na marekani hawaiogopi Bali wanataka watu Iran inatakiwa wawe Huru hawapo huru kwaana siyo mda mrefu tulishuhudia wanawake wakiuwa bila sababu wanaandamana lakini hawakuweza kwahiyo Mimi naona siyo nchi ambayo inaviongozi making huko mashari ya kati Kuna nchi Zina nguvu ila zimetulia sana mfano nchi yenye nguvu kama Kuwait Iran inapenda ukubwa ingali haijafikia level hiyo

  • @othmanshabani5856
    @othmanshabani5856 Před 3 měsíci +2

    Umeongea point tupu kk

  • @mehboobdosa3719
    @mehboobdosa3719 Před 2 měsíci

    Safi,na

  • @musasabuu2808
    @musasabuu2808 Před 2 měsíci

    Mwenyezi mungu ibaliki iran

  • @icclcharters3389
    @icclcharters3389 Před měsícem

    Hapa mshenzi ni mmarekani

  • @ramadhanmazije3882
    @ramadhanmazije3882 Před 2 měsíci +2

    Tatizo ukijaribu tuu kuwekeza kwenye elimu itakayoikomboa nchi west wataleta figisu na hatuziwez figisu zao kwa kuwa uchumi wetu ni tegemez

  • @athumanimvula3718
    @athumanimvula3718 Před 2 měsíci

    Irani wako vizuri sio kwenye tekrnolkgia tub, pia wamesomesha watu wao dini ilimtu hataakipata uongozi awe na hofu ya Mungu.

  • @safarichui8551
    @safarichui8551 Před 2 měsíci

    Iran ni Noma 🔥 ana makombora kyasi kwamba hao majamaa hawanaidadi au ufahamu ndo mana wamemnangania tokea 1979

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv Před 2 měsíci

    Safi sana Iran

  • @mzalendohasa
    @mzalendohasa Před 2 měsíci

    Nimekuelewa sana

  • @saidmsuya3165
    @saidmsuya3165 Před 3 měsíci +2

    Huyu jamaa ameiva kielimu