Kuna vitu ukielezwa na wakubwa usiulize kwanini wewe Fanya Tu- Sheikh Walid Alhad

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 117

  • @zubedaallymuhammed8465

    Sheikh wetu.mashallah allah akupe umri mrefu uzidi kuwazindua waislam.hao wanaokupinga tumeshawazoea. Ni watu wafitna .

  • @AshamanenoYusuph-rd3eq
    @AshamanenoYusuph-rd3eq Před 10 měsíci +2

    Mashaallah wallah sheh upo vzr saaana asiyekuelewa ana dini ila yupo kimaslahi ya dunia tu Allah akuongoze sheh wetu.

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Před 4 měsíci

    Huyu shekhe nampenda sana yaani akizungumza kama hataki sio wale mashekhe wengine wanasema kama wanagombana mungu akulinde shekhe wetu inshaallah

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 Před 4 měsíci

    SUBHANALLAH
    ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MOHAMMADIN WAALI SAIDINA MOHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM
    Barakallahu Feek

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před 4 měsíci

    Sheikh langu usiumize vichwa Mtume ( s a w)alituambia itafika siku watu watataka kujua nasaba ya Mumba wetu.Ghafuru Rahim .Astagfirullah.Yarrabi tufanye kuwa samiina wa twaana,Amin.

  • @user-gp9vg6sw6e
    @user-gp9vg6sw6e Před 7 měsíci

    Tumekuelewa sana wasiokuelewa Wana shida zao Allah akulinde kama alivyo mlinda MTUME pangoni lnshaa Allah

  • @user-gp9vg6sw6e
    @user-gp9vg6sw6e Před 7 měsíci

    Maashaa Allah Shekhe wetu tunavuna hekma zako Allah akulinde na maadui pembe zote duniani❤

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Před 10 měsíci

    Walaa taquulu limayyuqutalu fii sabilillah amuwaat, bal ahyaaa uwwalaakillaa tash'whuruun. Swadakallah kheyr.

  • @UessoSalimo-cd3mw
    @UessoSalimo-cd3mw Před 10 měsíci +2

    Mashallah from Mozambique

  • @hajiissa9200
    @hajiissa9200 Před 8 měsíci +1

    Masha allah from kijitonyama

  • @abdulhalim5950
    @abdulhalim5950 Před 28 dny +1

    Tatizo ushahidi wa hadeeth hamna ndo mana tunawakata.
    Pia MASUfi hamjafunzwa kuuliza kwanini ndo mana nynyi Hamdai dalili nyny mupo tu kansema shekhe

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před 7 měsíci

    Mashallah from USA

  • @user-xj4ye2mt4o
    @user-xj4ye2mt4o Před 2 měsíci

    Endelea shekheee ivyo ivyooo ukosahihi kabisaaaa

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 Před 10 měsíci +1

    Mashaallah tabaraka llah

  • @user-vy7jd5th5e
    @user-vy7jd5th5e Před 7 měsíci

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq

  • @issaathumani-je7iy
    @issaathumani-je7iy Před 10 měsíci +1

    masha allah allah ni mkubw

  • @khadijamohamed8919
    @khadijamohamed8919 Před 10 měsíci +1

    Mashaallah Mashaallah

  • @saidilaay9490
    @saidilaay9490 Před měsícem

    Katika barazanji anayezungumziwa ni mtume Muhamad S.A.W kufuata quran na suna sifa zake alizonazo.
    Tusiwe wabishi turejee darasani.

  • @iddymohammed1890
    @iddymohammed1890 Před 5 měsíci

    baraqal llahu fi qum

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 5 měsíci

    Swala Allahu alaihi wassallam Waalaalihi

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 Před 17 dny

    Kinachoulizwaa nani alisikiaa hiyoo habari kuwqa ngombe kasikiaa wakti kulikuwaa hakunaa nabi walaa nn sasa nanikapokeaa hiyoo tufahamishee barazanji kapokeaa kutokaa wapi

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 Před 10 měsíci +2

    Angalia watu wazama za Mtume Muhammad s.a.w walipokua wakiabudu masanamu wakiulizwa kwa nini muna fanya hivo wanasema tuliwakuta wazee wakifanya na ss ndio tunafanya..Nabii Ibrahim a.s alimuuliza babake mbona mwaabudu haya masanamu na yenywe hayadhuru wala hayanufaishi kwa lolote walijibu kua waliwakuta wazee wao wakifanya na wao wanaendelea nayo hivo hivo..kwahio Sheikh usizungumze kuputia hawaa zako ama kufaya inadi kwa wanao pinga Maulidi..na kuna baadhi ya watu ukiwauliza kwa nni munasoma Maulidi wanasema hvo hvo kua wazee wao walikisoma na wao pia wanasoma yai mtu hataki kujua ni sawa au si sawa yy anafanya maadamu mzee wangu alifanya na mm nafanya. Subhana_Allah Mungu atuongoze sote jamii Islam

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 Před 10 měsíci +4

      Ufahamu wako haujawa bado na uwezo wa kuelewa na kuchanganua kinachokusudiwa

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Před 10 měsíci +3

      Umetumia akili kuongea❤

    • @rajabmembe6695
      @rajabmembe6695 Před 10 měsíci +1

      Sheikh wa mkoa kakosea kusema hapo, kakosea sana aajichunguze kauli sake kama kiongozi

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express Před 10 měsíci +1

      @@rajabmembe6695 kavuruga vuruga yaani anajiona kasoma lakini msikilizaji anaweka 100% hajui lolote ingawa kasoma

    • @mohammedseif3072
      @mohammedseif3072 Před 10 měsíci

      🤔

  • @warshysaid8564
    @warshysaid8564 Před 10 měsíci

    Allah anasema mtume haongeei kwa matamanio yake bali ni wahyi kukoka kwa mola wake sasa anaejuwa ghaibu ni allah pekee mtume anapewa wahyi tuu kwa kilacho au kitakachotokea mbele ili kuwaelimisha waislamu waliopo muda huo ambao ni maswahaba na hajao mbele mpka sisi wasasa na watakao kuja baada yetu ili kujitasimini kwa kila kinachotokea ktk maisha yetu sasa kusema mtume anajuwa ghaibu unakosea sheikh wetu

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p Před 10 měsíci

    ❤mashaLLAH

  • @user-gn8ls8ji5x
    @user-gn8ls8ji5x Před 4 měsíci

    سبحان الله hayamaneno yamlmungu mnasema uwengo muogopenemlungu

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby3658 Před měsícem

    Kwa wenye D mbili tu ndo hawajamuelewa Waleed hapa.

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci +1

    Hivi hawa ndio viongozi wetu kweli sijui wamesomea wapiii

    • @salehislem671
      @salehislem671 Před 10 měsíci +1

      Tulia wewe majnoon...huna ulijualo

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 Před 10 měsíci +1

      Kakosea nn katika maongez yake!!!?

    • @user-hx8bh1jt4k
      @user-hx8bh1jt4k Před 10 měsíci +1

      Ww umesomea wp mwehu?hata baba Yako hampati ki elimu

    • @harithally2264
      @harithally2264 Před 10 měsíci +1

      Kasomea kwa baba yako

  • @hasnaly
    @hasnaly Před 3 měsíci

    😂😂 hii kabisa inamuhusu mood bachu

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂😂utatunzwa sana 😂😂😂😂

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 Před 2 měsíci

    Shekhe Mimi ninasuali ambalo najaribu kuliulizia ulizia lkn sijabahatika kuona nimejibiwa,
    Suala ni hii elimu inayoitwa BARAHATII jee ni elimu isiyo na mashaka yeyote juu ya muisilamu kama ataiamini na kuitenda,?
    Hebu naomba unifafanulie faida zake za jumla na kama Kuna hasara zake pia unifafanulie Ili nijuwe ukweli wake

  • @mansoursaid8
    @mansoursaid8 Před 9 měsíci +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏

  • @selemaniselemani591
    @selemaniselemani591 Před 10 měsíci

    Mtume s.a.w hasifiwi, anafwatwa.

    • @mahmoudally3906
      @mahmoudally3906 Před 7 měsíci

      Allah ndiye aliyeanza kumsifia na pia ndiye aliyeamrisha tumfuate. Na alisifiwa hata kabla ya watu kujua kuwa yeye ni Mtume.
      Sasa utajipa tabu kuzuia asisifiwe, sema tu kuwa asisifiwe sifa zitakazopelekea watu kumuabudu au kumfananisha na Mungu.

    • @IbraFareed
      @IbraFareed Před 3 měsíci

      Sele umesoma wap 😂😂

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci +3

    Hhhh hata kama anakupoteza kwani wakubwa hawakoseiii

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 10 měsíci

      Hawakupotezi kwa sababu wao wakuelekeza kupitia quran na hadithi sasa utakosea vp wakati watumia quran na hadithi

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 Před 10 měsíci

      Umesoma tuu caption au umeskiliza mpka mwsho!!???

    • @saydouside9468
      @saydouside9468 Před 10 měsíci

      mwambie hata wahuni wanazeeka...Barzanji imezua mambo...na waislam hataki kusoma..akisoma yoyote akitoka na kiarabu ..huyo no shekh duuuuuh

    • @fikafikan8484
      @fikafikan8484 Před 10 měsíci

      @@saydouside9468 ww ndio hutaki kusoma na bachu wako ungesoma ungemuelewa barzanji kumbe muko wengi mahasidi wa mtume Allah atawashinda insha Allah

  • @user-db5sx4ex3x
    @user-db5sx4ex3x Před 8 měsíci

    A/alaikum shekh samahani nilikuwa naswali nje yamada Yako nilitakakujuwa hekma yakutoa sauti katika swala ya mag'haribi,ishaa,na alfajiri?

  • @nshimirimanadjibril
    @nshimirimanadjibril Před 10 měsíci +1

    unashindwa kuchunga mapenzi yake kwa mtume

  • @SamMus-qn1pu
    @SamMus-qn1pu Před 10 měsíci +1

    Sasa hapa ndio pakuonekana uongo wa watu wa maulidi sasa mbona haikutajwa khabar io ya barazanji katika qur an na suna uzushi mtupu

  • @user-qs8yo4kw9g
    @user-qs8yo4kw9g Před 8 měsíci

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅mtume na suti

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 Před 10 měsíci +1

    Hicho kisa cha Israi Wal Miraj kina dalili zote Shiekh na hatukatai kua jambo lolote kwa mtume swala Allahu Alaihi Wasalam linaweza kufanyika ila musimsingizie kwa mambo ambayo hayakutokea kwake..hilo jambo lakua wanyama waliongea hamuna dalili zozote...na usiseme kua ukisikia jambo kua ntume kafanya au kasema usibishane ww amini tu huo ni ujinga kwa sababu mwamsingizia na kwenye Dini usitie mila na tamaduni hizo mila na tamaduni Zina shirki kubwa sna..Sheikh wazee wazamani kweli ni wazee wetu na tunawaheshimu ila kuna mambo sio katika Dini walikua wakifanya

    • @mahfoudhally2879
      @mahfoudhally2879 Před 10 měsíci +1

      Hhhhh basi wewe pia huamini pale sisi mizi walipomuona nabii suleiman wakaongea suleiman akawasikia

    • @saidhmuhammad5567
      @saidhmuhammad5567 Před 10 měsíci

      Ndugu hapo hatumuongelei Nabii Suleiman A.S na hakuna ambae ana shaka juu ya hilo kwamba aliwasikia sisimizi wakiongea.

    • @yes_yes1310
      @yes_yes1310 Před 10 měsíci

      Kwa hio Nabii suleiman na Mtume Muhammad swalaa llahu alay wa salama, nani bora?

    • @herimsham3459
      @herimsham3459 Před 10 měsíci

      Said kakosa jibu.😊

    • @saidhmuhammad5567
      @saidhmuhammad5567 Před 10 měsíci

      Sio kwamba sina jibu hapa hatuangalii mambo ya ubora..kwahio kma Mtume Muhammad s.a.w ni bora ndio mumuekee mambobya urongo?

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 10 měsíci

    Ibadh ndio dheheb pekee ambalo hawavutani juu ya aqida wanamsimo mmoja tu sasa masuni kwanini kila mmoja anaaqida yake?

    • @mahmoudally3906
      @mahmoudally3906 Před 7 měsíci

      Kuna mambo hutengenezwa ili yapatikane makundi kuugawa ummah wa kiislam. Na dhamira ni ili usiweze kuungana wakawa na nguvu.

  • @mohammedal7864
    @mohammedal7864 Před 10 měsíci

    Masuni wengine wanafungia sala tumboni wengine kifuani wengine baina ya kifua na tumbo na wengine wa nyanyua mikono na kushusha je nani yu sahiih?

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Huo ni dalili ya ujinga

  • @user-jq2ox3er2w
    @user-jq2ox3er2w Před 10 měsíci +1

    Hayo.mambo.unayoongea.hayana.mashiko.hata.kwamjinga

  • @user-du2fy5sd5u
    @user-du2fy5sd5u Před 5 měsíci

    Sisi tuliumbiwa chumvi ni dawa ya mbonga

  • @fay9687
    @fay9687 Před 10 měsíci

    Porojoooo

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před 10 měsíci +1

    😂 Ngoja nicheke tu sina chakuongea.... Kwahiyo babu yako akikwambia uchawi ulikuwepo tangu na tangu shika tunguli tupae usiulize tii tu!... Usitake kufananisha zama ya Mtume na zama hii. Enzi zile huenda wengi kati yetu tungekuwa makafiri kwamtazamo huo wakusema mkubwa akisema usiulize. Kwani wao siwaliabudu masanamu kwasababu walikuta mababu zao wanaabudu!?. Walimkataa Mtume kwahoja yako hiyo hiyo yakusema Mkubwa akisema fuata tu. Ushahidi wa Mtume (S.A.W) kwa miujiza aliyopewa na Allah na Allah kuwaongoa watu ndipo wakafaa dini. Dini inaenda kwa dalili sio kwakuambiwa tu unafata

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad5567 Před 10 měsíci

    Sheikh hayo maneno yako yakua ukiambiwa wazee jambo usiulize ww ufanye tu sio sawa kabisa. Nivlazima ujue uulize uambiwe maana kisha uyapime katika mizani ya dini..hicho kisa cha Israi Wal Miraj Abubakar r.a aliamini moja kwa moja kwa sababu ni maneno ya Mtume Muhammad s.a.w...na sisi tumeletewa dalili zote ndani ya Quran na kwa Hadith lazima tuamini..kwahio maneno ya wazee ikiwa sio katika misingi ya Dini usifuate na utajua vp ikiwa haiko katika misingi ya Dini ni lazima uulize

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w Před 10 měsíci

      Kwa fikra zako ungekuwa ww usinge kubali pia muelewe vizuri anavyosema utapata faida ukiskiliza kiupizani autaelewa kamwe

    • @user-ev7dh1np3w
      @user-ev7dh1np3w Před 10 měsíci

      Anaezungumziwa hapo ni mtume hayo mnayoyatilia mashaka ni madogo sana

    • @harithally2264
      @harithally2264 Před 10 měsíci

      Unajua mizan ww

    • @mahmoudsultan3445
      @mahmoudsultan3445 Před 4 měsíci

      Tatizo lako umekaa kiushabik alipoanzia wee hutak unachukua mfano kua ndio ujumbe alichokisema maneno ya mtume hayatiwi hoja hago maneno ya wakubwa n mfano tu wa utiifu juu ya viumbe lakn Kwa mtume hamtak kutii ukisikiliza kiushabik hutaelewa

  • @mkemiawarap3645
    @mkemiawarap3645 Před 5 měsíci

    كاذب

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 Před 10 měsíci

    Hata akikwambia ukalewe? Huyu alipoteuliwa ushekh wa bakwata ndio amezidi kuboronga

    • @sadiqselengu4197
      @sadiqselengu4197 Před 10 měsíci +1

      Wewe huyu umemjua juzi..
      Tunaomjua tumetulia..
      Toka lini mwanachuoni (sheikh) akakuamrisha ukalewe??
      Tuliolelewa na wachamungu tunamuelewa NYIE WA KILA KITU KUBISHA ENDELEE.

    • @rydertz3372
      @rydertz3372 Před 10 měsíci +1

      Kakosea nini katika maongezi yake!!??

    • @hamisiramadhani14
      @hamisiramadhani14 Před 10 měsíci

      Kukaa kimya ni hekima sana kuliko kuzungumza bila elimu na ufahamu

    • @harithally2264
      @harithally2264 Před 10 měsíci

      Na ww bidaa mkubwa sn tena mzushi

    • @harithally2264
      @harithally2264 Před 10 měsíci

      Usimseme usie mjua sheikh wetu tunamkubali na ana Haki ya kulindwa na watu kama nyinyi

  • @user-vy7jd5th5e
    @user-vy7jd5th5e Před 7 měsíci

    Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh...muogope ALLAH sheikh haya maisha ya dunia ni yakupita tu tungeneza akhera yako vyemaaa uongo ni katika maas nawe wajua alafu wadanganya ummah... Allah akuongoze katika Haq.

    • @abdalahaby3658
      @abdalahaby3658 Před měsícem

      Kadanganya nini hebu tujuze asee

    • @zubedaallymuhammed8465
      @zubedaallymuhammed8465 Před 25 dny

      Acheni mzozo,katika dini . We unathubutu kumwambia sheik muongo ninyi mnaojifanya mnajua dini .si lolote hamjasoma wala hamna elimu ndo maana mnajigonga .tu .walid yupo vizuri na Allah atamlipe pepo tena firdaus yarabi Ammiyn