Wenye Israel yao wameporwa Israel Yao,Hawa ndio wanaoiendesha Israel kwa sasa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Ijue Israel

Komentáře • 167

  • @lucasngalawa8826
    @lucasngalawa8826 Před 2 měsíci +6

    Mimi mkristo lakini Huwa nakufatilia sana Mzee wetu na ninakupenda sana shehe stambuli ❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU azidi kukupa Afya Ili uzidi kutujaza maarifa kama haya

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před 2 měsíci +9

    Una maarifa mapana sana.Mola akupe Afya na uzima na akupe umri mrefu

  • @omariselemani6578
    @omariselemani6578 Před 2 měsíci +5

    Wana kalam media group tunasubiria nakala hizo nyingine zije haraka in sha Allah
    Peace 🙏🙏🙏 from USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p Před 2 měsíci +6

    Ufafanuzi muzuri saana sheikh wangu

  • @user-hg7cq3zz3i
    @user-hg7cq3zz3i Před 2 měsíci +3

    Mashallah babu unatupa darsa nzuri mashallah

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 2 měsíci +8

    Huy mzee huyu anaonekana hatar san kw kweli tunaomb awe namuendelez wa vipindi

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 Před 2 měsíci +1

    Sheikh upo vizuri sana shukran sana kwa taarifa

  • @jelemierrasto7183
    @jelemierrasto7183 Před 2 měsíci +5

    Mjadara huu nimeupenda sana

  • @AliAdam-bz9wx
    @AliAdam-bz9wx Před 2 měsíci +1

    Ahasante Shekh , Tukopamoja

  • @abdallahsuwed65
    @abdallahsuwed65 Před 2 měsíci +3

    Well done Brother

  • @saidmoussa909
    @saidmoussa909 Před 2 měsíci +5

    Mashallah

  • @HamisiGatuso
    @HamisiGatuso Před 2 měsíci +2

    Upo sawa unajua sana Mzee wangu

  • @AminaAbeid-mr1fo
    @AminaAbeid-mr1fo Před 2 měsíci +5

    Uislamu ndio dini ya haki Allah atujaalie mwisho ulio mwema

    • @samwelmvande2396
      @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +2

      Yesu ndiye njia, kweli na uzima. Kama utakufa ukiwa muislamu utakuwa umepotea vibaya sana

    • @abidandastanmaliyatabu1373
      @abidandastanmaliyatabu1373 Před 2 měsíci

      Nani kakuambia, Mungu hana habari na dini yako, hivi unajua nini maana ya dini? Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu lakini wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwadamu. Na hicho ndicho Mungu anataka tuwe nacho mabali na dini zetu haswaa kabla ya kuwa na dini zetu. Kabla ya dani ya kikristo ya kiislamu MUNGU anataka tuopokee wokovu wake kwanza aliouleta kupitia njia ya mwanawe Yesu kristo. Shida ya hizi dini na kuwa mwanadini ni kwamba mtu anaweza kuwa na dini yake ni mkristo au muislamu lakini ni flauni wa kutwupa, muongo hata shetani kazingiziwa, anamaneno machafu hata shetani anamuogopa, ni mfilaji , anaharibu watoto watu, mtaani akipita watu hawalali utasikia watu wakiambiana jamani mtu flani kapita hapa kuweni makini kwa kuchukua wanawake wa watu ni namba moja na mambo kama hayo na huku ajiita yeye ni mkristo au ni muislamu; madhala ya kuwa na dini moyoni mwako, dini haina msaada wowote ktk maisha ya mwanadamu; ila ukiwa na wokovu kwelikweli hayo yote hatatajwa kwako, sijui uongo kuharibu watoto wa watu kuchonganisha watu cjui ugomvi hayo yote hautayaona kwa mtu mwenye ambaye amepokea wokovu .

    • @VailethBugali-sr8gx
      @VailethBugali-sr8gx Před 2 měsíci +1

      Pole sanaaa

    • @apostlemussaonlinetv
      @apostlemussaonlinetv Před 2 měsíci +1

      Nani kakuambia haki iko kwa mtu mojamoja anayetenda haki watu wanachinja watu unasema dini yahaki

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Před 2 měsíci

      ​@@apostlemussaonlinetvNani aliechinjwa mbona wewe mpaka Leo upo hujachinjwa?

  • @barakachristopher2504
    @barakachristopher2504 Před 2 měsíci +3

    Ni ngumu sana kuelezea kwa ufasaha kama tayari msimamo wako uko upande upi.

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 Před 2 měsíci

    Utakapo toa ushahidi uingie pia kwenye unabii wa kihistoria kwa yake Mungu mwenyewe alioyasena na Ibrahimu na Musa na Yoshua ,kwa kia historia imejengwa kwa neno la Mungu.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 2 měsíci +2

    Shukran sana

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 2 měsíci +3

    Mwatuelisha wengine wallai asante jmn

  • @ahmedmakame1687
    @ahmedmakame1687 Před 2 měsíci +2

    Hawa ndo Quran inawajuwa kwa jina la Yaajuja-Maajuja wakifunguliwa wataenea ulimwengu mzima

  • @InterestingShows2023
    @InterestingShows2023 Před 2 měsíci +1

    Free Free Palestine❤❤❤❤

  • @twahirshali8014
    @twahirshali8014 Před 2 měsíci +1

    Shukran

  • @IshakaJuma-m1i
    @IshakaJuma-m1i Před měsícem

    Assalam aliekum warahmatullahi wabaraqatu tunaomba muendelezo wa video hii kama ambavyo sheikh wetu alituahidi

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 2 měsíci

    Wayahudi hawawezekani sababu wale wanalindwa na Mungu achaneni nao mtaumia

  • @user-hw3wn8ms6j
    @user-hw3wn8ms6j Před 2 měsíci +7

    Mimi ni mkristo lakini nakukubali sana ktk chambuzi zako.

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před 2 měsíci

      Utakua mjinga kama ukisikiliza utumbo WA Huyu Mzee, jaribu kumuuliza wayahudi halisi wako wapi? Anasema wayahudi halisi wapo Ethiopia je , mfalme daudi alizaliwa Ethiopia? Suleiman methipi? Yesu alipozaliwa Nazareth ni Ethiopia? Wakina petro yohana na wengine kule galilaya walipokua wanavua samaki ni Ethiopia?

  • @samwelmvande2396
    @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +3

    wayahudi wamewazidi uwezo hadi mnahisi watakuwa ni wazungu. kweli nimeamini kichwa cha mjinga ni mzigo wa tikiti maji

  • @samwelmvande2396
    @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +3

    Kila kitu kinacho endelea Israel ni mpango wa Mungu. anaye ibariki Israel amebarikiwa na anaye laani Israel amelaaniwa

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Před 2 měsíci

      Aya au maneno yako tu? Km ni andiko tuwekee kujisomea sisi sio makafiri wenzako kuamini kila kitu

    • @user-hw3wn8ms6j
      @user-hw3wn8ms6j Před 2 měsíci

      Ndio taifa lenye kushelehekea siku ya mashoga duniani. Je? Waisrael wa sasa ndiyo wale wa kwenye biblia au ndio ile mizetuni mwitu. Tuliyoambiwa kwenye biblia?. Nyongeza *# MAREKANI ametangaza kushelehekea shelehe za mashoga kwa mwezi: 1: na ndie mshilika wa Israel. Tafakari vizuri. Mimi ni mkristo pia ila naona nje ya box 📦.

    • @Pablolookman
      @Pablolookman Před 2 měsíci

      Ndio taifa linaloshekea ushoga duniani

  • @user-nd8pk7wt1r
    @user-nd8pk7wt1r Před 2 měsíci +2

    Saf sana

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 Před 2 měsíci

    Mzee kaongea kweli tupu kwenye uharibifu wa mila na tamaduni, watoto wa 2000 ningum kumuelewa, lkn wazazi tusiache kuwaeleza kweli ya khaki.

  • @HusseinAbdul-is9xq
    @HusseinAbdul-is9xq Před 2 měsíci

    Walaykum Musalam warahamutullah wabarakatuhu kwema.Jazzakallahkhery

  • @samwelmvande2396
    @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +2

    kula nguruwe ni dhambi ila uasherati na uzinzi na ulevi ni kawaida tu. Huwezi kuelewa mambo ya wayahudi wakati pepo la umalaya tu lakuoa wake kama mvua limekushinda. Pia haya mambo ya kisiasa hayasaidii kitu bila wew binafsi kuwa vizuri na muumba wako. Na muumba wa vitu vyote ni Yesu Kristo. Isaya9:6

    • @nadhifamustapha7557
      @nadhifamustapha7557 Před 2 měsíci

      Shetani ulie kosa rehema za muumba wako hujitambui ww samweli 😏

    • @omadal1
      @omadal1 Před 2 měsíci

      Pole lakini nakuliza wewe unajifahamu kweli? Sababu maoni Yako hapa hayana msingi.

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      Ivo vyote unavozungumzia vimeharamisha na uo uzinzi unao zungumzia ni dhambi ya 3 kwa ukubwa

    • @Pablolookman
      @Pablolookman Před 2 měsíci

      Tatizo la makafiri mdandia mada zisizo wahusu Bora ungefuatia darasa za wachungaji naamini IPO makafiri tutakana mapanga nynyi walokole mmezidi upuzi

  • @joycedimoso8648
    @joycedimoso8648 Před 2 měsíci +2

    Kama hawa sio wenyewe wenywewe wako wapi?

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Mmefungwa akili na mungu mpaka nnashidwa kujua wayahudi pale ndio kwao wanarudi baada ya mauaji ya wayahudi yalotikea balani ulaya nasasa wapo nchin kwao kama biblia ilivo tabil i amina

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 2 měsíci +4

    Benzion Mileikowsky (later Netanyahu) was born in Warsaw in partitioned Poland, which was under Russian control, to Sarah (Lurie) and the writer and Zionist activist Nathan Mileikowsky
    Kiufupi Netanyahu ni mtu kutoka poland

    • @NicoleMakaveli-wr6mm
      @NicoleMakaveli-wr6mm Před 2 měsíci

      Sasa kaa ni mtu kutoka polad??

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 Před 2 měsíci

      Ni myahudi aliyekuwa akiishi Poland. Wayahudi waliingia hapo 1948. Hiyo haiwaondolei ukweli kuwa wao sio wayahudi

  • @jumakhamis3545
    @jumakhamis3545 Před 2 měsíci +1

    Asalaamu alaykum warahmatu Allahi.
    Naomba katika kulizungumzia hili urejee maneno ya Allah ( ما كان إبراهيم يهوديا ولا نصرانيا ولكن كان حنيفا مسلما وما من المشركين) ninakusudia kukuuliza kusudio lako UYAHUDI ni Dini au Ni UKABILA? Naomba kabla hujanijibu urejee kwenye Aya niliashiria hapo juu kwenye Tafsiri ya Muammad Ally Swàbun iitwayo (SWAFWATU TAFAASIR) ALLAH akulipe kheiri.

    • @jumakhamis3545
      @jumakhamis3545 Před 2 měsíci

      Samahani sana katika kuandika Aya hapo juu nimewacha neno ( كان) sikuksudia kufanya hivyo ispokuwa ni mapungifu ya kibinaadam, naomba isomekeke ( وما كان المشكين

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 Před 2 měsíci +3

    Ueleze pia waarabu walichofanya Africa kabla ya wazungu kuja, hapa waislam wengi huwa wanakwepa sabab wanajua unyama uliofanywa ndugu zao waarabu kwa waafrika, au uongelee pia kinachofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi

    • @gervasexavery2977
      @gervasexavery2977 Před 2 měsíci

      Je mbona waarabu waliwatesa Sana mababu zetu mbona hamzungumzi ,wali watesa namna hii ,walikuwa wakiwafunga minyororo kwa kuwatoboa visigino vya miguu waliwa funga minyororo mizito shingoni mwao, waliwatia miti ya panda shingoni mwao, waliwatembeza uchi,waliwapiga mijeredi ya chuma, waliwauwa walipotaka ,waliwakalia migongoni kuwafanya viti.waliwatumikisha ,waliwauwa waliwatupa baharini waliwatupa kwenye mashimo waliwachoma Moto waliwabebesha mizigo mizito.waliwalawiti, waliwahasi wasizae, wanawake walipasuliwa matumbo ya wajawazito kutaka kuona watoto walivyo matumboni waliwapa sumu ,waliwafunga kwenye magereza kwa minyororo ya chuma...haya mnakwepa kuyazungumza. (NATAKA NIKWAMBIE MZEE MUNGU ANABAKI KUWA MUNGU NENOLAKE HALITANGUKI KILAKITU KINAKWENDA KIMAANDIKO ,,CHAMSINGI NIKUMTAFUTA YESU KRISTO AWEBWANA KTK MAISHA YAKO .UTAFUNGULIWA NAKUONA JICHO LAKO LIKITAZAMA KWANA MNA NYINGINE MAMBO HAYA BWANA AKUTUNZE MZEE .

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 Před 2 měsíci

      Watumwa kule marekani hawakupelekwa na waarabu. Usipindishe

    • @tegemeojosia831
      @tegemeojosia831 Před 2 měsíci +1

      Waraabu warikuwa ndo walikuwa wanakamata watu wanauzia waingereza

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Před 2 měsíci

      @@tegemeojosia831 hilo hawaliongelei kabisa, pia angalia mauaji yanayofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Před 2 měsíci

      @@maclaudismail6606 na biashara ya utumwa Africa masharik nani alikuwa anafanya

  • @mathayodaniel812
    @mathayodaniel812 Před 2 měsíci +1

    Hii elimu nilikuwa sijui daah

    • @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi
      @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi Před 2 měsíci +1

      SASA UFAHAMU KUWA HAWA NI ]wazungu[ NA ]wote[ WANA 'DUAL-CITIZENSHIP SIO WAZALIWA WA ISRAELI'; SIO 'Wana Wa Israeli'. NA KUPAMBANA NAO (]israeli bandia[) NI KUPAMBANA NA #ULAYA# NA #MAREKANI# NA #NCHI ZOTE ZA WAZUNGU#

  • @malulamuhoja1692
    @malulamuhoja1692 Před 10 dny

    Tushike la nani jaman tuamini lipi, porojo za watu au bibilia takatifu!? This is typical devil

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 2 měsíci +1

    Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci7257 Před 2 měsíci +3

    Soma Biblia. Acheni ushabiki.

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu Před 2 měsíci

      Bibilia inafundisha sitoli ya Maisha ya yesu sio mafundisho yamungu ndio mana unamuita yeyemungu ilondio tatizo kk

  • @alicekarimi6168
    @alicekarimi6168 Před 2 měsíci

    You are so good in the revolation vile you narrate story basi kuja kwa yesu aki,

    • @HeboniBabu
      @HeboniBabu Před 2 měsíci

      tatizo bibilia imetoka ukouko KK kilasiku kinabadilishwa Na kinakuja kingine Chapapa chakufungisha ushoga

  • @user-ls1ot6fs4v
    @user-ls1ot6fs4v Před 2 měsíci

    (BABU) profeser safi sana

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Naipenda islaer mpaka naipenda tena❤❤❤

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Nguluwe ailiwi bana tunakula nyama yake😂😂

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Waalabi washenzi waliwatumikisha babu zetu ila kwa waislaer awata weza watabak na chuk tu

  • @deusNjimba
    @deusNjimba Před 2 měsíci

    Mbona Huwahamuelezei kuhusiana. Yale walio yafanya wa labu balani afrika

  • @simbaman3449
    @simbaman3449 Před 2 měsíci

    MASHALLA MASHALLA NAIPENDA CHANAL YAKO RAIS WA NCHI MTAFUTIE. WADIFA KATIKA SIRIKALI PLZ MTU WA IMAN NA BUSARA SANA

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Před 2 měsíci

    Ili ujue Quran haitoshi ni lazima utafute ukweli kwenye kitabu cha kweli kinacho elezea tangu uumbaji hadi mwisho wa dunia

  • @HeboniBabu
    @HeboniBabu Před 2 měsíci

    Unakuja ushoga baba kutoka ukouko wanaleta bibilia ya ushoga sasa

  • @marysanga5310
    @marysanga5310 Před 2 měsíci +2

    wayahudi wana wa yakobo wa isilaeli wa isaka wa ibrahimu
    nyi nyi waislamu hamujui bibilia mnadogo hao wazungu sio wa isilaeli ila wanahshimu taifa la Mungu ndio maana wasema kweli
    Nakuisadia lsilaeli Mungu ibariki lsilaeli na ulilinde taifa lako isilaeli

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před 2 měsíci +1

    Mwatuelimisha

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Unajua kula mb😂😂😂😂

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Před 2 měsíci

    Vijana tunataka kuelewa nani adui wa wa Dunia anaefanya kusiwe na amani Duniani. Mzee tunasubiri maendelezo

  • @zakariaissa7574
    @zakariaissa7574 Před 2 měsíci

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon Před 2 měsíci +2

    Mzee hao ndiyo wayaudi acheni kudanganya watu

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Pooole saana umedanganywa tangu utotoni adi umezeeka 😅

  • @jumajuma3679
    @jumajuma3679 Před 22 dny

    Mfululizo wa makala hizi video ziko wapi?

  • @user-sp4xo9rm8l
    @user-sp4xo9rm8l Před 2 měsíci

    Kwani maadui wakubwa wa Waisraeli ni akinanani kama siyo Waarabu na Waislamu? haohao maadui wa Israeli ndio watuonyeshe Waisraeli wa kweli? mnataka Waisraeli wa kweli tuwachukie kisha tugeukie kuwaunga mkono Waisraeli wa bandia ili Waisraeli wa kweli wapigwe kirahisi siyo? HIYO NI DANGANYA TOTO.

  • @tegemeojosia831
    @tegemeojosia831 Před 2 měsíci +1

    Ereza nyuma ya otoman empire kulikuwa nan

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon
    @MichaelDonaldnchingaMichaelDon Před 2 měsíci +1

    Dini ya haki nikweli hata mafisadi huwa wana haki yakutafuta wanashelia ata kahaba anahaki ndiyo maana anajiuza,Ungesema ivi Uislam ni dini Ya kweli,Haki nini mnafeli bana wajukuu wa isimaili

  • @AbelsonGidion-vo1uj
    @AbelsonGidion-vo1uj Před 2 měsíci +1

    Kalime kama una kaziii

    • @abdallahsuwed65
      @abdallahsuwed65 Před 2 měsíci +3

      Uwe na Adabu

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      Na wanapo ambiwa wanaharibu wanasema wanajenga hali yakua wanafanya uharibifu ndio kama wewe kumefafanuliwa vzr bado unaleta ujinga

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 Před 2 měsíci

      Acha ikuingie yoote inauma eeh

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 měsíci

      ​@@Awateehakuna ukweli wowote hapa ni chuki .. hamtabadilisha kitu

    • @rukkyxarat
      @rukkyxarat Před 2 měsíci

      Go and educate yourself ​@annasolomon9855

  • @evodiusbahegwa6557
    @evodiusbahegwa6557 Před 2 měsíci

    Mbona we Mzee hueleweki,iwe wazungu au waarabu,wale ni wayahudi.

  • @reubenhizza
    @reubenhizza Před 2 měsíci

    Aiseeeh... Leo ndio nimeiskia KalamuTv kama bahati, nimemslia mzee usiku na sikumuelewa sbb ya usingizi. Mzee anauelewa mkubwa sn, nitamfuailia mpaka niridhuke.

  • @samwelmvande2396
    @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +3

    wanao ukubali ujinga wa huyo mzee apo watapotea kama wasipo achana na hayo maelezo ya shetani aliye vaa balaghashia

  • @user-ov6nq2wp6w
    @user-ov6nq2wp6w Před 2 měsíci

    Waloishi zaman wako wapi mbona unafumbafumba saana.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 2 měsíci +5

    Tumedanganywa saana na wazungu maana hao wanaotawala leo Israel si wale walioishi hapo kale

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 Před 2 měsíci

      Majini yanakuponza

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 měsíci +3

      Muongo wew huezi kuubadilisha uhalisia kwa kuongopa kwa chuki..

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f Před 2 měsíci +1

      Inawezekana kwasababu wale wakale walikua wanamjua mungu

    • @badruseif1318
      @badruseif1318 Před 2 měsíci

      ​@@charlesboniphace2249kama wewe unavosumbuliwa na ushoga

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      ​@@annasolomon9855wayahudi hawakua wazungu chuki unazijua weye

  • @jumajuma3679
    @jumajuma3679 Před 2 měsíci

    Wakristu wa kitanganyika muache jazba, majukwaa yasiyowahusu mnapaswa kunyamaza na kusikiliza tuu.

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 Před 2 měsíci

    Ashika nazi 😂😂😂😂 dah!

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 Před 2 měsíci +1

    Kwan ukisema hiyo salam kwa kiswahili utapungukiwa nn, , sisi sio waarabu

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před 2 měsíci

      😂😂😂

    • @samwelmvande2396
      @samwelmvande2396 Před 2 měsíci

      wanatapeli wajinga wenzao Kwa kujifanya wanaongea kiarabu. Yesu Kristo ndiye aliye waumba hawa wote wanao mpinga

    • @AlkadoNkundwe-wb3of
      @AlkadoNkundwe-wb3of Před 2 měsíci +1

      @@samwelmvande2396 myahudi akakuumba ? Jinga la kwanza hili

  • @esterjoseph670
    @esterjoseph670 Před 2 měsíci

    Uma wa muhamadi umepotea saana; na kilichofanya uma huu kupotea,ni pale walipomkubali sheteni na majini wawe sehemu ya waislamu!Mzee umedanganywa na wewe unaendeleza uongo kudanganya uma wa waislamu.

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon

    Ethopia wanaitwa wakushi

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c Před 2 měsíci

    Hatugombani na shetan una wivu na uislam mbwa ww mla nguruwe😂

    • @esterjoseph670
      @esterjoseph670 Před 2 měsíci

      Anaekula nguruwe na anaezini bora nani? Waislamu wengi ni wanzizi kwao dhambi ni kula nguruwe!

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      ​@@esterjoseph670Nyie si mnachukuana tuu mnachunguzanaa tabia na mkazalishana bila ya ndoa hujaliona ilo uislam umekataza Yote ayo muislam wa kweli hawezi zini anaweza teleza na sio kuzini ukimuona mtu anazini hajaujua uislam vzr zinaa ni dhambi ya 3 kwa ukubwa ktk uislam acha kuzua zua

  • @simionnicholaus4875
    @simionnicholaus4875 Před 2 měsíci

    Ongelea waarabu waisrael hawakuhusu wewe

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon

    😂😂😂😂😂😂😢😢😮😮😅😅Mzee muongo uyu anamix na ukweli

    • @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi
      @MOHAMMEDMOSHE-sy3qi Před 2 měsíci +1

      KAMA NI uongo, HAYA BAKI KATIKA UPOTOFU ]wako[ BAADAE UTAKUJA JUWA NA KUFAHAMU 'WAKATI IT'S TOO LATE'. SAA HII UNAONA NI MCHEZO TU!!!

  • @user-xs1cu7cl8y
    @user-xs1cu7cl8y Před 2 měsíci +1

    Mzee hapo umetuposha kasome biblia vizuri utajifunza kitu sio kuleta hadisi za kujitungia ya kidunia

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci +1

      Biblia ilojaa uongo iyo iloandikwa na wazayuni biblia maneno ya ukweli machache uongo umejaa

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 měsíci

      ​@@Awateekwendraaa unadhani hata mkitumia nguvu nyingi mtabadilisha kitu..

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 Před 2 měsíci

      ​@@Awateeiyo BIBLIA iliyojaa UONGO kama unavyodai NDIO imebeba historia AMBAYO haipo KWENYE Quran,,,HATA sule akiuelezea mgogoro hutumika BIBLIA

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      @@josephwilliam5813 ndivo unavojidanganya nafsi yako Qur'aan hakuna ilicho acha Qur'aan imekuja kuweka sawa injili ilio ondolewa na kuekwa uongo kwa akili yak unafikiri iyo biblia maneno Yote ya innjil sio kweli Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho elezea mfumo mzima wa mwanadam ata makafiri wenzio wanaitumia kwa maslah yao ya kidunia

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      ​Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho kuja kurekebisha vitabu vyote vilivo tiwa uongo ikiwemo iyo bibilia

  • @amenipasanga9865
    @amenipasanga9865 Před 2 měsíci +1

    Du uongo mtupu

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Před 2 měsíci +1

    mtume muhamadi ndio nani huyo?

    • @abdallahsuwed65
      @abdallahsuwed65 Před 2 měsíci +1

      Huwezi kujua kwa sababu unaabudu binaadamu mwezako

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw Před 2 měsíci

      ​@@abdallahsuwed65 kumbe hilo ndo jbu

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Před 2 měsíci

      @Maxpaul-oi8pw 😂😂😂

    • @samwelmvande2396
      @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +1

      Yesu ni Mungu na Muhammad aliumbwa na Yesu Kristo

  • @davidkalama5426
    @davidkalama5426 Před 2 měsíci +5

    Acha uchambuzi wa kipumbavu, soma biblia utajua ukweli, kafiri mkubwa wewe.

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci +1

      Biblia ilojaa uongo weye mwenyeo huijui iyo biblia ungelikua unajua kushatoka kwenye ukafiri biblia inasema na hap hao walio lala ktk ukiristo wamepotea sasa cha kazi gani kusoma mukiambiwa eti biblia haisomwi kama gazeti

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Před 2 měsíci +1

      Leo kafir wewe unamuita Muislam Kafir ?

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 2 měsíci +1

      ​@@ameirzapy1318kafiri ndio .. muislamu ni Kafiri .. akajambe mbele kule

    • @user-io8hn1jb4d
      @user-io8hn1jb4d Před 2 měsíci +2

      Mim mkristo ila huyu mzee anaongea ukweli , nimebatizwa palokia ya mt martin de pores Mnyamala awa Wayahudi wa sasa ni washenzi hawa sio tunaowajua sisi wakina Yuda ila ni Wayahudi wanaofuata tamaduni tu za kiyahudi ambao wanafuata imani tu
      Ila sio uhalisia, ila hata hiyo dini unayo amini, ila wayahudi baada ya kushindwa Yerusalem walaamuru kufanya vita kokote kule

    • @samwelmvande2396
      @samwelmvande2396 Před 2 měsíci +1

      Yesu ndiye njia kweli na uzima