SIRI NZITO TOKA VITABU VYA WAYAHUDI WENYEWE KUWAUWA WAPALESTINA PROFESAR HAMZA NJOZI AISIMULIA .

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 11. 2023
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Komentáře • 175

  • @husseinshaaban3518
    @husseinshaaban3518 Před 8 měsíci +13

    Hizi nondo ni adhimu sana lakini hatuzipati kabisaaaa Allah akulipe kheri Prof

  • @user-tf5yt5pt4p
    @user-tf5yt5pt4p Před 7 měsíci +1

    Allah akubariki profesa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci +1

    Wazee hadimu sana hawa Allah akutunze

  • @WestonMbuba-ff4jk
    @WestonMbuba-ff4jk Před 7 měsíci +1

    Profesa wangu chuo kikuu cha dar es salaam 1997/2000

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 Před 8 měsíci +1

    Profesa Mungu akubariki kweli malezi ya watoto ni ya wazazi na si vinginevyo

  • @mtae5504
    @mtae5504 Před 7 měsíci +1

    Izarieli haiwezi vita mpaka wasaidiwe na wamagharib.wasimame wenyewe waone bila msaada wa marekani au nchi za ulaya waone

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Před 8 měsíci +7

    Yaani dunia nzima watakubali Wayahudi Nawa power Nauli Influence hicho nikiwa kipawa inaonyesha wamebarikiwa na Mungu.

    • @user-mf4km2gi9l
      @user-mf4km2gi9l Před 8 měsíci +6

      Hata ibilisi ana kipawa lakini Cha motoni milele SI kuweza hayo ndio kubarikiwa shetani anaweza kua msaidizi wao na MATENDO yao yanajidhihirisha ni wafuasi lusifa

    • @user-fu7mw3jo6r
      @user-fu7mw3jo6r Před 8 měsíci

      Wamebarikiwa kufanya mauaji bila hatia😏😏

    • @user-fu7mw3jo6r
      @user-fu7mw3jo6r Před 8 měsíci

      ​@@user-mf4km2gi9lkabisaa bro

    • @raymondjohn3798
      @raymondjohn3798 Před 8 měsíci +2

      Ha wapi!Wale nimatajiri Tu pia Na support ya ndugu zao wa Marekani,Na Ndio wanaongoza kiubaguzi duniani.

    • @HakizimanaZainab
      @HakizimanaZainab Před 8 měsíci +1

      Najifunza mungu akupe afia n'a maisha mazuri uko wa maana kwenye jamii

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Před 7 měsíci +1

    Watu wanashindana na Taifa teule na Taifa Barikiwa la Mungu,
    Hapo ni sawa na kumwambia Mungu ulikosea kuwabariki wayahudi....
    Aliyebarikiwa kabarikiwa tu hakuna kingine.....vilivyobakia ni kelele tu.

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 Před 7 měsíci

      Mungu alisema awauwe Palestine au ndio uzuzu wenyewe

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Před 7 měsíci +1

      Huyu ni ktk wake wanaoamini ujinga, eti mayahudi ni taifa teule. Mnadanganywa n mnadanganyika basi hata hamna akili y kufikiria

    • @user-tf5yt5pt4p
      @user-tf5yt5pt4p Před 7 měsíci

      Wewe mbumbu ndomana umekuwa mkristo yesu ndio alitaka kupigwa nahao wayahudi musa alisumbuliwa nahao wanaosapoti ushoga ndo kundi moja nayahudi wewe mbumbu kutoka wapi hujui chochote na ukiristo huo namapapa washaanza kuwatangazia ushoga hiyo sio dani banana!!!badilika

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci

    Barkallahu fiiq

  • @abdulgwelo7150
    @abdulgwelo7150 Před 8 měsíci +1

    Baarakallaah fiyka shekh

  • @FadhiliMrutu-uj2ef
    @FadhiliMrutu-uj2ef Před 7 měsíci

    Hata yanafanywa Sana na wanasiasa wahuni,hata Tanzania yapo

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Před 8 měsíci +2

    semeni basi waengereza wameisababishia zanzibar kutawaliwa na watanganyika

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 Před 8 měsíci +3

    Yesu alikuwa myahudi????
    Musa alikuwa muisilamu au myahudii???
    Hao wote wote wawili ktk Koran inasemaje?? Wanatokea wapi???? Ulaya ? Makka au wapi? Tupe ukweli?

  • @Amina-rr8ve
    @Amina-rr8ve Před 8 měsíci +2

    Maashallah ahsante kwa elimu prof

  • @JafarHussein-qe6ly
    @JafarHussein-qe6ly Před 8 měsíci +2

    Wengine kweli ni mazuzu hawajui mchezo mchafu wanao cheza jeshi la Israel na Hamas kuwauwa waparestina lkn wengine wanajua ila wanajitoa ufaham.

  • @user-jc4dy1xe1p
    @user-jc4dy1xe1p Před 8 měsíci

    Mtihani duniani

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

    Hakika Wayahudi wamebarikiwa na Mungu. Taifa dogo namna hii lakini linaendesha dunia.. alhamdulillah🤲🏿

  • @abuukhorboshy3308
    @abuukhorboshy3308 Před 6 měsíci

    Sisi waislam tunacho kitabu kisicho shaka ndani yake tumeelezwa hila za wayahudi vizuri2

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před 8 měsíci +1

    History hiyo PROF inajulikana okay the Way forward Nini KUHUSU Dola la kiislaam na Waparestina?Wanauwawa wanachinjwa nk

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya Před měsícem

    Palestine hakuna vita ila kuna mauaji wao nia yao kuwatoa wapalestina,

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Před 8 měsíci +2

    Taifa la Islael ni ahadi ya Mungu kwao na walipomkosea Mungu alisema atawatawanya kwenye mataifa na aliahodi kuwarudisha na kuanzisha Taifa lao.

    • @abuubilal2646
      @abuubilal2646 Před 8 měsíci

      We huna ulijualo

    • @mohammedamour4930
      @mohammedamour4930 Před 8 měsíci +2

      Taifa la mungu linaunga mkono ushoga?

    • @venancembwaga-uw6kb
      @venancembwaga-uw6kb Před 8 měsíci

      😂😂 unabii lazm utimie si mayahud wote ni mashoga ni saw na waisilam wengine ni mashoga iyo ni dhambi ya mtu mmoja mmoja sio nchi nzim

    • @TabuOdhiamboOmiya
      @TabuOdhiamboOmiya Před 8 měsíci +1

      Unapoongea pia tupe andiko si maneno ya kichwa tu hapa si kanisani kaka ambako mmezoea kuuambia watu maneno ya kichwani hapa ukiongea unafuatanisha na andiko kama hauna funga mdomo

    • @mohammedamour4930
      @mohammedamour4930 Před 8 měsíci +2

      @@venancembwaga-uw6kb mbona huelewi nch gani ya kiislamu iliunga mkono ushoga?israel inaunga mkono ushoga na nusu ya baraza la mawaziri ni mashoga

  • @allychengula3511
    @allychengula3511 Před 8 měsíci +1

    Profesa ahah et historia yake ni ndefu, tena unafupisha duu na watu hawauliiz, wale wapalestina ni mayahudi, ndio maana hamas, is na al qaeda wanawaua ndugu zao, na et leo mnashanga, je mnakumbuka apartheid policy south africa, elewa ndicho kinachoendelea mashariki ya kati profesa waafrika wanauliwa congo, sudan, somali land

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Před 8 měsíci +1

    Muengereza ndio alomkabizi nyerere zanzibar hata hao wazanzibar hawana mamlaka na nchi yao akishirikiana na mmarekan ndo mjuwe wazanzibar wakipiga kelele hofu yao ndio hiyo

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci

      Kwani Zanzibar ilitwaliwa na UINGEREZA na MAEKANI ???

  • @chrisostomruta-cw3zf
    @chrisostomruta-cw3zf Před 8 měsíci

    Profesa kaitetee Congo

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 8 měsíci

      Kongo inateswa na Uhutu na utusi watusi wengi wao ni zao la Kiyahudi
      Waliitaka yuganda pia

  • @saidiyusufumuhode3159
    @saidiyusufumuhode3159 Před 8 měsíci

    Kweli shida inaanzia kwa waislam wenyewe wengi nivibaraka

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Před 8 měsíci +1

    Ukitaka kuelewa soma Ezekiel 16,38,39

    • @FestoSungura-rr1uc
      @FestoSungura-rr1uc Před 8 měsíci

      Ama kweli neno la Mungu ni unabii wa kweli halikuacha ata kitu kimoja, Wengi maandiko hawayasomi

  • @guillaumebambea7938
    @guillaumebambea7938 Před 8 měsíci +3

    Mashkeik wote kazi yao kutetea waislam tu.

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor Před 8 měsíci

      Unatak watetee nn

    • @HamisAbdallah-cj2sc
      @HamisAbdallah-cj2sc Před 8 měsíci

      Kicheko sasa wewe unataka sheikh amtetee NANI? Muisilamu NDUGU YAKE muisilamu

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci

      @guillaumebambea7938.
      Na Maskofu wote kazi yao kutetea Wakiristo tu. Hata Baba wa Kanisa Rais Mkatoliki Nyerere, alikuwa Kiongozi wa kwanzo Duniani kuwatetea Makatoliki wenzake wa Biafra kujitenga na Shirikisho la Serikali ya Nigeria chini ya Uongozi wa Jenerali Yaqoub. Alifuatiwa na Mkatoliki Rais wa Zambia, Mkatoliki Rais wa Gabon na Mkatoliki Rais wa Ivory Coast. Ili kuwatetea
      Wakiristo, Nyerere, alimpidua Rais Muislam wa Uganda Idd Amin, baada ya kumwita NDULI na kumrejesha Madarakani Mkiristo Mwenzake Milton Obote. Kuwatetea Wakiristo wenzake, Nyerere alishirikiana na Mkiristo John Okello, Askari wa kukodiwa wa Uganda kuvamia Serikali Halali ya Zanzibar kwa sababu Mawaziri wote walikuwa ni Waislam na Wazanzibari.😂

    • @JafariAbdallah-ot9gp
      @JafariAbdallah-ot9gp Před 8 měsíci +1

      Ndio na we kemea ndoa za jinsia Moja kanisani sawa?

    • @user-tf5yt5pt4p
      @user-tf5yt5pt4p Před 7 měsíci

      Wewe kafiri ndo bla bla nakwaya zenu yesu hakuwahi kuwa nakanisa wala kuwafundisha kwaya acheni bla bla makafiri

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Před 8 měsíci

    Kwani Yesu walimuwa

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 8 měsíci +2

    Kabla ya wayahudi kuamuliwa😮 kuuwawa na adolph hitra walikuwa wanaishi nchi gani

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 8 měsíci

      MAYAHUDI WALIKUWA WAKIISHI UJERUMANI NA NCHI MBALIMBALI ZA ULAYA. KIUFUPI MARA BAADA YA KUPANGA MAUAJI YA YESU KRISTO WAKUSHIRIKIAA NA WAZUNGU (WARUMI), MAYAHUDI WALIPIGWA LAANA YA KUTANGATANGA DUNIANI NA MWENYEZIMUNGU, NA HATA UTEULE WAO ULIISHIA HAPO MARA BAADA YA KULAANIWA, WAZUNGU KWA MASLAHI YAO WAKATENGEZA KIMAANDIKO DHANA KWA WAKRISTO IONEKANE BADO WAISRAELI NI WATAKATIFU ILI WASIPATE UPINZANI TOKA KWA WAKRISTO KWA KUSHIRIKI KWAO KUFANYA MAUAJI YA YESU KRISTO MSALABANI. WAZUNGU WALIWAKUSANYA MWAKA 1945 NA KUANZISHA TAIFA LA ISRAEL NDANI YA MASHARIKI YA KATI (UARABUNI), HALI AMBAYO INAONEKANA SI YA KUDUMU KWANI UKWELI UKIFAHAMIKA WANAWEZA KUNG'OLEWA MAHALA HAPO MUDA WOWOTE, NA NDIYO MAANA WANATUMIA NGUVU KUBWA KUSAMBAZA PROPAGANDA CHAFU ILI KUFICHA UNYAMA WAO WANAOTUMIA KUJILINDA.

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci

      UJERUMANI

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před měsícem

      Waezrael wametapakaa Dunia nzima kiufupi Kila taifa Duniani wapo labda Africa baadhi ya nchi km Ethiopia eritria Morocco lkn kwa wingi wapo nchi za kiarabu middle east na ulaya.

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před měsícem

      Hawakuwa na taifa sababu ya laana ya Mungu waliletewa mitume mingi iliyotoka ktk koo zao lkn waliwapinga na wengine kuwauwa km Nabii Zacharia a.s nabii yahya a.s mnamwita yohana.kiasilia nabii Ibrahim alitokea Iraq Kisha kuhamia Palestine na mkewe Bi Sara na kukuta wenyeji baada kutopata mtoto wakiwa wazee bi Sara alimwambia amuoe kijakazi wao Hajra na kupata mtoto WA kwanza Ismail kwa miaka kumi na mbili ndipo kuzaliwa nabii is,haraka a.s bi Sara alipozaa wivu ukapelekea Hajra kuhama Palestine na kuhamia Saudi Arabia na mwanawe Ismaili huko akaishi na jamii nyengine nabii Ibrahim huenda kumtembelea na kwa umri huo WA Ismail miaka kumi na mbili aliweza kumsimamisha nguzo ya Alkaba na baba ake nabii Ibrahim km muendelezo tu WA nabii Adam A.s na ndipo waislam wote Duniani uwelekeo WA ibada zao.

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci +1

    KILA UCHAGUZI WA ZANZIBAR
    😂TUUWE ZANZIBAR TUUWE
    MUUGANO UWE DAIMA😂

  • @jamesraphaelmdima4729
    @jamesraphaelmdima4729 Před 8 měsíci +2

    Na kuna Muungano utafanyika kwa Mataifa mengi yakiongozwa na Urusi zidi ya Islael,haya yote yalitabiliwa na nabii Ezekiel.

  • @doramtenga796
    @doramtenga796 Před 8 měsíci

    Tusichocheee bali tumuombe mwenyezi alete upatanisho ama ni tuombei na sio kuleta midahalo haisaidii hadithi nyingi sio utatusi

  • @bernardndemba2253
    @bernardndemba2253 Před 7 měsíci

    Wewe professor mwongo sana .peleka ujinga wako huko mwongo mkubwa

  • @user-mg6hn6os6y
    @user-mg6hn6os6y Před 8 měsíci

    @sharomdguda..
    Record clip yako utueleze unavyojuwa wewe,comment yako haitoshi.

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Před 8 měsíci +1

    Wale makafir wakisikia haya maneno haya utaona mapofu yao midomoni

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 5 měsíci

      Sasa makafiri wanawapiga waislaamu mnaojiita watu wa Allah na watu wa dini ya hakhi inakuaje huyo Mungu wenu anawaacha mpigwe,na muwe na hofu kuingilia vita,? Matokeo yake mnashangilia mahakama ya kimataifa na kulaumu nchi zisizo saidia kwa wazi kijeshi ,mbo ni mambo ya aibu kushindwa na kafiri? Inakuaje?, Hakuna namna yeyote professor utaacha kuishi chini ya mwavuli wa wazungu hata koti lako tuu linaeleza kua Bado unaeneza utamaduni wao pia viatu ,hata Kama wewe ni mshabiki wa mpira Bado wameahakushinda kiakili tayari ,huwezi aminika katka Dunia ya Leo kama hujajulikana na wazungu na kua na elimu ya msingi wao ,nchi zenyewe za Kiarabu zinategemea wazungu asilimia 85 ya maisha Yao na bila hivyo mambo hayaendi Sasa haku afrika ndio usiseme wasomi wanatafuta nafasi za maisha kwa wazungu na viongozi wa afrika Kila kukicha wanaamkia kwa wazungu unadhani bila wao Nini kitaendelea ? Tukubaliane tuu kua Yule ambae Mungu amemtukuza duniani Ili awe kiongozi wa wengine hatuwezi kumshusha kwa maneno Wala elimu Wala kijeshi kwani Dunia inakamilishwa na utawala na uongozi Bora na nguvu imara na hekima ya uwezo wa kuamua mambo kwa wengine ,na hiyo ni kanuni ya Kiroho au ya Mungu kua ktk wanadamu Kila mtu anae mkubwa anae mfanya awe mnyenyekevu au ajishushe na kinyume na hapo njaa itakufanya usujudu ,Hao wapalestina mnao watetea wanasaidiwa na wazungu asilimia 90 kwa Kila kitu haswa ukizingatia nchi za Kiarabu Huwa za mwisho kusaidia mahali popote wazungu ndio wanawafanya palestina na waarabu wengine kusonga mbele haswa kwa kua wazungu wanaendesha biashara kubwa na waarabu na ukizingatia pia mafuta Hadi kesho yanachimbwa na wazungu kwa mkataba au hisa

  • @mabubakar1076
    @mabubakar1076 Před 8 měsíci +1

    Salamu aleikum, mbona Quran inasema Ardhi yote wamerithishwa Mayahudi? Magharibi ya Ardhi na Mashariki yake. Vp hapo?

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 Před 8 měsíci +1

      Maelezo hayo umeyatoa aya gani?

    • @haidarsalum9228
      @haidarsalum9228 Před 8 měsíci

      ?

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 Před 8 měsíci

      Mabubakar
      WEWE ni Msomi wa Kiislam ?
      Unajua Tafsiri ya Quran vizuri
      Umesoma wapi maneno hayo kuwa Ardhi yote ni wamerithishwa hao majamaa

    • @mabubakar1076
      @mabubakar1076 Před 8 měsíci

      QURAN Surah A'raf 7:137. Rudini kwa mola wenu awaongoze.
      Kwa uelewa wenu nyinyi, Bani Israeli ni mayahudi. Mimi sielewi hivyo.
      Kwa uelewa wenu nyinyi, ARDHI ni hii tunayoikanyaga, Mimi sielewi hivyo.
      Sasa nipe somo, hiyo ARDH iliotajwa hapo ni Ipi? Misri? Au Palestina? Na hao Bani Israeli ndio hawa Mayahudi tulionao? Naomba Jibu la Elimu tafadhali.
      @@ramadhanimtetu3656

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Před 7 měsíci

      Lete hiyo aya iliyosema

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Před 7 měsíci

    Swali dogo nchi ya ahadi waliyopewa wayahudi na Mungu katika quran ni ipi?

  • @isaacnewtonmmary3377
    @isaacnewtonmmary3377 Před 7 měsíci

    Shee Unadanganya Mimi naijua Historia Kuliko wewe Aiseeee sio Kweli......

    • @abdallahdullah8642
      @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci

      Wayahudi hawakuwa na makazi maalum walienea Duniani ktk nchi tofauti tofauti, hata Tz walikuwepo ingawa walikuwa kdg,
      South Africa wapo hadi Sasa lkn hawakuwa na taifa hadi mwaka 1947 kwa msaada wa uengereza ndo wakajikusanya Palestina kutoka ulaya mashariki na kuunda taifa Lao.

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před měsícem

      Ata zuchu anayo historia

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Před 7 měsíci

    czcams.com/video/YTwQh72XUZo/video.htmlsi=Q8fcL0wzJOZxrSFG
    Somo kidogo kuhusu akili kubwa

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Před 7 měsíci

    Power sio kua na watu wengi professor Power ni kua na watu wenye hekima na uelewa ndio maana wayahudi wapo wachache lakini wanawazidi waislam billions kwa akili zao na vipawa walivyopewa na Muumba.

    • @omalijohn-il9xe
      @omalijohn-il9xe Před 7 měsíci

      Hawana paw yoyte wayahud Bal wansaidwa na mataif a yenye nguvu ya kikafr

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 7 měsíci

    Kwanini mashehe watu wenu wanafanya uharifu halafu mnawakalia huo ni ujinga

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 Před 8 měsíci +1

    Si huwa mnapoga kelele kuw nanabii wote ni waislamu, wayahudi ni waislamu na kwamba Yesu alilingana Uislamu? Sasa ndo dunia inajua mbivu na mbichi...uongo wenu utajulukana tu!

    • @SaadabdulNgonyani
      @SaadabdulNgonyani Před 8 měsíci

      Wewe ni myahudi, au mkristo?

    • @user-zd2kg6cc8g
      @user-zd2kg6cc8g Před 8 měsíci

      Huyu ni mzushi TU, eti wakaenda nchi ya kiislamu, hajui lolote, Israel ipo kabla hata uislamu,

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci

      @@user-zd2kg6cc8g KANAAN ni Jina La Wapi Hivi Sasa ? Au Kwa Jina La Sasa Linaitwaje???

    • @mtae5504
      @mtae5504 Před 7 měsíci

      Acha chuki

    • @user-tf5yt5pt4p
      @user-tf5yt5pt4p Před 7 měsíci

      Wewe hujuwi kitu ukihoji nahauna kitabu chakukueleza ukweri zaidi unaimbaimba kwaya nayesu hakuacha kwaya hakuna unacho jua musa alizaliwaje misri ama ibrahim baba wa mataifa alivyomzaa ismail walienda wapi acha ujinga kafiri

  • @HassanJambia
    @HassanJambia Před 8 měsíci

    Na ww hakuna taifa la izrael Kuna taifA la kaanani

    • @BinHakim
      @BinHakim Před 8 měsíci

      Netanyahu ni waziri mkuu wa Kaanani au Israeli?

  • @balusilunganyi1387
    @balusilunganyi1387 Před 8 měsíci +2

    Ajabu moja iliopo ni kwamba Qoran inaruhusu muislam kudanganya ili kuitetea dini. Mbona iwe hivyo!!!

    • @mohammednassor3614
      @mohammednassor3614 Před 8 měsíci +1

      Mjinga wewe quran haisemi uongo wala hairuhusu kusema uongo

  • @doramtenga796
    @doramtenga796 Před 8 měsíci

    Muwe na ufahamu mzuri israel na hamas hawapiganii dini bali ni ardhi tusichanganye mada

    • @abdulkatalango2890
      @abdulkatalango2890 Před 7 měsíci

      Nani kasema wanapigania dini?

    • @user-tf5yt5pt4p
      @user-tf5yt5pt4p Před 7 měsíci

      Wewe ndo hujui wanacho pigania wewe munatangaziwa ushoga namaskofu mapapa na marekani muingeleza waafrika msio jielewa kanisa linawapeleka wapi

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 Před 8 měsíci

    Kama mgogoro unawahusu, kwa nn hamjaenda kuwasaidia? Mnaogopa kupigwa?

  • @sammynyalleKe
    @sammynyalleKe Před 8 měsíci

    Uongo!
    Mbona Wapalestina waanze huu uvamizi sasa!? Acha wapate adhabu yao. Israel cant relent

    • @JafarHussein-qe6ly
      @JafarHussein-qe6ly Před 8 měsíci

      Wewe ni wakawaida sana huwezi jua mchezo wanao ucheza Israel ili kupata sababu ya kuwauwa waparestina.

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Před 8 měsíci

      ​@@JafarHussein-qe6lykwa hiyo unataka kutuambia kuwa waisrael waliwaambia Hamas wavamie Israel na kuua watu ili Israel ianze kuua wapalestina??! Yaani kwa fikra kama hizo ndo maana kila palipo na mwarabu hakuna amani

    • @JafarHussein-qe6ly
      @JafarHussein-qe6ly Před 8 měsíci

      @@ladislausngoyinde4384 kwanini Israel haiwaadhibu Hamas kama ndio walio wachokoza badala yake wanashughulika na kuangamiza watoto na wanawake wa Gaza ambao hawajahusika ktk huo uchokozi wakati wana MOSAD na IDF?

  • @MichaelShedrackRubai-kg3hg
    @MichaelShedrackRubai-kg3hg Před 8 měsíci +1

    Hakuna profesa hapa ni bla bla tuu

  • @user-zd2kg6cc8g
    @user-zd2kg6cc8g Před 8 měsíci +1

    Shekh usijifanganye wala usidanganye watu, eti ninyi ni wengi? Swali mbwa anaezaa watoto wengi mara mbili kwa mwaka, tena bila kuchinjwa, na ngombe anaezaa mtoto mmoja kwa mwaka, nani wengi?

  • @wallacesalimu5754
    @wallacesalimu5754 Před 8 měsíci

    Mze wewe hujui historia nenda kasome.BIBLIA . Kwa maoni yangu vita hii ilianza tangu David na Goliath
    David ni wa MUNGU, na goliath ni mphilisti (mpalestina,)

    • @coyancodavao4004
      @coyancodavao4004 Před 8 měsíci +1

      Hao waliopigana na Daudi siyo hawa njoo tukufundishe, wale ni majabari ambao waliondoshwa kabisa ktk ardhi hiyo, Nahuyo Daudi ni mtume wa Allah na ni muislamu.

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 Před 6 měsíci

    Yani unaweza kuwa professor lakini ukivaa ulevi unaitwa dini, fikra zinaondoka. na akili zako kama mtu mzima yaani siri iwekwe kwenye kitabu alfu wewe upate hicho kitabu? Yaani umeuvaa uislam mpaka unatetea vitu hata havina mashiko. uislam wenyewe hadithi zinasema KIAMA HAKITASIMAMA MPAKA TUWAUWE WAYAHUDI WOTE". Sasa we nilisikiliza nikafikiri umeelimika lakini naona udini tu.

  • @alexalute6712
    @alexalute6712 Před 7 měsíci

    Baba yangu Mambo ya wayahudi na wapalestina ni Jambo gumu saaana; ni ndugu wanaogombania maeneo matakatifu. Soma Mwanzo 25:5-6 pia Soma Zab 76:1-3

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 Před 8 měsíci

    Tatizo lenu mnasoma kile Allah anawambua katika Quran na hamtaki kusoma kile Yahweh anasema katika Biblia. Mnafiniri Wayahudi hawana nchi. Hata kama Waislamu wote mtaungana, hamuwawezi. Mtapigwa sana tu

    • @SaadabdulNgonyani
      @SaadabdulNgonyani Před 8 měsíci +1

      Huo sio ukweli. Ghaza ni sehemu ndogo sana kama Israel ina nguvu hizo mbona limeenda jeshi la marekani na silaha za Kila Aina kwa ajili ya kuwasaidia mayahudi? Na bado wanawaza kutumia nyuklia

    • @mohammednassor3614
      @mohammednassor3614 Před 8 měsíci +1

      Subiri utaona

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 Před 8 měsíci

    Mbona hamuwaongelei mauaji yanayofanywa na waarabu darfur dhidi ya waafrika weus, mnatetea waarabu kuliko ndugu zenu waafrika wanaouliwa na haohao waarabu darfur, utumwa wa akili ni mzigo kweli

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Před 8 měsíci +1

    Nyinyi masheikh hacheni nyongo zenu kwa wayahudi, history ya wayahudi hatutaki kusikia habari za Balfour ya mwaka 1917, historia ya wayahudi tunaanzia kwenye Biblia na qurani. Uongo wenu ilivyo. Kwanza hakuna kitu kinaitwa wapelestina, Hawa ni waarabu hakuna kitu kinaitwa palestinians. Hao wapelestina wanazunguza lugha gani?! Hawa ni waarabu wapototoshe hao wanaokusikiliza km kawaida Yao hawajui kufuatilia Bali kusikiliza

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 8 měsíci +2

      Huna adabu unabishana na pro. Humpati kwa lolote kwa elimu kwa imani huyu ana imani nzuri kuliko yako..!

    • @TabuOdhiamboOmiya
      @TabuOdhiamboOmiya Před 8 měsíci +1

      Kuwa na nidhamu huyu ni shekhe

    • @abdiidi2494
      @abdiidi2494 Před 8 měsíci +2

      Wewe Hadi Leo umekaririshwa yesu ni mingu na miungu ni mitatu kwaulivokua hufatilii kitu

    • @azizimasenga3893
      @azizimasenga3893 Před 8 měsíci

      Mbona mapovu sna wewe mwanadamu.

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor Před 8 měsíci

      😂😂😂😂We mpumbav t hujijui at unpotok n unpokwenda

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Před 8 měsíci +1

    Waongo wakubwa, mlijitia kumtishia na dola zenu hafifu mara Iran, mara uturuki wanatoa mapofu tuuuu hawana lolote. Mkatoe msikiti wenu bandia

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 8 měsíci +3

      Muongo wewe na viongozi wako wanaokuongopea kuwa yesu mungu wakati yesu mwenyewe anasema ili upate uzima wa milele umjue yesu ni mtume tu yupo mungu wa pekee 17:3

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Před 8 měsíci +1

      Koma we mshenzi mkubwa. Akili yako sio sawa kwa sababu unamuabudu Binaadam. Msikiti bandia ni ule unaokwenda kuabudu wewe usiejitambua .

    • @SaidRojo-zt6kn
      @SaidRojo-zt6kn Před 8 měsíci +2

      We ni mjinga Kama hao wajinga wenzako mayahudi.

    • @JafariAbdallah-ot9gp
      @JafariAbdallah-ot9gp Před 8 měsíci

      Umemeza sumu ya kiyahud kenge wew

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 Před 8 měsíci +1

      Inna lillahi Wainna Ilayhi Rajioun

  • @joejohn8115
    @joejohn8115 Před 7 měsíci

    Mseme ukweli nyinyi Waislam. Je ule Msikiti pale Jerusalem ni kweli ndiyo hapo Mtume Mohammad alipopaa kwenda mbinguni. Inakuwaje Mtume alikufa 632, na calipher Omary na majeshi yake waliiteka Jerusalem mwaka 638 na hatimaye kuanzia ujenzi wa Msikiti huo 682 mpaka 705
    SWALI je Mtume alipaiya kwenye eneo Gani? Maana miaka ya uhai wa Mtume Mohammad palikuwapo mabaki ya Hekalu la Daudi?
    Na je Waarabu walijiitaje Palestinian wakati ktk kiarabu hamna letter P?
    ACHENI HILA ZENU ZA KIDINI. SOMENI HAMAS CHARTER 1988 KIFUNGU 7, 11 na 13

    • @fadhilshafi2947
      @fadhilshafi2947 Před 7 měsíci +1

      usiandike tu kwasababu ulipelekwa shule ukajua kuandika.. fanya research katika sources sahihi ndio uje hapa kuandika nakuleta maswali yenye tija na hoja... usijiaibishe huku bure

    • @WestonMbuba-ff4jk
      @WestonMbuba-ff4jk Před 7 měsíci

      @fadhilshafi2947
      Leta fact wewe unayeujua ukweli

    • @joejohn8115
      @joejohn8115 Před 7 měsíci

      Mm au wewe ndyo unajiaibisha!! Mmeja hila tu mbaka zinafanya msiyaangalie mambo ya Dunia kwa uhalisia wake?
      Soma kwanza sahih Al- bukhari 4950 ndiyo utajua hujui kuwa kumbe Allah mnayemuabudu ni Shetani mwenyewe

    • @abdallahdullah8642
      @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci

      Palestina kwa kiarabu inatamkwa falastin, afu Ile sehem aliopaa mtume Muhammad s.a.w. ipo toka Enzi hizo kabla mtume unachosema ww ni maboresho tu.
      Ni km Alkaaba ya makka ipo kabla Muhammad ktk wkt wa Ibrahim lkn iliboeshwa tu.

    • @abdallahdullah8642
      @abdallahdullah8642 Před 6 měsíci

      Kuna watu wanadhani wayahudi ni wakristo na wanadhani kuwaunga mkono na kuwatetea ndio kuwa pamoja kiimani, ktk oparesheni zao wayahudi wanawahujumu Wapalestina awe muislam, awe mkristo au myahudi asili madhal wote ndio wenyeji wenye mitizamo ya kizalendo kwao huwa adui.
      Lkn tukumbukeni wayahudi wenye shida ni wayahudi wahamiaji toka ulaya mashariki na Amerika na sio wayahudi wa kazi halisi wa Palestina.

  • @pascal2415
    @pascal2415 Před 8 měsíci +1

    Tatizo ni pale waislamu wanapojipa umuhimu saana, kwani Palestinian wote ni waislamu? Tetea haki sio Udini .... Wewe ni mweusi na uliuzwa kama mbuzi na waarabu ambao ni waislam wenzako sasahivi unawaona kama ndugu nyooo

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci

      😂PALESTINE NA ZANZIBAR😂
      Chama Cha Mazaonism (CCM) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

    • @mamlomamlo9064
      @mamlomamlo9064 Před 8 měsíci

      Uislamu mbali na uarabu mbali sisi sote ni umati Muhammad hata wewe pia

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci

      @pascal2415.Islam ndio Dini pekee inayopinga Ubaguzi Duniani. Wakati wa Mtume Muhammad (SAW) Swahaba (Companion) wake Abdullah Salam (RA) alikuwa Muyahudi na Mshauri wake. Jee Wakiristo ni Mayahudi kwa sababu Yesu Kristo (AS) alikuwa Muyahudi?

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 Před 8 měsíci

      ​@@khatibal-zinjibari6956ni kichekesho, eti ni dini inayopinga ubaguz 😂

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci

      ​@@ladislausngoyinde4384Baada ya kichekesho chako tupe ushahidi kuwa Uislam haipingi Ubaguzi.

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před 8 měsíci

    Hawa sio wasomi wenye kuwa na suluhisho bali wasomi makasuku yaani kuwa na msomi kama huyu ni sawa kuwa na vitabu mkononi tu,
    Msomi lazima aeleze tatizo Kisha atoe suluhisho
    Kuhadithia tu ni sawa na kitabu cha sauti

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před 8 měsíci +1

    Huyu njozi sio ndoto ameshindwa kujua mauaji ya Palastina sio sawa na ya wanazi na hapa ameonesha uduni wake wa kufikiri
    Wanazi sawa walitengeneza mauaji hayo
    Lakini suala la mayahudi ni uvamizi tangu mwaka 1948 na hiyo Ghaza wamesha chinjwa zaidi ya mara 10
    Sasa tukio hili kusema wamefanya mayahudi wenyewe lengo lako ni kuonesha kwamba kinacho wapata waislamu wa Ghaza wameyataka wenyewe

  • @allychengula3511
    @allychengula3511 Před 8 měsíci

    Hitla alikuwa myahudi asili, alitoa kafara wenzake

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 6 měsíci

    Alafu kuna wajinga wengi wanakwambia ni nchi ya Ahadi.

  • @sammynyalleKe
    @sammynyalleKe Před 8 měsíci

    Uongo!
    Mbona Wapalestina waanze huu uvamizi sasa!? Acha wapate adhabu yao. Israel cant relent