Hamas ni Gelesha,Haya ndio yanayomfanya Israel Afanye Mauaji ya Halaiki - Prof Hamza Njozi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 11. 2023
  • Siri nzito nyuma ya vita na uchafu mwingi unao endelea Duniani,Ifahamu Marekani zaidi ya uijuavyo,

Komentáře • 298

  • @dominicksurusi4628
    @dominicksurusi4628 Před 7 měsíci +13

    Tunataka watu wanaokuja na facts kama huyu profesa. Sio kuja kulialia bila uhakika❤

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 Před 7 měsíci +6

    Prof, umeelezea vizuri sana na kwa ufasaha.

  • @husseinmbaya4855
    @husseinmbaya4855 Před měsícem +1

    Mungu akulinde akupe afya

  • @harounalubbaid8585
    @harounalubbaid8585 Před 7 měsíci +3

    PROFESSOR HAMZA NJOZI ALLAH SUBHANA WATAALA AKUBARIKI.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 7 měsíci +2

    Huyu Mze Allah amzidishiye umri mrefu.

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Před 7 měsíci +6

    Wao wanapanga Allah nae anapanga

  • @joshuasamson3023
    @joshuasamson3023 Před 7 měsíci +3

    Mungu akuzishie my aka mingisana mzee wetu

  • @theloyaltz1659
    @theloyaltz1659 Před 7 měsíci +3

    MashaAllah! Allah amzidishie ilm na ufaham

  • @joshuasamson3023
    @joshuasamson3023 Před 7 měsíci +4

    Nmepata kitu tofautisan sheeh asante sana izisiri wanafichasana

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 23 dny

      Nani anaficha,mwambie shehe aeleze uislam ulivyo sambaa duniani

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 Před 7 měsíci +3

    Well said Mzee,Asante Sana, nikweli kabisa Ile sio nchi ya ahadi nimaneno tu,Wale niwaongo sana,nampaka hivi walikua kila wakati wanapanua mpaka wa nchi kwenda pembeni Zaidi kuelekea Kwa wapalestina!!!!,

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 Před 6 měsíci

      Km vitabu mashuhuri Biblia na Quraan tunavyoviamini duniani vina history moja ya kabila hili la uzao wa Ibrahim basi changamoto ni dini tofauti ya kuabudu.

    • @ellymaz2187
      @ellymaz2187 Před 6 měsíci

      Isingekuwa nchi ya ahadi wasingeitaka ile, jangwa tupu lile wangekuja Africa wajichukulie kiulaini tu.
      Halafu jiulize asili ya Wayahudi ni wapi sasa? Halafu Musa alivyowatoa Misri aliwapeleka wapi?

    • @sharomdguda
      @sharomdguda Před 6 měsíci

      Soma qurani yako 17 : 104 tuone km Quran nayo ni uwongo😅

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 6 měsíci

    Hii ndio tofauti kati ya mkiristo wa Africa na waulaya ,ulaya wanajua KWAMBA mayahudi ndio watesi wa yesu na afrika wanajua mayahudi ni watakatifu,Mimi namshukuru allah Kwa kuniongoza kupitia mafunzo sahihi ya dini ya kiislamu yenye kumtambua yesu kama nabii MUHIMU sana KATIKA maisha yangu

  • @willykomba7048
    @willykomba7048 Před 7 měsíci +15

    This analysis is excellent; well researched, argued and presented. This is superior to the old introductory course PS 202 at UD!

    • @josepheriah5977
      @josepheriah5977 Před 6 měsíci

      Us strong

    • @josepheriah5977
      @josepheriah5977 Před 6 měsíci

      Marekan babalao

    • @maqwaybaran9905
      @maqwaybaran9905 Před 6 měsíci

      14:12

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk Před 6 měsíci

      ​@@josepheriah5977Acha ulofa ingia You tube andika lisu awatolea uvivu Israel na marekani ina 1:40 Kisha utanipa mrejesho nakufungua akili. Maana lisu no mwanasheria pia kasoma mataifa ya magharibi kwa maana Masters kachukua Uingereza Ila sikia majibu yake Kisha tafakari kwa mwenye akili ondoa umbumbumbu.

  • @maryamm3738
    @maryamm3738 Před 7 měsíci +3

    Shekhe uko vizur kisiasa❤

  • @makambatimbertraderscompan311
    @makambatimbertraderscompan311 Před 2 měsíci +2

    Nawaona Vijana wa Kigalatia wanavyopiga Kelele humu kama mbwa niwaambie tu kuwa Nyie hamna Udugu wowote na Waisrael wala wale mayahud hawawatambui Nyie Kabisa.Wao Mtume wao ni Musa na kitabu chao ni Taurati.

  • @agreykombe5396
    @agreykombe5396 Před 7 měsíci +3

    Huyu mzee anatakiwa alindwe na awekwe kwenyekitengo cha intelenjisia ya tanzania katika kutoa maamuzi ya kimataifa

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Před 7 měsíci +1

    Mashalah

  • @user-dk8lm3tf1j
    @user-dk8lm3tf1j Před 7 měsíci +1

    Mashaallah Elmu Bahar hapa! ❤❤

  • @ramygichero1016
    @ramygichero1016 Před 7 měsíci

    Very Professionally

  • @jamalissa3877
    @jamalissa3877 Před 7 měsíci +1

    asante

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 Před 7 měsíci

    Point sana

  • @user-bs2ix5wf2k
    @user-bs2ix5wf2k Před 6 měsíci

    Nzuri SANA prof udadavuaji mzuri

  • @Kulindwa
    @Kulindwa Před 7 měsíci +3

    Uyahudi ni dini ya waumini walioteseka sana duniani, hivyo isichanganywe na uisrael ambayo ni jamii ya wana wa nabii yacub

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 7 měsíci +2

    Napenda sana hizi documentaries.Kuna mengi naanza kuyafahamu.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 7 měsíci

      Unapenda kwasababu wanaongelea unachokitaka ila wakisema kinyume na ukipendacho utakuja na matusi hapa

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 Před 7 měsíci

      Mbona kama wewe ndo unataka waongelee unachokitaka??? Halafu hata kama wataongelea vitu sitaafikiana navyo sitafikia hatua ya kutukana,sikulelewa hivyo.
      Pinga hoja kwa hoja,usipinge hoja kwa matusi.Itatuonyesha akili yako ni fupi kiasi gani.Asante.

  • @user-bs2ix5wf2k
    @user-bs2ix5wf2k Před 6 měsíci

    Vizuri SANA prof itafsiriwe kwa kingereza 25:31

  • @mussaomary6626
    @mussaomary6626 Před 7 měsíci +1

    Jembe huyo my tutor

  • @jumahozza-dg6ec
    @jumahozza-dg6ec Před 7 měsíci +4

    Kalamu mashaallah mnajitahd san Allah awe nanyi

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +4

    Alafu tunakalia maandiko watu wanafanya yao waafrika pumbavu sana

  • @issakhamis9581
    @issakhamis9581 Před 7 měsíci +1

    Asant sana kwakutupa elimu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +2

    Kichwa imetulia mzee

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před 7 měsíci

    Mzee anajua

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +2

    Ni kweli hamna vita pale gaza ni mauaji tu ya raia

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya Před 29 dny +1

    Ukitaka kumuamisha mtu mtafutie sehemu, ngorongoro wametafutiwa sehemu

  • @Brother4others
    @Brother4others Před 7 měsíci

    Zanzibar wapo sehemu Gani

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 Před 7 měsíci +1

    Sub'hanallah!

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 Před 5 měsíci +1

    Ameanza kueleza kuwa wayahudi walitapaa dunia nzima kutoka wapi? Nchi yao hasa ilikuwa wapi?

  • @allykisuda1458
    @allykisuda1458 Před 7 měsíci

    Why so

  • @godfreydavid6847
    @godfreydavid6847 Před 7 měsíci +2

    Walumuua Yesu wakiwa katika nchi gani?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 6 měsíci

    👊✌👍.

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb Před 7 měsíci

    Sheikh alisahau iraqi itagawanywa mara 3 qurdish,sunni,shia mashaallah yupo vzr

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 Před 6 měsíci

    Prof naomba kujua asili ya Wayahudi ni wapi kabla hawajasambaa kwenye mataifa mengine??

  • @halfanijuma7646
    @halfanijuma7646 Před 6 měsíci

    At least i get the lights

  • @Kwelihukuwekahuru
    @Kwelihukuwekahuru Před 6 měsíci +1

    Swali ninalojiuliza kwani Israel asili ya taifa lao ni wapii maana tunaambiwa walitapakaa duniani

  • @alikamberis
    @alikamberis Před 6 měsíci +1

    Mzee lakini salomon alikuwa king wa israel ao wa wa palestina??

  • @libaal1071
    @libaal1071 Před 7 měsíci

    Mashallah hao nchi 3 ni Kurdish

  • @hajikhamis6608
    @hajikhamis6608 Před 7 měsíci

    Hio hoteli ya wayahudi Zanzibar inaitwaje?

    • @simonnembomadola7512
      @simonnembomadola7512 Před 7 měsíci +1

      Acha chuki dini tumeletewa tu.
      Toka uislam uanzishwe kumekuwa na Aya nyingi za kuwalaani wayahudi na kutoa maagizo ya kuwaua na kuwaita majina mabaya.
      Kipindi Cha mtume wayahudi walipata Kila aina ya madhara na wengine kuchinjwa kwa madai ya kutaka kumuua mtume.Tuwaachie mapambano yao

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 6 měsíci

    Vita ni biashara nzuri saana kwa baadhi😢

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +1

    Marekani hawatafaulu abadani. Watashindwa mapema mno. Rusia na china wasitupane na korea kaskazini

  • @user-lb1nb2ls9g
    @user-lb1nb2ls9g Před 6 měsíci

    Mngemwamini Mungu msingehangaika, imeandikwa ktk biblia neno la Mungu, kuwa waislaeli wataondoka israeli, baadaya miaka mingi wangerudi tena israeli, ndicho kilichotokea, mnacho jadili ni namna njia iliyotumika kutekelezwa agizo la Mungu, mfano Mungu alisema, hakika mtakufa, hili lazima litokee kwanjia yoyote, iwe maradhi, ajali, njaa, vyovyote, niutekelezwaji wa matakwa ya Mungu.

  • @franklyn7439
    @franklyn7439 Před 7 měsíci +3

    Aiseee haya madini ni hatari

  • @rwekazamugasha6448
    @rwekazamugasha6448 Před 6 měsíci

    Low intensity conflict ni kutoĵumusha utu wa binadamu umepungua. Vita ni biashara ya siraha ya wa amerikani. Hawana dini

  • @w4058
    @w4058 Před 7 měsíci +1

    Hawa mayahudi ni babaric monstrous killer

  • @josephmasanja8584
    @josephmasanja8584 Před 6 měsíci

    Kwann waislam wengi wana maneno mengi saana juu juu ya Israeli, Palestine, Marekani, na kujitia kujuajua sana juu ya migogoro ya kidunia wakati daima hawana mipango ya kujielimisha juu ya elimu na maisha ya duniani??

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya Před 29 dny

    Heri wawatafutie sehemu kuliko kuwauwa watu

  • @FridayMwassa
    @FridayMwassa Před 23 dny

    Ebu twambie wayahudi kama David, Suleiman na Yesu kwao ilikuwa wapi na wapalestina waliingiaje pale

  • @adammaro7836
    @adammaro7836 Před 6 měsíci

    Shida ni kwamba kila mmoja anapotosha kwa maslahi ya dini yake, lakini rejea historia hasa pale General Titus baada ya kuzima maasi ya wayahudi na wengine kukimbilia nchi za mbali, Warumi waliofanya mambo makubwa mawili la kwanza kubomoa hekalu la Yerusalem ambalo ilikuwa ni ishara ya uwepo kwa taifa la Israel ambalo ilikuwa katika eneo ambalo Warumi waliwahi kuliita JUDEA, jambo la pili kubadilisha eneo kuwa PALESTINE, ili kupoteza ule utambulisho, lakini Umar Ibn Khatab akapigilia msumari wa Mwisho baada ya kuitwaa Yerusalem. Hapa Mimi naona kwa kuwa waisrael amerejea baada ya muda mrefu, wajitahidi kuweka mpango wa kukaa pamoja au Palestina iwe na mamlaka yake na Israel iwe na mamlaka yake.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +3

    Yahudi ni gaidi hakuna gaidi duniani wa kabila ingine

  • @johnnyoni7571
    @johnnyoni7571 Před 6 měsíci

    Asa nte sana kwa historian kubwa,maana tunadanganywa tuu na madhehebu

  • @seifabdul7153
    @seifabdul7153 Před 6 měsíci

    Waingereza ndiyo waliowaingiza hapo Israel kama wakimbizi na vitambulisho vyao mayahud viliandikwa ni wakimbizi picha tunazo

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci

    Waje waigawe na tz wizi mwingi

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před 6 měsíci

    Solomon Ni mparestina kasome

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 Před 6 měsíci

    Hivi Israel Kwao ni wapi

  • @abubakarmohammed2613
    @abubakarmohammed2613 Před 2 měsíci

    Imagine masheikhe wetu wa "social media" wangekuwa na ufahamu huu wa kisiasa kwa kiasi waislamu wengi hawangehadaika na democracy na uovu wake!

  • @ummahmed3354
    @ummahmed3354 Před 6 měsíci

    Daula ya kiislam sio hujuma ya wamarekani...Bali ni waislamu wa ukweli wanaopigania kuurudusha doll ya kiislam kama alivyotabiri Rasuurullah

  • @djalasaleh
    @djalasaleh Před 5 měsíci

    SHIHA, SUNNI, NA kurdish

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 7 měsíci +1

    Acha kuchanganya uchokozi wa hamas na udini

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q Před 7 měsíci +1

    Dah kumbe bongo vichwa vipo

  • @dannyngaiza7065
    @dannyngaiza7065 Před 5 měsíci

    Kwani Hamas walivyoingia Israel walifanya sherehe au?

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 Před 6 měsíci +1

    Prof hata mm naungana na wewe

  • @mfirimassawe9023
    @mfirimassawe9023 Před 6 měsíci

    Wamelaaniwa hao mayahud mazayun

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 7 měsíci +1

    Nakışa hongera ya kujielimisha kwa hili.

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda Před 6 měsíci

    Okay

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson2261 Před 6 měsíci

    Takwimu za artificial hizi kwamb marekani yuk juu kiuchumu lakini in reality China ndio namb moja kiuchumu saiv ila nchi na vyombo vy habar za magharibi hazitoi takwimu za kweli

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze Před 6 měsíci

    Wazanzibar watabakiaunafik munaunga mkono izraili raisi wenu hata pole hakuwapa palesteina Kazi siyasa znz

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 7 měsíci +2

    MAREKANI, UINGEREZA NA WAZAYUNI WOTE WANAPANGA MIPANGO YAO....LAKINI MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ANAWAAIBISHA!

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 Před 6 měsíci

    Tatizo mnageuza ni vita vya kidini kumbe ni ardhi

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 Před 6 měsíci

    Wangepima DNA wangeshanga kwa ujinga wanaoendelea nao😊

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Před 6 měsíci +1

    Naomba mnisaidie HAMAS wamemua Mtanzania Mweusi kwa makusudi .....hivi naye kosa lake nini?

    • @sharomdguda
      @sharomdguda Před 6 měsíci +2

      Hawezi kukujibu hata ukimuuliza Hamas na Israel nani kaanzisha vita

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Před 7 měsíci +1

    Km America anaweza kuwagawa na mkagawanyika ni vizuri sana !

    • @w4058
      @w4058 Před 7 měsíci +1

      Watu kama wewe mnatakiwa muombewe dua sana sana ya kutanabahishwa mnaifurahia maovu yakiwafika wenzene what goes around comes around iko siku yatawafika mlio vilio vya mbwa midomo juu chunga sana upuuzi wenu wa kikatili huo kumbumuka adhabu ya muuwaji na mshangiriaji ni sawa sawa

    • @w4058
      @w4058 Před 7 měsíci +1

      Nyie wenyewe mmegawanywa huko Africa kwenu mnauwana wenyewe kwa wenyewe mkiporwa madini yenu pumbavu kubwa wewe

    • @hassankilengah4786
      @hassankilengah4786 Před 7 měsíci

      Usisahau na sisi tumegawanya bado kupoteana njia tu.

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 Před 7 měsíci

      Ulivo mjinga unaona naww ume coment😊. Ok kawagawa wamegawanyika ebu tuambie Nani anawagawa wa africa wenzetu Congo nakuwauwa kwa umati?
      Unayajua mauwaji ya kimbari dhidi yakabila la himba Namibia ?
      Rwanda? Ethiophia?
      Unakijua kinacokaribia kutokea cameroune?
      VP South Sudan baada yawajinga kama ww kusherehekea Uhuru wa south soudan nini kinacoendelea?
      Aceni upumbavu sio lazima muwe watumwa wawazungu mungu anamkubali yeyote yule muhim roho safi

    • @godfreyobadiah7892
      @godfreyobadiah7892 Před 7 měsíci

      @@w4058 kwa hiyo amerika ana kosa gani km sio wenye makosa waarabu na waafrika !

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya Před 29 dny

    .unafikiri wakati lbrahim anatoka kurdi anaambiwa aende nchi aliyooaidiwa ilikuwa aina watu?

  • @noelnjementi8511
    @noelnjementi8511 Před 7 měsíci

    Warikubari kwakuwa nikwao mliwafukuza nyunyi

  • @victoreleonardmdee9158
    @victoreleonardmdee9158 Před 6 měsíci

    Je Israel kwao ni wapi Hasa

  • @fabianmainchanyangachika5017

    Wayahudi Sio wazungu kama mnavyo tuaminiaha, Hao Ni wayahudi Wa mchango

  • @DarleneNsengiyumva
    @DarleneNsengiyumva Před 7 měsíci

    Skukran mze wetu kwa ufafanuzi wako.hao raia wanao patikana katika nchi nne ambazo ni uturuki, irani, irake na siriya.niwa kurde.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci

    Rusia akili mingi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 6 měsíci

    Us mbabe

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před 7 měsíci +1

    Huo u professor umepewa au umejivika

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před 6 měsíci

      U Professor hupewi Wala hujipi; unakuja automatically kutokana na knowledge unayo zalisha

  • @mwakatundujr1674
    @mwakatundujr1674 Před 6 měsíci

    Ni nchi ya ahadi hilo halina ubishi😅😅😅

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 6 měsíci

    WAFANYE LAKINI NA WAO WATALIPWA TU.

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp

    Majua wabongo akili na ufahamu hatuna hatujaji nchi yetu bali tunajaji yawengine tunaendeswe kama kuku tuangalie kwanza taifa letu sio tunajaji ya inchi za wenzetu tubadilike wabongo

  • @tozzowilliams308
    @tozzowilliams308 Před 6 měsíci

    Unaongea vizuri professor ila nadhani kuna mambo unayakosa kuhusu mashariki ya kati na geo politics.....

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 6 měsíci

      Hakuna popote ilipoandikwa kama kuna nchi inayoitwa Izraeil au itakuja kuwa Izraeil! Izraeil ni jina la Nabii Yakoob nae ndie aliyezaa watoto kumi na wawili kupitia wake zake wawili (2) mmoja alimzaalia watoto kumi (10) na mwengine watoto wawili(2) Hawa ndio Wana wa Izraeil!na ndiyo waliozaa MAKABILA kumi na Mawili kutoka Kwa hao watoto kumi na wawili Kati ya hao wawili ni Nabii Yusouf na mdogo wake Bin Amin au (Benjamin)

  • @user-wr6tg8xf6z
    @user-wr6tg8xf6z Před 7 měsíci

    Kabla ya kutawanyika kwa mataifa mengine Wayahudi walitokea Wapi?

  • @shukranechimale2722
    @shukranechimale2722 Před 6 měsíci +1

    Israel ni taifa la michongo michongo🤣🤣 kifup hawana akili

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci

    Wakurdi

  • @johnsinyinza7450
    @johnsinyinza7450 Před 7 měsíci

    Mahandaki ya hamas yanini. Si nimagaidi.

    • @user-sb6gy6dx1m
      @user-sb6gy6dx1m Před 6 měsíci

      Hamas ndo magaidi,je hao waisraeli..?ubongo wa ndege ww.

  • @godfreyobadiah7892
    @godfreyobadiah7892 Před 7 měsíci

    Osama alienda kujifunza america kupigania uhuru wa taifa gani ? nimekunukuu hapo mwl.

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 7 měsíci +2

    Waislamu tuna akili mingi sana hapa duniani na akhera allah atutunze

    • @mathewbicco6656
      @mathewbicco6656 Před 7 měsíci +1

      😂😂😂...acha ufala. Binadamu wote ni sawa na wana akili

    • @simonnembomadola7512
      @simonnembomadola7512 Před 7 měsíci +1

      Mnalishwa ujinga sana na hadithi zenu.Ufala heti mna akili nyingi 😂😂

    • @vincentcharles4385
      @vincentcharles4385 Před 7 měsíci

      Akili za kula kitimoto au?

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 Před 7 měsíci

      Akili za kutengeneza tende nchi gani ya kiislamu Ina technologia

    • @awadhsalim2680
      @awadhsalim2680 Před 6 měsíci

      ​@@ramadhanchenga4606mungu amesha panga. Waarabu hela,,wazungu wafanyakazi,,,waafrika mziki,,pombe,,wizi.

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Před 6 měsíci

    Lakini wewe ungeeleza Wayahudi kwao hasa ni wapi kama unadhani Palestine sio kwao???

  • @kinasaba
    @kinasaba Před měsícem

    Huyu Profesa muongo sana. Anatumia ukweli mmoja kupotosha mengine. Taarifa zake zimejikita miakq 70 iliyopita. Atuambie hao Wayahudi waliotapakaa dunia nzima walitoka wapi, na nini kiliwakimbiza huko walipotoka. Atuelwzee Otto Man empire iliichukuaje Israe. Sijajua ana nia gani.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 6 měsíci

    Sasa kwanini hamas wakaanzisha hiyo vita tarehe 7.10.2023?

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před měsícem

      ISRAIL Ina satilait na enterligencia ya kutosha unahisi hawakufaham kilichotaka kutokezea na kukizuzia kwani hamus yenyewe ilianzishwa na nani na kusapotiwa kiuchumi km sio Israel kwa lengo la kuleta vuguvugu la kisiasa na kupata sababu ya malengo yake kutimia ata ISIS yenyewe ilianzishwa na Muisraili na marekani Ili kuiaminisha Dunia kuwa uislaam ndio Ugaidi Ili kuleta chuki na waweze kutimiza lengo lao la new world orders nchi za kiislam ndio kikwazo Chao kutokana misimamo ya Imani Yao nje ya nchi na jamii za kiislam tayari Dunia mngekwisha pokea Sheria zao za Kimagharibi ushoga na mengine endeleeni kuamini ivoivo kuwa ISRAIL ni taifa la Teule na kulishwa matango pori msipofaham watakunya kuelewa wajukuu wenu picha litakavyokamilika

  • @yambazykaratta3793
    @yambazykaratta3793 Před 6 měsíci +3

    Kwa hakika Prof. umefanya uchambuzi yakinifu, nami nimejifunza mengi. Lakini kuna jambo hili kuwa Israel ni nchi ya ahadi kwa wayahudi, jambo hilo ni la kiunabii, unabii huo umetia kwa exactly. Soma Ezekiel 36 yote, lakini haswa mistari ya 19-24, 28-30, 33-36. Unabii huo ni wa miaka takriban 2700, yaani kama miaka 700 kabla ya Yesu, na umekuja kutimia mwaka 1948 Israel waliporudi, baada yakukataa kupewa nchi yoyote nyingine, wakataka nchi yao wenyewe kama walivyoahidiwa na Mungu ktk hiyo Ezekiel 36:24. Someni Bible muone mambo haya.

    • @khalidmnganah9901
      @khalidmnganah9901 Před 6 měsíci +2

      Napenda nikiri baada ya kusikia uchambuzi huu, niseme nimepanda ngazi ya ufahamu jinsi gani maslahi yanavyotangulizwa kuliko ubinadamu. Siasa za dunia ni unafiki na ukandamizwaji wa kisayansi na ghilba tupu. Hakuna ukweli ni ulaghai tu.
      Shukran Prof.

    • @djalasaleh
      @djalasaleh Před 6 měsíci +2

      1948 MAJAMBAZI WA KISIONISTE( KHAZARS, ASHKINAZIS)

    • @maqwaybaran9905
      @maqwaybaran9905 Před 6 měsíci +2

      Professor muongo sana anaongelea upande wa dini yake ya suruali fupi na kuficha baada ya mambo muhimu

    • @maqwaybaran9905
      @maqwaybaran9905 Před 6 měsíci +1

      ​@@djalasalehgaidi mwenye suruali fupi mjukuu wa Mudi katika ubora wako

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Před 6 měsíci +2

      Biblia imeandikwa hivo na wazungu ili iendane na kile wazungu wanataka. Wazungu wamekuwa wakibadilisha mistari ya biblia ili iendelee na kile wao wanataka