Well said Mzee,Asante Sana, nikweli kabisa Ile sio nchi ya ahadi nimaneno tu,Wale niwaongo sana,nampaka hivi walikua kila wakati wanapanua mpaka wa nchi kwenda pembeni Zaidi kuelekea Kwa wapalestina!!!!,
Km vitabu mashuhuri Biblia na Quraan tunavyoviamini duniani vina history moja ya kabila hili la uzao wa Ibrahim basi changamoto ni dini tofauti ya kuabudu.
Isingekuwa nchi ya ahadi wasingeitaka ile, jangwa tupu lile wangekuja Africa wajichukulie kiulaini tu. Halafu jiulize asili ya Wayahudi ni wapi sasa? Halafu Musa alivyowatoa Misri aliwapeleka wapi?
Hii ndio tofauti kati ya mkiristo wa Africa na waulaya ,ulaya wanajua KWAMBA mayahudi ndio watesi wa yesu na afrika wanajua mayahudi ni watakatifu,Mimi namshukuru allah Kwa kuniongoza kupitia mafunzo sahihi ya dini ya kiislamu yenye kumtambua yesu kama nabii MUHIMU sana KATIKA maisha yangu
@@josepheriah5977Acha ulofa ingia You tube andika lisu awatolea uvivu Israel na marekani ina 1:40 Kisha utanipa mrejesho nakufungua akili. Maana lisu no mwanasheria pia kasoma mataifa ya magharibi kwa maana Masters kachukua Uingereza Ila sikia majibu yake Kisha tafakari kwa mwenye akili ondoa umbumbumbu.
Nawaona Vijana wa Kigalatia wanavyopiga Kelele humu kama mbwa niwaambie tu kuwa Nyie hamna Udugu wowote na Waisrael wala wale mayahud hawawatambui Nyie Kabisa.Wao Mtume wao ni Musa na kitabu chao ni Taurati.
Mbona kama wewe ndo unataka waongelee unachokitaka??? Halafu hata kama wataongelea vitu sitaafikiana navyo sitafikia hatua ya kutukana,sikulelewa hivyo. Pinga hoja kwa hoja,usipinge hoja kwa matusi.Itatuonyesha akili yako ni fupi kiasi gani.Asante.
Acha chuki dini tumeletewa tu. Toka uislam uanzishwe kumekuwa na Aya nyingi za kuwalaani wayahudi na kutoa maagizo ya kuwaua na kuwaita majina mabaya. Kipindi Cha mtume wayahudi walipata Kila aina ya madhara na wengine kuchinjwa kwa madai ya kutaka kumuua mtume.Tuwaachie mapambano yao
Mngemwamini Mungu msingehangaika, imeandikwa ktk biblia neno la Mungu, kuwa waislaeli wataondoka israeli, baadaya miaka mingi wangerudi tena israeli, ndicho kilichotokea, mnacho jadili ni namna njia iliyotumika kutekelezwa agizo la Mungu, mfano Mungu alisema, hakika mtakufa, hili lazima litokee kwanjia yoyote, iwe maradhi, ajali, njaa, vyovyote, niutekelezwaji wa matakwa ya Mungu.
Kwann waislam wengi wana maneno mengi saana juu juu ya Israeli, Palestine, Marekani, na kujitia kujuajua sana juu ya migogoro ya kidunia wakati daima hawana mipango ya kujielimisha juu ya elimu na maisha ya duniani??
Shida ni kwamba kila mmoja anapotosha kwa maslahi ya dini yake, lakini rejea historia hasa pale General Titus baada ya kuzima maasi ya wayahudi na wengine kukimbilia nchi za mbali, Warumi waliofanya mambo makubwa mawili la kwanza kubomoa hekalu la Yerusalem ambalo ilikuwa ni ishara ya uwepo kwa taifa la Israel ambalo ilikuwa katika eneo ambalo Warumi waliwahi kuliita JUDEA, jambo la pili kubadilisha eneo kuwa PALESTINE, ili kupoteza ule utambulisho, lakini Umar Ibn Khatab akapigilia msumari wa Mwisho baada ya kuitwaa Yerusalem. Hapa Mimi naona kwa kuwa waisrael amerejea baada ya muda mrefu, wajitahidi kuweka mpango wa kukaa pamoja au Palestina iwe na mamlaka yake na Israel iwe na mamlaka yake.
Takwimu za artificial hizi kwamb marekani yuk juu kiuchumu lakini in reality China ndio namb moja kiuchumu saiv ila nchi na vyombo vy habar za magharibi hazitoi takwimu za kweli
Watu kama wewe mnatakiwa muombewe dua sana sana ya kutanabahishwa mnaifurahia maovu yakiwafika wenzene what goes around comes around iko siku yatawafika mlio vilio vya mbwa midomo juu chunga sana upuuzi wenu wa kikatili huo kumbumuka adhabu ya muuwaji na mshangiriaji ni sawa sawa
Ulivo mjinga unaona naww ume coment😊. Ok kawagawa wamegawanyika ebu tuambie Nani anawagawa wa africa wenzetu Congo nakuwauwa kwa umati? Unayajua mauwaji ya kimbari dhidi yakabila la himba Namibia ? Rwanda? Ethiophia? Unakijua kinacokaribia kutokea cameroune? VP South Sudan baada yawajinga kama ww kusherehekea Uhuru wa south soudan nini kinacoendelea? Aceni upumbavu sio lazima muwe watumwa wawazungu mungu anamkubali yeyote yule muhim roho safi
Majua wabongo akili na ufahamu hatuna hatujaji nchi yetu bali tunajaji yawengine tunaendeswe kama kuku tuangalie kwanza taifa letu sio tunajaji ya inchi za wenzetu tubadilike wabongo
Hakuna popote ilipoandikwa kama kuna nchi inayoitwa Izraeil au itakuja kuwa Izraeil! Izraeil ni jina la Nabii Yakoob nae ndie aliyezaa watoto kumi na wawili kupitia wake zake wawili (2) mmoja alimzaalia watoto kumi (10) na mwengine watoto wawili(2) Hawa ndio Wana wa Izraeil!na ndiyo waliozaa MAKABILA kumi na Mawili kutoka Kwa hao watoto kumi na wawili Kati ya hao wawili ni Nabii Yusouf na mdogo wake Bin Amin au (Benjamin)
Huyu Profesa muongo sana. Anatumia ukweli mmoja kupotosha mengine. Taarifa zake zimejikita miakq 70 iliyopita. Atuambie hao Wayahudi waliotapakaa dunia nzima walitoka wapi, na nini kiliwakimbiza huko walipotoka. Atuelwzee Otto Man empire iliichukuaje Israe. Sijajua ana nia gani.
ISRAIL Ina satilait na enterligencia ya kutosha unahisi hawakufaham kilichotaka kutokezea na kukizuzia kwani hamus yenyewe ilianzishwa na nani na kusapotiwa kiuchumi km sio Israel kwa lengo la kuleta vuguvugu la kisiasa na kupata sababu ya malengo yake kutimia ata ISIS yenyewe ilianzishwa na Muisraili na marekani Ili kuiaminisha Dunia kuwa uislaam ndio Ugaidi Ili kuleta chuki na waweze kutimiza lengo lao la new world orders nchi za kiislam ndio kikwazo Chao kutokana misimamo ya Imani Yao nje ya nchi na jamii za kiislam tayari Dunia mngekwisha pokea Sheria zao za Kimagharibi ushoga na mengine endeleeni kuamini ivoivo kuwa ISRAIL ni taifa la Teule na kulishwa matango pori msipofaham watakunya kuelewa wajukuu wenu picha litakavyokamilika
Kwa hakika Prof. umefanya uchambuzi yakinifu, nami nimejifunza mengi. Lakini kuna jambo hili kuwa Israel ni nchi ya ahadi kwa wayahudi, jambo hilo ni la kiunabii, unabii huo umetia kwa exactly. Soma Ezekiel 36 yote, lakini haswa mistari ya 19-24, 28-30, 33-36. Unabii huo ni wa miaka takriban 2700, yaani kama miaka 700 kabla ya Yesu, na umekuja kutimia mwaka 1948 Israel waliporudi, baada yakukataa kupewa nchi yoyote nyingine, wakataka nchi yao wenyewe kama walivyoahidiwa na Mungu ktk hiyo Ezekiel 36:24. Someni Bible muone mambo haya.
Napenda nikiri baada ya kusikia uchambuzi huu, niseme nimepanda ngazi ya ufahamu jinsi gani maslahi yanavyotangulizwa kuliko ubinadamu. Siasa za dunia ni unafiki na ukandamizwaji wa kisayansi na ghilba tupu. Hakuna ukweli ni ulaghai tu. Shukran Prof.
Biblia imeandikwa hivo na wazungu ili iendane na kile wazungu wanataka. Wazungu wamekuwa wakibadilisha mistari ya biblia ili iendelee na kile wao wanataka
Tunataka watu wanaokuja na facts kama huyu profesa. Sio kuja kulialia bila uhakika❤
Prof, umeelezea vizuri sana na kwa ufasaha.
Mungu akulinde akupe afya
PROFESSOR HAMZA NJOZI ALLAH SUBHANA WATAALA AKUBARIKI.
Aminarabil aalamina.
Huyu Mze Allah amzidishiye umri mrefu.
Wao wanapanga Allah nae anapanga
Mungu akuzishie my aka mingisana mzee wetu
MashaAllah! Allah amzidishie ilm na ufaham
Nmepata kitu tofautisan sheeh asante sana izisiri wanafichasana
Nani anaficha,mwambie shehe aeleze uislam ulivyo sambaa duniani
Well said Mzee,Asante Sana, nikweli kabisa Ile sio nchi ya ahadi nimaneno tu,Wale niwaongo sana,nampaka hivi walikua kila wakati wanapanua mpaka wa nchi kwenda pembeni Zaidi kuelekea Kwa wapalestina!!!!,
Km vitabu mashuhuri Biblia na Quraan tunavyoviamini duniani vina history moja ya kabila hili la uzao wa Ibrahim basi changamoto ni dini tofauti ya kuabudu.
Isingekuwa nchi ya ahadi wasingeitaka ile, jangwa tupu lile wangekuja Africa wajichukulie kiulaini tu.
Halafu jiulize asili ya Wayahudi ni wapi sasa? Halafu Musa alivyowatoa Misri aliwapeleka wapi?
Soma qurani yako 17 : 104 tuone km Quran nayo ni uwongo😅
Hii ndio tofauti kati ya mkiristo wa Africa na waulaya ,ulaya wanajua KWAMBA mayahudi ndio watesi wa yesu na afrika wanajua mayahudi ni watakatifu,Mimi namshukuru allah Kwa kuniongoza kupitia mafunzo sahihi ya dini ya kiislamu yenye kumtambua yesu kama nabii MUHIMU sana KATIKA maisha yangu
This analysis is excellent; well researched, argued and presented. This is superior to the old introductory course PS 202 at UD!
Us strong
Marekan babalao
14:12
@@josepheriah5977Acha ulofa ingia You tube andika lisu awatolea uvivu Israel na marekani ina 1:40 Kisha utanipa mrejesho nakufungua akili. Maana lisu no mwanasheria pia kasoma mataifa ya magharibi kwa maana Masters kachukua Uingereza Ila sikia majibu yake Kisha tafakari kwa mwenye akili ondoa umbumbumbu.
Shekhe uko vizur kisiasa❤
Kabsaa Allah amhifadhi
Nawaona Vijana wa Kigalatia wanavyopiga Kelele humu kama mbwa niwaambie tu kuwa Nyie hamna Udugu wowote na Waisrael wala wale mayahud hawawatambui Nyie Kabisa.Wao Mtume wao ni Musa na kitabu chao ni Taurati.
Huyu mzee anatakiwa alindwe na awekwe kwenyekitengo cha intelenjisia ya tanzania katika kutoa maamuzi ya kimataifa
Mashalah
Mashaallah Elmu Bahar hapa! ❤❤
Very Professionally
asante
Point sana
Nzuri SANA prof udadavuaji mzuri
Uyahudi ni dini ya waumini walioteseka sana duniani, hivyo isichanganywe na uisrael ambayo ni jamii ya wana wa nabii yacub
Napenda sana hizi documentaries.Kuna mengi naanza kuyafahamu.
Unapenda kwasababu wanaongelea unachokitaka ila wakisema kinyume na ukipendacho utakuja na matusi hapa
Mbona kama wewe ndo unataka waongelee unachokitaka??? Halafu hata kama wataongelea vitu sitaafikiana navyo sitafikia hatua ya kutukana,sikulelewa hivyo.
Pinga hoja kwa hoja,usipinge hoja kwa matusi.Itatuonyesha akili yako ni fupi kiasi gani.Asante.
Vizuri SANA prof itafsiriwe kwa kingereza 25:31
Jembe huyo my tutor
Kalamu mashaallah mnajitahd san Allah awe nanyi
Ahsante,aamin
Alafu tunakalia maandiko watu wanafanya yao waafrika pumbavu sana
Asant sana kwakutupa elimu
Kichwa imetulia mzee
Mzee anajua
Ni kweli hamna vita pale gaza ni mauaji tu ya raia
Ukitaka kumuamisha mtu mtafutie sehemu, ngorongoro wametafutiwa sehemu
Zanzibar wapo sehemu Gani
Sub'hanallah!
Ameanza kueleza kuwa wayahudi walitapaa dunia nzima kutoka wapi? Nchi yao hasa ilikuwa wapi?
Why so
Walumuua Yesu wakiwa katika nchi gani?
👊✌👍.
Sheikh alisahau iraqi itagawanywa mara 3 qurdish,sunni,shia mashaallah yupo vzr
Ndiyo maana wanasema,elimu haina mwisho
Prof naomba kujua asili ya Wayahudi ni wapi kabla hawajasambaa kwenye mataifa mengine??
At least i get the lights
Swali ninalojiuliza kwani Israel asili ya taifa lao ni wapii maana tunaambiwa walitapakaa duniani
Mzee lakini salomon alikuwa king wa israel ao wa wa palestina??
Mashallah hao nchi 3 ni Kurdish
Hio hoteli ya wayahudi Zanzibar inaitwaje?
Acha chuki dini tumeletewa tu.
Toka uislam uanzishwe kumekuwa na Aya nyingi za kuwalaani wayahudi na kutoa maagizo ya kuwaua na kuwaita majina mabaya.
Kipindi Cha mtume wayahudi walipata Kila aina ya madhara na wengine kuchinjwa kwa madai ya kutaka kumuua mtume.Tuwaachie mapambano yao
Vita ni biashara nzuri saana kwa baadhi😢
Marekani hawatafaulu abadani. Watashindwa mapema mno. Rusia na china wasitupane na korea kaskazini
Duh
Mngemwamini Mungu msingehangaika, imeandikwa ktk biblia neno la Mungu, kuwa waislaeli wataondoka israeli, baadaya miaka mingi wangerudi tena israeli, ndicho kilichotokea, mnacho jadili ni namna njia iliyotumika kutekelezwa agizo la Mungu, mfano Mungu alisema, hakika mtakufa, hili lazima litokee kwanjia yoyote, iwe maradhi, ajali, njaa, vyovyote, niutekelezwaji wa matakwa ya Mungu.
Aiseee haya madini ni hatari
Low intensity conflict ni kutoĵumusha utu wa binadamu umepungua. Vita ni biashara ya siraha ya wa amerikani. Hawana dini
Hawa mayahudi ni babaric monstrous killer
Na wale wa ua kila asiyeamini Je
Kwann waislam wengi wana maneno mengi saana juu juu ya Israeli, Palestine, Marekani, na kujitia kujuajua sana juu ya migogoro ya kidunia wakati daima hawana mipango ya kujielimisha juu ya elimu na maisha ya duniani??
Heri wawatafutie sehemu kuliko kuwauwa watu
Ebu twambie wayahudi kama David, Suleiman na Yesu kwao ilikuwa wapi na wapalestina waliingiaje pale
Shida ni kwamba kila mmoja anapotosha kwa maslahi ya dini yake, lakini rejea historia hasa pale General Titus baada ya kuzima maasi ya wayahudi na wengine kukimbilia nchi za mbali, Warumi waliofanya mambo makubwa mawili la kwanza kubomoa hekalu la Yerusalem ambalo ilikuwa ni ishara ya uwepo kwa taifa la Israel ambalo ilikuwa katika eneo ambalo Warumi waliwahi kuliita JUDEA, jambo la pili kubadilisha eneo kuwa PALESTINE, ili kupoteza ule utambulisho, lakini Umar Ibn Khatab akapigilia msumari wa Mwisho baada ya kuitwaa Yerusalem. Hapa Mimi naona kwa kuwa waisrael amerejea baada ya muda mrefu, wajitahidi kuweka mpango wa kukaa pamoja au Palestina iwe na mamlaka yake na Israel iwe na mamlaka yake.
Yahudi ni gaidi hakuna gaidi duniani wa kabila ingine
Asa nte sana kwa historian kubwa,maana tunadanganywa tuu na madhehebu
Waingereza ndiyo waliowaingiza hapo Israel kama wakimbizi na vitambulisho vyao mayahud viliandikwa ni wakimbizi picha tunazo
Waje waigawe na tz wizi mwingi
Solomon Ni mparestina kasome
Hivi Israel Kwao ni wapi
Imagine masheikhe wetu wa "social media" wangekuwa na ufahamu huu wa kisiasa kwa kiasi waislamu wengi hawangehadaika na democracy na uovu wake!
Sana
Daula ya kiislam sio hujuma ya wamarekani...Bali ni waislamu wa ukweli wanaopigania kuurudusha doll ya kiislam kama alivyotabiri Rasuurullah
SHIHA, SUNNI, NA kurdish
Acha kuchanganya uchokozi wa hamas na udini
Dah kumbe bongo vichwa vipo
Kwani Hamas walivyoingia Israel walifanya sherehe au?
Prof hata mm naungana na wewe
Wamelaaniwa hao mayahud mazayun
Nakışa hongera ya kujielimisha kwa hili.
Okay
Takwimu za artificial hizi kwamb marekani yuk juu kiuchumu lakini in reality China ndio namb moja kiuchumu saiv ila nchi na vyombo vy habar za magharibi hazitoi takwimu za kweli
Wazanzibar watabakiaunafik munaunga mkono izraili raisi wenu hata pole hakuwapa palesteina Kazi siyasa znz
MAREKANI, UINGEREZA NA WAZAYUNI WOTE WANAPANGA MIPANGO YAO....LAKINI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ANAWAAIBISHA!
Tatizo mnageuza ni vita vya kidini kumbe ni ardhi
Wangepima DNA wangeshanga kwa ujinga wanaoendelea nao😊
Naomba mnisaidie HAMAS wamemua Mtanzania Mweusi kwa makusudi .....hivi naye kosa lake nini?
Hawezi kukujibu hata ukimuuliza Hamas na Israel nani kaanzisha vita
Km America anaweza kuwagawa na mkagawanyika ni vizuri sana !
Watu kama wewe mnatakiwa muombewe dua sana sana ya kutanabahishwa mnaifurahia maovu yakiwafika wenzene what goes around comes around iko siku yatawafika mlio vilio vya mbwa midomo juu chunga sana upuuzi wenu wa kikatili huo kumbumuka adhabu ya muuwaji na mshangiriaji ni sawa sawa
Nyie wenyewe mmegawanywa huko Africa kwenu mnauwana wenyewe kwa wenyewe mkiporwa madini yenu pumbavu kubwa wewe
Usisahau na sisi tumegawanya bado kupoteana njia tu.
Ulivo mjinga unaona naww ume coment😊. Ok kawagawa wamegawanyika ebu tuambie Nani anawagawa wa africa wenzetu Congo nakuwauwa kwa umati?
Unayajua mauwaji ya kimbari dhidi yakabila la himba Namibia ?
Rwanda? Ethiophia?
Unakijua kinacokaribia kutokea cameroune?
VP South Sudan baada yawajinga kama ww kusherehekea Uhuru wa south soudan nini kinacoendelea?
Aceni upumbavu sio lazima muwe watumwa wawazungu mungu anamkubali yeyote yule muhim roho safi
@@w4058 kwa hiyo amerika ana kosa gani km sio wenye makosa waarabu na waafrika !
.unafikiri wakati lbrahim anatoka kurdi anaambiwa aende nchi aliyooaidiwa ilikuwa aina watu?
Warikubari kwakuwa nikwao mliwafukuza nyunyi
Nan aliwafukuza?
Je Israel kwao ni wapi Hasa
Wayahudi Sio wazungu kama mnavyo tuaminiaha, Hao Ni wayahudi Wa mchango
Skukran mze wetu kwa ufafanuzi wako.hao raia wanao patikana katika nchi nne ambazo ni uturuki, irani, irake na siriya.niwa kurde.
Duuuu weeee unamfundisha professor ???
Rusia akili mingi
Us mbabe
Huo u professor umepewa au umejivika
U Professor hupewi Wala hujipi; unakuja automatically kutokana na knowledge unayo zalisha
Ni nchi ya ahadi hilo halina ubishi😅😅😅
WAFANYE LAKINI NA WAO WATALIPWA TU.
Majua wabongo akili na ufahamu hatuna hatujaji nchi yetu bali tunajaji yawengine tunaendeswe kama kuku tuangalie kwanza taifa letu sio tunajaji ya inchi za wenzetu tubadilike wabongo
Unaongea vizuri professor ila nadhani kuna mambo unayakosa kuhusu mashariki ya kati na geo politics.....
Hakuna popote ilipoandikwa kama kuna nchi inayoitwa Izraeil au itakuja kuwa Izraeil! Izraeil ni jina la Nabii Yakoob nae ndie aliyezaa watoto kumi na wawili kupitia wake zake wawili (2) mmoja alimzaalia watoto kumi (10) na mwengine watoto wawili(2) Hawa ndio Wana wa Izraeil!na ndiyo waliozaa MAKABILA kumi na Mawili kutoka Kwa hao watoto kumi na wawili Kati ya hao wawili ni Nabii Yusouf na mdogo wake Bin Amin au (Benjamin)
Kabla ya kutawanyika kwa mataifa mengine Wayahudi walitokea Wapi?
Muulize hitler
Ngara
Butiama😝🤣
Baba Wa Uyahudi Alizaliwa Wapi?
Israel ni taifa la michongo michongo🤣🤣 kifup hawana akili
Wakurdi
Mahandaki ya hamas yanini. Si nimagaidi.
Hamas ndo magaidi,je hao waisraeli..?ubongo wa ndege ww.
Osama alienda kujifunza america kupigania uhuru wa taifa gani ? nimekunukuu hapo mwl.
Waislamu tuna akili mingi sana hapa duniani na akhera allah atutunze
😂😂😂...acha ufala. Binadamu wote ni sawa na wana akili
Mnalishwa ujinga sana na hadithi zenu.Ufala heti mna akili nyingi 😂😂
Akili za kula kitimoto au?
Akili za kutengeneza tende nchi gani ya kiislamu Ina technologia
@@ramadhanchenga4606mungu amesha panga. Waarabu hela,,wazungu wafanyakazi,,,waafrika mziki,,pombe,,wizi.
Lakini wewe ungeeleza Wayahudi kwao hasa ni wapi kama unadhani Palestine sio kwao???
Huyu Profesa muongo sana. Anatumia ukweli mmoja kupotosha mengine. Taarifa zake zimejikita miakq 70 iliyopita. Atuambie hao Wayahudi waliotapakaa dunia nzima walitoka wapi, na nini kiliwakimbiza huko walipotoka. Atuelwzee Otto Man empire iliichukuaje Israe. Sijajua ana nia gani.
Sasa kwanini hamas wakaanzisha hiyo vita tarehe 7.10.2023?
ISRAIL Ina satilait na enterligencia ya kutosha unahisi hawakufaham kilichotaka kutokezea na kukizuzia kwani hamus yenyewe ilianzishwa na nani na kusapotiwa kiuchumi km sio Israel kwa lengo la kuleta vuguvugu la kisiasa na kupata sababu ya malengo yake kutimia ata ISIS yenyewe ilianzishwa na Muisraili na marekani Ili kuiaminisha Dunia kuwa uislaam ndio Ugaidi Ili kuleta chuki na waweze kutimiza lengo lao la new world orders nchi za kiislam ndio kikwazo Chao kutokana misimamo ya Imani Yao nje ya nchi na jamii za kiislam tayari Dunia mngekwisha pokea Sheria zao za Kimagharibi ushoga na mengine endeleeni kuamini ivoivo kuwa ISRAIL ni taifa la Teule na kulishwa matango pori msipofaham watakunya kuelewa wajukuu wenu picha litakavyokamilika
Kwa hakika Prof. umefanya uchambuzi yakinifu, nami nimejifunza mengi. Lakini kuna jambo hili kuwa Israel ni nchi ya ahadi kwa wayahudi, jambo hilo ni la kiunabii, unabii huo umetia kwa exactly. Soma Ezekiel 36 yote, lakini haswa mistari ya 19-24, 28-30, 33-36. Unabii huo ni wa miaka takriban 2700, yaani kama miaka 700 kabla ya Yesu, na umekuja kutimia mwaka 1948 Israel waliporudi, baada yakukataa kupewa nchi yoyote nyingine, wakataka nchi yao wenyewe kama walivyoahidiwa na Mungu ktk hiyo Ezekiel 36:24. Someni Bible muone mambo haya.
Napenda nikiri baada ya kusikia uchambuzi huu, niseme nimepanda ngazi ya ufahamu jinsi gani maslahi yanavyotangulizwa kuliko ubinadamu. Siasa za dunia ni unafiki na ukandamizwaji wa kisayansi na ghilba tupu. Hakuna ukweli ni ulaghai tu.
Shukran Prof.
1948 MAJAMBAZI WA KISIONISTE( KHAZARS, ASHKINAZIS)
Professor muongo sana anaongelea upande wa dini yake ya suruali fupi na kuficha baada ya mambo muhimu
@@djalasalehgaidi mwenye suruali fupi mjukuu wa Mudi katika ubora wako
Biblia imeandikwa hivo na wazungu ili iendane na kile wazungu wanataka. Wazungu wamekuwa wakibadilisha mistari ya biblia ili iendelee na kile wao wanataka